Wednesday, September 30, 2015

Tanzia - Mama Betisheba Ketangenyi

Bettisheba Pole Ketang'enyi enzi ya uhai wake

Tunasikitika kutangaza kifo cha mama Betisheba Ketangenyi, mama yake Yvonne Matinyi, Felicia Simms, Fredderek Ketangenyi pia ni Dada yake na Rossie Musika, Neema Musika, Daudi Musika, Sijaona Musika kilichotekea 9/30/15 katika hospitali ya NIH Maryland mipango ya kusafiri mwili wa marehemu inaendelea kwa mdogo wa marehemu Daudi Musika
3819 Gateway terrace Burtonsville MD 20866
Unaweza kuwasiliana
Rossie Musika 240 408 2693
Neema Musika 571 991 9819
Specioser Musika 571332 2215
Sijaona Musika 202 487 8412

Panya ni Mbogo huko China!

Mchina akitayarisha mboga ya Panya buku!

Wadau mnaopenda kula kwenye Chinese Restaurant, halahala! Wachina wanapenda sana kula panya. Utaagiza pork fried rice kumbe unapata panya fried rice.  Au unaagiza Chicken Chow Mein, unapata, Panya Chow Mein.  Angalia vile vyakula vyenye nyama zisizojulikana kumba ni nyama ya paka au pamya.

Tuesday, September 29, 2015

Uzazi wa Majira Usiohitaji Dawa- Akina Dada Mpoooooo!


Wasichana wengi Sekondari waliponea kupata mimba kwa kutumia njia hii ya Uzazi wa Majira (Rhythm Method) enzi zileeee.   Unahesabu siku zako.  Pia kupima ute. Pia tulionywa kuwa shahawa za mwanaume zinaweza kukaa ukeni siku nne zikisubiri yai!!!!

Mo Dewji Kuanzisha Benki Kwa Ajili ya Wafanyabiashara Ndogo ndogo

DSC_0316

CEO wa Kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akiwa ofisini kwake.

Na Modewjiblog team

Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji ambaye hivi karibuni amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African Business Awards 2015) amebainisha kuwa lengo kuu la kampuni anayoiongoza ya MeTL Group, hadi kufikia mwaka 2022, ni kufikia dola bilioni 5 huku akitarajia kuajiri wafanyakazi zaidi ya Laki moja.

Dewji maarufu kama MO amebainisha hayo wakati wa mahojiano maalum ya moja kwa moja yaliyorushwa hivi karibuni na kituo cha BBC kupitia kipindi cha BBC SWAHILI DIRA YA DUNIA ambapo alibainisha hayo.

Kupitia kipindi hicho cha BBC Swahili, MO aliweza kuelezea mafanikio aliyofikia ikiwemo siri ya kufanya kazi kwa bidii na kujituma.

Ambapo ameeleza kuwa, alianza biashara akiwa mdogo sana kwani wakati huo Baba yake alikuwa akimfundisha kazi na yeye kujituma zaidi bila kuchoka.

Aidha, MO amebainisha kuwa, yupo mbioni kuanzisha Benki ya kuweza kutoa mikopo midogo kwa wafanyabiashara wadogo wadogo kujiendeleza.

DSC_0310

Salim Kikeke aliweza kumuuliza swali juu ya vijana wengi wanapenda kufanyabiashara lakini hawana mitaji ambapo MO alifunguka kuwa:

“Unajua na mimi mwenyewe nataka kuanzisha ‘Micro credit bank’, ya kuweza kutoa mikopo midogomidogo kwa wafanyabiashara wadogo. Kwa sasa hivi kuna benk nyingi sana zimezidi ukilinganisha mwaka 1998, nilipotoka Marekani, benki zilikuwa ndogo sana kwa hiyo nimeanza kutafuta pesa kutoka benki za Afrika Kusini” ameeleza MO na kuongeza kuwa mtu unapokuwa na wazo la kuanzisha biashara unaweza kushirikiana na mwenye pesa ama kukopa kwa mtu mwenye pesa. alifafanua MO .

Katika mahojiano hayo, MO alibainisha kuwa, mapato katika akaunti ya MeTL GROUP ina kiasi cha dola bilioni 1.3 huku akiwa ameajiri watu zaidi ya 24,000 huku lengo hadi kufikia mwaka 2022, kuwa na wafanyakazi zaidi ya Laki moja huku mapato kuwa zaidi ya dola bilioni 5.

Tuzo aliyopata MO alikabidhiwa katika hafla hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Four Season mkabala na jengo la Umoja wa Mataifa (Baraza Kuu) watu wengine waliopata tuzo ni Aliko Dangote, Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa na Helen Hai.

MO alimshinda Aliko Dangote ambao walikuwa kwenye Kategori moja wakiwania tuzo hiyo ya mfanyabiashara bora wa Afrika, huku wengine walioshindanishwa kwenye kategori hiyo ni CEO wa Paramount Group, Ivor Ichikowitz, CEO wa Groupe Loukil, Groupe UADH, Bassem Loukil, na Oscar Onyema DG wa Nigerian Stock Exchange.

Friday, September 25, 2015

Mkuu wa Majeshi CDF Jenerali David Mwamunyange Yu Buheri wa Afya - Yupo Italia Kikazi

 Taarifa zinazosambaa kumhusu Mkuu wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Jenerali  Davis Mwamunyange zilizosambaa kwenye mitandao ya jamii kwamba amekula chakula chenye sumu na amekimbizwa jijini Nairobi nchini Kenya kwa matibabu hazina ukweli wowote.Ni uzushi.

Kwa mujibu wa taarifa za familia ya Jenerali Mwamunyange pamoja na makao makuu ya jeshi ambazo Globu ya Jamii imezisaka na kuzipata, kiongozi huyu wa JWTZ hivi sasa yupo nchini Italia kwa ziara ya kikazi ya siku tisa kama anavyoonekana pichani na hajambo kabisa na yu bukheri wa afya.
Hii ni changamoto kwa wakala wa mawasiliano nchini (TCRA) ambayo imekuwa ikilaumiwa kwa ukimya wake wa kutochukua hatua thabiti kuthibiti uongo kama huu kwa kuwatafiti, kuwabaini na kuwachukulia hatua watu kama hawa wenye nia ya kuleta taharuki na machafuko nchini.
Wananchi wengie waliohojiwa na Globu ya Jamii wanahoji endapo kama kweli TCRA ipo na kama ipo ina vifaa vya kisasa iliyodai wanavyo kuwabaini watu kama hawa, na kwa nini hawajafanya kweli toka sheria ya mitandao (Cyber Law) iliyoanza kutumika.
"Endapo kama TCRA watashindwa kumnasa mhusika wa uongo huu wa kuogofya, inabidi mamlaka husika iangalie upya ajira ya watendaji wake maana kama taasisi nyeti kama JWTZ inaguswa na wao wakae kimya tu basi ujue kuna tatizo ambalo inapaswa Serikali ilifanyie kazi", amesema msomaji mmoja wa Globu ya Jamii katika maoni yake.

Thursday, September 24, 2015

Ibada ya Kiswahili Katoliki - Dayosisi ya Cleveland East

IBADA YA KISWAHILI KANISA KATOLIKI DAYOSIS YA CLEVELAND EAST
 
KARIBUNI
 
Wapendwa wakristo mnkaribishwa kushiriki sherehe ya kutimiza mwaka
mmoja wa ibada ya Kiswahili kanisa letu Katoliki Dayosis ya Cleveland.
Ibada itaanza saa kumi jioni, na baada ya ibada kutakuwa na chakula na
vinywaji, pia kubadilishana mawazo.
Ibada hii itafanyika;
 
St Adelbert Church
East 83 Street,
Cleveland Ohio 44103
 
Kwa taarifa zaidi wasiliana kwa simu zifuatazo;
Father. F. January 216 650 2734
Father Rogerio. 267 206 2613
Tumaini. 216 645 5171

Iddi Mbaraka!


Nawatakia wadau wote waislam Iddi Mbaraka!

Tuesday, September 22, 2015

Mke Atalakiwa baada ya kuondoa Make-Up Usoni. Kumbe ana sura mbaya!

Yaani nimecheka. Jamaa kaoa mwanamke huko Arabuni kwa sababu ya uzuri wake. Kumbe alikuwa ana paka make-up kibao na kupachika nyusi bandia!  Jamaa alifunga ndoa na mrembo wake. Asubuhi baada ya harusi waliyoamka alishngaa huyo mwanamke ni nani.Kumbe ni mke wake bila make up. DUHHHHH! Danganya toto kweli kweli!  Lakini huyo mwanamke siyo mbaya, na jamaa mshamba hajui kazi ya make-up.

Raha ya Mitumba!

Hapa Marekani watu wanatupa nguo zao waszoiotaka kwenye mapipa ya Goodwill, Salvation Army, St. Vincent De Paul, Planet Earth etc.  Mtu akifa familia inatoa nguo zake kwenye mashirika hayo. Nguo zisizouzwa madukani mwao ya mitunba (Second Hand Shop) zinasafirisha kwenda nchi za Third World.

Haya cheki huyo jamaa anavyofurahia mtumba wake, nguo ya kulala (pajama) ya kike!



Saturday, September 19, 2015

Ujue Chuki ya Republicans Marekani


MKenya Agundua Tiba ya COPD - Ugonjwa wa Kupumua Kwa Shida

AJABU AFRICA wametoa taarifa kuwa Mkenya amegundua Tiba ya Uginjwa wa Kupumua kwa Shida (COPD).  Dr. George Kiongera ni Mkenya kwa kwanza kuwa na shahada la Ph.d katika uuguzi (Nursing).  Alifanya utafiti kuhusu ugonjwa wa COPD na athari zake kwa wazee.  Tiba aliyogundua umekuwa na mafanikio kwa wengi.
 
 
****************************************************

BREAKING NEWS...Kenyan Man in Boston Discovers COPD treatment, Featured in Nursing's Leading Journal

BOSTON__Dr. George Kiongera, the Kenyan man who several years ago became the first Kenyan known to hold a Doctorate Degree in Nursing Practice has achieved another rare feat; a research study he conducted recently on the first ever known treatment of older patients with Chronic Obstructive Pulmonary disease (COPD) was accepted and published in the Journal of Gerontological Nursing--the world's leading resource for nursing care of older adults.

The piece, titled "inpatient pulmonary rehabilitation program in a long-term care facility" was featured from page 44 to 52 of the most recent issue (August 2015) of the nursing care journal that is published only once a month.

Currently, there is no any other Kenyan known to have been published in the world renowned journal.

Following the success of Dr. Kiongera's study findings and recommendations in treating patients stuck in long term care facilities due to COPD, a debilitating breathing problem with no previously known cure, and as a result accepted and featured nursing care journal, Dr. Kiongera's research now officially becomes a resource for healthcare providers and medical students all over the world dealing with COPD patients. KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA  FULL STORY >>>>>


Nafasi ya Kazi Shinyanga - LIbrarian

Earth Sciences Institute of Shinyanga (ESIS) is a Private Technical Institute licensed by the National Council for Technical Education of Tanzania (NACTE) with Reg. No REG/EOS/041 to offer Exploration and Mining Geology plus Petroleum Geosciences courses at Basic Certificate and Diploma level.
ESIS’s head office is located at Ndala in Shinyanga Municipality while classes and dormitories are currently located within the mining premises of Williamson Diamond Limited in Mwadui Shinyanga.
  1. Job Title: Librarian Assistant
  2. Department: Geology
  3. Report to: Head of Geology Department

Qualities, Skills and Qualifications:

  1. Posses a certificate or diploma in library and documentation from a accredited institute
  2. Able to mentor and inspire students
  3. Posses training skills
  4. Knowledge of customer care
  5. Knowledge of ms excel and access database
  6. Team player and self motivated
  7. Transparent and trustworthy person
  8. Able to work under high pressure and long hours

Roles and Responsibilities:

  1. Facilitate orientation to staffs and students on library usage
  2. Checkin and checkout library users
  3. Allow library users to only use library materials
  4. To ensure that only qualified library users are allowed to use the library services
  5. Ensure that the library windows and doors are closed at the end of its service
  6. Selecting, developing, cataloging and classifying library resources
  7. Filling the books cards, shelving books and recording daily statistics
  8. Providing library service to library users including responding to inquiries, educating, creating and inducing books reading behaviors
  9. Assist student in searching book/website references online
  10. Instructing, guiding and inspiring library users on library effective and proper usage
  11. To ensure that the library structure, resources and its environments are always clean, neat and secure 
  12. To prepare and keep record of library users. 
  13. Design and maintain orientation and library usability material
  14. Participate in curricula reviews and development process
  15. Evaluate, promote the emerging technologies that fosters reading behaviors among library users
  16. Understanding copyright, fair use, and licensing of intellectual property, and assisting users with their understanding and observance of the same
  17. Submit to the supervisor and maintain the improved library usage code
  18. Supervise library staffs/volunteers under his/her command
  19. Prepare and submit to the supervisor a library analytical and substantiated budget proposal
  20. Advice the supervisor on important issues that need college attention
  21. Report all irregularities in library and its surroundings like theft, student behaviors, special needs and library code misconduct etc
  22. To prepare submit a library administration report to the Head of Department (Geology) each month
  23. To carry out any other duties as may be assigned by his/her supervisor. 

Application Instructions

Submit the following:
  1. Application letter,
  2. updated CV
  3. certified copy of your certificate/diploma
to
The Principal
Earth Sciences Institute of Shinyanga (ESIS)
Ndala, Shinyanga: Plot No. 91, Block HH
P.O. Box 1016, Shinyanga
Apply online Website: http://esis.ac.tz/jobs/
Send via Email: info[at]esis.ac.tz/ (Please replace [at] with @)

Remuneration

The post carries attractive remuneration and fringe benefits, according to  ESIS’s Scheme of Service.

Application Deadline:

Friday, the 25th of September 2015 at 17:00pm

To learn more about us please visit us at:
Location: NDALA, SHINYANGA: PLOT NO. 91, BLOCK HH
Postal Address: P.O. Box 1016, Shinyanga
Website: www.esis.ac.tz
Tel: + 255 28 2762854, +255785163274/ +255769426401
Email: info[at]esis.ac.tz/ (Please replace [at] with @)

United States Welcomes Mozambique Announcement on Landmine Clearance

Land Mine Warning in Mozambique

Too many have been maimed and killed by landmines in Mozambique.  Why were they put there.  I am posting this as a Thank You for the efforts to clear  Mozambique of landmines!  My uncle was killed by a landmine when he was visiting Mozambique. Rest in peace Uncle Joseph. 

 **************************

United States Welcomes Mozambique Announcement on Landmine Clearance


Press Statement
John Kirby
Department Spokesperson
Washington, DC
September 17, 2015



The United States welcomes Mozambique’s announcement today that it has completed clearance of all known fields of landmines in the country.

Since 1993, when Mozambique emerged from decades of conflict as one of the world’s most landmine-affected nations, the United States has been proud to partner with the people of Mozambique, investing more than $55 million toward improving the safety and security of local communities though the U.S. Conventional Weapons Destruction program.
Through that partnership -- which includes the international donor community and humanitarian demining organizations -- we have worked diligently to safely clear landmines and unexploded ordnance, prevent injuries through community outreach and education, and provide medical and social services to survivors of accidents involving these legacies of past conflicts.

The United States is proud to be the world’s leading provider of financial and technical assistance to help countries address this serious humanitarian challenge. Since 1993, we have invested nearly $2.5 billion in aid in more than 90 countries to decrease the threats posed by landmines and explosive remnants of war. Our efforts have dramatically reduced the world’s annual landmine casualty rate and helped 16 countries declare themselves landmine-free.
Humanitarian demining in places like Mozambique sets the stage for post-conflict recovery and development. It is another important way in which the United States promotes international peace and security.

Sunday, September 13, 2015

Gharika ya Watu yashuhudia Uzinduzi Rasmi wa Kampeni za CCM

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja kwa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mama Fatma Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea  na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Ndege ndogo ikipita juu ya  Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasili katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akimlaki Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasili katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mama akisaidiwa kwenda kupata huduma ya kwanza baada ya kuhemewa na gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
Nyomi  ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015

Utenzi ukisomwa  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete, mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana wakiwa na furaha katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete, mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana wakiwa na furaha katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Kada mashuhuri wa CCM Visiwani Zanzibar Mzee Borafia akiongea katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Umati ukishangilia katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 CCM OYEEEEEE....anasema kada huyu katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akimpongeza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Mohamed Gharib Bilali baada ya kuhutubia katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume  akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
Viongozi wakiwa jukwaa kuu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Wanahabari wakirekodi tukio hilo la kihistoria kw kila aina ya vifaa vya kisasa ikiwemo drone ya kupigia picha kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Msanii Diamond na kundi lake la Wasafi wakitumbuiza kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
  Msanii Diamond na kundi lake la Wasafi wakitumbuiza kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg. Vuai Ali Vuai akisoma ratiba ya mkutano   kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akihutubia umati kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiwa amehemewa kwa gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akisisitiza jambo wakati akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akifafanua jambo wakati akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Diamond na kundi lake wakitumbuiza  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Jukwaa kuu likifurahia onesho la Diamon na kundi lake  wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akirejea tena mbele kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt Ali Mohamed Shein  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
Rais Kikwete na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana wakijiandaa kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt Ali Mohamed Shein  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Msaada unatolewa kwa mama aliyepoteza fahamu  kutokana na wingi wa wananchi wakati wa mkutano huo
 Nyomi mkutanoni hapo
  Rais Kikwete na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein wakionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akihutubia gharika hiyo ya watu katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Sehemu ya wananchi, wanaCCM  na viongozi uwanjani hapo
 Dua ikisomwa  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa Rais Kikwete wakipongezana kwa   furaha baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Gharika ya watu ikiondoka kwa furaha na amani baada ya mkutano uliofana wa uzinduzi wa  kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiaga wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiaga wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akimnyakua mtoto wakati  akiondoka baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akimbeba  mtoto huyo  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akipata picha na watoto  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akiaga baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiagana kwa furaha na wananchi  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiagana kwa furaha na wananchi  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akiaga wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akiagana na viongozi wa CCM wa Visiwani wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya kuunguruma katika  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
"....CCM JUU!" anasema Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wakati akipanda ndege kuondoka baada ya kuhudhuria kuunguruma katika  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015. PICHA NA IKULU