Wednesday, January 30, 2008

Online Video - Bush Focus Group


Kuna video nilio-acti mwaka 2004 hapa:

http://www.bushfocusgroup.com/watch.html

Inaitwa Bush Focus Group. Ni kama dakika sita hivi.

Scenario ni hivi kampuni inachukua maoni ya wananchi kuhusu Rais Bush.

Mnenguaji Aisha Masinda anahitaji Msaada!

Wapendwa wadau,

Nimepokea hiii e-mail kuhusu Mnenguaji maarufu, Aisha Madinda, wa African Stars Band- Twanga Pepeta.

**********************************************************************

Habari yako, ukiwa kama mmmoja wa wazalendo naamini kabisa kwa namna moja ama nyingine utaguswa na ugonjwa unaomuandama Aisha MAdinda!

Aisha anahitaji msaada ili aweze kumudu matibabu anayoendelea nayo katika Hospital ya Taifa Muhimbili hivyo basi kama nawe utaguswa katika hili unaweza kwa kumsaidia kubandika habari hii niliyokutumia katika blog yako ili ujumbe huu uweze kusambaa zaidi!


Natanguliza shukurani zangu kwa kukubali kubandika habari hii!

Asante,
Tulizo Kilaga



****************************************************************************

Ugonjwa wa Aisha Madinda "Ngoma Nzito"


Ugonjwa wa Mnenguaji maarufu wa Bendi ya African Stars International, Aisha Madinda (27) hivi karibuni ulidhihilisha kuwa ni "ngoma nzito" kutokana na vipimo vya awali kuonesha asumbuliwi na ugonjwa wowote huku miguu ikiendelea kumvimba kila kukicha.

Aisha Madinda hivi karibuni alinukuliwa na gazeti moja la michezo nchini akisema kuwa, hali yake bado iko vile vile na miguu bado inamsumbua licha ya kufanyiwa uchunguzi wa awali.
Mnenguaji huyo aliongeza kuwa, kushindikana kuonekana ugonjwa wake kumesababisha madaktari bingwa wa moyo kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam juzi (Jumatatu) mchana kuanza kumfanyia uchunguzi wa kina.

"Uchunguzi wa awali umeshindwa kubainisha ugonjwa wangu ndio wamenirudisha kwa madaktari bingwa wanifanyie uchunguzi zaidi, miguu imevimba na sijisikii vizuri, lakini kinachonisikitisha zaidi ni kutoonekana kwa maradhi yanayonisumbua. Nawaachia wataalam, nina imani kama kuna kitu hawa hawawezi kushindwa na suluhu ya tatizo langu itapatikana mapema, Mungu ni wa wote na naamini kwamba atanisaidia na hii ni hali ya kawaida tu kwenye maisha, wala siamini maneno ya watu kuwa nimepigwa juju," alisema Aisha.

Aisha Madinda ambaye ni mama wa watoto wawili wanaosoma sekondari, amekuwa nje ya jukwaa kwa zaidi ya miezi mitatu sasa kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa.

Mnenguaji huyo, amewaomba wadau mbalimbali na mashabiki wa muziki nchini kuendelea kumsaidia kwa hali na mali ikiwa ni pamoja na kugharamia matibabu yake kupitia namba 0717 555557 ambayo ni ya meneja wake.


Kutoa ni moyo si utajili mimi nimeanza kwa kumchangia kwa kuusambaza ujumbe huu!!

Tuesday, January 29, 2008

Skandali ya BOT - Marekani watarudisha pesa zilizowekwa kwenye mabenki yao!

Makubwa! Serikali ya Marekani inasema itarejesha pesa ambazo zilifujwa kutoka Bank of Tanzania (BOT) na kuwekwa katika mabenki Marekani. Na watafanya kweli. Ila inabidi serikali ya Tanzania iombe hizo pesa zirudishwe.

Sasa hivi wana-freeze akaunti za watu bila huruma. Tangu 9/11 wamekuwa wakali hasa!

*****************************************************************************
From Ippmedia.com

US ready to remit all looted funds

2008-01-29

US Ambassador Mark Green has said the United States will cooperate in tracing and remitting back to Tanzania any deposits in American banks which might have been siphoned through the misappropriation of the External Payments Account of the Bank of Tanzania.

Speaking to editors in Dar es Salaam yesterday Green said American laws compelled the tracing down of such funds, even if they had simply passed through an American bank. Green was responding to a question by this reporter about the possibility that some of the billions that had been embezzled at the BoT might be safely banked in Western countries, including the US, and if his government was prepared to facilitate the return of the looted funds to Tanzania.

He however said any such move depended on receiving a substantive request from the concerned state. BoT, under former governor Dr Daudi Ballali, occasioned multi-billion losses to the nation mostly through dubious payments and dealings with phony companies in 2005. President Jakaya Kikwete fired Ballali as BoT governor early this month and his position was taken by Prof. Benno Ndulu. Ballali was in USA undergoing treatment when the president sacked him. He has not returned yet.

Soon after his appointment was rescinded the US government revoked his visa saying his termination from work means he no longer represents the Tanzanian government and is thus not eligible for his current non-immigrant visa status.

Asked whether the US- now that it had cancelled Ballali`s visa-would proceed to extradite Ballali to Tanzania, Green said that the US fully supported President Jakaya Kikwete`s anti-corruption drive and was quite willing to work on any request that would enable the Tanzanian government to achieve that goal. He added that he was quite optimistic that President George Bush, during his upcoming visit to Tanzania, would make clear his stance in regard to corruption.

When the envoy was called upon to state categorically if Ballali was still in the US, and the precise location he was staying, Green said he did not know. He added that American laws did not allow him to make public any private information on a person`s whereabouts or location.

Responding to allegations made to the effect that former BoT governor Daudi Ballali was already an American citizen because he had acquired a Green Card, and that the revocation of his visa was therefore a blunt move, Ambassador Green said: ``What I know is that if somebody applies for a visa, then this person is not a citizen of that country.``

Monday, January 28, 2008

Siku ilivyokuwa mbaya Ofisini!

kama ulidhani ulikuwa na siku mbaya kazini wacheki hawa!


http://glumbert.com/wii/view.php?name=baddayoffice

Academy Awards wanaijua Tanzania







Mwaka 2001, Tanzania ilipeleka sinema, Maangamizi The Ancient One, kushindana katika, 74th Academy Awards. Ilishindana katika kipengo cha 'Foreign Language' (Lugha za kigeni). Sinema hiyo ilikuwa ya kwanza kutoka Tanzania kupelekwa. Ilikuwa kati ya sinema 51, zilizopelekwa na nchi kadhaa huko mwaka huo.

Hatimaye haikufika katika sinema tano bora zilioingia katika raundi ya mwisho kupewa tuzo ya Oscar. Mwaka huo sinema ya 'No Man's Land' kutoka Bosnia Herzegovina, ilishinda.

Ili sinema ifike Academy Awards ni lazima iwe na sifa kadhaa. Sinema ya Maangamizi ilikuwa na sifa zote.

Je, sinema ya Bongoland II, itakuwa sinema ya pili kutoka Tanzania kupelekwa Academy Awards?

Mnaweza kusoma Press Release ya Academy Awards 2001, hapa:

Tutaona mambo yatakavyokuwa.

Amwua mtoto kwa kumpika ndani ya Microwave!

Alimyemtia mwanae ndani ya microwave oven, China Arnold

Yaani dunia hii imezidi kuoza! Huyu mama alimtia mtoto wake mwenye mwezi moja ndani ya microwave na kumpika. Mtoto alikufa kwa majeraha ya ndani (internal injuries). Nje alionekana mzima! Alimwua mtoto mwaka 2005. Sasa kesi iko mahakamani.

Sijui shetani alimwingia! Lazima ahukumiwe adhabu ya kifo!

Huko Bongo miaka ya 70, kuna hausigeli mwenye kisasi na mwajiri wake, alimtia mtoto ndani ya oven na kumpika, maeneo ya Seaview! Mtu mwenye akili timamu huwezi kuua watoto wadogo hivyo jamani!

***********************************************************************

Mom goes on trial in baby's microwave death

Prosecutors say China Arnold killed her month-old daughter in the microwave
She could face the death penalty if convicted of murder

DAYTON, Ohio (AP) -- Jury selection began Monday in the trial of a woman accused of killing her 1-month-old daughter by burning the child in a microwave oven.

China Arnold could face the death penalty if a jury finds she deliberately killed her baby in a microwave oven.

If convicted of aggravated murder, China Arnold, 27, could face the death penalty. Investigators believe Arnold killed 1-month-old Paris Talley by putting her in a microwave at her home. Arnold's attorneys argue she had nothing to do with the baby's death in 2005. Coroner's officials have said the baby suffered high-heat internal injuries and had no external burns. They have ruled out scalding water, open flame or other possible causes of death that could have damaged the skin.

Defense attorney Jon Paul Rion has said Arnold had nothing to do with her daughter's death and was stunned when investigators told her that a microwave might have been involved. Arnold took the baby to the hospital after finding her unconscious and does not know how she died, Rion said.

During a pretrial hearing in July, police Detective Michael Galbraith said Arnold told him she arrived home in the early morning hours after drinking, fell asleep and was awakened at 2:30 a.m. by the baby's crying.

She said she warmed a bottle in the microwave oven, tried to give it to the baby, changed the child's diaper and then fell asleep on the couch with the baby on her chest.

Arnold said she and her children were the only ones in the apartment until her boyfriend arrived several hours later and noticed something was wrong with the baby.

Galbraith said Arnold told him: "If I hadn't gotten so drunk, I guess my baby wouldn't have died."

When cross-examined by Rion, Galbraith acknowledged that Arnold told him she did not know how the baby suffered the burns and that she had nothing to do with it that she could recall.
Earlier this month, defense witness Robert Belloto, a staff pharmacist at Good Samaritan Hospital, testified he does not believe it would have been possible for Arnold to place the baby in the microwave because the woman was so intoxicated.

Belloto said Arnold told him she had consumed about 40 percent of a pint of high-proof rum in 90 minutes. But he acknowledged that he had no other corroboration for her claim.

Sunday, January 27, 2008

Maelfu wajitokeza kwenye Casting Call Boston


Maelfu na maelfu ya watu wanaotaka kuwa Extras katika sinema mpya ya Martin Scorsese, Ashecliffe, walijitokeza jana Boston University. Watu walianza kupanga foleni tangu saa 12 asubuhi!

Mimi nilifika saa 8:30 (2:30Pm). Walikuwa wanaingiza watu kama 300 kwa mpigo kwenye ukumbini. Tulipewa lecture kuhusu kazi ya Extra. Siku inaweza kuwa ndefu masaa 12 hadi 16, fanya kama mnavoambiwa. Fika saa uliyopangiwa etc. Walitaja na bei ya malipo, dola $100 (Masaa manane) kwa siku plus overtime, kwa wasio union. Watapiga sinema maeneo ya Boston, Medfield na Taunton, Massachusetts kuanzia Machi 6 hadi mwisho wa Juni.

Baada ya hapo, watu walipanga foleni nyingine na kutoa fomu na kipigwa picha. Weusi walikuwa wachache sana kulinganishwa na idadi ya wazungu. Najua wengi wa weusi waliotokea watapata nafasi kwenye hiyo filamu.

Kufika mezani niliwapa Acting resume na headshot. Niliulizwa kama nimewahi kuactin kama Nurse. Nikawaambia ndio, niliwahi kuacti Nurse Malika kaitika sinema, Maangamizi the Ancient One.

Kama tunavyosema kwenye dunia ya acting, 'Break a Leg'. Kama kuna mdau aliyeenda huko karibu mtoe experience yako katika hiyo Casting Call.

Kwa habari zaidi soma:

http://wbztv.com/local/Martin.Scorsese.Leonardo.2.638533.html

Saturday, January 26, 2008

Asalam Alaikum wa rahmatullah wa barakâtuh,

Hao matapeli wamezidi, hebu mcheki huyo anadai ni mwanamke na ni mgonjwa wa kansa! Kwa siku naweza kupata kama barua thelathini za matapeli.

Mkipata barua kama hizi zifute - DELETE, wala msiwajibu!

**************************************************************************
Asalam Alaikum wa rahmatullah wa barakâtuh,

You may be surprised to receive this letter from me since you do not know me personally. The purpose of my introduction is that I am Nadija Hussein a citizen of France I am 58 years old married to Dr.Jawad Hussein a citizen of , Oman I am a devoted Muslim suffering from long time cancer of the breast. I got your contact through network online hence I decided to write you, My late husband whom was into Real estate was killed during the Gulf war in Iraq, during the period of our marriage we had only a son Yousof whom is the only one i have left and am so scared i do not want to inform him on the level of my ailment to avoid him from being saddend and scared though he is only 17 and still yound he is everthing to me .

My late husband was very wealthy and after his death, I inherited all his business and wealth as his next of Kin his realtives were not happy with my Husband decision in his will and thereafter they sort after the life of I and my son ,that i had to leave Oman and relocated to Abidjan Cote D'Ivoire for the safety of my only son . Two years on after the death of my beloved husband i was diagnosed and my personal physician told me that I may not live for more than six months due to the state of my cancer as he said it was not noticed on time.I am so scared about this. I now decided to divide part of this wealth if you can take care of my son and use part of this funds to contribute to the development and support to orphanges and Disasters victims in your country .

This has been my devotion to Allah for several years now i have been involved in a Voluntray Charitable and philanthropic activities before the outbrake of my ailment. I am willing to give access to my $4,6M four Million six hundred thousand dollars to you and your company/organisation to look after my only son Yousuf and also and part for the development of philanthropism and also as aids for the less privileged around you.Please note that, this fund is lying presently in a Bank here in Cote d' Ivoire To enable you ,get this funds,do contact me as soon as possible , for the transfer of the money in the name of you or your company Please i want a urgent reply from you.Lastly, I want you/your company to be praying for me as regards my entire life and my health.

Yours Faithfully,
Nadija Hussein.
**********************************************************

ALSSLAAM ALEEKUOM,
FROM THE DESK OF
Dr. AICHARAMAN ALI AHMED
'THE MANAGER OF BILL AND EXCHANGE AT THE FOREIGN REMITTANCEGROUPE BANK OF AFRICA (BOA) OUAGADOUGOU BURKINA FASO WEST AFRICA

MY DEAR,
'I AM Dr. AICHARAMAN ALI AHMED, THE MANAGER OF BILL AND EXCHANGE AT THE FOREIGN REMITTANCE DEPARTMENT BANK OF AFRICA (BOA). IN MY DEPARTMENT DURING THE AUDITING OF THE YEAR 2007, I DISCOVERED AN ABOUNDED SUM OF $25,200.000 USD (TWENTY FIVE MILLION TWO HUNDRED THOUSAND AMERICAN DOLLARS) THAT BELONGS TO OUR LATE CUSTOMER MR. JOHN KOROVO, A JORDAN PROMINENT MAN WHO UNFORTUNATELY LOST HIS LIFE IN THE PLANE CRASH A BEIRUT-BOUND CHARTER JET CRASHED ON TAKE OFF FROM A COASTAL AIRPORT IN THE WEST AFRICAN COUNTRY OF BENIN, 25TH DECEMBER 2003.

SINCE WE GOT INFORMATION ABOUT HIS DEATH, I HAVE MADE AN INVESTIGATION AND VERIFICATION CONCERNING HIM AND I FIND OUT THAT HE DIE ALONG WITH HIS ENTIRE FAMILY IT IS UPON THE DISCOVERY THAT I DECIDED TO MAKE THIS BUSINESS PROPOSAL BECAUSE WE CANNOT RELEASE THIS FUND UNLESS SOMEBODY APPLIES FOR IT AS NEXT OF KIN OR RELATION TO THE DECEASED AS INDICATED IN OUR BANKING GUIDE LINES AND LAWS BUT UNFORTUNATELY WE LEARNT THAT ALL HIS SUPPOSED NEXT OF KIN OR RELATION DIED ALONGSIDE WITH HIM AT THE PLANE CRASH LEAVING NOBODY BEHIND FOR THE CLAIM.

IT IS THEREFORE UPON THIS DISCOVERY THAT I NOW DECIDED TO MAKE THIS BUSINESS PROPOSAL TO YOU AND RELEASE THE MONEY TO YOU AS THE NEXT OF KIN OR RELATION TO THE DECEASED FOR SAFETY AND SUBSEQUENT DISBURSEMENT SINCE NOBODY IS COMING FOR IT AND WE DON'T WANT THIS MONEY TO GO INTO THE BANK TREASURY AS UNCLAIMED FUND. THE BANKING LAW AND GUIDELINES HERE STIPULATES THAT IF SUCH MONEY REMAINED UNCLAIMED AFTER FIVE YEARS(5YRS) THE MONEY WILL BE TRANSFERRED INTO THE BANK TREASURY AS UNCLAIMED FUND.

THE REQUEST OF FOREIGNER AS NEXT OF KIN IN THIS BUSINESS IS OCCASIONED BY THE FACT THAT THE CUSTOMER WAS A FOREIGNER AND A BURKINA FASO PERSON CANNOT STAND AS NEXT OF KIN TO A FOREIGNER. I AGREE THAT 45% OF THIS MONEY WILL BE FOR YOU AS RESPECT TO THE PROVISION OF A FOREIGN ACCOUNT, 5% WILL BE SET ASIDE FOR EXPENSES INCURRED DURING THE BUSINESS AND 50% BE FOR ME. THEREAFTER, I WILL VISIT YOUR COUNTRY FOR DISBURSEMENT ACCORDING TO THE PERCENTAGE INDICATED. THEREFORE, TO ENABLE THE IMMEDIATE TRANSFER OF THIS FUND TO YOU AS ARRANGED, YOU MUST APPLY FIRST TO THE BANK AS RELATION OR NEXT OF KIN OF THE DECEASED INDICATING YOUR BANK NAME, YOUR BANK ACCOUNT NUMBER, YOUR PRIVATE TELEPHONE AND FAX NUMBER FOR EASY AND EFFECTIVE COMMUNICATION AND LOCATION WHERE THE MONEY WILL BE TRANSFER.

UPON RECEIPT OF YOUR REPLY, I WILL SEND TO YOU BY FAX OR EMAIL THE TEXT OF THE APPLICATION. I WILL NOT FAIL TO BRING TO YOUR NOTICE THAT THIS TRANSACTION IS HITCH-FREE AND THAT YOU SHOULD NOT ENTERTAIN ANY ATOM OF FEAR AS ALL REQUIRED ARRANGEMENTS HAVE BEEN MADE FOR THE TRANSFER. YOU SHOULD CONTACT ME IMMEDIATELY AS SOON AS YOU RECEIVE THIS MAIL, TRUSTING TO HEAR FROM YOU IMMEDIATELY.

YOURS FAITHFULLY.

Dr. AICHARAMAN ALI AHMED

Msiba wa Felix Chambi (Makene) Texas

Kutoka Michuzi Blog

Wananchi,

On behalf of the family and Tanzanians living in Houston, I sadly announce the death of our brother Felix Chambi (aka Felix Makene) pictured above.

Felix passed away on Thursday morning (24/1/08) after having a stroke on Monday night (21/1/08). Felix leaves behind his wife Maryam and young son Baraka. Condolences can be offered to Felix’s family at their home on8618 Rose Garden, Houston, TX, 77083.
Michango inaweza kupelekwa:
Akaunti maalumu ya msiba wa Felix Makene
BANK: Washington Mutual Bank
NAME: Jadi malumbo
ACCT #: 4213965100 ROUTING#: 111993776

BANK ADDRESS10850 Bellaire BlvdHouston, TX, 77072
281.498.2233
Please call any of the people below with questions.
Miraji Malewa 832 741 4452
Nuru Mazola 832 630 8090
Anita Massawe 832 721 3832
Rosemary Mlekwa 832 867 2140
Muddy Chamshama 713 203 4629
Jadi Malumbo 713 419 6803
Karim Faraji 713 702 9050

Friday, January 25, 2008

Rais Bush atatembelea Bongo mwezi ujao!

President Bush does the so-called Malaria Dance


Haya! Rais Bush wa Marekani atatembelea nchi tano za Afrika ikiwemo Tanzania mwezi ujao!

WaBongo mkaribishe kwa vigelegle za shangwe. Anataka kuona maendeleo katika mapambano dhidi ya UKIMWI na Malaria. Alitoa dola $15bilioni za kusaidia Afrika katika mapambano dhidi ya hayo magonjwa.

**********************************************************************

Bush Visit to Africa Feb. 15-21
By TERENCE HUNT


WASHINGTON (AP) — A month after returning from the Middle East, President Bush will travel to Africa in February on a five-country tour.

The president, accompanied by his wife, Laura, will visit Benin, Tanzania, Rwanda, Ghana and Liberia, the White House announced on Friday.

"This trip will be an opportunity for the president to review firsthand the significant progress since his last visit in 2003 in efforts to increase economic development and fight HIV/AIDS, malaria, and other treatable diseases, as a result of the United States robust programs in these areas," a White House statement said.

It said Bush also would talk with leaders about how the United States can help promote democratic reform, respect for human rights, free trade, open investment regimes and economic opportunity across the continent.

Bush returned Jan. 16 from an eight-day trip to Israel, the Palestinian-governed West Bank, Kuwait, Bahrain, United Arab Emirates, Saudi Arabia and Egypt. He plans at least a half dozen more trips to the Middle East, Asia, Europe and South America before leaving office next January.

Bush in November urged Congress to double U.S. money for the global fight against HIV/AIDS, to $30 billion over the next five years. In 2003 Congress approved $15 billion for the President's Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR). The program is active in 120 countries, with a concentrated focus on 15, including Namibia, in sub-Saharan Africa, Asia and the Caribbean.

As of the end of September, 1.36 million people in those focus countries had received antiretroviral treatment through the program, with a focus on averting infant infections by treating pregnant women. Others receive testing and counseling.

Doubling the funding for PEPFAR would provide treatment for 2.5 million people, the White House said.

Thursday, January 24, 2008

Nani Bosi?


Sijui nani kashinda hapo?

Casting Call Nyingine - New York


Hii ni kwa watu walioniuliza kuhusu Casting Call New York. Mnaotaka kuwa karibu na Denzel hii ni nafasi yenu!

**********************************************************************



Billy Dowd (Casting) is in NYC to cast background on THE TAKING OF PELHAM 123.

Here is the NON-SAG Open Call

Info -Billy Dowd Casting is seeking background talent for the upcoming Columbia Pictures film The Taking of Pelham 123, starring Denzel Washington and John Travolta. Tony Scott, dir.

Shooting late Feb./early March-June in NYC. Seeking Non-Sag background: 18+, all types, must be legal resident of the U.S. Registration will be held Jan. 28 & 29, 10 a.m.-6 p.m. at St. Columba, 343 W. 25th St. (btwn. Eighth & Ninth aves.), NYC. Use entrance closest to Eighth Ave. Bring recent pix & rum, stapled together.

No phone calls. Pay provided.

Wednesday, January 23, 2008

Mapigano katika sinema ya Bongoland II


Peter Omari na Charles Magali wakifanya mazoezi kabla ya kushuti scene

Jason Hilton coaches Shaffi & Mzee Olotu for a fight scene
Jason Hilton coaches Mzee Olotu on how to fall during a fight scene
Jason Hilton plays 'Kung Fu' with curious neighborhood kids while filiming in Manzese
Josiah Kibira discusses with Jason Hilton and Shafii on the logisitics of a fight scene

Watu wanangojea kwa hamu sinema ya Bongoland II.

Kwenye crew ya Bongoland II kulikuwa na mtaalamu wa mambo ya stunts (kupigana, kuanguka nk katika sinema) anaitwa Jason Hilton. Nilivyokuwa Bongo niliwaambia baadhi ya wasanii kuwa wawe makini kujifunza maana alikuwa anatoa somo bure. Hapa Marekani ukitaka masomo ya stunt unalipia hasa.

Kwa kweli kuna umuhimu wa mwalimu wa kufundisha stunts kwa wasanii Bongo. Nilishangaa sana nilipoambiwa kuwa eti katika sinema za Bongo, ukiona watu wanapigana au mtu kazabwa kibao basi wanafanya kweli hadi kuumizana! Hollywood mnaona watu wanapigana kumbe hakuna mtu aliyeguswa. Mfano kwenye ile sine ya Aftershock:Beyond the Civil War ambayo nimo, utadhani jamaa wanapigana kweli. Kumbe jamaa hakuguswa hata kidogo. Nakumbuka walivyoifilm na final product nikashangaa kweli utadhani jamaa kaua!

Website ya Jason Hilton ni: http://www.tumblemonster.com/pages/gallery.html

Hapa mnaweza kuona clip fupi ya mapingano kutoka sinema ya Bongoland II.

Note inachukua muda ku-load.

http://www.tumblemonster.com/video/TMPStuntSchoolReel.mov

Tuesday, January 22, 2008

Mnaotaka kuwa katika sinema ya Hollywod hii ni nafasi yenu!




Kwa wadau wanaosoma habari nazoandika hapa kwenye blogu wanajua kuwa nimewahi kuzungumzia suala ya Open Casting Call. Katika sinema mara nyingi waigizaji wanaitwa kufanya audition kupitia kwa agent. Zingine zinakuwa wazi, yaani mtu yeyote anaruhusiwa kwenda.

Mwongozaji sinema maarufu, Martin Scorsese atakuwa hapa Boston anatengeneza sinema ambayo inaitwa Ashecliffe kuanzia mwezi Machi. Hadithi enyewe inatokana na kitabu cha Shutter Island. Nimekisoma na kwa kweli ni kizuri. Nafasi za weusi zipo nyingi lakini kama wasaidizi hapo hospitalini.

Jumamosi hii kutakuwa na Open Call. Kwa vile inatangazwa kila mahala mtegemee kusimama kwenye foleni ndefu, maana watu watatoka New York, New Jersey, Rhode Island, New Hampshire etc. Sinema ya Scorsese si mchezo bwana! Halafu wanakuwa na bajeti kubwa za Hollywood.

Leonardo DiCaprio
atacheza kama mhusika mkuu, Teddy Daniels. Ben Kingsley atacheza kama Dr. Cawley.

Baadhiya sinema maarufu amabazo Martin Scorsese ameongoza ni, Goodfellas, Raging Bull, Casino, Kundun na The Departed.

Habari za Open Call ziko chini.

*********************************************************************************

Grant Wilfley Casting is opening a satellite office in Boston for the feature film ASHECLIFFE directed by Martin Scorsese and starring Leonardo DiCaprio. Filming begins in the Boston, Mass. area in March 2008. An open call will be held from 10am to 4pm on Saturday Jan. 26 at Boston University (George Sherman Union- Metcalf Hall) 775 Commonwealth Ave. Boston, MA 02215 to cast extras for the feature film.

This film is set in the 1950s in a mental institution with flashbacks to a WWII concentration camp. Casting for people to play mental institution staff (doctors, nurses, orderlies, guards), mental patients (including interesting, quirky or unusual character faces), the malnourished and emaciated concentration camp prisoners (many of whom will have their heads shaved), and people to play WWII American and German soldiers (young athletic types, people with military or law enforcement experience and knowledge of firearms, police officers, fire fighters, ROTC, etc). Seeking men who are willing to have their hair cut short and women with natural-looking hair color, no highlights. Specifically seeking Caucasian and African American people.

I
f you cannot attend the open call, you can mail in a recent picture and contact information to our NY offices - Ashecliffe Production Office, Attn: Grant Wilfley Casting, 51 Sleeper Street, 5th Floor, Boston, MA 02210 or email boston@gwcnyc.com.

Bi Ruby Dee ni mweusi pekee kuteuliwa kupata Oscar mwaka huu!


Leo asubuhi majina ya walioteuliwa kupata Oscar yalitangazwa. Bi Ruby Dee (84) ni mweusi peke yake kuteuliwa mwaka huu. Ameteuliwa katika category ya Best Supporting Actress. (naomba mnisaidie kutafsiri hapo) Mwigizaji Bora wa kike ........
Ametueliwa kwa kazi aliyo fanya katika sinema, American Gangster. Katika sinema hiyo alicheza kama Mama Lucas ambaye ni mama mzazi wa Frank Lucas, mhusika mkuu wa sinema hiyo. Nafasi hiyo ilichezwa na Denzel Washington.
Bi Ruby Dee ameigiza katika sinema nyingi tena vizuri sana lakini hii ndo mara ya kwanza yeye kuteuliwa. Tena ana miaka 84! Nangojea kusikia anasemaje kuhusu kuteuliwa kwake!

Hakuna sinema kutoka Afrika iliyoteuliwa mwaka huu.

Sherehe ya kutuza Oscar itafanyika Februari 24, mwaka huu huko Kodak Theatre, Hollywood.

Monday, January 21, 2008

Ubaguzi Marekani

Mtu mweusi aliweza kuuliwa kwa sababu ndogo tu kama vile kumsemesha mzungu au kutokupisha nijiani! Siku za ya kuua ilikuwa picnic kwa wazungu kama vile wanaenda kwenya show!


Weusi walikuwa na sehemu zao za kungojea basi, na treni!
Walikuwa na sehemu tofauti za kunywea maji! (kabla ya maji ya chupa)
Mji mingine walikuwa na serikali tofauti!

Sikukuu ya Dr. Martin Luther King Jr.


Watu weusi wote nchini Marekani, waSpanish, waChina, waHindi yaani na watu wasio wazungu wamshukuru marehemu Dr. Martin Luther Jr., kwa mchango wake mkubwa wa kupigania haki zao!

Leo tunasherekea sikukuu ya kuzaliwa kwake. Dr. King aliuliwa na mbaguzi, James Earl Ray, mwaka 1968 huko Lorranine Hotel, mjini Memphis, Tennessee.

Wazungu walimchukia kwa vile alikuwa anatetea haki za weusi. Walikuwa wanamwita Martin Lucifer (shetani) Coon (jina la kukashifu weusi)! Waliunguza nyumba na kumpiga na kumfunga jela mara kadhaa! Wazungu walishangalia siku ya kifo chake, lakini kumbe ndo walimfanya shujaa!

Kabla ya Civil Rights Movement, (yaani weusi kupigania haki zao), mtu mweusi alikuwa haruhusiwi kusoma shule za wazungu, akipanda basi, lazima akae nyuma, alikuwa haruhusiwi kula katika restaurants na wazungu. Kila mahala kulikuwa na mabango ' Whites Only' (wazungu tu) na 'Colored Section' (Sehemu ya weusi). Kulikuwa na majumba ya sinema na klabu za wazungu na weusi! Weusi walikuwa wana sehemu zao za kukaaa kulikuwa hakuna kukaa na wazungu. Hata kama walikuwa na hela ya kununua nyumba sehemu za wazungu ilikuwa ni mwiko!

Hata kulikuwa na hopitali za weusi. Wewe mweusi ukienda hospitali ya mzungu kutibiki! Ni weusi wangapi walikufa shauri ya kunyimwa huduma? Kulikuwa na ubaguzi mpaka kaburini, maana weusi walikuwa na sehemu zao za kuzikwa na wazungu sehemu zao! Nchi hii ina historia chafu kuliko hata Afrika Kusini na Apartheid!

Weusi walikuwa wanafanya kazi duni! Hata mtu na digrii yake alikuwa anaishia kupata kazi ya kuchimba mitaro au kuzoa takataka! Kweli tumetoka mbali.

Kwa wasiojua Dr, King alipata tuzo la Nobel kwa ajili ya bidii yake ya kupigani haki za weusi kwa njia za amani.

Hebu fikiria kama ubaguzi ungekuwepo bado Marekani. Kungekuaje? Je, Barack Obama angeweza kupigania urais leo?

Asante Dr. Martin Luther King Jr.! We Thank-you!

Lakini nasikitika kusema kuwa vijana wengi weusi hawajui kuwa maisha wanaoishi leo yasingewezekana miaka arobaini yaliyopita. Na ni kwa sababu ya Civil Rights hata waSpanish na wahindi wana haki saw na mzungu Marekani. Kwa kweli ni vizuri kuwa na sikukuu ya kumkumbuka Dr. King! Watu wasisahau historia ya kibaguzi ya nchi hii.

Saturday, January 19, 2008

WaTanzania Wengi Hatujikubali! - Maoni ya Mdau


Kuna Dada fulani (jina ameomba nihifadhi) amenilietea maoni yake. Nazishea na wadau....

***********************************************************************

Dada Chemi ngoja leo nikudondoshee mtazamo wangu,mi nimpezi sana wa blog hii,na sababu kubwa iliyonifanya nipapende humu ni uandishi wako,na mimi nipe fulsa nikuandikie leo mtazamo wangu maana na mimi napenda saana kuandika.

Kitu ninachotaka kuwaeleza watanzania wenzangu,majirani au marafiki zetu hii leo ni kwamba tujijengee utamaduni wa kukubali kama tunaweza kufika kimaendeleo kama wenzetu waliotutangulia.

Mfano wangu nautoa humu humu kwenye pita yangu blogini mwako nikakuta picha mbalimbali za muigizaji maarufu wa Tanzania Steven Kanumba ,ambaye kajipatia umaarufu mkubwa katika sekta ya uigizaji hapa nchini akiwa ziarani Hollywood na uliandika Kanumba au kwa watu wanaomkubali humwita Denzel Washington wa bongo.

Sasa Dada Chemi ulileta mzozo pale ulivyosema Denzel Washington wa bongo,nilivyoona mimi nilifurahi na kusema “yes” siku moja Kanumba anaweza kufika hapo Denzel alipo lakini wasiwasi wangu ulikuwa kwenye maoni,nikasema sasa asubiri kushushuliwa na wabongo (maana ni kawaida yetu kutokukubali).

Nilifurahi sana kuona watu mbali mbali wakimpongeza na kukubali kazi yake,lakini kilichonisikitisha kuna wengi wadau hawakumkubali yeye afananishwe na denzel hata siku moja.Kwa kweli nilishwangazwa sana na kauli hizo.

Na huo ni mfano mmoja tu,kuna vitu vingi tu vinafanyika miongoni mwetu na uwa tunakatishana tamaa sana,wewe tu thubutu kumwambia mtu mipangilio yako ya baabae utaona ishu yake itakavyokuwa,”oh wewe utaweza kweli au walishafanya wakina fulani wakashindwa sembuse wewe” .

Sasa mi nilikuwa najiuliza wenzetu (Nchi nyingine) wakipiga hatua fulani ya juu,uwa wanawathamini na kuwaunga mkono kwa hatua waliyopiga,kwa nini na sisi tusibadilishe mioyo yetu na tujipende,kama mtu kafanya vibaya basi mshauri kama mtu kajitahidi kwenye maendeleo basi mpongeze,na kama ni mazuri yaige na wewe uwe na maendeleo kama hayo yake.

Kujikubali ni kukubali kwamba unaweza kufanya kitu chochote cha maendeleo ulichopanga na ukafanikiwa na hata zaidi yake,na hayo ndo maendeleo yenyewe,kama huo mfano wangu hapo juu wa Kanumba kuitwa Denzel Washington wa Bongo, sasa kwani Kanumba hawezi kuwa kama Denzel au zaidi?.

Nakumbuka mimi nilikuwa nataka kuanza biashara fulani hivi,nikamwaga aidia yangu kwa jamaa zangu fulani,unajua waliniambia nini,eti hiyo biashara ni ngumu sana na sitaweza kufika popote na nitapoteza muda na nguvu.

Kwa kweli niliumia na kuvunjika moyo kabisa,na mimi naye nikawaamini kwa kweli hata kasi ya kufanya hiyo biashara nikaacha kabisa,basi angalia yaliyofuata,baada ya mienzi kadhaa nikashangaa kuona hao hao walioniambia haiwezekani wakianzisha ishu iyo iyo niliyowapa kuomba ushauri kwao na hao hao ndo waliniambia haifai.

Kitu ninachotaka kusema hapa ,tujiamini kwa kila kitu tunachotaka kufanya,hakuna mtu anaweza kuondosha ndoto yako kwenye Dunia hii ila wewe mwenyewe, Kama mtu hakuamini basi wewe jiamini na unaweza.

Hivi unajua maendeleo mengine yanakuja pale wewe ukimuona mwenzio kafanya vizuri na wewe unataka kufanya kama yeye,lakini inaelekea wabongo wengi hatujui hilo na wanaoona ni wachache labda.

Zaidi ya yote tunatakiwa kukaza buti kisawasawa tusiruhu kukatishwa tamaa na wengine,tuamini kama kila mtu anauwezo na nafasi ya kufanya jambo la maendeleo bila kukatishwa tamaa,Lakini wabongo tubadilike tusiwasifie wenzetu tu na sisi tujikandamize kuwa ni dhaifu sana,au haujui mtu akisifia ndo bichwa linapanda na kufanya zaidi ili asikuangushe uliyemsifia(ha ha ni mawazo yangu tu).

Je unajua ni kwanini duniani wazungu wanajiona ni bora zaidi ya wengine?na wamejitangaza kwa kujisifia na kujikubali kwamba wao ni zaidi,na ngozi yao ni bora kuliko zingine?.Na hapo ndo maana kimaendeleo acha tu ya kiuchumi tunaiga kutoka kwao,na hata baadhi ya dada zetu wameamini hilo na kujibadilisha nao wawe weupee kama wazungu.

Mi siku nilijiuliza eti kama sisi weusi,tungekuwa wazungu na wazungu wangekuwa kama sisi,nywele rangi nk,Nafikiri tungelazimika kujibadili kama sasa tunavyotaka nywele ndefu laini nk.Hapo mi nafikiri wamefanya tuwaamini hivyo kwa sababu wanadhamini vito vyao zaidi na kuwaeleza wengine umuhimu wake hata kama si vizuri na vyakuigwa.

Friday, January 18, 2008

Mtoto wa Osama Bin Laden anataka Amani


Mtoto wa Osama bin Laden (26), Omar Osama bin Laden anasema anataka 'Amani' duniani. Huyo mtoto ni tofauti kabisa na baba yake ambaye ameua maelfu ya watu duniani bila huruma wala majuto na kudai ataua maelfu zaidi.
Osama bin Laden ndiye ali-organize kulipuliwa kwa ubalozi za Marekani katika miji ya Dar es Salaam na Nairobi. Pia ndiye ali-organize matukio ya Septemba 11, 2001 ambayo yalisababisha vifo vya watu karibu elfu nne siku hiyo.
Omar anasema anataka kuwa Balozi wa Amani kati ya nchi za kiislam na nchi za Magharibi.
Mke wa Omar ni mwingereza, Jane Felix-Browne mwenye miaka 52. Kwa sasa wanakaa Misri.
Kwa habari zaidi someni:

Thursday, January 17, 2008

Ndege ya British Airways imeanguka Heathrow Airport!




http://www.euronews.net/index.php?page=info&article=465216&lng=1

http://www.bloomberg.com/apps/news?pid=20601087&sid=aR3IWzgY1eec&refer=home

Msikie mahojiano na Kanumba 1-27-08



Kutoka http://abdallahmrisho.blogspot.com/



Kanumba akihojiwa na mtangazaji wa kituo cha redio cha Voice of America (VOA) na kipindi chake kitarushwa hewani Jumapili ya tarehe 27 mwezi huu jioni saa moja na nusu, kwa wabongo wanaweza kunasa kupindi hicho Radio Tumaini au Radio Free Africa........kazi kwenu!

Steven Kanumba apata Tuzo Hollywood???




Kaka Kanumba, nimeulizwa na wengi na sina jibu. Ni Tuzo gani uliyopata huko Hollywood? Je, wafadhili wametoa Press Release, je umefanya press conference? Ni tarehe gani ulikabidhiwa? Je, ni akina nani wengine waliopata maana kama ni International awards lazima kuna wengine waliopata pia kutoka nchi zaidi ya Nigeria. Ulipata kwa ajili ya sinema gani na ulicheza kama nani?

Hiyo Trophy inafanana sana na zile unazaopata kwenye souvenir store huko Hollywood. Tena ukiongeza hela wanaweka na jina. Haifanani na Oscar maana ni mwiko kampuni yoyote kutengeneza replica (inayofanana). Tunaomba jina la Award Committee.

Tueleze kusudi tukupambe na tukupongeze kama unavyostahili maana kama ni kweli ni habari kubwa sana! Na ukirudi Tanzania ni lazima upokelewe kwa shangwe.

Tuesday, January 15, 2008

Halahala na Utapeli huo!

Wapendwa wadau,

Mkipata e-mail kama hii, futa mara moja. Ni utapeli! Yahoo, Gmail wala Hotmail hawawezi kukuomba password hata siku moja! Ni utapeli kama huo uliyompata Kaka Michuzi na tuliyoona matokeo yake!

BEWARE OF THESE CROOKS! Yahoo will never ever ask for your password!

*******************************************************************************


Subject: Verify Your Account (Case ID:- YAHOO554USER99486IKPPPPC)
To:Send an Instant Message upgrademails50@yahoo.com
Dear Account User

This Email is from Yahoo Customer Care and we are sending it to every Yahoo Email User Accounts Owner for safety. we are having congestions due to the anonymous registration of Yahoo accounts so we are shutting down some Yahoo accounts and your account was among those to be deleted.We are sending you this email to so that you can verify and let us know if you still want to use this account.If you are still interested please confirm your account by filling the space below.Your User name,password,date of bith and your country information would be needed to verify your account.
Due to the congestion in all Yahoo users and removal of all unused Yahoo Accounts, Yahoo would be shutting down all unused Accounts, You will have to confirm your E-mail by filling out your Login Information below after clicking the reply button, or your account will be suspended within 24 hours for security reasons.
* Username: ..............................
* Password: ................................
* Date of Birth: ............................
* Country Or Territory: ................
After following the instructions in the sheet, your account will not be interrupted and will continue as normal. Thanks for your attention to this request. We apologize for any inconveniences.
Warning!!! Account owner that refuses to update his/her account after two weeks of receiving this warning will lose his or her account permanently

Remembering Nellie Kidela 1946-2007

Mtoto wa marehemu Nellie Kidela, Nuru Mkeremi, kaburini mwa mama yake (Oct. 24, 2007).

Nellie Kidela (wa pili kutoka kushoto) na familia yake June, 2007


Nuru Mkeremi akipewa rambirambi kutoka mwakilishi wa TAMWA, Ichikaeli Maro. Hapo ni kwenye mazishi ya Dada Nellie October 12, 2007.

Dada Nellie akiwa na Violet Weinberg, ambaye alikuwa mpigania uhuru wa African National Congress, January 11, 1981.

Dada Nellie Kidela, alifariki dunia mwezi Oktoba mwaka jana 2007. Alikuwa ni mtangazaji maarufu wa Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) miaka mingi. Mwanae, Nuru Mkeremi wa Boston ameniletea picha na habari zaizi nizi - share na wadau.

Nellie Kidela, alijuinga na RTD 1976 kama mtangazaji (radio broadcaster). Aliwahi pia kuwa mwalimu katika shule za msingi za Oyster Bay na Olympio mjini Dar es Salaam.

Alivyokuwa RTD alifanya kazi katika Idhaa za Kiswahili na ya kiingereza (External Service). Aliandaa vipindi kama Face the Mike, Ugua Pole, Chei Chei Shangazi, From Me to You, Potpourri, Songs to Remember, na Majira.

Alikuwa Mwanachama wa Amnesty International, Tanzania. na alifanya kazi nao kila akipata nafasi.

Dada Nellie ni mmoja wa waanzilishi wa Chama cha waandishi wa habari wanawakeTanzania (TAMWA). Mkutano wa kwanza kabisa ulifanyika nyumbani kwa Dada Nellie.

Miaka ya 80, Dada Nellie alihusika sasa na chama cha Tanzania Cerebral Palsy and Mental Retardation. Alikuwa na mtoto ambaye aliugua na kuathirika na Cerebral Palsy akiwa na miaka 6. Mtoto alifariki miaka ya 90.

Mwaka 1999, Dada Nellie, alikuja kumtembelea mwanae Boston. Ndo hapo alienda hospitali na waligundua anaumwa kansa ya ziwa. Alipata matibabu Boston University Medical Center. Baada ya matibabu walidhania amepona. Alikaa miaka sita katika 'remission'. Kansa ilivyorudi mwaka juzi walikuta umeingia kwenye mifupa.

Dada Nellie alijitahidi sana kuendelea na shughuli zake, japo alikuwa na maumivu makali sana shauri ya kansa.

Dada Nuru anasema mama yake alivyofariki alikuwa anatabasamu. Kabla hajakata roho aliwaambia watu kuwa wasiwe na wasiwasi atakuwa okay.

Dada Nellie atakumbukwa daima na familia, marafiki, na wasikilizaji wa Radio Tanzania Dar es Salaam.

REST IN PEACE

Kwa waliochukia somo la Hesabu!


Monday, January 14, 2008

Ugonjwa wa Orthorexia


Kama uko Marekani lazima unamfahamu mtu mwenye ugonjwa wa Orthorexia.

Orthorexia ni ugonjwa ambayo unahusu chakula. Mgonjwa anapima na kuchambua kila kitu anacho kula na kunywa. Lazima kila chakula kinachoingia mdomoni mwake kiwe, 'healthy' cha kuleta afya bora.

Mfano mtu hali cereal mpaka kasoma label ya boxi na kuchambua kila kitu mle na kina calories ngapi. Hata maji ya kunywa si ajabu hataki maji ya kawaida bali anataka kunywa protein water.

Hata akienda restaurant kula lazima aombe food lable inayochambua kila kitu kwenye chakula anachoagiza. Mfano ina mafuta kiasi fulani, vitunguu, nyama, caroti, celery, spinach nk. Halafu anapima kiasi anachokula na kutupa kilichobaki.

Bongo watu tunashukuru kula ugali wetu na mchuzi, kitoweo. Hatupimi kiasi cha calories, tunaangalia shibe. Hatusemi au mchuzi umeungwa na nazi hivyo imejaa cholesterol na siwezi kula! Au nyama ina mafuta hivyo siwezi kula.
Nimegundua watu kama hao si watu wa kuwa nao karibu. Wanakuwa na hasira za karibu shauri ya kuwa na njaa! Pia watu wamekufa na huo ugonjwa, yaani wamekufa kwa njaa!
Kwa habari zaidi za Orthorexia someni:

Amwua mtoto wa miezi 18!

Muaji Yalines Torres




Ungetegemea kusikia kitu kama kiki kinafanywa na teenager, lakini ni mama mwenye miaka 25 aliyesababisha kifo cha mtoto mdogo mwenye miezi 18 huko Hartford, Connecticut. Na kama uko Marekani na watoto wadogo unaelewa shida ya kupata mababy sitter tena wazuri!

Polisi wanasema kuwa Yalines Torres, 25, alikuwa na kazi ya kumwangalia huyo mtoto (baby sitting) mama yake akiwa kazini.

Torres alichukua sleeping bag, yaani mfuko wa kulalia na kumtia mtoto ndani. Alianza kuzungusha hiyo sleeping bag kwa kasi. Iligonga ukuta na mtoto aliumia vibaya kichwa!

Mtoto kapelekwa hospitalini lakini kafa. Ingawa mtoto amekufa mwili wake uko kwenye life support kwa vile familia wana- donate viungo vya mtoto kama moyo, mafigo, mapafu kwa mtoto mwingine amabye anazihitaji.

Mungu ailaze roho ya mtoto, Elijah, mahali pema mbinguni.

Sishangai kuwa dhamana kwa huyo Torres mpuuzi ni dola nusu milioni! Ashitakiwa kwa mauaji murder one na siyo manslaughter!!!

*****************************************************************************

HARTFORD, Conn. -- An 18-month-old boy has died from a severe head injury he suffered when his baby sitter swung him around in a sleeping bag for fun and it accidentally hit a wall, Hartford police said.

Elijah Gasque was brain dead at about noon at Connecticut Children's Medical Center after being injured Friday evening in his home on Main Street, police said. The boy was kept on life support overnight as doctors prepared his body for organ donation.

The baby sitter, Yalines Torres, 25, of Hartford, was charged with risk of injury to a minor and reckless endangerment early Saturday morning before the boy died. Police said additional charges were expected. She remains held on a $500,000 bond.

The boy's mother, who is single and works during the day, met Torres because they live in the same building. Neighbors said the charges came as a surprise.

"She was very good with kids," said Guillermo Romero, a neighbor.

"When I see her with her kids, they seemed perfectly fine. So, you would trust her as a mother," said Darnell Evans, a neighbor.

Other residents who live in the same building said Torres recently broke up with her boyfriend and required medical attention for depression.

The boy's grandmother, Debra Needham, told Eyewitness News that her daughter regrets leaving her son with Torres.

"She put my grandson in a sleeping bag and she swung it around her head and she let it go and let his head hit the metal door frame, fracturing his rear skull," Needham said.

Hartford police Sgt. Edward Yergeau told The Hartford Courant that the incident was an accident and Torres was not trying to harm the child.

"(The boy's mother) is going through every emotion of grief. She's up there still clinging to his bedside until they take him to the (operating room)," Needham said. "She can't leave. She feels like she's leaving her baby again."

Detectives continue to investigate and have asking anyone with information about the incident to call Hartford police by dialing 860-527-TIPS.

Sunday, January 13, 2008

Steven Kanumba yuko Hollywood!








Wadau mliuliza na hii ni jibu:

Mcheza sinema maarufu wa Tanzania, Steven Kanumba aka. Denzel wa Tanzania, yuko ziarani Marekani. Kwa sasa yuko Hollywood. Amenitumia picha za safari yake na nazi-share na wadau.
Ametembelea Warner Brothers na Universal Studios.
* Steven Kanumba allitutuembelea kwenye seti ya sinema ya Bongoland II tulivyokuwa tunashuti Magomeni. Alitambulishwa kwa crew wetu kama Denzel Washington wa Tanzania. Naona hiyo nickname ni sawa maana amecheza kama lead kwenye sinema/video kadhaa, sijui kama yupo aliyemfikia.