Saturday, October 31, 2015

Siku ya Maruhani - Halloween

Na Swahilivilla blog. Washington D.C
Jana ililkuwa ni "Siku ya Maruhani" nchini Marekani. Siku hii ijulikanayo kama "Halloween" husherehekewa kila tarehe 31 Oktoba, na ina historia ndefu.
Siku ya Maruhani ilianzia huko barani Ulaya kiasi miaka 2,000 iliyopita ikifungamana na imani za kishirikina. Wazung walipoyavamia mabara ya Amerika walihamia pia na utamaduni mila, desturi, dini, na silka zao - na sema upendavyo. Miongoni mwa hayo ilikuwa ndiyo hii siku ya Maruhani ambayo jina lake la asili ni "Samhein".
Sherehe za Maruhani  Photograph by treasuredragon/iStock.
Tuyaachie ya historia kwa wanahistoria, lakini kwa ufupi hii iliaminika kuwa ni siku ambayo pepo, majini, maruhani, mazimwi na mizimu au mizuka ya watu waliokufa hurejea hapa duniani katika maeneo yao ya asili na kujichanganya na watu waliohai.
Maudhui kuu ya siku hii ni kutisha, kuadhibu na mauti, ingawaje katika enzi zetu za leo imekuwa ni siku kuu ya watoto zaidi kuliko watu wazima. Sherehe zake hufanyika kuanzia familia, mitaa, makazini na hadi kufikia Ikulu yenyewe. Rejea kwenye toleo la jana la Swahilivilla uone Ikulu ya Marekani ilivyoadhimisha siku hii akiwepo rais Obama na familia yake.
 Wana maruhani wakiwa katika kwaride. (Photo Jefferson Siegel/New York daily news)
Kama ambavyo kila siku kuu au sherehe huwa zinaaambatana na ada maalum ambazo zikikosekana basi siku hiyo huwa kana kwamba haijatimia, Siku ya Maruhani nayo pia ina ada na desturi zake. Na kama zilivyo sherehe nyingi hapa Marekani siku hii pia nayo imekuwa fursa ya wafanyabiashara kujipatia rizki zao.
Mapambo: Shamra shamra za Siku ya Maruhani huanza mapema, pengine tangu mwezi wa Septemba kwa kuweka mapambo kwenye majumba, mabarabara na hata sehemu za kazi na biashara. 
Na kama tulivyotangulia kusema, mapambo yote huwa yanalenga kwenye hali ya kutisha, kuadhibu na mauti. Miongoni mwa mapambo hayo ni buibui na nyumba zao, popo wakining'inia, mifupa na mabufuru ya vichwa vikiashiria watu waliokufa, panga, paka weusi, masanamu ya mizuka au mazombi na vimbwanga vyengine. Almradi kuonesha kuwa nyumba zimesibiwa na maruhani (haunted house). Si hasha ukapita vichochoroni ukakutana na kitu ukashtuka. Kwa ufupi ni kama vile tunavyoona kwenye picha za kutisha (scary movies).

FIrst Ladies wa East Africa - Wanaitwa Janet

First Ladies wote wanaitwa Janet

Ndege ya Urusi Yaanguka Misri

Aina ya Ndege iliyoanguka leo huko Misri


Ndege ya abiria ya Urusi imeanguka nchini Misri leo. Ndege hiyo ya shirika la Metrojet ilikuwa na abiria 224.  Serikali ya Misri inasema kuwa wameona mabaki ya ndege huko Sinai Peninsula na abiria wote wamepoteza maisha.  Abiria hao walikuwa wakitoka kutalii nchini Misri. Ndege ilitoka Sharm-El Sheikh kwenda St. Petersburg, Urusi.

Mungu alaze roho zao mahala pema mbinguni. Amen.

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Sherehe ya Kumkabidhi Mh. John Magufuli Cheti cha Kushinda Urais

 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa  Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa  Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe. Anna Mghwira  na wagombea wengine wakiwa  katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan na Mhe Anna Mghwira na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan na Mhe Anna Mghwira na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi chini ya Jaji Damia Lubuva wakiwa tayari katika sehemu yao
 Meza kuu
 Mke wa Rais Mteule Mama Janet Mgufuli akisalimiana na Waziri wakuu wastaafu Mzee John Malecela na Jaji Joseph Sinde Warioba 
 Mama Janet Magufuli akisalimiana na Mama Salma Kikwete
 Rais Kikwete akisalimiana na Mama Janet Magufuli
 Mkrugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani akisoma muhtasari wa ratiba
 Meza ya viongozi
 Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama 

 Sehemu ya viongozi wa  taasisi mbalimbali na wastaafu
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali na wananchi waliohudhuria
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali za umma na binfasi
 Viongozi wa asasi mbalimbali za umma na binafsi
 Wananchi kutoka sehemu mbalimbali
Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing akiwa ameketi na wananchi
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Wanahabari
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Wananchi toka sehemu mbalimbali
 Wanahabari na wananchi 
 Wananchi wakiwa na furaha
 Wananchi
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Wananchi wakimsikiliza Jaji Damina Lubuva

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Viongozi wa dini  na wananchi wakisikiliza
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Vifijo toka kwa viongozi
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hati kabla ya kuikabidhi wa Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hati kabla ya kuikabidhi wa Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani
 Wanahabari wa ndani na nje ya nchi wakirekodi tukio hilo la kihistoria
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akionesha hai ya Urais akiwa na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan, Jaji Damian Lubuva na Mhe Kailima Ramadhani
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akionesha hai ya Urais akiwa na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan, Jaji Damian Lubuva na Mhe Kailima Ramadhani
 Viongozi wakishuhudia tukio hilo kwa furaha
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Lubuva akisoma hati ya Makamu wa Rais
 Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akipokea hati  yake
  Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akionesha  hati  yake
 Rais Mteule na Makamu wake mteule wakipongezwa baada ya kukabidhiwa hati
 Rais mteule akipongezwa na waliokuwa wagombea wa Urais wa vyama vingine
 Rais Mteule Dkt Magufuli akimuonesha Mhe Anna Mghwira cheti cha Urais
 Rais Kikwete akimpongeza Rais Mteule
 "...Cheti ndiyo hiki...." anasema Rais Mteule kwa Rais Kikwete
 Wakikionesha cheti kwa furaha
 "....Huyu ndiye our new boss..." anasema Rais Kikwete
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais


 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais

 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais na kupeana mikono na Rais wa Zamani wa Nigeria Mhe Goodluck Jonathan

 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais kwa mabalozi
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akipongezwa
 Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe Anna Mghwira akiongea kwa niaba ya wagombea wengine wa vyama mbalimbali  walioshiriki kwenye kugombea Urais
 Wanahabari
 Rais Mteule akimpongeza Mhe Anna Mghwira kwa hotuba nzuri
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na viongozi wa tume na vyama vya siasa
 Wateule na Tume ya Taifa ya Uchaguzi