Tuesday, August 26, 2014

Jamaa Aibiwa Baada ya Kutoka Benki Mlimani City

Hali inatisha.Allah atusalim salama! 


JAMANI HALI INATISHA SANA,NIPO HAPA NILIKUWA NA MTU NAFANYA NAE KAZI ANANIHADITHIA JINSI ALIVYOIBIWA PESA IJUMAA ILIYOPITA NIMEOGOPA,SIJUI TUFANYEJE TUWAPO NA PESA UUWIIIIIII.

NAHISI KABISA WAHUDUMU WA BANK AU MAMENEJA WA BANK WANASHIRIKI HUU MCHEZO,ANASEMA ALICHUKUA MKOPO NMB SH MILIONI 30!!KWA NIA YA KUMALIZIA UJENZI,SIKU YA IJUMAA KUNA KAZI ALITAKA KUFANYA NA FUNDI KUNA VIFAA WALITAKIWA WANUNUE PAMOJA NA GHARAMA ZA UFUNDI INGEFIKA KM MILION 10 HIVI,AKAENDA BANK MLIMANI CITY KUCHUKUA HIZO PESA,

AKIWA TAYARI AMESHAZICHUKUA FUNDI AKAMPIGIA SIMU KUWA AMEFIWA KWA HIYO KAZI HAITAFANYIKA KWA SIKU 3,YULE KAKA AKAONA ASIKAE NA PESA NYINGI HIVYO AKAAMUA AZIWEKE TENA MILION 7 ABAKI NA 3,NAHISI ALIVYOCHUKUA ZILE PESA AKAWA AMESHALENGESHWA,ALIPOTOKA TU BANK AKAPIGIWA SIMU NA MTU MWINGINE WALIONGEA DILI LA TILES KUWA AMRUSHIE M 1 KWENYE M PESA MAANA DILI LIKO TAYARI,AKAINGIA PALE VODA AKAWEKA PESA AKAMTUMIA AKABAKI NA M 2 AKAWEKA NA NYARAKA ZAKE FULANI MLE KWENYE BAHASHA YA FEDHA,AKATOKA,ANASEMA MUDA WOTE KUNA KIJANA ALIKUWA ANAMFATA NYUMA AKIINGIA SEHEMU YULE KIJANA ANASIMNAMA NJE KUZUGA LKN HAKUMTILIA MAANANI,AKAINGIA KWENYE GARI AKAONDOKA KUPITIA GETI LA UPANDE WA SURVEY,ILE ANAKATA KONA PALE ZINAPOPAKI BAJAJ KUNA PIKIPIKI IKAM BLOCK,AKAJA KIJANA MMOJA DIRISHANI ANA BASTOLA AKAMWAMBIA TUPE HIZO MILION 10 ZETU,USIPIGE KELELE KISHA ONDOA GARI FASTA,KWA KUKUHURUMIA HATUKUUI,TUPE HELA NA HUO MKOPO TUTAUTUMIA WOTE!!!.

YULE KAKA ANASEMA ALIBAKI MDOMO WAZI,HAWA WATU WAMEJUAJE KM NIMEKOPA??BASI ALICHOFANYA AKAWAPA ILE BAHASHA FASTA IKIWA NA MILION 2 LKN IMETUNA NA YALE MANYARAKA MENGINE WAKAJUA MILION 10 IKO MLE KUMBE MWENZAO ALIZIRUDISHA NYINGINE,AKAONDOA GARI MBIO,ANASEMA ILE TU KUNUSURIKA KUFA ALICHANGANYIKIWA AKATOKA MBIO MOJA KWA MOJA HADI MSIKITINI MWENGE,AKASWALI KUMSHUKURU MUNGU,AKARUDI NYUMBANI,ANASEMA ANAOGOPA KBS KWENDA TENA BANK NDO ALIKUWA ANAOMBA NIMUELEKEZE JINSI YA KUHAMISHA FEDHA TOKA KWENYE ACOUNT KWENDA M PESA ILI AWE ANATOLEA KWA WAKALA,TUWE MAKINI JAMANI PESA ZETU WENYEWE ZITATUUA!!!

 

Facebook ya Zitto Kabwe imekuwa Hacked!

Kutoka kwa Maggid Mjengwa - Facebook

*******************************

TAHADHARI: KUNA MTU AMEHACK FACEBOOK ACCOUNT YA ZITTO KABWE

Muda mchache uliopita nimepokea ujumbe kwa anayejifanya Zitto Kabwe ( Impersonate) unaosomeka hapo chini ambao niliutilia mashaka kutoka sentesi ya kwanza. Usome....

"Habari, samahani kwa ujumbe huu endapo kama utakukera ila napenda kukurekebisha lengo kukuweka sawa na kukuepusha katika matatizo. Kuna taarifa umepost katika group ya facebook view timeline kupitia link hii hapa www.facebook-view-timeline.wapka.mobi kiukweli sio taarifa nzuri inaleta uchochez wa vita ya kidini,siasa na mfarakano wa ubaguzi kua makini nimepata taarifa jesh la polisi wanafatilia hz ripot na wapo ktk msako wa kukutafta ili utoe maelezo yakina. Nimezipa hzo hapa www.facebook-view-timeline.wapka.mobi mtu akilogin hapo akiingza email na password anaona yote. Kua makini"

Thursday, August 21, 2014

Ubaguzi Marekani- Inasikitisha

Hao wazungu pichani wote wameua watu! Lakini wamekamatwa na wako hai, wako jela.! Mweusi akishukiwa kufanya uhalifu anauawa kama mnyama na Polisi!

Tuesday, August 19, 2014

Rais Kikwete Atoa Rambirambi Kwa Familia ya Jaji Makame



Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwafariji wafiwa walipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki  katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.

 Mama Salma Kikwete akiweha saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki  katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.

PICHA NA IKULU

 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 Rais  wa Jamhuri  ya  Muungano wa Tanzania,  MheshimiwaDkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za  RambirambiMwenyekiti  wa  Tume ya  Taifa  ya  Uchaguzi,  National  Electoral Commission  (NEC)  kufuatia taarifa  za  kifo  cha  aliyekuwaMwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, MheshimiwaLewis  Makame  kilichotokea  katika  Hospitali  ya  AMI  TraumaCentre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.

 “Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifocha  Jaji  Mstaafu  wa  Mahakama  ya  Rufaa  Tanzania  naMwenyekiti  wa  Kwanza  wa  Tume ya  Taifa  ya  Uchaguzi(NEC)  chini  ya  Mfumo  wa  Vyama  Vingi  vya  Siasa,Mheshimiwa  Lewis  Makame  ambaye  amelitumikia  Taifaletu  katika  Utumishi  wa  Umma  kwa  uaminifu,  uadilifu,bidii  na  umahiri  mkubwa”,  amesema  kwa  masikitiko  RaisKikwete katika Salamu zake.

  Katika utumishi wake, Marehemu Jaji Lewis Makame, enzi zauhai wake, alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania kabla yakuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa na baadaye Mwenyekiti wa NECambayo  aliiongoza  kwa  miaka  17  mfululizo  hadi  alipostaafumwaka 2011.  Uongozi wake ulichangia sana kuimarisha amani,utulivu, umoja na mshikamano wa kitaifa katika mazingira mapyaya demokrasia ya vyama vingi vya siasa hapa nchini.“Ni  kwa  kutambua  kipaji  kikubwa  cha  uongozialichokuwa  nacho  Marehemu  Jaji  Lewis  Makame,  Taifa.

Monday, August 18, 2014

Ubaguzi Marekani - Mauaji ya Michael Brown


It is a shame that Racism is Alive and Well in America today. A Black person is always guilty until proven innocent. A white cop shoots 18 year old Michael Brown 6 times. While that officer is free and in hiding somewhere the police make every attempt to discredit the deceased. Good cops do not execute people! Will there be justice for Michael Brown?

Jumuiya ya waTanzania D.C., Maryland & Virginia (DMV)

Mubelwa Bandio kati akiwa na aliyekuwa mgombea wa nafasi za Mwenyekiti wa Jumuiya DMV Liberatus Mwang'ombe (L) na mgombea nafasi ya Katibu Msaidizi Solomon Chris (R0 wakati wa mahojiano
Agosti 9, 2014, Jumuiya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia nchini Marekani ilifanya uchaguzi wake mkuu.
Matokeo yake yamekuwa yakipingwa na waliokuwa wagombea wa uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali.
Wamaketi na Vijimambo Blog na Kwanza Production kueleza sababu hasa za kupinga matokeo hayo siku ya Jumatano ya Agosti 13, 2014.
Karibu uungane nasi kusikia wanachopinga

Thursday, August 14, 2014

SUMATRA Mko Wapi? Abiria Wanateseka

 Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6  abiria ambao walikuwa wanaelekea mwanza na gari la princes shabaha  wamezidi teseka  huku  hawajui hatima yao ya safari
 Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX  Wamekwama maeneo ya kibamba jiji dar es salamu  huku kina mama na watoto wakizidi teseka



 Mama Huyu Akiteseka na mtoto mdogo
 Abiria wakiwa nje ya basi

Saturday, August 09, 2014

Kibonde wa Clouds FM Akamatwa na Polisi Leo

Ni mara chache sisi waandishi wa habari, tunakuwa habari!

********************************
 Habari na picha kutoka FACEBOOK:

Askari wa Trafiki Akimkamata Ephraim Kibonde

Ephraim Kibonde ndani ya Lock Up


Mtangazaji Mahiri wa Redio 88.5 Clouds FM kupitia kipindi cha Jahazi, Ephrahim Kibonde akipingana na Askari wa Usalama barabarani wakati alipotakiwa kutii sheria bila shurti,mapema asubuhi hii jijini Dar es salaam.

Kibonde anadaiwa kusababisha ajali asubuhi hii eneo la Makumbusho, ikiwa gari aliyokuwa akiendesha kuigonga gari ya dereva mwingine kwa nyuma. Trafiki walifika eneo la tukio na kupima ajali, Kibonde alipoona hivyo akarudi nyuma na kuendesha gari lake kuondoka eneo la tukio bila kufuata taratibu za usalama barabarani,hali iliyomlazimu yule Trafiki katumia gari lililogongwa kumfukuzia.

Walifanikiwa kumkamata eneo la Mwenge na Trafiki aliingia katika gari lake na kumwomba arudi eneo la ajali ili wakapime na kuchora mchoro wa ajali. Kibonde aligoma na kumtaka trafiki ashuke katika gari lake,Trafiki naye hakutana kufanyi kwa maana ya kuwa aligoma kushuka na kumuamuru Kibonde arudi eneo la tukio.

Kibonde aliondoa gari na kuendelea na safari yake huku yule Trafiki akiwa ndani ya gari hiyo, Trafiki aliwasiliana na wenzake ambao walianza kuifuatilia gari hiyo ya Kibonde kama walivyopewa maelekezo na mwenzao aliopo ndani ya Gari hiyo.

Mara Kibonde akatokea maeneo ya mataa ya Ubungo, hapo kulikuwa na Trafiki mwingine aliyekua eneo hilo akaipiga mkono gari ya Kibonde na ambapo inasemekekana hakusimama na badala yake ikaja gari nyingine na kuichomekea kwa mbele na hapo ndipo alipotiwa mbaroni! Aligoma kuendesha gari ikabidi livutwe hadi polisi Urafiki na yeye kuwekwa chini ya ulinzi na baadae akahamishiwa Kituo cha Oystabay ambako yupo mpaka sasa.

Inadaiwa kuwa Kibonde alikuwa amelewa sana,hali iliyopelekea kufanya hayo yote ikiwa ni pamoja na kuwajibu vibaya Askari hao.

Rais Kikwete Atembelea Maktaba ya Rais Mstaafu wa USA George W. Bush

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) iliyo katika Taasisi ya Bush (George W. Bush Institute) mjini Dallas, Texas, na kujionea nafasi kubwa iliyotolewa kwa Tanzania na zawadi ambazo Rais Bush alizipata katika ziara yake rasmi ya Tanzania wakati akiwa Rais wa Marekani. 
Maktaba hiyo ya kuvutia inaendeshwa kwa teknolojia ya kisasa kabisa ya habari na mawasiliano. Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la Texas kuhudhuria mkutano wa wafanyabiashara wa mafuta na gesi ambao wanataka kuwekeza katika sekta hiyo katika Tanzania. 
 Rais Kikwete amekuwa katika Marekani kwa ziara ya kikazi ya siku tisa, ambako miongoni mwa mambo mengine, amehudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Marekani na Afrika uliofikia kilele chake jana kwa kikao kilichoendeshwa na Rais Barack Obama wa Marekani katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani mjini Washington D.C.
 b1: Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (*Bush Presidential Library) sehemu ambayo imejengwa kwa mfano wa Ikulu ya Marekani, White House, hususan katika bustani ya Waziri (Rose Garden) pamoja na ofisi ya Rais wa Marekani, Oval office*

 *b3, b4, b5: *Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea
na kujionea vitu mbalimbali ambavyo Rais mstaafu George W. Bush alipewa
kama zawadi kutoka Tanzania ambavyo vimehifadhiwa katika Maktaba ya Kirais
ya Rais Bush (*Bush Presidential Library) *
 *b3, b4, b5: *Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea na kujionea vitu mbalimbali ambavyo Rais mstaafu George W. Bush alipewa kama zawadi kutoka Tanzania ambavyo vimehifadhiwa katika Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (*Bush Presidential Library) *
 *b3, b4, b5: *Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea na kujionea vitu mbalimbali ambavyo Rais mstaafu George W. Bush alipewa kama zawadi kutoka Tanzania ambavyo vimehifadhiwa katika Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (*Bush Presidential Library) *
 *b3, b4, b5: *Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea na kujionea vitu mbalimbali ambavyo Rais mstaafu George W. Bush alipewa kama zawadi kutoka Tanzania ambavyo vimehifadhiwa katika Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (*Bush Presidential Library) *

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiondoka baada ya kutembelea Maktaba
ya Kirais ya Rais Bush (*Bush Presidential Library)

Threatening Remarks By Swazi Minister Cause for Concern

Press Statement

Marie Harf
Deputy Department Spokesperson, Office of the Spokesperson
Washington, DC
August 9, 2014



The United States is deeply concerned by the threatening remarks made by Swaziland Prime Minister Sibusiso Barnabas Dlamini toward Swazi labor and civil society leaders who participated in the U.S.-Africa Leaders Summit in Washington this week. Such remarks have a chilling effect on labor and civil rights in the Kingdom of Swaziland.
The United States continues to support and defend fundamental freedoms, including freedom of association, and the human rights defenders who fight for these values each day. We call upon the Government to renounce the Prime Minister’s remarks and to ensure respect for the constitutionally enshrined rights of all citizens.

Tuesday, August 05, 2014

Hotuba Ya Mhe Rais Jakaya Kikwete Kwa WaTanzania Washington D.C.



Karibu kusikiliza hotuba ya Mhe. Dk Jakaya M Kikwete alipozungumza na waTanzania usiku wa Agosti 2, 2014 kwenye hotel ya Marriot, jijini Washington DC nchini Marekani.

Maombi


Sunday, August 03, 2014

Pastor Myamba Azawadiwa Gari Na Pesa Taslim Shilingi 250M/- Katika Harusi Yake Huko Zanzibar!

Pastor Emmanuel Myamba na Mke wake


Picha na Maelezo Kutoka Swahili World Planet Blog:

Harusi ya Pastor Myamba pengine ndiyo harusi ya star wa Tanzania kuzawadia mali nyingi zaidi ! Myamba amefunga ndoa Zanzibar weekend hii huku akizawadia zawadi kibao za mamilioni likiwemo gari na pesa taslim shilingi milioni 250 za kitanzania. Mastaa mbalimbali wamehudhuria harusi hiyo visiwani Zanzibar. piacha zaidi zinakujia...........



Saturday, August 02, 2014

Zile Sheria za Kuzuia Usenge na Ushoga Si Halali - Maamuzi ya Mahakama



Mahakama Kuu ya Uganda imeamuru kuwa zile sheria za kuzuia Usenge na Ushoga Uganda si halali. Wamesema kuwa sheria haikupitishwa kihalali. Hivyo vimefutwa. Sasa Usenge na Ushoga Ruksa!  Wasenge na Mashoga wa nchi za Magahribi watafurahia habari habari hiyo maana walisema kuzuia ni kinyume na haki za binadamu!

******************************************

By RODNEY MUHUMUZA

   KAMPALA, Uganda (AP) - A Ugandan court on Friday invalidated an anti-gay bill signed into law earlier this year, pleasing activists and watchdog groups who called the measure draconian and wanted it repealed.

   The Constitutional Court declared the law illegal because it was passed during a parliamentary session that lacked a quorum.

   Activists erupted in cheers after the court ruled the law "null and void," but some cautioned that the fight was not over: The state could appeal the ruling in the Supreme Court and legislators might try to reintroduce new anti-gay measures. Also, a colonial-era law that criminalizes sex acts "against the order of nature" still remains in effect in Uganda, allowing for continued arrests.

   The invalidated law provided jail terms of up to life for those convicted of engaging in gay sex.  It also allowed lengthy jail terms for those convicted of the offenses of "attempted homosexuality" as well as "promotion of homosexuality."

   Although the legislation has wide support in Uganda, it has been condemned in the West.

   The U.S. has withheld or redirected funding to some Ugandan institutions accused of involvement in rights abuses, but the ruling Friday might win the Ugandan delegation a softer landing in the U.S. next week as it heads to Washington for a gathering led by President Barack Obama.

   The panel of five judges on the East African country's Constitutional Court said the speaker of parliament acted illegally when she allowed a vote on the measure despite at least three objections - including from the country's prime minister - over a lack of a quorum when the bill was passed on Dec. 20.

   "The speaker was obliged to ensure that there was a quorum," the court said in its ruling. "We come to the conclusion that she acted illegally."

   The courtroom was packed with Ugandans opposing or supporting the measure.

   Frank Mugisha, a Ugandan gay leader, said the ruling was a "step forward" for gay rights even though he was concerned about possible retaliation.

   Ugandan lawyer Ladislaus Rwakafuuzi, an attorney for the activists, said the ruling "upholds the rule of law and constitutionalism in Uganda."

   U.N. Secretary-General Ban Ki-moon welcomed the decision as a "victory for the rule of law," according to a statement read by U.N. spokesman Stephane Dujarric.  "He pays tribute to all those who contributed to this step forward, particularly the human rights activists in Uganda who spoke out at great personal risk."

   Lawyers and activists challenged the anti-gay law after it was enacted in February on the grounds that it was illegally passed and that it violated certain rights guaranteed in Uganda's constitution.

   The court ruled Friday that the activists' entire petition had been disposed of since the law was illegally passed in the first place. This means there will be no further hearings about the activists' argument that the anti-gay measure discriminated against some Ugandans in violation of the constitution.

   Nicholas Opiyo, a Ugandan lawyer who was among the petitioners, welcomed the ruling but said there is a missed opportunity to debate the substance of the law.  "The ideal situation would have been to deal with the other issues of the law, to sort out this thing once and for all," Opiyo said.

   He mentioned the existing law that still allows for arrests of alleged offenders. Lawmakers might also try to reintroduce a new anti-gay measure, he said.

   Kosia Kasibayo, a state attorney, said a decision had not been made on whether to appeal the ruling in the Supreme Court, Uganda's highest court.

   The anti-gay legislation was enacted on Feb. 24 by Ugandan President Yoweri Museveni, who said he wanted to deter Western groups from promoting homosexuality among African children.

   Some European countries and the World Bank withheld aid over the law, piling pressure on Uganda's government, which depends on Western support to implement a substantial part of its budget. Ofwono Opondo, a Ugandan government spokesman, had repeatedly described Western action over the law as "blackmail." Opondo and other government officials were not immediately available for comment after the Friday ruling.

   Supporters of the anti-gay measure say they believe Museveni - who will lead Uganda's delegation to the U.S. next week- may have quietly backed the court's ruling. Many Ugandans see the courts as lacking independence and unlikely to make decisions strongly opposed by Museveni, who has held power here for nearly three decades.

   "This ruling has got nothing to do with the will of the people," said Martin Ssempa, a prominent Ugandan cleric who has led street marches in support of the anti-gay measure. "Unfortunately, it has everything to do with pressure from Barack Obama and the homosexuals of Europe."

   Although Ugandan police say there have been no arrests of alleged homosexual offenders since the bill was enacted, gay leaders and activists say suspected homosexuals have been harassed by the police as well as landlords, sending many underground and unable to access essential health services. Ugandan police raided the offices of a U.S.-funded clinic that offered AIDS services to homosexuals after the bill was enacted.

   The HIV prevalence rate among homosexual men in the Ugandan capital of Kampala is 13 percent, about double the national average, according to the U.S.-based advocacy group Health GAP. It said in a statement that the court's decision was "a crucial development for increased access" to life-saving health services.

   "This is a great day for social justice," Michel Sidibé, the executive director of the United Nations AIDS agency, said of the Ugandan court's decision. "The rule of law has prevailed."

  

Vita kati ya Israel na Wapelestina!



Sijui nani ameuchora lakini ndo hali ilivyo!

Mbinu Za Utapel! Dawa - Msijibu!

Wadau, hata siku moja usitoe password yako! Watu halali hawaombi Password!

*****************************************
 Yahoo!

Scheduled Maintenance
Dear Yahoo Customer, 


You submitted a request to terminate your Yahoo Mail Account and the process has started by our Yahoo MailTeam, Please give us 3 working days to close your Yahoo Mail Account.

To cancel the termination request click here

All folders  on your Yahoo Mail Account including (Inbox, Sent, Spam, Trash, Draft, Folders) will be deleted and access to your Yahoo Mail Account will be Denied.

For further help please contact support department.
Regards,Yahoo Mail Account Services
______________________________ ______________________
Please do not reply to this message. Mail sent to this address cannot be answered

*************************************************


Your Account Will Be Blocked!
Your Account will Expire on Friday, JULY  25 / 2014
If you would like to continue using your Email Address,
YOU WILL LOSE YOUR EMAIL ADDRESS IF YOU DO NOT UPGRADE YOUR ACCOUNT.
 
UPGRADE IS FREE OFF CHARGE.
Thanks.
Yahoo! Inc ©2014 All Rights Reserved
 
 
 ****************************************************************************************
 
 
Mrs Chantal Diarrah Hello,

Compliment of the day to you. I am Mrs Chantal Diarrah, I am sending
this brief letter to solicit your partnership to transfer $19.5
million US Dollars. I shall send you more information and procedures
when I receive positive response from you.

Best Regards,

Thanks
Mrs. Chantal

MY DIRECT CELL LINE :(00226) 77 42 18 85
 
**********************************************

                            CONFIDENTIAL TRUST URGENT REPLY

Dear Partner,


I want to transfer ($9,300.000.00) Nine million three hundred thousand United States Dollars from here in Burkina Faso to overseas account.

Your assistance as a foreigner is necessary because the management of the bank will welcome any foreigner who has correct information to this account which I will give to you immediately, if you are interested to do this business with me. Please reply with the assurance, include your private telephone and fax numbers, it is necessary to facilitate an easy communication in this transaction. As soon as you reply, so that i will let you know the next step to follow in order to finalize this transaction immediately.

Upon your response and strong assurance that you will not let me down once the fund goes into your account. I will let you know the origin of the fund and the transfer procedures without delay. Contact me on this email address felix.lawre20@yahoo.no

Best regards,
Mr. Felix Lawrence.


**************************************
Mr Issa Nana