Monday, December 31, 2007

Heri ya Mwaka Mpya - 2008


Tunaaga mwaka 2007 na kukaribisha mwaka 2008 leo usiku.
Nawatakia wadau wote HERI YA MWAKA MPYA!

Sinema ya Real Men Cry

Amanda Peet
Mark Ruffalo & Ethan Hawke


Wiki iliyopita niliitwa kuwa extra katika sinema ya, "Real Mean Cry". Inahusu wanaume wawili walivyokuwa marafiki tokea walivyo wadogo huko South Boston. Baadaye wote wanafungwa gerezani.

Sasa scene enyewe ilipigwa kwenye gereza la Billerica House of Corrections. Ambayo ni gereza la medium security. Walikuwa na ulinzi mkali na tulichunguzwa hata kabla ya kufika huko (background check). Kuingia unapita kwenye X-ray na kusachiwa kama unapanda kwenye ndege. Ilibidi tuache simu, kamera na vifaa vingine mlangoni. Halafu kila ukitembea hatua kama ishirini kuna mlango ambayo inabidi ufunguliwe. Kulikuwa hakuna kwenda chooni bila kusindikizwa na mlinzi wa gereza. Halafu tulipewa ID za kuvaa mkononi. Kwa kweli si rahisi mtu kutoka huko.

Kuna waigizaji wa kiume walivalishwa magwanda ya wafungwa. Utadhani ni wafungwa kweli kweli. Ila wamevaa hiyo ID mkononi. Sasa kuna jamaa mzungu alienda chooni. Alivyokuwa huko anasema, mlinzi alimtania na kusema, "Mkamate huyo, mfungwa katoroka!" Mzungu anasema alijisikia vibaya kweli.

Nilikuwa na waigizaji wengine wawili wa kike. Na tulisindikizwa eneo la kusubiri. Njiani tulipita wafungwa wa kweli. DOH! Mbona walianza kupiga makelele kama ngedere! Tulivyowapungia ndo kabisa waliigiwa na kiwewe! Naona walikuwa hawajaona wanawake muda mrefu.

Nilivyofika kwenye seti walisema kwanza nitaigiza mlinzi wa gereza. Nilimcheki mlinzi wa kike wa kweli aliyekuwepo zamu hapo. Alikuwa ni buchi lesbo hasa! Nikasema mungu wangu nitakoma. Lakini mimi ni msanii wakitaka niigize hivyo itabidi. Kwa bahati walinibadilisha na walisema nitakuwa mgeni namtembelea mfungwa. Cha kuchekesha, walikuwa na upungufu wa wanaume weusi waigizaji. Walimchukua jamaa aliyekuwa ana shughulikia chakula (caterer) na kumvisha nguo za mfungwa. Ndo nilifanya scene na huyo. Tulivyo maliza scene jamaa alibadilisha nguo na kuendelea na shughuli zake za catering.

Waliniweka karibu na Amanda Peet. Nilicheka kweli kimya kimya maana kuna wakati madirector (waongozaji) walinigombania. Moja aliniweka sehemu fulani kukaa, mwingine alinihamisha. Nilivyohamishwa jamaa aliingia seti kwa haraka na kumfokea na kumgombeza yule mwingine eiti kwa nini alinihamisha! Loh! Nikasema kumbe watu wanaanza kuni-notice.

Sinema zingine ambazo niliitwa mwaka huu lakini nilishindwa kwenda ni : The Great Debaters starring Denzel Washington (nilikuwa Bongo) na The Lonely Maiden starring Morgan Freeman ( ilikuwa ni short notice).

Mwakani sinema kubwa kama nane zinatarajiwa kupigwa hapa Boston nazo ni zifuatazo,( hiyo ya Shutter Island ya Scorsese ndo itakuwa kiboko ya mwaka 2008):


From Boston Globe:
*******************
"The Ghosts of Girlfriends Past"

When: Production crews are already here, setting up shop in South Boston's Seaport District.Director: Mark WatersStars: Jennifer Garner and Matthew McConaugheyStory: While attending his younger brother's wedding, a bachelor is haunted by the ghost of - you guessed it - his girlfriends past.Release date: February 2009

*******************
"Shutter Island"

When: It's hard to say, but location scouts have been scouring the area looking for suitable locales that could sub for a 1950s hospital for the criminally insane.Director: Martin ScorseseStars: Leonardo DiCaprio, Michelle Williams, Ben Kingsley, and Mark RuffaloStory: A drama based on the Dennis Lehane novel of the same name. US Marshal Teddy Daniels is investigating the disappearance of an escaped murderer who's believed to be hiding on Shutter Island.Release date: 2009
*******************
"The Surrogates"

When: Scouts already have picked a few locations and producers are telling local crews to be ready to go by the spring.Director: Jonathan MostowStars: Bruce Willis and Michael Jai WhiteStory: Based on the popular graphic novels of Robert Venditti and Brett Weldele, the futuristic action flick imagines a world where humans live in isolation but interact through surrogate robots. A cop, played by Willis, investigates the murder of surrogates.Release date: 2010
*******************
"Against All Enemies"

When: Word is scouts have been in town, but it's unknown yet when or where filming will take place.Director: Robert RedfordStars: Bruce Willis (Sean Penn and Vince Vaughn were initially attached, but have reportedly dropped out)Story: Based on the memoir by former counterterrorism adviser Richard Clarke, the story centers on the government's failure to heed warnings about a planned attack on the United States.Release date: 2008

*******************
"Bride Wars"


When: Word is Kate Hudson, who stars and produces, had such a good time in Boston shooting "My Best Friend's Girl" last summer that she wants to return. Timetable unknown.Director: Gary WinickStars: Kate Hudson and Anne HathawayStory: A comedy about best friends who become rivals when they schedule their weddings for the same day.

*******************
"The Town"



When: "The Departed" producer Graham King has scouted here, but the writers' strike may hold things up.Director: Adrian LyneStars: UnknownStory: Based on Chuck Hogan's award-winning novel "Prince of Thieves" about a band of robbers who are hunted in Boston by a tenacious FBI agent and a woman who could destroy them.Release date: 2008
*******************
"The Fighter"

When: With any luck, the production, which could end up being the largest ever filmed in the state, is expected to begin filming in Lowell next fall.Director: Darren AronofskyStars: Mark Wahlberg and Brad Pitt, who signed after Matt Damon dropped outStory: A biopic based on the life of former champ "Irish" Micky Ward and the brother who helped train him.Scheduled release: 2009
*******************

"Hickory Nation"

When: Filming on the North Shore could begin as soon as next month.Director: Rebecca Cook, who'll also get a writing and producing credit.Stars: Aimee TeegardenStory: A drama about life after a mysterious hit-and-run in a small Maine town.Release date: 2009

Saturday, December 29, 2007

Balozi Mwambulukutu apigwa na Majambazi Afrika Kusini!

Balozi Emmanuel Mwambulukutu

Duh! Afrika Kusini kumeoza kweli kweli. Yaani mpaka siku hizi diplomats hawataki kwenda huko. Kama wewe ni mgeni huko nasikia unatembea roho mkononi maana lazima utaibiwa.

Sasa wanaua watu ovyo hakuna thamani ya maisha. Hebu tazama walivyofamya Lucky Dube!

Sasa balozi wetu Mzee Emmanuel Mwambulukutu kapigwa na majambazi na mke wake amechomwa kisu! Heh! Walikuwa kwenye dinner party, na wengi wa wageni walikuwa waTanzania.

Serikali ya Afrika Kusini inasemaje hapo!

*****************************************************************************
Tanzania ambassador to South Africa badly beaten during robbery
Dec 29, 2007

Johannesburg - Tanzania's High Commissioner to South Africa became the latest high-profile victim of the country's violent crime problem when he was badly beaten by intruders at a farewell dinner in his honour in Pretoria Friday night.

Emmanuel Mwambulukutu was listed in serious but stable condition in hospital Saturday after being badly beaten by thieves who stormed the party in a diplomatic residence, SAPA news agency reported.

His wife and six other people sustained minor injuries after being beaten, some with bottles. The attackers tied up the around 25 guests and robbed mobile phones, money and household belongings before making off in Mwambulukutu's luxury jeep.

One person was arrested in connection with the attack after police found him in possession of the car. The suspect was shot and injured during the police operation. South Africa has one of the world's highest violent crime rates. Diplomats are said to be increasingly loathe to accept postings to South Africa, where over 50 people are murdered each day.
Kwa habari zaidi someni:

Friday, December 28, 2007

Utrecht Art Supply - Kampuni enye Ubaguzi dhidi ya Weusi!

Mnaosema ubaguzi hakuna Marekani soma hii habari chini.

Huko Berkeley, California kuna jamaa mweusi alifukuzwa kazi kwa vile mfanyakazi mwenzake mzungu alisema kuwa hajisikii vizuri kuwa karibu na watu weusi. Jamaa alikuwa ni mfanyakazi mweusi peke yake katika ofisi hiyo.

Sasa kwa nini huyo mzungu hakufukuzwa? Duh! Tena jamaa alifukuzwa kabla ya Christmas! Kampuni ya kikatili kweli.

Nami nasema watu weusi wasinunue bidhaa zao! BOYCOTT UTRECHT ART SUPPLY!

******************************************************************************
PRESS RELEASE:

WHITE WORKER’S RACIST CHRISTMAS & NEW YEAR’S WISH GRANTED BY NATIONAL ART SUPPLY CHAIN

by Rayford Bullock, Universal Life Press

Wednesday Dec 26th, 2007 9:54 PM

WHITE WORKER’S CHRISTMAS AND NEW YEAR’S WISH GRANTED BY NATIONAL ART SUPPLY CHAIN: AFRICAN AMERCIAN FATHER RELEASED BECAUSE THE WHITE WORKER FELT UNCOMFORTABLE AROUND AFRICAN AMERICANS!

Berkeley, CA, December 26, 2007 In the liberal multi-cultural City of Berkeley, California and home of the internationally renowned and respected University of California where diversity is as common as apple pie. On the eve of the New Year, the sole African American employee at Utrecht Art Supply in Berkeley at the foot of U.C. Berkeley on University Avenue didn’t get an annual Christmas or New Year’s bonus, gift, party or a Merry Christmas or Happy New Year from his employer. But, the company granted his white co-worker’s New Year’s racist wish.

On December 18, 2007, the store’s only African-American employee received a formal Separation and Release Agreement from his employer, because his white co-worker, John Paulson, the store manager didn’t feel “comfortable” working around African Americans.

It certainty comes at an uncomfortable time for the young African American worker. It happened just before Christmas, and he is a dedicated hard working single parent raising two minor children. Jeff Olson, Utrecht Art Supply District Regional Manager flew in from Chicago and delivered Paulson’s wish that Jeff said had been gift wrapped and endorsed by Utrecht’s CEO, George Meunch, in Cranbury, New Jersey.

Utrecht is a national chain of art supply stores founded in 1946 in New York by artist Norman Gulamerian and his brother Harold. The company is named after the street New Utrecht Avenue in Brooklyn, NY. Certainty, this is a new low in racial tolerance and relations in this country. Racial uncomfortability instead of business necessity, ability, job performance, personal conduct, character and criminal convictions, as a justified ground to release employees from their jobs will certainty negatively impact the country’s economy and set race relations back to the stone age.

I wish this wasn’t true especially for his young father, his two young children, for the moral character of this nation, and coming at Christmas and a New Year when our spirits are so low due to the wars, housing market crisis, high gas prices, and the economy.

Reached for comment about the story at the Berkeley store, Paulson declined to comment, and referred the matter for comment to the company CEO, George Meunch. Mr. Meunch did not respond to repeated calls to his office, or a requested written e-mail comment to the story. More bad season cheer for the New Year, Utrecht is planning to expand and open up about twenty new art supply stores in cities with substantial populations of communities of color.

An anonymous observer commented, “If they (Utrecht) don’t want people of color working in their stores, how do they reasonably expect people of color and people of conscious to continue to shop at their stores, or better yet open their arms to welcome this type of company with such senseless management styles of racial intolerance and insensitivity into their cities?” Will anyone at Utrecht that question? _____________________________________________________________________ If you’d like more information about this topic, or to schedule an interview with the young African-American father, please call Rayford Bullock, Universal Life Press, at 510.220-0711 or e-mail at rayfordbullock [at] yahoo.com

Sinema mpya Bongo - SEGITO

Picha kwa hisani ya Jiachie (Michuzi Jr.) Blog

Wiki iliyopita sinema mpya iitwayo, SEGITO, ilizinduliwa katika jengo la New World Cinema, huko Mwenge, Dar es Salaam. Filamu ya SEGITO inahusu haki, ubaguzi na mapenzi kwa wenye ulemavu . Imetayarishwa na Janeth Mwenda Talawa ambaye ni mtangazaji wa Redio One.

Pichani ni baadhi ya wahusika wakuu katika filamuya SEGITO. Kutoka kulia ni Iddy Fellow ,Riyama Aliy Suleiman, Ndumbagwe Misaya na Janeth Mwenda Talawa .

Kutoka Daily News 21.12.07

INFORMATION, Culture and Sports Minister Muhammed Seif Khatib is expected to grace the launching of a new film dubbed ‘Segito’ at the New World Cinema in Dar es Salaam today. The film is titled in Kihehe, which means ‘daughter’.

It tells the story of a successful young couple living in the city and the chaos into which their life was thrown when the husband discovered that his wife is in love with a disabled person. Film producer Janeth Mwenda Talawa said in Dar es Salaam yesterday that the film reminds people not to exclude and disrespect persons with disabilities in the community.

“It is not a real story but it is a reality in our life. It reminds us not to discriminate people with disabilities because disability is not inability,” she said. Talawa further said that the film depicts how affection between the married couple was important in life.

She said representatives from the Disabled Organisation for Legal Affairs and Economic Development (Dolased) and representatives for the International Labour Organisation (ILO) would attend the ceremony. The film has ten characters.

The main character is Ndumbagwe Misayo, who acted as Teha, while others are a renowned Rihama Ally (Isabella), Aliko Shimwelu (William), Fello Idd, Mwasu Aloyce, Vincent Kigosi and Issa Musa.

Waliojaribu kutorosha watoto Chad warudishwa Ufaransa



Mnakumbuka ile kesi iliyotokea mwezi Oktoba ya wafaransa kujaribu kutorosha watoto zaidi ya 100 kutoka Chad. Walidai kuwa ni yatima kutoka Sudan, kumbe walikuwa wametekwa kutoka majumbani mwao hapo Chad, wengine walikuwa na familia zao.

Hao wafaransa walihukumiwa kukaa gerezani Chad miaka minane na kufanyishwa kazi ngumu. Sasa serikali ya Chad imewarudisha Ufaransa kwa ombi la serikali la huko.

Bofya hapa kusoma posti ya Oktoba http://swahilitime.blogspot.com/search?q=chad

************************************************************************

French jailed in Chad abduction fly home

By ANDREW NJUGUNA, Associated Press Writer

N'DJAMENA, Chad - Six French aid workers sentenced to eight years' forced labor in Chad for trying to kidnap 103 children left for France on Friday, boarding a plane in handcuffs as security officers looked on.

The members of Zoe's Ark were transported to an airstrip in a prison van before taking off.
On Thursday, France asked Chad to hand over the six, who were convicted and sentenced Wednesday. Repatriation requests are allowed under a 1976 judicial accord between the two countries.

France does not have forced labor for convicts and there are hopes that if the six are returned, the French justice system will commute or reduce their sentences.
A Zoe's Ark spokesman said he was reserving reaction until the aid workers actually land back in France.

"Since Wednesday night, they were supposedly coming home at any moment," Christophe Letien told The Associated Press by phone. "It changes from one minute to the next."
"I will react once they are aboard the plane, or even after they land here."

Without confirming that the aid workers would be returned Friday, the office of President Nicolas Sarkozy said he spoke Thursday night by phone with Chadian President Idriss Deby about preparations for their transfer.

In October, Chadian authorities stopped the aid group's convoy with the children, whom the charity was planning to fly to France. The six insisted they were driven by compassion to help orphans in Darfur, which borders Chad. Later investigations showed most of the children had at least one parent or close adult relative.

The case has embarrassed France and sparked protests in Chad, a former French colony.
Aid workers say their already difficult job along Darfur's border has been complicated by the suspicion some Chadians now have toward all foreigners professing to offer help. Days after the Zoe's Ark workers were arrested, the Republic of Congo announced it was suspending all international adoptions because of the events in Chad.

France's role in the region has already come under scrutiny in recent months as the European Union plans to send a military mission to Chad to protect refugees fleeing violence in neighboring Sudan.

The deployment of the approximately 4,300-member force, drawn largely from France, has already been delayed because of the lack of necessary equipment. Last month, a Chadian rebel group declared a "state of war" against French and other foreign armies — an apparent warning to the EU force.
___
Kwa habari zaidi someni:


Umeme bei juu Bongo!


Nauliza hivi, kuna faida gani ya kupandisha mishahara huko bei ya kila kitu kinapanda? Nakumbuka ile formula tuliyofundishwa kwenye kipindi cha Physics: Work Done = Zero!

Walalahoi watazidi kuwa hoi!

**********************************************************************************


Umeme bei juu

2007-12-28


Na Joseph Mwendapole

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), imeliruhusu Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kupandisha bei ya umeme. Kuanzia mwezi Januari mwakani bei ya umeme itaongezeka kwa asilimia 21.7, wakati ile ya kuwaunganishia wateja wapya itaongezeka kwa kati ya asilimia 66 na 215.

Mwezi Agosti mwaka huu, Tanesco iliomba kupandisha bei ya umeme kwa asilimia 40 na asilimia 281 kwa wateja wapya wanaounganishiwa umeme. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Bw. Haruna Masebu, alisema mamlaka hiyo imeona kuwa bila kufanya hivyo Tanesco haiwezi kujiendesha.

Alisema bei ya umeme wa matumizi madogo ya kaya umepanda kutoka Sh. 40 kwa uniti moja hadi kufikia Sh. 49, wakati Tanesco ilipendekeza bei iwe Sh. 56. Alisema kwa matumizi makubwa ya kaya bei imepanda kutoka sh. 128 kwa uniti hadi kufikia Sh. 156. Tanesco yenyewe ilipendekeza Sh. 179. Bw. Masebu alisema matumizi ya kawaida gharama za huduma kwa mwezi zimepanda kutoka Sh. 1,892 hadi kufikia Sh. 2,303.

Alifafanua kuwa kwa wateja wanaotumia msongo mkubwa gharama za huduma kwa mwezi imepanda kutoka Sh. 7,012 na kufikia Sh. 8,534. Kuhusu wateja wapya wanaounganishiwa umeme, alisema wenye matumizi ya kawaida ambao watatumia mita za kawaida (Single Phase) umbali usiozidi mita 30 watalipia Sh. 342,619 badala ya bei iliyopendekezwa na Tanesco ya Sh. 469,393. Alisema watakaounganishiwa umeme kwa kutumia mita za LUKU watalipa Sh. 385,682 tofauti na bei iliyopendekezwa na Tanesco ya Sh. 469,393.

Watejawatakaounganishiwa umeme umbali wa mita 30 umeme mkubwa (Three Phase) kwa kutumia mita za kawaida watalipa Sh. 880,772 na Tanesco ilikuwa imependekeza bei iwe Sh.1,065,735. Bw. Masebu katika kundi hilo, alisema wateja watakaounganishiwa kwa kutumia mita za LUKU watalipa Sh. 772,893. Alisema watakaounganishiwa umeme umbali wa mita 70 Single Phase nguzo moja na mita ya LUKU watalipa Sh. 1,145664. Bei iliyokuwa imependekezwa na TANESCO ni Sh. 1,388,972.

Alisema watakaounganishiwa umbali wa mita 70 Three Phase kwa kutumia mita za LUKU watalipa Sh. 1,799,062 kinyume na Sh. 2,180,188 zilizopendekezwa naTanesco. Mkurugenzi huyo alisema watakaounganishiwa umbali wa mita 120 Single Phase kwa kutumia mita za LUKU watalipa Sh. 1,696,120 na si sh. Sh. 2,054,999 zilizokuwa zinapendekezwa na Tanesco. Alisema wateja wa umbali wa mita 120 Three Phase kwa kutumia mita za LUKU watalipa Sh. 2, 604, 391 na Tanesco ilipendekeza iwe Sh. 3,154, 635.
Alisema walifanya tathmini ya kina kwa kuzingatia maoni ya wadau mbalimbali nchini kabla ya kutoa uamuzi huo. Alisema baada ya kupata maoni ya wananchi na kufanya uchambuzi wa kina, EWURA ilibaini kuwa hoja ya TANESCO ina mantiki na ni halali.

Alisema nyongeza ambayo imeidhinishwa kwa bei ya umeme na gharama za kuwaunganishia wateja wapya italiwezesha shirika hilo kulipa gharama zake za uendeshaji na ukarabati wa miundombinu. Alisema ongezeko la bei ya umeme kwa asilimia 21.7, italiwezesha shirika hilo kupata Sh. bilioni 56, ambazo litazitumia kujiimarisha kiutendaji. Bw. Masebu alisema shirika hilo litafanya utafiti wa kutambua viwango vya upotevu

Thursday, December 27, 2007

Mbwa waua Dar

Nimeandika kuhusu Tiger kuua huko California. Naingia ippmedia.com na kusoma habari ya mbwa kuua mlinzi huko Mbweni, Dar. Mauji yalitokea kwenye mradi ya kufuga kuku wa Idel Chicks.

Kwanza kwa nini wanafuga mbwa wengi hivyo? Je, huyo mbwa wanalishwa vizuri?
Je, ni mbwa wa aina gani? Maana kuna aina ya mbwa kama Rottweiler, German Shepard, Doberman, Pit Bull, ambao ni hatari kwa binadamu kama hawatunzwi vizuri.

Huko Bongo nimesikia watu wakisema kuwa ni vizuri kuwa na mbwa kama mlinzi kuliko binadamu na hata hapa Marekani wanasema hivyo hivyo. Lakini mbwa lazima atunzwe kusudi aweze kukaa na binadamu.

Je, hiyo kampuni iliona ni bora kuwa na mbwa kuliko walinzi binadamu kwa vile ni bei rahisi kuliko kulipa mishahara ya walinzi? Na hao mbwa wengi hivyo wangeshikwa na njaa wangeweza kuvunja mabanda na kula hao kuku!

Hata hivyo ukifuga mbwa wengi wanakuwa na 'pack mentality'. Hiyo ni tabia yao ya asili ya kuwinda pamoja. Ni kama binadamu wakiwa wengi wanapata 'mob mentality' na kufanya maajabu bila kujali matokeo yake, japo kwe muda mfupi.

Mungu ailaze roho ya huyo mlinzi, Muhidin Said, mahali pema peponi. Amin.

****************************************************************

Kutoka ippmedia.com

Mbwa waua mtu Dar

2007-12-27

Na Mwanaidi Swedi, Jijini

Mlinzi aliyefahamika kwa jina la Muhidin Said, anayefanya kazi kwenye shamba kubwa la mradi wa kuku la Idel Chicks, amefariki dunia baada ya kujeruhiwa vibaya na mbwa wanaomsaidia katika kazi yake ya ulinzi.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi, Jamal Rwambow, amesema kuwa tukio hilo limetokea jana majira ya saa 4:30 usiku huko Mbweni, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye shamba la mradi huo linalomilikiwa na Bw. Mohamed Hamduni.

Amesema kuwa mlinzi huyo alikumbwa na mkasa huo wakati anawafungulia mbwa hao wapatao 30. Amesema kuwa wakati anawafungulia, mbwa 15 kati ya hao walimvamia na kuanza kumjeruhi vibaya kabla ya kumuua.

Aidha, amesema kuwa mlinzi huyo ni wa kila siku na aliajiriwa kwa kazi hiyo. Akasema, cha kushangaza, siku hiyo mbwa wale walimbadilikia na kumletea maafa hayo. Amesema mwili wa marehemu huyo umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Mwananyamala.

Tiger Tatiana aua!

Bad Tatiana, Dead Tatiana!


Wazungu wanapenda sana kufuga wanyama pori kwenye maeneo wanayoita 'Zoo' hapa Marekani. Huko San Francisco, California wametengeneza zoo inayofanana na pori ambao wanakaa hao wanyama huko kwao mfano Afrika, India.

Afrika hatuna huyo mnyama, Tiger. Ni aina ya paka mkubwa kama simba. Ana rangi ya orange na mistari meusi.

Sasa juzi siku ya Krismamisi vijana fulani watatu walienda kutembea kwenye Zoo huko San Franciso. Saa ya kufunga hiyo zoo walikuwa bado wanazura huko. Kwa bahati mbaya kijana moja aliuliwa na huyo tiger, Tatiana (pichani), na aliwajeruhu wengine wawili.

Polisi walimwua Tatiana aliyekutwa ameketi karibu na mtu aliyemjurehi. Ajabu kuna wazungu wanalalamika kwa nini polisi walimwua. Wanamlilia huyo Tiger kama vile binadamu kafa.

Watu wanauliza huyo Tiger alitorokaje, maana alivuko 'moat' (maji yanayozunguka eneo) na kuruka ukuta mrefu ambayo wanasema haiwezekani. Hawajui kama mtu alimwachia huru au vipi. Tutajua ilikuaje siku zijazo. Msicheze na mnyama pori mwenye hasira!

Familia ya marehemu Carlos Souza Jr. (17) wanapanga mazishi yake. Bila shaka hiyo Zoo watalipa gharama zote za mazishi na kulipa fidia ya mamilioni ya dola kwa familia yake!

Ajabu mwaka jana huyo huyo Tatiana alikula mkono wa mama moja (Ndiyo, aliula) aliyekuwa anamlisha chakula. Huyo mama alikuwa ni mfanyakazi na alitenda maovu yake mbele ya umati wa watu waliolipa hela kushushudia tiger analishwa chakula.

Mwaka 2003 hapa Boston kuna Sokwe 'Little Joe' aliwahi kutoroka Zoo. Baada ya kupiga watu watatu akiwemo mtoto mdogo mwenye miaka mitatu, alikutwa ameketi kwenye kituo cha basi cha kwenda mjini Boston. (Ni kweli kabisa) Kuna watangazaji wa redio walifukuzwa kazi kwa kumfananisha na mtu mweusi wa ghetto.

Kwa habari zaidi za muaji Tatiana soma:

http://www.sfgate.com/cgi-bin/article.cgi?f=/c/a/2007/12/27/MN39U4TQ5.DTL

http://www.timesonline.co.uk/tol/news/world/us_and_americas/article3098742.ece

http://edition.cnn.com/2007/US/12/27/tiger.attack/?imw=Y&iref=mpstoryemail

Benazir Bhutto ameuwawa!

Waombolezaji wakibeba Jeneza la Benazir Bhutto
(Benazir Bhutto akiongea na wananchi muda mfupi kabla ya kuuliwa)


Jamani, jamani, dunia hii!

Aliyewahi kuwa waziri mkuu was Pakistan na mwanamke shujaa, Benazir Bhutto amekufa leo huko Pakistan baada ya kupigwa risasi kichwani. Aliuliwa tu mara baada ya kutokea kwenye rally kuongea na wafuasi wake.

Habari zinasemakuwa mwanaume mwenye pikipiki alilipua bomu karibu na msafara wake, lake alikufa kwa kupigwa risasi na hawajui zimetokea wapi.



Marehemu Bhutto alikuwa ni mwanamke wa kwanza duniani kuogoza nchi ya kiislam.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. AMIN.

Nilivyosikia habari ya ifo chake nimekumbuka na jinsi walivyomwua aliyekuwa waziri mkuu wa India, Indira Ghandi. Naye alikuwa mwanamke shujaa.

Hii video ilipigwa muda mfupi kabla ya kuuliwa kwake:


http://www.cnn.com/video/#/video/world/2007/12/27/vo.pakistan.aftermath.ap?iref=mpvideosview

************************************************************************

RAWALPINDI, Pakistan (CNN) -- Pakistan's former Prime Minister Benazir Bhutto was assassinated Thursday outside a large gathering of her supporters where a suicide bomber also killed at least 14, doctors and a spokesman for her party said.

Benazir Bhutto greets her supporters at the rally that was hit by a suicide attack.

While Bhutto appeared to have died from bullet wounds, it was not immediately clear if she was shot or if her wounds were caused by bomb shrapnel.


President Pervez Musharraf held an emergency meeting in the hours after the death, according to state media.


Police warned citizens to stay home as they expected rioting to break out in city streets in reaction to the death.


Police sources told CNN the bomber, who was riding a motorcycle, blew himself up near Bhutto's vehicle.


Bhutto was rushed to Rawalpindi General Hospital -- less than two miles from the bombing scene -- where doctors pronounced her dead.


Former Pakistan government spokesman Tariq Azim Khan said while it appeared Bhutto was shot, it was unclear if the bullet wounds to her head and neck were caused by a shooting or if it was shrapnel from the bomb.


Bhutto's husband issued a statement from his home in Dubai saying, "All I can say is we're devastated, it's a total shock."


The number of wounded was not immediately known. However, video of the scene showed ambulances lined up to take many to hospitals.

The attack came just hours after four supporters of former Pakistan Prime Minister Nawaz Sharif died when members of another political party opened fire on them at a rally near the Islamabad airport Thursday, Pakistan police said.


Several other members of Sharif's party were wounded, police said.
Bhutto, who led Paksitan from 1988 to 1990 and was the first female prime minister of any Islamic nation, was participating in the parliamentary election set for January 8, hoping for a third term.


A terror attack targeting her motorcade in Karachi killed 136 people on the day she returned to Pakistan after eight years of self-imposed exile.


CNN's Mohsin Naqvi, who was at the scene of both bombings, said Thursday's blast was not as powerful as that October attack.


Thursday's attacks come less than two weeks after Pakistan President Pervez Musharraf lifted an emergency declaration he said was necessary to secure his country from terrorists.
Bhutto had been critical of what she believed was a lack of effort by Musharraf's government to protect her.


Two weeks after the October assassination attempt, she wrote a commentary for CNN.com in which she questioned why Pakistan investigators refused international offers of help in finding the attackers.


"The sham investigation of the October 19 massacre and the attempt by the ruling party to politically capitalize on this catastrophe are discomforting, but do not suggest any direct involvement by General Pervez Musharraf," Bhutto wrote.

Sunday, December 23, 2007

Heri ya Krismasi!


Nawatakia wote sikukuu njema ya Krismasi! Natumaini itakuwa siku njema kwa wote.

Nami nasafiri kwenda kusherekea sikukuu!


MERRY CHRISTMAS!

Kwa Wanawake Tu!

Hii ni kwa ajili ya wanawake tu! Hapa Marekani tunaseman, Girls Night Out!

Santa does Adonis Cabaret's Girls Night Out

Friday, December 21, 2007

Jamie Lynn Spears ana mimba! Ana miaka 16!


Bila shaka mmesikia habari za huyo binti Jamie Lynn Spears, ambaye ni mdogo wake Britney Spears. Ana mimba na ana miaka 16 tu. Baba wa mtoto Casey Aldridge, ana miaka 19. Anatoka Mississipi. Sehemu zingine hapa USA hiyo ni kosa la jinai kumtia mtoto mimba, na angeitwa sex offender.

Jamie Lyyn sasa anaitwa, kila jina chafu ya kiingereza ambayo unaweza kufahamu ya neno malaya. Kaitwa tramp, whore, ho, slut, skank. Wanasema ni nyege mwasho kama dada yake Britney.

Familia yake wametukanwa kuwa ni wazungu wasio na thamani. Wameitwa Cracker, white trash, trailer trash, bayou swamp trash, washamba, inbred (kuzaana wenyewe kwa wenyewe katika ukoo) doh! Wanasema "The apple doesn't fall far from the tree" ( Yaani tuna la apple haianguki mbali na mti wake). Yaani sikujua kuwa wazungu wanaweza kutukanana hivyo!

Wamekasirika kwa sababu Jamie Lynn Spears ni mdogo wake Britney Spears. Jamie Lynn ana TV show kwenye Nickolodeon inaitwa Zoey 101. Wasichana wanaipenda kweli na wazazi wengi walimwona kama mtu wa kumwiga. KUMBE!

Halafu alikuwa anajifanya ni Mkristo mwema. Mtakatifu hawezi kuvunja amri za Mungu. Yaani awe bikira mpaka siku ya kuolewa. Sasa hiyo mimba inaonyesha watu alikuwa anafanya nini. Inatoboa siri, hakuna cha ubikira hapo.

Na jambo la kuongeza chumvi hapa. Mwezi wa saba gazeti la National Enquirer walitoa stori kuwa huyo binti ana mimba. Nickolodeon walitafuta mawakili na kuandika barua kali kuwa watawa-sue kwa ajili ya kuchafua jina la binti mwema, Mkristo safi kama Jamie Lynn. Sasa inaelekea huenda hiyo habari ya mimba ilikuwa ya kweli na aliitoa.
Sasa watu wanasema kuwa Nickolodeon ni wanafiki maana angekuwa ni msichana mweusi show yake ingesimamishwa mara moja. Lakini wameruhusu iendelee kuonyeshwa.

Mama yao alikuwa anaandika kitabu kuhusu malezi bora. Publishers wa hicho kitabu wamesimamisha mkataba waliokuwa naye maana inaelekea hawezi kumlea mtu.

Karibuni mtoe maoni hapo.

Kwa habari zaidi someni:



Wednesday, December 19, 2007

Scam mpya ya WaNigeria!

Hao waNigeria hawachoki kutapeli watu. Sasa wanasema waliotapeliwa watapewa fidia. Mtu wa kuwasiliana naye yuko Nigeria (Kwenye internet cafe)! Mbaya huyo anjifanya eti ni Kofi Annan! LOH!

*************************************************************************

Attention:

How are you today? Hope all is well with you and
family?,You may not
understand why this mail came to you.
We have been having a meeting for the passed 7 months
which ended 2
days ago with the secretary to the UNITED NATIONS.
This email is to all the people that have been scammed
in any part of
the world, the UNITED NATIONA have agreed to compensate
them with the
sum of US$ 100,000. This includes every foriegn
contractors that may
have not received their contract sum, and people that
have had an
unfinished transaction or international businesses that
failed due to
Government probelms etc.
We found your name in our list and that is why we are
contacting you,
this have been agreed upon and have been signed.
You are advised to contact Mr. Jim Ovia of ZENITH BANK
NIGERIA PLC, as
he is our representative in Nigeria, contact him
immediately for your
Cheque/ International Bank Draft of USD$ 100,000. This
funds are in a
Bank Draft for security purpose ok? so he will send it
to you and you
can clear it in any bank of your choice.
Therefore, you should send him your full Name and
telephone
number/your correct mailing address where you want him
to send the
Draft to you.
Conatct Mr. Jim Ovia immediately for your Cheque:
Person to Contact Mr. Jim Ovia
Email: jimovia125@yahoo.com
Phone: 234 1 8057108623
Thanks and God bless you and your family.Hoping to hear
from you as
soon as you cash your Bank Draft.
Making the world a better place
Regards,
Mr. Kofi Annan
Former Secretary (UNITED NATIONS)

Ghorofa Upanga



Upanga pamebadilika kweli. Picha nilipiga mwezi wa 7, 2007 nikiwa Bongo.

Hii ghorofa (Luxury) iko Upanga karibu na Muhimbili Medical Centre. Niliambiwa kuwa Condo (fleti) zinauzwa mle kwa dola $150,000.

Wapiga Picha wa enzi zile!

agosti, 1985: *mwalimu nyerere akila pozi na paparazi wa enzi hizo. toka shoto juu ni *max madebe (mfanyakazi), *sam mmbando (shihata), *vicent urio (daily news - huyu ndiye kanifundisha kazi), *mzee makwaia (maelezo), mwanakombo jumaa (maelezo) juma dihule (shihata), mzee nanihii (maelezo), adinani mihanji (shihata) na john lukuwi (maelezo)
chini toka shoto: mdau simfahamu, charels kagonji (shihata), boaz mpazi (shihata) moshy kiyungi (maelezo) na raphael hokororo (maelezo). wenye nyota * wote ni marehemu
******************************************************************************

Kabla ya Michuzi. Hao ni baadhi ya wapiga picha maarufu wa Tanzania. Huyo Boaz Mpazi alikuwa ni mchapa kazi kweli kweli na mwenye moyo wa kazi.

Mzee John Makwaia alipiga portrait kadhaa 'official' za Mwalimu. Pia alikuwa mwalimu wangu wa Photography nikiwa nasoma TSJ. Kwa bahati mbaya aligongwa na gari Morogoro Road maeneo ya Magomeni 1989. Alikufa papo hapo. Tulikosa mwalimu mzuri sana.

Vincent Urio alikuwa mpiga picha mkuu wa Daily News kwa miaka mingi. Alienda kwenye vita vya Kagera. Wengine walioenda kwenye vita ni Juma Dihule na Ben Kiko. Alivyorudi alikuwa analalamika kichwa kinamwuma na alishindwa kufanya kazi vizuri. Alistaafu na aliaaga dunia si muda mrefu baada ya kustaafu. Mzee Urio anaigiza kama Baba Mariamu katika sinema, Arusi ya Mariamu.


Monday, December 17, 2007

Mbunge Mwingine aaga Dunia!


Mwaka huu wa 2007 umekuwa mbaya kwa Bunge. Leo nimepokea kwa masikitiko habari ya kifo cha Mbunge wa Kiteto, Mheshimiwa Benedict Kiroya Losurutia.

Habari kutoka ippmedia.com zinasema kuwa: Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa na ofisi ya Bunge, marehemu Lusurutia amefariki jana katika Hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa baada ya kusumbuliwa na maradhi ya figo, kisukari na shinikizo la damu.

WaBunge wengine waliopoteza maisha mwaka huu ni Bw. Juma Akukweti (Jimbo la Tunduru), Amina Chifupa (Viti Maalum - CCM) na Mhe. Salome Mbatia, aliyekuwa pia akishikilia nafasi ya kuwa Naibu Waziri wa Wanawake, Jinsia na Watoto.

Mtangazaji Maarufu Akamatwa polisi!


Alycia Lane (35), ni mtangazaji maarufu wa Philadelphia, CBS, Channel 3. Pamoja na urembo wake ni mkorofi. Amekamtwa na polisi mjini New York kwa madai kuwa alimpiga ngumi usoni polisi wa kike na kumwita msenge.
Chanzo cha ugomvi ni hivi, alikuwa kwenye teksi na rafiki yake wa kiume walikuwa nyuma ya gari ya polisi isiyoandikwa. Hiyo gari ya polisi ulikuwa unaenda pole pole na hasiri ziliwapanda waliokuwa ndani ya teksi.

Leo mahakamani Bi Lane alikana mashitaka.
Huyo dada ni mkorofi kweli kweli. Mwezi Mei, alituma picha za yeye akiwa amevaa bikini kwa mtangazaji Rich Eisen, wa NFL network. Eisen kaoa. Mke wa Eisen aliziona na kamtumia Lane ujumbe mkali na kuwaibisha. Lane alisema kuwa alizituma kwa huyo bwana kama utani.
Huyo Bi Lane anaweza kufukuzwa kazi kwa vile CBS watasema anachafua jina lao na anakosa la jinai. Ikitokea msiwe na wasiwasi maana atapata donge nono. Ataenda kwenye Talk Shows kama Geraldo, na Jerry Springer. Pia msishangae ukiona wanatengeza sinema juu ya Ukoforofi wake, au anakubali kupiga picha kwenye gazeti la wanaume, Playboy kwa dola milioni moja. Watu wanadai watakatifu lakini wanapenda mambo kama hayo.

Kwa habari zaidi soma:

Saturday, December 15, 2007

Ndo maana tunaumia!


ENGLISH TRANSLATION:
Canada: Honourable one, this is our Contract to mine minerals in your country....but I made it very long. Will you read it?
Tanzanian: No need. Lend me your pen.

Arudi Tanzania baada ya miaka Mingi


Mtanzania mwenye asili ya kihindi, Jules Damji, alienda Tanzania kutembea hivi karibuni baada ya kukaa nje muda mrefu yaani zaidi ya miaka ishirini.

Ndugu Damji, ni mtunzi wa kitabu maarufu, Oyster Bay Stories, kinachoelezea maisha ya wahindi mjini Dar es Salaam.

Tembeleeni blogu aliyoandika kuhusu safari yake hapa:



Pia ameandika maoni mazuri kuhusu watu kama Bibi Titi Mohamed na Mwalimu Nyerere.

Mambo yajirudia baada ya miaka 100!



Je, kuna uhusiano gani kati ya marais wa Marekani, Abraham Lincoln na Jack Kennedy? Kwanza wote waliuliwa wakiwa rais.

Zaidi ya hiyo kuna maajabu pia.

- Aliyemwua rais Lincoln, John Wilkes Booth alizaliwa 1839. Aliyemwua rais Kennedy, Lee Harvey Oswald, alizaliwa 1939.


- Aliyekuwa rais baada ya kifo cha rais Lincoln ni Andrew Johnson. Alizaliwa 1808. Aliyekuwa rais baada ya kifo cha rais Kennedy ni Lyndon Johnson. Alizaliwa 1908.

- Aliyekuwa karani wa rais Lincloln alikuwa anaitwa Kennedy. Aliyekuwa karani wa rais Kennedy alikuwa anaitwa Evelyn Lincoln.

- Rais Lincoln alichaguliwa kuwa rais 1860. Rais Kennedy alichaguliwa 1960.

- Wote wawili walisoma sheria, waliweza kuandika vizuri, walikuwa na matatizo ya macho na magonjwa ya kurithi. Wote walikuwa wanajeshi. Wote walipigwa risasi kichwani siku ya Ijumaa.
- Wote walikuwa hawaogopi kifo na pia walikuwa hawapendi mabodigadi. Inadaiwa Rais Lincoln alisema, kama mtu atataka kuniua sitaweza kumzuia." Na rais Kennedy alisema, "Kama mtu atataka kunipiga risasi kutoak dirishani sitaweza kumzuia."

- Rais Kennedy aliuliuwa akiwa ndani ya gari iliyotengenezwa na kampuni ya Ford. Rais Lincoln aliuliwa akiwa anatazama mchezo wa kuigiza ndani ya Ford Theatre.

Friday, December 14, 2007

Ameolewa na wanaume kumi kwa wakati moja!

Mwenye waume 10 Eunice Lopez

Si ajabu kusikia mwanaume ameoa wake wengi. Lakini ni ajabu kusikia kuwa mwanamke ameolewa na wanaume wengi! Sasa huyo mama wa huko Miami, Florida katia fola!


Eunice Lopez (26) ameolewa na wanaume 10! Ni ndoa za makaratasi hizi! Lazima. Unamjua mwanaume gani ambaye atavumilia kuwa na mume mwenza?

Majina ya ndoa zake na waume wake yako chini. Lazima kuna njama na ofisi ya County Clerk kule. Maana huwa wana kuwa sharp kujua kama mtu kafunga ndoa na hakuna divorce.


*********************************************************************************

Woman Married To 10 Men At Same Time
26-Year-Old Accused Of Being Bigamist

December 14, 2007

MIAMI -- A 26-year-old Miami woman was married to 10 men at the same time, prosecutors allege, in a marriage-for-pay scheme to enable the men to remain in the United States.
Eunice Lopez was charged with nine counts of bigamy Wednesday.

The charges say she married the men between 2002 and 2006 without divorcing any of them. In one case, she married two men in the same month.

On June 22, 2002 Lopez married Mauricio Carlo Matos as evidenced by a Certificate of Marriage filed with the Miami-Dade County Clerk of the Court on June 27, 2002.

On Aug. 11, 2003, while still married to Natos, Lopez married Jose L. Ramos. A Certificate of Marriage was filed with the clerk of the court on Aug. 19, 2003.

On March 5, 2005, while still married to Natos and Ramos, Lopez married Antonio Roberto Cordeiro. A certificate of marriage was filed with the clerk of the court on March 15, 2005.

On Nov. 5, 2005, Lopez married Humberto Navarro Suarez. A certificate of marriage was filed on Nov. 8, 2005. Lopez was still married to Natos, Ramos and Cordeiro.

Just 12 days after her marriage to Suarez, Lopez married Leandro Abelha on Nov. 17, 2005. The same day a marriage certificate was filed with the clerk of the court.

On Jan. 6, 2006, Lopez married Euclides Yepes Ceballos. There were still no divorce proceedings on file for Lopez with the clerk of the court, but a marriage certificate was issued on Jan. 9, 2006.

On May 11, 2006, Lopez married Martin Errazola Alvarez. The same day a marriage certificate was filed with the clerk of the court.

On June 2, 2006, Marco Antonio Serrano and Lopez were married. Again, on the same day, a certificate of marriage was filed with the clerk of the court.

On July 24, 2006, Diego M. Hernandez-Figueroa and Lopez were married and the same day a certificate of marriage was filed with the clerk of the court.

On Nov. 21, 2006, Lopez married Fernando Jose Urroz Leguisamo. A certificate of marriage was filed with the clerk of the court the same day.

She was held at the Women's Detention Center on $75,000 bond, but posted bond Friday morning, according to the state attorney's office.

The investigation is continuing.

Thursday, December 13, 2007

Amwua mke wake baada ya kuambiwa ana UKIMWI!


DOH! Hii habari insikitisha. Huyo Mmarekani mweusi alimwua mke wake kwa kumpiga vibaya! Mke wake alienda hospitalini kakutwa ana UKIMWI. Karudi nyumbani na kumwambia mume wake na kumwomba apime. Ndo ugomvi ulianza. Maiti ya Velveena Baskin(38) ilikutwa nusu uchi chumbani kwake East Boston. Alimwua mwaka jana, lakini kesi ndo kwanza inaanza kusikilizwa.
Sasa huyo mume katili Whitney Baskin (46) alidai mahakamani jana kuwa alichanganikiwa na kukasirishwa sana na hiyo habari ndo maana kamwua mke wake.

Kukasirika ni kisingizio cha kuua?

Kwa habari zaidi soma:


Wednesday, December 12, 2007

Aftershock Beyond the Civil War




**********************************************************************************

Jamani msishangae sana. Huu ni mguu wangu! Na bado niko hai. Nilikuwa naigiza katika sinema ya 'Aftershock:Beyond the Civil War' kama Field Hand. Hao field Hands walikuwa ni watumwa walioachiwa huru lakini bado walikuwa wanaishi katika hali ya kitumwa baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe (Civil War) 1865. Wakati wa filiming tulikuwa peku kwenye matope! Sinema ilipigwa mwezi wa sita na wa saba hapa Massachusetts.

Hiyo make-up ya damu feki ilipakwa kwenye mguu baada ya kulala chini! Nakumbuka Director David Padrusch anamwambia make-up lady, ongeza, ongeza damu haitoshi! Ai! Walinipaka mwili mzima. Niliona kinyaa maana hiyo damu feki inaonekana kama damu kweli. Na usoni pia nilipakwa madamu na majeraha, ilikuwa tuonekana kama tumepigwa risasi nyingi. Ni kwamba weusi wengi waliuliwa na wazungu wenye hasira baada ya hiyo vita

Nani Anakumbuka


Nani anakumbuka sinema za:

Muhogo Mchungu (Mzee Rashid Mfaume Kawawa)

Fimbo ya Mnyonge

YombaYomba


Je, hizi sinema zinapatikana kweli? Kanda ziko wapi maana ni sinema muhimu kwa nchi yetu. Zisipotee.

Nani anakumbuka walioigiza ni akina nani na zilihusu nini?

Hiyo ya Muhogo Mchungu ulifichwa enzi za Mwalimu kwa vile Mzee Kawawa aliigiza kama mwizi.

Asante kwa Mafuta Hugo Chavez!


Hapa Marekani kuna misimu minne. Msimu wa winter ndo kuna kuwa na baridi hasa. Ubaridi hasa ni Desemba hadi Machi kwa hapa New England. Nje mara nyingi kuna kuwa na theluji na barafu na uaweza usiyeyuke mpaka Aprili au Mei!

Kwa waliofikia nchi zenye winter wanaelewa ukali wa winter. Ngozi inapauka, pua inatoka makamasi kama uko nje kwenye baridi, mikono na uso unaganda shauri ya baridi. Kama huna gloves, kofia, scarf na nguo nzito utakoma! Kama huna sehemu ya kukaa enye joto utakufa! lazima uwe na mablanketi mengi pia. Ndo maana wanawake wengi wanapata mimba wakati wa winter.

Hapa New England kuna watu wanaonunua mafuta kwa ajili ya kupasha nyumba zao joto. Wengine wanatumia gesi, na kuna wengine wachache wanatumia kuni. Jirani yangu anatumia kuni kwa vile baili, huo moshi ni balaa! Zamani kabla ya gesi na mafuata watu walikuwa wanapasha nyumba zao na kuni.

Kama mnavyojua bei ya mafuta umepanda bei sana. Hao wanaotumia mafuta ndo wameumia kabisa maana mafuta (home heating oil) ndo umekuwa ghali kuliko hata gesi. Amini usiamini zamani mafuta ndo yalikuwa bei rahisi kuliko gesi.

Hali ilivyokuwa mbaya, kuna watu wanaoshindwa kupasha joto nyumba zao kwa sababu hawana hela ya kununua hayo mafuta. Hapa kazini kwangu nimesikia wazungu wakisema kuwa wamekaa hadi dakika ya mwisho yaani baridi uingie ndo wanunue. Wanasema wamekaa kwao na masweater. Au wanashinda sehemu zingine kama makazini, au dukani haalfu wanaenda nyumbani kulala tu.

Sasa kuna jamaa aliyewahi kuwa mbunge, Joseph P. Kennedy. Ni mpwa wa aliyekuwa rais wa Marekani John F. Kennedy (aliuliwa 1963). Baba yake ni marehemu Robert F. Kennedy aliyeuliwa mwaka 1968 akigombea urais. Huyo Joseph ana moyo wa uKennedy wa kutaka kusaidia watu.

Ana kampuni yake, Citizens Energy, inayosaidia watu maskini na wenye uwezo mdogo wa kununua mafuta. Pia hata kama mtu ana uwezo lakini kapata matatizo na anashindwa kununua kwa bei ya soko, anawauzia mafuta kwa bei nafuu.

Sasa sikiliza kuhusu uchu wa ubepari. Joseph P. Kennedy aliwaomba makumpuni yote ya mafuta ya Marekani wamsaidie mafuta japo kwa bei nafuu. Wote walikataa. Ni hiyo Citgo, ya Venezuela ndo ilijibu! Rais wa Venezuela, Hugo Chavez, anayefuata siasa ya Ujamaa, ndiye alimjibu kwa mara nyingine tena na kutoa mafuta kusaidia watu maskini wa New England. Chavez na Bush hawapendani kabisa wanatukanana kila siku. Chavez aliwahi kusema mbele ya Umoja wa Mataifa kuwa Bush ni shetani.

Ni aibu kuwa hizo kampuni za mafuta zinapata faida ya mabilioni ya dola lakini wanashindwa kutoa hata tone moja ya mafuta. Ikiwemo hiyo kampuni ya ukoo wa Bush Exxon! UCHU tupu!

Na huyo Bush aliahidi kuwa akichaguliwa kuwa rais basi bei ya mafuta utashuka, mpaka umepanda mara mbili ya bei ilivyokuwa enzi za Clinton!

Asante Hugo Chavez na wananchi wa Venezuela kwa kusaidia maskini wa nchi tajiri kama Marekani. Asante kwa kuonyesha dunia uchu na roho mbaya ya ukoo wa Bush!

Asante kwa kuokoa maisha ya watu ambao wangekufa kwa kuganda na baridi mwaka huu.


************************************************************************************

Citizens Energy accepts $25m of oil from Venezuela

December 11, 2007

BRAINTREE - He may have been named for a former ambassador to the king of England. And he may have been sitting in front of Venezuelan President Hugo Chávez's American ambassador.
But as the charity run by Joseph P. Kennedy II formally received a third annual donation of heating oil yesterday from Venezuelan-owned Citgo Petroleum Corp., Kennedy was talking the language of dockworkers, not diplomats.

"Our government gets their panties in a knot much more than most Americans do about Hugo Chávez," said Kennedy, founder of Citizens Energy, seeking to defuse possible criticism about taking $25 million of heating oil from Venezuela's state-controlled petroleum monopoly. No other oil company Kennedy solicited was willing to make the donation, he said.

"I know there's a lot of controversy about the fact that this oil ultimately comes from Citgo, from Venezuela and, yes, from Hugo Chávez. I'll never be in the tank to Hugo Chávez, but I'll tell you I wish we had a little more leadership in this country that has a concern for the poor and the disenfranchised as we do in other parts of the world," said Kennedy, a former congressman and grandson of the late ambassador Joseph P. Kennedy, patriarch of the political clan that produced a president, senators, and representatives.

As several dozen Citgo employees, local dignitaries, and Citizens Energy supporters shivered under a white tent set up dockside at Citgo's Washington Street terminal, Kennedy served as a highly-caffeinated master of ceremonies, blasting oil companies for reaping huge profits and even - to the delight of the cheering crowd - mangling two paragraphs of "muchas gracias por todos"-level Spanish.

Chávez has become infamous for frequent speeches denouncing the United States and President Bush, and for blasting the injustices of capitalism abroad while people in his socialist nation suffer periodic shortages of milk, eggs, and rice. A Chávez rant at a summit of Spanish-speaking nations in Chile last month prompted Spain's King Juan Carlos I to blurt: "Why don't you shut up?!"

But Chávez let his reputation as an authoritarian strongman slip a bit earlier this month when Venezuelans voted 51 percent to 49 percent against constitutional changes that would let Chávez run for reelection indefinitely after his term expires in 2013. Chávez vowed to accept the results.

Citgo, a wholly owned subsidiary of Petroleos de Venezuela SA, this month is committing to deliver 8.5 million gallons of home heating oil to 33,000 poor Massachusetts households and 60 homeless shelters, through Citizens Energy's hotline. The local donation will be part of a 23-state, 112-million-gallon contribution.

"I believe this is the biggest social program any oil company ever has done in this country," Citgo chief executive Alejandro Granado said during the ceremony after riding in from Boston Harbor on the tanker ship delivering some of the oil. "Many people say we are doing politics, but life is politics. We are helping people. We are going to make sure that less people go to bed cold this winter."

US Representative William Delahunt, a Quincy Democrat, said he was grateful to Citgo for "an extraordinary example of people-to-people humanitarianism."

"It's time that other oil companies stood up and replicated the example of Citgo," Delahunt said. He added that he planned to soon convene other members of Congress to travel to state-owned oil companies in Kuwait, Mexico, and Saudi Arabia asking them to make similar donations to help poor Americans pay heating bills.

Monday, December 10, 2007

Mahujaji wakwama Dar!


Mama Kikwete akiongea na kuwafariji baadhi ya mahujaji waliokwama uwanja wa ndege mjini Dar es Salaam

Navyofahamu ni wajibu wa kila mwislamu kwenda Mecca kuhiji japo mara moja maishani mwake. Na pia nakumbuka kuona waislamu wakijiandaa kwenda kuhiji kila mwaka. Mahujaji wanaorudi wanaitwa Al-Haj na Al-Hajjat.

Nimesikitika sana kuona kuwa mwaka huu ni Air Tanzania ndo imeangusha mahujaji zaidi ya 300 waliokuwa wamejiandaa kwenda Mecca. Picha nilizoona za mahujaji waliokwama uwanja wa ndege Dar zaidi ya wiki moja zinasikitisha. Nakubaliana kabisa kuwa hao mahujaji wapewe fidia.

Kama ATC walikuwa hawana ndege si ni wajibu wao kukodi ndege kutoka shirika lingine la kuwasafirisha?

********************************************************************************


ATC aibu!


2007-12-10

Shirika la Ndege nchini, ATC limelaumiwa kwa kufanya kitendo cha aibu ya mwaka kwa kuwasotesha kwa wiki nzima mahujaji zaidi ya 300 ambao wameshakamilisha taratibu zote za safari. Aidha, Shirika hilo limetakiwa kuwalipa fidia mahujaji hao kutokana na gharama walizoingia mara kadhaa wakati wakifika uwanjani hapo ili wasafiri, na kisha kuishiwa kupewa kauli za ‘njooni kesho, rudini kesho kutwa.

Aliyetoa kauli hiyo ya kulaani kitendo cha ATC na kukiita kuwa ni cha aibu ni Kiongozi wa Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda. Ni aibu na fedheha... Serikali inapaswa kuwajibika kwa sababu, kama ndege iliyotegemewa imeharibika, ni yenyewe ndiyo inayopaswa kuingilia kati na kuokoa adha wanayoipata waisilam hawa ambao wameshalipia kila kitu, akasema Sheikh Ponda.

Kama si Serikali kuingilia, nani sasa atakayewezesha mahujaji hawa kulipia gharama kubwa walizoingia kwa kukaa jijini zaidi ya wiki sasa, wakiishia kila siku kusoteshwa Airport kwa kuahidiwa safari?

Ni vyema gharama hizi zikafidiwa na wahusika wanaotoa taarifa zisizokuwa na ukweli, tena zaidi ya mara moja, wawajibishwe, akaongeza Sheikh Ponda. Aidha, katika orodha ya mahujaji waliosoteshwa zaidi ya wiki moja sasa pale katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, inaelezwa yumo baba mkwe wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Jakaya Kikwete na mashemeji zake kadhaa.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, ni kwamba, kama walivyo mahujaji wengine, ba`mkwe huyo mzaa chema wa Rais Kikwete aitwaye Mzee Rashid Yusuph Mkwachu, ametaabika mno na njoo kesho ya ATC. Pia waliokumbwa na adha hiyo inayodaiwa kusababishwa na ubovu wa ndege iliyotegemewa kusafirisha mahujaji hao huku zikitolewa ahadi hewa za kila mara ni shemejie Rais Kikwete aitwaye Mwanakombo Bakari na ndugu wengine ambao ni Hassan Mohamed na Jamillah Omar.

Imedaiwa kuwa mahujaji hao walikuwa wasafirishwe wiki iliyopita na ATC, lakini wakaishia kurudishwa na kuahidiwa kila mara kuwa watasafirishwa, lakini bila ya mafanikio. Jana usiku, imeelezwa na Sheikh Ponda kuwa taarifa walizopelekewa na Mwenyekiti wa Bodi ya ATC ni kwamba sasa, safari hiyo iliyoahirishwa tena jana, itakuwa leo jioni.

Saturday, December 08, 2007

Warembo wa Afrika 1967

Hao ni warembo wa Afrika, wa mwaka 1967. Hapa wanapiga posi kwenye hoteli huko London tarehe 10, Novemba 1967 kabla ya mashindano ya Miss World.

Kutoka kushoto ni Miss Tanzania (Teresa Shayo), Miss Uganda (Rosemary Salmon), Miss Nigeria (Rosalind Balogun) na Miss Ghana (Araba Vroon). Mamiss weusi wengine kutoka Afrika walikuwa Miss Kenya (Zipporah Mbugua), na Miss Gambia (Janie Jack).

Kuona wote walioshiriki bonyeza hapa: http://www.geocities.com/komw3/MW1967Delegates.html

Picha ilipigwa na Leonard Burt.

Eti Cobra wakubwa kuliko wote wako Kenya!


Mimi nabishana na hao wataalamu. Hao nyoka aina ya cobra (wanaotema mate) wakubwa wako Tanzania, huko Tabora! Wamefika kuchunguza nyoka huko? Wanasema kuwa huko Kenya wamemkuta cobra mkubwa futi tisa na mwenye sumu ya kuua watu 15. Naona hawajachunguza vya kutosha.

Huko Igalula, niliwahi kuwmona cobra mwenye futi ishirini! Huyo wa Kenya ni mdogo ana futi tisa tu! Nakumbuka treni (Central Line) ilikuwa inapita, kwa hasira yule nyoka alismama na kuanza kutemea treni mate! Abiria wa treni tuliyomwona tulipiga mayowe ya mshangao. Alivyosimama ilikuwa balaa maana alikuwa mrefu kweli kweli! Giant hasa.

Nyie wataalamu wa nyoka fikeni Tanzania, halafu ndo mtoe suggestions zenu! Tena pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wamejaa kila aina. I assure you that in Tanzania we have even bigger snakes!

Ila sidhani kama waTanzania watakubali hiyo hoja ya kuokoa nyoka. Tulifundishwa, ukiona nyoka mwue au atakua wewe!


*********************************************************************************

Record-size spitting cobra found in Kenya

NAIROBI (Reuters) - A new species of giant spitting cobra, measuring nearly nine feet and possessing enough venom to kill at least 15 people, has been discovered in Kenya, a conservation group said on Friday.

WildlifeDirect said the cobras were the world's largest and had been identified as unique. The species has been named Naja Ashei after James Ashe, who founded Bio-Ken snake farm on Kenya's tropical coast where the gigantic serpents are found.

"A new species of giant spitting cobra is exciting and reinforces the obvious -- that there have to be many other unreported species but hundreds are being lost as their habitats disappear under the continued mismanagement of our planet," said the group's chairman, Kenyan environmentalist Richard Leakey.

Ashe, now deceased, was the first to catch a larger-than-normal spitting cobra in the 1960s and suggest it belonged to a different species.

Bio-Ken director Royjan Taylor said the recognition of the new species was an opportunity to raise awareness about snake conservation as well as find remedies for the powerful bite.

"Naja Ashei is responsible for a very serious snake bite," he told Reuters by telephone from the farm. "People don't care about saving snakes. They talk of saving dolphins or cats, but never snakes!"

The conservationists' excitement has drawn scientific endorsement from a British-based biologist.

Research published by Wolfgang Wuster, of the University of Wales, said a field visit confirmed the Naja Ashei is a new species. "The new species is diagnosable from all other African spitting cobras by the possession of a unique DNA," he wrote in a review in July.

Friday, December 07, 2007

Prof. Pius Yanda wa UDSM apata Nobel Prize

Prof. Pius Yanda wa UDSM


Asante mdau Vicensia Shule, kwa kunidokeza hii habari muhimu. Maana kelele zimepigwa sana kuhusu akina Al Gore.

Vicensia anasema: " Naomba mnisaidie kuwapa taarifa waTz wenzetu kuwa mshindi mwenza wa tuzo ya Amani ya Nobel mwaka huu ametoka Tanzania na anaitwa Prof. Pius Yanda wa chuo kikuu cha Dre es Salaam. Hii nondo ni kubwa ila imepita kimya kimya sana jamani. US AlGore amekaribishwa ikulu kwa Bush, tunakumbuka mapokezi wa Prof. Wangare Mathaai Kenya. Tanzania tunawaza nini jamani? Huyu rais wetu vipi uwiii, na huyu waziri Prof.Msolla wala sijamsikia, nimesikitika sana.Huyu si Bongo Celebrity pia? Ni wazo tu"

Nakubaliana naye maana huko Tanzania, kelele zimepigwa sana kuhusu ushindi wa Richard (Big Brother) na Richa (Miss Tanzania) lakini hii habari inaelekea kupita kimya kimya. Je, atafanyiwa party kubwa kubwa za kumpongeza na kumtambua ndani ya Tanzania? Hizi ndo ushindi zinazotoa heshima kwa nchi yetu Tanzania.

********************************************************************
UDSM don becomes a joint recipient of Nobel Peace Prize

from ippmedia.com

2007-12-01

The University of Dar es Salaam has announced that one of its dons, Prof Pius Yanda, was among co-authors who on October 12 this year jointly received the prestigious Nobel Peace Prize. In a statement released in Dar es Salaam on Thursday, the university's public relations office said Yanda was a joint recipient of the world`s top prize with former US vice-president Al Gore for co-authoring the Inter-Government Panel for Climate Change (IPCC) report.

Yanda, according to the statement, is a professor of Physical Geography specialising in natural resources management and environment and is currently engaged in a research project that provides high resolution information on predicted future climate change and associated impact on natural and social systems in various parts of Tanzania.

The project is conducted in collaboration with Michigan State University of the US and the Livestock Research Institute of Nairobi. However, in the IPCC report, the statement said, Prof Yanda participated in the project, entitled `Climate Change Impacts, Adaptation and Vulnerability,` with specific focus on Africa.

Findings presented in the report include that of vulnerability of Africa to climate change and climate variability, a situation aggravated by the interaction of multiple stresses occurring at various levels and law adaptive capacity, noted the statement.

Another finding states that climate change could result in low-lying lands being inundated, with resultant impacts on coastal settlements. The report also notes that human health, already compromised by a range of factors, could further be impacted by climate change and climate vulnerability.

Askari


"Askari eh, vitani yeee mamaaa! "
Mjerumani alipenda sana kupiga posi na askari wao huko Bagamoyo!

Vigogo wakatiwa maji

Kama umekaa Dar lazima umekumbwa na tatizo la kukosa maji. Unaweza kusikia eneo fulani umekosa maji kwa karibu wiki! Siku hizi biashara ya kuuza maji, na matenki ya maji umekuwa kubwa kweli kweli. Hiyo ni kwa vile maji ya bomba hayamiki usafi wake, na pia hakuna uhakika kuwa kutakuwa na maji kwenye mabomba.

Sijui wanaweza kufanya nini mjini Dar kupata suluhisho ya kudumu ya tatizo la maji. Ujenzi holela una maana mabomba ya maji yameunganishwa ovyo. Kama mtu una bahasha ya kutosha utapata maji. Wengine wanaofuata sheria za kupata huduma ya maji hawapatiwi. Na wengine hawapati bili kabisa wengine wanapata bili kubwa aajabu.

Jana, DAWASCO, ilikata huduma ya maji kwenye nyumba za baadhi ya mawaziri na manaibu wao kwa vile walikuwa na bili za muda mrefu ambazo hazijalipwa. Nawapongeza kwa hatua hiyo. Natumaini hizo bili zitalipwa sasa. Serikali watunge sheria kuwachukulia hatua kali watu wanaozuia wasoma mita kufanya kazi yao. Kama hutaki mtu asome mita basi usiwe na huduma ya maji!

Tatizo siyo hao vigogo tu, kuna tatizo kubwa zaidi. Maji mengi yanapotea kutoka 'source' (chanzo) mpaka yanafika kwa mteja. Watu wametoboa mabomba makusudi kuiba maji. Mabomba mengine yanavuja. Je, DAWASCO inajua kila sehemu mambomba yametobolewa?Hakuna usimamizi mzuri wa kukagua watu wanaojenga juu ya mabomba makubwa. Mtu anachimba choo na kinatoboa bomba la maji, hajali, uko uchafu unaingia kwenye 'maji safi'!

Lazima serikali iingilie swala ya maji. Swala huu inazidi kuwa sugu miaka inavyozidi kwenda.

Enzi za Ujamaa, Mwalimu aliahidi kila mTanzania atakuwa na maji safi karibu. Bado kabisa!

************************************************************************

Mawaziri wakatiwa maji
2007-12-07

Shirika la Maji safi na Maji taka Dar es Salaam (DAWASCO), jana lilifanya kweli kwa kuwakatia maji baadhi ya Mawaziri na Naibu wao kadhaa wanaoishi maeneo ya Masaki na Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam kutokana na malimbikizo makubwa ya bili zao. hatua hiyo ilikuja baada ya mwanzoni mwa wiki, DAWASCO kueleza bayana azma yake ya kuwakatia maji vigogo hao kwa maelezo kuwa madeni yao ni ya muda mrefu.

Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa, hadi kufikia jana, Mawaziri na Naibu wao kadhaa, tayari walikuwa wamekatiwa huduma hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara ya kutembelea vituo mbalimbali vya DAWASCO jijini jana, Meneja Uhusiano wa mamlaka hiyo, Bi. Badra Masoud, alisema huduma ya maji ilikatwa eneo la Masaki asubuhi na zoezi la kukata maji eneo la Mbezi Beach, lilikuwa likielekea kukamilika.

Alisema zoezi hilo pia litaendelea katika maeneo ya Msasani, Mikocheni, Ada Estate, Mikocheni na Mwenge. Alisema baada ya ziara hiyo, amegundua kwamba wananchi wengi wamejitokeza kulipia ankara zao, ili kuepuka usumbufu na adha ya kukatiwa maji. Hata hivyo, Bi. Badra alisema bado kiwango cha ukusanyaji wa madeni hakiridhishi, hivyo hawatasitisha zoezi hilo. Alisema wamebaini kwamba watu ambao hawalipi bili ya maji wengi wao ni wale wenye uwezo na vipato vikubwa, na hatua yao ya kutolipa inatokana na kupuuza wajibu wao.
Bi.
Badra alisema visingizio vya kusema mimi sijapata ankara ya mwezi huu au ule, havitasikilizwa na wala havisaidii. Alisema imekuwa tabia ya wateja wakishakatiwa huduma hiyo, hutoa visingizio kama “Unajua mimi ni mtu wa kusafirisafiri sana au silipi kwa vile sijapatiwa ankra” Bi. Badra alisema suala la kusafiri na kukosa nafasi ya kulipa bili haliingii akilini kwa vile DAWASCO inaendelea kuwapatia huduma. Pia alisema si kweli kwamba kuna mteja ambaye hapelekewi ankara.

Katika kituo cha Kawe, ambacho kinawahudumia watu wa maeneo ya Mbezi, wafanyakazi walimlalamikia Bi. Badra kwamba wanapata adha kubwa, za kutukanwa, kukimbizwa na Mbwa na kutishiwa maisha, wanapokwenda kusoma mita.
Mmoja wa wafanyakazi hao, alimweleza Meneja huyo kwamba kuna siku aliwekwa `rumande` ndani ya chumba cha mkaa cha kigogo mmoja huko Mbezi beach, baada ya kuonekana akisoma mita ya maji.

Mfanyakazi mwingine alisema Sisi wafanyakazi wa Dawasco wanatuona nuksi kiasi cha kufukuzwa na walinzi tunapofika kusoma mita, yote hayo yanatokana na ukweli kwamba watu hawataki kulipa bili. Akihitimisha ziara hiyo katika Kituo cha kinondoni, Bi. Badra aliwataka wateja wa DAWASCO, waelewe kwamba mamlaka hiyo inatumia gharama kubwa kuwapatia huduma ya maji hivyo wajenge moyo wa kulipa, ili kurahizisha kazi ya kuwapatia watu wengi zaidi huduma hiyo muhimu.