Saturday, February 25, 2017

Wachawi Wamloga Rais Trump wa Marekani!

Usiku wa kuamkia leo,  Wachawi duniani waliungana kumloga Rais Donald J, Trump wa Marekani.  Nia yao ilikuwa wamfanyie dawa asiweze kumwumiza mtu.  Tutaona kama walikuwa na mafaniko.

Asante Rais Trump, ubaguzi unashamiri Marekani.  Wahamiaji wanajificha kwa woga, wazungu wabaguzi wanatukana na kupiga weusi na wasio wazungu ovyo. Tumerudi kwenye enzi za Jim Crow.  Weusi wakienda kwenye migahawa kadhaa wanaambiwa kwa vile Trump ni Rais, si lazima wahudumie weusi! Khaa!  Ubaguzi na utawala aliyoleta Trumo inanafana ya yule mshenzi aliyetawala Ujerumani, Adolf Hitler.

Trump ameaapa kuwa mema aliyofanya Rais Obama atafuta.  Mungu atunusuru na Trump!

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:


1 comment:

Anonymous said...

Uchawi, jamani! Uchawi never works. Having said that, Trump ni shetani kama Hitler!