Saturday, January 31, 2009

Coup D'Etat Madagascar?


Wadau, mliokuwepo miaka ya 60, 70 na 80 mnakumbuka mara kwa mara unaamka na kusikia coup imetokea nchi fulani na fulani. Na baada ya muda tena unaweza kusikia yule aliyepindua, kapinduliwa.

Leo, kuna habari kuwa huko Madadgascar aliyekuwa meya wa mji mkuu wa taifa hilo, Antananarivo, amepindua serikali na kuwa rais! Heh!


************************************************************
By JEROME DELAY
Associated Press Writer

ANTANANARIVO, Madagascar (AP) -- The mayor of Madagascar's capital said he was in charge of the country Saturday after a week of violent protests that left 43 dead but there were no indications that his claims of taking over the government were true.
There was no immediate comment from President Marc Ravalomanana, but a government news conference was expected later in the day.
Mayor Andry Rajoelina, who has grown increasingly critical of Ravalomanana and has called for him to stand down, addressed a crowd of about 4,500 people in the capital's main square.
"Until the establishment of a transitional government, it is me who gives the command," he said. "I send a call to the forces of law and order that it is me who gives the command."
Rajoelina has made similar claims in the last week, saying he is ready to take over an interim government. But the constitution requires a president be at least 40, and Rajoelina is 34.
The rally ended peacefully after some protesters threw stones at police in the morning. Police withdrew from the area and protesters set up a barricade of barrels and trash cans around the square.
Unrest began Monday when protesters set the government broadcasting complex ablaze, along with an oil depot, shopping mall and a private TV station linked to Ravalomanana.
The protests were sparked by the government's decision that day to close a radio station owned by Rajoelina. He accuses Ravalomanana's government of misspending funds and threatening democracy.
By Friday, the violence had subsided but a tense atmosphere remained on the streets of the capital.
Ravalomanana had said the government would crack down on those inciting violence, but later toned down his stance.
On Thursday, he made a conciliatory gesture and promised to put the mayor's radio station back on the air.
Western and African leaders have pressed the two men to resolve their differences.
Madagascar, off Africa's southeast coast, is known for its rare wildlife and eco-tourism -- but also for its history of political unrest and infighting. It is also one of Africa's poorest nations with more than half the population living on less than $1 per day.
Ravalomanana clashed with former President Didier Ratsiraka when both claimed the presidency after a disputed December 2001 election. After low-level fighting split the country between two governments, two capitals and two presidents, Ratsiraka fled to France in June 2002.
Ravalomanana won re-election in 2006, though two opposition candidates tried to challenge the validity of the vote.

Mdogo Wake Rais Obama Amekamatwa Kenya!

(George Obama nyumbani kwake Nairobi)

Mdogo wake Rais Barack Obama wa Marekani, George Obama, amekamatwa na polisi huko Nairobi baada ya kukutwa na sigara ya bhangi.

Hapa wazungu wanashangaa maana siku hizi kuwa na sigara moja tu ya bhangi si kosa la jinai tena!

Kama mtakumbuka wakati wa uchaguzi Republicans walimlima kweli Rais Obama kwa vile walisema modgo wake anaishi maisha ya dhiki katika eneo duni la Nairobi.

**************************************

By TOM ODULA

NAIROBI, Kenya (AP) -- Kenyan police say the half brother of President Barack Obama has been arrested for possession of marijuana.

Area police chief Joshua Omokulongolo said George Obama was picked up Saturday and was being held at the Huruma police post in the capital. Omokulongolo said officers found one joint of marijuana on him.

George Obama and the president had the same father but barely know each other.

Friday, January 30, 2009

Naakaya Sumari Apata Mkataba na Sony!

Kutoka Michuzi Blog:

An icon of contemporary Tanzanian music, Nakaaya, has been signed to Sony Music Entertainment. Among the record label’s well-known subsidiaries are Columbia Records, RCA Records and Epic records, just to mention a few.

Nakaaya, who has acquired a large following and growing fan base across the region, now makes history by being the first East African artist ever to be signed to the second largest record company in the world.

The company’s roster includes internationally-acclaimed artists such as Alicia Keys, Beyonce, Britney Spears, Celine Dion, Chris Brown, Sean Kingston and many more.

The signing took place when Nakaaya was attending the "Music’s Relevance in Third World Countries" Conference, in Copenhagen, Denmark, in late 2008. Sony Music Entertainment spotted the Tanzanian artist during an interview with "Deadline," on the prominent Danish television channel, "DR2," and immediately sought to sign her up for a recording deal.

"We are very excited by having signed Nakaaya to our company. She’s an extremely talented artist and we look forward to working with her in the future", comments Peter Groenbaek, Sony Music, on the signing.

After having burst onto the Tanzanian and East African music scene just two years ago, Nakaaya’s popularity and recognition as one of the Region’s top artists continues to grow, and her being signed by a major player in the international music business is a milestone for her career and the East African music industry as a whole. This historic signing is also a testimony to her talent and capability.

The lyrical content of Nakaaya’s music is inspired by social issues that have on-the-ground relevance to Tanzanian, East African and indeed African audiences, with a particular skew towards women and the plights of their everyday lives.
Her musical style is influenced largely by Hip Hop, R&B and some Afro flavour, and is essentially a well-rounded depiction of Bongo Flava.

Tembelea Website yake: http://www.nakaaya.com/

Republicans Wamchagua Mwenyekiti Mweusi!!!!


Naibu Gavana wa Maryland, Michael Steele, amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Chama cha taifa cha Republicans (Republican National Committee). Ni mwuesi wa kwanza katika historia ya chama hicho kuongoza chama.
Kama mnakumbuka walivyofanya mkutano mkuu wao mwezi Agosti, weusi walikuwa wachache mno huko, uliweza kuwahesabu kwenye mkono. Na weusi wengine waliokuwepo walidai kuwa walitukanwa matusi ya kibaguzi. Kipindi hicho vyombo vya habari vilihoji uhaba wa weusi katika chama cha Repbulicans na kuuliza kama Republicans ni chama cha wazungu tu.
Huenda Republicans wanadhania kuwa wakiwa na Mwenyekiti mweusi basi labda weusi watavutiwa kujiunga na chama hicho.
Lazima kuna watu hapa ambao hawana raha kutokana na kuchaguliwa kwake. Wazungu walikuwa na usemi, "A Black Man will be President when Hell Freezes Over" yaani mtu mweusi atakuwa rais kipindi motoni kunageuka barafu tupu. Basi huo barafu umeingia motoni. Obama ni rais na Steele ni mwenyekiti wa Republicans.
Lazima wabaguzi wa KKK wanalia.

*****************************************************************

Michael Steele Becomes First black RNC Chairman

WASHINGTON – The Republican National Committee has elected former Maryland Lt. Gov. Michael Steele the first black Republican National Committee chairman. Steele was the most moderate candidate in the field and was considered an outsider because he's not an RNC member. He beat back four challengers, including incumbent Mike Duncan, who was forced to withdraw from the field midway through the balloting in the face of a lack of support.


http://news.yahoo.com/s/ap/20090130/ap_on_el_ge/republicans

Maonyesho ya Nguo za Arusi - Mustafa Hassanali


Kumbukumbu ya 'Kiatu' Iraq


Rais wa zamani wa Marekani, George W. Bush, anatamba kuwa ameokoa waIraq kutoka kwenye udikteta wa Saddam Hussein. Lakini waIraq wengi wanamwona mtu mbaya ambaye kaharibu nchi yao na kusababisha vifo vya watu wengi.

Leo, kuna habari kuwa' kumbukumbu ya kiatu' imejengwa huko Tikrit Iraq tena kwenye nyumba ya yatima. Hao watoto ni yatima kwa sababu wazazi wao walikufa kutokana na vita aliyoanzisha Bush huko. Habari zinasema kuwa baadhi ya watoto yatima walisaidia katika ujenzi wa kumbukumbu huo.
Mwezi Desemba mwaka jana Raisi Bush alienda kuaga waIraq. Akiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari mmoja wao Muntadhir al-Zaidi, alimrushia rais Bush viatu vyake. Tendo la kumrushia viatu ni tusi kubwa huko Arabuni.

Kwa habari zaidi someni:




*****************************************************************************

BAGHDAD, Iraq (CNN) -- For the war-beaten orphans of the northern Iraqi city of Tikrit, this big old shoe fits.

A monument to a shoe thrown at former President Bush is unveiled at the Tikrit Orphanage complex.

A huge sculpture of the footwear hurled at President Bush in December during a trip to Iraq has been unveiled in a ceremony at the Tikrit Orphanage complex.

Assisted by children at the home, sculptor Laith al-Amiri erected a brown replica of one of the shoes hurled at Bush and Prime Minister Nuri al-Maliki by journalist Muntadhir al-Zaidi during a press conference in Baghdad.

Al-Zaidi was jailed for his actions, and a trial is pending. But his angry gesture touched a defiant nerve throughout the Arab and Muslim world. He is regarded by many people as a hero. Demonstrators in December took to the streets in the Arab world and called for his release.

The shoe monument, made of fiberglass and coated with copper, consists of the shoe and a concrete base. The entire monument is 3.5 meters (11.5 feet) high. The shoe is 2.5 meters (8.2 feet) long and 1.5 meters (4.9 feet) wide.

The orphans helped al-Amiri build the $5,000 structure -- unveiled Tuesday -- in 15 days, said Faten Abdulqader al-Naseri, the orphanage director.

"Those orphans who helped the sculptor in building this monument were the victims of Bush's war," al-Naseri said. "The shoe monument is a gift to the next generation to remember the heroic action by the journalist."

"When the next generation sees the shoe monument, they will ask their parents about it," al-Naseri said.

"Then their parents will start talking about the hero Muntadhir al-Zaidi, who threw his shoe at George W. Bush during his unannounced farewell visit."

Saddam Hussein, the former Iraqi leader toppled by the United States in 2003, was from the Tikrit region.

Al-Zaidi marked his 30th birthday in jail earlier this month. One of his brothers said he is "in good health and is being treated well."

Al-Zaidi's employer, TV network al-Baghdadia, keeps a picture of him at the top left side of the screen with a calendar showing the number of days he has spent in detention. The network has been calling for his release.

By tradition, throwing a shoe is the most insulting act in the Arab world.

Wednesday, January 28, 2009

Matondo Blog

Wapendwa wanablogu;

Kwa heshima kubwa na taadhima tele nabisha hodi tena kwenu mliotangulia. Naomba mnifungulie mlango na kunikaribisha tena. Safari hii nakuja na blogu ya kuchangamsha fikra na uchambuzi. Blogu hiyo inapatikana hapa www.matondo.blogspot.com

Natanguliza shukrani zangu kwani najua mmeshanikaribisha.

Wenu;
Dr. Masangu Matondo Nzuzullima
Chuo Kikuu cha Florida

Mauaji California

Lupoe Family
(pichani - Lupoe Kids)

Wadau, hao watoto pichani wote ni marehemu. Wameuawa na baba yao mzazi baada ya yeye kuachishawa kazi na kampuni ya Kasier Permenente, huko California. Baba mwenyewe, Ervin Lupoe kajiua baada ya kuua watoto wote watano na mke wake. Mke wake pia aliachishwa kazi na kampuni hiyo hiyo, hivyo walibaki bila kipato. Hivi jamani, watu wanaweza kuwa na roho mbaya kiasi cha kuachisha kazi mke na mume!!! Huko wanajua wana watoto watano? Na wanajua hali ilivyo ngumu Marekani kwa wenye watoto wadogo. Bora moja angeachishwa at least wangekuwa na uhakika wa kupata hela ya chakula!
Hiyo kampuni ya Kaiser inadai kuwa eti waliwaachishwa kwa vile walijaza uwongo kwenye fomu za kuomba day care kwa ajili ya mapacha yao. Hatujui waliandika nini lakini huenda waliandika kuwa wana kazi ya chini sana kusudi wapate day care ya bei nafuu. Kumweka mtoto day care hapa inaweza kuwa hela zaidi ya kumsomesha mtoto Chuo Kikuu! Lakini hiyo kampuni ina historia mbaya na watu weusi. Waliwahi kushtakiwa kwa kunyima watu weusi bima ya afya, tena mama moja alikuwa anaumwa Kansa. Walisema sema eti tiba yake ni ghali mno!

Kwa kweli hali ya maisha imekuwa ngumu kwa wengi hapa Marekani. Si mchezo yaani hali haijawa mbaya kiasi hiki tangu Great Depression ya miak ya 1930's. Yaani kila siku tunasikia watu wameachishwa kazi, na makampuni na mabenki yanakufa
.

************************************************************

Los Angeles: In suicide note, father blames layoffs for decision to kill children
January 28, 2009

LOS ANGELES (AP) — In one upstairs bedroom, the bodies of twin 2-year-old boys were found beside their dead mother. In another bedroom, 5-year-old twin girls and their 8-year-old sister lay next to their lifeless father.
Officers discovered the horrific scene after rushing to a home in Wilmington, prompted by the father’s distraught letter faxed to a TV station describing a “tragic story” and a call to authorities.

Police believe Ervin Lupoe killed his five children and his wife before turning the gun on himself. Both adults were recently fired from their hospital jobs.

“Why leave our children in someone else’s hands?” Lupoe wrote in his letter faxed to KABC-TV. The station posted the letter on its Web site with parts redacted. (Editor's note: There's a link to the letter in the column to the right)

The station called police after receiving the fax and a phone call from Lupoe, and a police dispatch center also received a call from a man who said, “I just returned home and my whole family’s been shot.” Police are unsure who the male caller was, but they suspect it was the father.

Officers rushed to the home in Wilmington, a small community between the ports of Los Angeles and Long Beach, about 8:30 a.m. Tuesday and found the bodies.

All the victims were shot in the head, some multiple times, coroner’s Assistant Chief Ed Winter said. The killings may have occurred between Monday evening and early Tuesday, based on neighbors’ accounts of firecracker sounds, he said.

Although the fax — addressed to “whom it may concern” and explaining “why we are dead” — asserted that the wife, Ana Lupoe, planned the killings of the whole family, police Lt. John Romero said Ervin Lupoe was the suspect. A revolver was found next to his body.

It was the fifth mass death of a Southern California family by murder or suicide in a year. Police urged those facing tough economic times to get help rather than resort to violence.

“Today our worst fear was realized,” said Deputy Chief Kenneth Garner. “It’s just not a solution. There’s just so many ways you find alternatives to doing something so horrific and drastic as this.”

Ervin Lupoe removed three of the children from school about a week and a half ago, saying the family was moving to Kansas, the principal told KCAL-TV. Crescent Heights Elementary School Principal Cherise Pounders-Caver said nothing seemed to be troubling Ervin Lupoe, and she did not ask why the family was moving.

Kaiser Permanente Medical Center West Los Angeles released a statement confirming Lupoe and his wife were fired as medical technicians more than a week ago. The hospital said the firings followed an internal investigation but would not specify why they lost their jobs.

The letter indicated that Lupoe and his wife — both 40 — had been investigated for misrepresenting their employment to an outside agency to obtain childcare. He claimed that an administrator told the couple on Dec. 23: “You should not even had bothered to come to work today you should have blown your brains out.”

Lupoe’s letter said the couple complained to the human resources department and eventually were offered an apology but two days later they were fired.

“They did nothing to the manager who stated such and did not attempt to assist us in the matter, knowing we have no job and five children under 8 years with no place to go. So here we are,” the note said.

At the bottom of the letter, Lupoe wrote, “Oh lord, my God, is there no hope for a widow’s son?” The phrase is frequently found in Internet discussions about the novel “The Da Vinci Code,” Freemasons and Mormonism.

Kaiser Permanente said staff was “saddened by the despair” in Lupoe’s letter “but we are confident that no one told him to take his own life or the lives of his family.”

Lupoe’s fax identified his children as Brittney, 8; 5-year-old twins Jaszmin and Jassely; and twins Benjamin and Christian, ages 2 years and 4 months. Winter confirmed the identities of the girls, but the boys’ names were pending.

To Amanda Garcia, everything seemed normal in the Lupoe house next door. Her neighbors always had a friendly wave and their five young children would play outside.

“They were happy, they had birthday parties,” the 22-year-old Garcia said as she choked back tears near her home. “The kids were always outside on bikes, riding on their wagon.”
Kwa habari zaidi someni:

http://www.mercurynews.com/ci_11569378?source=most_viewed

Makubwa Benki Kuu!

(picha ya juu kutoka Michuzi Blog)
Bank of Tanzania Personnel and Administration director Amatus Joachim Liyumba (R) and the bank`s Projects Manager, Deogratius Dawson Kweka,at the Kisutu Resident Magistrate`s Court in Dar es Salaam yesterday.


Watu wawajibike sasa huko Bongo! Hii Kali!

********************************************

Kutoka ippmedia.com

BoT Yatikiswa

2009-01-28 11:00:08
Na Richard Makore

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, jana alipandishwa kizimbani akiwa na mfanyakazi mwenzake wakituhumiwa kwa kosa la kutumia madaraka yao vibaya ya utumishi wa umma na kuisababishia serikali hasara ya Sh. 221,197,299,200.95 kupitia ujenzi wa maghorofa pacha ya benki hiyo.

Sambamba na Liyumba, mwingine aliyesomewa mashitaka hayo na Mwendesha Mashitaka kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), John Lubangila, ni aliyekuwa Meneja wa Mradi wa ujenzi huo, Deogratius Kweka.

Watuhumiwa hao wawili walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana mchana wakiwa katika gari la Takukuru lenye namba za usajili T 319 ATD aina ya Toyota Land Cruiser la rangi ya kijani.

Aidha, kabla ya kusimamishwa kizimbani, watuhumiwa hao waliendelea kukaa ndani ya gari katika viwanja vya mahakama kwa takribani saa tatu, ndipo watolewa na kuingizwa mahakamani.

Baada ya kupanda kizimbani, ghafla watuhumiwa walianza kutokwa na jasho kali hali iliyowasababisha muda wote kujifuta kwa kutumia vitambaa vyao.

Aidha, waliingia kizimbani wakiwa wameshika chupa za maji na kutaka kwenda kusimama nazo wakati wanasomewa mashtaka, lakini askari polisi alitokea na kuyachukua.

Mbali na makosa ya kutumia madaraka yao vibaya na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya fedha, pia walishitakiwa kwa kutoa maamuzi bila kushirikisha Bodi ya Wakurugenzi wa BoT pamoja na kukiuka sheria ya manunuzi ya serikali na sheria ya uendeshaji wa benki hiyo.

Mwendesha Mashtaka aliiambia mahakama kuwa walitenda makosa hayo kati ya mwaka 2001- 2006.

Watuhumiwa hao walisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi, Khadija Msongo, wa mahakama hiyo.

Hakimu Msongo aliiambia mahakama kuwa dhamana ya watuhumiwa hao ipo wazi na itatakiwa kutolewa thamani ya nusu za fedha zinazodaiwa kupotea.

Nusu ya fedha hizo ni sawa na zaidi ya Sh. bilioni 110 ambapo zikigawanywa kwa watuhumiwa wawili, kila mmoja alitakiwa kutoa fedha Sh. bilioni 55 au mali isiyohamishika inayolingana na kiasi hicho cha fedha.

Mshtakiwa namba moja, Liyumba, alianza kuwasilisha nyaraka za mali mbalimbali ili aweze kupata dhamana, lakini upande wa mashtaka ulioomba mahakama kusitisha zoezi hilo.

Upande wa mashtaka ulidai kuwa unaomba hivyo ili upate muda wa kupitia nyaraka hizo ili kuona kama sio feki na zina thamani ya fedha zinazotakiwa.

Mahakama ilikubaliana na upande wa mashtaka na hivyo kusitisha dhamana hiyo na watuhumiwa kupelekwa rumande hadi Februari, 10 mwaka huu.

Majengo ya BoT yamekuwa ni gumzo kubwa nchini tangu wakati wa utawala wa awamu ya tatu, huku kukwa na taarifa kwamba ghama yake ni ghali kuliko ujenzi katika miji mikubwa ya mataifa ya magahribi. Hadi sasa inakisiwa kwamba ujenzi huo umekwisha kugharimu Sh bilioni 700.

SOURCE: Nipashe

Tuesday, January 27, 2009

Gabourey 'Gabby' Sidibe - Superstar!



Walisema ni mnene mno, walisema ni mweusi mno, walisema ana shepu mbaya...lakini leo Gabourey 'Gabby' Sidibe ni superstar! Gabby ni stelingi wa sinema mpya iitwayo PUSH! Hiyo sinema inayohusu binti mmarekani mweusi anayekaa katika dhiki huko Harlem, New York imeshinda tuzo ya juu katika Sundance Film Festival!

Navyosikia hiyo sinema imependwa kweli na watu huko Sundance. Na sasa imepata distributor hivyo tutaitona katika majumba ya sinema hivi karibuni! Hiyo sinema imetengenezwa na watu binafsi na si Hollywood. Nina hakika walivyoenda huko Hollywood kuomba pesa walinyimwa, lakini hebu ona wanaoipenda.

Katika hiyo sinema, mcheza sinema maarufu Mo'nique anaigiza kama mama yake.

Nitawapasha habari zaidi baadaye.
http://sharonquinn.blogspot.com/2008/10/gabourey-sidibe-plus-sized-actress-on.html

http://media.www.lcmeridian.com/media/storage/paper806/news/2007/11/05/ArtsEntertainment/Introducing.Hollywood.Actress.Gabby.Sidibe-3067453.shtml

***************************************************************

http://boxoffice.com/reviews/2009/01/push.php

BOXOFFICE
Film Review: Push: Based on the Novel By Sapphire
By Ray Greene


Strong performances make for essential viewing.

Some films arrive at Sundance expecting to be great, and some the festival thrusts greatness upon. Foremost of these in 2009 was Push: Based on the Novel By Sapphire, director Lee Daniels' harrowing cross between an inspirational teacher genre exercise, a Ken Russell fantasy film of the '70s and the child abuse melodrama Hound Dog. Overloaded a bit by Daniels' laudable visual ambition and distinguished by an unflinching view of ghetto life that has nothing to do with standard Hollywood liberal postures toward deprivation and/or blackness, Push is also (and foremost) a stunning acting showcase, not just for newcomer Gabourey Sidibe, who absolutely soars as the abused high school student Precious Jones, but also for comedian Mo'Nique in a stunning tour de force as Precious' abusive mom.

It's the '80s, and Precious is a study in unexplored human potential. Morbidly overweight and functionally illiterate, she leads a vast and poetic internal life via a fantasy reflex that transports her to a shiny world of klieg lights and thrust stages where she can pretend to be beloved, talented and a nascent superstar. Precious uses these fantasies to insulate herself from the harsh realities of her world: humiliating gangs, random street violence and an abusive father who has been sexually assaulting her since she was three, with two resultant pregnancies. With her father largely absent, the gorgon in Precious' daily life is her mother, a bitter recluse living on Welfare who routinely beats Precious out of warped romantic jealousy. A series of school teachers and social workers help Precious to move past her sad state, inspiring her to write out her own story as a way of changing her life.

Daniels has made a remarkable series of bold choices, all of which seek to depict Precious honestly and without the usual self-congratulatory showbiz cant. At times, Precious fantasizes without guilt about being white, so much so that it's a white model's features she sees in her own bedroom mirror. Precious is also not above petty thievery, stealing her own file from a social worker's office and a bucket of chicken from a fast food store. In a sense, Precious is a more ambivalent and less idealized version of the little girl from Doug Atchison's excellent (but far lighter) Akeelah and the Bee; someone trying to get over an environment that's toxic to her aspirations and her dreams.

Despite her almost flamboyant largeness (which Push sees as a natural reaction to Precious' horrible home-life) and the sometimes melodramatic twists her story takes, Sidibe's Precious is so startlingly truthful and so subtle she seems to have stepped out of a documentary to make her appearance here. Totally believable performances are also turned in by both Lenny Kravitz (as a male nurse) and Mariah Carey (as a tough but tender social worker), with Carey in particular disappearing so completely into her drab but sassy workaday messiah that the watcher's mind keeps saying: "That can't be her!"

But the almost certain 2010 Oscar nom for all of this (predictable even today, on the day the 2009 noms were just announced) belongs to Mo'Nique, whose alternately horrifying and devastating performance humanizes a monster. The last ten minutes of Push are devoted to a revelatory confrontation between mother and daughter, and Mo'Nique's bravura transformation, from opportunistic schemer to shattered woman unable to face an unlivable truth, is so unerring it literally makes the viewer gasp. Daniels, who produced Monsters Ball and shows a similar belief in giving his actors room to explore, has captured a performance here that can stand with the best ever committed to film. It simply should not be missed.

Bongoland II Itaonyeshwa Los Angeles


Wadau sinema Bongoland II itaonyeshwa mjini Los Angeles, California kwenye Pan African Film Festival ambayo itafanyika mwezi wa pili.

*************************************************************

Bongoland II: There’s No Place Like Home

(2008/Tanzania/140min) Dir: Josiah Kibira Panorama

Are we poor or short of cash? This is a question Juma wrestles with upon arriving in his native Bongoland. While happy to be re-united with his family, over time he is frustrated by the level of poverty that almost everyone around him faces on a regular basis. He is convinced that most people are not short of cash but poor – which is a state of mind.

Screening Times:

2/6, 1:00pm

2/13, 8:45pm

2/16, 7:15pm
Tembelea:

Monday, January 26, 2009

Majina ya Obama

Baada ya miaka mitano huko mashuleni!


George W. Bush Library (Maktaba) - Utani

Wadau ilibidi niposti hii. Ni utani lakini inachekesha kweli.

***************************************************************

Dear Fellow Constituent:

The George W. Bush Presidential Library is now in the planning stages and accepting donations.

The Library will include:
The Hurricane Katrina Room , which is still under construction.
The Alberto Gonzales Room, where you won't be able to remember anything.
The Texas Air National Guard Room, where you don't even have to show up.
The Walter Reed Hospital Room, where they don't let you in.
The Guantanamo Bay Room, where they don't let you out.
The Weapons of Mass Destruction Room, which no one has been able to find.
The National Debt Room, which is huge and has no ceiling
The Economy Room, which is in the toilet.
The Iraq War Room. (After you complete your first visit, they make you to go back for a second, third, fourth, and sometimes fifth visit.
The Dick Cheney Room, in the famous undisclosed location, complete with shotgun gallery.
The Environmental Conservation Room, still empty.
The Supreme Gift Shop, where you can buy an election.
The Airport Men's Room, where you can meet some of your favorite Republican Senators.
The Decider Room, complete with dart board, magic 8-ball, Ouija board, dice, coins, and straws.
Note: The library will feature an electron microscope to help you locate and view the President's accomplishments.

The library will be richly decorated with inscriptions of quotations from Mr. Bush's public appearances:
"The vast majority of our imports come from outside the country.'"
"If we don't succeed, we run the risk of failure."
"Republicans understand the importance of bondage between a mother and child."
"'No senior citizen should ever have to choose between prescription drugs and medicine."
"I believe we are on an irreversible trend toward more freedom and democracy -- but that could change."
"One word sums up probably the responsibility of any Governor, and that one word is 'to be prepared."
"Verbosity leads to unclear, inarticulate things."
"I have made good judgments in the past. I have made good judgments in the future."
"The future will be better tomorrow."
"'We're going to have the best educated American people in the world."
"One of the great things about books is sometimes there are some fantastic pictures" (during an education photo-op).
"'Illegitimacy is something we should talk about in terms of not having it."
"'We are ready for any unforeseen event that may or may not occur."
"'It isn't pollution that's harming the environment. It's the impurities in our air and water that are doing it."
"'I stand by all the misstatements that I've made."'...George W. Bush to Sam Donaldson.

PLEASE GIVE GENEROUSLY!

Sunday, January 25, 2009

Mwizi Ageuka Mbuzi Nigeria


Wadau, huko Nigeria mbuzi kashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuiba gari. Watu walioshuhudia tukio wanasema kuwa eti mwizi alitumia uchawi kusudi ageuke mbuzi wakati anakimbia kutoka kwenye eneo la tukio.

Nilidhani kuwa Tanzania tuna imani kubwa na uchawi kumbe hata huko Afrika Magahribi wamo!

Ujumbe kwa polisi huko. Na nasema hebu lete huyo mbuzi tumgeuze nyama choma! LOL!

*******************************************************

Goat Detained over Armed Robbery

LAGOS (Reuters) – Police in Nigeria are holding a goat on suspicion of attempted armed robbery.

Vigilantes took the black and white beast to the police saying it was an armed robber who had used black magic to transform himself into a goat to escape arrest after trying to steal a Mazda 323.

"The group of vigilante men came to report that while they were on patrol they saw some hoodlums attempting to rob a car. They pursued them. However one of them escaped while the other turned into a goat," Kwara state police spokesman Tunde Mohammed told Reuters by telephone.

"We cannot confirm the story, but the goat is in our custody. We cannot base our information on something mystical. It is something that has to be proved scientifically, that a human being turned into a goat," he said.

Belief in witchcraft is widespread in parts of Nigeria, Africa's most populous nation. Residents came to the police station to see the goat, photographed in one national newspaper on its knees next to a pile of straw .

Saturday, January 24, 2009

Picha Rasmi ya Rais Barack Obama


Wadau, hii ni picha rasmi (official portrait) ya rais mpya wa Marekani, Barack Hussein Obama.

Miss Brazil Afariki Dunia


Mrembo Miss Brazil, Mariana Bridi (20) amefariki dunia leo asubuhi huko Brazili baada ya kuugua ugonjwa wa bacteria usio na tiba. Hivi karibuni alikatwa sehemu ya tumbo na mikono na miguu yake kusudi bacteria usisambae zaidi mwilini mwake. Jitihada za kumwoka hazikufanikiwa. Aliwahi madkatari walidhani ana ugonjwa kwenye njia ya kupitisha mkojo. Bridi aliwahi kushiriki katika mashindano ya urembo wa Miss World. Alikuwa mmoja wa warembo watano bora.
Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.
Kwa habari zaidi someni:

Serikali Yafuta Leseni za Waganga wa Kienyeji

Wadau, nasema WAZIRI PINDA NI SHUJAA!!!!

*******************************************************************
Waziri Mkuu Pionda afuta leseni za waganga wa kienyeji

SERIKALI imetangaza kufuta leseni zote za waganga wa jadi kuanzia jana (Ijumaa Jan. 23, 2009) ikiwa ni sehemu ya mapambano dhidi ya mauaji ya Albino na Vikongwe nchini.

Amri hiyo ilitangazwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika mkutano wa hadhara mjini Shinyanga jana mwishoni mwa ziara yake ya mikoa ya Kanda ya Ziwa kuhamasisha mapambano ya Serikali dhidi ya mauaji hayo.

Waziri Mkuu alisema kuwa aliwasiliana na Mwanasheria Mkuu kuhusu uamuzi wa kuchukua hatua hiyo ya kufuta leseni hizo na Mwanasheria Mkuu akasema jambo hilo linawezekana.

"Kuanzia leo leseni zote za waganga wa jadi futa… Mtu yeyote akiendelea na kazi hiyo mfuatilieni," aliwaagiza Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakuu wa Halmashauri zote za Jiji, Miji na Wilaya nchini.

Waganga wa jadi wamekuwa wakituhumiwa kuwa ndiyo chimbuko la mauaji hayo kwa vile wao ndiyo hupiga ramli za kuelekeza hivyo.

Katika mikutano na viongozi wa mikoa ya Kagera, Mwanza, Mara, Tabora na Shinyanga, wachangiaji wengi waliitaka serikali kufuta leseni hizo. Hata baadhi ya waganga wa jadi waliochangia walikiri.

Waganga wa jadi husajiliwa na kupewa leseni za kufanya kazi zao na Halmashari kwa utaratibu wa kiutawala. Ipo sheria ya mwaka 2002 kuhusu Tiba Asilia na Tiba Mbadala (Traditional and Alterntive Medicine Act), lakini Kanuni za utekelezaji wake zilikuwa hazijatengenezwa.

Waziri Mkuu alisema mganga wa jadi ambaye anaweza kuruhusiwa baadaye ni yule ambaye dawa zake za mitishamba au za asili zitakuwa zimethibitishwa na Kitengo cha Uchunguzi wa Tiba Asili cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuwa kweli zinatibu. Mgonjwa naye atatakiwa awe na cheti kutoka hospitali kitakachothitisha maradhi yake na kuwa tiba yake hopitali imeshindikana.

"Waganga hawa ni waongo wakubwa…Siyo lazima kuwa nao. Wangekuwa waganga wa kweli magonjwa mengi yangepungua nchini, lakini magonjwa yapo na sasa wanapiga ramli na kuwa kichocheo cha mauaji.

Mkoa wa Shinyanga unasemekana unaongoza kwa idadi ya waganga wa jadi waliosajiliwa na wako 1,104 na 94 ambao hawakusajiliwa. Wilaya ya Kahama peke yake ina 763.

Waziri Mkuu aliuambia umati uliofurika kwenye uwanja wa Chuo cha Biahshara cha Shinyanga (Shycom) huku akishangiliwa kuwa mapambano dhidi ya mauaji ya Abino ni vita na ndiyo maana anataka ulinzi wa jadi wa Sungusungu urejeshwe kusaidiana na vyombo vya dola kukabiliana na hali hiyo.

Aliwataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na Jeshi la Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa kufnya kazi zao kwa ufanisi zaidi na "kujipanga upya na kuteremka hadi ngazi ya chini" kusimamia mapambano dhidi ya mauaji ya Albino na Vikongwe.

"Inapotokea kuwa Albino au Kikongwe anauawa katika eneo fulani, mimi nitamshukia Mkuu wa Mkoa na kumuuliza kwa nini aliacha hali itokee hivyo. Mkuu wa Mkoa naye atamshukia Mkuu wa Wilaya na vivyo hivyo," alisema.

Aliongeza: "Tukijumuika wote kwa pamoja tutashinda vita hii kama tulivyoshinda vita dhidi ya nduli Idi Amin wa Uganda".

Waziri Mkuu pia alisema atamwomba Jaji Mkuu kuwa zile kesi za mauaji ya Albino ambazo ziko tayari zinapangiwa majaji maalum ili zikamilike na hatima yake ijulikane haraka.


Tangu Juni mwaka 2007 mpaka Novemba mwaka 2008 jumla ya Albino 34 wameuawa nchini kwa imani za ushirikina kuwa eti viungo vyao vinasaidia kupata utajiri. Idadi yao kimkoa kwenye mabano ni Mwanza (19) Mara (4) Kigoma (3) Shinyanga (4), Kagera (3) na Mbeya (1). Mwaka huu tayari wameuawa watatu.

Jumla ya vikongwe waliouawa nao kwa kushukiwa wachawi ni 2583 ambapo idadi yao kimkoa kwenye mabano ni Mwanza (696), Shinaynga (522), Tabora (508), Iringa (256), Mbeya (192) Kagera (186), Singida (120) na Rukwa (103).

Ziara ya Waziri Mkuu Pinda katika mikoa ya Kanda ya Ziwa inamalizika leo kwa majumuisho yatakayowahusisha viongozi wa mikoa hiyo. Alianzia Kagera na badaye kutembelea mikoa ya Mwanza, Tabora na Shinyanga. Mkoa wa Mara ulijumuishwa kwa viongozi wake kuhudhuria mkutano wa viongozi Mwanza.
(mwisho)
Imetolewa na:
Ofisi ya Waziri Mkuu,
S.L.P. 3021,
DAR ES SALAAM

*************************************************************
Pinda ataka jino kwa jino
Na Victor Kinambile, Tabora

KATIKA hali ya isiyo ya kawaida, Waziri Mkuu Mizengo Pinda jana aliwaambia wananchi kuwa wanaoua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) pamoja vikongwe ni hawana budi kuuawa kwa kuwa wakisubiri mahakama kuwahukumu, watakuwa wanakosea.

Waziri Pinda, ambaye ameanza ziara katika mikoa ya Kanda ya Ziwa yenye lengo la kuhamasisha vita dhidi ya mauaji ya vikongwe na albino, aliutaka Umoja wa Vijana wa CCM kuongoza vita hiyo, akisema lina jeshi zuri.

Mauaji ya albino yamekuwa ni tatizo kubwa nchini na hasa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Pamoja na serikali kutangaza hatua kadhaa za kupambana na wauaji hao, bado matukio ya kuuawa kwa watu hao wenye ulemavu wa ngozi yamekuwa yakiendelea kuripotiwa, lakini Waziri Pinda ameenda mbali zaidi katika kukabiliana na tatizo hilo alipotaka wauaji hao wauawe badala ya kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.

Kauli ya Pinda, ambayo inaweka maswali katika suala la utawala bora, imekuja wakati ambao wananchi wamekuwa wakijichukulia sheria mkononi na kuua vikongwe kutokana na imani za uchawi.

Akihutubia wakati wa kufungua mkutano wa 16 wa Shirikisho la Vyama vya Kuweka na Kukopa (SCCULT) kwenye ukumbi wa Chuo cha Utumishi Umma mkoani hapa, Waziri Pinda alisema iwapo wananchi wataendelea kuwahurumia wauaji hao ambao wanatafuta viungo vya albino wakitegemea mahakama itatenda haki huku nao wakiongeza kasi ya mauaji kwa Watanzania, watakuwa wanakosea.

Hivyo alisema kwamba kuanzia sasa mtu yeyote atakayemuona mtu amemkata shingo au mkono mweziwe basi naye auawe papo hapo hii itakuwa ndiyo dawa kwani vingozi wote tumechoka na mauji hayo.

"Mkimuona mtu akamkata mwingine shingo naye muueni kwani sasa viongozi wote tumechoka... no more, I can't tolerate anymore (imetosha, siwezi kuvumilia tena)," alisema Pinda huku akiwaacha watu midomo wazi.

Aliviomba vyama vya siasa kushirikiana na wananchi kuhakikisha suala hili la mauji linakwisha kwani wauji "tunaishi nao na ni rahisi kulimaliza iwapo tutakuwa kitu kimoja katika kuondoa kashifa hii ambayo imekuwa mbaya kwa nchi yetu".

Aliuagiza Umoja wa Vijana wa CCM kuhakikisha mauaji hayo yanatokomezwa kabisa, akisema kuwa ni jeshi zuri ambalo likiamua kutokomeza kabisa mauaji ya vikongwe na ndugu zetu maalbino inawezekana.

"Umoja wa vijana mna jeshi zuri ambalo naamini mkiamua mnaweza kutokomeza mauaji ya wazee wetu pmoja na ndugu zetu maalbno na kazi hiyo nawaagiza muanze leo msisubri auawe mwingine tena," alisema waziri mkuu.

Baada ya kumalizika kwa mkutano huo, baadhi ya watu wanaoonekana kuwa ni wa "serikali" waliwafuata baadhi ya waandishi wa habari, akisihi suala hilo lisiripotiwe magazetini kwa madai kuwa kauli hiyo ya Waziri Pinda inaweza kusababisha matatizo.

Rais Jakaya Kikwete, ambaye pia amekuwa mstari wa mbele kupiga vita mauaji hayo, alitofautiana na Waziri Pinda katika moja ya hotuba zake aliposema kuwa adhabu ya kuua haitofautishi muuaji wa albino na muuaji mwingine na kwamba watakaopatikana na hatia ya kuua albino, atakabiliana na adhabu ya kifo kama ilivyo kwa muuaji mwingine.

Waziri Pinda alionekana kukerwa na mauaji ya albino wakati alipopata taarifa kwamba kuna mama mwingine aliuawa usiku wa kuamkia juzi.

"Nimeambiwa kuwa juzi wilayani Sengerema kuna mama mmoja ambaye ni mlemavu wa ngozi amekatwa mkono na wauaji wakaondoka na mkono huo na tayari mama huyo amekufa," alisema Pinda na kusisitiza kushughulikia wauaji hao.

Akitoa takwimu za mauaji ya vikongwe na malbino alisema mwaka 2003 waliuwawa vikongwe 517, mwaka 2004 waliuawa vikongwe 444, mwaka 2005 (494), 2006 (vikongwe 386), mwaka 2007 (vikongwe 526) na albino sita na mwaka 2008 (vikongwe 526 na albino 28).

Alisema tayari mwaka huu wameuawa albino watatu hivyo kufanya albino na vikongwe waliouawa kufikia kuwa jumla 2,900.

Waziri mkuu ameanza ziara ya siku nne kutembelea mikoa ya Shinyanga, Tabora na Mwanza ili kuhamasisha wananchi watokomeze vitendo vya mauaji ya vikongwe na watu weye ulemavu wa ngozi.

Friday, January 23, 2009

Wimbi la Ajali za Mabasi Bongo!

Hivi jamani, chanzo cha hizi ajali hizi ni nini? Barabara mbovu, uendeshaji mbaya, mabasi mabovu? Ni nini? Yaani katika mwezi tu, mamia ya watu wamekufa huko Tanzania!

***************************************************************************

Kutoka ippmedia.com

Ajali zaondoa uvumilivu wa Kikwete

2009-01-23
Na Mwandishi Wetu

Rais Jakaya Kikwete, amesema serikali haiwezi kuvumilia kutokea kwa ajali za barabarani zinazosababisha vifo na upotevu wa mali, wakati mamlaka zenye kusimamia usalama katika eneo hilo zipo.

Katika salaamu za rambirambi alizozitoa jana kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Isdore Shirima, kufuatia ajali ya juzi iliyosababisha vifo vya watu 16 na wengine kadhaa kujeruhiwa, Rais alisema ni lazima juhudi zifanywe kupunguza ajali hizo kama si kuzikomesha kabisa.

Ajali hiyo ilihusisha basi la abiria, Toyota Double Coaster liitwalo Mapenzi ya Mungu na lori, ilitokea katika eneo la daraja la mto Nduruma, nje kidogo ya mji wa Arusha.

``Hatuwezi kuendelea kuvumilia kutokea kwa ajali hizi, wakati mamlaka zenye dhamana ya kusimamia sheria ya usalama barabarani zipo,`` Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, imemkariri Rais Kikwete akionya.

``Tufanye jitihada zilizo ndani ya uwezo wetu, kupunguza kwa kiwango kikubwa na ikiwezekana kukomesha kabisa ajali hizi za barabarani ambazo
katika kipindi kifupi tangu kuanza kwa mwaka mpya, zimepoteza maisha ya wenzetu wengi,`` alisema.

Rais Kikwete, alisema ajali mfululizo zinazotokea nchini, hazina budi kuwekewa mikakati madhubuti ya kudhibitiwa, kutokana na mamlaka husika kuwa na uwezo huo.

Katika salam zake hizo, Rais Kikwete, alitoa pole kwa majeruhi na kusema: ``Ninatambua maumivu makali mnayoyapata hivi sasa...Mwenyezi Mungu awape moyo wa uvumilivu.``

Tangu mwaka huu uanze ajali nyingine mbaya mbili za mabasi zimetokea kanda ya kaskazini, moja mkoani Tanga na nyingine mkoani Kilimanjaro. Ya Kilimanjaro iliua wanandugu 11 waliokuwa wanatoka kwenye sherehe ya ubarikio Hai na ya Tanga iliua watu 28.

Pia kuna ajali nyingine ya basi lililokuwa likisafiri kutoka Dodoma kwenda Manyara iliyoua watatu katika mwezi huu.

SOURCE: Nipashe

Wednesday, January 21, 2009

Mshiko!

Wadau kama mnafahamu mapacha wa kike (identical) wenye umri kati ya miaka 45-55 mshiko huo hapa!

******************************************************

Chemi,

BOSTON CASTING IS SEEKING FEMALE TWINS AGED 45-55 YEARS OLD.
MUST BE IDENTICAL, PHYSICALLY FIT AND OUT GOING.

COMMERCIAL SHOOTS FEB. 3RD, 4TH AND 5TH IN LOS ANGELES
all expenses paid out to L.A.

JOB PAYS : $567.10 per day plus residuals.

Open to union and nonunion twins.

PLEASE EMAIL A PHOTO AND CONTACT PHONE NUMBERS TO
ashley@bostoncasting.com

Please pass this along to family and friends.
thanks,
Angela

Ajali ya Lifti Dar

Wadau, hivi lifti zinakaguliwa kweli Bongo?

********************************************************************
Kutoka Gazeti la Majira:

Ofisa CHADEMA Aporomoka na Lifti Ghorofani

*Ni kutoka ghorofa ya kumi, ashtuka ubongo

Na Joyce Magoti

OFISA Habari na Uenezi wa CHADEMA, Bw. Devid Kafulila, amenusurika kifo baada ya kuporomoka akiwa ndani ya lifti iliyokuwa mbovu kutoka ghorofa ya kumi hadi ya pili, katika Hotel ya Concord iliyopo mtaa wa Agrey, Dar es Salaam.

Mkurugrenzi wa vijana wa chama hicho, Bw. John Mnyika, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa moja usiku wakati Bw. Kafulila alipokuwa akitoka katika semina iliyokuwa ikifanyika hotelini hapo na kwamba amelazwa katika Tasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI).

"Bw. Kafulila alikuwa mtoa mada katika semina iliyokuwa ikifanyika katika hoteli hiyo iliyohusisha vijana na wanawake ambapo aliwahi kuondoka. Wakati akitoka, aliingia katika chumba cha lifti ambacho mlango wake ulikuwa wazi.

"Baada ya kuingia lifti hiyo, alimshusha hadi ghorofa ya pili wakati yeye akitokea gholofa ya kumi, tulimkuta ghorofa ya pili akiwa amepoteza fahamu tukamwahisha hospitalini kwa ajili ya matibabu," alisema Bw. Mnyika.

Alisema kabla ya tukio hilo, uongozi wa hoteli hiyo ulipewa taarifa za ubovu wa lifti hiyo na baadhi ya washiriki waliokuwa katika semina hiyo lakini kutokana na kutojali hawakuchukua tahadhari yoyote.

"Baada ya kutokea ajali hiyo tuliangalia eneo la tukio ambalo halikuwa na maandishi yoyote wala kitu chochote kilichoashiria kuwa lifti hiyo ni mbovu, tunaomba uchunguzi ufanyike, inaonesha lifti hiyo ni mbovu kwa muda mrefu lakini hakuna tahadhari yoyote iliyochukuliwa na uongozi wa hoteli hiyo," alisema.

Afisa muuguzi wa MOI, Bi. Mercy Temu, alisema vipimo vya X-Ray alivyofanyiwa ngonjwa huyo vinaonesha kuwa ameumia sehemu ya nyonga katika mguu wa kushoto ambapo amewekewa jiwe lenye uzito wa kilo nne kwa ajili ya kumpunguzia maumivu na kurudisha nyonga hiyo katika sehemu yake.

"Mbali na kuumia sehemu hiyo pia ubongo wake ulishtuka hali aliyosababisha kupoteza fahamu lakini hali hiyo itatulia na anaweza kurudia katika hali yake ya kawaida baadaye.

"Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa sababu mgongo wake haujaumia anaweza hata kuinua miguu yake na kugeuka peke yake," alisema Bi. Temu.

Waandishi wa habari walifika katika hoteli hiyo kwa lengo la kupata ufafanuzi kuhusiana na tukio hilo ambapo msichana mmoja aliyekuwa mapokezi alimwita Meneja wa hoteli hiyo ambaye hakutaka kutaja jina lake.

"Mnataka niwasaidie nini, mimi sina shida na waandishi wa habari wala sitaki kuzungumza chochote na nyie, mnaweza kwenda sina habari ya kuwapa," alisema Meneja huyo.

Tuesday, January 20, 2009

Barack Hussein Obama ni Rais wa Marekani

Rais Obama na mke wake Michelle, wakielekea makazi yao mapya, WHITE HOUSE
The Obama's & The Biden's mara baada ya kuapishwa

Rais Obama Akithutubia Wananchi
(Picha zote kutoka CNN.Com)

Wadau, leo mchana Senator Barack Hussein Obama, ameapishwa kuwa Rais Marekani. Alitumia jina lake kamili bila aibu. Wengi walisema atatumia Barack H. Obama kwa vile waMarekani wengi hawapendi jina la Hussein kwa vile inawakumbusha Uislamu na Saddam Hussein. Pongezi kwa Obama kwa kuheshimu jina aliyopewa na wazazi wake!
Sasa anaanza kazi ngumu ya kuwa Rais Marekani. Mungu ampe nguvu na amlinde yeye na famila yake.

Monday, January 19, 2009

Wimbo wa Taifa wa Weusi Marekani

Wadau, hata sikujua kama weusi Marekani wana wimbo wa taifa wao. Inaitwa 'Lift Every Voice and Sing'. Huisikii mara kwa mara. Tuone kama tutaanza kuisikia zaidi na hivyo tutakuwa na rais mweusi. Wimbo wa Taifa wa Marekani ni ' The Star Spangled Banner'.




'THE NEGRO NATIONAL ANTHEM'

Lift every voice and sing
Till earth and heaven ring,
Ring with the harmonies of Liberty;
Let our rejoicing rise
High as the listening skies,
Let it resound loud as the rolling sea.
Sing a song full of the faith that the dark past has taught us,
Sing a song full of the hope that the present has brought us,
Facing the rising sun of our new day begun
Let us march on till victory is won.

Stony the road we trod,
Bitter the chastening rod,
Felt in the days when hope unborn had died;
Yet with a steady beat,
Have not our weary feet
Come to the place for which our fathers sighed?
We have come over a way that with tears have been watered,
We have come, treading our path through the blood of the slaughtered,
Out from the gloomy past,
Till now we stand at last
Where the white gleam of our bright star is cast.

God of our weary years,
God of our silent tears,
Thou who has brought us thus far on the way;
Thou who has by Thy might
Led us into the light,
Keep us forever in the path, we pray.
Lest our feet stray from the places, Our God, where we met Thee;
Lest, our hearts drunk with the wine of the world, we forget Thee;
Shadowed beneath Thy hand,
May we forever stand.
True to our GOD,
True to our native land

Mtunzi:James Weldon Johnson June 17, 1871 - June 26, 1938

Martin Luther King Jr. Day



Martin Luther King Jr.

(1929-1968)

Leo tumeshekerekea sikukuu ya kuzaliwa kwa mgombea haki za weusi Marekani (Civil Rights) Dr. Martin Luther King Jr. kwa njia za amani. Aliuawawa mwaka 1968 na mbaguzi James Earl Ray. Asante jitihada za Dr. King weusi Marekani na watu wote wasio wazungu wana hali bora zaidi ya maisha. Kabla ya hapo maisha Marekani yalikuwa kama Afrika Kusini enzi za Apartheid! Asante Dr. King!
Kesho ndoto yake itakamilika. Baraka Obama ambaye ni mweusi ataapishwa kuwa Rais wa Marekani. Atakuwa rais wa kwanza mweusi wa Marekani. Marekani ina miaka 233 na Obama atakuwa rais wa 44.

Kwa habari zaidi someni:

Kazi ya Richard Bon Magumba

Ona kazi ya Mtengeneza sinema wa Bongo, Richard Bon Magumba. Iko You Tube.

Sunday, January 18, 2009

Onyo Kwa waMarekani wanaoenda Burundi

Hivi Kuna nini tena huko Burundi?

***********************************************************

Travel Warning
United States Department of State
Bureau of Consular Affairs
Washington, DC 20520

--------------------------------------------------------------------------------

This information is current as of today, Sun Jan 18 23:34:32 2009.

BURUNDI
January 08, 2009

The U.S. Department of State warns U.S. citizens of the risks of travel to Burundi and continues to caution Americans against non-essential travel outside the capital, Bujumbura. The U.S. Embassy restricts the travel of its personnel in Burundi, and certain areas of Bujumbura are off-limits to U.S. government personnel. This replaces the Travel Warning for Burundi dated April 22, 2008 to provide information concerning the failure of government and rebel forces to implement a cease-fire agreement, and revised information on security restrictions for Embassy personnel.

Burundi was plagued by a civil war from 1993 to 2006 that often involved non-governmental and non-combatant targets. In September 2006, the government and the last rebel group not party to peace accords, the PALIPEHUTU–FNL (FNL), signed a cease-fire agreement. However, many of the cease-fire provisions have not been implemented. Rebel forces still retain the capability to conduct indirect fire attacks on the capital. In April 2008, rebel forces engaged Burundian military units in and around the Bujumbura city limits, though government troops quickly overcame them. The FNL leaders agreed to discontinue hostilities and to implement fully the cease-fire agreement. Despite the cessation of hostilities, the FNL are still present throughout Bujumbura Rural, which surrounds the capital city. Both sides have not yet completed a final peace agreement.

Crime, often committed by groups of armed bandits or street children, poses the highest risk for foreign visitors to both Bujumbura and Burundi in general. Common crimes include muggings, burglaries, robberies, and carjackings. Visitors should be careful when stopped in heavy traffic due to the threat of robbery by roving bands of criminals. The U.S. Embassy has received reports of armed criminals ambushing vehicles, particularly on the roads leading out of Bujumbura. U.S. Government personnel are prohibited from walking on the streets after dark and from using local public transportation at any time. Due to the lack of resources, local authorities in any part of Burundi often are unable to provide timely assistance during an emergency.

The U.S. Embassy restricts the travel of Embassy personnel in Burundi, and certain areas of Bujumbura, the capital, are off-limits to Embassy personnel. The Embassy's Regional Security Officer (RSO) must pre-approve all travel outside the capital by U.S. Embassy personnel, and employees must travel in two-vehicle convoys. The RSO also requires additional security precautions for U.S. Embassy personnel traveling north to Cibitoke and south to Rumonge along the national highways. The Embassy recommends that American citizens not travel on national highways from dusk to dawn.

American citizens who travel to or remain in Burundi despite this Travel Warning are urged to contact the U.S. Embassy in Bujumbura for information on the latest Embassy security guidelines, and to register at the State Department's travel registration website. By registering, American citizens make it easier for the Embassy to contact them in case of emergency. Americans without internet access may register directly with the U.S. Embassy in Bujumbura at Avenue des Etats-Unis. The hours for non-emergency American Citizen Services are 9:00 a.m. to 12:00 p.m. and 3:00 p.m. to 5:30 p.m. on Tuesdays and Thursdays, and 9:00 a.m. to 12:00 p.m. on Fridays. The Embassy Consular section can be reached by telephone, including after hours emergencies, at (257) 22-20-7000, or by fax at (257) 22-22-2926. Security information for American citizens in Burundi is posted at the Embassy's website .

For further information, consult the Country Specific Information for Burundi and the current Worldwide Caution Travel Alert , available on the Bureau of Consular Affairs Internet website at http://travel.state.gov. Updated information on travel and security in Burundi is available at 1-888-407-4747 toll-free in the U.S. and Canada, and for callers in other countries, a regular toll line at 202-501-4444. These numbers are available from 8:00 a.m. to 8:00 p.m. Eastern Time, Monday through Friday (except U.S. federal holidays).

Saturday, January 17, 2009

Wabaguzi wachoma Moto Kanisa la Weusi

Wazungu wabaguzi watatu wamekamatwa huko Springfield, Massachusetts kwa kuchoma moto kanisa la weusi huko. Hao wabaguzi walisema kuwa walichoma moto kanisa hilo kwa vile walichukizwa na mtu mweusi kuchaguliwa kuwa rais wa Marekani.

Mnaweza kusoma habari zaidi hapa:

http://www.boston.com/news/local/massachusetts/articles/2009/01/17/church_arson_tied_to_racism/

Na Obama anavyokaribia kuapishwa weusi Marekani wameonywa kuwa matendo ya kibaguzi dhidi yao yanaweza kuongezeka.

Mtoto anahitaji Msaada


Mtoto Erica Laurent (1) aliyezaliwa bila njia ya haja kubwa amekuwa na tatizo la kufumuka nyuzi kila anaposhonwa katika hospitali ya rufaa Mbeya alipofanyiwa operation Novemba 2007. Baba wa mtoto Laurence Msongole amekataa kutoa fedha za matibabu, amemtelekeza mke baada ya kuzaa mtoto mwenye matatizo.

Hivi sasa mama wa mtoto Huruma Mwaijande anaishi kwa wazazi wake ambao nao wameshindwa kupata fedha za matibabu kufuatia umaskini unaoikabili familia hiyo.

Mtoto huyo amepangiwa kwenda Muhimbili kwa matibabu zaidi lakini uwezekano hauopo kutokana na ukweli kwamba familia haina uwezo hata wa kugharamia matibabu katika hospitali ya rufaa ya Mbeya.

“Tulifukuzwa katika nyumba tuliyopanga na mume wangu, tukahamia kwa mama mkwe ambaye amepanga chumba na sebule, baba na mama mkwe wanalala chumbani na mimi na mume wangu tunalala sebuleni hali iliyonifanya nihame nije kuishi kwa wazazi wangu” anasema Huruma.

Mama na mtoto huyo wanaishi mtaa wa Ilembo mjini Vwawa wilayani Mbozi, wamefika ofisi ya mkuu wa wilaya kuomba msaada, ofisi hiyo imetoa kibali ili mama huyo azunguke mitaani kuomba msaada kwa wasamaria apate fedha za kumpeleka mgonjwa Muhimbili Dar es Salaam.

Huruma anao watoto wawili, ambapo mkubwa ni Sabina Laurence (3) na Erica ambaye ni mgonjwa.

Baba ya wa mtoto Laurence Msongole alipohojiwa juu ya tuhuma za kumtelekeza mke, anasema yeye hajagoma kutoa fedha ila hana fedha hizo hata nauli ya kwenda rufaa jijini Mbeya anashindwa.

Babu wa mtoto huyo Hatson Mwaijande anasema imekuwa ni mzigo kwake kwani mkwe wake amemwachia gharama zote za kuzunguka na mtoto, hata chakula chao ni shida inabidi awasaidie kwa kuwapa mtaji wa kuuza maparachichi kwa ajili ya kujikimu.
"Mkwe wangu ni fundi uashi lakini hatoi fedha kwa ajili ya famila yake, hii inasikitisha sana" anasema kwa masikitiko Mwaijande
Mwisho.
Kwa habari zaidi tembela MAISHA NI VITA BLOG:

Friday, January 16, 2009

Kifaru huyo Vipi?

Hmmm? Wadau, huyo kifaru amevishwa thong au ni ugonjwa wa ngozi?

Rais Bush amekoa maisha ya watu zaidi ya Milioni 10

Rais Bush anachukiwa na watu wengi sana hapa Marekani na duniani. Lakini alifanya kitu ambacho watu wanasahau, kutoa misaada na dawa kwa wagonjwa wa UKIMWI barani Afrika na Caribbean.

Kwa kweli ameokoa maisha ya watu na vizazi vijavyo Afrika, lazima tumpongeze kwa hiyo.

Dr. Bill Frist anasema:


In my annual medical mission trips to Africa during the Bush administration, I saw the cost of treatment for HIV with life-saving antiretrovirals (ARVs) drop from $4,000 a year to $125. The number of Africans on ARVs jumped from 50,000 to 2.1 million.

na:

Our visits with villagers all over the country opened our eyes to how Bush's five-year, $1.2 billion effort to combat malaria has provided 4 million insecticide-treated bed nets and 7 million life-saving drug therapies to vulnerable people. Yes, George Bush the healer.

Soma:

http://www.cnn.com/2009/POLITICS/01/15/frist.bush/index.html

Thursday, January 15, 2009

Ndege Imeanguka New York!


Ndege ya US Airways, imeanguka huko New York. Ni US Airways Flight 1549. Kwa bahati imeaguka mtoni Hudson River. Ilikuwa hewani, dakika tatu kabla ya ndege aina ya bata kuingia kwenye injini zote mbili.
Abiria wote 148 wako salama! Ndege ilikuwa inatoka LaGuardia Airport kwenda Charlotte, North Carolina.

Abiria wanasema walibakia kuomba baada ya rubani kutangaza "Brace for Impact"!
Kwa habari zaidi someni:

Kiwanja cha Ndege Bagamoyo


Hivi mlikuwa na habari kuwa huko Bagamoyo kuna kiwanja cha ndege? Naona imesahaulika! Cheki majani yanavyota huko! (picha kutoka Mjengwa blog)

Hakuna Petroli Dar!


Samahani, lakini hii suala inaniudhi sana tena sana. Yaani bei ya mafuta ni dola $37 kwa pipa lakini huko Dar wafanyabiashara walikataa kushusha bei ya mafuta. Serikali iliwamuru washushe bei na sasa hakuna mafuta! Khaa!

Samahani, lakini kweli nimemkumbuka Mwalimu Nyerere. Angewadhibiti na ushenzi wao mara moja! Huo ushenzi waliofanya ni zaidi ya Ubepari!

*************************************************************************
Kutoka ippemedia.com

Gosh! Dar pumps `run` out of petrol

2009-01-13

By Angel Navuri

Petrol was reportedly out of stock at most filling stations in Dar es Salaam yesterday, hardly a fortnight after the government announced that the country had enough stocks to meet national demand for at least one month.

Many motorists were forced to queue for hours at two filling stations, namely Gapco at Africa Sana in Sinza and Total at Victoria area in Kinondoni municipality where petrol was on sale.

A quick survey carried out at most filling stations in the city yesterday showed that almost all stations operating under the banners of Gapco, BP, OilCom, Engen and Total did not have fuel.

Sales persons at various stations said in separate interviews that petrol had run out of stock, but speculations around the city were rife that the shortage had been artificially created by oil dealers themselves who were out to reap higher prices through the ``run on low stocks.``

In an interview with The Guardian, Gapco fuel salesperson, Michael Kalunga said that petrol is not available in the city but would probably be available this week.

This has been a problem since last month...it`s only that there was still a small amount of petrol remaining in circulation at the filing stations, he said.

Total salesperson Mildred Joseph attributed the shortage to the government pressure on dealers in making sure that pump prices drop. That could be the reason that has never happened before, why now? said Joseph.

An Oil Com salesman, Ali Mohamed, explained that shortage of petrol had been a problem, but it will be over this week. He said the problem of petroleum had nothing to do with other filling stations being closed.

A BP salesperson, Daniel Mhina, said that petrol shortage had been there over the last three days only that it wasn`t that serious because there was still little circulating in the system.

We are not sure if it is true that there is a shortage of petrol or they have decided to be on a go-slow.

Why should it happen now when there is a tug-of-war between the government and the oil dealers, querried daladala driver Timothy Swai.

Swai added that the government should be serious about the matter and make sure that oil companies cooperate well with the regulators.

A taxi driver, Ben Mwakey, advised the government to cancel licenses of oil dealers who are not ready to adopt its indicative price cap.

This is just ridiculous. Since they have been forced to lower pump prices, they have decided to create shortage of petrol. The government should revoke their licenses to teach them a lesson, said Mwakey.

When contacted for comment on the petrol shortage, Energy and Water Utilities Regulatory Authority director of petroleum Sirll Massay could not give an immediate response.

When `The Guardian` called him in the first place he answered the phone, but said he was driving and would respond later. However, he hung up when this paper made several other attempts to reach him.

On December 29, last year Energy and Minerals deputy minister Adam Malima said there were enough fuel stocks to meet national demand for at least a month.

Oil dealers hiked pump prices during end of the year festivities, compelling the government to intervene and set prices through Ewura, hardly two week ago.

However, since then some oil dealers have been reluctant to comply with the government directive.

SOURCE: Guardian

Wednesday, January 14, 2009

Bibi yake Obama Atakuwepo D.C.


Bibi yake Barack Obama, wa Kenya, Sarah Obama (86) yuko njiani kuja Marekani kwenye sherehe ya kumwapisha mjukuu wake kuwa Rais wa Marekani. Sherehe za kumwapisha zitakuwa jumanne ijayo 1/20/09.

Mungu ambariki na amlinde katika safari yake. Nadhani maishani mwake hakutegemea kuwa mjukuu wake atanyakua wadhifa mkubwa hivyo.

Mnaweza kuona video hapa:


Kwa habari zaidi someni:

Tuesday, January 13, 2009

Watu 27 Wafa katika Ajali Tanga!

Watu 27 wamekufa katika ajali ya Basi karibu na Hale, Tanga. Nadhani wakati umefika wa serikali kurudisha ule utaribu wa mabasi kutosafiri baada ya saa mbili jioni ili kuokoa maisha ya watu. Huo utaratibu ulikuwepo miaka ya 80 mwishoni baada ya ajali nyingi za mabasi ya mikoani. Mamia ya watu walipoteza maisha na ajali nyingi zilikuwa zinatokea usiku.

*****************************************************************************

Kutoka ippmedia.com

http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2009/01/12/129530.html

Another road accident in week kills 27

2009-01-12

By Lulu George, Tanga

Twenty seven people died on the spot on Saturday night at Hale, near Tanga, hardly a week after 11 family members perished in another grisly road carnage.

As usual police have attributed the accident to speeding but avoided to speak about the much publicised speed governors which bus owners were ordered to install in their buses in the late 1990s.

The Saturday accident occurred at 8.30 pm after a Tanga bound bus christened Tashreef rammed into a stationary lorry, killing 27 on the spot and injuring 23, two of them seriously. The bus was travelling from Dar es salaam to Tanga.

The Chief of Traffic Police James Kombe, on his way to the accident scene, said yesterday that they were in the process of re-introducing new speed governors, more than ten years after the earlier ones were discarded.

He, however, did not say when exactly the gadgets would be installed in the passenger buses.

Tanga Regional Police Commander Simon Sirro said the driver of the fateful bus escaped immediately after the accident and was being sought by police.

He said the conductor and the turn boy of the bus were among the dead.

Tanga Regional Commissioner Mohammed Abdulaziz who arrived at the scene few minutes after the accident, broke into tears after he saw the mangled bodies.

One of the injured Omar Khalfan said the driver of the bus was speeding when the accident occurred.

``Probably he was rushing to reach Tanga before midnight, the deadline for passenger buses to travel,`` he said.

The injured have been admitted to the Muheza designated hospital and Bombo hospital respectively.

Eighteen bodies out of the 27 had been identified as of yesterday.

Sirro named them as; Idirisa Bakari, Hamidu Titu, Salama Ramadhan, Mbaruku Salum, Mussa Hussein, Msahamu Alli, Rahabu Jamal, Shaban Bakari, Hamad Alli and Omar Salehe.

Others are; Amir Sanyo, Salim Musa, Omar Al jabri, Napendaeli Msangi, Said Abdallah, police officer WP Corporal Mariam and two members of the Tanzania People\'s Defence Forces Corporal Mbaraka Mafoni and Corporal Deo Zakaria.

One of the injured Hamid Swahib said soon after the accident, a group of villagers arrived at the scene and started looting from the victims.

``They took my mobile phone and my handbag,`` Swahib said.

This is the second bad accident to occur this year, after last week a mini bus full of family members rammed into a stationary lorry killing 11 of them at Himo in Kilimanjaro Region.

SOURCE: Guardian

Picha Blog

Mduara huko Mnazi Mmoja

Daily News/Habari Leo wana blogu ya picha:

Kuna picha nyingi za matukio ya hivi karibuni huko.

http://dailyhabari.wordpress.com/

Bikira wa Miaka 107 Anataka kuolewa huko China!!

Leo ni siku ya mabikira!

Huko China, Bi Kizee Wang Guiying (107) anasema anataka kuolewa kwa mara ya kwanza katika maisha yake. Anasema pia bado ni bikira.

Bi Wang, anasema kuwa alikuwa mwoga wa kuolewa kwa vile aliona wanawake walioolewa wakipigwa na waume zao. Alisema hakutaka maisha ya hivyo, hivyo alikuwa na shamba na aliamua maisha yake itakuwa ni ya kulima.

Ila sasa anakaribia kuwa na miaka 108 na amekuwa mpweke. Anasema kuwa sasa anataka mwanaume wa kukaa naye. Yuko tayari kumkubali kijana wa miaka 90 au hata 100! Huko China wasamaria wema wanamtafutia mume huko kwenye nyumba za wazee.

Na kuna watu wamesema itakuwa vigumu kwa Bi Wang kupata mume maana hao wazee wenye miaka 90 wanatafuta maspring chicken wenye miaka 70!

Kwa habari zaidi someni:

http://chattahbox.com/curiosity/2009/01/12/107-year-old-woman-seeks-husband/

http://www.telegraph.co.uk/news/worldnews/asia/china/4222884/Woman-107-seeks-husband.html

http://newsblaze.com/story/20090112100351reye.nb/topstory.html