Tuesday, June 26, 2007

Mheshimiwa Amina Chifupa Amefariki Dunia!




Nimepata habari muda huo kuwa Mheshimiwa Amina Chifupa amefariki dunia katika Hospitali ya Lugalo, Dar es Salaam. Nilipiga simu nyumbani kwa wazazi wangu Dar na kuambiwa kuwa walitangaza kwenye television na walikatisha kipindi cha Rebecca kusudi wa tangaze.

Mungu amlaze marehemu Amina mahili pema peponi. Amin.

Amina, ulikuwa shujaa kwa wanawake wengi, tutakukosa, Mola amekuchukua mapema mno. Ninalia pamoja na ndugu zako.
*******************************************************************

Comments za Baba mzazi wa marehemu kwenye Michuzi blog:
MH. AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIA HATUKO NAYE TENA. KWA MUJIBU WA BABA YAKE MZAZI MZEE CHIFUPA (PICHANI) AMBAYE NIMEONGEA NAE DAKIKA TANO ZILOPITA, HAYATI AMINA AMEFARIKI SAA TATU KASOROBO USIKU HUU HOSPITALI YA JESHI YA LUGALO ALIKOKUWA AMELAZWA. MAKELELE YA VILIO YALITAWALA MAZUNGUMZO YETU KUTHIBITISHA HABARI HII YA KUSTUA.

68 comments:

Anonymous said...

Bora angenyamaza kimya. Wamemkolimba huyo.

Anonymous said...

Ninasikia huzuni sana lakini sina la kufanya. Mlioko nyumbani, habari za kuumwa kwa amina zilikwekwa wazi? Taifa litajifunza nini kama kila mpigania haki anatutangulia mbele ya haki? Any way, iko siku Mungu atajidhihirisha juu ya uove wote. AMINA

Anonymous said...

Jamani mbona ajabu,
Lini alikuwa anaumwa? Mbona kuna utata mwingi?Did she know something she shouldnt???

Chemi Che-Mponda said...

Who knows what happened! I have spoken with several folks in TZ, kweli kuna utata mwingi, wengine wanasema kalogwa, wengine eti alikunywa dawa, wengine ndo hayo mambo ya kutaja majina sijui. Mhhhhmmm I am still in shock!

Anonymous said...

poleni sana watanzania wenzangu kweli sijui hata niseme nini juu ya hili, ila kweli ni ngumu na inatatanisha sana, kifo chake kinatatanisha sana, mara albadri sijui, kulogwa hay atumwachie Mungu

Anonymous said...

R.I.P Amina

Anonymous said...

Mie nilijua tu kitu kama hiki kinaweza kutokea. Hawa watakuwa hao vigogo wa madawa ya kulevya akiwemo huyo aliyekuwa mume wake, Mohammed sijui. Kama vile mambo yaliyotokea kwa Sokoine, hiki kifo cha ghafla kutakuwa kuna mikono ya watu hapa. Lakini Mungu aweke roho ya Amina mahali pema.
Amani

Anonymous said...

Hawa watu wa lugalo hawa tunamashaka nao Dr Ommar kapita hapo hajachomoa na Amina pia hajachomoa hapo pana kitu hapa si bure.

Anonymous said...

Amefikia hatma yake, iliyobakia ni speculation, kwa muda huu ni kumuombea Mungu.

Ni mategemeo yangu mengi yatesemwa, na mengi yataandikwa, lakini hata hivyo inaonyesha interest ya wengi wanataka kujua nini kilichomsibu Marehemu mpaka kuondoka ghafla.

Mimi binafsi, kusema ukweli simjui huyu dada, zaidi ya kumuona na kusoma habari zake kupitia kwenye blog na baadhi ya mitandao ya magazetini ya huko Tz.

Ni mategemeo yetu, tutapata habari zaidi

By Mchangiaji.

Anonymous said...

Kawaida mtu akifariki na hasa kama ni kipenzi cha watu au anayo nafasi katika jamii basi ni lazima watu watafute maelezo na kuuliza maswali ya namna gani na kwa nini? Watu watatoa tafsri mbali mbali ya nani kasababisha na namna gani. Lakini yote haya ni ya kawaida maana kifo kinatisha ila ukweli sisi wote ni lazima umauti utatifika. Kwamwe hatutajua ilikuwaje akaondoka kama alivyoondoka,.....! Kinachobaki ni kumuombea kwa Mola. Tukae tayari siku inakuja. Amina RIP ...Amen

Anonymous said...

kweli huyu binti alikuwa "celebrity"-alikuwa na mvuto wa aina yake na pia alikuwa kipenzi wa watu wengi-na ni majonzi makubwa sana kumpoteza,

tunasubiri kujua sababu ya kifo chake ili tuache kubuni-buni.

ummarufu wake umeonekana na utaonekana kwa wingi wa wachangiaji katika blog hii na ile ya bwana Michuzi.

tutamkumbuka kwa kulichangamsha bunge na kutoa mawazo ambayo yalikuwa na ka-ukweli ndani yake ingawa hakuweza kuishi muda wa kutosha ili kutekeleza yale aliyoyapanga.

Mungu amuweke mahala pema peponi.

Anonymous said...

Hili BUnge jamani limeacha kuwachukua watu wazi linamchukua huyu binti wa watu mdogo.
Mtoto wake jamani, bado anahitaji malezi ya Mama, Mungu amsaidie.
Nisiseme mengi Mungu ndio anayejua.

Anonymous said...

Nimehemewa na huzuni sina cha kusema isipokuwa tukumbuke KILA NAFASI ITAONJA MAUTI,TUMUOMBEE MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI AMEN

Anonymous said...

we loved you Amina,but God Loved you more,may God rest your soul in peace.

Unknown said...

Ni jana tu nilipomtumia a "Get well soon" msg kupitia kwa blog ya michuzi. Inaumiza sana.
Kifo chake ni mchanganyiko wa mengi BUT life goes on and the battle continues vijana msikubali, kilichobaki ni kuto tumia hayo madawa tuone watamwuzia nani.

Mungu wape nguvu ndugu, marafiki na vijana wote wakitanzania wakati huu mzito! RIP Aminia.
Waridi

Anonymous said...

She was full of life, yet she seems to understand and deeply care and speak for the vulnerable, and those who could not speak for themselves.

She was at prime of her life, it is hard to imagine she was just 25 years old, she had a huge potential ahead of her, yet she did not get the leading hand, I wish his Dad and former husband could give her just a nodge of a wisdom. she never get that, hence she was desperate for it, regarding her family particularly his dad as a leading man in his life. I wonder his father ever understood that.

But she is not DIANA...She is Just AMINA CHIFUPA..plays ball game with MEN in politics, who were full of envy and jealous, I hope that was not a reason that took her life.

TIME WILL TELL!!

INA LILAHI WAINA ILAIHI RAAJIUN

By Mchangiaji

Anonymous said...

Ukweli ni kwamba Mungu alimpenda zaidi yetu,na aligundua kuwa tumeshindwa kumtumia ipasavyo, kwa hiyo maneno mengi na kumtafuta yupi ni mchawi hayatasaidia. Kilichobaki ni kumwomba Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Mh. Amina Chifupa mahala pema peponi, na kama kuna mkono wa mtu, awe ni wa CCM au wauza madawa, Mungu awape haki zao.
Mchangiaji-Cape Town-SA

Anonymous said...

It is so sad kwamba Amina amefariki wakati huu. It is such an unlucky coincidence.
Ukweli ni kwamba Amina amekufa kwa ugonjwa wa kawaida unaoua watu wengi, lakini haikutarajiwa hata kidogo kwamba angekufa mapema namna hiyo. Watu wameishi na ugonjwa kama huo miaka mingi tu. Kinachotutia mashaka ni jinsi alivyoporomoka haraka kiasi hicho. Amina alianza kutumia ARVs early last year, na wapo wengine (wakiwamo wabunge) walioanza dawa hizo miaka hadi mitano kabla yake, na hali zao ni nzuri sana tu. Pengine mgogoro katika ndoa yake umechangia kumpunguzia stability aliyokuwa nayo. Mwanzoni mwa mwaka huu alikatisha dozi na kuanza kutumia zile zinazoitwa GNLD. Hata hivyo hali yake haikuwa mbaya. Yeye si wa kwanza kukatisha dozi, na haikutarajiwa kumletea athari za haraka hivyo. Lakini miezi kama 4 iliyopita alianza kuonesha dalili fulani mbaya. Alinyofoka nywele kichwani ikabidi awe anafunga kilemba au kuvaa wigi muda wote. Hata alipopelekwa Lugalo majuzi alikuwa amenyolewa upara kabisa baada ya kuona zimebaki nywele kiduchu za maudhi. Habari ya ugonjwa wake ni siri iliyotunzwa vizuri sana na familia (hasa baba yake, lakini hata na Mpakanjia ambaye pia ni mgonjwa), lakini haya matatizo yake yamezidi kuonekana makubwa hasa alipoingilia anga za wazungu wa unga, na pale alipotaka kugombea uenyekiti wa taifa wa UVCCM. Wakaamua kumwandama sana, na nadhani hii imechangia kuharakisha progression ya ugonjwa, au who knows, pengine ameongezewa "kombora" almaarufu "kipapai". Binafsi namsifu sana kwa ujasiri wake na commitment to achievement. Ingawa hakuwahi kuweka wazi hali yake (ya kuwa mwathirika) hadharani, aliyapenda na kuyathamini maisha, na alithibitisha kwamba alikuwa na uwezo wa kufanya mengi. Nadhani kama hayakumkuta haya ya kuandamwa na kashfa, bado angeweza kuwa na madaraka makubwa na kuitumikia nchi yetu kwa miaka mingi ijayo. Nadhani mazingira aliyokumbana nayo yamechangia zaidi katika kifo chake kuliko ugonjwa aliokuwa nao, kwani wako wengi tu wengine mawaziri ambao wamekuwa wakipata tiba ya ugonjwa huohuo kwa muda ambao ni sawa na nusu ya umri wote wa Amina, na you can't even suspect them.

It is so sad. Taifa limepoteza hazina muhimu.

Mungu alilaze roho ya marehemu Amina Chifupa mahali pema peponi, Amina.

Anonymous said...

kithuku, unamfahamu daktari wake nini? Sources? Your explanation is very detailed.

Anonymous said...

Kithuku,
inaonekana una data zaidi-IPP media wameandika Kisukari na Malaria .

Anonymous said...

Hiyo kisukari, malaria na pressure ndiyo habari ambayo familia yake imetoa kwa press, lakini familia imejitahidi kuwa makini katika kutunza siri. Lakini haikuwa siri sana, wenye access na information tulishajua siku nyingi tangu hata alikokuwa anachukulia ARV. Hizi si habari za daktari wake, kwa hiyo wanaomfahamu daktari wake wasimzonge au kumtuhumu kwa kuvujisha siri (maana hiyo wenyewe wanaita professional misconduct), lakini mnapaswa tu kujua kwamba daktari anapojitahidi kutunza siri, wapo wengine wanaohusika nao ndio wanaozitoa. Narudia, hizi sijaambiwa na daktari wake, lakini ni habari za uhakika sana, na zinapatikana hukohuko ndani. Pengine nirejee msimamo wangu kwamba sidhani kama ni hiyo peke yake imemuua kwani hakuipata leo. Kama kuna wataalamu wanaosoma maoni haya nadhani wanaelewa hata hizo ARV watu huwa wanaanza kutumia miaka mingi tu baada ya kuathirika (CD4 zikipungua sana), na pia hata mazingira fulani ya stress yanaweza ku-accelerate progression ya ugonjwa. Na hata "kipapai" inaweza kuchangia kumwahisha mtu kuzimu(wazazi wake walijaribu kumpeleka kwa faith healers wengi na "mafundi" kwa imani hii hii, na matibabu mengi ya aina hii yalifanyika nyumbani ndio maana hakuonekana hadharani, na alipelekwa hospitali baada ya kukata tamaa kabisa.)

Kweli inasikitisha sana

Anonymous said...

Si uwongo, madaktari Bongo hawana siri hata kidogo. Nimekasirika sana na habari hizo za Dr/Patient kutolewa in public.

Anonymous said...

Yanayosemwa mjini ni matano (naomba msinihukumu mimi nimeyaleta kama nilivyoambiwa na wadau mbalimbali):

1. Amina alimsihi mumewe warudiane na kwamba yote yalikuwa majungu. Mumewe aka-suggest kama ni majungu wasome "albadr" kuthibitisha. Amina akakubali kikapigwa kisomo kikali. Matokeo yake Mheshimiwa akawa "mental" ndo ikaishia huku.

2. Katika kumthibitishia mumewe hakufanya haya yote yanayosemwa, Amina alitafuta Shehe akamwambia Mpakanjia yuko tayari wasome "albadr", wakati Amina kishakubaliana na Shehe wake yule wasome "albadr" feki. Unfortunately, siku ya kisoma Mpakanjia naye akaja na Shehe wake kwahiyo ika-end up kusomwa a real albadr kali mno. Immediately baada ya hapo, Mheshimiwa akawa mental, ndo tukafika hapa tulipo leo.

2. HIV/AIDS: kuna wadau, hata kabla ya sakata na Zitto, walikuwa wanasema Mheshimiwa is on ARVs kwa muda. Baada ya dharuba hii ya kuhusishwa na Zitto, she went off meds na hali ika-deteriorate.

3: Amerogwa/Amepewa sumu na Nchimbi (hii naona ni popular hapa JF).

4. Drug lords alioanza kuwazonga wamekamilisha yale yaliyokuwa yanategemewa kutoka kwao.

5. Malaria na Kisukari - hii ndio "official" line ya familia ya Chifupa, na it is highly likely kwamba madaktari, kama wataongea na media, ndivyo watakavyosema.

Anonymous said...

Can someone explain to me why the family is so in hurry to bury the body instead of requesting through investigation (autospy)
to be conduted on her body to detrmine the cause of death ? Farnkly speaking, I think there is more to this story than what we have told " conspiracy Theory "and I firmly believe everything was premeditated!

Anonymous said...

jamani wakati huu wa msiba wa kijana mwenzetu nawapa pole wenzangu
pia naomba tuwe makini kuhusu wale wenzangu kwa sababau ya kuwa binadamu wote ni imperfect na kwamba kifo ni adui yetu mkubwa basi tuna grieve kiasi kwmba tunajisahahu na kumsingizia au kumlaumu mungu kwamba ameua ,wengine wana sema alimpenda zaidi yetu sisi ndio maana amemchukua (ktk staili kama hiyo ...kifo ).wengine wanasema eti bwana ametoa na sasa atwaa (kwa kumwua ..kweli!) na mengine mengi tuuu yanasemwa alimradi tuut
Jamani uwe mwislamu au mkristo sote tunafahamu ya kwamba mungu ndio source yetu ya MAISHA,STRENGTH.CONFORT.shetwani ndiye source of DESTRUCTION,KIFO na DISCOMFORT za kila aina kwa viumbe wa mola (binadamu)
tukumbuke kwamba kwa mungu hutoka yoote MEMA tuu na kwa shetwani hutoka Yoote mabaya mungu haumizi, haui,haaribu bali anatupa strngth ,na faraja
hivyo basi kipindi hiki tunaungana na familia ya marehemu tumwombe mola awape faraja,strength ili kuweza kudeal na adui kifo aliyeingia ktk familia yao .
sisi tulio hai ndio tunahofia kwamba tutakufa tutaugua nk lakini walio kufa hawana hisia au hofu ya chochote kile wameshalipa ujira wao na wamerudi kuwa vumbi
let's all praise god .let's cling to HIM and let's ask him for strength, wisdom , true confort and most important protection against the evil spirits
amini

Anonymous said...

Yes, I agree. Is there going to be an autopsy? That will answer all our questions. Why are they burying her so fast? Is there no one in Tanzania who is qualified to perform an autopsy?

Anonymous said...

amina atakua kafa na ukimwi tuu, ni wakati watu waanze kuwa wa wazi labda tunaweza kuokoa au kupunguza kusambaa kwa ugonjwa huu, amina sio wa kwanza kupata na hata kuwa wa mwisho kwa hiyo hebu tuache kuu kwepa ukweli na tuwe wa wazi na kukubali matokeo,
Ni bahati mbaya kapata ukimwi na sasa hatunae na Mungu ailaze roho yake mahali pema

Anonymous said...

Jamani ninyi, familia haiwezi kukubali autopsy kwa sababu wanafahamu sababu za kifo cha binti yao. Wamepata kashfa za kutosha, hawataki kuongezewa pia unyanyapaa. Huku kwetu unyanyapaa bado ni tatizo kubwa, na huwa linaendelea kuleta athari hata baada ya mhusika mkuu kufariki na kuzikwa.

Mola amlaze peponi

Anonymous said...

Eti wilki iliyopita alipooza upande moja wa mwili?

Anonymous said...

Wanaomfahamu Bw Liumba na mambo yake hawahitaji maelezo zaidi. Hofu imetanda!

Anonymous said...

UKIMWI bado ni gonjwa ambalo halijakubalika-kama mdau anavyosema hapo juu unyanyapaa (stigma) unawafanya watu wasijitangaze kuwa wana-gonjwa. Inaonekana, kulingana na habari za kuaminika (sio kutoka kwenye magazeti), huyu binti alikuwa na huu ugonjwa. Mungu atusaidie katika haya mapambano ya UKIMWI

Anonymous said...

Jamani tuwe realistic na tuangalie vitu katika picha kubwa , ni ukimwi gani unaoweza kuua mtu wa miezi miwili ?

Jamani tusiandike tuu vitu hapa simply because we have key boards !

Anonymous said...

Mmh jamani mbona USA kuna UKIMWI ambao inaua katika siku 45. Yaani toka uambukizwe unapata full blown. imandikwa kwenye medical journals huko USA na gays ndo hasa wanauguaga.

Anonymous said...

JAMANI REASONING YA AINA GANI HII ? USA KUNA UKIMWI UNAOUA KWA SIKU 45 KWA HIYO ? JEE AMINA ALIKUWA USA? Na jee aina hiyo ya ukimwi maambukizi yake yamefika afrika?

Anonymous said...

Now, this is in reference to the most inappropriate contribution by a guy who goes by the name “Kithuku” (Mr., I suppose)He is probably just someone who prides himself withy faintly knowing Amina and therefore claims the right to reveal confidential information about her private life. This is what he wrote onto this “Swahili Time” website – after several people were expressing their feelings about Amina’s death and speculating about the cause of her death. The italics and bold letters are all mine, and I’m publishing this so that Kithuku hears how incredibly unreasoning he/she is:

He wrote:

“It is so sad kwamba Amina amefariki wakati huu. It is such an unlucky coincidence (how sure are you that this is a coincidence? It seems you have read the police report! Have you investigated this?). Ukweli ni kwamba Amina amekufa kwa ugonjwa wa kawaida unaoua watu wengi (Now, you are starting your story in a dramatic way so as to capture the attention of your listeners. Do you know what they call that? Gossip!! (UMBEA!). This is not a movie! This is someone who lost her life!!! So why are you turning it into a sensation?), lakini haikutarajiwa hata kidogo kwamba angekufa mapema namna hiyo (so when did you expect her to die, mtaalamu Doctor/God?). Watu wameishi na ugonjwa kama huo miaka mingi tu. Kinachotutia mashaka ni jinsi alivyoporomoka haraka kiasi hicho (acha unafiki). Amina alianza kutumia ARVs early last year, na wapo wengine (wakiwamo wabunge) walioanza dawa hizo miaka hadi mitano kabla yake, na hali zao ni nzuri sana tu (now who authorized you to disclose this information? Did Amina? Did her parents, her closest friends? Her ex-husband’s closest friends? Even if you should be one of her closest friends [judging from the detailed information you are giving us, that is what you seem to be!], then why are you exposing your friend’s secrets without any inhibition – things which she never told the public about? Couldn’t you wait until someone more qualified discloses this information?).

Pengine mgogoro katika ndoa yake umechangia kumpunguzia stability aliyokuwa nayo. (now why don’t you stick to Swahili, but instead throw this English term, you wanna-be-intellectual? Man, you are WRITING! You have all the time in the world to think of the Swahili word for ‘stability’! I know people like you who all they care about is how smart they sound and appear to others, while they couldn’t care less about what they’re actually saying! Unfortunately, there are way too many Tanzanian journalists like that). Mwanzoni mwa mwaka huu alikatisha dozi na kuanza kutumia zile zinazoitwa GNLD. Hata hivyo, hali yake haikuwa mbaya. Yeye si wa kwanza kukatisha dozi, na haikutarajiwa kumletea athari za haraka hivyo (you really enjoy talking like a doctor. Knowing all the statistics of ARV drug defaulters, don’t you?). Lakini miezi kama 4 iliyopita alianza kuonesha dalili fulani mbaya (ni minne, are you sure siyo mitano?). Alinyofoka nywele kichwani ikabidi awe anafunga kilemba au kuvaa wigi muda wote. Hata alipopelekwa Lugalo majuzi alikuwa amenyolewa upara kabisa baada ya kuona zimebaki nywele kiduchu za maudhi (how come I don’t hear any words expressing how sorry you feel about the pain and humiliation Amina felt!

You are not writing about her feelings, because you don’t know them, and you don’t care to know! And that leaves you completely unqualified to even comment on anything private about her. If you really know her well enough to disclose all this information to us, then you would not have forsaken this opportunity to comment on the cruel and scandalous badmouthing the Tanzanian media have subjected her to!) Habari ya ugonjwa wake ni siri iliyotunzwa vizuri sana na familia (kama ni hivyo, ni kitu gani kinachokupa haki ya kutoboa hiyo siri. Kuna sababu , mnafiki, wewe?) (hasa baba yake, lakini hata na Mpakanjia ambaye pia ni mgonjwa) (na wewe mwenyewe je?), lakini haya matatizo yake yamezidi kuonekana makubwa hasa alipoingilia anga za wazungu wa unga, na pale alipotaka kugombea uenyekiti wa taifa wa UVCCM. Wakaamua kumwandama sana, na nadhani (kama unamjua, usingesema unadhani, ungeongea kwa uhakika!) hii imechangia kuharakisha progression (see point above. What’s so hard about saying ‘kuzorota kwa hali yake’? Even I, to whom Swahili is my 3rd language can come up with that word!) ya ugonjwa, au who knows (you’re acting British now, huh? Don’t you realise that you are FULL of yourself?), pengine ameongezewa "kombora" almaarufu "kipapai" (now, what makes you use humorous language in an issue of such tragedy?). Binafsi namsifu sana kwa ujasiri wake na commitment to achievement (Get out of here! Humsifu hata kidogo! Unajisifu mwenyewe kwa sababu UNAJUA!). Ingawa hakuwahi kuweka wazi hali yake (ya kuwa mwathirika) hadharani, aliyapenda na kuyathamini maisha (Now don’t even act like you know what “to value life” means!), na alithibitisha kwamba alikuwa na uwezo wa kufanya mengi (what do you know about ‘kufanya mengi’? You have no imagination what ‘kufanya mengi is’ because you have never done mengi, so stop talking as if you know! You just want to sound important as though you are in a position to give appraisal or critique). Nadhani kama hayakumkuta haya ya kuandamwa na kashfa, bado angeweza kuwa na madaraka makubwa (usijifanye kama unamtakia heri! Kifo chake kwako hakimaanishi kitu. Unangojea kifo kifuatacho cha mtu mmaarufu ili upate tena fursa ya kuongea na kuonekana bila ya kujali, siyo zaidi! I’m sure hukuwa unamwaza mpaka ukafungua hii website leo hii na kuona jinsi gani ninavyokuzomea!) na kuitumikia nchi yetu kwa miaka mingi ijayo. Nadhani mazingira aliyokumbana nayo yamechangia zaidi katika kifo chake kuliko ugonjwa aliokuwa nao (of course mazingira aliyokumbana nayo yamechangia zaidi katika kifo chake kuliko ugonjwa aliokuwa nao. Why are you telling us the obvious?), kwani wako wengi tu wengine mawaziri ambao wamekuwa wakipata tiba ya ugonjwa huohuo kwa muda ambao ni sawa na nusu ya umri wote wa Amina, na you can't even suspect them (wewe unajua wangapi? Wamekuzoea kiasi gani mpaka wakuambie?).

His account continues for a little while, but I find it unnecessary to paste this here! The amount of self importance you (he must be a man) is displaying is the kind of publicity that broke Amina’s heart. Don’t you know, ‘love does not get puffed up [1 Wakorintho 13:4], but you think of yourself more than what is necessary! Is it really so important that we hear from YOU what was up with Amina? I believe that it is the same spirit of maliciously talking about other people’s issues which we don’t even know about, and which don’t at all concern us that caused Amina’s death! It is not far-fetched to say that it was the MEDIA that killed her! At least they robbed her of her joy in life because though she was only 27 years old and more alive than at any other time in a human being’s life, she was already condemned to death by the people who foolishly believe that everything that’s on the papers is real!)”

Why do I see no comment on the injustice that she was exposed to? Were you unable to comment on the audacious way in which the media destroyed the public image of a woman who was, though being HIV positive, still active in the fight against many injustices? Were you unable to comment on the vultures that write whatever sells regardless of the casualties instead of paragraphs and paragraphs of unemotional comments on her disease and the embarrassing aspects of it? I’m afraid you are no better than the journalists who ripped her flesh in public.

Dani

Anonymous said...

Now, this is in reference to the most inappropriate contribution by a guy who goes by the name “Kithuku” (Mr., I suppose)He is probably just someone who prides himself withy faintly knowing Amina and therefore claims the right to reveal confidential information about her private life. This is what he wrote onto this “Swahili Time” website – after several people were expressing their feelings about Amina’s death and speculating about the cause of her death. The italics and bold letters are all mine, and I’m publishing this so that Kithuku hears how incredibly unreasoning he/she is:

He wrote:

“It is so sad kwamba Amina amefariki wakati huu. It is such an unlucky coincidence (how sure are you that this is a coincidence? It seems you have read the police report! Have you investigated this?). Ukweli ni kwamba Amina amekufa kwa ugonjwa wa kawaida unaoua watu wengi (Now, you are starting your story in a dramatic way so as to capture the attention of your listeners. Do you know what they call that? Gossip!! (UMBEA!). This is not a movie! This is someone who lost her life!!! So why are you turning it into a sensation?), lakini haikutarajiwa hata kidogo kwamba angekufa mapema namna hiyo (so when did you expect her to die, mtaalamu Doctor/God?). Watu wameishi na ugonjwa kama huo miaka mingi tu. Kinachotutia mashaka ni jinsi alivyoporomoka haraka kiasi hicho (acha unafiki). Amina alianza kutumia ARVs early last year, na wapo wengine (wakiwamo wabunge) walioanza dawa hizo miaka hadi mitano kabla yake, na hali zao ni nzuri sana tu (now who authorized you to disclose this information? Did Amina? Did her parents, her closest friends? Her ex-husband’s closest friends? Even if you should be one of her closest friends [judging from the detailed information you are giving us, that is what you seem to be!], then why are you exposing your friend’s secrets without any inhibition – things which she never told the public about? Couldn’t you wait until someone more qualified discloses this information?).

Pengine mgogoro katika ndoa yake umechangia kumpunguzia stability aliyokuwa nayo. (now why don’t you stick to Swahili, but instead throw this English term, you wanna-be-intellectual? Man, you are WRITING! You have all the time in the world to think of the Swahili word for ‘stability’! I know people like you who all they care about is how smart they sound and appear to others, while they couldn’t care less about what they’re actually saying! Unfortunately, there are way too many Tanzanian journalists like that). Mwanzoni mwa mwaka huu alikatisha dozi na kuanza kutumia zile zinazoitwa GNLD. Hata hivyo, hali yake haikuwa mbaya. Yeye si wa kwanza kukatisha dozi, na haikutarajiwa kumletea athari za haraka hivyo (you really enjoy talking like a doctor. Knowing all the statistics of ARV drug defaulters, don’t you?). Lakini miezi kama 4 iliyopita alianza kuonesha dalili fulani mbaya (ni minne, are you sure siyo mitano?). Alinyofoka nywele kichwani ikabidi awe anafunga kilemba au kuvaa wigi muda wote. Hata alipopelekwa Lugalo majuzi alikuwa amenyolewa upara kabisa baada ya kuona zimebaki nywele kiduchu za maudhi (how come I don’t hear any words expressing how sorry you feel about the pain and humiliation Amina felt!

You are not writing about her feelings, because you don’t know them, and you don’t care to know! And that leaves you completely unqualified to even comment on anything private about her. If you really know her well enough to disclose all this information to us, then you would not have forsaken this opportunity to comment on the cruel and scandalous badmouthing the Tanzanian media have subjected her to!) Habari ya ugonjwa wake ni siri iliyotunzwa vizuri sana na familia (kama ni hivyo, ni kitu gani kinachokupa haki ya kutoboa hiyo siri. Kuna sababu , mnafiki, wewe?) (hasa baba yake, lakini hata na Mpakanjia ambaye pia ni mgonjwa) (na wewe mwenyewe je?), lakini haya matatizo yake yamezidi kuonekana makubwa hasa alipoingilia anga za wazungu wa unga, na pale alipotaka kugombea uenyekiti wa taifa wa UVCCM. Wakaamua kumwandama sana, na nadhani (kama unamjua, usingesema unadhani, ungeongea kwa uhakika!) hii imechangia kuharakisha progression (see point above. What’s so hard about saying ‘kuzorota kwa hali yake’? Even I, to whom Swahili is my 3rd language can come up with that word!) ya ugonjwa, au who knows (you’re acting British now, huh? Don’t you realise that you are FULL of yourself?), pengine ameongezewa "kombora" almaarufu "kipapai" (now, what makes you use humorous language in an issue of such tragedy?). Binafsi namsifu sana kwa ujasiri wake na commitment to achievement (Get out of here! Humsifu hata kidogo! Unajisifu mwenyewe kwa sababu UNAJUA!). Ingawa hakuwahi kuweka wazi hali yake (ya kuwa mwathirika) hadharani, aliyapenda na kuyathamini maisha (Now don’t even act like you know what “to value life” means!), na alithibitisha kwamba alikuwa na uwezo wa kufanya mengi (what do you know about ‘kufanya mengi’? You have no imagination what ‘kufanya mengi is’ because you have never done mengi, so stop talking as if you know! You just want to sound important as though you are in a position to give appraisal or critique). Nadhani kama hayakumkuta haya ya kuandamwa na kashfa, bado angeweza kuwa na madaraka makubwa (usijifanye kama unamtakia heri! Kifo chake kwako hakimaanishi kitu. Unangojea kifo kifuatacho cha mtu mmaarufu ili upate tena fursa ya kuongea na kuonekana bila ya kujali, siyo zaidi! I’m sure hukuwa unamwaza mpaka ukafungua hii website leo hii na kuona jinsi gani ninavyokuzomea!) na kuitumikia nchi yetu kwa miaka mingi ijayo. Nadhani mazingira aliyokumbana nayo yamechangia zaidi katika kifo chake kuliko ugonjwa aliokuwa nao (of course mazingira aliyokumbana nayo yamechangia zaidi katika kifo chake kuliko ugonjwa aliokuwa nao. Why are you telling us the obvious?), kwani wako wengi tu wengine mawaziri ambao wamekuwa wakipata tiba ya ugonjwa huohuo kwa muda ambao ni sawa na nusu ya umri wote wa Amina, na you can't even suspect them (wewe unajua wangapi? Wamekuzoea kiasi gani mpaka wakuambie?).

His account continues for a little while, but I find it unnecessary to paste this here! The amount of self importance you (he must be a man) is displaying is the kind of publicity that broke Amina’s heart. Don’t you know, ‘love does not get puffed up [1 Wakorintho 13:4], but you think of yourself more than what is necessary! Is it really so important that we hear from YOU what was up with Amina? I believe that it is the same spirit of maliciously talking about other people’s issues which we don’t even know about, and which don’t at all concern us that caused Amina’s death! It is not far-fetched to say that it was the MEDIA that killed her! At least they robbed her of her joy in life because though she was only 27 years old and more alive than at any other time in a human being’s life, she was already condemned to death by the people who foolishly believe that everything that’s on the papers is real!)”

Why do I see no comment on the injustice that she was exposed to? Were you unable to comment on the audacious way in which the media destroyed the public image of a woman who was, though being HIV positive, still active in the fight against many injustices? Were you unable to comment on the vultures that write whatever sells regardless of the casualties instead of paragraphs and paragraphs of unemotional comments on her disease and the embarrassing aspects of it? I’m afraid you are no better than the journalists who ripped her flesh in public.

Dani

Anonymous said...

Now, I'd like to comment on what a certain Ki this is what one Tanzanian guy who goes by the name “Kithugu” (probably someone who has once seen Amina with his own eyes and therefore claims the right to reveal confidential information about her private life) wrote onto the “Swahili Time” website – an online site which functions pretty much like an open chat room in which people can openly voice their opinions. He wrote this after several people were expressing their feelings about Amina’s death and speculating (guessing) about the cause of her death. The italics and bold letters are all mine, and I’m seriously considering to publish this so that this fool hears how incredibly unreasoning he is:

He wrote:

“It is so sad kwamba Amina amefariki wakati huu. It is such an unlucky coincidence (how sure are you that this is a coincidence? It seems you have read the police report! Have you investigated this?). Ukweli ni kwamba Amina amekufa kwa ugonjwa wa kawaida unaoua watu wengi (Now, you are starting your story in a dramatic way so as to capture the attention of your listeners. Do you know what they call that? Gossip!! (UMBEA!). This is not a movie! This is someone who lost her life!!! So why are you turning it into a sensation?), lakini haikutarajiwa hata kidogo kwamba angekufa mapema namna hiyo (so when did you expect her to die, mtaalamu Doctor/God?). Watu wameishi na ugonjwa kama huo miaka mingi tu. Kinachotutia mashaka ni jinsi alivyoporomoka haraka kiasi hicho (acha unafiki). Amina alianza kutumia ARVs early last year, na wapo wengine (wakiwamo wabunge) walioanza dawa hizo miaka hadi mitano kabla yake, na hali zao ni nzuri sana tu (now who authorized you to disclose this information? Did Amina? Did her parents, her closest friends? Her ex-husband’s closest friends? Even if you should be one of her closest friends [judging from the detailed information you are giving us, that is what you seem to be!], then why are you exposing your friend’s secrets without any inhibition – things which she never told the public about? Couldn’t you wait until someone more qualified discloses this information?).

Pengine mgogoro katika ndoa yake umechangia kumpunguzia stability aliyokuwa nayo. (now why don’t you stick to Swahili, but instead throw this English term, you wanna-be-intellectual? Man, you are WRITING! You have all the time in the world to think of the Swahili word for ‘stability’! I know people like you who all they care about is how smart they sound and appear to others, while they couldn’t care less about what they’re actually saying! Unfortunately, there are way too many Tanzanian journalists like that). Mwanzoni mwa mwaka huu alikatisha dozi na kuanza kutumia zile zinazoitwa GNLD. Hata hivyo, hali yake haikuwa mbaya. Yeye si wa kwanza kukatisha dozi, na haikutarajiwa kumletea athari za haraka hivyo (you really enjoy talking like a doctor. Knowing all the statistics of ARV drug defaulters, don’t you?). Lakini miezi kama 4 iliyopita alianza kuonesha dalili fulani mbaya (ni minne, are you sure siyo mitano?). Alinyofoka nywele kichwani ikabidi awe anafunga kilemba au kuvaa wigi muda wote. Hata alipopelekwa Lugalo majuzi alikuwa amenyolewa upara kabisa baada ya kuona zimebaki nywele kiduchu za maudhi (how come I don’t hear any words expressing how sorry you feel about the pain and humiliation Amina felt!

You are not writing about her feelings, because you don’t know them, and you don’t care to know! And that leaves you completely unqualified to even comment on anything private about her. If you really know her well enough to disclose all this information to us, then you would not have forsaken this opportunity to comment on the cruel and scandalous badmouthing the Tanzanian media have subjected her to!) Habari ya ugonjwa wake ni siri iliyotunzwa vizuri sana na familia (kama ni hivyo, ni kitu gani kinachokupa haki ya kutoboa hiyo siri. Kuna sababu , mnafiki, wewe?) (hasa baba yake, lakini hata na Mpakanjia ambaye pia ni mgonjwa) (na wewe mwenyewe je?), lakini haya matatizo yake yamezidi kuonekana makubwa hasa alipoingilia anga za wazungu wa unga, na pale alipotaka kugombea uenyekiti wa taifa wa UVCCM. Wakaamua kumwandama sana, na nadhani (kama unamjua, usingesema unadhani, ungeongea kwa uhakika!) hii imechangia kuharakisha progression (see point above. What’s so hard about saying ‘kuzorota kwa hali yake’? Even I, to whom Swahili is my 3rd language can come up with that word!) ya ugonjwa, au who knows (you’re acting British now, huh? Don’t you realise that you are FULL of yourself?), pengine ameongezewa "kombora" almaarufu "kipapai" (now, what makes you use humorous language in an issue of such tragedy?). Binafsi namsifu sana kwa ujasiri wake na commitment to achievement (Get out of here! Humsifu hata kidogo! Unajisifu mwenyewe kwa sababu UNAJUA!). Ingawa hakuwahi kuweka wazi hali yake (ya kuwa mwathirika) hadharani, aliyapenda na kuyathamini maisha (Now don’t even act like you know what “to value life” means!), na alithibitisha kwamba alikuwa na uwezo wa kufanya mengi (what do you know about ‘kufanya mengi’? You have no imagination what ‘kufanya mengi is’ because you have never done mengi, so stop talking as if you know! You just want to sound important as though you are in a position to give appraisal or critique). Nadhani kama hayakumkuta haya ya kuandamwa na kashfa, bado angeweza kuwa na madaraka makubwa (usijifanye kama unamtakia heri! Kifo chake kwako hakimaanishi kitu. Unangojea kifo kifuatacho cha mtu mmaarufu ili upate tena fursa ya kuongea na kuonekana bila ya kujali, siyo zaidi! I’m sure hukuwa unamwaza mpaka ukafungua hii website leo hii na kuona jinsi gani ninavyokuzomea!) na kuitumikia nchi yetu kwa miaka mingi ijayo. Nadhani mazingira aliyokumbana nayo yamechangia zaidi katika kifo chake kuliko ugonjwa aliokuwa nao (of course mazingira aliyokumbana nayo yamechangia zaidi katika kifo chake kuliko ugonjwa aliokuwa nao. Why are you telling us the obvious?), kwani wako wengi tu wengine mawaziri ambao wamekuwa wakipata tiba ya ugonjwa huohuo kwa muda ambao ni sawa na nusu ya umri wote wa Amina, na you can't even suspect them (wewe unajua wangapi? Wamekuzoea kiasi gani mpaka wakuambie?).

His account continues for a little while, but I find it unnecessary to paste this here! The amount of self importance you (he must be a man) is displaying is the kind of publicity that broke Amina’s heart. Don’t you know, ‘love does not get puffed up [1 Wakorintho 13:4], but you think of yourself more than what is necessary! Is it really so important that we hear from YOU what was up with Amina? I believe that it is the same spirit of maliciously talking about other people’s issues which we don’t even know about, and which don’t at all concern us that caused Amina’s death! It is not far-fetched to say that it was the MEDIA that killed her! At least they robbed her of her joy in life because though she was only 27 years old and more alive than at any other time in a human being’s life, she was already condemned to death by the people who foolishly believe that everything that’s on the papers is real!)”

Why do I see no comment on the injustice that she was exposed to? Were you unable to comment on the audacious way in which the media destroyed the public image of a woman who was, though being HIV positive, still active in the fight against many injustices? Were you unable to comment on the vultures that write whatever sells regardless of the casualties instead of paragraphs and paragraphs of unemotional comments on her disease and the embarrassing aspects of it? I’m afraid you are no better than the journalists who ripped her flesh in public.

Dani

Anonymous said...

Dani,
kiboko.
I salute you.

Umesema yote.

Mungu ibariki Tanzania na watu wake - labda niongezee watu wake wale wenye mapenzi mema juu ya binadamu wenzao!!

Unknown said...

Dani point, Kithugu sijui ki nani vile alinikera siku lala usiku baada ya kusoma alivyo changia, wakati watu tunauchungu anatonesha tena kidonda. Please for heaven sake let the young, courage lady to rest in peace!!! kwanza kwa sisi wote including Kithugu hujafa hujaumbika

Waridi

Anonymous said...

Mungu akulaze mahali pema peponi amnina.sisi tulikupenda ila mungu alikupenda zaidi.ni kwa mda mchache umeonyesha watanzania msaada,upendo,harakati za kulikomboa taifa.amnia watu wengi hawakukuelewa,wewe ni mtu wa aina gani?walitegemea magazeti kuwaeleza wewe ni nani?ningetamani wengi wangekujua wewe ni nanani jamani?umekufa bado hawajakujua.mtu ambaye watu wanajifanya kuona dhambi zake na kusahau yao wanayoyafanya gizani maovu zaidi ya yako ,wamepotoka."tukisema hatuna dhambi tunajidanganya wenyewe".kithuku nakuombea mungu akupe moyo wa kuisamehe nafsi yako,roho ya msamaha,uwezo wa kumjua mungu,maana ni katika kumjua mungu hata sikumoja hatuwezi kuhukumu,sisi watanzania wote ni ndugu,ukimwi ni ugonjwa ka ugonjwa mwingine,nimesikitika kusoma salamu zako za rambi rambi,ulikuwa unasubiri afe ili useme?hayo nayaita majungu hayafai wala hayapendezi.ungekuwa si mnafki ungemface amina umwambie kabla hajafa.nawapa pole watanzania wote,mungu awape imani myapokee yote kwa imani.bwana ametoa.bwana ametwaa,jina la bwana lihimidiwe.amen.

Anonymous said...

KITHUKU?????
ARE U REALLY A HUMAN BEING.
HOW DID U GET THE COURAGE TO SAY ALL THAT ABOUT AMINA,JE UMEPIMA,UKIANDIKWA HIVYO UTAONA SAWA.WHATEVER THE CASE EVEN IF ITS TRUE DID U HAVE THE RIGHT TO SAY SO.
R.I.P MREMBO AMINA
PAPARAZI WAMEKUONDOA MWANANGU KAMA PRINCESS DIANA.

Ipyana Mwakamela said...

Namfahamu Mh. Amina Chifupa tangu akiwa mwanafunzi wa Makongo Sekondari na hasa alipoanza kutangaza na kituo maarufu cha redio cha Clouds. Lakini hasa nilimfahamu sana Mh. Amina Chifupa wakati nikisoma naye chuo cha uandishi wa Habari cha ROYAL ambacho sasa kinajulikana kama ROYAL COLLEGE OF TANZANIA ambapo tulikuwa darasa moja na mimi kuwa kiongozi wake.

Kwa kifupi kabisa naweza kusema kwamba, kuingia bungeni kwa Mh.Amina Chifupa kuliendelea kunipa mwanga wa ni aina gani ya mtu Amina ameamua kuwa. Alionyesha ujasiri mkubwa katika umri mdogo na hasa alipolivalia njuga suala la Madawa ya kulevya.

Hamasa kubwa alioionyesha kwa vijana sina shaka kwamba ametuachia mtihani mkubwa wa kumuenzi hasa katika mtiririko wa shughuli ambazo alikuwa amejipangia kuzitekeleza kwa niaba ya vijana kama muwakilishi jasiri, aliyedhamiria, mwenye moyo wa machungu ya dhati na asiye woga kujua hatima ya kinachomkera.

Taifa la Tanzania limepoteza mrithi wa jamii, Vijana wamepoteza nguzo na chachu ya hamasa, Wazazi wamepoteza mlezi na mrithi lakini kubwa zaidi umma umepoteza mwelekeo na mtazamo sawia.

Serikali yetu inayo kazi kubwa ya kumuenzi Mh. Amina Chifupa na pengine haitasaidia kumuenzi kwa kumuandika kwenye vitabu, kumjengea mnara na mambo kama hayo.......Serikali imuenzi amina katika vita aliyoianzisha dhidi ya udhalimu wa madawa ya kulevya ambacho ndicho chanzo cha kuwa na vijana mazezeta.....Mh. Amina alikereka sana na uharibifu usio huruma dhidi ya vijana.

Nawapongeza radio Clouds ambayo Mh. Amina aliitumikia kabla ya majukumu ya kitaifa kwa kumuenzi kwa maombolezo kiofisi lakini huu uwe mwanzo tu, hakika akina Masoud Kipanya, Gadner Habash, Joseph Kusaga, Luge Mutahaba na timu nzima ya redio hiyo itafanya kitu kikubwa sana ambacho kitabakia kumbukumbu ya kudumu juu ya Amina Chifupa.


"Hakika Mwanadamu atakufa na hakika ikifika haipingiki" Hukumu ya kiini hasa cha kifo cha Mh. Amina tumuachie Mweny-enzi Mungu mwenye haki juu ya vyote vilivyomo.

MUNGU AILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA AMINA CHIFUPA.



Ipyana Mwakamela

Anonymous said...

we loved you Amina,but God Loved you more,may God rest your soul in peace
Matilda

Anonymous said...

nimesoma maoni ya wengi kuhusu habari za kifo cha marehemu amina kwa maoni yangu tuu (please dont get me wrong ) naona kumekuwa na kupiganan vijembe kwa namana moja au nyingine ,kupingana,kugombana na kutishana hasa baina ya wale wanaoona kwamba ni vema mtu mashuhuri wa kariba ya marehemu akifa basi sababa za kifo chake ziwekwe wazi ktk hali halisi wakihope kwamba sababu hizo bila kujali unyeti,aibu au uzito unaoendana nazo kwamba zitaathili mwenendo wa maisha ya wale walosalia (hai) kwa namna moja au nyingine
Halafu kuna wale wanoona kwamba si vema hasa wakati huu wa msiba hasa wa mtu wa kariba ya marehemu amina kujadili au kuchokonyoa sababu za kifo chake wakiamini kwamba huenda hazina manufaa (athali)yoyote kwa walo hai na kwamba si maadili mema kutoa sababu za kifo (usiri wa kifo wa sababu za kifo ni haki ya wahusika ziheshimiwe kama zingine )
pia mtafaruku kati ya wale wanaoona kwamba huu ni wakati (according to them)wa kuyaanika hadharani mabaya yoote na mema yoote ya marehemu kwa sbabu wanzaozijua wao,wakiamini kwamba ni unafiki, marehemu hastaili tuu sifa nzuri na japo alipokuwa hai alikuwa na ubaya mwingi tuu kama vile uzuri pia
na pia kuna wale wanoona kwamba huu si wakati muafaka wa kutoa ubaya wake ingawa uzri wake wanukubali kwani si maadili mema kipindi kama hiki .na tena mabaya yake hayanufaishi au hayana athali kwa walo hai kwa upande mwingine ukisoma maoni kadhaa utaona kwamba wankinzana kwa ujumla na suala la watu au vyombo vya habari kuweka wazi habari za mtu mashuhuri hasa zile za ndani,za matatizo ,za kuaibisha bila kujali kama yu hai au ameshakufa
kwa hiyo hapa kuna shida hapa na nafikiri kwa maoni yangu ni vema huku tukioboleza kifo cha huyo marehemu si vibaya pia tuki tambua rasmi ( kwamba migongano hii ya kimawazo au kimaadili hasa wakati wa kifo cha mtu mashuhuri kwenye jamii yetu inashiria tuna shida labda tukibali na tulichungue kadiri inavyohitajika na tukiaona kwamba lina athali nzuri kwetu sisi tulosalia tulo hai basi tufanya uamuzi unaotakikana
poleni wafiwa
may god give strength,protection and most important confort ya kweli kwa ndugu na jamaa wa marehemu
hiki ni kpindi kigumu
Ecc.9:5
Psalm 146:4
pia tukukumbuke watanzania wenzangu kwamba mungu anatoa confort ya kweli kwa wana wa adam hivyo tumwombe ili ile familia ya mzee wetu chifuapa ipate faraja hiki jamani ni kipindi kigumu mno
pia tukumbuke ya kwamba tukifa tunarudi kuwa vumbi tuu Genesis.3:19
kifo ni adui yetu hivyo tuombe mungu atupe strength kwenye mapambano haya Rom.5:12
amen

Anonymous said...

mtu anapokufa akiwa mdogo hivi na pia kama ni mbunge wetu tuna haki ya kujua nini kimemuua. hayo magonjwa ya kisukari na malaria huwa yanaua lakini kunakuwa na ka-uzembe, upande wa madaktari.
Kama ni ukimwi, basi nalo lieleweke, lakini haikubaliki kabisa binti mdogo kama Amina kufa na sisi kukaa kimya na kusema kuwa ni "mapenzi ya mungu". Kuna umuhimu wa kujua kama hiki kifo kingezuiliwa au ndio ilikuwa gonjwa lililoshindikana.

Nishiza said...

Dani, you said it all. We need to put ourselves in Amina's situation. She was feeling horrible because everyday, she was on the front pages. Kila kikao ambacho familia ingekaa kusuluhisha mgogoro katika ndoa yao lazima kesho yake kiko magazetini. Akivaa kilemba kaandikwa, akipanda taxi kaandikwa, akisimama pharmacy kaandikwa, I mean, this was so unfair. MEDIA killed her psychologically because there was NOTHING, NOTHING AT ALL she could have done without being published. The saddest thing of all is, all they wrote about was her BAD SIDE. What about her good side??? Didnt they have anything good about her to write so it could incourage her in times when she needed incouragement the most after loosing her husband??? Gazeti jingine lilimuandika kama hadithi, mwisho wa page wanaandika "itaendelea wiki ijayo"!!!!! They are so heartless, senseless and insensitive. Now, the funny thing is, right now they are writing GOOD THINGS about her, I mean what on earth is wrong with these MEDIA people???? Who wants to know the good things about a dead woman while when she was alive mliyafunika yote??? Are they trying to show sympathy about someone who gave them a lot of money for publishing her privacy all over the country?? Anyway, she is gone and there is nothing we can do about it except thinking about our own lives especially Kithuku, stop writing about HIV Aids in Amina because you, yourself havent checked.

Anonymous said...

eebwana hapao umesema kweli sasababu za kifo ni za msingi kwa umma kwa manufaa ya jamii
kitu kimoja napainga watu wanakimbilia kusema ni mapenzi ya mungu
ni mungu gani huyo anayetimiza mapenzi yake kwa mwandamu kwa kuua wandamu an kuwaumiza kuwapa mjonzi wanandugu na jamii yake
ni nini mapenzi ya mungu kwa mwnadamu ?
mapenzi ya mungu ni
KULETA ,KUUMBA au KUWAPA MAISHA wanadamu
KUWALINDA
KUWAONGOZA,
KUWAFARIJI
KUWAPA nguvu
mapenzi ya shetani
kwa mwandamu ni uharibifu na mabaya yoote na mwisho anahitimisha na KIFO kwa mwanadamu

Chemi Che-Mponda said...

nishiza,

I agree on that the PAPPAZZI culture could have kiiled her. Seriously, tell me the TZ media wasn't licking its chops after Amina was divorced just waiting for a photo of her, maybe crying or something. Sick indeed. And sure people would have been rejoicing at such a photo. Now she is dead we hear the same people who criticized her saying what a wonderful person she was. I hope she is looking down from heaven at the comments and outpouring of sympathy over her death.

Yes, the media created Amina Chifupa, but do we really know who the real Amina Chifupa was. To me she sounded like a very ambitious young woman who knew what she wanted in her life.

May she rest in peace.

Anonymous said...

chemi umesema ukweli watanzania bwana tuna hiyo shida sana tu unafiki.....hivi sasa wansema mazuri tuu ya marehemu hali watu hao wao walikuwa wakimkosoa negatively na kumpaka matope ya kila aina before
kuhusu media che mponda we all need to realise kwamba media sas hivi imedialika all over the world niambie nchi gani yenye media yenye kufuta kanuni na maadili ya kimedia
hivi sasa kwa maoni yangu inaongozwa na demand (sales tuu na ratings )vinginevyo utakosa kazi wewe kama mwanahabari
sisi wanunuzi wahabri ndio tunadrive media kutupatia kile tunachokipenda zaidi na wao wanfanya kazi yao
kifo cha amina media imecapitalise kwa nguvu na staili za kila aina
inasikitisha lakini ndio reality sisi tukibadilika media itabadilika haya ni maoni yangu
wafiwa wote ploni

Anonymous said...

Nimefuatilia maoni ya wengi hapa ndani naelekea kuwa na mawazo kwamba Dani, Nishiza na Chemi mnaelekea kuvielemea vyombo vya habari kana kwamba ndivyo vimesababisha kifo cha mrembo huyu. Tukumbuke kuwa vyombo hivyo ndivyo vilimfanya maarufu na kujulikana. Vyombo vya habari ni msumeno vinakata mbele na nyuma na marehemu kama mwanahabari alilijua hilo. Ukijulikana sana, kawaida ya binadamu wanaacha kuangalia mazuri yako ila watatafuta upande ule ambao hupendi watu wajue na kuuanika wazi. Kila mtu anayo mapungufu na hayo ndiyo watu wanapenda kuyajua kuhusu marehemu maana wengi walijua mazuri tu.. ndivyo mwanadamu alivyo na si umbea. Huyu mtu anaitwa Kithuku kasaidia sana kwa kuandika habari za marehemu kuwa muathirika. Imepanua wigo juu ya sababu za kifo kulikoni mambo ya kulogwa,kupewa sumu,kusomewa misahafu nk. Nomba tusiwe wepesi kuhukumu. Tutasikia mengi wakati huu wa musiba maana baada ya hapo maisha lazima yaendelee na si punde wengi hawatafikiria kama alikuwepo mbunge anaitwa Amina Chifupa.

Anonymous said...

Mimi nadhani tatizo hapa ni mila za kiafrika , mara mtu anapokufa tunaogopa kabisa kuzungumzia mapungufu yake . Tunamkumbuka kwa mazuri tuu !Sio jambo baya kufanya hivyo ila ni lazima tuangalie vitu katika three Dimension.

Mkubali , msikubali marehemu alikuwa ana mapungufu yake na hakuwa malaika kama watu wengi mnavyotaka kupotray. Kama alivyosema mjumbe hapo juu ni vyombo hivi ndio vilivyomjenga na pia kummaliza ! Lakini marehemu pia alikuwa anapenda attention ...simahanishi kwamba ni jambo baya ila najaribu kuonyesha upande mwingine wa shilingi.

Ngoja msiba upite ili tuchambue hii ishu kiundani !

Unknown said...

Anon hapo chini na wengine, yameisha jamani eti msiba uiishe mchambue, mchambue nini it is enough! Huyo dada kazungumziwa sana wakati wa uhai wake kesha enda zake mnataka endelea kuchambua nini? maisha yake private haya husu mtu sisi wote tuna private life zetu. Haya basi tuchambue yetu pia sisi wote patatosha kweli hapa? kila mtu ana ubaya na uzuri wake at least yeye kuna mengi mazuri kafanya kwa taifa na nie kina anon mnaotaka endelea kumsema mmefanya nini kwa taifa? Kawaachia dunia yenu, mwacheni alale salama peponi!

HAKUNA MUNGU HAPA SISI WOTE BINADAMU HAKUNA ALIYE BORA KULIKO MWINGINE! HUJAFA HUJAUMBIKA!!!

Anonymous said...

Jamani mi nadhani ni muda muafaka wa kuicha familia ya marehemu iamue kama inataka kufuatilia sababu ya kifo au vipi? Baba yake alishasema kwamba hahitaji kumjua mchawi wa Amini sasa sisi inatuhusu nini? Suala la kuwa muathirika hiyo ni siri yake kwani hakuna sheria inayomlazimisha mtu kutangaza au mnadhani ni kazi rahisi kusema una virus ilhali ni mheshimiwa? Hata hivyo asilimia kubwa ya watu ni waathirika naomba tumuache amina amekufa kwasababu siku zake zimetimia na kila mtu anasiku yake. Ikifika hata bila sababu ukiwa tu usingizini unakufa.

Amina, MUNGU alimleta duniani atuonyeshe vijana wa kike kwamba tunaweza na kikubwa tunachokosa ni kujiamini, kusema na kufanya kile tunachoamini. Amina alijiamini alikua zaidi ya Mwanamke. Nakumbuka wiki moja kabla ya talaka alihojiwa na Gadner kwenye kipindi cha jahazi. Akaongelea kuhusu msimamo wake katika ndoa yake na pia kisiasa ndoto zake ilikua akitaka siku moja awe Rais wa kwanza TZ mwanamke na kama ukimsikiliza vizuri lazima ungekubali kwamba kweli kama Mungu angempa muda zaidi angetimiza ndoto zake. Pia alisema angelinda ndoa yake kwa gharama yoyote ile kwani anampenda Mume wake kuliko kitu chochote na Mumewe amekua akimpa sapoti katika kila analolifanya. Magazeti yalimsakama na kumkatisha tamaa na ikafika wakati mpaka mmiliki mmoja wa gazeti akatoa makala ya kumponda ila kwa vile alikua na nyota inayong'aa na kila wakimwandika waliuza magazeti. Na kwake siku hazikuganda kwani alisonga mbele.

Baadae nikasikia kwamba huyo mmiliki alimtaka na akatolewa nje pia alikua akimnadi mwanamziki mwingine wa kanda ya ziwa ambae alitaka kuwakilisha vijana bungeni, na pia huyo mwanamziki alikua na bifu na Amina. Nashangaa,mwanamziki mwenyewe amezaa na mume wa mtu ambae alikua kamanda wa polisi mkoa mmoja ambao pia upo kanda ya ziwa je huyu ndie angefaa kuliko Marehemu na mbona huyu mmiliki anaesema kuwa anakosoa tabia za watu maarufu hilo hajaliandika ilhali aliju?

AMINA MUNGU AKUWEKE MAHALI PEMA PEPONI ULIKUA TAA KATIKA JAMII.

Anonymous said...

JAMANI LADY JAY DEE ALISEMA wamemsema na sasa amechoka kwani wanatunga stori zisizo na ukweli na pia hawajali maumivu wanayoyasababisha kwa mhusika na pia mazuri hawayaandiki. Mnadhani mtu mpaka akae atunge wimbo amechoshwa kiasi gani? Sinta nae alitaka kujiua kwa sababu ya magazeti jamani!!!!. Imani yangu inanituma kwamba hata kama Amina amekufa kwa ugonjwa gani lakini ugonjwa huo umechangiwa na Magazeti, yalimwandika vibaya sana kwani kuachika sio yeye wa kwanza na hatakua wa mwisho esp kwa ndoa za kiislam. Na ilifika wakati wakawa wanasema ndoa yake haitadumu wakiilinganisha na ya Monalisa ambae nae alishaachika mda mrefu na alitoa sababu kwa ridhaa yake kwenye gazeti la bang. Lakini sababu za kuachika zinabaki kwa wahusika ila yeye alianikwa hadharani kila kitu.

Kama mnawageza The sun na kuwaandika kina Paris na Wengine kumbukeni hapa ni Tanzania hayo mambo hayajazoeleka. na pia wenzenu mazuri pia wanaandika.

Anonymous said...

Nimegundua kitu kimoja watu wengi wanaandika message hapa wakisukumwa na emotions ! Jamani huwezi kusema kwa kuwa familia imeamua kusiwe na uchanguzi basi watu tukae kimya ? Jamani alikuwa public figure " mbunge " kwa hiyo wana kila sababu ya kujua ni nini kilimuua mbunge wao .

Hili jambo halijaanza leo hata kipindi cha kifo cha ipi malecela nilishtushwa sana pale familia iliposema haitafanya uchunguzi .., mimi nadhani suala la kufanya uchunguzi lisiwe suala la familia bali la polisi.Hivi itakuwaje kuna mtu au kikundi cha watu ndio kilimuua Amina huoni ya kuwa wanaweza kufanya hivyo tena kwa mtu mwingine(hypothetical assumption)

Pili suala la yeye kuandikwa kwenye magazeti kiasi fulani yeye mwenyewe aliplay part , kama mtu unazungumzia maisha ya familia yako kwenye radio then what do you expect ? Pili ukiwa mbunge mdogo mwenye miaka 25 lazima watu watakuzungumzia whether kwa mazuri au kwa mabaya . That is a price you pay for being a public figure period. Mind you sio jambo baya kusemwa.

Anonymous said...

Jamani hiyo ni mbaya sana na inasikitisha,mimi nilikuwa namsikia tu huyo binti,hivi jina lake la mwisho ni la ndoa au?maana kafanana sana na dada mmoja Amina wa michigan Ughaibuni

Chemi Che-Mponda said...

Natoa shukrani kwa wote waliochangia maoni yao.

Kitu ambacho sipendi kusikia Tanzania mtu akifa ni "OH, hata ukifanya uchunguzi jamaa hatarudi!" Hapa USA nakuambia watu hawaridhiki, wanataka hiyo autopsy na majibu. Na wanakodi hata private pathologists. Na kama daktari alizembea kwenye tiba na kuchangia kifo mgonjwa mbona atakoma. Malpractice suits. Pia hapa USA, daktari/nesi asithubutu kutoa siri ya mgonjwa atavuliwa leseni na atapatwa na lawsuits kibao.

Lakini kama alikuwa na ugonjwa wa aina yeyote inawezekana kabisa kuwa unyonge wa kuachika na mume, na kuandikwa kwenye magazeti ulisababisha umchukue haraka kuliko kawaida (accelerated).

Ukweli, Amina Chifupa alikuwa ni celebrity. Na tunavyojua ukiwa ni celebrity yatasemwa uwongo na ukweli juu yako.

Amina Chifupa ametutoka na kifo chake kimenigusa hasa. Yaani bila kuona picha sidhani hata kama ningeamini.

Mola amlaze mahali pema peponi. AMIN.

mumomutinda said...

Nani hajui? hiyo ni mko ya mtu imemumaliza

Anonymous said...

"Those who do know don't say, and those who don't know say"
Magadogian.

Anonymous said...

What type of a human beings do we have in this planet!?
Kithuku! what a dirty stigma to the family and the population living with the virus? This is the most dangerous and distructive speculations I have ever heard in my life. I have to think twice before commenting on Kithuku's input. I am not afraid to say Kithuku is trying to divert attention of the public who are linking the death with sabotage by drug dons. Kithuku are you one of them?! Stop this foolish nonsense

Anonymous said...

Jamani muacheni dada wa watu apumzike kwa amani hakuna haja ya kuendelea kumuongelea cha muhimu wote tumuombee kwa mola!!!!!

Anonymous said...

Mtasema yote lakini mjue moja tu kuwa Amina kafariki. tutaonana nae siku kristo atakapokuja kuwahukumu wazima na wafu!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

Hello my fellow Tanzanians, hope you are all doing good.

To Kithuku,
What you have just explained about the whole situation of the death of Amina sounds true but somewhat vague. I would like to believe what you explained is true, but I think you need to validate your information and make it more credible. In other words, ingawa ni maoni yako, tell us why should we believe in what you are saying...


Amina will always be remembered for her contribution and dedication to our community, she had a good vision and mission towards development of community.
May her soul rest in peace, Amen.

Anonymous said...

Ndio tatizo la kuwa famous, hata ufe bado utasongwa tu!

Anonymous said...

I apologize, very sincerely.

Anonymous said...

Abnr Mark:
Amina was one of the best Parliamenterians that tirelesly contributed to the development of the country both inside the parliament and outside different from some adamant MPs who can only speak on behalf of the national Football team worst of all it was his first time to speak in the parliament since 2005.What a loss we've encounterd by Amina's death?
Imust say we're ophans today may the Lord rest her soul in Eternal Peace. AMEN. NB: Zitto take over the fight.

Anonymous said...

RIP Amina

Anonymous said...

Iwapo kama Chifupa aliuliwa mi naona Africa tutakuwa ni binadamu tuliolaaniwa. Kiongozi wa kike mwenye busara, compassion, patriotic person auwawe why? hey Africa jamani, maendeleo ya kila nchi huletwa na watu kama Amina bila wao maendeleo yetu yatazidi kuwa ndoto. ferdinand