Thursday, June 21, 2007

Mimi na Marehemu Ernest Millinga (1993)



Hapa niko na Mzee Ernest Millinga ambaye alikuwa mpiga picha mkuu wa gazeti ya serikali ya Kiingereza, Daily News.

Hapa tulikuwa kwenye 'assignment'. Tulikuwa kwenye meli fulani pale Ferry Dar. Nadhani ilikuwa kuhusu mambo ya kujenga daraja pale Ferry.

Picha ilipigwa 1993 na mpiga picha maarufu, Muhidini Issa Michuzi.

4 comments:

Anonymous said...

look at you woman, so innocent,bet then you could hardly hurt a fly

Anonymous said...

Chemi, You really got "milk"

Chemi Che-Mponda said...

Yeah, on my Daddy's side most of the women are blessed with "milk".

Chemi Che-Mponda said...

michuzijr,

Asante sana kwa maoni yako. Nilijitahidi. Story yangu kubwa ilikuwa ile ya kumwumbua Mzee Maumba.