Friday, June 29, 2012

Ogopa Magari enye Madirisha Tinted!

Nimepata kwa email, lakini hii kali!  Mambo ya ushirikina yataisha lini!!!!


*************************************************************

Dear Friends:

Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki iliyopita. Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea viwanja vya biafra.

Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja. Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu. Tulijaribu kuipiga iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, ma baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa zake.

Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo. Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata.

Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku.

Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona ndugu yao akichelewa kiasi hicho.

Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada ya muda hospitali ya mwananyamala. Alipopata nguvu alianza kuwasimulia nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili
yaani yeye na mama mmoja. Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na driver. Gari hiyo hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu
moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi pia ana miaka 32.

Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita biafra na hawana mpango wa kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu.

Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi. Kilichomwamsha ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga.

Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na walikuwa wamevaa gloves.

Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu kingine. Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali wanachokitumia, na walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu wa miaka 40 na kuendelea.

Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila waliendelea kumkung'uta kwa hasira. Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya sayansi.

Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote, siku iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea vizurr. Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia
abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata vyeo na utajiri wa haraka.

Miss Utalii Blog



Tunawatambulisha Kwenu Blog maalum ya Miss Utalii Tanzania/Miss tourism Organisation.


Miss Utalii Tanzania, tofauti na mashndano mengine ya urembo, ni zaidi ya shindano la urembo, kwani linalenga katika kutangaza na kuhamasisha Utalii,Utamaduni, Mianya ya Uwekezaji,Elimu,Afya ya Jamii,Utalii wa ndani,Utalii wa kitamaduni,Utalii wa Michezo na Utalii wa Mikitano Kitaifa na kimataifa. Shindano hili pia linahamasisha vita dhidi ya Umasikini,Iharibifu wa mazingira,uwindaji haramu,Uvuvi Haramu,Ujinga,Maradhi, Tamaduni kongwe na Potofu. Miss Utalii Tanzania pamoja na uchanga wake, tangu kuanzishwa kwake mwaka 2005, ni shindano lenye mafanikio makubwa kuliko shindano jingine lolote nchini kitaifa na kimataifa kwani pamoja na kuipa heshima Tanzania ya kuwa wenyeji wa shindano la Dunia la Miss Tourism World 2006, shindano hili ndilo lililo andika historia ya Tanzania kutwaa taji la kwanza la Dunia kabla na baada ya uhuru, pale tulipo twaa taji la Miss Tourism World 2006, pia shindano hili ndilo pekee nchini linashikilia rekodi ya kutwaa mataji ya dunia katika kila shindano tulilo shiriki,tumetwaa mataji 6 ya dunia tangu 2005. Kutokana na mafanikio haya , Tumepewa heshima ya kuaandaa shindano la Dunia la Miss Umoja wa Mataifa mwaka 2013 hapa Tanzania. Ni shindano pekee nchini ambalo washiriki wake hawavai mavazi ya kuogelea, bali mavazi ya heshima yasiyo mdhalilisha mvaaji wala mtazamaji na yaliyo buniwa na kushonwa kwa malighafi za tanzania tu.

Link yetu ni : http://www.misstourismorganisation.blogspot.com/

Facebook Page: https://www.facebook.com/MissUtaliiTanzania

E-Mail: missutaliitanzania@gmail.com

Asanteni sana.
Miss Tourism Organisation Tanzania.

Thursday, June 28, 2012

West Park Hospital Employment Letter ni Utapeli!

Wadau, ukipata barua kuwa hospitali ya West Park inataka kukajiri ni UTAPELI! Wala usiijibu! Hao matepeli wa Nigeria wabunifu sana! WaTanzania kadhaa wamepokea hii barua ya kitapeli!  Ni uongo! je, uliomba kazi huko?

Hapa wanasema, "If it sounds too good to be true, it probably is!'

Hospitali ya West Park inatoa onyo kwa wanaopokea barua hii ya kitapeli: BOFYA HAPA

*******************************************************************

Letter of Offer for Employment


Date: 27th June 2012

To: XXXXXX XXXXXX
Employee Code: WU706756USA

Sub: Letter of Offer for Employment

We are pleased to offer you an appointment in WEST PARK HOSPITAL/UNIVERSITY as Lecturer (Physical Education) with effect from 18th August 2012. Your employment is for 2 YEARS (Contract is renewable after a successful first 2 years).

You will be paid gross emoluments as detailed in Annexure – A (as below).

Your employment with us will be governed by the Terms & Conditions as detailed in Annexure – B (as below)

Your offer has been made based on information furnished by you. However if there is a discrepancy in the copies of documents or certificates given by you as a proof of above we retain the right to review our offer of employment.

Employment as per this offer is subject to your being medically fit.

Please sign and return duplicate copy of this letter in token of your acceptance.

We congratulate you on your appointment and wish you a long and successful career with us. We are confident that your contribution will take us further in our journey towards becoming world leaders. We assure you of our support for your professional development and growth.

Yours truly,

For West Park Hospital/University

Dr. Dick Smith

Director of Human Resources
Email: university@westparkhosptl.org
Email: hospital@westparkhosptl.org


Name: ………………………………………

Signature: ……………..………………….

Date: .………………….……………...

Tel/Mobile: ………………………………………

Annexure – A

Remuneration:

This is a highly competitive package consisting of the following:

• An extremely generous tax-free monthly salary paid in United States Dollars; (US$ 10,500.00 per month) = (US$ 126,000 Per annum) DUH Tax Free Kweli????

• Monthly inflation allowance (currently 15% of basic salary).

• Monthly transportation allowance.

• Free furnished accommodation, according to marital status.

• Free health care.

• Elementary and secondary school education for 2 dependent children.

• Free flights to US, as well as annual air tickets to point of origin for vacation purposes.

• Up to 30 days paid leave after every 90 working days.


TRAVELING DOCUMENTS;

WEST PARK HOSPITAL/UNIVERSITY will provide Flight Tickets, Work & Residence Permit for you after the confirmation of the prototype copy of your H1B Visa (Employment Visa) therefore, you will have to urgently secure your 2 Years H1B Visa (Employment Visa) through the below office because your contract documents hard copies will be dispatched to them upon the confirmation & acceptance of the offer.

Also note that all expenses inccured during the procurement of your H1B Visa (Employment Visa) formalities are 100% reimbursable, West Park Hospital/University is not eligible according to the US Immigration Department law to apply for H1B Visa (Employment Visa) for international expatriates, we are only eligible for the procurement of your Flight Tickets, work & residence permit.

Selected international employees should contact the below office to procure and secure their H1B VISA;

Contact: Mr. Elvis Roberts, Esq.

Chief Consultant
E & T Immigration Office
104 Bedford Ln, Suite 156
Lansdale, PA 19446

Email: info@etlawfirm.net
Email: contact.eandtoffice@gmail.com  (Tapeli address!)
Website: www.etlawfirm.net

Annexure – B

1. Personal Particulars:

You will keep us informed of any change in your residential address, your family status or any other relevant particulars. You would also let us know the name and address of your legal heir/nominee.

2. Nature of Work:

You will partake in our Five (5) days Training, Lecturing and Orientation Workshop organized by the Management of West Park Hospital/University for our new employees, to give you the opportunity to know everything relating to your duties and the Institution during your stay here in USA.

3. Working Hours:

The regular working hours of the University are from (7:00am to 4:00pm Monday to Friday) including 50 minutes for lunch break and 30 minutes for tea break.

4. Late comings:

The University follows a strict time schedule and late comings are discouraged, unless otherwise notified by you in advance. Late marks will be accorded to you for every late entry with one day marked as absent for every three late marks.

5. Assignment, Transfer and Deputation:

Though you have been engaged to a specific position, the University reserves the right to send you on deputation/transfer/assignment to any of the University’s branch offices within the country or abroad, whether existing at the time of your appointment or to be set up in the future.

6. Training:

You will hold yourself in readiness for any training at any place whenever required. Such training would be imparted to you at the University’s expense. Kindly note that refusal to participate in a training programme without any extraneous circumstances would lead to automatic termination of your employment.

7. Performance Reviews/Appraisal:

The University follows a policy of quarterly and annual performance reviews, which are linked to performance incentives every year. You will be eligible for performance based incentives on the basis of your gross monthly salary on the basis of your performance during the previous quarter/year.

The University also has a policy of six monthly/annual salary appraisal based on performance. You will be eligible for a salary appraisal under this policy based solely on the performance ratings achieved during the previous six months/one year.

8. Intellectual Property Right:

If during the period of your employment with us you achieve any invention, process improvement, operational improvement, or other process/method likely to result in more efficient operation of any of the activities of the University, the University shall be entitled to use, utilize and exploit such improvement and you shall assign all rights thereof to the University for the purpose of seeking any patent rights or for any other purpose. The University shall have the sole ownership rights of all the intellectual property rights that you may create during the tenure of association with the University including but not limited to the creative concept that you may develop during your association with the University.

9. Secrecy/Confidentiality:

You will not during the course of your employment with the University or at any time there after divulge or disclose to any person whomsoever including competitors and former employees, make any use whatsoever for your own purpose or for any other purpose other than that of the University, of any information or knowledge obtained by you during your employment as to the business or affairs of the University including development, process reports and reporting system and you will during the course of your employment hereunder also use your best endeavor to prevent any other person from doing so. Failure to do so on your part may result in legal action against you and the person to whom the information was divulged.

10. Restrain:

i. Access to Information:

Information is available on need to know basis for specific groups and the information is segregated to allow individual sectors information access for projects and units. Access to this is authorized through access privileges approved by unit mentors or project mentors. Unauthorized access or attempt at unauthorized access is strictly prohibited and any attempts to do so will result in immediate termination of employment and legal action as deemed fit by the University.

ii. Restriction on Personal Use:

Use of University resources for personal use is strictly restricted. This includes usage of computer resources, information, internet service, and working time of the University for any personal use. You will under no circumstances carry any work home unless specifically requested by your manager. Any usage of University information for personal use will result in immediate termination of employment without notice and/or legal action for misdemeanor as deemed fit by the University. You may/may not be required to reimburse the University for any losses incurred by the University on account of personal usage of University data.

11. Leave:

You will be entitled to leave as per law in force and as laid down in the Standing Orders of the University. The University follows strict time schedule and late comings are discouraged, unless otherwise notified by you in advance. Late marks will be accorded to you for every late entry with one day of absence counted for every three late marks.

12. Security:

Security is an important aspect of our communication and office infrastructure. Communication security is maintained by controlling physical access to computer system, disabling all working stations, floppy disk drives and Universitywide awareness about the need for protection of intellectual property and sensitive customer information.

13. Termination of Service:

i. Either party can terminate this employment by serving a notice of one month on the other, save and accept that the University may at its option pay salary in lieu of the notice period to terminate employment with immediate effect.

ii. Unauthorized absence or absence without permission from duty for a continuous period of 7 days would make you loose your lien on employment. In such case your employment shall automatically come to an end without any notice of termination or notice pay.

iii. You will be governed by the laid down code of conduct of the University and if there is any breach of the same or non conformance of contractual obligation or with the terms and conditions laid down in this agreement, your service can be terminated without any notice; notwithstanding any other terms and conditions stipulated herein the University reserves the right to invoke other legal remedies as it deems fit to protect its legitimate interest.

14. Standing Orders:

You will abide by the Standing Orders, rules & regulations and service conditions that may be in force or application to the organization or are framed from time to time by the University.

15. Appointment in Good Faith:

It must be specifically understood that this offer is made based on your proficiency on technical/professional skills you have declared to possess as per your application for employment and your ability to handle any assignment/job independently. In case at a latter date any of your statements/particulars furnished are found to be false or misleading or your performance is not up to the mark or falls short of the minimum standard set by the University, the University shall have the right to terminate your services forthwith without giving any notice notwithstanding any other terms and conditions stipulated therein.

The above terms and conditions are based on the University’s policy, procedures and other rules currently applicable in the country and are subject to amendments and adjustments from time to time. In all matter including those not specifically covered here such as traveling, retirement, etc. you will be governed by the rules of the University as shall be in force from time to time.

Asante Rais Obama! Republicans Mlie tu!

The Supreme Court backs all parts of President Obama’s signature health care law, including the individual mandate that requires all to have health insurance.


OBAMACARE OYEEEEEEEEE!

Tajiri Mitt Romney asiyejali maskini na Republicans wenzake walie tu! Hii ni pigo kubwa sana kwao! Hata kama mtu hana hela ni binadamu! walisema Romney akishinda uchaguzi Obamacare ingefutwa mara moja.  Asante Rais Obama, umeokoa maisha ya wengi! Lakini jamani, mbona Uncle Tom Justice Clarence Thomas kaipinga?

*************************************************************************
Kutoka CNN.com

Supreme Court Upholds Entire Health Care Law


Editor's note: We're live blogging from the Supreme Court today as the nation waits to see how the justices will rule on the health care law. You can follow along below as CNN Supreme Court Producer Bill Mears and Senior Legal Analyst Jeffrey Toobin get the latest details live from the court as well as analysis when the opinion is delivered. Watch live coverage and analysis on CNN TV, CNN’s mobile apps and http://cnn.com/live.

[Updated at 10:54 a.m. ET] House Speaker John Boehner renewed calls to reverse the Obama administration's signature health care overhaul after Thursday's Supreme Court decision upholding the act, saying the decision "underscores the urgency of repealing this harmful law in its entirety."

[Updated at 10:52 a.m. ET] House minority leader Nancy Pelosi declared the court's ruling a "victory for the American people."

"With this ruling, Americans will benefit from critical patient protections, lower costs for the middle class, more coverage for families, and greater accountability for the insurance industry," she said.

Pelosi further said that the Affordable Healthcare Act will prevent children from being denied coverage for pre-existing conditions, lower drug costs for seniors and allow students and young adults to stay on their parents’ plan.

“In passing health reform, we made history for our nation and progress for the American people," Pelosi said. "We completed the unfinished business of our society and strengthened the character of our country. We ensured health care would be a right for all, not a privilege for the few."

Friday, June 22, 2012

Kusitishwa Mgomo wa Madaktari na Mahakama

TAARIFA KUTOKA IKULU
***********************
Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa Amri ya kusitisha Mgomo wa Madaktari


Kufuatia Tangazo la Chama cha Madaktari nchini (MAT) la kuanza mgomo siku ya Jumamosi tarehe 23 Juni, 2012, Mahakama Kuu ya Tanzania,Kitengo cha kazi,Dar es Salaam imetoa amri ya kusitisha mgomo huo mpaka hapo pande zote mbili yaani Serikali na Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) yatakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.

• Amri hiyo ya Mahakama imetolewa kufuatia maombi namba 73 ya 2012 yaliyowasilishwa chini ya hati ya dharura na Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya Chama cha Madaktari Tanzania (MAT).Sababu za msingi amabazo zimepelekea Mahakama kuu kutoa amri hiyo upande mmoja ni pamoja na;

• Iwapo mgomo huo utatokea utakuwa na kuwa amri hii isipotolewa madhara yake ni makubwa isiyoweza kufidiwa kwa namna yoyote ile kama vile kupoteza maisha n.k

• Wajibu maombi,ambao ni MAT, inaundwa na Madaktari ambao wapo katika Sekta ambayo inatoa huduma mahsusi (essential service sector), Aidha Chama cha Madaktari Tanzania kimetangaza mgomo bila kufuatia taratibu zilizoanishwa katika Kifungu cha 76(1 na 2) cha Sheria ya Kazi (Employment and Labour Relations Act No 6 ya 2004.

Masharti hayo ni

• Kuzuia wafanyakazi walio katika Sekta Muhimu kugoma na kama wakigoma,

• Kuwepona makubalianao ya pamoja ya kutoa huduma za msingi wakati mgomo ukiendelea.

Kwa misingi hii,Mahakama Kuu ya Tanzania, kwa Chama cha Madktari Nchini na wanachama wake kusitisha na kutoshiriki katika mgonmo huo.

Tuesday, June 19, 2012

Slave Shoe Sneakers/ Raba za Kitumwa!



Jamani hata haya hawana! Ujue hakuna mtu mweusi hata moja alikuwepo wakati hii design ya raba inatoka.  Weusi ndo wanaoogoza kwa idadi ya wafungwa Marekani, halafu tusisahau kuwa weusi walikuwa watumwa hapa kwa zaidi ya miaka 200!  Wafungwa wanavaa rangi ya orange! Hebu cheki hii design.  Tumetukanwa vibaya sana!

To Adidas:

I am horrified at the design of this shoes. As an African American this is an insult to us.  Why? Our ancestors were not considered human, they were chained and shackled, beaten.  Today, the legacy continues as blacks disproportionately make up a large number of the prison population. ORANGE is a prison color! They wear chains and shackles in there.  So this must be some kind on subtle conditioning technique! Shame on Adidas! I will never buy anything labelled Adidas ever again.

- Chemi

Slaves for Sale in USA

Removing a slaves foot shackles
Mfungwa Marekani


Msimamo wa John Mnyika Juu ya Bajeti!

Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu!


Nitatoa tamko la kina baadae kuhusu kilichotokea lakini kwa ufupi ubovu wa bajeti hii ni matokeo ya udhaifu wa Rais Kikwete, yeye ndiye aliyesaini Mpango wa Taifa wa miaka mitano kama Kiongozi Mkuu wa Nchi tena kwa wino mwekundu kama Amiri Jeshi Mkuu. Na yeye ndiye Mwenyekiti wa baraza la mawaziri, bajeti hii iliyoacha kuzingatia mpango wa Taifa imepita kwenye baraza alilloliongoza, pia kushindwa kutekelezwa kwa bajeti iliyopita ni matokeo pia ya udhaifu wa taasisi ya Urais.

Pia kwa mujibu wa Katiba Rais ndiye ambaye anapeleka bajeti bungeni, Waziri mwenye dhamana anapeleka tu kwa niaba. Rais amepewa mamlaka makubwa juu ya bajeti ibara ya 99 imeweka mipaka kuhusu mambo ambayo bunge lina mamlaka nayo huku ibara ya 90 inasema bunge likikataa bajeti rais ana mamlaka ya kuvunja bunge. Hivyo Rais Kikwete anapaswa kuagiza Waziri wa Fedha bajeti iondolewe irudi kwenye baraza la mawaziri ikafanyiwe marekebisho!

http://mnyika.blogspot.com/2012/06/msimamo-wangu-wa-sasa-juu-ya-kauli.html

John Mnyika
19 Juni 2012

Saturday, June 16, 2012

Mimi Katika Sinema That's My Boy





Wadau katika Sinema That's My Boy, ambayo imetoka kwenye theaters wiki hii, mimi nilikuwa Stand In wa Luenell ambaye anaigiza katika hii sinema kama Champale ambaye ni Stripper (mvuo nguo).    Champale ni mama mtu mzima anayepnda kutembea na matiti nje.  Matiti ambayo mnaona ni feki.  Kazi ya Stand In ni kuhakikisha kuwa mwanga, microphone nk. ziko sawa kabla ya Stelingi kuingia kufanya kazi yake. Kila kitu ambayo utaona kafanya Luenell, nilifanya mimi kwanza.  Wali-shoot mwaka jana katka sehemu mbalimbali Massachusetts.

 Katika kideo hii walikuwa wananitumia kupima rigging kwenye pole kwa vile mimi na Luenell tulikuwa na uzito sawa.   Nilifundishwa siku kadhaa kabla ya hayo mazoezi jinsi ya kupanda hiyo pole. Hivyo alipoingia kufanya kazi yake ilienda smooth.  Hii ni ile scene ambayo anakul mayai na sausage.  Nilishinda nao wiki nzima katika seti ya Strip Club. Ni wiki ambayo sitasahau maishani mwangu.  Kama unatafuta sinema ya kuangali wiki hii napendekeza That' s My Boy!

Kwa vile sinema imetoka narushusiwa kuongea kuhusu ushirikiano wango katika hiyo sinema. Lazima niseme kuwa Adam Sandler ni mtu poa sana.

Picha kutoka Sinema, niliinginiwa sana kichwa chini miguu juu kabla ya Luenell kuingia kufanya kazi yake.

Mimi na Lunell mwaka jana kwenye set ya That's My Boy. Hayo matiti ni feki!

You can Read a Review of That's My Boy HERE: 

Majeruhi Wa Mapenzi - Kitabu

 
 Kitabu kipya (novel) ambaho kimetungwa na Mzee Mwanakiji kitatoka hivi karibuni! Wahi nakala yako!


Kitabu cha "Majeruhi wa Mapenzi" kitauzwa Tanzania kati ya 14,000-18,000 (reja reja).. Kwa watakaoweka order mapema watakipata kwa bei ya chini inayowezekana (tunafikiria itakuwa punguzo la 25% kutoka 18,000 ambayo ndiyo listed price)... Weka oda ya nakala yako kwa kutuma email: klhnews@gmail.com na kusema idadi ya copy. Yaweza kuwa zaidi nzuri kwa rafiki, mpenzi, au jamaa yako... Bila ya shaka kwa wale walioko sehemu nyingine duniani kitabu kinapatikana pia kwenye Amazon.com na kupitia Kindle Book Reader.
 
Watoto

 
President Dr Jakaya Mrisho Kikwete and the President of the Arigatou International Global Network of Religions for Children (GNRC), pose with some of children participants from different countries and religious constintuences after opening the 4th GNRC forum  at the Serena Inn  in Dar es salaam today June 16, 2012.  The GNRC's fourth quadrennial forum will emphasize interfaith solutions to poverty's impact on children. The global gathering has brought  together some 250 religious leaders, child-rights workers, and civil society representatives from around the world.

President Dr Jakaya Mrisho Kikwete opening the 4th Global Network of Religions for Children (GNRC), at the Serena Inn  in Dar es salaam today June 16, 2012.
 
The GNRC's fourth quadrennial forum  will emphasize interfaith solutions to poverty's impact on children. The global gathering has brought  together some 250 religious leaders, child-rights workers, and civil society representatives from around the world.

PHOTO BY THE STATE HOUSE

Thursday, June 14, 2012

Fina Mango is Back!

Fina Mango
Kutoka Bongo Celebrity:


Although she has been out of the limelight for a couple of years now, Fina Mango, remains one of the familiar faces and names in Tanzania. For many folks, she used to be their every morning “ritual” when, together with Masoud Kipanya; they used to run one of the most listened to morning radio shows in Tanzania (Power Breakfast on Clouds FM). Then it all ended in July 2008…as sad as it was.

As it turns out, Fina left the radio but the radio never left her, at least not to her fans. We have been asked thousands of times about her whereabouts and whether she is coming back to the airwaves anytime soon. Her listeners miss her insight and most likely her voice.

The good news, as you are about to read, is that Fina has been busy building an empire of herself in just a different way. She is now the Managing Director of one of the fastest growing and respected PR Company called 1Plus Communications.

To catch up with her and for the benefits of the fans that have never stopped asking about her, I tracked Fina for an exclusive interview whereby we talked much about how and where she has been all this time and her journey into entrepreneurship.

Read more: FINA MANGO: ON ENTREPRENEURSHIP, MOTHERHOOD AND BROADCASTING(THE INTERVIEW) - BongoCelebrity

Wednesday, June 13, 2012

Taarifia Kuhusu Sinema 'American Dream'

We are currently casting for a Bongowood film, American Dream.  It is the story of a young Tanzanian man who comes to America in search of his fortune only to find life is not what he expected. Though filmed in USA, the film is geared for a Tanzanian audience.
If interested or you fit the role, please send a photo, age range and resume (Yaani CV kuhusu experience yako ya acting tu) to ndotousafilm@gmail.com. Most of the roles have Swahili dialogue, therefore knowledge of Swahili is a plus. 

Please note the film is tentatively scheduled to film in the New York and Boston area in August-September of this year.  Also, this is a no budget/low budget film. Food and gas money will be provided.

We look forward to hearing from you.  

American Dream (Ndoto ya Marekani)
Preliminary Cast Breakdown
[AMANI] LEAD/STAR male, African American, 25-35 years old, An eager Tanzanian man. Arrives in the USA as a student but is really interested in getting a better life for himself and provide for his family back home.
[RICHARD] LEAD male, African American, 25-35 years old Amani’s brother, has been in the USA for a while. Tries to help Amani.
[WALLET] LEAD male, African American, 35 - 50 years old, respected and established Tanzanian in the USA. He has papers, connections, money, the person everyone goes to him for help and advice.
[PATRICK] SUPPORTING male, African American, 25-35 lives with Wallet, he is studying at the University, works part time.
[KATE] SUPPORTING female, Caucasian, 25-35 years old, Richard’s girlfriend who get tired or his African ways
[UNIVERSITY ADMINISTRATOR] SUPPORTING male , Caucasian , 40+ years, stern University employee who plays by the rules.
[MAYA] LEAD Female, African American , 35-50 years old, Single parent, she has been in the USA a while. She can as a student, had a child, is established in the community. She is lonely, looking for love.
[PILI] SUPPORTING female, African American , 35-50 years old, is Maya’s gossiping friend and co-worker
[BOSS] SUPPORTING male, African American, 35-50 years old , an African who runs the Barbershop. He is a no nonsense guy.
[LULU] SUPPORTING female, African America 14-18 years or can play, this is Maya’s daughter. She loves her mother at the same time does not want to see her taken advantage of. Very suspicious of those who come around her mother, rejects African culture.
[ZERA] LEAD female, African American, 25-35 years old, outgoing adventurous young woman. She has been in the USA a while. Was physically abused by Grant who deep down she still loves.
[Grant ] SUPPORTING male, African American , 30- 40 years old, an African who wants to dominate his woman. Has a soft side and an evil side. He is openly jealous and possessive.
[IMMIGRATION ATTORNEY], male, Caucasian, 40+ years old> handles immigration cases and gives advice to the African community.

Mahakama Waendelea Kujadili Umri wa Lulu!

Wadau, Cheti cha Kuzaliwa Kinatosha kuthibiti umri wa mtu. Ila katika kesi hii, Lulu alikwishafanya party ya kutimiza 18, na pia alikuwa anawaambia wanahabari katika mahojiano kuwa yeye ni 18. Ndo matokeo ya kutaka kuwa mkubwa kabla ya siku zako!  Ukubwa amepata!

******************************************************


Elizabeth Michael Kimemeta aka. Lulu ana miaka mingapi? 17 au 18?
 Kutoka The Citizen

Court orders Lulu’s lawyers to Provide proof on her Age


Monday, 11 June 2012
By Rosina John

The Citizen Correspondent

Dar es Salaam. The High Court in Dar es Salaam yesterday ordered defence lawyers of movie actress Elizabeth Michael alias Lulu to present documents supporting their claim she is under the age of 18.Judge Fauz Twaibu ordered the defence lawyers to present the evidence and supporting documents by way of affidavit on June 13.

Lulu is charged at the Kisutu Resident Magistrate’s Court with murdering local movie star Steven Kanumba on April 7, this year, at Sinza Vatican.

Defence counsel led by advocate Peter Kibatala filed the application at the High Court seeking the determination of the accused’s age. The lawyers stated that Lulu has not attained the age of 18 years to merit prosecution in an adult court.

The application by Mr Kibatara followed a decision by the lower court to turn down their request to transfer the murder case to a juvenile court on the ground that the lower court lacked jurisdiction to entertain the matter. However, in his ruling yesterday, Judge Twaib quashed and set aside the decision by the resident magistrate’s court to refuse to entertain the application, saying it was an error in law and an abdication of duty.

“Consequently, I hold that the lower court was wrong to refuse to entertain the application, thinking that such an enquiry could only be done by this court.

I quash and set aside the decision of the Kisutu Court,” the judge ruled.

The judge said that, considering the seriousness of the charge facing the applicant and the urgency of determining whether or not the applicant is entitled to the benefits of the Child Act and in the interest of justice, the court is invoking its supervisory powers under Section 44 of the Magistrate’s Court Act and shall proceed to determine the correct age of the applicant in terms of Section 113 of the Child Act.

The judge said that the nature and seriousness of the charge facing the applicant, the lack of any possibility for securing bail, during the pendency of the charge and undisputed urgency of the matter require that the controversy about her age be determined the soonest.

He further ruled that, in the meantime, the proceedings of the murder case at the lower court should stay, pending determination of the applicant’s age in the High Court. The judge ordered the applicant’s counsel to produce evidence on their client’s age on June 13 while prosecution required submitting their reply on June 20 while the hearing would be on June 25.

Sunday, June 10, 2012

Mawaziri waKenya Wafa Katika Ajaili ya Helikopta!

Rest in Peace Waziri Saitoti wa Kenya. Watu walioshuhudia ajali wanasema kuwa wakishindwa kuwasaidia kwa vile ilitokea moto mkali sana.  Kabla ya kifo chake, Waziri Saitoti alitangaza kuwa angegombea Urais wa Kenya katika uchaguzi ujao mwaka 2013.




Mkia wa Helikopta
Mabaki ya Helikopta Iliyoanguka nje ya Mji wa Nairobi

Kenyan minister's death in helicopter crash fuels terrorism fears 

The Late Honourable George Saitoti  1945-2012

 The architect of Kenya's military campaign in Somalia and a leading presidential candidate for next year's election has died in a helicopter crash in the hills outside the capital, Nairobi.


The Internal Security Minister, George Saitoti, and at least five of his colleagues died when the police helicopter they were travelling in crashed on the outskirts of the city. Authorities are investigating the cause of the crash, which comes at a time when Kenya is on high alert for terrorist attacks. "As we speak now, nobody knows the cause of the accident," the Prime Minister Raila Odinga said yesterday.

Mr Saitoti pushed for Kenya's intervention last year in neighbouring Somalia. Since then, there has been a spate of grenade attacks blamed by police on supporters of the Somali militant group al-Shabaab. One person was killed and dozens were injured last month in a firebomb attack on a Nairobi shopping centre that has been linked to al-Shabaab. The Islamist group has threatened an attack against a major Kenyan target in the coming month.
Mr Saitoti, 66, was one of the country's most prominent politicians, a veteran of the authoritarian government of Daniel Arap Moi. Mr Saitoti had been Vice-President and held several ministries.
He was implicated in the country's largest corruption scandal, the Goldenberg affair, in which billions of dollars of public money were stolen as part of a gold export scheme.
After a period of political exile he returned to the cabinet under the current President Mwai Kibaki, whose administration was revealed by its own anti-corruption tsar, John Githongo, to be involved in similar grand corruption schemes.
An unusual figure in senior Kenyan politics, Mr Saitoti had a mixed background from the Masai and Kikuyu tribes. His sudden death nine months before a crucial election in East Africa's biggest economy may force a reorganisation of alliances in a campaign set to be dominated by the rivalry of Mr Odinga and the former Finance Minister Uhuru Kenyatta, the son of Jomo Kenyatta, Kenya's first president.

KWA HABARI ZAIDI NA VIDEO BOFYA HAPA:

Saturday, June 09, 2012

International Jobs - Nafasi za Kazi June 2012

--

Mchungaji Creflo Dollar Akamatwa na Polisi

Kuna habari kuwa Mchungaji maarufu Creflo Dollar, amekamatwa na polisi huko Atlanta kwa kumpiga binti yake. Habari zinasema kuwa ugomvi uliaanza binti yake alipotaka kutoka kwenda kwenye party!

Bahati mbaya kamwumiza, lakini watoto wengine ha Marekani hawasikii. Pia wengine wanajua hiyo sheria na wanatishia wazazi wao kuwa watawaripoti kama hawapati wanachotaka.


Hapa Marekani ni kosa la jinai kumpiga mtoto.

*********************************************************************

Megachurch Pastor Creflo Dollar Arrested.


Creflo Dollar Police Mugshot

ATLANTA—Megachurch pastor and televangelist Creflo Dollar -- who has drawn scrutiny for his flashy lifestyle and preaching that prosperity is good -- was arrested early Friday after authorities say he slightly hurt his 15-year-old daughter in a fight at his metro Atlanta home.
Fayette County Sheriff's deputies responded to a call of domestic violence at the home in unincorporated Fayette County around 1 a.m., said investigator Brent Rowan. The pastor and his daughter were arguing over whether she could go to a party when Dollar "got physical" with her, leaving her with "superficial injuries," Rowan said.
The 15-year-old was the one who called authorities, and her 19-year-old sister corroborated the story, Rowan said.
Dollar faces misdemeanor charges of simple battery and cruelty to children. He bonded out of Fayette County jail Friday morning.
"As a father I love my children and I always have their best interest at heart at all times, and I would never use my hand to ever cause bodily harm to my children," Dollar said in a statement released by his lawyer Nikki Bonner. "The facts in this case will be handled privately to further protect my children. My family thanks you for your prayers and continued support."
Dollar will make no further comments since he's involved in the ongoing criminal matter, but he is expected to preach Sunday, Bonner said.
The 50-year-old leads the Creflo Dollar Ministries and is the pastor for World Changers Church International in the Atlanta suburb of College Park, which serves nearly 30,000 members, according to the church's website. World Changers Church-New York hosts over 6,000 worshippers each week, the website says. Four satellite churches are located in Georgia along with others in Los Angeles, Indianapolis, Washington, Cleveland, Dallas and Houston.
He and his wife Taffi, a co-pastor at the church, have five children, according to the website.

SOMA HABARI KAMILI KWA KUBOFYA HAPA:

Zanzibar International Film Festival 2012

ZIFF 2012

Friday, June 08, 2012

TSN Haijamtelekeza Athumani Hamisi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI: TSN HAIJAMTELEKEZA ATHUMANI HAMISI

Athumani Hamisi Akiongea na Waandishi wa Habari jijin Dar juzi
Tarehe 5 Juni,2012, mfanyakazi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), ambaye amelemaa baada ya kupata ajali ya gari, Bwana Athumani Hamisi, aliitisha mkutano wa waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Maelezo, Dar es Salaam, na kutoa taarifa iliyojenga taswira kuwa ametelekezwa na TSN pamoja na Serikali.

TSN inapenda kufafanua kuwa Serikali na kampuni hii, ambayo ilimwajiri Athumani tarehe 1/09/2006 kama Mpiga picha Mwandamizi, wamemhudumia mfanyakazi huyo kikamilifu tangu alipopata ajali tarehe 12 Septemba, 2008 hadi sasa, na huduma hiyo inaendelea.

Baada ya kutokea ajali hiyo, TSN kama mwajiri ilisimamia matibabu yake ya awali katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Kitengo cha Mifupa (MOI) mpaka Serikali, kwa kupitia Wizara ya Afya ilipomhamishia Netcare Rehabilitation Hospital nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.

Serikali ililipia gharama za matibabu yake yote akiwa Afrika Kusini kwa kipindi cha mwaka mmoja na miezi saba, ambayo yanazidi shilingi milioni mia moja. Gharama hizo ni pamoja na ununuzi wa kigari maalum ambacho Athumani anatumia sasa.

TSN kama mwajiri ililipa nauli ya ndege kwenda na kurudi pamoja na posho ya kujikimu ya mgonjwa pamoja na ndugu wasindikizaji ambao ni Bw. Hassan Hussein na Bi. Mirriam Malaquias.Posho ya kujikimu ilikuwa USD 6,210 sawa na Shilingi 9,315,000, na nauli kwa watu watatu ilikuwa ni Shilingi 3,535,869.92. Athumani aliendelea kupatiwa huduma akiwa huko Afrika Kusini kwa gharama za Serikali na TSN mpaka aliporejea nchini tarehe 08/05/2010. Gharama zilizolipwa na kampuni kwa mfanyakazi huyu hadi sasa ni takriban shilingi million 52.

Athumani aliporejea nchini alilakiwa na wafanyakazi na viongozi wa TSN na kupangiwa chumba hoteli ya Holiday Inn wakati utaratibu wa kumtafutia nyumba ya kupanga ukikamilishwa. Kampuni ilitumia kiasi cha Shilingi 1,756,979.50 kulipia hoteli. Baadaye alipelekwa kwenye nyumba ambayo alipangiwa na Kampuni katika eneo la Sinza Vatican ambapo ndipo bado anaishi hadi hivi sasa. Gharama ya nyumba kwa mwaka wa kwanza 2010 ilikuwa ni Shilingi 4,200,000 au Shilingi 350,000 kwa mwezi. Mwaka 201 mwenye nyumba alipandisha kodi hadi 400,000 kwa mwezi ambapo Kampuni ililipia Shilingi 4,800,000. Kodi hiyo imeishia Mei mwaka huu na kampuni imeshafanya mazungumzo na mwenye nyumba ili Athumani aendelee kuishi hapo kwa muda wakati mipango endelevu ya ustawi wake inafanywa kwa kuzingatia taratibu za ajira.

Mnamo tarehe 8/12/2010 Athumani alirudi tena Afrika Kusini kwa ajili ya uchunguzi wa maendeleo ya afya yake na matibabu yaligharimiwa na Serikali wakati TSN iligharamia nauli yake na ya muuguzi wake, pamoja na posho ya kujikimu Shilingi 6,300,000/-.

Pamoja na bwana Athumumai kulala kitandani kwa muda wote huo ameendelea kulipwa mshahara kamili bila kukatwa kama mfanyakazi wa kawaida ikiwa ni msaada wa kampuni kwa kuzingatia ulemavu alioupata.Mshahara aliolipwa kwa muda wote aliokuwa anaugua ni kiasi cha shilingi 26,773,000. Vile vile kampuni ilimlipa muuguzi toka Afrika Kusini ambaye alikuwa anamhudumiaa Athumani Rand 12,500 kama mshahara wake.

Kuanzia Januari 2011, mshahara wa Athumani umejumuisha asilimia 15 kama posho ya nyumba ambayo wafanyakazi wote wanalipwa. Aidha Athumani yupo kwenye mpango wa bima ya afya anayolipiwa na kampuni, ambayo inamwezesha yeye na familia yake kuweza kutibiwa katika hospitali yoyote hapa Tanzania. Kampuni inamlipia Shilingi 68,449.20 kila mwezi na bima hiyo ndiyo inayogharamia matibabu yake yote hapa nchini.

Bwana Athumani anapatiwa usafiri na TSN mara mbili kwa wiki kumtoa nyumbani hadi Muhimbili na kurudi kwa ajili ya mazoezi ya viungo.

Imetolewa na

OFISI YA MHARIRI MTENDAJI
08.6.2012

***********************************************************

Kusoma Story Aliyotoa Athumani Hamisi BONGO CELEBRITY , BOFYA HAPA