Friday, September 19, 2014

Rais Kikwete Awasili Washington DC Kwa Mikutano Mbalimbali Pamoja na Hafla ya Usiku


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggTmD4kumi67SQyFdG8bEVXF_N0Z1hLpoXIHkPR_uGL6TGDreKzTbl_wBS1iopr9awnuLC0sXmLzuJ1ajq80GSrl-TIIFlu4QzIl05aFJxW-3VSSIO92qd_atdr_9GkDO9imwhAw/s1600/dc1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggTmD4kumi67SQyFdG8bEVXF_N0Z1hLpoXIHkPR_uGL6TGDreKzTbl_wBS1iopr9awnuLC0sXmLzuJ1ajq80GSrl-TIIFlu4QzIl05aFJxW-3VSSIO92qd_atdr_9GkDO9imwhAw/s1600/dc1.jpg
" height="640" width="466" />
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa La Guardia jijini Washington DC tayari kwa kushiriki katika mikutano mbalimbali na pia katika hafla ya "USIKU WA JAKAYA"  leo jioni
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTzK2uEj3wL0j27gqL170PPdvsF3yPJ7t9UubuBTI89fkLO3ApFVkvUDkpikaWOal_lCvuVPGfYuougVmV2UGIiJ9rf7M_uafE4jhfHaMsRG6kL5jU1-j8_2qgpQ0ijLPrgJzuHw/s1600/dc2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTzK2uEj3wL0j27gqL170PPdvsF3yPJ7t9UubuBTI89fkLO3ApFVkvUDkpikaWOal_lCvuVPGfYuougVmV2UGIiJ9rf7M_uafE4jhfHaMsRG6kL5jU1-j8_2qgpQ0ijLPrgJzuHw/s1600/dc2.jpg
" height="466" width="640" />
 Rais Kikwete akilakiwa na maafisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani baada ya kuwasili hoteli aliyofikia
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdo0YDnnwCWgHNFwjFhKmO3nh73NHvBUpocZGfMgyVkSGwaF0vNWZGYybGWo74N29nb2nERMR1bNwCvufGSdI0Y2CFuqOp17ZWEXb-UoINcS7JR-Eo8LVjPYcpfDQ2SY9I9cW3LA/s1600/dc3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdo0YDnnwCWgHNFwjFhKmO3nh73NHvBUpocZGfMgyVkSGwaF0vNWZGYybGWo74N29nb2nERMR1bNwCvufGSdI0Y2CFuqOp17ZWEXb-UoINcS7JR-Eo8LVjPYcpfDQ2SY9I9cW3LA/s1600/dc3.jpg
" height="456" width="640" />
 Karibu Washington DC Mheshimiwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVhaBGAOyS8YLoWiTcfMKFQM9TblbUMUH6_2m3QBKD0JViFYAeMjlU_O-zpB9qOr_IRKqEQdABdvtmwOpp6iqzBNVvtypA4SrD3YMsvyDI7jtinMtlx89eEWlxukP7RQCYb3L9mw/s1600/dc4.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVhaBGAOyS8YLoWiTcfMKFQM9TblbUMUH6_2m3QBKD0JViFYAeMjlU_O-zpB9qOr_IRKqEQdABdvtmwOpp6iqzBNVvtypA4SrD3YMsvyDI7jtinMtlx89eEWlxukP7RQCYb3L9mw/s1600/dc4.jpg
" height="422" width="640" />
 Rais akiendelea kusalimia na na wafanyakazi wa ubalozini
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKT2K2rNRYeVJwh7csHHQn4FA6uoQioSrSoQ2Ih_4g9LEXqJIPtaIigAlJDh6xRoT-OeUw94H1n1FsAHXBf-JkumzdV1wjRaFHAdg3BQ17-Fb2sapP6YRmxkg9gsWwdnHXqCCmMg/s1600/dc5.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKT2K2rNRYeVJwh7csHHQn4FA6uoQioSrSoQ2Ih_4g9LEXqJIPtaIigAlJDh6xRoT-OeUw94H1n1FsAHXBf-JkumzdV1wjRaFHAdg3BQ17-Fb2sapP6YRmxkg9gsWwdnHXqCCmMg/s1600/dc5.jpg
" height="474" width="640" />
 Mapokezi yakiendelea
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjV5cU2y4EnkUAh_QEX4ATH5s-eM5ogxVDUGdEpQptq3GofT_U_uguOMRmaWcXapj4zSMEeNh9DUCA7G5IthtmUBXUjRx3lNTtoMqotxVUnnhQ8FCOG8wrasS9ZVa09B4qQMG3MKQ/s1600/dc6.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjV5cU2y4EnkUAh_QEX4ATH5s-eM5ogxVDUGdEpQptq3GofT_U_uguOMRmaWcXapj4zSMEeNh9DUCA7G5IthtmUBXUjRx3lNTtoMqotxVUnnhQ8FCOG8wrasS9ZVa09B4qQMG3MKQ/s1600/dc6.jpg
" height="404" width="640" />
 Rais Kikwete akisalimiana na Bw. Lucas Mkama wa Vijimambo Blog
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg2Ykk34z4dGTrVrYsP5-EuyACrYxR1FG4WWo6vtrWExl88-bD5mthPratTzQtdqZgWKBiIjRUnclAYKoaDysA1L5w7fmQ1CuYx5TK50E1L4DJtH1_uulcNcZzOXT0NP7kRw3fAQg/s1600/dc7.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg2Ykk34z4dGTrVrYsP5-EuyACrYxR1FG4WWo6vtrWExl88-bD5mthPratTzQtdqZgWKBiIjRUnclAYKoaDysA1L5w7fmQ1CuYx5TK50E1L4DJtH1_uulcNcZzOXT0NP7kRw3fAQg/s1600/dc7.jpg
" height="412" width="640" />
Karibu sana Mzee...

Sunday, September 14, 2014

Kenny, Mtoto wa Mama Bishanga Aoa!

KENNY MTOTO WA MAMA BISHANGA AOA MZANZIBAR

Hendrich Nambira au Kenny kama anavyojulika kwenye mchezo wa Mambo hayo katika runinga ITV,  alifunga pingu za maisha na mke wake Florence kutoka Visiwani Zanzibar. Harusi ilifanyika kanisa la Anglican UMCA, Upanga DSM tarehe 23/08/2014. Mama Bishanga na mumewe hawakuwahi siku ya harusi hiyo iliopendeza sana na kuhudhuriwa na wazazi wakimwemo wadogo wa mama Bishanga Mack Innocent Hatia na Constancia Innocent Hatia, baba mkubwa mzee John Kamota na shangazi Rehema Kamota, bibi wa Kenny mwalimu Agnes Innocent Hatia na ndugu zetu wengine, pia marafiki na wawakilishi wa wasanii toka Bongo movie. Sherehe ya kukata na shoka ilifanyika Lion Hotel.


Kenny akiwa na mkewe Florence. Auaga ukapera.
Bwana harusi Kenny na mkewe Florence wakiwa pwani Oster Bay mara baada ya kufunga ndoa

Florence na Herry waikikata Keki

Wanaharusi wakikabidhiwa Top Tier ya Keki yao

Wanaharusi wakigonga Champagne Toast na Wageni wao

Dada wa bwana harusi Sizelina ambae ni mtoto wa kwanza wa mama Bishanga akilisakata rumba kwa raha na furaha tele ya harusi ya mdogo wake.

Wayao na Wamakua wakicheza wimbo wao maarufu wa Tilamaundee huku wakiongozwa na aliyekuwa mbunge wao Mzee Ray Mrope

Saturday, September 13, 2014

Tanzanian Appointed Head of Rusumo Power Project

 Habari Njema!  Mzalendo amepata nafiai hii na siyo Expatriate! Chapa kazi Mzee!



A TANZANIAN national, Engineer Joackim Joseph, has been appointed the first Managing Director of the 80MW Rusumo Power Project that is set to benefit Tanzania, Rwanda and Burundi.

The Minister for Energy and Minerals, Prof Sospeter Muhongo, made the revelation, saying he was proud that a Tanzanian has been appointed to manage the project, which will be headquartered in Kigali, Rwanda.

"We should also not forget that another Tanzanian, Lebbi Changula, was recently appointed Executive Secretary of the Eastern Africa Power Pool based in Addis Ababa in Ethiopia," Prof Muhongo boasted.

Eng. Joseph has a Bachelor of Science and Masters of Science in Engineering. Before his appointment, he was the coordinator of Millennium Challenge Account-Tanzania energy projects implemented by the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco).

At Tanesco, he also worked as programme manager for grid rehabilitation and upgrading. The Rusumo Power Station is a proposed hydropower plant, with initial planned capacity installation of 80MW when completed.

The project will involve construction of a dam and a 90MW reservoir design had been envisaged, but was abandoned in favour of an 80MW design with a smaller environmental impact and an estimated cost of US$300 million as opposed to US$400 million for the bigger project.

The World Bank announced in August, 2013 that it had approved the funding needed for the project Power generated from Rusumo will be shared equally among Burundi, Rwanda and Tanzania and it will be distributed from the generation plant via 220 kV transmission lines to transmission stations in Gitega in Burundi, Kigali in Rwanda and to Nyakanazi in Tanzania.

Ubaguzi Dar es Salaam - Mhindi Atukana Weusi - Eti Manyani (Monkeys)



 Kutoka FACEBOOK:






Today, I received extremely disturbing screen shots of posts by an Indian lady who is calling Tanzanians of African origin "monkeys". She had the audacity to attack people that stood up to her indicating that what she did was wrong but she stuck to her guns and continued to call them monkeys and other Non Tanzanians with different ethnic background "monkey lovers". This has extremely upset me to no end. How can this be happening in our country and it is done by a person who is well known in Dar with various businesses which some of us frequent often? I am hoping that someone has hacked her account and can therefore excuse the contents of the said posts. However, if the account is not hacked then we need to share these posts as the original posts have since been deleted in Crime Alert Tanzania FB Page to ensure that the appropriate authorities take this matter seriously and do something against such inappropriate racist language. Please note that I do not welcome any comments slandering Indians as majority of my friends are of Indian origin both in and outside of Tanzania and they are great people with deep respect for other human beings regardless of their ethnic background.

Msanii Lucy Komba Aolewa!

Kutoka BONGO MOVIES:




Hatimaye yule mwigizaji mkongwe nchini Lucy komba amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi aishie nchini Denmark aliyefahamika kwa jina la Stanley,. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii nchini lucy ameandika
"..Asante Mungu kwa siku hii nzuri na muhimu sana katika maisha yangu, wengi hawakutaka nifikie siku hii, kunawengine walinuna, kunawengine waliniombea mabaya, kuna wengine walichukia na wengine waliambiana wanichunie walifikiri bila wao Mungu hawezi kuifanikisha siku hii, nasema asante Mungu kwa sababu aliifanikisha siku hii kwa nguvu zake wqtu wanaonipenda walisheherekea siku hii vizuri walikunywa na kula na kusaza watu zaidi ya miasita walikuwa ukumbini wakishangilia pamoja nami haleluyaaaaaaaaaaaaaaa anachokiunganisha Mungu binadamu hawezi kukitenganisha hata ieeje.."

Hongera sana lucy.

ZIlipendwa Amka Kumekucha - Maroon Commandos

Saturday, September 06, 2014

Barua za Kitapeli

  KILA SIKU NAPATA EMAIL KUTOKA KWA MATAPELI KAMA 20!

************************************************************

HELLO MY DEAR

I am writing this mail to you with tears and sorrow from my heart. With due respect trust and humanity, I appeal to you to exercise a little patience and read through my letter, I wish to contact you personally for a long term business relationship and investment assistance in your Country so I feel quite safe dealing with you in this important business having gone through your remarkable profile, honestly I am writing this email to you with pains, tears and sorrow from my heart, I will really like to have a good relationship with you and I have a special reason why I decided to contact you, I decided to contact you due to the urgency of my situation, My name is Miss Amanda Kipkalya Kones, 23yrs old female and I held from Kenya in East Africa. My father was the former Kenyan road Minister. He and Assistant Minister of Home Affairs Lorna Laboso had been on board the Cessna 210, which was headed to Kericho and crashed in a remote area called Kajong,
in western Kenya. The plane crashed on the Tuesday 10th, June, 2008.
You can read more about the crash through the below site:

http://edition.cnn.com/2008/WORLD/africa/06/10/kenya.crash/index.html

After the burial of my father, my stepmother and uncle conspired and sold my father's property to an Italian Expert rate which the shared the money among themselves and live nothing for me. I am constrained to contact you because of the abuse I am receiving from my wicked stepmother and uncle. They planned to take away all my late father's treasury and properties from me since the unexpected death of my beloved Father. Meanwhile I wanted to escape to the USA but they hide away my international passport and other valuable traveling documents. Luckily they did not discover where I kept my fathers File which contains important documents. So I decided to run to the refugee camp where I am presently seeking asylum under the United Nations High Commission for the Refugee here in Ouagadougou, Republic of Burkina Faso.

One faithful morning, I opened my father's briefcase and found out the documents which he has deposited huge amount of money in one bank in Burkina Faso with my name as the next of kin. I traveled to Burkina Faso to withdraw the money for a better life so that I can take care of myself and start a new life, on my arrival, the Bank Director whom I met in person told me that my father's instruction/will to the bank is that the money would only be release to me when I am married or present a trustee who will help me and invest the money overseas. I am in search of an honest and reliable person who will help me and stand as my trustee so that I will present him to the Bank for transfer of the money to his bank account overseas. I have chosen to contact you after my prayers and I believe that you will not betray my trust. But rather take me as your own sister or daughter.

Although, you may wonder why I am so soon revealing myself to you without knowing you, well I will say that my mind convinced me that you may be the true person to help me. More so, my father of blessed memory deposited the sum of
$6.7M ( Six Million seven Hundred Thousand Dollars ) in ISLAMIC GROUP AFRICAN DEVELOPMENT BANK BURKINA FASO with he used my name as the next of kin. However, I shall forward you with the necessary documents on confirmation of your acceptance to assist me for the transfer and statement of the fund in your country. As you will help me in an investment, and I will like to complete my studies, as I was in my 1year in the university when my beloved father died. It is my intention to compensate you with 30% of the total money for your services and the balance shall be my capital in your establishment. As soon as I receive your positive response showing your interest I will put things into action immediately. In the light of the above. I shall appreciate an urgent message indicating your ability and willingness to handle this transaction sincerely.

1. Can you handle this transfer for me?
2. Can i trust you as a genuine friend?

AWAITING YOUR URGENT AND POSITIVE RESPONSE, Please do keep this only to your self for now un till the bank will transfer the fund. I plead to you not to disclose it till I come over because I am afraid of my wicked stepmother who has threatened to kill me and have the money alone, I thank God Today that am out from my country (KENYA) but now In (Burkina Faso) where my father deposited these money with my name as the next of Kin. I have the documents for the claims.

please reply me here ( missamandakipkalya@yahoo.com ) for a confidential discussions may be like that we can become best friends in future sorry for my pictures i will enclose it in my next mail and more about me when i hear from you okay i am living now in a refugee camp the only person i have now is Rev Pastor.Godwin Emmanuel (+226 777 458 10 ) Please you can get me though Rev Pastor Godwin number Please if you call him tell him that you want to speak with me he will send for me in the hostel,Kisses and warmest regards

Yours Sincerely

Miss Amanda Kipkalya Kones


***************************************************

 Your account has some security Issues and need to be fixed at once
************************************************************



I am Dr.Kat MHD Maher,originally from Turkey but I am presently in Afghanistan as an expert doctor of medicine. I have a business proposal worth $4.5 million US dollars that might be of interest to you. All I require is your honest cooperation. I'll send you details of this proposal including my International passport for you to know me better/verification from my embassy in your country, as soon as I hear from you.

E-mail: mhdmkat@gmail.com

Sincerely
Dr.Kat MHD Maher

Friday, September 05, 2014

RAIS Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani Jijini Nairobi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski  jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini. Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya, alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais Kikwete sasa hivi yuko mjini Kondoa kuendelea na ziara yake ya Mkoa wa Dodoma. PICHA NA IKULU



Mtoto wa Baba wa Taifa na Viatglis Membe Kupanda Mlima Kilimanjaro Kuchangia Jukwaa la Sanaa

DSC_0009

Afisa Habari wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Mandolin Kahindi akitambulisha viongozi wa CDEA kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) pamoja na dhumuni la kuitisha mkutano huo.

Na Mwandishi wetu

Madaraka Nyerere, Mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, pamoja na Mwanamuziki Mzalendo Vitali Maembe wameteuliwa na shirika lisilo la kiserikali Culture and Development East Africa (CDEA) kuwa mabalozi wa kushiriki kampeni ya kupanda Mlima Kilimanjaro ili kuhamasisha jamii kuchangia ujenzi wa jukwaa la sanaa na ubunifu jijini Dar es Salaam.

Kampeni hiyo ya kupanda Mlima Kilimanjaro imeandaliwa na CDEA kupitia njia ya kupanda Mlima Kilimanjaro kuanzia Septemba 7 hadi 13 mwaka huu ili kujenga jukwaa na sanaa na ubunifu litakalowapa fursa wasanii na vijana kukutana, kufikiri na kubuni kwa pamoja ambapo mawazo ya kisayansi yatakutana na sanaa na pia sanaa kukutana na taaluma nyinginezo nyingi.

Mkurugenzi Mtendaji wa CDEA, Ayeta Wangusa anasema “ili kufanikisha kampeni yetu ya mwaka mmoja tuliyoipa jina la ‘FUN FOR FUNDS’, tumeona ni vyema kupanda mlima Kilimanjaro kwa kumtumia Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya CDEA, Madaraka Nyerere pamoja na Vitalis Maembe ambaye ni mwanamuziki mzalendo”

DSC_0090

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Ayeta Wangusa (wa pili kushoto) akielezea lengo la kuanzishwa kwa Jukwaa la sanaa na ubunifu ambalo vijana watapata fursa ya kukutana, kufikiri na kubuni kwa pamoja.

Wangusa anasema fedha zitakazopatikana kwenye kampeni hii maalumu zitatumika kusaidia uzalishaji wa kazi za ubunifu za njia mbalimbali za mawasiliano-bunifu, kuwekeza katika kuanzisha maabara ya Filamu(yaani film lab) na kuchangia gharama za uendeshaji wa shughuli za Jukwaa la sanaa na ubunifu.

Kwa upande wake Madaraka Nyerere anasema, “Nimekuwa nikipanda Mlima Kilimanjaro mara kwa mara kwa lengo la kuchangia ujenzi wa shule na shughuli nyinginezo za maendeleo, hivyo mwaka huu nimeona nifanye jambo hili kuhamasisha uchangiaji wa jukwaa hili la sanaa na ubunifu kwa kushirikiana na CDEA”

Madaraka anawaomba wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia katika kampeni hii ili kufanikisha kufikiwa kwa lengo lake. “Wadau watakaopenda kuunga mkono zoezi hili,wanaweza kutuma michango yao kwa njia zifuatazo: M-PESA: 0765544714, TIGOPESA: 0713160668 Au Benki: CRDB BANK PLC, Jina la Akaunti: CULTURE AND DEVELOPMENT EAST AFRICA TZS ACC: 0150210421400, USD ACC: 0252210421400, SWIFTCODE: CORUTZTZ”

DSC_0045

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na Balozi wa kampeni ya "Fun For Funds", Madaraka Nyerere (wa tatu kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam dhumuni lake la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kuchangisha fedha za jukwaa la sanaa na ubunifu ili kukuza vipaji vya vijana kupitia mafunzo mbalimbali ya sanaa na kutoa muongozo wa jinsi ya kuanzisha wazo la ubunifu na kulikamilisha.

Na kuongeza pia vijana wataunganishwa na majukwaa mengine kama hili kwa nchi za Afrika Mashariki kama vile The Nest, PAWA 254 na Creative Garage yote ya Kenya na Africa Sanaa Kollective ya Uganda.

Kwa upande wake Mzee wa ‘Sumu ya Teja’, Vitali Maembe amesema pamoja na kuwa hii ni mara ya kwanza kupanda Mlima Kilimanjaro amefanya mazoezi ya kutosha kumuwezesha kufika kwenye kilele jambo ambalo ni ndoto yake kubwa kama mwanamapinduzi wa kimuziki.

Culture and Development East Africa (CDEA) ni shirika lisilo la kiserikali linalotoa huduma kwa wasanii, viongozi wa utamaduni, wajasiriamali, maafisa utamaduni na mipango miji. Pia hufanya kazi na Mashirika makubwa ya kimaendeleo, taasisi za kiraia na Elimu katika maendeleo ya utamaduni, mipango na utekelezaji kwa Tanzania na Ukanda wa Afrika Mashariki kwa ujumla.

DSC_0067

Balozi wa kampeni ya kuchangisha fedha, “FUN FOR FUNDS” mwanamuziki mzalendo mzee wa ‘Sumu ya Teja’ , Vitali Maembe akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewataka wasanii wenzake kuungana kuwa kitu kimoja katika kukuza utamaduni wetu kwa kubadilishana uzoefu wa kazi zao bila choyo.

DSC_0104

Mjumbe wa bodi ya shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Rose Haji Mwalimu akitoa rai kwa waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo (hawapo pichani) na kuwataka kutumia kalamu zao vizuri na kuhakikisha kampeni hii inafanikiwa.

DSC_0113

Vitali Maembe akitoa vionjo vya wimbo wake Vuma.

DSC_0121

Vitali Maembe akionyesha moja ya kazi zake za sanaa atakazoenda kuzitundika kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro panapo majaliwa.

DSC_0146

Picha ya pamoja baada ya mkutano na waandishi wa habari.

Wednesday, September 03, 2014

Rais Obama Anayobaguliwa na Republicans!

Ni kweli kabisa! Rais George W. Bush alichukua zaidi ya siku 367 likizo!  Hakuna Republican aliyelalamika!  Kwa vile Rais Obama ni mweusi wanadhani hastahili kupata likizo! Wadau, Marekeni unatakiwa ufanye kazi mara nne ya mzungu ili unonekane kuwa unafanya kazi!  Mimi mwenyewe na pambana na bosi kupata likizo nayo stahili, lakini mzungu akiomba anapata bila taabu!

Tuesday, September 02, 2014

Dr. & Mrs. Aleck Che-Mponda Washerekea Miaka 52 ya Ndoa

Wazazi wangu, Dr. Aleck na Rita Che-Mponda walisherekea miaka 52 ya Ndoa jana mjini Dar es Salaam. Walibarikiwa Kanisani St. Alban  na Father Ramadhani na Father Sebo. Wazzai wangu walifunga ndoa Septemba 1, 1962.