Tuesday, March 30, 2010

Waafrika Waalikwa Kukutana na Gavana Patrick


Wadau, waafrika tunaoishi Massachusetts tunaalikwa kukutana na Gavana Deval Patrick. Gavana Patrick ni mweusi wa kwanza kushika wadhifa huo. Twendeni tusikie anasema nini. Pia itakuwa nafasi kuongea dukuduku zako. Natabiri waNigeria wataihijack!

**********************************************
The Governor's African Council (GAC)


Invites you to

THE FIRST
African Town Hall Meeting

with
Governor Deval Patrick

At

The Tobin Community Center , 1481 Tremont St .
Roxbury Crossing , MA . 02120

Doors open at 2:15pm . Governor will speak at 3:00pm

Please RSVP and Volunteer to Organize!

Spread the Word and Let Us Work To Strengthen the African Voice!

***********************************************************

GOVERNOR'S AFRICAN COUNCIL (GAC)

The Governor's African Council (GAC) is an independent community initiative that aims to strengthen the African Voice in Massachusetts through political and civic engagement.

The GAC's objective is to unify and increase the participation of the African community in the Massachusetts political processes and build a voice that can advocate for the community's needs.

GAC is organizing the First African Town Hall Meeting as one way to give voice to the issues of the African community. It is one of the many major events GAC will be organizing to strengthen the African voice in Massachusetts .

If you are interested in learning more or being a part of building the GAC, please email us at gaccampaign@gmail.com or call us at 617-5447- GAC.

Tuzo ya Ousmane Sembene katika ZIFF 2010 - Mshindi kupata kitita cha Dola elfu 5

Tuzo ya Ousmane Sembene katika ZIFF 2010,Mshindi kupata kitita cha Dola $5,000

Shirika la GTZ likishirikiana na Tamasha la nchi za Jahazi (ZIFF) kwa mara ya tatu tena mwaka huu 2010 watatoa tuzo ya Filamu ya Ousmane Sembene, tuzo hii italenga hasa katika filamu fupi ambazo hazijazidi dakika 20 na ambazo zitakua zimezungumzia au kugusia masuala yanayoikabili jamii ya kitanzania hasa katika mambo ya Ukimwi, Jinsia, Elimu na umasikini.Mshindi atajinyakulia kitita cha dola za kimarekani 5,000 taslimu papo hapo kwaajili ya kumsaidia katika kutengeneza filamu nyingine ama kuboresha kazi zake.Wale wote watakaotaka kushiriki katika tuzo hii wawasilishe filamu zao kabla ya tarehe 30/04/2010 kwa kujaza fomu za kawaida zinazopatikana katika tovuti yetu www.ziff.or.tz

Daniel Nyalusi
Events and Film Program Coordinator
Zanzibar International Film Festival

Mafuriko Boston

Kwa siku kadha tunapigwa na mvua hapa Boston. Haiishi! Hata jua tumesahau ikoje! Watu wengi wamekuta basemenst zao zimefurika, na wamepoteza vitu waliyoweka huko. Mto Charles na mito mingine imefurika. Barabara kadhaa zimefungwa. Kama wangeweza kutuma huo mvua Afrika wangetuma! Gavana wa Massachusetts ameomba msaada kwa serikali Washington D.C. kwa walioathirkia.

Mimi nasema nashukuru siyo snow (Theluji) si ingesha fika futi sita! Mbona tungekoma!

http://news.yahoo.com/s/ap/us_severe_weather

Monday, March 29, 2010

Tumwombee Rais Obama

Wadau, nimepokea hii kwenye e-mail. Ni kweli kuna watu wanamwombea rais Obama mabaya. Kuna watu wanaomba hata afe wakidai eti ni mkomunisti! Zaidi ya hiyo wanachukia kuongozwa na mweusi. Habu ona zile rallies za Sarah Palin, na Tea Party ni akina nani wanaoenda? Tumwombea uzima Rais Obama!

*************************************************
Pray for our President

If you have not noticed...few Presidents have ever worked this hard for our country, having to deal with such hatred and ill-will. Many wonder, does he ever sleep? Only God can sustain such energy, knowledge and person. Will you please join in this prayer?

Let's keep this going!

Lord, We pray for optimum health, mental clarity and political prosperity for President Barack H. Obama. We pray that what he lacks in political 'experience' you make up for with supernatural wisdom and power.

We also pray that when his enemies come upon him they will stumble and fall; and that your love will fill his heart to the end that 'Your will' be done through him.

We pray mightily for his protection. As we plead the Blood of your son, Jesus, over him and his family. We reverently ask you to dispatch legions of angels to protect them from all hurt, harm, danger as he serves as the President of the United States of America.

We thank you and praise you for answering our sincere prayers, in Jesus' precious name, AMEN.
All you are asked to do is keep this circulating if you are so inclined.

May God bless and keep you...

Saturday, March 27, 2010

Kumbe Kweli Michael Jackson Alikuwa Anajichubua!

Michael Jackson kabla hajajichubua
Michael Jackson baada ya kujichubua


Ukweli umefichuka. Kumbe ni kweli Michael Jackson alikuwa anajichibua na makrimu, ndo maana rangi yake iligeuka kuwa kama mzungu. Jackson alikuwa anaumwa ugonjwa wa Vitiligo ambao muathirika anakuwa na mabaka mwilini. Ni mweusi lakini nakuwa na vipande vikubwa kama ngozi ya kizungu. Mimi niliona vigumu kuamini habari ya vitiligo. Kwanza nafahamu watu wengi hapa Marekani ambao ni waathrika na hata wakipaka make-up kuficha mabaka utawajua tu. Kumbe Jackson aliaamua awe mzungu kimoja na afute hayo mabaka meusi!

Leo kuna habari kuna tube kibao za krimu za kujichubua zilikutwa nyumbani kwa Jackson alivyofariki. Wanasema kuwa watu walijaribu kuzificha. Miaka ya 80 mwanzoni kulikuwa na madai kuwa Michael Jackson alikuwa anaoga katika madawa ya kujichubua na usikua alikuwa anajipaka makrimu kibao za kujichua na kusudi ziwe kali zaidi alikuwa anafunika mwili waka na plastiki (cling wrap) wakati analala. Kulikuwa na habari kuwa Jackson alisema kuwa anachukia weusi wake. Huenda ni kweli maana alichonga pua yake kuwa kama ya mzungu.
Kwa habari zaidi someni:



Sinema kuhusu Askofu Kibira wa Kanisa Lutheri

Mtengeneza sinema maarufu wa kiTanzania, Josiah Kibira, anakuja na sinema mpya hivi karibuni. Sinema hiyo inahusu maisha na kazi aliyofanya marehemu baba yake mzazi, Askofu Josiah Kibira. Itakuwa kwenye format ya documentary. Tazameni trailer iliyoko YOU TUBE.




Mnaweza kusoma Biography kuhusu Askofu Kibira hapa:

http://www.dacb.org/stories/tanzania/kibira.html

Thursday, March 25, 2010

Let it Go!


This is so truthful! Please read it to the end...this message could change your way of life!

By T. D. Jakes

There are people who can walk away from you.

And hear me when I tell you this! When people can walk away from you: let them walk. I don't want you to try to talk another person into staying with you, loving you, calling you, caring about you, coming to see you, staying attached to you. I mean hang up the phone.

When people can walk away from you let them walk. Your destiny is never tied to anybody that left.

The bible said “That they came out from us that it might be made manifest that they were not for us. For had they been of us, no doubt they would have continued with us”. [1 John 2:19]

People leave you because they are not joined to you. And if they are not joined to you, you can't make them stay.

LET THEM GO!!!

And it doesn't mean that they are a bad person it just means that their part in the story is over. And you've got to know when people's part in your story is over so that you don't keep trying to raise the dead. You've got to know when it's dead.

You've got to know when it's over. Let me tell you something. I've got the gift of good-bye. It's the tenth spiritual gift, I believe in good-bye. It's not that I'm hateful, it's that I'm faithful, and I know whatever God means for me to have He'll give it to me. And if it takes too much sweat I don't need it.

Stop begging people to stay….

LET THEM GO!!!

If you are holding on to something that doesn't belong to you and was never intended for your life, then you need to......

LET IT GO!!!

If you are holding on to past hurts and pains......

LET IT GO!!!

If someone can't treat you right, love you back, and see your worth.....

LET IT GO!!!

If someone has angered you….

LET IT GO!!!

If you are holding on to some thoughts of evil and revenge.....

LET IT GO!!!

If you are involved in a wrong relationship or addiction......

LET IT GO!!!

If you are holding on to a job that no longer meets your needs or talents….

LET IT GO!!!

If you have a bad attitude......

LET IT GO!!!

If you keep judging others to make yourself feel better......

LET IT GO!!!

If you're stuck in the past and God is trying to take you to a new level in Him........

LET IT GO!!!

If you are struggling with the healing of a broken relationship......

LET IT GO!!!

If you keep trying to help someone who won't even try to help themselves......

LET IT GO!!!

If you're feeling depressed and stressed..........

LET IT GO!!!

If there is a particular situation that you are so used to handling by yourself God is saying 'take your hands off of it' - then you need to......

LET IT GO!!!

'The Battle is the Lord's!'

During the next 60 seconds, Stop whatever you are doing, and take this opportunity. (Literally it is only ONE minute!) All you have to do is the following:
You simply say 'The Lords Prayer' for the person that sent you this message….

The Lords Prayer:

Our Father, who are in Heaven, Hallowed be Thy Name, Thy Kingdom Come, Thy Will be done, on Earth as it is in Heaven. Give us this day, our daily bread and forgive us our trespasses as we forgive those who trespass against us. And lead us not into temptation but deliver us from evil. For Thine is the Kingdom, and the Power, and the Glory, forever. Amen.


Next, if you have faith and believe send this message to everyone you know. In a while, more people will have prayed for you and you would have obtained a lot of people praying for others. Stop, think and appreciate God's power in your life, for doing what you know is pleasing to Him.

‘Yes, I love my God. He is my fountain of Life and My Savior. He loves us and watches over us every day.

He keeps me going day and night. Without Him, I am no one. But with Him, I can do everything, Christ is my strength’

Tuesday, March 23, 2010

Journalism Fellowship in USA

Asante Da Subi kwa kuleta taarifa hii:

************************************


UC Berkeley
J-School opens 2010-2011 fellowships for African journalists

The Graduate School of Journalism at the University of California at Berkeley is pleased to invite applications for three yearlong fellowships for accomplished African journalists, beginning in the 2010-2011 academic year.

The fellowships will each total $36,000, including round trip airfare, professional stipends, and rent while in Berkeley.

The selected fellows will join the School’s Visiting International Scholars Program and participate in a new journalism training initiative aimed to provide high quality coverage of agricultural development issues in Africa for dissemination in U.S., African, and international media. The initiative will also offer dedicated funding for both domestic U.S. and Africa travel for research and reporting work.

Requirements:
Selected fellows must bring at least five years experience in journalism in sub-Saharan Africa, in any medium including print newspaper, magazine, television, radio, documentary, or new media format such as blogging, podcasting, and other online publishing.

Applicants also must demonstrate a proven track record of commitment to the truth-seeking craft, and a willingness to effectively investigate the problems of hunger on the continent with an aim to publish or broadcast stories about these topics and bring them to light in compelling form for audiences in Africa and around the world. A B.A. degree, at minimum, is strongly desired, along with experience and knowledge about agricultural issues in the applicant’s native country.

Selected African fellows will enroll with other Visiting Scholars in background courses at Berkeley examining the global food crisis starting in late August 2010, while also contributing their knowledge about Africa and journalism to their U.S. and international peers.

Please submit applications via the online form (click here).

To access the form, use the password: africa2010

The form provides spaces to include your resume, a one-page cover letter containing a statement of interest, and links to three examples of work.

For questions, contact africa@journalism.berkeley.edu

Deadline for applications: Monday, March 29, 2010

This opportunity is part of a two-year grant provided by the Bill & Melinda Gates Foundation to the Graduate School of Journalism at the University of California at Berkeley.


PS: Hii nimeipata leo 23.03.10
Subi|www.wavuti.com

Michuzi Safarini Uingereza


Mwasisi wa habari za jamii mtandaoni (social media) nchini Bw. Muhidin Issa Michuzi (pichani) anaondoka leo Jumatano kuelekea London, Uingereza, kuhudhuria kongamano la pili la Watanzania wanaoishi nchi za nje (Diaspora 2 conference) kwa mwaliko maalumu akiwa kama blogger.

Bw. Michuzi, ambaye ametoa mchango mkubwa katika kupromoti habari za jamii mtandaoni kupitia blog yake maarufu ndani na nje ya nchi iitwayo issamichuzi.blogspot.com, amealikwa huko mkutanoni na ubalozi wetu Uingereza ili kutoa mada inayohusu umuhimu wa habari za jamii mtandaoni katika kujenga daraja kwa walio ndani na nje ya nchi.

Akiongea nasi leo kabla ya kukwaa pipa la shirika la ndege la Emirates, Bw. Michuzi ambaye pia ni maarufu kwa majina kama Mzee wa Libeneke, Mdau na Ankal, amesema amefarijika sana kuona kumbe kuna wanaotambua mchango mkubwa unaoletwa na vyombo vya habari za jamii mtandano, hasa blogs.

Amesema anajisikia mwenye furaha sana kuona azma yake ya kuifanya tasnia hii ya kupashana habari kwa njia ya intaneti kwa waandishi wa hapa nyumbani unatambulika na kukubalika na kupewa heshima stahili kama ilivyo kwa vyombo vya kawaida kama vile magazeti, redio na luninga.

Bw. Michuzi, anayeweka rekodi ya kuwa bloga wa kwanza nchini kualikwa kama bloga kwenye mkutano muhimu kama huo, anaushukuru ubalozi wetu Uingereza chini ya Balozi Mh. Mwanaidi Maajar ambaye naye anakuwa miongoni mwa wazalendo wa kwanza kuutambua hadharani mchango wa wanahabari za jamii mtandaoni kwa kutoa mwaliko huo.

"Nilijua iko siku wanahabari za jamii mtandaoni tutatambulika na mwaliko huu hakika umekuja wakati muafaka kwani msisimkmo na mwitikio wa jamii kuikubali njia hii ya mawasiliano hapa nyumbani umekuwa mkubwa kuliko ilivyotarajiwa.

"siku hizi habari za jamii mtandaoni zinachukua kiti cha mbele katika kusomwa na wenye kuwa na intaneti kutokana sio tu na habari kuwa za uhakika, zisizochujwa na za haraka bali pia kwa kule wasomaji kupata fursa ya kuchangia habari waionayo tofauti na ilivyo kwa magazeti, redio na luninga.

"dunia imezidi kuwa kijiji kimoja kidogo kwa teknohama hii ambayo hata Rais Jakaya kikwete yuko mstari wa mbele kutaka iendelezwe mijini na vijijini ili kuwezesha wananchi wawe na habari za uhakika, za haraka na zenye kutoa fursa ya wasomaji kuchangia maoni" alisema Bw. Michuzi.

Blog ya issamichuzi.blogspot.com ilianza rasmi Septembe 8, mwaka 2005 katika jiji la Helsinki, Finland, ambako alikwenda kuhudhuria mkutano wa Helsinki Conference akiwa kama mwandishi na mpiga picha wa gazeti la Daily News.

Alikuwa ni bloga wa siku nyingi aliyekuwa anaishi Marekani wakati huo, Bw. Ndesanjo Macha, aliyemshawishi Bw. Michuzi kufungua blog yake na kuwa bloga wa kwanza wa Tanzania kuupasha ulimwengu ya kila linalojiri nchini, kazi ambayo ameifanya kwa ustadi mkubwa kiasi ni hivi majuzi tu ameweza kufikisha wasomaji milioni 8, kati ya hao asilimia 30 wakiwa ni wasomaji wa hapa hapa Tanzania.

Bw. Michuzi ameweka wazi kwamba amefurahi na kusisismkwa sio kwa sababu anakwenda ulaya, kwani ameshatembelea karibu miji mikubwa yote duniani, ukiondoa Australia na New Zealand, ila amefarijika kwa sababu hatimaye blog zimeanza kutambuliwa rasmi.

Anatoa masikitiko yake kwamba pamoja na fanaka hiyo, lakini bado hapa nyumbani jamii, hasa ya mahafidhina (conservatives) wasiotaka mabadiliko wamekuwa wazito kukubali kwamba vyombo vya habari za jamii mtandaoni vimeshapata nguvu sawa na vyombo vya kawaida kutokana na wingi wa wasomaji na hata kupelekea kujitokeza kwa wadhamini wanaotangaza biashara zao humo.

Pamoja na mambo mengine, Bw. Michuzi amesema anatamani sana kuanzisha umoja wa wanahabari za jamii mtandaoni ili kutetea na kulinda maslahi yao pamoja na kuindeleza tasnia hii ambayo inakua kwa kasi za ajabu.

Kwa mahesbu ya haraka haraka hivi sasa kuna blog zinazotumia lugha ya kiswahili zipatazo 200 ambapo pia blog takriban 10 zinaanzishwa kila siku, na kuifanya Tanzania kuw nchi zinazoendelea katika tasnia ya habari kwa njia ya mtandao.

Sunday, March 21, 2010

Sinema - On the Mean Streets

Jumamosi niliigiza katika sinema fupi iitwayo 'On the Mean Streets'. Sinema hii imetungwa na mwanafunzi Brian Goodwin ambaye ni mwanafunzi Emerson College hapa Boston. Mimi niliigiza kama mwalimu wa Kiingereza wa Sekondari. Nakutana na kijana wa kizungu ambaye anadhani maisha ya Roxbury wa Boston ni ya ghetto na weusi wote huko ni maskini. Naishia kuchukia jinsi kijana wa kizungu alivyokuwa na mawazo finyu kuhusu Roxbury. Sinema inempigwa kama 16MM Format.

Kati ya Shots. Mimi kama Mwalimu Cheryl. Brian Goodwin aliigiza kama Pinkerton, mzungu mwenye mawazo finyu juu ya Roxbury.
Mshika Boom (Sauti), rafiki yangu na msanii mwanzangu katika kikundi cha Oscar Micheaux family Theater Charles 'Matumbi' Jackson, mimi na Brian. Charles aliigiza kama mlevi.

Tumemaliza shoot! Hapo ni mtaa wa Parker St. karibu na Roxbury Crossing. Huyo binti aliyeshika Camera alipata taabu sana maana ilikuwa nzito kweli. Walikuwa na tgripod, lakini kwenye script waliandika scene ipigwe kwa Handheld (Kamera Mkononi). Lakini binti alikuwa 'rpo' alisema ataipiga handheld!

Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje Nchini Algeria

Kumradhi, taarifa hii nilikuwa nayo kwenye e-mail tangu 3/15/10. Taarifa inatoka kwa mwanafunzi wa kiTanzania anaye soma Algeria. Mheshiwa Membe alikuwa ziarani Algeria mwanzoni mwa mwezi huu. Mnaweza kupata picha na habari zaidi kwa Kaka Michuzi.


*************************************************************************

Na MDurban the King


ZIARA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA TANZANIA NCHINI ALGERIA :
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA TANZANIA MHESHIMIWA BERNAD MEMBE AITEMBELEA ALGERIA NA KUFIKISHA UJUMBE MAALUM WA RAISI MHESHIMIWA JAKAYA KIKWETE KWA RAISI ABDUL AZIZ BUTAFRICA.MHESHIMIWA MEMBE ALIAMBATANA NA UJUMBE WAKE WA WATU WANNE AMBAO NI MBUNGE WA MBEYA, BALOZI ANAESHUHULIKIA MASUALA YA AFRICA, DR. LEONIDA MUSHUKOLWA NA MSAIDIZI WA WAZIRI.

PIA MHESHIMIWA MEMBE ALIWEZA KUKUTANA NA WANAFUNZI WA KITANZANIA WANAOSOMA NCHINI ALGERIA.

MHESHIMIWA MEMBE ALIONESHA MFANO WA KUIGWA SIO TU KWA TANZANIA BALI KWA NCHI EAST AFRICA KWA UJUMLA, KWA KUONESHA KUJALI RAIA WA NCHI YAKE KWA KUFANYA NAO KIKAO KILICHOCHUKUA ZAIDI YA MASAA MANNEE AKIWAELEZEA MASUALA YANAYOHUSU NCHI YAO KISIASA, KIUCHUMI NA KIJAMII, LICHA YA KUONESHA KUWA KIUTENDAJI TU BALI NI MTU ANAYEJUA MAJUKUMU YAKE PIA.

MFANO MMOJA YA MASUALA ALIYOYAZUNGUMZIA NI TANZANIA NA MGOMBEA BINAFSI, WATANZANIA KUWA DUO NATIONALITIES NA KUANZISHWA KWA DIASPORA YA WATANZANIA WANAOISHI NJE YA NCHI, MASUALA YA WABUNGE NA MENGINE MENGI MAZURI KAMA UTALII NA KADHARIKA.
PIA ALIWEZA KUPOKEA MAONI YA WANAFUNZI HAO JUU YA NAMNA GANI YA KULIENDELEZA TAIFA LAO,
MHESHIMIWA MEMBE WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA TANZANIA AMEONESHA KUWA MFANO WA KUIGWA KUTOKANA NA KUJALI RAIA WAKE BILA KUBAGUA RIKA WALA KABILA

TANZANIA INABAHATI YA KUPATA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WAZURI MFANO MWENGINE KAMA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE BALOZI SEIFU IDDY AMEKUWA AKISIFIWA PIA NA WANAFUNZI HAO, KWA UCHAPA KAZI WAKE NA UTU WAKE.
PIA MHESHIMIWA MEMBE ALIWEZA KUCHANGIA CHAMA CHA WANAFUNZI HAO ZAIDI YA DOLA 2000 ZA KIMAREKANI, WANAFUNZI HAO WALIOMBA MAWAZIRI WENGINE WAWE MFANO WA KUIGWA KTK UFANISI WAO WA KAZI NA KUYAJUA MAJUKUMU YAO KWA RAIA WAO.

AIDHA TANZANIA IEMKUWA NCHI RAFIKI WA ALGERIA KWA MUDA MREFU SANA!!WANAFUNZI HAO WALISISITIZA NCHI YA TANZANIA KUWA NA URAFIKI ZAIDI NA NCHI KAMA ALGERIA KWANI ZINAMANUFAA MAKUBWA ZAIDI ENDAPO NCHI HIZO ZIKIZIDISHA URAFIKI KULIKO TANZANIA KUWA NA URAFIKI NA NCHI KUBWA ZA KIBEPARI AMBAZO ZIMEKUWA NYONYAJI KWA NCHI MASIKINI.

CHI NYINGI MASKINI ZA AFRICA ZIMEKUWA ZIKIJISAHAU NA KUOMBA MISAADA AMA KUZIGEUKIA NCHI KUBWA ZIKIDHANI NDIYO SOLUTION YA KUMALIZA MATATIZO YAO WAKATI KUNA NCHI NDOGO AMBAZO ZINAWEZA ZIKAZISAIDIA NCHI MASKINI ZAIDI KULIKO NCHI BEPARI AMBAZO MARA NYINGI ZINAKUWA KIMASLAHI ZAIDI KULIKO FAIDA KWA NCHI MASKINI.

MFANO MZURI WA MAMBO WALIYOISHAURI SERIKALI NI ALGERIA INAWEZA KUTOA SCHOLARSHIP ZAIDI KWA TANZANIA. ALGERIA NI SOKO ZURI KWA KUUZA BIDHA ZETU ZA KILIMO KAMA MATUNDA,VIUNGO,CHAI KAHAWA N.K. PIA ALGERIA INAWEZA KUWEKEZA TANZANIA KTK NYANJA YA VIWANDA KTK BIDHAA ZA KILIMO N.K, INAWEZA KUISAIDIA TANZANIA KTK MASUALA YA GESI KWANI NI IMEKUWA NAUTAALAMU WA MASUALA YA NISHATI KWA MUDA MREFU SANA. ALGERIA IMEKUWA IKITOA GESI NA MAFUTA NA NDIYO INATEGEMEA PATO LAKE KUBWA KTK BIDHAA HIZI,ALGERIA NI MOJA YA NCHI ZINAZOTOA GESI KWA WINGI DUNIANI.

PIA ALGERIA INAWEZA KUSAIDIA TANZANIA KTK SUALA LA MIUNDO MBINU MFANO KUPUNGUZA TATIZO LA FOLENI TANZANIA KWA KULETA WATAALAMU WAKE WA KUJENGA BARABARA ZA JUU NA CHINI YA ARDHI KWA GHARAMA NAFUU,KUWEKEZA KTK USAFILI WA RELI TOFAUTI NA ILIVYOSASA KWA KUTEGEMEA NCHI KAMA INDIA AMBAYO KIMIUNDO MBINU KTK RELI NA BARABARA IPO NYUMA KULIKO ALGERIA.

PIA WAMETOA PROPOSAL YA KUIOMBA SERIKALI IJENGE BARABARA ZA MITAANI(ZA NDANI)NDIYO SOLUTION PEKEE YA KUPUNGUZA WIMBI SUGU LA FOLENI,MFANO WALIOUTOA BARABARA YA NEW BAGAMOYO KUIPANUA PEKE YAKE BILA KUTENGENEZA BARABARA ZA NDANI HAITOSHI KWANI RAIA WOTE WATAKAOTOKA BAGAMOYO,TEGETA KUELEKEA MJINI WATAITAJI KUPITA NJIA MOJA KWENDA MJINI KWAHIYO SOLUTION NI KUJENGA NJIA HIZI ZA MITAANI ZITAPUNGUZA FOLENI KWA WATUMIAJI HAO KWA KUZITUMIA,MFANO ZIJENGWE NJIA ZA NDANI KUANZIA MWENGE KIJITONYAMA,MAKUMBUSHO,MWANANYAMALA ZIJEZITOKEE KINONDONI. HII NDIYO SIRI PEKEE YA KUPUNGUZA FOLENI NA BARABARA NYENGINE ZOTE JIJINI ZINAHITAJI HII PROJECT,MIPIA ALGERIA INAUWEZO WA KUISAIDIA TANZANIA MADAKTARI KWA GHARAMA NAFUU.

SUALA AMBALO WANAFUNZI WAMEONESHA MSISITIZO ZAIDI NI TANZANIA KUTIZAMA SOKO LA WATALII KUTOKA ALGERIA, KWANI IMEKUWA IKITOA WATALII ZAIDI KULIKO KUINGIZA, KWA HIYO WALIHAMASISHA TANZANIA KUTIZAMA NAMNA YA KUPUNGUZA URASIMU WA KIMAWASILIANO KTK YA NCHI HIZI MBILI MFANO UPATIKANAJI WA VISA, USAFIRI WA DIRECT WA ANGA.

PIA WALIISHAURI WIZARA YA UTALII IBADILISHE MFUMO WA UENDESHAJI UTALII NA KUWA ENDELEVU(SUSTAINABLE TOURISM/TOURISME DURABLE) KWA KUENDELEZA UTALII TANZANIA NZIMA UKANUFAISHA WATANZANIA WOTE,SERIKALI KUJARIBU KUWEKA SERA NZURI ZA UTALII NA KULINDA MALI ASILI ZETU,PIA WALIONGELEA SUALA AIR PORT YETU KUWA PICHA NZURI KWA KUPUNGUZA UPOTEVU WA MIZIGO YA WASAFIRI NA KUOMBA RUSHWA,KWANI IMAGE HALISI YA TANZANIA INAANZA KUONEKANA MLANGONI HAPO,PIA WALITOAMAPENDEKEZO YA SERIKALI KUFUNGUA UBALOZI AMBAO UTARAHISISHA MAMBO MENGI BAINA YA NCHI HIZO MBILI.

PIA WALIMPONGEZA RAISI KWA KUIPA SECTOR YA UTALII KIPAUMBELE NA WAZIRI WA UTALII NA MALI ASILI KWA KUJITAIDI KUBUNI NA KUENDESHA UTALII VIZURI KULIKO HAPO AWALI, PIA WANAFUNZI HAO WALIISAURI SERIKALI KWA KULITIZAMA VIZURI SUALA LA MGOMBEA BINAFSI KWANI WATANZANIA WANAITAJI KUELEMISHWA JUU YA SUALA HILO KABLA YA SUALA LA MGOMBEA BINAFSI KUPITISHWA.

PIA MH : MEMBE ALIAHIDI KUSHUHULIKIA MATATIZO YA WANAFUNZI HAO KAMA VILE MATATIZO YA KUCHELEWESHEWA POSHO ZAO NA BODI YA MIKOPO KWANI LIMEKUWA TATIZO SUGU, TATIZO LA EQUVALENCE YA VYETI VYAO PINDI WAMALIZAPO MASOMO YAO.

Thursday, March 18, 2010

Ray na Vincent Wanatafuta Waigizaji wa Kike Wapya!

Waigizaji wasichana wanahitajika RJ Company

03/18/2010


Kama unajihisi wewe ni mrembo basi kwa sasa tunatafuta wasanii wapya wa kike katika ofisi za RJ COMPANY zilizoko SINZA MORI. Lengo ni kuwapata wasanii wa kike ambao ni wapya katika tasnia ya filam nchini ili waje kushiriki katika filam mpya itakayoandaliwa na kampuni ya RJ. Umri ni kuanzia miaka 18 mpaka 28. Pia unaweza kutuma picha zako kabla hufika ofisini ili tuweze kukuona jinsi ilivyo.Muda wa ofisi ni saa 4 kamili asubuhi mpaka saa 12 jioni kwa siku za Jumatatu mpaka Ijumaa na siku za Jumamosi kuanzia saa 4 kamili asubuhi mpaka saa 8 mchana. HAKUNA GHARAMA ZOZOTE ZILE UTAKAZOLIPISHWA KWANI KAMPUNI INAJITOSHELEZA.

WASILIANA NA VINCENT aka RAY KUPITIA:Tel: +255 714 082729P.O. Box 11347
Email: vincentkigosi@gmail.com
Website: www.rjtanzania.com

*****************************************

Hapo napingana na Ray. Yaani watu zaidi ya miaka 28 hawawezi kuwa warembo? Angesema anatafuta kuanzia 18+. Katika sinema unahitaji waigizaji wa kila umri. Mambo ya vijana kujifanya wazee haipendezi. - Chemi

Weusi Wote Ondokeni Wal-Mart!


Hebu fikiria....uko dukani unafanya shopping raha mustarehe. Ghafla wanatangaza kuwa weusi waote milopo dukani muondoke mara moja! Si mwaka 1950 bali ilitokea juzi kwenye dula maarufu Wal-Mart huko New Jersey. Wal-Mart wanadai kuwa hawajui kama ni mfanyakazi au mtu wa nje alitangaza hivyo. Nacho weza kusema ni washenzi kweli! Hii tukio itaumiza Wal-Mart katika jamii ya weusi Marekani. Tutaenda Target na K-Mart sasa!

***********************
WASHINGTON TOWNSHIP, N.J. (AP) -- A Walmart store announcement ordering black people to leave brought chagrin and apologies Wednesday from leaders of the company, which has built a fragile trust among minority communities.
A male voice came over the public-address system Sunday evening at a store in Washington Township, in southern New Jersey, and calmly announced: "Attention, Walmart customers: All black people, leave the store now."
Shoppers in the store at the time said a manager quickly got on the public-address system and apologized for the remark. And while it was unclear whether a rogue patron or an employee was responsible for the comment, many customers expressed their anger to store management.
"I want to know why such statements are being made, because it flies in the face of what we teach our children about tolerance for all," said Sheila Ellington, who was in the store at the time with a friend. "If this was meant to be a prank, there's only one person laughing, and it's not either one of us."
Ellington, of Monroe, and her friend Patricia Covington said they plan to boycott the retailer until they're assured the issue has been addressed so it doesn't happen again.
The pair said they were stunned when they heard the announcement and initially believed they had misheard it. But once the words sank in, they grew angry.
"I depended on Walmart for all my needs, because the store has pretty much everything you could want," Covington said. "But until this issue is addressed in a way I'm comfortable with, I can't walk through those doors again."
Officials with Wal-Mart Stores Inc., based in Bentonville, Ark., said that the announcement was "unacceptable" and that they're trying to determine who made it and how it happened.
"We are just as appalled by this incident as our customers," the company said in a statement. "Whoever did this is just wrong and acted in an inappropriate manner. Clearly, this is completely unacceptable to us and to our customers."
This is not the first time the retailer has faced such problems.
There have been several past instances of black customers claiming they were treated unfairly at Walmart stores, and the company faced lawsuits alleging that women were passed over in favor of men for pay raises and promotions.
In February 2009, the retailer paid $17.5 million to settle a class action lawsuit alleging racial discrimination in its hiring of truck drivers.
And the U.S. Equal Employment Opportunity Commission sued the company in May 2009, claiming some Hispanic employees at a Sam's Club subsidiary in California were subjected to a hostile work environment. That suit alleges managers failed to stop repeated verbal harassment, including the use of derogatory words, against employees of Mexican descent.
However, the National Association for the Advancement of Colored People has said the company has worked hard in recent years to show it cares about diversity.
Bill Mitchell, a former Walmart employee who was shopping Wednesday at the store, said that he was saddened to hear about the announcement but that "as a black man, I've heard worse things."
As customer Sharon Osbourne, of Williamstown, left the store Wednesday, she called the announcement "appalling, stupid and sad."

Wednesday, March 17, 2010

Kasubi Tombs Zachomwa Moto Uganda!

Hii habari mbaya sana kwa waGanda. Watu wananza kuhofia vita inaweza kuanza wakati wowote!

Kasubi Tombs ni sehemu waliozikwa wafalme wa kabila la waBaganda. Eneo hiyo ina miaka 150, na Umoja wa Mataifa wanaitambua kama sehemu ya kihistoria. Zaidi ya makaburi ilikuwa ni kama makumbusho ya historia ya waBaganda. Kulikuwa na vitu kama mikuki na ngao, na vifaa vingine waliotumia mababu yao. Wazungu walishangaa uimara wa jengo hilo na pia ufundi waliotumia kuijenga. Kuteketezwa kwa hiyo jengo ni hasara kubwa kweli kweli.

Website ya Kasubi Tombs ni : http://www.kasubitombs.org/en/general/index.php

**********************************************************************

WaBaganda wakilia usiku wa kuamkia leo baada ya kuona nyumba inayohifadhi makaburi ya wafalme wao kuchomwa moto na watu wasiojulikana.

Kwa habari zaidi someni:

http://www.nytimes.com/2010/03/18/world/africa/18uganda.html


*******************************************

Kutoka: http://www.newvision.co.ug/D/8/13/713295

By Steven Candia

8:50pm Tuesday:
The Fire Brigade receives a call about the fire.

8:52pm:
The Fire Brigade dispatches the first fire truck.

9:03pm:
The commander of the truck radios the headquarters, asking for an additional fire engine (truck).
9:09pm: The headquarters dispatches another fire truck as well as a water truck. The first truck heads back to the station with a shattered windscreen. Fire fighter Dennis Apienu is injured in the left ear. Other fire fighters are in disarray. The vandalised truck is driven by an alternate driver under Police escort.

9:30pm:
The Police fire team regroups at the headquarters, calls for more security. A fire engine and a water tanker head to Old Kampala Police Station. Reinforced with two Police patrol trucks, the team makes a second attempt to reach the tombs but again come under attack and beat a hasty retreat.

10:41pm:
Team gets back at fire brigade headquarters with both windscreens of the trucks damaged. In the meantime, the fire is still raging, although the roof had not yet caved in. The Fire Brigade calls for more security. Lt. Gen. Katumba Wamala, the head of the Land Forces, arrives and placates the crowd.

11:00pm:
After Katumba’s intervention, the fire men make a third attempt to stop the fire. Armed with two fire engines and one water tanker, the squad makes it to the tombs, but the roof has already caved in, with huge flames still raging. Firemen, protected by the UPDF, reinforced with a bigger fire engine from the CAA, battle the inferno untill dawn.

6:37am, Wednesday

Crowds jam the smouldering ruins.
The source of the fire still a mystery.

Onyo - Mbinu Mpya ya Wizi Marekani

Passed along by Police Department & Courthouse


PLEASE READ


Several things to be aware of this year...as gangs and robbers are now plotting different ways to get a person to "stop" their vehicle.

Please send to your friends.

Please note:
There is a gang initiation reported by the local police department that gangs are placing a car seat by the road...with a fake baby in it... waiting for a woman, of course, to stop and check on the baby. Note that the location of this car seat will usually be beside a wooded or grassy (field) area ...and the person - woman - will be dragged into the woods- beaten and raped- usually left for dead. DO NOT STOP. DIAL 9-1-1 AND INFORM THEM.....

IF YOU ARE DRIVING AT NIGHT AND EGGS ARE THROWN AT YOUR WINDSHIELD. DO NOT OPERATE THE WIPER AND SPRAY ANY WATER BECAUSE EGGS MIXED WITH WATER BECOME MILKY AND BLOCK YOUR VISION UP TO 92.5% SO YOU ARE FORCED TO STOP BESIDE THE ROAD AND BECOME A VICTIM OF ROBBERS. THIS IS A NEW TECHNIQUE USED BY ROBBERS. PLEASE INFORM YOUR FRIENDS AND RELATIVES.

Sweet Eazy - Ijumaa

Wadau, kumradhi nina habari kibao za kubandika lakini nina matatizo na kompyuta nayo tumia.

*****************************************************
Pandeiro Repique are going back home to Rio de Janeiro, Brazil. Come to their final concert & after party. They are joined on stage by:

Carola Kinasha (TZ) - Vocal

Ashimba (TZ) - Vocal & Guitar

Grant Chamberlain (Australia) - Saxophones and Clarinet

Jakob Poll (Denmark) - Bass, Keyboards & Sound Effects

Venue: Sweet Eazy Oysterbay

Date: Friday, 19 March, 2010

Time: from 9pm

Entrance: 10k

Reservations: 0755 75 40 74

Sweet Eazy Oysterbay, for the Best Live Music - Every Thursday & Saturday.

Friday, March 12, 2010

Kazi New York kama unajua KiMatumbi!

Kutoka Craigslist.

I am making a film that incorporates the story of Kinjikitile "Bokero" Ngwale and the Maji Maji Rebellion in German East Africa during the turn of the century.

I am in need of a male to play the part of Bokero himself (voice only). The text that will need to be be read will be about 2 minutes in length, and will need to be translated from English. No prior acting or voice acting experience is necessary.

Ideally, I am looking for someone who can speak Matumbi, but someone who can speak Swahili or any other East African Bantu language with a Tanzanian or East African accent would work as well.

I am offering $30 compensation and will also provide credit in the film, a copy of the finished film, and a copy of your voice recording.

Recording can be done in person (either Union Square, Manhattan or Clinton Hill, Brooklyn) or over the internet - whichever is preferable for you.

If you are interested, please contact me with a voice sample and I will provide more details about the project.

Unaweza kumjibu kupita Craigslist!

Matumbi, Swahili, or Bantu speaking East African wanted for voice overgigs-zjap7-1640211759@craigslist.org

Thursday, March 11, 2010

Ngono, Afya na Uzee


Haya, mkitaka kufanya ngono kwa muda mrefu maishani mwako, uwe na afya bora! Pia wanaume wanafikiria ngono zaidi ya wanawake! Nini kipya? Soma wataalamu walivyosema kuhusu ngono leo.

***********
(CNN) -- Healthier men, no matter their age, are going to have better sex more frequently and desire it more often than healthier women.
And a healthier sex life could mean a longer life.
That's according to a paper written by University of Chicago researchers that was published Tuesday in the British Medical Journal. While the supposition that men think about sex more than women isn't new, the paper's findings have wider implication for attitudes toward public health and how patients respond to doctors' advice, said Dr. Stacy Tessler Lindau, an associate professor of obstetrics and gynecology and geriatric medicine who spearheaded the research.
"If you are a man diagnosed with diabetes or high blood pressure and I tell you that you need to lose weight and take medication, and I can say the benefit is five extra years of sex life, you might be more inclined to do what I tell you," she explained.
Lindau said that women generally reported wanting less sex or receiving it less often for three reasons: Women outlive men by an average of five to six years and without a partner, women are less likely to engage in sex. Secondly, there's a Western cultural acceptance -- and removal of stigma -- of men who have erectile dysfunction and have turned to relatively recently marketed drugs such as Viagra; women don't have that.
"Also, there's a difference in how we treat women for other diseases that affect their sexual desire," Lindau said. "If a woman is diagnosed with breast cancer and she has, for example, her breasts removed, and we never counsel her about her sexual function, we start to realize how many years of life she's losing. Not doing those things could mean 10 years of lost sexual activity."
There are no FDA approved treatments for female sexual dysfunction other than estrogen to treat pain with intercourse, she said.
Lindau's paper was sponsored by the nonprofit National Institutes of Health.
The paper considers data from two previously published studies that included more than 6,000 men and women, split into two co-ed groups: The first was age 25 to 74. The second group was age 57 to 85. Ninety-eight percent of participants reported having sexual partners only of the opposite sex, she said. Roughly 80 percent of men and 65 percent of women in the study were married or living with a partner.
None of the study's participants was in a nursing home.
Questions were presented that asked them to give their relationship status and rate their health and the quality of their sex life from poor to excellent.
Excellent was defined not by the number of times someone had sex but the emotional and physical satisfaction of the experience. But, the survey described having sex "regularly" as two to three times a month, said Lindau.
Sex was defined to the 57- to 85-year-old group as "any mutually voluntary activity with another person that involves sexual contact, whether or not intercourse or orgasm occurs" in the past year. For the same time frame, those in the 25-74 age group were asked if they had "had sex with anyone."
Participants had the option of assigning a number rating to their sex life, including "0" for "the worst possible situation." That phrase was up to them to interpret, said Lindau.
Women who initiate relationships later in life -- they describe passionate love and sex like the way younger people do.--Stacy Tessler Lindau, study author
The physician concluded that men are more likely to be sexually active, have what they believe is better sex and are consistently more interested in sex than women. This drive for sex among men and the feeling that the sex they get is high quality doesn't diminish with age. Lindau said it was difficult to ascertain exactly how many of these participants might have taken erectile dysfunction drugs.
If men stay in good shape, they can enjoy more years of good sex, the study says. At age 55, men in very good or excellent health on average gained five to seven years of sexually active life compared with their peers in poorer health. Women in very good shape gained 3 to 6 more years of a quality sex life than women who are less healthy.
For women 60 years and older, sex dropped off significantly overall and was even lower among those without partners. For men in that age range, having a partner didn't matter -- they still wanted sex consistently, the study found.
Among 75- to 85-year-old men, four out of 10 were still having sex, compared with two out of 10 women that age. Women whose partners were still alive, however, were having just as much sex as men, said Lindau.
"I don't want to perpetuate the notion that older women don't desire sex," she said. "There's a glass half full here. There's a big hunk of older women still having sex. Women who initiate relationships later in life -- they describe passionate love and sex like the way younger people do."
Lindau said she was frustrated that her sampling was limited to heterosexuals, a typical quandary many experience when testing this topic, she said. She hopes to conduct another study focusing on aging homosexuals, bisexuals or people whose biological sex cannot be classified as either male or female.

Tuesday, March 09, 2010

Mke wa Balozi Daraja Auwawa!

Balozi Andrew Daraja

Hizi ni habari za kusikitisha hasa. Naomba Mungu hao waliomwua wakamatwe! Mungu ailaze roho ya Mama Daraja mahala pema mbinguni. AMEN.

***********************************************************************
Diplomat’s wife killed, houseboy on the run

By ROSE ATHUMAN, 8th March 2010

FORMER Tanzania’s Ambassador to the United States, Andrew Daraja arrived home last Sunday to find his wife, Hanna Daraja (65), stabbed to death by unknown assailants and locked into their garage in Kimara B area in Dar es Salaam.

Ambassador Daraja, who was away in Muheza, Tanga for three weeks, arrived home yesterday to find his wife dead and the houseboy gone.

The former ambassador, who has served in public office in various capacities, told the 'Daily News' today that he last contacted his wife on Saturday afternoon to inform her that he would be travelling back the next day (yesterday).

“When I tried to call again later in the evening, the call could not go through. I tried again later several times and still it didn’t go through,” he explained his eyes welling up with tears.

When he arrived at his home, his driver hooted but there was no response from inside.

“I tried calling again, and got no answer. I was then beside myself with worry, I knew something was definitely wrong. I asked my driver to climb over the fence and open the gate,” he said.

They saw her shoes and bags strewn on the ground close to the gate, propelling ambassador Daraja to rush into the house to check on his wife.

“I looked everywhere in the whole house but I couldn’t find her. My driver and I looked around the compound but did not find her either,” he explained.

Just when he was about to give up, he remembered to look inside his garage and…there she was, laying on the floor with a knife sticking out on her chest.

“We unlocked the garage which was padlocked from outside but she was already dead. We reported the matter to the police and they are investigating,” he whispered, tears streaming down his face.

Ambassador Daraja said the house-help, a young man aged between 19 and 20 years, was not in the house and has never been seen since. He refused to disclose the house-help’s name before the police complete their investigations.

Nothing of value was stolen, but the former ambassador suspects the assailants were looking for cash.

“I think the assailants were looking for cash, because they didn’t take anything of value and the bedroom was in a mess with things strewn all over,” he said.

The deceased was a teacher by profession but left teaching to join her husband when he was first posted to Germany and later to the United States as Ambassador. He explained that burial preparations will take place after the police have completed conducting a postmortem.

Ambassador Daraja began his duties as ambassador to US in July 2002. Prior to that assignment, he served as the ambassador to the Federal Republic of Germany between 1995 to June 2002.

He has also held different position in Public offices including in the State House. The deceased is survived by her husband, four children, three daughters and a son who lives in the United States. Efforts to get comments from the police force were futile as telephone calls went answered.

Source: http://www.dailynews.co.tz/home/?n=8046&cat=home

Tuogope magari ya TOYOTA!!!!

(pichani - gari aina ya Toyota Prius ambayo ilipata ubongo na kuanza kwenda mwendo wa kasi mno, hata breki haikufanya kazi!)

Leo mzee James Sikes (61) karibu auliwe wakati gari yake aina ya Toyota Prius, ilivyoanakwenda mwendo wa kasi ghafla. Bila shaka mmesikia kwenye taarifa ya habari, habari ya magari ya Toyota kuua watu baada ya kuanza kwenda mwendo wa kasi ghafla. Spidi zinakaribia kilomita 100 kwa saa! Watani wanasema eti jini ailingia kwenye injini! Gari inakosa breki...inakuwa balaa. Unaweza kusoma habari zaidi hapa!

http://news.yahoo.com/s/ap/20100309/ap_on_bi_ge/us_runaway_prius

Ruksa kwa Wapenda Jinsia Moja Kufunga Ndoa D.C.!



(Pichani baadhi ya wapenda jinsia moja waliofunga ndoa leo huko Washington D.C.)

Sasa huko mji mkuu wa Marekani, Washington D.C. ni ruksa kwa wapenda jinsia moja (Gay/lesbian) kufunga ndoa. Washington D.C. sasa inakuwa jimbo la sita kuruhusu ndoa za aina hiyo.
Mmmh! Kuna madai kuwa eti ushoga utaongezeka katika nchi za Third World, kwa vile wataona kuwa watapata misaada zaidi wakiwa watu wa aina hiyo.
Kwa habari zaidi someni:

Mzungu Am 'Kanye West' Mweusi kwenye Oscars

Umesikia kituko kilichotokea kwenye Oscars juzi? Huyo Roger Ross Williams alikuwa anapokea tuzo kwa ajili ya sinema ya 'Music by Prudence'. Ghafla katokea bibi wa kizungu, Elinor Burkett, na kuanza kusema, "mwache mwanamke aongee" na maneno mengine ambao watu hawakuelewa.

Sisi watazamaji tulishangaa sana inatokea nini. Kumbe huyo mzungu aliwahi kuwa producer wa hiyo sinema lakini waligombana na Williams. Burkett alimpeleka mahakamni lakini walisuluhisha nje ya mahakama. Burkett aklisem hakupenda jinsi sinema ilivyokuwa inaenda. Ajabu, jinsi ilivyoenda ndo ikashinda Oscar!

Lakini wadau , hii kituko kisingetokea tusingekumbuka habari ya hiyo sinema, Music by Prudence. Pia hao Williams nad Burkett wasingejulikana. Sasa hivi Letterman, Leno na wengine wanamtania huyo Burkett. Bila shaka na Saturday Night Live watamtania!

Pia wanamwita Burkett, Lady Kanye! Kumuka mwaka jana Kanye West alivyoingia hotuba ya Taylor Swift kwenye tuzo za MTV.

Unayanyasaji wa WaBongo Saudi Arabia - II

wanablog na watz wote.
habari za kazi na poleni kwa juhudi zenu za kuwahabarisha watanzania kwa njia ya mtandao. nawatumia link hizi kuonesha hali halisi ya raia wa kigeni wanaokuja kutafuta maisha saudia jinsi wanavyofanyiwa. hatua hii imetokana na mimi mwenyewe kuwa nipo katika matatizo haya lkn mbaya zaidi kuona kuwa walionileta kutoka huko tz wanaendelea kukusanya vijana wengine kama mimi na kuwadanganya kwa kuwaahidi maisha bora wakifika huku saudia.
link hizi ni za vyombo vya habari ambavyo vimekuwa vikiripoti manyanyaso haya sio tu ndani ya saudia bali pia nje ya saudia lakini kwa makusudi serikali ya hapa inafumba macho na kujifanya kuwa inatenda haki. wapo waliouwawa, waliopata ulemavu wa kudumu, nk na daima makosa huwa ni ya wageni. wasaudi hawana kosa hata kama wataua au kumpa mtu ulemavu. nchi nyingine za asia zimeanza kuzuia raia wao kuja kufanya kazi hapa kutokana na hali hiyo.
vyombo vya sheria ndio kabisa kuanzia polisi hata mahakama. kwanza ukifika kulalamika utaambiwa hatujui kiingereza zungumza kiarabu kama hujui ukatafute mwanasheria. sasa mshahara wenyewe riyal 500 hadi 800 (riyal 1 ni tsh 300) utamlipa mwanasheria gani? pili huyo jamaa unayemlalamikia ni bilionea hivyo hata polisi hafiki utasikia unajibiwa huu ni uzushi msaudi hawezi kufanya hivi nenda zako. hapo kesi imeisha.
naomba musambaze taarifa hizi kadri muwezavyo hata kutumia magazeti, redio na tv ili vijana wenzangu watz kama mimi wanaotafuta kazi za udereva, uhouse girl, kuuza maduka, kwenye viwanda na makampuni nk wasidanganywe na kuja kupata mateso kama yaliyonikuta mimi hivi sasa.
tafadhali pokea link hizi.....

Monday, March 08, 2010

Shida Wanaopata WaBongo huko Saudi Arabia

bwana michuzi na wanablog wengine.


kwanza nawashukuru sana kwa kutoa barua yangu niliyowatumia nikiewaeleza hali halisi ya maisha huku saudia kwa sisi madereva na shida ambazo watanzania madereva na raia wa nchi nyengine tunapata. nawashukuru watz kwa kuuona ukweli ijapokuwa wapo wachache ambao kwa sababu zao walikuwa na mashaka.

napenda kueleza zaidi kuwa magenge mawili yanayosafirisha watu huko bongo wa kuwaleta huku moja linaongozwa na jamaa anaitwa bungire (jina lake kamili silijui). huyu jamaa ana wenzake wawili anaoshirikiana nao katika biashara hii. ni mtu mwenye tamaa sana ya pesa. genge hili ndilo lililonileta mimi na wenzangu huku saudia. huyu jamaa anaishi ilala na mambo mengi ya kuandikisha watu hufanya mitaani. sina hakika kama ana leseni au afisi lakini anaonekana ni mtu mwenye ushawishi mkubwa katika afisi za serikali.

wakati anatukusanya huko dar alituambia tusiwe na wasiwasi na pasi za kusafiria au viza. na kweli siku 2 tu tulipata pasi kwa kuwa wengi wetu ni mara ya kwanza kusafiri nje ya bongo. baadae akatuombea viza na tukapata ubalozi wa saudia hapo dsm. ni mtu anayeonekana maarufu au anauhusiano na wakubwa hapo dar.

genge la pili lipo mtaa wa uhuru. hawa jamaa wanaitwa madina (sijui kama ndio jina la kampuni au la mtu). hawa jmaa wamealeta wenzetu pia hapa saudia kwa kutumia njia hizohizo za ulaghai na utapeli. takriban saudia tupo madereva wengi watz tunafika zaidi ya 50 katika makampuni mbalimbali. lkn wote tumeletwa na makundi ya matapeli hao wawili. tunaendesha malori ya saruji, malori ya mafuta na magari ya mizigo mchanganyiko.

baadhi ya watu wanadhani ni chuki dhidi ya waislamu. napenda kuwaanbia kuwa madereva sote tuopo hapa saudia kutoka tz ni waislamu tena swala 5. ijapokuwa tumekusanywa dar lkn wapo wenyeji wa tanga na wengine zanzibar, lkn wengi wetu ni watu wa dar. hatuna nia ya kuwasingizia bali ndio hali halisi ya hapa na ubalozi unajua hilo. hawa jmaa hawafuati uislamu wala nini bali ni makatili na washenzi sana. hayo wanayofanya yote ni kinyume na uislamu lkn hujidai kuvaa kanzu na vilemba kama wachamungu. ni wanafiki tu.

mimi na wenzangu tulishaamua kumshtakia mungu udhalilishaji huu. hao matapeli wa dar na wenzao wasaudi wanaotunyanyasa mungu atatulipia hapa hapa duniani au kesho kiama. kama si kwa wao basi vizazi vyao vitaonja mateso kama haya tunayoyapata sisi muda huu.

lkn nimeguswa na lile tangazo na kuona kuwa kumbe hawa matapeli bado wanakusanya watz wengine na kuwaleta huku. hivyo, nawaomba watz wenzangu wasikubali kuja huku hata siku moja. bora hali ya nyumbani tz mara 100 kuliko mazingira ya huku kwa mgeni.waarabu kwao mgeni ni kama machine tu haichoki, haiumwi, haina njaa wala haipaswi kulalamika.

kwa ujumla mateso na unyanyasaji sio kwa watz tu bali pia kwa raia wengine. michuzi nakuwekea hapa hii link uone mfanyakazi wa nyumbani mkenya alivyofanyiwa hapa saudia na hii imetolewa katika gazeti la kenya. wale wanaoona kuwa saudia hawawezi kufanya mambo kama haya waone wenywe.

link yenyewe ni hii,.....

http://www.nation.co.ke/News/-/1056/840238/-/vp9oc4/-/index.html

ni mimi mtz dereva saudia...

Uvumi Kuhusu Maalim Seif


Muda si mrefu kulipita uvumi kuwa Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad amefariki, lakini ukweli ni kuwa Kiongozi huyo hajafariki lakini amelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Hindi Mandal Dar es Salaama. Na inadaiwa aliugua ghafla akiwa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere.

TEMBELEA MROKI MROKI BLOG KWA HABARI ZAIDI.

BLOG: www.mrokim.blogspot.com

Saturday, March 06, 2010

Ushenzi wa Republicans!


Duh, sasa hao Republicans wametia fola! Wanatumia mbinu za kutishia watu kuwa Rais Obama anataka kugeuza Marekani kuwa nchi ya kijamaa! Wamemtukana pia kiongozi wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi na Harry Reid , kiongozi wa Senate wamemfanisha na yule mbwa mkubwa lakini mwoga Scooby Doo!
Makaratasi yalikutwa katika chumba cha hoteli huko Florida. Mnaweza kusoma habari zaidi HAPA:
Baada ya kuisoma utaona jinsi Republicans wanavyodharau watu na kuwaona wana akili finyu!

Mkurugenzi wa TAMWA apata Tuzo Muhimu!

Mkurugenzi wa TAMWA Ananilea Nkya akipiga posi na tuzo nje ya ofisi za TAMWA huko Sinza mara baada ya kuwasili kitoka ubalozi wa Marekani

HOTUBA YA MKURUGENZI MTENDAJI WA CHAMA CHA WANAHABARI WANAWAKE NCHINI (TAMWA), ANANILEA NKYA KATIKA MKUTANO WA WANAHABARI, UBALOZI WA MAREKANI KWA AJILI YA KUKABIDHIWA TUZO YA MWANAMKE JASIRI WA TANZANIA KWA MWAKA 2010


Mheshimiwa Balozi wa Marekani, Alfonso Lenhardt,
Wafanyakazi wa Ubalozi wa Marekani,
Wanahabari na wanaharakati wenzangu,
Wageni waalikwa,
Mabibi na Mabwana.


Ninashukuru kwa kupata heshima hii kubwa ya kusimama mbele yenu kama mteule wa tuzo ya Mwanamke Jasiri wa Tanzania kwa mwaka 2010.

Kwa heshima na taadhima nianze kwa kushukuru Ubalozi wa Marekani hapa nchini na wananchi wa Marekani kwa ujumla kwa kunichagua mimi kama MWANAMKE JASIRI WA TANZANIA KWA MWAKA 2010 kutokana na juhudi na ubunifu wa kutumia vyombo vya habari katika kuimarisha usawa, fursa na haki za wanawake na watoto wa kike wa Tanzania.

Sina shaka kwamba Ubalozi wa Marekani ulifanya utafiti kikamilifu na tena kwa mapana na kupata majina mengi tu, maana kuwa jasiri maana yake ni kuzungumza kwa sauti kile unachokiamini kuhusu uonevu na uvunjifu wa haki hasa za wanyonge ili hatua ziweze kuchukuliwa kurekebisha hali hiyo. Katika mapambano ya kutetea haki za watu wa hali ya chini hasa wanawake, wasichana na watoto hapa nchini, wako watu wengi wanaofanya harakati hizi kwa juhudi kubwa mijini na vijijini. Hivyo mimi kuchaguliwa miongoni mwao, ni ishara kwamba Marekani imetambua mapambano yetu, ambapo mimi ni mwakilishi wa wapambanaji wengi.

Kwa hiyo, nachukua fursa hii kushukuru na kuipongeza serikali ya Marekani kwa kubuni TUZO YA MWANAMKE JASIRI. Kwa kubuni tuzo hii serikali ya Marekani imedhihirisha kuwa inaunga mkono mapambano mbali mbali ya wanawake katika kupigania haki zao.

Wanawake wanapambana kuweza kushiriki katika masuala ya maendeleo; wanapambana ili waweze kunufaika na rasilimali mbali mbali za taifa, wanapambana kupata haki yao kwenye huduma ya afya, elimu, mirathi, uchumi na uongozi wa nchi yao.

Natambua kuwa tuzo hii ilishatolewa kwa wanawake wawili hapa nchini; Helen-Kijo Bisimba (2008) kwa ujasiri wake mkubwa wa kutetea haki za binadamu akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu na Mheshimiwa Anne Kilango Malecela (Mbunge wa Same Mashariki) kutokana na ujasiri wake katika kupambana na ufisadi.

Nina hakika, baada ya muda, tuzo hii itazaa matunda ya neema hasa kwa wanawake wengi wanaotaabika kwa madhila mbali mbali mijini na vijijini. Wanawake ambao wanapambana ili wapate haki ya kuthaminiwa utu wao. Wanawake wengi hapa nchini hawana amani wala furaha kwa sababu mifumo gandamizi imewapora haki na fursa ya kutoa maamuzi kuhusu mambo yanayohusu maisha yao na familia zao na wameporwa pia fursa ya kushiriki katika vyombo vya kutoa maamuzi kuhusu namna wanavyotaka nchi yao iendeshewe.

Ninaamini kuwa kama taifa letu lingejenga mazingira sahihi ya kuwawezesha wanawake kuwa sehemu ya rasilimali uongozi katika ngazi mbali mbali, hakika wangedhihirishia taifa kuwa wana uwezo mkubwa wa kuongoza, na bila shaka nchi yetu ingenufaika kiuchumi, kisiasa na kijamii kuanzia ngazi ya kitongoji hadi taifa. Kwa hali hiyo tungepiga hatua kubwa katika nyanja ya demokrasia na maendeleo na kuweza kufikia ndoto ya ukombozi siyo Tanzania pekee bali pia ukombozi wa Bara la Afrika.

Wanawake na wasichana na hata wanaume na vijana wengi hapa nchini nao wameonyesha uwezo mkubwa wa kuhimili changamoto zinazotokana na sera mbaya za uchumi. Wengi wao wamekuwa wakitegemea kilimo cha jembe la mkono na biashara ndogo ndogo kuweza kujikimu huku wakiwa na jukumu kubwa la kulea yatima ambao wanaongezeka kila siku na kuwahudumia wagonjwa wa UKIMWI ambao hulazimika kurudishwa majumbani kutokana na mfumo duni wa afya.

Wanaume, Wanawake na vijana hawa wa kike na wa kiume wa taifa hili siyo tu wamedhihirisha kuwa ni ni watu jasiri, bali pia ni watu wenye uwezo wa kuibadilisha Tanzania kuwa ni mahali pazuri pa kuishi watu wa wakundi yote wanaume, wanawake, wazee na vijana, wenye ulemavu na wasio na ulemavu. Ndiyo sababu Tanzania inahitaji kuwa na mipango ya maendeleo yenye malengo mahususi na mikakati madhubuti ya utekelezaji wa mipango hiyo. Mipango hiyo ni muhimu itengenezwe kwa kuzingatia sauti, mitizamo, uwezo na mahitaji ya watu wa ngazi za chini na wanaharakati na wanahabari wana wajibu wa kushinikiza bila woga hatua zichukuliwe kutekeleza mipango hiyo kwa ufanisi.

Ukatili wa kijinsia una athari mbaya kwa wanawake na wasichama kwa kuwa unawaathiri kisaikolojia na hivyo kushindwa kutekeleza wajibu wa kuboresha maisha yao na maisha ya wale wanaowategemea. Sheria zilizopitwa na wakati ambazo zinakoleza ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa kike zinahitaji taifa kupata viongozi imara na hasa Wabunge wenye ujasiri wa kuisimamia serikali ili iwajibike kubadilishe sheria hizo. Sheria hizo mbaya ni pamoja na ile ya ndoa ya mwaka 1971 ambayo inaruhusu mtoto wa chini ya miaka 18 kuolewa na hivyo kumkosesha haki yake ya kupata elimu na kuhatarisha maisha yake endapo atapata ujauzito.

Mheshimiwa Balozi,

Mimi ujasiri nilionao kwa kiwango kikubwa umechangiwa na taaluma yangu ya uandishi wa habari na uanaharakati wa masuala ya jinsia, demokrasia, maendeleo na haki za binadamu.

Kunichagua mimi kama mwanamke jasiri mwaka huu 2010, ni motisha kwa wanahabari na wahaharakati; wanawake na wanaume ambao wamekuwa wakijishughulisha kwa namna mbali mbali kuleta mabadiliko katika mila mbaya, mifumo, imani na sera gandamizi ambazo zinabagua na kuwatupa pembezoni wanawake na wasichana.

Kwa hiyo, naipokea tuzo hii kwa niaba ya wanawake wote wa Tanzania na wanaume na wanawake wa umri mbali mbali ambao nimekuwa ninashirikiana nao katika vyombo vya habari, kwenye harakati na Chama cha Wanahabari Wanawake nchini (TAMWA) ambacho tangu kilipoanzishwa miaka 21 iliyopita kimekuwa kikipaza sauti kutetea haki na fursa za wanawake, wasichana na watoto. Tuzo hii niliyoipata leo, sote tuichukulie kama changamoto, mwanzo mpya na kitu cha pekee cha kututia moyo katika kuendeleza jitihada za kutetea usawa, fursa na haki kwa wanawake, wanawake wasichana na watoto wa Tanzania.

Mheshimiwa Balozi,

Kuna msemo wa Kiswahili usemao â€Å“Sema Usiogope Sema”. Naichukulia hii tuzo ya ujasiri niliyopewa leo kama ishara kwamba Marekani inatambua kwamba mapambano katika ngazi ya familia, kitaifa, kikanda na kimataifa kwa ajili ya kuimarisha usawa wa jinsia, haki za binadamu na uhusiano mzuri baina ya mataifa ni muhimili muhimu katika kujenga amani duniani.

Sisi wanaharakati wa Tanzania tunashikamana na wanaharakati wengine duniani kote katika mapambano ya kubadilisha dunia ili iwe mahali pazuri pa kuishi watu wote wanaume na wanawake, maskini na matajiri wa rika zote.

Mhusiano usio sawa katika ngazi ya kimataifa unaguza na kuleta amthari mbaya katika mahusiano ya kikanda, kitaifa na hata ngazi ya familia. Mahusiano kama hayo huchangia moja kwa moja kuwepo na mahusiano yasiyo na uwiano sawa baina ya wanaume na wanawake. Mahusiano yasiyo na usawa huchangia kwa kiasi kikubwa vitendo vya kikatili na ukiukwaji wa haki za binadamu siyo tu dhidi ya wanawake na wasichana, bali pia dhidi ya makundi mengine yaliyoko pembezoni. Hali hii iko dhahiri katika Bara letu la Afrika ambalo limekuwa likishuhudia uporaji wa ardhi ya wanyonye, wimbi la rushwa na ufisadi unaohusisha baadhi ya viongozi na wafanya biasharawakubwa.

Ni imani yangu kuwa tuzo hii ya MWANAMKE JASIRI itaendelea kuimarika na kuwa kichocheo kwa wanaharakati wote ili wasichoke na mapambano, hata yatachukue muda mrefu kiasi gani maana dunia iliyo bora na salama kwa wanawake na watoto ndiyo itatengeneza dunia bora, salama na yenye neema na furaha tele kwa watu wote.

Nawashukuru wote kwa kunisikiliza,

Nakushukuru Mheshimiwa balozi na wananchi wa Marekani kwa wazo hili zuri la kutoa tuzo ya mwanamke jasiri.

Ananilea Nkya

Executive Director (TAMWA)

02/03/2010
*****************************************************
Nami nasema HONGERA Dada Nkya! Kweli umetoka mbali na unfanya kazi nzuri mno TAMWA! - Chemi

Wednesday, March 03, 2010

Jibu - Ilivyokuwa Safari Yangu Mbeya

Na John Mwaipopo

Nimebahatika kutumiwa e-mail ambayo mwandishi wake ameiita ripoti ya safari yake ya kikazi mkoani Mbeya. Ameituma kwa watu wengi ili kueneza uchafu aliouona mkoani humu. Sina uhakika nani alimpa kazi ya kuandika ripoti yake hii maana nijuavyo riporti ina kitu kinaitwa terms of reference yaani waliokutuma na jinsi walivyokutuma kufanya uchunguzi/utafiti. Lakini haidhuru pia inaweza kuwa ripoti binafsi ya muhusika anayejiita mwanahabari, ingawaje ripoti yenyewe inaonyesha alichokiandika sicho alichotumwa kufanya huko mbeya. Waweza isoma hapa
Awali napenda kumpongeza mwanahabari kwa kuonyesha yale ambayo kwa mtazamo wake hayaonwi ama hayajaonwa na watu wasiowahi kufika Mbeya ila nitachukua fursa kidogo kurekebisha yale ambayo yamewasilishwa ndivyo sivyo. Napenda ijulikane mie ni mkaazi wa mbeya kwa karibu miaka 20 mfululizo isipokuwa nikiwa shule ama vyuoni, ambako nako nilitambulika kuwa natoka Mbeya. Hivyo itambulike nina maslahi na uenyeji/ukaazi wangu hapa Mbeya.

Juhudi hii ni kwa ajili ya kuweka sawa kumbukumbu na taarifa kamili. Pili nadhani itamuongezea ufahamu bwana mwanahabari. Tatu juhudi hii itafanya upotoshajia wa makusudi wa mwanahabari pengine kutokana na wembamba wa uwezo wake wa kufikiri, kupembua na kuchanganua mambo, ujulikane.

Nianze na kunukuu mwanzo wa report yake hii. Nanukuu “Duniani kuna mambo mengi sana.” Nukuu hii inaonyesha jinsi gani huyu mwanahabari (lakini mwanahabari aliyetumwa kwenda kutengeneza mashine mbeya. Habari na umakenika wapi na wapi) alivyo maamuma wa kujua mambo hata yaliyo ndani ya nchi yake. Kwake Mbeya tu ni dunia nyingine kabisa! Kwake ilikuwa safari ya kustaabisha eti. Kwa mtu aliyefanikiwa kusafiri kuliko mwanahabari-makenika Mbeya haitofautiani sana kwa raha na mauzauza utakayoyakuta mikoa mingine, pengine mikoa mingine imeizidi hiyo Mbeya. Nitaonyesha kwa kifupi hapa chini.

Kimojawapo ni uwingi wa makanisa na sehemu za kuabudia hapa Mbeya. Eti kutoka kanisa moja mpaka lingine ni hatua 30! Nimekaa Mbeya karibu miaka 20 sijayaona hayo makanisa na viwanja vya kuabudia vilivyopakana hatua 30 kama mwanahabari-makenika anavyotaka kuwadanganya watu ambao hawajafika Mbeya.

Jambo la msingi lililonisukuma sana kujaribu kujibu ripoti hii ni maambukizi ya ukimwi mkoani Mbeya. Ni kweli Mbeya i miongoni mwa mikoa inayoongoza kwa maambukizi ya gonjwa hili hatari lakini haiifuatii Johanesburg kwa maambukizi. Hata hapa Tanzania tu haishiki namba moja. Soma hapa uhakikishe. Labdha atuambie takwimu hizi kazipata wapi.

Ingawaje ripoti hii ina nia ya kutukumbusha kujiepudha na kujilinda na ukimwi lakini imejaa kejeli kama vile Mbeya na Ukimwi ni sawa na samaki na maji. Kwa mfano anasema “wenyeji wa hapa wengi hawaamini kama kuna ukimwi. Wanaamini mtu akifariki basi amefariki kutokana na mungu (sic) kumwita amechoka maisha ya dunia , wengine ndio hizo imani zao akifa mwenzao amelogwa na mambo kama hayo .” Hivi tujiulize ni kweli asilimia kubwa ya watu wa Mbeya hawajui lolote kuhusu ukimwi isipokuwa wachache na pengine wageni wanaokuja kutengeneza mashine? Kumbuka hapa alipofikia kabla hajaenda Tukuyu (alikokuita ‘mkoa’ paragrafu ya 32) na Kyela ni mjini ambako ufahamu wa uwepo wa ukimwi ni mkubwa. Au amesahau Mbeya kuna watu wanaotoka mikoa yote ya Tanzania na si kweli kuwa wote wana imani za kizamaani za washamba wa Mbeya? Kuna wachagga, wahaya, wamasai, wasukuma, wakwere n.k. Na kabila lake ‘walistaarabika’ nao wapo wanaishi hapa, na wengine hawana mpango wa kurudi huko kwa ‘wastaarabu’.

Mwanahabari-makenika anaanika kuwa hapa Mbeya “ukikutana na wasichana 5 basi 3 wanamarafiki wa kiume ambao sio wanafunzi wenzao yaani watu wa nje tu , wamachinga na madereva au watu wa shuguli zingine , hii inaadhiri sana hawa vijana utendaji wao madarasani” (para 24). Nadhani anaongelea wanafunzi lakini hajatuambia takwimu hizi amezitoa wapi ama lini yeye binafsi alifanya utafiti huu. Na pia sidhani mmomonyoko huu wa maadaili miongoni mwa wanafunzi uko Mbeya tu. Pengine kwao hamna huu upuuzi, upuuzi ambao katu siupigii upatu kokote kuwako.

Nina mashaka na tabia binafsi za mwanahabari-makenika hususani katika masuala ya ngono. Nadhani ni muumini mkuu wa kuendekeza ngono. Pengine kafikia ushemasi kabisa. Inakuwaje mtu ambaye si muendekeza ngono ukachombezana kwa simu kimahaba na wanawake asiowajua hata wakapanga siku ya kwenda Mbeya ili wakapene hilo joto (para 11) alafu anaingia mitini dakika ya mwisho. Au sitaki nataka? Pia inakuwaje mtu asiye mzinzi akaongea na msichana asiyemjua kwa masaa mawili na wakatongozana (para 38) kisha unajifanya kuingia mitini. Nashawishika kuwa mwanahabari-makenika alikuwa akina sitaki-nataka. Nilidhani mtu asiye mzinzi, kama mwanahabari-makenika anavyotuaminisha, asingejihusisha na mazungumzo yanayoshadidia ngono. Nadhani angekuwa mkali mara moja! Tena katika hili anadiliki kuwadhalilisha wasichana wa Mbeya (pasi na kuwa na uhakina ni wenyeji wa kuzaliwa hapa) kuwa ni heri atongoze ng’ombe au mbuzi kuliko wao! (para 40 & 41).

Katika mambo yote aliyoyaona Mbeya, mazuri na mabaya, aliona la ngono ndio kuu. Afrika Kusini pamoja na kuongoza kwa maambukizi ya ukimwi bado ilionekana inafaa kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia. Safari yote ya Mbeya mwanahabari-makenika ameshindwa kuona mambo chanya kama utekelezaji wa vitendo wa sera ya kilimo kwanza, hakupishana na malori yanayokimbilia Dar es Salaam yakiwa yamesheni vyakula na matunda anuai. Hakushanga hali ya hewa safi tofauti na hali ya Dar es Salaam iliyojaa sumu. Hakuona milima na mabonde yanayohitaji wawekezaji wa aina-aina. Hakuona ukarimu wa watu, wenyeji na wageni. Hakufurahia maji yasiyokatika. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Hitimisho.

Nina wasiwasi na ufahamu na uwezo wa kufikiri wa mwanahabari-makenika. Sidhani kuwa hajaenda shule kwani kusoma na kuelimika sio lazima vikatangamana. Nadhani ni wakati sote tuliolazimishwa kuisoma (ndio katutumia kwa lazima)ripoti hii tukaiangalia kwa jicho la pili. Hata majibu yangu haya pia yanahitaji upembuzi makini. Sio lazima yakawa ya kweli kwani nimeandika kwa kuzingatia maslahi ya kimkoa zaidi. Lakini nachelea mwanahabari alikuwa na nia ya kuupa mkoa wa taswira potofu zaidi ya ile iliyopo. Ni kweli mawazo yake ni baadhi ya changamoto sio tu katika Mbeya bali pia nchi nzima. Wapi hakuna mauzauza kama haya. Huko Dar es Salaam ambako mwanahabari- makenika anatoka/anaishi ndio usiseme!

Mnaweza kumtebelea John Mwaipopo huko Mwaipopo Blog

Tuesday, March 02, 2010

Ilivyokuwa Safari Yangu Mbeya


Imeandikwa na Mwana Habari
Duniani kuna mambo mengi sana , ambayo mengine ni kama vibaya kuhadithia kwa wengine kama labda ni wenyeji wa huko au labda kama wana mahusiano na kitu hicho inakuwa mbaya haswa kwa wale wasiopenda kujua ukweli wa mambo , lakini wote tunakubaliana kitu kimoja bila kusemeana ukweli hakuna mafanikio yanayoweza kufikiwa na binadamu kwa njia yoyote ile hata kwa nini .

Ntakupa mifano michache mfano huku afrika na sehemu zingine za bara asia na amerika ya kusini , viongozi ni waongo , wamewajengea mpaka watoto wao na vizazi vingine uwongo kiasi kwamba mtu akisema ukweli anaonekana muasi mbaguzi au pengine mchonganishi wanabakia kulalia uongo siku zote hawaendelezi vizazi na watoto wao katika secta ya sayansi na elimu ambayo inahitahi ukweli na uwazi kila kitu uwongo na ulaghai

Hata katika mila na desturi , huku afrika mila na desturi za uongo ni fani , angalia hili suala la ushirikina ?? ushirikina ni mali ya mwafrika na huku imejaa sana lakini ushirikina ni uwongo mtupu ni ujanja ambao mwingine akifundishwa ana adapt na unaweza kutumika kwa faida nyingi tu katika maendeleo na makuzi ya watu wengine hii ni sayansi inayohitaji kuwekwa wazi ila ndio hivyo uwongo umetuzidi mpaka tunajichukia .

Mimi huwa napenda kusema kila ninachojisia kinanivutia na nimeshuhudia mwenyewe kwahiyo sio uwongo napenda kuandika kwa njia ya hadithi au makala kwa watu haswa mafariki zangu , juzi nilikuwa mkoani mbeya na hayo niliyoandika ndio hali halisi ya watu wa mkoa ule wanavyoishi wengi wao hata kama wakikataa na kubisha wanakataa lakini wajomba zao , mama zao , wadogo zao na majirani zao wanaangamia .

Haswa katika hili suala tata la ugonjwa wa ukimwi , huu tuuangalie kwa pande 3 kuu yaani mimi , wewe na yule ( wale ) tuna nafasi gani katika kuendeleza jamii zilizobora ambazo hazisumbuliwi na jinamizi la ugonjwa wa ukimwi wala matatizo yoyote wote wakue vizuri waje kuwa taifa bora watoe mchango kwa majirani zao na vizazi vijavyo ?

Usijali bwana ( KILA MTU NA MAISHA YAKE AU SIO )

Ehe vipi mambo hapo ulipo ??

Hapa ni salama sana , maisha ni bam bam naweza kusema , sasa hivi ni mchana wa saa 6 hivi inaelekea saa 7 kamili , ni lunch time kwa wengine ila mimi huwa nakula chakula cha mchana kuanzia saa 9 hivi au saa 10 jioni halafu usiku huwa sili chakula napenda kula samaki na karanga hiyo ndio furaha ya maisha yangu ya kila siku , kila mtu anaamua na kutenda anachoona kinafaa au sio ?

Basi kipindi hichi cha karibuni wiki hizi 2 nilienda mbeya kwa ajili ya kazi katika offisi moja hili ni shirika la uingereza kazi yake ni kusaidia watu wa manispaa na miji katika ukusanyaji wa kodi na mapato na katika kuwafundisha zaidi kuendana na uchumi wa dunia jinsi unavyokuwa kila siku .

Shiriki hili tuna mkataba nalo wa mambo ya ufundi na shuguli zingine zinazohusu data na ukaguzi wa vifaa vyao vya mawasiliano , kutokana na mkataba huu kila baada ya miezi 3 lazima niende mkoani mbeya angalau kwa wiki moja kuangalia hizo mishine zao n akutatua matatizo yao kama yapo na maisha yanaendelea .

Kwahiyo wiki hizi ndio nilienda mimi na walishanizoea , lakini mwaka huu nilijuwana na dada mmoja hivi anafanya kazi pembeni mwa shirika hili yeye ni mama mahesabu , ananipenda sana mimi na wakati mwingine akinipigia simu huwa ananieleza kuhusu ngono jinsi tukikutana atakavyo nikumbatia , mabusu na mahaba mengine mazito mazito yaani amejichambua sana kuhusu maisha yake kule na anavyonizimia mimi .

Huyu dada alipata taarifa kwamba ntaenda kule , lakini huyu dada sijawahi kukutana nae zaidi ya kuchat nae tu na kuongea katika simu , dada wa watu alijiandaa sana kwa ajili ya kunipokea nikalale kwake yaani kitandani kwake na ile baridi anavyonihadithia anapenda kupata joto langu mambo kama hayo .

Nikatoka zangu huku jumatatu asubuhi saa 12 hivi kwa usafari wa Scandinavia , nilikatiwa tiketi mpaka mbeya lakini nilivyofika iringa pale makambako nilishuka katika gari hilo nikapanda basi lingine nilijua tu huyu dada atakuwa ameshaambiwa naenda na basi gani wakanipokee stendi ya mabasi hapo nilishmkwepa kwa kiasi kikubwa .

Muda wa saa 1 hivi usiku basi lilikuwa limeshaingia mbeya mjini mimi sikwenda kule mwanjelwa nikashukia sehemu moja inaitwa fire , hapo pembeni yake wala sikuchukuwa hoteli , nilipeleka vitu vyangu katika nyumba ndogo za wageni kwanza nione hali ya mambo inavyoenda kabla sijaamua mambo mengine .

Saa 3 hivi usiku ikatimia kama nilivyootea yule dada akanipigia kuniuliza kama nimeshafika mbeya , nilimuuliza amejuaje kama naenda mbeya ? akasema ameambiwa na receptionist wa pale kwa mkuu wa mkoa , kwahiyo hali ikawa hivyo sikuwa na jinsi ya kujitetea .

Lakini niliamua kumdangaya tu , nikamwambia safari imeahirishwa bwana , mpaka tutakapowaambia hapo baadaye mwezi huu kwahiyo nitaenda mkoani singida au mtwara kwa kazi kama hizo “ Ohh yona unasema kweli ? nilivyokuwa nakungoja kwa hamu hivyo nikupe mambo ? na majambo ?”

Basi nilienda kidogo katika internet café kwa ajili ya kumwandikia email yule receptionist wa pale kumweleza hali halisi kisha nikampigia simu kumweleza kuhusu niliandisha katika email kwa kifupi alinielewa kwahiyo kazi ikawa kwake asiseme kama nimekuja mbeya na wala nikifika kule asiniite jina langu akinitaka aniite SHY tu mengine sijui .

Asubuhi yake ikafika yaani jumanne , niliamka katika saa 3 hivi asubuhi , hapo nilienda kuweka vitu vyangu katika hoteli moja eneo la meta mjini mbeya karibu na kituo changu cha kazi nikamuuliza tena yule receptionist kama yule dada anayeningoja yuko karibu au la , kweli yule dada alikuwa mbali kidogo .

Nikatoka hapo kuelekea katika kituo cha kazi kufanya ile iliyonipeleka pale , niliifanya kwa masaa 3 hivi ndio nilimaliza kwahiyo nikarudi zangu katika hoteli , huku nilienda tu kujisafi kwa mara ya pili kubadilisha nguo na kuvaa kama mtoto wa kijiweni halafu nianze kutembelea mitaa ya mji wa mbeya kuongea na watu haswa vijana .

Mbeya kuna mambo ya ajabu na wakati mwingine ya kutisha kama hujazoea , maajabu yake ni kwamba “ HUU NDIO MJI WA PILI KWA WINGI WA MAKANISA BARANI AFRIKA “ Ni mji wenye makanisa mengi kuliko yote Afrika Mashariki Na Kati ,huu wingi wa makanisa yaani ukitembelea hatua 30 unakuta kanisa mbele yako au kama sio kanisa unakuta sehemu ya mahubiri mbele yako hata pembeni yako .

Huu wingi wa makanisa sio hoja kwamba watu wa huku wameshiba neno la mungu kiasi kwamba wanaweza kubadili maisha yao na kuwa mazuri zaidi au kuwa bora zaidi la hasha , wamejawa na neno la mungu mpaka limepasuka yaani wamekinai neno la mungu sasa wanaona kuwa na makanisa ni fasheni .

Huu ndio mji unaoongoza kwa kukua kwa maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi katika afrika ukiachilia jberg , huu unafuatia , kutokana na kwanza uko Mpakani , watu wengi wa afrika ya kusini wanapoingia Tanzania kwa njia ya lami hupitia mbeya kuja dsm , wale wa Zambia nao ni mbeya , Botswana na kadhalika ni mji ulio katika majaribu mengi sana .

Unaona makanisa mengi , watu wengi wameokoka na kadhalika lakini watu wanaangamia kwa ugonjwa wa ukimwi kila kukicha na wenyewe wenyeji wa hapa wengi hawaamini kama kuna ukimwi wanaamini mtu akifariki basi amefariki kutokana na mungu kumwita amechoka maisha ya dunia , wengine ndio hizo imani zao akifa mwenzao amelogwa na mambo kama hayo .

Hapa mjini ukikutana na wasichana 5 basi 3 wanamarafiki wa kiume ambao sio wanafunzi wenzao yaani watu wa nje tu , wamachinga na madereva au watu wa shuguli zingine , hii inaadhiri sana hawa vijana utendaji wao madarasani , maishani na katika maamuzi mengine muhimu katika maisha yao kutokana na nguvu za watu wengine wa nje hawa wafanya biashara .

Mimi hoteli niliyofikia ilikuwa karibu na barabara kidogo , nilikutana na wanamuziki wa bendi ya Akudo Sound , hawa wanamuziki wacheza shoo wao wale wasichana wote ni chini ya miaka 22 , basi hapa katika hii hotel unachukuwa chumba halafu wahudumu wanakuuliza kama unapenda kupata dada wa kuishi nae wakati wote uko hapo katika hoteli .

Yaani huyu msichana atakuwa anakufulia nguo zako ulizokuja nazo na kukunyooshea wakati haupo , anakupa huduma ya ngono ( HII NDIO HUDUMA KUU ) , ukipenda atakuwa anakupikia pamoja na mambo mengine kukuogesha , na vitu kama hivyo , sasa unamwangalia huyu msichana mrembo ( WENGI WAO NI WAREMBO HASWA ) ametulia ana miaka chini ya 25 kwanini anakuja kujiuza huku , amekosa nii maishani mpaka amekuja katika hizi hoteli kujiuza .

Ukikataa kuchukuwa msichana inawezekana usiku wanakusumbua kwa kelele kule katika bar au dirishani mwako , wanakuuliza kama unataka huduma au la , kama hutaki wengine wanaaza kukutusi na maneno mengine ambayo siwezi kuyataja kama wewe shoga nini ? Unaliwa kiboga ? yote haya kisa umemkataa .

Ndio unaweza kuamua kumchukuwa , ukimchukuwa tu ujue sio wewe peke yako uliyemchukuwa labda wiki nzima hajalala kwao au kwake yuko pale anatoa huduma kwa wateja mbali mbali , kila siku yuko katika ngono na mambo mengine yasiyo na msingi kwa binadamu wa kawaida kama ameadhirika basi na wewe uko njiani , safari yako inakuja nap engine unaweza kuadhibiwa zaidi .

Saa zingine unaweza kutoka chumbani kwako katika corridor msichana anaweza kukuvulia chupi ? anakuonyesha alivyoumbika , ni kigiza hivi huoni vizuri lakini ukiona msiri wa chupi unalegea na kuteremka chini utasimama uangalie kunani , wengine utakuta wamesimama katika corridor na nguo zinazoonyesha maungo yao kazi ni kwako wewe mtazamaji yaani mimi niangalie nimekubali nichukuwe mzigo ?

Naweza kukubali , kukubali ni rahisi sana kwasababu inasemekana huyu msichana kukaa nae kwa usiku mmoja ni alfu 2 yaani hii alfu mbili hata kondom yaa maana hupati kama unaamua kulala nae na kutumia kinga , kinga zenyewe haziaminiki ya nini kufanya vile wakati najua wako zaidi yake ? na nikwambie siri wanawake wa mbeya wengi ni wanawake asili ya kiafrika yaani wamejazia ndio hapo sasa mate yanakutoka udenda njee , vishawishi na mambo mengine ya usheee .

Kwahiyo ndio hivyo , kesho yake nilitoka katika hoteli hii nikaenda katika hoteli ingine nikawe huru zaidi kwakuwa nilipenda kupiga picha mji ule wakati wa usiku niwatumie baadhi ya rafiki zangu wengine wanaopenda kujua zaidi kuhusu mji wa mbeya na mambo yake , ndio hivyo niliwakimbia hawa wadada mwaaah .

Siku ya pili ni kwenda kuandika report kuhusu ile kazi ya jana na kufanya majaribio kuhusu mashine zingine , kuwauliza maswali kadhaa kama wanamatatizo yoyote yale na kadhalika , kwahiyo hawakuwa na matatizo yoyote kwahiyo niliwaaga kutoka pale nikaanza safari ya kwenda tukuyu sikuwahi kufika tukuyu nilipenda kufika tu kwa kuwa kuna baadhi ya rafiki zangu wanatokea mkoa huu .

Nilifika pale muda wa saa 9 hivi jioni , nikatafuta sehemu ya kupumzika nikapata nikaenda kuhifadhi vitu vyangu , nikabeba kamera yangu , na kitabu changu kidogo kuanza kwenda mitaani , nilibahatika kuona internet café moja jirani pale , nikaingia ndani mule kufanya shuguli zangu .

Basi nilifika katika internet café hii niliwaambia watu kwamba niko mkoani mbeya sehemu inaitwa tukuyu , kuna baadhi ya watu ni wenyeji wa mkoa wa mbeya tulikuwa tunachat pamoja wengine wanatokea tukuyu na kyela , wakanielekeza makwao niwatembelee na wengine walihitaji salamu kutoka kwao .

Ndio hivyo nilipata marafiki wapya wa mkoani mbeya kw anjia ya mtandao , basi pale nilipokuwa jirani kidogo kama kilometa 10 hivi ndio sehemu ya kwanza nilitakiwa kwenda , nilifanikiwa kwenda mpaka kwa hiyo nyumba niliyoelekezwa na rafiki wa internet niliongea nao na kuwapa namba za simu za huyo ndugu yao aliye majuu , kwingine ni kyela lakini kyela mpaka kesho yake safari yangu ya mwisho .

Muda wa saa 3 hivi usiku nilitoka zangu kule mtaani nikarudi zangu katika nyumba niliyofikia , nilienda kuweka vitu vyangu na nikabadilisha mavazi kama ya kijana mtanashati , mwenye aibu sana , niliyekuwa mpweke nahitaji huduma Fulani ??? huduma ya ……?? Nikakaa pale katika bar , nikaagiza nyama choma nikawa nakula na glasi ya juisi .

Dada mmoja hivi ametokea zake huko sijui wapi akaja pale , akakaa mbele yangu nikamkaribisha vizuri sana kwa roho moja tukaanza kuongea , huyu msichana ni mrembo na amejazia kuanzia kigua , miguu na kadhalika hakika huyu ni masha alah kama nilivyokuambia wasichana wengi wa mkoa wa mbeya wamejazia au sio ?

Mrembo wa watu tukaongea kwa masaa 2 hivi mpaka saa 5 usiku , akaniomba namba ya simu nikampa , pia aliniuliza wapi ninapolala usiku huo , kama niko na mke au mtu maalumu usiku huo , nilimjibu sina niko mwenyewe tu na ninapenda kuwa mwenyewe hivyo hivyo inavutia zaidi au sio ?

Dada wa watu aliondoka , nami niliondoka zangu kurudi katika chumba kwa ajili ya mapumziko ya siku ile , basi nilipofika kule kwa hoteli muda kidogo yule dada aliniandikia sms inasema ‘ DEAR , UKO WAPI NIJE ? NINASIKIA BARIDI SANA NAHITAJI JOTO LAKO “ mhh nikakumbuka ni mambo yale yale nilivyokimbia kule mbeya mjini .

Nami nilimjibu “ JAMANI DEAR MBONA NA MIMI NASIKIA BARIDI NIMEJIFUNGIA CHUMBANI FUNGUO SIJUI IKO WAPI USIJE BWANA “ huyu dada akasoma msg yangu nilipokea jibu lake “ WE XXXNGE SANA , KWANINI ULINITONGOZA ? tukaendelea kubishana katika simu “ AHH NIMEKUTONGOZA ? SI BORA NIKATONGOZA NGOMBE AU MBUZI ? “

DADA : YAANI UNANIJIBU HIVYO ?
YONA : NDIO , BORA NITONGOZE NGOMBE

Basi nilizima ile simu yangu ili niwe huru zaidi nilale , kweli nikalala zangu mpaka usiku saa 10 hivi , nikaamka , nikaenda kwa yule mlinzi wa pale kumwambia anifungulie geti nataka kutoka nje akakataa akasema mpaka nimwambie receptionist wa pale naye alikuwa amelala , basi nilijaribu kumgongea hakuamka .

Uvumilivu ulinishinda , nilienda katika begi langu nikachukuwa vifaa nikatengua kitacha cha mlango wake mpaka ndani kwake nilimkuta yuko juu ya msichana Fulani katika fani ahaha , nilitaka kucheka lakini siku cheka , nilimfuata moja kwa moja mpaka pale nikamfunua shuka lile nikamshuka kitandani na kumpiga teke kidogo akajigonga katika kabati la nguo mule chumbani .

Nikimwomba sasa anifungulie mlango nitoke ndani ya ile hoteli kuna sehemu nataka kwenda , alitaka kuvaa nguo nikazichukuwa nguo pamoja na za yule msichana wote nikazitupa nje ya mlango ili anipe funguo nikafungue mwenyewe , alibisha nilivyomwomba basi nikamfuata tena kumtisha .

Ndio alisalimu amri akanipa funguo zile mimi huyo na begi langu nikatoka nje , nilikuta taxi pale karibu na hoteli lilinikimbiza mpaka kituo cha gari kupata basi la kuelekea kyela nikakata tiketi zangu pale na kupakiza vitu vyangu katika gari lile .

Kyela nilifika salama sana , nikafanya na kutekeleza yaliyonipeleka kule mwisho siku hiyo niliyo usiku nilirudi mbeya mjini ili nijiandae kwa safari ya kurudi zangu mjini dare s salaam kama kawaida , nilifika mbeya mjini katika saa 5 hivi za usiku moja kwa moja nilielekea katika nyumba ya wageni kwenda kupumzika .

Kesho yake ya asbuhi ilikuwa ni saa 11 hivi niliamka mapema nikajiandaa kwenda standi ya basi nikapata basin a safari ya kuja dare s salaam ilianza na kunoga kama kawaid nilifika jiji la mzizima nikiwa salama salmin na mwenye afya tele .

Nilifika muda wa saa 10 hivi , nikaja zangu hapa katika office kuleta report za huko kisha nikakimbilia katika mtando usiku huo huo kwa ajili ya kutuma hizi picha kwa watu Fulani marafiki zangu .

Na huo ndio ukawa mwisho wa safari yangu maridadi mkoani mbeya nilienjoy vya kutosha , karibuni nitaenda mkoani Mtwara , Lindi , Dodoma , Morogoro , Singida na Arusha kwa ajili ya kazi hizi hizi tuone itakuaje

Sikiliza tu