Saturday, January 24, 2009

Miss Brazil Afariki Dunia


Mrembo Miss Brazil, Mariana Bridi (20) amefariki dunia leo asubuhi huko Brazili baada ya kuugua ugonjwa wa bacteria usio na tiba. Hivi karibuni alikatwa sehemu ya tumbo na mikono na miguu yake kusudi bacteria usisambae zaidi mwilini mwake. Jitihada za kumwoka hazikufanikiwa. Aliwahi madkatari walidhani ana ugonjwa kwenye njia ya kupitisha mkojo. Bridi aliwahi kushiriki katika mashindano ya urembo wa Miss World. Alikuwa mmoja wa warembo watano bora.
Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.
Kwa habari zaidi someni:

3 comments:

Anonymous said...

Rest in Eterbal Peace Beautiful One. Your life was so short!

Anonymous said...

Mrembo tena ana miaka 20 tu, maskini jamani. Rest in Peace.

Anonymous said...

Kalogwa na wenye wivu maskini. Mola ailaze roho yake mahala pema peponi. Amina.