Saturday, October 21, 2017

Mahafali ya kidato cha nne shule ya sekondari Eden Jijini Mwanza hii leo

Wahitimu wa kidato cha nne 2017, shule ya sekondari Eden iliyopo Mahango Kata ya Buswelu Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza wakisoma shairi kwenye Mahafali ya saba ya shule hii leo jumamosi Oktoba 21,2017 shuleni hapo.

Shule za Eden zinajumuisha ni shule za Nursery, Primary & Secondary za kutwa na bweni zenye kutoa elimu bora na ufaulu wa juu ambapo wanazo pia nafasi za masomo kwa ajili ya mwanao hivyo wasiliana na uongozi kwa nambari za simu 0759 81 95 23.
Binagi Media Group
Meneja wa shule za Aden, Charlotte Mbabazi, akizungumza kwenye Mahafali ya saba, shule ya sekondari Eden iliyopo Mahango Kata ya Buswelu Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza
Mkurugenzi wa shule za Eden, Joseph Mbabazi (katikati), akifurahia jambo kwenye Mahafali ya Saba ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Eden. Kushoto ni mgeni rasmi ambaye ni Mkaguzi wa Elimu
Meneja wa shule za Aden, Charlotte Mbabazi (katikati), akifurahia jambo kwenye Mahafali ya Saba ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Eden. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo na kulia ni mgeni rasmi ambaye ni Mkaguzi wa Elimu
Wahitimu wa kidato cha nne, shule ya Sekondari Eden iliyopo Mahango Kata ya Buswelu Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, wakifuatilia matukio mbalimbali yanayoendelea kwenye mahafali yao ya saba mwaka huu 2017 shuleni hapo
Baadhi ya wahitimu wa kidato cha nne, shule ya Sekondari Eden iliyopo Mahango Kata ya Buswelu Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, wakiimba wimbo wa kuwashukuru akina mama kwa malezi bora
Pongezi kwa mmoja wa wahitimu kwa kuimba vyema wimbo wa kuwashukuru akina mama kwa malezi bora
Wahitimu wa kidato cha nne 2017, shule ya sekondari Eden wakitumbuiza kwa wimbo wa kuvutia wa kuwapongeza akina mama kwa malezi bora
Wazazi na waalimu wakifuatilia matukio yanayoendelea kwenye mahafali
Meneja wa shule za Aden, Charlotte Mbabazi, akisimama kuwalaki wahitimu wa kidato cha nne baada ya kuimba vyema wimbo wa kuwashukuru na kuwapongeza akina mama kwa malezi bora
Meneja wa shule za Aden, Charlotte Mbabazi, akiwapongeza wahitimu wa kidato cha nne baada ya kuimba vyema wimbo wa kuwashukuru na kuwapongeza akina mama kwa malezi bora
Meneja wa shule za Aden, Charlotte Mbabazi (mwenye miwani) akifurahia wimbo pamoja na wahitimu wa kidato cha nne mwaka huu
Wageni waalikwa wakifurahia jambo kwenye mahafali hayo
Wahitimu wa shule ya sekondari Eden wakitoa burudani
Wanafunzi 66 wa shule ya Sekondari Eden iliyopo Mahangu Ilemela Jijini Mwanza wanahitimu masomo yao mwaka huu 2017
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Eden iliyopo Mahangu Kata ya Buswelu Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza wakifuatilia mahafali hayo
Salamu kutoka kwa waalikwa meza kuu
Salamu kutoka meza kuu
Miongoni mwa wageni waalikwa akisalimia
Ndugu, jamaa na marafiki wakiwa kwenye mahafali hayo katika viunga vya shule ya Eden Sekondari, Mahango Kata ya Buswelu Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza
Shughuli inasimamiwa na mshereheshaji maarufu Jijini Mwanza, Mc Katumba ambaye pia ni mtangazaji wa Metro Fm Mwanza
Mandhari safi na bora ya shule ya Sekondari Eden iliyopo Mahango kata ya Buswelu Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza. Bonyeza HAPA Mahafali ya kidato cha saba 2017.

Arrested for Promotion of Homosexuality in Tanzania


   DAR ES SALAAM, Tanzania (AP) - Tanzanian police say they are holding 12 men, including two South Africans, for questioning over allegations of promoting homosexuality in this East African country.

   Dar es Salaam Police Chief Lazaro Mambosasa said Thursday that authorities are gathering evidence and will arraign all the suspects in court to face criminal charges. He said the suspects include two South Africans, a Ugandan and nine Tanzanians

   The men were arrested at a hotel in the port city of Dar es Salaam.

   Homosexuality is criminalized in Tanzania under a colonial-era law banning sex acts "against order of nature."

   Tanzanian authorities have recently ramped up a crackdown on the activities of LGBT people, even ordering clinics to stop offering services to homosexuals

Helicopter Crash in Kenya

   NAIROBI, Kenya (AP) - A Kenyan official says a helicopter has plunged into Lake Nakuru in the Rift Valley moments after taking off from a nearby hotel.

   National Disaster Management Unit Deputy Director Pius Mwachi said Saturday it's not clear yet how many people were on board the helicopter and who they were.

   Mwachi says a search-and-rescue mission is underway. Lake Nakuru, located 170 kilometers (105 miles) northwest of the Kenyan capital, Nairobi, is famous for flamingo colonies that turn the shoreline pink at their peak.

   Environment degradation has threatened the lake and the wildlife that depend on it.

Saturday, October 14, 2017

Support the new TAMWA History Book


I am a Founding Member of  the Tanzania Media Women's Association (TAMWA). TAMWA is celebrating 30 years and a friend has set up this self explanatory link. Wd like your support.

Zilipendwa -Soul Makossa - Manu Dibango (1973)



Msss Shooting at Kenya Boarding School

NAIROBI, Kenya (AP) - Gunmen suspected to be from neighboring South Sudan shot dead seven people, including six students, in a raid on a high school early Saturday that appeared to be a revenge attack, a Kenya police official said.

   The shooting occurred at dawn at Lokichogio Mixed Secondary School near the countries' border, Rift Valley regional criminal investigations chief Gideon Kibunja said.

   A key suspect is a senior at the school who was suspended last week after he was found fighting and vowed to take revenge, Kibunja said.

   The gunmen were looking for the school's principal and the student involved in the fight but couldn't find them, so they shot other students out of frustration, he said.

   The shooting comes a month after a high school girl was charged with murdering nine of her colleagues in a fire at a Nairobi boarding school.

   Kenya's border areas are littered with firearms from neighboring countries that have experienced war, including South Sudan and Somalia. High schools have experienced a wave of violent incidents in the past two years.