Tuesday, June 29, 2010

Mashushushu wa KiRusi wakamatwa kwetu Cambridge

Kunbe Cold War haijaisha. Wadau, mbavu sina. Tangu jana jioni habari kubwa hapa Boston ni kuwa mashushushu kutoka Urusi wamekamatwa Cambridge. Watu wanashangaa. Walikuwa wanaishi kama mke na mume na eti walionekana kama watu wa kawaida. Of course walikuwa wazungu! Mwanamke eti alikuwa mrembo kweli mwenye nywele blonde! Mnaweza kuona picha yake HAPA. Kwenye taarifa ya habari wakati wa editorial wakiwaongelea, waliweka na muziki wa sinema za James Bond.

Kinachoniudhi ni kuwa kama wewe ni mweusi na unakaa Cambridge hao jirani zako wa kizungu wantakufanyia background check! Ukipita kwenye mitaa kadhaa wanaita polisi maana wanadhani mwizi au una nia mbaya! Kuna siku mimi na marehemu mume wangu tulikuwa tunatembea kwa mguu kwenye mtaa fulani. Nyumba ilikuwa inauzwa tukasimama mbele na kuliangalia. Tukaendelea na safari, si tulifuatwa na mzungu na kuulizwa maswali ya jela. Aliona aibu alipogundua kuwa tulikuwa jirani zake.

Anyway, nirudi kwa hao waRusi. Hao kwa vile walikuwa wazungu hakuna anayesema kitu. Ndo FBI wameshutua watu jana kusema hao walikuwa mashushushu! Na mimi ningesema si hao tu, wako na wengine. Walikuwa wanavizia wasomi wa Harvard na MIT. walikuwa wankaa nyumba fulani enye rangi ya njano huko Trowbridge St. karibu na Harvard Square na Cambridge Rindge & Latin High School.

Wanasema kuwa nia ya hao mashushushu ilikuwa kuishi kama waMarekani na kujuana na watu wenye uhusiano na siasa na mambo ya kitaaluma. Habari walizokuwa wanapata eti walikuwa wanatuma Urusi katika picha.

Mbinu waliotumia ni kukaa nyumba ambayo wanakaa wanafunzi. Wanafunzi wamahama hama hivyo watu jirani wanaokaa muda mrefu katika eneo hawapati nafasi ya kuwajua, na ukiwaona una sema wanafunzi tu.

Haya wazungu hebu acheni kushuku kila mweusi kuwa ni mbaya, wacheki na wazungu wenzenu! Tumechoka!

Kwa habari zaidi someni:

http://www.foxnews.com/us/2010/06/29/authorities-arrest-alleged-russian-spies-massachusetts/

http://www.cnn.com/2010/CRIME/06/29/russian.spying.arrests/?hpt=T2

http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2010/06/29/AR2010062902062.html

Saturday, June 26, 2010

James Brown - There was a Time!



James Brown alikuwa wa peke yake! Cheki hizo Moves!

Friday, June 25, 2010

KumbuKumbu Michael Jackson 1958-2009

Kuna mtu ambaye alitumia programu ya kompyuta kupata piacha ya kulia. Eti Michael angekuwa hivyo kama asingejiharibu kwa ma plastiki surgery na kujikrimu. Mbona anagekuwa handsome. Badala yake kajirhaibu huko akisema Mungu alitak awe hivyo.


THRILLLER!



(Michael na baba yake Joe Jackson)

Leo ni mwaka moja tangu mwimbaji maarufu, Michael Jackson afariki dunia. Kwa vile alikuwa na sura nyingi, nimeamua kuweka picha zinazoonyesha nyuso zake. Wengine wanamkumubuka vizuri alivyo kuwa mweusi, na wengine wanamkumbuka alivyogeuka kuwa mzungu.
REST IN ETERNAL PEACE MICHAEL! WE MISS YOU BUT YOUR MUSIC LIVES ON!

Kwa habari zaidi someni:

Wednesday, June 23, 2010

Samaki Mrefu

Picha kutoka: http://www.barnorama.com/wow-thats-one-big-fish/

Huyu ni samaki aina ya Herring. Anapatikana huko nchi za Scandinavia. Anaweza kufika urefu wa mita 17! Hebu fikiria kama wangekuwa huko Ziwa Victoria wanapambana na Sangara!

Samaki mkubwa hivyo angeweza kulisha watu wangapi huko Bongo? Ugali na Samaki.

Saturday, June 19, 2010

Mcheza Basketball Manute Bol Afariki Dunia

Aliyewahi kuwa mcheza Basketball wa NBA Manute Bol amefariki dunia leo kutokana na ugonjwa wa figo. Alikuwa na miaka 47. Manute alikuwa na urefu futi 7'7! Alicheza kwenye timu ya NBA ya Bullets miaka 10.

Marehemu Manute alishawishiwa kuja Marekani kucheza basketball kutokana na urefu wake. Alikuwa kabilia la Dinka. Kuna vita kali huko Sudan kati ya waDinka na waarabu. Kutokana na urfeu wake, hakuwa na haja ya kuruka ili kufika kwenye kikapu! Hakusahau kwao na alianzisha miradi ya kusaidia Sudan, na pia alitumia karibu hela yake yote kwa ajili ya miradi huko Sudan.

Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.

Manute Bol aliwafungulia mlango wachezaji wengine kutoka Afrika kama Dikembe Mutombo na kijana wetu Hasheem Thabit.

********************************************************************************



Manute Bol, the 7-foot-7 inch basketball star and Sudanese humanitarian, who once called the University of Bridgeport his home, died Saturday morning at age 47.

His death at University of Virginia Hospital in Charlottesville.was confirmed by friend and Sudan Sunrise director Tom Prichard via email to the Associated Press.

Prichard said Sudan "and the world have lost a hero."

Bol was hospitalized last month for an acute kidney failure and skin disease he had contracted while trying to help his native Sudan.

Bol, a 10-year NBA veteran, was returning to the United States last month from his native Sudan after helping fight corrupt practices in the country's recent elections. He was hospitalized during a stopover in Washington in May.

Hailing from Sudan, Bol was enticed to play college basketball in the United States and was drafted by the San Diego Clippers in the fifth round of the 1983 NBA Draft. The NBA, however, ruled Bol ineligible and an attempt to get him to play at Cleveland State failed. He enrolled at the University of Bridgeport, where he played during the 1984-85 season.

In 1985, Bol was drafted in the second round by the Washington Bullets. He played in the NBA for 10 years, from 1985-1995, with the Bullets, Golden State Warriors, Philadelphia 76ers and Miami Heat. Bol averaged 2.6 points, 4.2 rebounds, 0.3 assists and 3.3 blocks per game.

He spent the rest of his life as a humanitarian working closely with Sudan Sunrise, a group based in Lenexa, Kan., that promotes reconciliation in war-torn Sudan. He survived a serious car accident in 2004.

Kwa habari zaidi someni:

http://www.nytimes.com/2010/06/20/sports/basketball/20bol.html

Matepeli wa Nigeria watumia Google Translator

Kutoa mikopo rahisi Omba Sasa (NA UNSECURED kupata mkopo.


Siku njema,

Hali yako ni nini? Need 100% fedha? Je, nimechoka kutafuta Mikopo na rehani, "Je, imekuwa daima akageuka chini na benki na taasisi za fedha, i am Mr Albert Sheriff mmiliki wa Albert Sheriff mkopo, Sisi kutoa mikopo kwa makampuni, makampuni, viwanda nk nia ya mtu yeyote lazima Wasiliana nasi sasa Via hii Email: ivor.loanfund@gmail.com na maelezo yafuatayo:

TAARIFA wakopaji

majina yako ..........
Inahitajika kiasi .........
Muda :.............
Nchi yako .........
anwani yako ........
Simu Idadi ..........
Mapato kwa mwezi ........
Sex ...................
Fax wako Idadi .......
Umri wako ..............

Email: ivor.loanfund@gmail.com
Regards,

Mr Albert Sheriff
Contribute a better

Friday, June 18, 2010

Mnakumbuka East African Airways?




Wadau hapo zamani za kale kulikuwa na shirika la ndege East African Airlines. Ilikuwa sehemu ya East African Community. Waliokuwa wanakmiliki ni Tanzania, Kenya na Uganda.
Mwaka 1971, familia tulisafiri Mbeya hadi Dar na ndege ya East African Airways. Ilikuwa Prop Job kama ile kwenye picha ya kati kati. Tulikuwa tunatoka kijijini Manda kwa ndugu wa baba. Mkikaa kwenye kiti kama vile mnatazama hewani, halafu ilisha ruka ndo mnakuwa sawa. Ingawa nilikuwa na miaka saba nakumbuka waliwapa aibiria lunch box. Mwaka 1976 tulisafiri na ndege 727 Nairobi -Dar. Haikuwa mbaya. Pia tulisafiri na treni, lakini jamani zilikuwa safi na wenye wahudumu waliopenda kazi yao.
Nakumbuka nikiwa Form One mwaka 1977, ghafla shirika hiyo ilivunjwa. Waliokuwa na mali (treni, ndege, mabasi) kwenye nchi yao ndo ilikuwa mali yao. Wakati ule damu ulikuwa mbaya kweli kati ya WaTanzania na WaKenya.
Mwalimu shuleni alitusimulia hivi, waKenya walivizia siku ambayo ndege kubwa na nzuri zitakuwa zimetua pale Embakasi airport Nairobi, ndo wakazizoa na kuita Kenya Airways! Tanzania tuliambulia zile Fokker Friendships na ndege nyingine 737 ikawa Air Tanzania, halafu Uganda walikuwa wazembe eti walipata ndege moja tu! Ikawa Uganda Airways.
Lakini jamani nakumbuka watu walikuwa na huzuni kubwa mno jumuiya ilivyovunjika. Mbaya zaidi watu wakawa wanyama. WaTanzania walifukuzwa Kenya kama mbwa. Hasa hao waliokuwa wanafanya kazi na East African community. Wengine walirudi Tanzania kwa mguu na begi moja!
Wenye stori za wakati ule hebu mtupashe.

Mzungu aua Familia Yake na Mama Mkwe wake Hapa Boston!

Wadau, kuna mzungu ambaye kaua familia yake, mke wake na watoto wawili nyumbani kwake katika mji wa Winchester, Ma. Kwa kawaida nisingebandika habari ya tukio. Ila kinachonikuna ni kuwa watu wanasema kuwa mambo kama hayo (mauaji) hayatokei katika eneo kama Winchester ambako wanakaa wazungu tajiri, wenye maana, wema etc. eneo hauijachauliwa na weusi, minorities.

Huyo baba ameua hata mtoto wake mdogo mweye miaka miwili akiwa amelala katika crib yake. Sijui aliingiliwa na shetani! Kwenye taarifa wa habari walisema kuwa jamaa atapimwa kuona kama ana kichaa.

Yaani utacheka ukisikia kwenye taarifa ya habari watu wakisema, "That kind of stuff doesn't happen here!" Maana yao ni kuwa ni kazi weusi na waspanish kuana huko mjini kwenye ghettos!

Habari haijakamilika lakini inaelekea kuwa huenda mauji yalisabishswa na ukosefu wa fedha. Mmmh, uongo mbaya, lakini uchumi ukiwa mbaya, sijui kwa nini wazungu hawawezi kumudu na kushusha zile living standards zao. Utasikia wanaua famila au wamejiua. Kama vila wakati wa Great Depression miaka ya 1930's, wazungu walijiua wengi kweli kweli na kuua familia zao baada ya kuptoza hela yao!

Mungu alaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. AMEN.

Mnaweza kusoma story HAPA:

http://www.boston.com/news/local/breaking_news/2010/06/_the_43-year-ol.html

Rais wa Marekani Huenda Akawa na Mamlaka ya kuzima Mtandao!

Haya mazito. Huenda rais wa Marekani akawa na mamlaka ya kuzima mtandao (Internet) wakati wa dharura. Mfano ikitokea mashubulizi kama yale ya Septemba 11, 2001. Maisha ya leo bila mtandao sijui watu watafanyaje, na tuombe kama wata zima itakuwa kwa muda mfupi tu. Watu wanatumia mtandao kwa ajili ya mawasiliano rahisi, kufanya kazi na mambo mengi mno!

Kama mnakumbuka matukio ya Septemba 11, 2001, mtandao ulianguka shauri ya watu wengi kujaribu kutafuta habari. Watu walijiona kama vile wamepotea, ni mwisho wa dunia.

**************************************************

Jun 17, 2010

Internet Kill Switch Proposed For President

WASHINGTON (CBS4/CNET) ―

The days of freedom on the Internet, even during a time of national crisis, may be coming to an under a new U.S. Senate bill. The legislation would grant the president emergency powers to seize control of or even shut down portions of the Internet during times of national emergency.

It's been dubbed as an Internet "kill switch" the president could flip. However, the idea behind it is not new. A draft Senate proposal that CNET obtained in August allowed the White House to "declare a cybersecurity emergency," and another from Sens. Jay Rockefeller (D-W.V.) and Olympia Snowe (R-Maine) would have explicitly given the government the power to "order the disconnection" of certain networks or Web sites.

The legislation announced Thursday says that companies such as broadband providers, search engines, or software firms that the government selects "shall immediately comply with any emergency measure or action developed" by the Department of Homeland Security. Anyone failing to comply would be fined.

That emergency authority would allow the federal government to "preserve those networks and assets and our country and protect our people," Joe Lieberman, the primary sponsor of the measure and the chairman of the Homeland Security committee, told reporters on Thursday. Lieberman is an independent senator from Connecticut who caucuses with the Democrats.

Lieberman's bill is formally titled the Protecting Cyberspace as a National Asset Act, or PCNAA. Under PCNAA, the federal government's power to force private companies to comply with emergency decrees would become unusually broad.

Any company on a list created by Homeland Security that also "relies on" the Internet, the telephone system, or any other component of the U.S. "information infrastructure" would be subject to command by a new National Center for Cybersecurity and Communications (NCCC) that would be created inside Homeland Security.

Mnaweza kusoma story nzima HAPA:

Wednesday, June 16, 2010

Mama Che-Mponda Asherekea 70th Birthday

Mama yangu mzazi amesherekea miaka 70 ya kuzaliwa, huko Maryland

HAPPY BIRTHDAY MOM!

Wazazi wangu, Dr. Aleck & Rita Che-Mponda

Tulienda kula Brunch pale National Harbor, Mzee George Washington (rais wa kwanza wa Marekani) na Mke wake Martha walitusalimia. (Hao ni waigizaji)
Wazee wakipumzika pale National Harbor
Mama na mabinti zake pamoja na Mjukuu Caleb (Mtoto wa mdogo wangu Malaika)

Monday, June 14, 2010

Mtoto Nicole wa Arusha

Wadau, hakuna raha kama kuangalia maendeleo ya mtoto wa kwanza kuzaliwa katika familia. Mdau Nicolas wa Arusha amenitumia picha za mwanae wa kwanza Nicole. Nicolas alikuwa hapa Boston na Minnesota kabla ya kurudi Tanzania. Alioa mwaka juzi na Mungu amembariki na mtoto mrembo Nicole.

*******************************************************************



Hi,
I believe God is still faithful to you, as He's been and will always. In brief, we're doing well here in Arusha. Our beloved kid/daughter, Nicole "Shimilimana" is doing well, being now 6 months old, since May 23, 2010.

Blessed,Nico, Nicole and Siima

Friday, June 11, 2010

MZimbabwe Abaka Msichana New Jersey

Nyie wanaume kutoka Afrika, mkija Marekani poozeni hizo dhakari zenu. Kuna kijana kutoka Zimbawe mwenye miaka 19 tu ambaye anashitakiwa kwa kubaka huko New Jersey. Ilitokea baada ya Prom, yaani sherehe ya kumaliza Form Four. Hapa Marekani mwanamke akisema basi, manake basi! La sivyo mtafungwa na kuchafuliwa majina na kuitwa sex offender. Kijana huyo ni mwanafunzi na alikuwa ana kaa na host family. Nyege zimemponza. Anashikiliwa kwa dhamana ya $125,000. Huyo ambaye kabakwa lazima atakuwa mzungu, dhamana kuwa kubwa kiasi hicho!

Inaelekea kijana alishikwa na nyege mshindo. Binti ambaye kabakwa alikuwa amezimia kwa ulevi. Wenzake walimkuta anafanya mambo yake na kuanza kumpiga! Mnaweza kusoma habari kamili hapa:
http://www.cliffviewpilot.com/bergen/1355-northern-valley-student-charged-with-raping-fellow-senior-at-seaside-heights-motel

Pia,bado kuna mawazo finyu kuwa waafrika wana uume/miboro kubwa kuliko watu wengine. Hivyo wanawake watawashiwishi kutaka kuziona.

****************************************************

N.J. Prom-Party Rape Raises Red Flag


OLD TAPPAN, N.J. (CBS)

It was a nightmare for a teenaged girl celebrating her prom. She was raped during a party that was supposed to be joyous and memorable.

She was part of a group from Bergen County that traveled to the Jersey Shore last week to live it up.

It's a dangerous tradition that has changed the way some schools celebrate their proms.

Could this attack have been prevented? That's what students and parents at Northern Valley Regional High School are asking.

Jackie Finno is an 18-year-old who will be going to her senior prom on Friday night. Then, as the tradition goes, she and her friends will head to the Jersey Shore.

But news an 18-year-old girl was allegedly raped at her after-prom party at the Shore last Friday has Finno on edge.

"When I found out it was terrible. Oh my God. It's very nerve-wracking," Finno said.

But Finno's mother said she's still willing to let her go.

"With much stipulation and we trust. And we trust her and we trust her choices and we have to start letting her go, even through all these tragedies that occur," LeeAnn Finno said.

Police said 19-year-old Matthias Kabette from Zimbabwe and a senior at Northern Valley raped a classmate at a motel in Seaside Heights on June 4. Members of Kabette's host family declined to speak to CBS 2 HD on Thursday night.

"I can't comment I'm sorry," one said.

Students who know the suspect were stunned.

"He's a really nice guy. Like I can't see any bad sides about him," Eugene Kim said.

"I played soccer with him. He was a really nice kid," another student said.

Now parents and students are questioning if the alleged attack could have been prevented.

"I think it's an issue that you are giving teenagers today the freedom to go down to the shore at 16, 17 years old," one parent said. "You're asking for trouble."

Northern Valley junior Christian Mecca said he'd support a midweek prom, like many area high schools already have.

"Because it keeps people out of trouble. It is kind of a tradition to have it on a Friday and you're with your friends for the weekend. But I feel like, just everyone's just gotta be responsible," Mecca said.

Parents said they also bear the responsibility, but feel timing makes no difference.

"Do you think the day of the week probably would've mattered to this kid? Probably not," parent Mike Poole said.

"Is it something that can be completely avoided in our world? Unfortunately not," LeeAnn Finno added.

Kabette, who is studying in the U.S. on a student visa, is being held on $125,000 bail.

Mtukuu wa Nelson Mandela Afariki Katika Ajali ya Gari

(Pichani Mzee Nelson Mandela na Mtukuu wake Zanani mwaka 2008)

Habari za kusikitisha kutoka Afrika Kusini. Mtukuu wa Nelson na Winnie Mandela, Zenani mwenye miaka 13 amefariki katika jali ya gari. Habari kutoka huko zinasema kuwa walikuwa wanarudi kutoka kwenye sherehe za ufunguzi wa mashindano ya World Cup. Dereva wa gari alikuwa amelewa!

Pole sana familia ya Mandela. Mungu ailaze roho ya Zenani mahala pema mbinguni. AMEN.

*********************************************************************
Kutoka New York Times:

JOHANNESBURG — Heartbreak intruded on the opening day of the soccer World Cup when Nelson Mandela’s 13-year-old great-granddaughter Zenani was killed in an auto accident here early on Friday. In response, Mr. Mandela canceled a much-heralded appearance at a tournament depicted as a triumphant showcase for his country and his continent.

Zenani Mandela was returning home from the event’s Thursday night kickoff concert in Soweto, an extravaganza with stars like Alicia Keys and Shakira that was meant to launch the contest on a joyous note. At its conclusion, the sky lit up with fireworks as happy attendees made way to their parked vehicles.

According to police, Zenani died in a one-car accident on a Johannesburg highway. The man behind the wheel, who has yet to be named, was accused of drunk driving and may also be charged with culpable homicide, the police said.

MNAWEZA KUSOMA HABARI ZAIDI KWA KUBOFYA HAPA:

Thursday, June 10, 2010

Barbecue Boston Jumamosi 6/12/10 - Change of Venue


The Barbecue will now be held in Saugus and not Malden as originally planned.


*****************************************

Restoration Fellowship welcome all to a Friends & Family Barbecue in honor of their One Year Anniversary.

Please join us for Nyama Choma, Games, Various Activities & Fellowship.

When: Saturday June 12, 2010
Where: Break Heart Reservation, 177 Forest St., Saugus, MA 01906
Time: 12:00PM to 4:00PM

For more information please contact:

Mary - 857-236-0220
Winnie - 781-552-9499

This event is FREE. KARIBUNI
!

Msiba Los Angeles - Caroline Mmary

Hivi karibuni niliweka blog kuhusu mwananchi mwenzetu Caroline Mmary aliyepotea huko Los Angeles, California. Habari si nzuri.

Nashukuru polisi na wapelelezi huko Los Angeles wamefanya kazi. Inaelekea mume wake alimwua na kuficha mwili wa marehemu nyuma ya nyumba yao.

Mungu Ailaze roho yake mahala pema mbinguni. AMEN.


Habari za kutafutwa kwa marehemu zilitangazwa kwenye TV huko Los Angeles:

http://cbs2.com/local/Missing.Woman.caroline.2.1720298.html

************************************************************
Kutoka JAMII FORUMS

Takribani mwezi mmoja uliopita kulikuwa na tangazo kwenye blogs na hapa JF kwamba kuna dada yetu mmoja alipotea na akawa anatafutwa na ndugu zake.

Taarifa iliyotolewa kwenye local TV stations za Southern California zinasema kwamba mwili wa huyo dada ulipatikana jana nyuma ya nyumba aliyokuwa akiishi. Ulikuwa umefungwa kwenye mifuko ya plastic na blanket kama takataka.

Mume wa marehemu anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo. Dada huyo alikuja kwa ajili ya kusomea kozi ya Uuguzi na alikuwa anasoma ili awe Registered Nurse. Ameacha watoto 2.

Lilian Mgonjwa alihojiwa na kituo cha TV kutoka makazi yake huko Long Beach. Kama kutakuwa na taarifa za ziada ninatumaini tutaendelea kujulishana.Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.NB: Modes, kwa kuwa tangazo lilitolewa hapa kwenye Jukwaa la Siasa niliona ni vyema nikatoa taarifa hizo hapa na baadaye mnaweza kuihamishia popote mtakapoona inafaa kuwekwa.

Wednesday, June 09, 2010

Waandishi wa Habari Waibiwa Afrika Kusini!!!

Duh! Hii kali. Waandishi wa habari walioenda kwenye mashindano ya World Cup, huko Afrika Kusini wameibiwa hotelini kwao! Kazi ipo. Picha waliokuwa wanajenga kuwa Afrika Kusini ni salama, hakuna wezi wala vibaka, watu wanapendana inadoa kubwa kweli sasa.

******************************************************************************

World Cup Journalists Robbed

By Richard Allen Greene, CNN

(CNN) -- Three journalists covering the World Cup in South Africa were robbed of money, passports, cameras and computers early Wednesday, police said.
Armed suspects entered three hotel rooms where the journalists were staying near the town of Magaliesburg, police Col. Charmaine Muller told CNN.
Two of the victims "slept through the whole thing", but a Portuguese photographer woke up as it was taking place at about 4 a.m. local time (10 p.m. Tuesday ET), she said.
A suspect pointed a gun at him and told him to keep quiet, she said.
Police were called after the suspects left and are still investigating, she added. No one has been caught yet.
Hundreds of thousands of sports fans and journalists are descending on South Africa for the World Cup soccer tournament, the biggest sporting event in the world this year. It begins Friday.

Tuesday, June 08, 2010

Review of Maangamizi the Ancient One


I found this review of Maangamizi the Ancient One, very good. It hits the nail on the head about what the film is about. As you know Maangamizi is the first film to be submitted to the Academy Awards by Tanzania.
*************************************************************



Maangamizi (the Ancient One)


A film by Martin Mhando, Ron Mulvihill and the Ancestors

Featuring Amandina Lihamba, BarbaraO, Mwanajuma Ali Hassan, Thecla Mjatta, Waigwa Wachira

Review by
Marvin X (El Muhajir)

Maangamizi is a film in the genre of Daughters of the Dust and Sankofa, it even stars Babrara O from Daughters of the Dust. So let's get to point of this film that has won awards at several international film festivals, though few have heard about it.

I have long maintained that before African Americans can heal the trauma of White Supremacy they must make peace with their southern roots, the pain of slavery in all its vicissitudes. This film justifies my thesis that we must indeed come to peace with the terror of Alabama, Mississippi, Georgia, and the rest of the south before we can truly be healed. Whatever the south meant to us or means to us now, we must come to grips with it before we can deal with Mother Africa.

In the film the African American psychiatrist (Barabra O) goes to Tanzania to work in a mental hospital, but she cannot heal the Africans until the Africans come to terms with who she is as long lost daughter and she cannot deal with Africans until she is woman enough to confront the terror of African American oppression, there is a leitmotif of lynching to allow us to see her suffering, even though she is a doctor on a mission to heal her African brothers and sisters.
But she cannot heal her primary patient until the patient understands that the doctor from America is her salvation, not in a medical sense but in a spiritual sense.

After the African sister is traumatized by seeing her father burn her mother to death in a hut, the child refuses to speak until the wise woman Manzamizi (also grandmother) entreats her to connect with her African American sister, that is her salvation.

But as I said above, the African American must heal from the terror of America, not their disconnection with Africa as we are usually told. Supposedly, we cannot heal until we come to terms with our Africanity, but this film flips the script as many revolutionaries and radicals have discovered: we must come to terms with our Americanity in all its vicissitudes. Afterwards, we will have no problem with Africa.

With their attitude of jealousy and envy as expressed in the film, clearly, it is Africans who must adjust to African Americans. The film showed our African brothers and sisters as the playa haters of African Americans, and certainly the star patient had reservations about reconnecting with her African American sister, but this was the point of the film: that until Africans come to terms with African Americans, no healing can come to Africa, even though she has her neo-colonial problems with religion, Western religion, Christianity, the father being so dogmatic and savage that he burns his wife alive because her daughter is supposedly under witchcraft when it is clear the father is a devil under the power of a pseudo-Jesus. What Jesus told him to burn his wife alive in the granary hut?

The most powerful scene is the father in hell begging his daughter for forgiveness. And she forgives him, thus transcending the pseudo-Christianity of her father, to the objection of her wise woman, grandmother, Maanzimizi, who said to hell with the father, let him burn in hell for dissing the ancestors in favor of Christianity.

* * * * *

Rest in Peace Oliver N'Goma


Wadau, mnakumbuka ule wimbo BANE uliyoimbwa na Oliver N'Goma wa Gabon. Leo kuna habari kuwa ametutoka. Alikuwa anaumwa ugonjwa wa figo. Tutamkumbuka kwa nyimbo zake tamu tamu!

Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. AMEN.

****************************************************
Afro Zouk star Oliver N'Goma is Dead

Tuesday, 8th June, 2010

GABONESE singer Oliver N'Goma is dead.The famous singer died last night in a hospital in the Gabonese capital, Libreville. He suffered kidney failure. N'Goma was regarded as "a monument of Gabonese music. He had gained international fame through music in the style "Zouk". Born in south-west of Gabon, March 23, 1959, Oliver N'Goma started singing at the age of eight years. His father was one of the best players of his harmonium region. Music and cinema have been the two passions of this artist. He studied accounting at the technical school of Libreville. He made


Mnaweza kusoma habari kwa KiFaransa hapa:

MDurban the King Atuma Salamu kwa Mjomba Kamau

Imeandikwa na Mdau MDurban the King Kutoka Algeria.

MDurban anatoa dukuduku lake kuhusiana na mada kwa Kaka Michuzi....

SALAMU KWA MJOMBA KAMAU :

MJOMBA MICHUZI NAFURAHI SANA UMELETA HOJA NZURI SANA!!ME HII HABARI NIMEISOMA JUZI KWENYE IPP MEDIA!!NA ILINIGUSA NIKACHANGIA MAONI.

KWANZA NASIKITISHWA SANA NA KAULI ZA HAWA WAKENYA !!BINAFSI HASA ZA BROTHER KAMAU MAANA KAMA NI KWELI KAMAU NINAYEMJUA MWANDISHI WA HABARI WAKIKENYA NDIYE ALIYEFANYA HICHI NI AIBU KWAKE NA JAMII YAKE !!MAANA KAMAU NA WENZAKE WAANDISHI WA HABARI WA VITUO MBALIMBALI VYA KIKENYA WAPATAO ZAIDI YA 15 MWISHONI MWA MWAKA JANA (2009) WAKIWEMO WA KITUO CHA KBC KENYA KWENYE SHEREHE ZA PAN AFRICANISM ALGERIA, NIMIMI NDIYE NILIYEWAPOKEA NA NILIKUWA NDIYO TOUR GUIDE WAO NA INTERPRETER WAO KUTOKANA HAWAKUWA WANAFAHAMU LUGHA YA KIFARANSA !!NA SIO KWAMBA WALIKUWA WANANILIPA ILA ILIKUWA NI VOLUNTEER TU NA KWA USHAHIDI HUO WALIKUWEPO WAANDISHI WENGINE WA KITANZANIA KUTOKA KAMPUNI YA MAGAZETI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NEW HABARI COPARATION !!NAO WALIFIKIA HAPA EL-AURASSI HOTEL ALGIERS.

HAWA WAKENYA WALIFURAHISHWA SANA NA UKARIMU NILIOWAFANYIA NIKIWAWAKILISHA WATANZANIA WENZANGU POPOTE WALIPO DUNIANI NDANI NA NJE YA NCHI !!SIO KAMA WAKENYA WENZAO HAWAKUWEPO ILA NI WATU WAMASLAHI !!! SASA HII INAONESHA NI JINSI GANI TULIVYOKUWA CIVILISED ZAIDI YAO.

SASA KAMA KAWAIDA YETU SISI NDIYO WAZALENDO WENYEWE TUTAILINDA NCHI YETU KWA NAMNA YEYOTE ILE KUTOKA KWA ADUI!!TAIFA LOLOTE LILE LILILOKOSA WANANCHI WAZALENDO SIKU ZOTE WATAKUWA WATUMWA!!LITAKUWA TAIFA LA MACHAKUBIMBI NA WANAFIKI ILI WAWEZE KUWAPREZIR WENYE NGUVU YANI HAO MABWANA ZAO!!SASA SISI TUKIWA KAMA WAZALENDO TUNAIPENDA NCHI YETU, NI KWELI NCHI YETU NI MOJA YA NCHI MASKINI DUNIANI NA TUNAMATATIZO MENGI SANA TU LKN SIO MKENYA WAKUTOSEMA SISI!!KILA LINALOTUSIBU KENYA LINAWASIBU MARA MIA ZAIDI YA SISI!NAONGEA HIVI KUTOKANA HUU NDIYO UKWELI KWA MTU ANAYEIFAHAMU KENYA VIZURI ATANIUNGA MKONO, WALIO WENGI KENYA WANATAABIKA KAMA WAPO JAHANAMU!!RAIA WAKENYA WALIOWENGI HAWANA HATA MAJI YA KUNYWA USHAHIDI UKAME ULIOPITA ULIUA MAELFU YA MIFUGO KENYA ILE ILIKUWA AIBU NA KIELELEZO TOSHA CHA KUWA KENYA SIO WAKUTUSEMA SISI WATZ.

PIA UNAKUMBUKA VURUGU ZA MUNGIKI? ZILE NI ISHARA TOSHA WATU WAMESHATAABIKA VYA KUTOSHA NA IMEFIKIA KIPINDI HAWAOGOPI KIFO!!MAANA MJOMBA MALCOM X ALISHASEMA U CANT SEPARATE PEACE FROM THE FREEDOM BEACAUSE NO ONE CAN BE IN PEACE UNLESS HE HAS HIS FREEDOM!!KWA KULITIZAMA HILI KWANZA NDIYO MAANA HAWA WAKENYA HAWANA AMANI KWAO COZ HAWANA UHURU WA KUIKOSOA SERIKALI YAO SASA HII LEO WAJE WAIKOSOE SERIKALI YETU? SASA WATUPE UHURU WETU NASI ILITUWE NA AMANI NAO!!MAANA KITENDO CHA KUTUNYIMA UHURU WA KUFANYA MAMBO YETU NI KUTUNYIMA UHURU WETU KWAHIYO HATUTOKUWA KWENYE AMANI NAO!!TUSIWE WANAFIKI KWA KUJIFANYA ETI TUNAWAWAPENDA WAKENYA WAKATI WAO HAWATUPENDI !! HATA MBWA AU PAKA UKIMCHUKIA NAYE ATAKUCHUKIA SEMBUSE SISI AS HUMAN BEING HILO NI GUMU NA ZITO !!HALAFU MJOMBA MALCOM X AKAMALIZIA KUWA HAKUNA AMANI KWENYE NCHI YENYE NJAA NA ISIYO NA HAKI !!HIKI NI KIELELEZO TOSHA KUWA KENYA NI NCHI YA NJAA NA ISIYO NA HAKI NA NDIYO MAANA HAKUNA AMANI KWAO KILA KUKICHA TUNASHUHUDIA VURUGU MAUAJI YA HALAIKI NA WANASIASA ILA SISI TUMENYAMA KIMYA HATUWAONGEI VIBAYA !!MIMI NAMARAFIKI WENGI TU WAKIKENYA NA TUNAHESHIMIANA NA HAWANA KEJELI. SISEMI WAKENYA WOTE WANATABIA MBOVU.

NAUNGA MKONO RISALA YA MH : RAISI WETU JAKAYA ALIYOITOA KWAO KUWA TUHESHIMIANE WALA TUSITOLEANE KEJELI HUO NDIYO UJIRANI MWEMA ILI TUSIJENGE TENSION MIONGONI MWETU !!HII ILIKUWA ELIMU TOSHA KWAO !!LKN WENZETU HAWAELEWI NA HII KUTOKANA KWAMBA NA VIONGOZI WAO NDIYO HULKA ZAO WANAFURAHIA HILI !!NAKUMBUKA MWAKA 2006 MWISHONI MWA MWEZI WA 10 NILIKUWA VACATION KENYA KILA REDIO UTAYOFUNGUA WALIKUWA WAKITUKEJELI HAWA WATU KTK MAMBO MENGI TU !!SASA HILI HALIKUANZA LEO !!

UNAJUA SIKU ZOTE ADUI HAKUSIFII KWENYE ZURI UTAKALOFANYA ZAIDI YA KUKUPONDA ILIUWEDISCOURAGE USIENDELEE NA MAZURI YAKO !!JUU NIMEFURAHI KUONA KUWA LEO MJOMBA WANGU MASHAKA KAONESHA UZALENDO KWA KUWAAMBIA UKWELI KUWA ANATEGEMEA KTK MAMIA YA WAKENYA WATAKAO KUJA KUWAONA BRAZIL ANATEGEMEA KUWA BROTHER KAMAU NAO ATAKUWA MIOGONI MWAO !!WAJE WATULETEE FOREIGNE CURRENCY NA WATUPATIE AJIRA NA NDILO LINALOWAUMIZA VICHWA HILO.

KUWAALIKA BRAZIL KUJA TZ KWA SISI WATAALAMU WA UTALII TUNALIITA NI STRATEGIQUE MARKETING TOURISTIQUE WAKENYA WANALIJUA HILI NA NDIYO MAANA WANAANZA KUTAPATAPA MAANA WANAJUA FAIDA ZAKE NI NYINGI MNO MAANA WAO WALISHAANZA KUIPA KIPAUMBELE SECTEUR YA UTALII SIKU NYINGI MFANO WA BAADHI YA FAIDA NI KAMA IFUATAVYO :
KWANZA KABISA TANZANIA ITAPATA FAIDA YA KUJITANGAZA NJE YA NCHI HII KUTOKANA SOKA NI MOJA YA MCHEZO UNAOPENDWA SANA DUNIANI NA WASHABIKI WENGI WASOKA WANA CULTURE YA UTALII NA KUFANYA RESEARCH !!KWA HIYO WAPENZI WOTE WA SOKA WATAJUA KWAMBA BRAZIL IPO TZ !!NA HAPO NDIPO WATAKAPOANZA KUJUA RESOURCE N CIRCUITS TOURISTIQUE ZOTE ZILIZOPO TZ !!

PILI TELEVISION ZOTE MASHUHURI ZA HABARI NA VYOMBO VYA HABARI VYENGINE VITAITANGAZA HII MECHI NA PIA KUNA VITUO VITALIPIA HII MECHI ILIWAWEZE KUIONESHA KWAHIYO HII ITAKUWA NI MOJA YA MBINU ZA BURE KUJITANGAZA KWA NCHI YETU !!

PILI NCHI ITAPATA FOREIGN CURRENCY WAKIWEMO HAO WAKENYA WATATULETEA PESA ZA KIGENI !!TUTAINGIA MAPATO YA KIINGILIO NA HOTELI ZETU ZITAPATA MAPATO !!

PIA WANANCHI WETU KTK SECTEUR TOFAUTI WATAPATA AJIRA MFANO WATU WA USAFIRI WATAFANYA KAZI KWA UHAKIKA, WAFANYABIASHARA, MAHOTELINI NA WAKULIMA WATAUZA MAZAO YAO N.K
HIZO NI BAADHI YA FAIDA TUTAKAZO ZIPATA !!NA NDIYO LINALOWACHANGANYA VICHWA BINAMU ZETU WAKENYA !!

TZ HAINA TOFAUTI KUBWA NA UCHUMI WAKIKENYA KWENYE MAKARATASI !!MKITAKA STATISTIQUE ZA INSTITUTE ZA UMOJA WA MATAIFA UNKALE NITAKUTUMIA !!

WATANZANIA TUSHUKURU KWAMBA TUMEPATA RAISI MZALENDO ALLIYEFUNGA KILA AINA YA JANJA NA DANGANYA TOTO ZA KIKENYA NA LINAWAUMIZA HILI.

PIA KUNA SUALA NINGEPENDA KUISHAURI SERIKALI YETU KUANGALIA SUALA LA AJIRA NA KULINDA AJIRA KWA WATANZANIA SIDHANI KAMA KENYA INGAWA WATAINGIA KWENYE COMMUNITY LKN WATAMUACHA MTZ ACHUKIE AJIRA KIRAHISI HIVYO NA PIA SUALA LA ARDHI TUSIKUBALI KUWAUZIA WAGENI MAANA ARDHI HAIUZWI, UKIMWONA MTU ANAUZA ARDHI UJUE ANAJIANDAA KUWA MTUMWA NYUMBANI KWAKE.

PIA SERIKALI YETU ITIZAME VIZURI HIVI VYOMBO VYA HABARI VYOTE VINAVYOMILIKIWA NA WAKENYA NCHINI KWANI NDIYO VIMEKUWA VIKIONGOZA KUTUPONDA NA KUKEJELI VIONGOZI WETU !!PIA VIMEKUWA VIKIJA NA STYLE YA KUTULETEA SIASA ZA MAKUNDI NA SUPPORT KWA BAADDHI YA WANASIASA NA PIA KAMA MNAFUATILIA VIZURI VIMEKUWA MSTALI WA MBELE KULETA ITIKADI ZA UCHONGANISHI WA KIKABILA NA UDINI.

TUKUMBUKE KTK KILA NCHI DUNIANI KUNA AINA KUU 3 ZA POUVOIRS PUBLICS (NGUVU YA DOLA) IKIWEWO POUVOIRS EXECUTIVE, LEGISLATIVE NA POVOIRS JURIDIQUE LKN TUNASAHAU KUWA KUNA AINA NYENGINE YA NGUVU YA DOLA NA NDIYO NI HATARI ZAIDI KTK USHWAWISHI KTK JAMII AMBAYO NI MEDIA !!VYOMBO VYA HABARI VIKITUMIWA VIBAYA VINAATHARI KUBWA KTK JAMII KAMA VIKITUMIWA VIBAYA !!ANGALIA MFANO WA RWANDA NA BURUNDI VYOMBO VYA HABARI VILILETA MTAFARUKU MKUBWA NA KUJIKUTA WATU WAKIINGIZA NCHI KTK UMWAGAJI DAMU !!TIZAMA HISTORIA YA ISRAEL NA PALESTINA, UJERUMANI WKT WA HITLER NA WAKATI WA VITA BARIDI YA DUNIA.

SASA TUSIJE TUKAJIKUTA TUMESHACHELEWA KUVIZIBITI NA BADALA YAKE TUKAANZA KUVIDHIBITI BAADA YA MADHARA KAMA ILIVYOKUWA KWA ZE UTAMU !!

UNKAL NAOMBA USINIBINYIE HUU UTAKUWA NI KIJIMCHANGO CHANGU KIDOGO KWA WATANZANIA WENZANGU NA NDIYO MAANA NIMEJARIBU KUIANDIKA KWA KISWAHILI ILI WATANZANIA WENZANGU WANIELEWE.

MWISHO NALITAKIA KILA LA KHERI TAIFA LETU LA WAMATUMBI NA TUKITUKUZE KIMATUMBI CHETU KIDUMU DAIMA !!MAANA KILIMKOSTI NYERERE KTK KUKIKUZA NA KIKAWAUNGANISHA WAMATUMBI NA BADALA YAKE TUNAWAACHIA WAKENYA KILA MAHALI UTAKAPOPITA AMA UTAKAPOSOMA UTAONA KIMATUMBI NI CHA WAKENYA !!WANAPATA MALAKI YA WATALII KWA AJILI YA CIVILISATION ZA KIMATUMBI TUAMKE WTZ NA NDIYO MAANA HAWA JAMAA WANATUTUKANA KWA KUMONOPOLI KILA KITU CHETU KIZURI KUANZIA MLIMA KILIMANJARO, TANZANITE YETU, KARAFUU, SERENGETI, ZANZIBAR VYOTE NI VYAO.

NATUMAI WATANZANIA TUTAKUWA WASTAARABU KTK KUCHANGIA MADA NA HII TUWAONYESHE KUWA CIVILISATION ILIZALIWA NA KUKULIA KWETU NA NDIYOMAANA HATA KWAO WANAOPAKANA NASISI KAMA MOMBASA WAMESTAARABU.

BY MDURBAN

******************************************************

Mnaweza kusoma Mada kwa MICHUZI HAPA:

Sunday, June 06, 2010

Karibuni Barbecue Boston Jumamosi 6/12/10

Restoration Fellowship welcome all to a Friends & Family Barbecue in honor of their One Year Anniversary.

Please join us for Nyama Choma, Games, Various Activities & Fellowship.

When: Saturday June 12, 2010
Where: Break Heart Reservation, 177 Forest St., Saugus, MA 01906
Time: 12:00PM to 4:00PM

For more information please contact:

Mary - 857-236-0220
Winnie - 781-552-9499

This event is FREE. KARIBUNI!

Saturday, June 05, 2010

Umuhimu wa SInema Tanzania a Freddy Macha


Why are movies so important? - By Freddy Macha

From The CITIZEN PAPER IN TANZANIA

By Freddy Macha

Can anyone tell me the origin of the word dezo?

In standard Swahili it means anything obtained free of charge. Sometimes I like to think of it as dazzle or daze which is to stun and bewilder.

Surely that explains the feeling of happiness after being endeared?

Anyway, I recall sinema dezo, back in the sixties and early seventies. Movies would be shown for free across Tanzanian fields and football pitches.

We watched the Charlie Chaplin, Stanley Laurel and Oliver Hardy series, then known as Chalii Mnene na Mwembamba. They were not only funny they also help build the Swahili vocabulary.

Charlie or Charley became Chalii or Chale, which in Swahili is a funny or humorous person. Movies not only entertain but also create new words thus helping shaping a national language.

By the mid-1970s, sinema dezo was out and in came the cinema halls. Our mothers and sisters flocked to watch afternoon movies (matinee) from India.

Nobody spoke Hindi, but the songs were loved. Does anyone recall i (which means Sometimes) and Sholay? The stories were long; movies went on for three hours plus.

Some of these Hindi films had strong social political messages like Mother India and Namak Haraam. I recall seeing them without subtitles and loving them across Dar es Salaam halls – Empire and Empress (in the Askari Monument area), Avalon, Odeon and Cameo.

For those who did not like these Hindi movies with their exaggerated sentimental singing and tears, there was an alternative option: Bruce Lee and kung fu, whoo, whaa films.

These flicks razed and grazed our halls until early eighties when the economic doom chocked and slapped everyone. The only consolation were second-hand imported ‘B’ movies like the soft porn wave Emanuelle.

From then on until around the arrival of mainstream television in the mid-1990s we had nothing. The film industry in Tanzania has always been thirsty and hungry.

Before Josiah Kibira's efforts in 2003 with the production of the Bongoland series we had only Fimbo ya Mnyonge as a Swahili movie of any substance. Mwalimu Nyerere must have gone to his grave wondering, will it ever be?


Lately because of this hunger we have started munching Nigerian and South African films.

US-based Josiah Kibira says he used to watch the Nigerians and wondered. His Bongoland one and two tale is a convincing narrative about dreams of a young Tanzanian totally gone wrong.

Like Obama's presidential win in 2008, Kibira uses the Internet well to publicise and sell them in a well packaged and organised product.

And that is the story of May-June 2010.
Lovely Gamble, a Swahili-English, film has just been released in the UK by young Tanzanian filmmakers. I have seen the flick and attended the launch last weekend in Reading, a few kilometres out of London.

I do not think Lovely Gamble is anything close to Bongoland. The storyline is simplistic, with an ending that women especially will find uninspiring. However, its release has heralded a new chapter in our filmmaking.

In 2008, I watched and listened to Spike Lee, the African American filmmaker, answering a crucial question in London. Many of us asked him why he never makes films about Africa. He said we should do it ourselves and in collaboration.

“Be a gang, form a posse...,” said the creator of Inside Man, Malcolm X, Do the Right Thing and She Is Gotta Have It.

Makers of Lovely Gamble, known as Urban Pulse, have already ticked this box. Urban Pulse unites not only a group of Tanzanians, but other Africans and Caribbean youths. They are all multi-skilled and multitalented.

Launching the event, which also raised funds for HIV orphans in the UK and Tanzania, Minister of Foreign Affairs and International Co-operation at our London High Commission, Amos Msanjila, made a lively speech that summed up why the film industry is so important for any nation.

Brand Tanzania, is what Swahili movies may create and help reinforce. Nigerian and Hindi films have helped popularise their countries, the diplomat said. Then there is the use of Kiswahili a language rated amongst ten fastest growing in the world.

Not to forget employment opportunities. Making films is an activity involving a lot of people: technicians, actors and business people. But before going any further we need to make convincing films.

Films depend on well-written stories, researched materials and high standard acting.
More info about Lovely Gamble or to get DVD phone Frank Eyembe on +44-7865594576. Email: urbanpulsecreative@gmail.com

Email: kilimanjaro1967@hotmail.com This e-mail address is being protected from spambots. www.freddymacha.blogspot.com

A War for Your Soul

A War For Your Soul-Birmingham version from Erisai Films on Vimeo.



DUH! Lakini lazima weusi waamke hapa Marekani. Naona wengine wanazorota kutokana na haya mambo ya ovyooooo kuitana majina ya ajabu! Weusi wamenyanyaswa na hii video inasema badala ya wazungu kutunyanyasa sasa tunanyanyasana!

Wadau, wanaume weusi wengi mno wamefungwa katika magereza na majela. Wanauana ovyo. Hapa Boston katika wiki mbili vijana watano wameuawa!!

Professa Kutoka Marekani Akamatwa Rwanda


Professa kutoka William Mitchell College of Law huko Minnesota amekmatwa nchini Rwanda. Professa Peter Erlinder (Pichani), alikuwa amekwenda huko kumsaidia mgombea rais wa kutoka chama cha upinzani, Bi Victoire Ingabire.

Alifikishwa mahakamani Kigali na kushitakiwa na madai kuwa alidai kuwa maangamizi ya 1994 haikutokea na pia aliandika habari ambazo zilitishia usalama wa nchi.

Polisi wa Rwanda wansema kuwa Professa Erlinder alimeza vidonge vingi katika jaribio la kujiua. Lakini familia yake hapa Marekani wanasema kuwa hawaamini kuwa atajaribu kujiua.

Jumatatu jaji atamua kama Professa Erlinder anaweza kutoka jela kwa dhamana (bail).
*************************************************************************

By EDMUND KAGIRE

KIGALI, Rwanda (AP) - A Rwandan judge has charged a U.S. lawyer with denying Rwanda's 1994 genocide and publishing articles that threaten the country's security.

Peter Erlinder pleaded not guilty to the charges during a five-hour court hearing late Friday in the Rwandan capital, Kigali.

"It is the first time I have come to know that my obscure publications back in America were that bad and could amount to genocide denial," Erlinder told the court. He suggested it may be a case of misinterpretation or misunderstanding.

If convicted, he faces up to 25 years in prison. Erlinder was upset when the judge said he will decide on Monday whether to grant bail.

Erlinder - a professor at William Mitchell College of Law in St. Paul, Minnesota - has a reputation for taking on difficult, often unpopular defendants and causes. A past president of the progressive National Lawyers Guild, Erlinder leads a group of defense lawyers at the U.N.'s International Criminal Tribunal for Rwanda, which is trying the alleged leaders of the 1994 genocide.


The genocide claimed the lives of more than 500,000 people, mostly Tutsis and moderate Hutus. The massacres ended when mostly Tutsi rebels led by President Paul Kagame defeated the mostly Hutu extremist perpetrators.

Erlinder said Kagame's party might dispute his writings, but "not all Rwandans."

He said he had ignored warnings from his tribunal colleagues not to travel to Rwanda, where he had spent several days helping opposition leader Victoire Ingabire in her presidential election challenge before his May 28 arrest.

"I believed the country has grown democratically, but if I am detained and prosecuted, my case will be confirm what is being said out there," Erlinder said.

Appearing weak in court, Erlinder asked to be granted bail so he could return home for treatment, and promised to comply with any conditions the court sets.

He said he hadn't been mistreated, but also had not had contact with anyone while in Rwandan custody.

"I haven't talked to anyone in my family, I haven't listened to the radio or watched TV since I was arrested. I haven't talked to my doctor," he said.

Judge Maurice Mbishibishi said he would decide Monday whether to grant bail.

Prosecutor Richard Muhumuza argued against it while investigation was ongoing, but agreed not to object if a medical examination determined Erlinder needed treatment in the United States.

Authorities are considering a joint medical evaluation involving a doctor of Erlinder's choice, Foreign Affairs Minister Louise Mushikiwabo said, while rejecting a U.S. request made Thursday for the lawyer's release on compassionate and humanitarian grounds.

"We are sensitive to medical and health conditions, whether it's for American citizens or others, but we cannot short circuit the legal process, so we stand advised by mental health professions on what needs to happen," Mushikiwabo said.

Erlinder was hospitalized Tuesday after police said he took dozens of pills in an attempted suicide. Erlinder's family said it did not believe that.

Meanwhile, the Hutu opposition leader Ingabire was in court Friday to attend Erlinder's hearing.

She plans to challenge Kagame for the presidency in Aug. 9 elections, and had asked Erlinder for legal advice in defending herself against charges of promoting genocidal ideology.

After returning to Rwanda in January from the Netherlands, Ingabire had visited a memorial to Tutsis killed in the 1994 genocide and asked why Hutus who died weren't also remembered.

She was arrested and freed on bail, but her passport was seized and she cannot leave Kigali. If cnvicted, Ingabire, 41, could be sentenced to more than two decades in prison.

Thursday, June 03, 2010

DICOTA Convention 2010

Greetings,

Many of you are aware of the upcoming 2nd convention of Tanzanians in the American Diaspora which will be held in Minneapolis, Minnesota on July 1 – 4, 2010 at Minneapolis Marriott City Center. This is a special invitation to you and friends of Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA). Please encourage your partner and friends to participate as well.

The convention brings together members of the Tanzanian Diaspora in USA, Tanzanian private sector and government officials; key decision makers from U.S. businesses; financial institutions, and international organizations with vested interest in investment and growth in the country.

The theme of the conference this year is “Unleashing the Diaspora Potential” and it focuses on key economic sectors in Tanzania including agriculture, energy, mining, tourism, Technology and human security. DICOTA’s goal is to exchange ideas, best practice and debate issues with inter governmental agencies and organizations, and to strive to be a catalyst for the establishment of even better cooperation (Economic, Cultural, Education, Technology, Social Services, and Sports) between the United States of America and Tanzania. DICOTA is dedicated to the virtuous cycle of wealth creation and economic development of Tanzania and America. To accomplish this goal, DICOTA will engage in investment, job creation, or development projects.

Organizing committee encourages you to attend this convention will be glad to see your participation. Visit us www.dicotaus.org/convention/ for all the information and early registration deadline. You will also be eligible for the discounted hotel reservation at the Marriott Hotel City Center Minneapolis the convention site.

This is a great opportunity for establishing your network and learning experiences through exchange of ideas including business promotions and fostering meaningful partnerships.

Open the attachments for additional information as well
Hope to see you soon and best regards

Crispin Semakula, MD
Chairman DICOTA Convention 2010