Monday, June 29, 2009

Ndege Imeanguka Karibu na Comoro

UPDATE - Msichana mwenye miaka 14 ndiye abiria pekee aliyepona katika ajali hiyo! http://blogs.usatoday.com/ondeadline/2009/06/survivor-of-indian-ocean-crash-may-be-14yearold-girl.html

***********************************************
Duh! Ndege enye abiria 150 imeanguka karibu na visiwa vya Comoro katika Bahari ya Hindi. Ndege ni ya Yemenia Air (kutoka Yemen). Kwa sasa hakuna taarifa kuna waliopona.

**********************************************************

Yemeni plane crashes off Comoros, 150 on board

By Ahmed Ali Amir Ahmed Ali Amir –

MORONI (Reuters) – An airliner with 150 people on board belonging to Yemeni state carrier Yemenia crashed in the Indian Ocean archipelago of Comoros Tuesday, a senior government official said.

"We don't know if there are any survivors among the 150 people on the plane," Comoros vice-president Idi Nadhoim told Reuters from the airport at the main island's capital Moroni.
Nadhoim said the accident happened in the early hours of Tuesday, but could not give any more details.

"There is a crash, there is a crash in the sea," said an unnamed official who answered the phone in the Yemenia office in Moroni. He declined further comment.
An airline official in Yemen declined to comment.

Yemenia, which is 51 percent owned by the Yemeni government and 49 percent owned by the Saudi Arabian government, flies to Moroni, according to flight schedules on its Web site.

Kwa habari zaidi someni:

http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/8125664.stm

http://blog.seattlepi.com/aerospace/archives/172602.asp?from=blog_last3

Michael Jackson Angelikuwa Bila MaSurgery

Wadau, marehemu Michael Jackson, hakupenda weusi wake. Alitaniwa sana na ndugu zake kwa vile alikuwa na pua kubwa. Baba yake alikuwa anamwita, "Big Nose" (pua kubwa). Matokeo yake alijigeuza mzungu na kachonga pua yake.

Kuna Forensic Scientist ambaye amachora picha ya jinsi Michael angelikuwa kama asingejiharibu kwa maplastic surgery.

*************************************************************************
Michael mwaka juzi

Alivyokuwa na miaka 13 na pua ya kawaida ya kiafrika
Akiwa late 30's bila masurgery


Mzee Michael Jackson bila masurgery

Rest in Peace Prof. Haroub Othman

(pichani Prof. Othman akihutubia mkutano jumamosi, masaa machache kabla ya kifo chake. Watu wanasema alionekana mwenye mzima kabisa)


Kutoka THE CITIZEN

Shock, disbelief as Prof Othman dies suddenly in Zanzibar


Renowned academic Prof Haroub Othman, 66, is dead. The University of Dar es Salaam (UDSM) lecturer died in his sleep early yesterday at a hotel in Zanzibar.

However, the cause of his death had not been established by the time of going to press.

His son, Mr Tahir Othman, and family spokesman Ali Uki said Prof Othman was in good health when he went to bed on Saturday night after attending various events.

His last public appearance was at the official opening of the 2009 Zanzibar International Film Festival (ZIFF) on Saturday evening at the Old Fort, where Zanzibar Chief Minister Shamsi Vuai Nahodha was the chief guest.

Mr Uki said yesterday Prof Othman arrived in Zanzibar from Dar es Salaam on Saturday morning and attended the launch of a book titled Race Revolution and the Struggle for Human Rights in Zanzibar, jointly authored by Prof Thomas Burgess, Mr Ali Sultan Issa and Mr Seif Shariff Hamad.

"He was not sick? I think you saw him at the launch of the book and later at the ZIFF function," he said.

Prof Othman was the founding chairman of the Zanzibar Legal Aid Centre.

He joined the UDSM in the 1970s, and worked at the university as a lecturer until his death.

Prof Othman, who was a lawyer and lecturer in development studies, will be remembered as a member of the renowned Nyalali Commission, whose findings and proposals led to the re-introduction of political pluralism in the country.

UDSM vice-chancellor Rwekaza Mukandala said the university community was shocked by the sudden death of one of its most hardworking and respected lecturers.

Funeral arrangements were being made at Prof Othman?s residence at Michenzani area in Zanzibar, and his is burial is scheduled for today at Masharifu Chuini area.

He leaves behind a widow, Saida Yahya Othman, who is a lecturer in linguistics at the UDSM, and a son, Tahir.

Mr Hamad said Prof Othman's death had shocked him as they had met only a few hours earlier during the launch of a book about his (Mr Hamad's) political career.

"I'm deeply shocked?it was only yesterday (Saturday) that Prof Othman was among guests who attended the launch of the book on my political life. He also edited the book," said Mr Hamad, who is also secretary-general of the opposition CUF.

He noted that this proved that Prof Othman was dedicated to his professional work.

"The University of Dar es Salaam, Zanzibar, Tanzania and Africa in general have all suffered a big loss?Prof Othman was a man with considerable knowledge in politics and law," Mr Hamad added.

Prof Othman will be remembered for his bold stand on various issues. He never hesitated to criticise the leaders of both the Union and Zanzibar governments whenever he thought they had gone astray, particularly on Union matters.

He had spent all of his adult life at the UDSM?s Institute of Development Studies (IDS), where he was once its director.

The soft-spoken don has left a treasure of literary and academic works at the UDSM and in many other academic circles.

The head of the UDSM Political Science and Public Administration Department, Dr Bernadette Kilian, was among those who expressed their shock upon learning of Prof Othman's sudden demise.

A prominent Pan-Africanist, Prof Othman was a leading authority on African issues. He had on numerous occasions commented on internal conflicts and post-election violence in Africa.

The local media has also lost an important source in that he was readily available to comment on various issues. Prof Othman regularly featured in The Citizen's Political Platform magazine, which is published on Wednesdays.

Apart from Union matters, he discussed a wide range of issues from the collapse the former USSR and its implications to global politics to the strife in Somalia and Darfur.

He pursued graduate and postgraduate studies in law in the former USSR where he graduated with an LLM. He later pursued a postgraduate diploma in refugee law at Antwerp University in Belgium and a PhD in law at the UDSM.

The executive secretary of the Media Council of Tanzania (MCT), Mr Kajubi Mukajanga, said the death was a big blow to the local media fraternity.

He said Prof Othman had twice served as chairman of the MCT Finance and Administrative Committee.

He was an ordinary member of the council after relinquishing his leadership posts last December.

"He was a most articulate and resourceful person and his death is a severe blow to the media, academia and the country in general," Mr Mukajanga said.

Reported by Salma Said in Zanzibar and Elias Mhegera in Dar es Salaam

*********************************************************************

REST IN ETERNAL PEACE

Tapeli Bernard Madoff Afungwa Miaka 150!


Tapeli Mkuu wa Marekani, Bernard Madoff, amehukumiwa kifungo cha miaka 150 jela. Madoff alitapeli matajiri, vyuo vikuu, mahospitali na wengine zaidi ya dola bilioni 70. Waathirika wote ni wayehudi wenzake. Ilikuwa jambo la fahari kuingia kwenye klabu ya Madoff na kufungua akaunti naye. Kumbe hamna lolote. Pesa za waweka hisa wapya alikuwa anawapa waliokaa siku nyingi. (Ponzi Scheme) Jamaa aliwahi kuwa mkuu wa NASDAQ! Walikuwa wanamwamini kweli. KUMBEEEE!

Asante Madoff kuna waliokuwa matajiri ambao sasa ni makamchape kama sisi. Utasikia huyo alipoteza pesa zake na Madoff, sasa anafanya kazi Walmart, au Starbucks kusudi wapate pesa za chakula cha kawaida tu.

Haya story ya Madoff haijaisha, bado tutaendelea kusikia mengine.

Kwa habari zaidi someni:

Saturday, June 27, 2009

Uchumi Wetu Blog

Mambo vipi Da' Chemi,

Pokea salamu zangu.

Ningependa kukupongeza kwa kazi yako nzuri na ya heshima unayofanya katika mtandao wako wa SWAHILITIME. Inatuhamasisha na kutupa michapo katika maswala tofauti hasa mambo ya ughaibuni.

Inspired by your blog and many other bloggers I have taken it up the challenge and created a blog modelled around it for making important Business and Economic News and Info about Tanzania.

Kindly spread the word for people to visit the blog and receive the latest business and economic news/info on TANZANIA.


BLOG: ECONOMY TICKER
URL: http://www.economyticker.blogspot.com

Natanguliza shukrani zangu.

Pamoja,
ECONOMY TICKER

Barua pepe: uchumiwetu@gmail.com

Friday, June 26, 2009

Hasheem Thabeet atakuwa Grizzilies

MBongo Hasheem Thabeet, ameingia rasmi NBA. Atachezea timu ya Memphis Grizzilies. Namtakia mafanikio mema akiwa NBA.

Mnaweza kupata taarifa zaidi hapa:

http://www.nba.com/grizzlies/

http://www.wmctv.com/Global/story.asp?S=10598452

MaCelebrity Halahala na Tarehe 25!!!

MaCelebrity waliokufa tarehe 25:

JAMES BROWN - December 25th

AALIYAH - August 25th

LISA 'LEFT EYE' LOPES - April 25th

MICHAEL JACKSON - June 25th

Daktari wa Michael Jackson Anatafutwa na Polisi!

Jana, walisema wapelelezi wa mauaji (Homicide) wamekwenda kwenye nyumba aliyokodi Michael Jackson kufanya uchunguzi. Sasa kuna habari kuwa daktari aliyekuwa anamtibu nyumbani kwake haonekani!

********************************************************************
June 26th, 2009

Cops look for Jackson’s doctor

Posted: 12:29 PM ET

LOS ANGELES, California (CNN) — Police are looking for Michael Jackon’s personal physician but have been unable to contact him, they said Friday.

The doctor’s car was towed from Jackson’s home Thursday and impounded, authorities said.
The car may contain “medications pertinent to the investigation” into Jackson’s death, said Detective Agustin Villanueva of Los Angeles Police Department said.
Police did not release the doctors name.

Kwa habari zaidi soma:

http://www.google.com/hostednews/ap/article/ALeqM5iJN6FHrmT75HzSZChIb2PDzFEDXgD992F6Q00

Kifo cha Michael Jackson Karibu Kiue Mtandao!

Duh! Hivi mna habari kuwa Mtandao (internet) karibu ife jana. Kisa, watu dunia nzima walikuwa wanatafuta habari za kifo cha Michael Jackson. Kama ulifanya search na kuona ilikuwa taratibu mno sababu ilikuwa hiyo, watu wengi mno waliingia kwenye neti.

Inanikumbusha siku ile 9/11. World Trade Center ilivyoangushwa. Internet ilianguka siku hiyo.

Mnaweza kusoma habari zaidi hapa:

http://edition.cnn.com/2009/TECH/06/26/michael.jackson.internet/

Thursday, June 25, 2009

Vifo Vya MaCelebrity Wiki Hii

Ed McMahon 1923 - 2009

Ushauri - Muziki wa Michael Jackson

Nendeni dukani na ITunes nk. mkanunue CD's za Michael Jackson kabla hawajapandisha bei. Sijui kwa nini hapa Marekani msanii akifa ndo muziki, michoro, nk. ina kuwa mali kweli.

Halafu, kwenye FOX News niliona video iliyopigwa hivi karibuni. Kwa kweli MJ alikuwa amekondeana kama 'scarecrow'. Alikuwa amebakia mifupa na ngozi tu! Wanaongelea jinsi alivyokosa imani na watu tangu ile kesi ya yule kijana wa kizungu adai eti MJ alimbaka.

REST IN PEACE MICHAEL JACKSON

Tanzia - Michael Jackson

Michael Jackson 1958-2009

Wadau, watu wanashangaa na kulia. Michael Jackson amefariki dunia leo! Alikuwa anajiandaa kwa ajili ya concerts na watu walikuwa wanasubiri albamu yake mpya.

Taarifa ya habari inasema kuwa alifariki saa sita na dakika 20 (Pacific) mchana. Alikuwa ametoka kwenye mazoezi, ndipo alianguka. EMT's/911 waliitwa na walikuta hapumui na moyo umesimama. Walijitahidi kwa kila mbinu waliokuwa nayo kumfufua lakini wapi.

Michael atakuwa na imani sasa, maana maisha yake kwa kweli yalikuwa ya ajabu. Muziki wake ulipendwa lakini watu walibakia kushangaa jinsi alivyokuwa anaogea madawa ya bleaching (kujikrimu) mpaka kawa kama mzungu. Alifanya surgery usoni na kuchonga pua. Alikataa asili yake ya uafrika. Alisema kuwa anajitengeneza kuwa kama Mwenyezi Mungu alivyotaka awe. Na watu walisema, Michael, Mungu alikuumba alivyotaka yeye.

Tuache utani, na kumlaani sasa. Amefariki na familia yake, marafiki na mashabiki wake wamebakia na majonzi. Muziki wake utakumbukwa daima.

REST IN ETERNAL PEACE MICHAEL JACKSON
Kwa habari zaidi someni:

Michael Jackson Apata Heart Attack!


Michael kabla hajajigeuza kuwa mtu mwingine wa ajabu

DUH! Makubwa! Habari zinasema kuwa Michael Jackson alikutwa nyumbani kwake, hapumui na moyo wake umemisama! Lakini hospitali za Marekani nzuri wanaweza kumfufua, na hivyo tajiri. Tumwombee apone, ila ndugu zake wanasema afya yake ilikuwa mbovu kweli hivi karibuni.

***********************************************************
Michael Jackson in Cardiac Arrest, Rushed to Hospital

http://www.eonline.com/uberblog/b131160_michael_jackson_in_cardiac_arrest.html

Today 2:07 PM PDT by Ashley Fultz

Michael Jackson has been rushed by ambulance to the hospital after collapsing at his home.

"The call came in because a person was not breathing," says a spokesman for the Los Angeles City Fire Department, who says paramedics were dispatched to Jackson's Holmby Hills mansion shorty after noon today.

"When the team arrived, they saw that CPR was already in progress by someone at the home. The person not breathing was transported to UCLA Medical Center and remains there."

His immediate condition is unknown.

Michael's father, Joe Jackson, says he had been alerted to the emergency but didn't have any additional details.

"I am in Las Vegas, but yes, people in Los Angeles called me and are with Michael and tell me he was taken to the hospital," the elder Jackson tells E! News. "His mother is on her way to the hospital now to check in on him.

"I am not sure what's wrong. I am waiting to hear back from them."

(Originally published June 25, 2009, at 1:50 p.m. PT)




Gavana wa South Carolina Atoroka na Kimada

Governor Mark Sanford (South Carolina)

Bila shaka mmesikia habari za Gavana wa South Carolina kupotea kwa siku kadhaa. Alivyotokea alisema kuwa eti alienda kutembea (hiking) kwenye milima ya Appalachian. Kumbe kuna mtu alimwona kwenye uwanja wa ndege akitokea Argentina na kampiga picha!

Hapo sasa ilibidi gavana aseme ukweli. Alienda Argentina kumfuata kimada wake. Kimada mwenyewe ni mwanamke kutoka huko Argentina. Anasema kuwa alimjua huyo mwanamke kwa miaka minane, lakini alianza uhusiano wa kimapenzi naye mwaka jana. Alisema alienda Argentina mara tatu kumwona. Gavana Sanford ana mke na watoto wanne wa kiume, lazima wameaibika.

Habari zinasema kuwa mke wake aligundua habari ya mume wake kutembea nje ya ndoa na kamfukuza ndani ya nyumba yao kama wiki mbili zilizopita! Na pia eti hizo safari za Argentina zimelipiwa na walipa kodi wa South Carolina! Hmmm, naona itabidi jamaa ajiuzulu.

Hapa Marekani ingawa watu wengi wanatembea nje ya ndoa zao ni mwiko na jambo la aibu. Inaweza kumwangusha mtu mkubwa mwenye cheo. Siyo kama nchi zingine amabako dume akitembea nje ya ndoa eti ni jambo lakujivunia na inaonyesha eti ni mwanaume!

Cha kuchekesha zaidi jamaa ni Republican. Hao Republican wanajidai watakatifu, wapenda familia wasio na makosa...kazi kusema wenzao! Kumbe wao ndo mabingwa wa kutembea nje, na uhuni mwingine!

Kwa habari zaidi someni:

http://www.cnn.com/2009/POLITICS/06/25/sanford.fallout/index.html

http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2009/06/24/AR2009062402504.html

http://www.mercurynews.com/politics/ci_12678735


******************************************************************

Kusoma habari ya e-mails za mapenzi kati ya Gavana na kimada soma hapa:

http://www.thestate.com/sanford/story/839350.html

http://www.cnn.com/2009/POLITICS/06/24/south.carolina.governor.emails/index.html

"I could digress and say that you have the ability to give magnificent gentle kisses, or that I love your tan lines or that I love the curve of your hips, the erotic beauty of you holding yourself (or two magnificent parts of yourself) in the faded glow of the night's light -- but hey, that would be going into sexual details ..."
"...while all the things above are all too true -- at the same time we are in a ... hopelessly impossible situation of love...." he added.


DUH!!!!!

ATM Fraud in Dar - Message from U.S. Embassy

U.S. Embassy
Dar es Salaam, Tanzania
Warden Message - ATM Fraud
June 24, 2009

Several American citizens have reported to the U.S. Embassy in Dar es
Salaam that money has been taken from their bank accounts by an
unidentified person in Nairobi, Kenya. All of the complainants stated
they used ATMs in Dar es Salaam. The Embassy is unsure of the method
the perpetrators are using and must assume that all ATMs in Tanzania are
potentially compromised.

The Embassy strongly recommends that American citizens check their
accounts and determine if any unusual withdrawals have occurred. If so,
the Embassy suggests American citizens contact their bank immediately.
The bank is in the best position to take measures to prevent further
losses. The Embassy is working closely with the Tanzanian police on
this matter.

Updated information on travel and security in Tanzania may be obtained
from the Department of State by calling 1-888-407-4747 toll free in the
United States and Canada, or for callers outside the United States and
Canada, a regular toll line at 1-202-501-4444. For further information
please consult the Country Specific Information for Tanzania, the East
Africa Travel Alert, and the Worldwide Caution Travel Alert, which are
available on the Bureau of Consular Affairs Internet website at
http://travel.state.gov .

The Consular Section of the U.S. Embassy in Tanzania can be contacted by
telephone [255](22) 266-8001 x 4122 and fax [255](22) 266-8238.
You may also contact the U.S. Embassy in Tanzania via email at
drsacs@state.gov.

After hours American Citizen emergencies should call [255] (22)
266-8001.

Wednesday, June 24, 2009

Zilipendwa - Lady na Lionel Richie



'LADY' na Lionel Richie

Uteuzi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara kama ifuatavyo kwa lengo la kujaza nafasi zilizokuwa wazi pamoja na kuongeza ufanisi wa kazi kwenye Wizara kama ifuatavyo:-

1. Bwana ELIAKIM CHACHA MASWI - ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, (TAMISEMI) atakayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa. Kabla ya uteuzi huo, Bwana Maswi alikuwa Kamishna Msaidizi wa Bajeti, Wizara ya Fedha na Uchumi.

2. Bwana JUMANNE ABDALLAH SAGINI – ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI atakayeshughulikia Elimu ya Msingi na Sekondari. Kabla ya uteuzi huu Bwana Sagini alikuwa Mratibu wa Mradi wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

3. Dr. SHAABAN RAMADHANI MWINJAKA – ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko. Kabla ya uteuzi huu Dr. Mwinjaka alikuwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango, Ofisi ya Makamu wa Rais.

4. Bi. ELIZABETH JOKTAN NYAMBIBO – ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Kabla ya uteuzi huu Bi. Nyambibo alikuwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko.

5. Bwana ULEDI ABBAS MUSSA – ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Kabla ya uteuzi huu Bwana Mussa alikuwa Mkurugenzi wa Biashara na Uwekezaji kwenye Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

6. Dr. PATRICK S. J. J. MAKUNGU – ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia. Kabla ya uteuzi huu Dr. Makungu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa ‘Centre for Agricultural Mechanization and Rural Technology’, Arusha.

Uteuzi huu unaanza tarehe 13 Juni, 2009.

(Phillemon L. Luhanjo)
KATIBU MKUU KIONGOZI

IKULU,
DAR ES SALAAM.

23 JUNI, 2009

Tuesday, June 23, 2009

Matapeli Hawachoki

ساليف
مراجعة حسابات & قسم الحسابات
بنك التنمية الأفريقي
بوركينا فاسو واغادوغو

صديقي العزيز ،

قال لتحية لك وللعائلة بأكملها!

وأنا على ساليف السيد أحمد وهو مصرفي مع البنك المذكور أعلاه في واغادوغو في بوركينا فاسو في غرب أفريقيا ، وشغل منصب والتدقيق & قسم الحسابات. كانون الاول / ديسمبر ، 25 ، 2003 ، السيد واحد. فيليب ليش ، الوطنية اللبنانية ، وقال رجل الاعمال ذكي لها سمعتها الدولية ، عقدا مع الجماعة الاقتصادية لدول غرب البلاد ، والمساعي التي تغطي مختلف مجالات الأعمال الاهتمام ، (العقارات والزراعة والعقد. إلخ) قدم الوقت المرقمة (الثابتة) وديعة بقيمة 15.8M بمبلغ (خمسة عشر مليون وثمانمائة ألف دولار من دولارات الولايات المتحدة) لمدة اثني عشر شهرا تقويميا في فرع بنك بي.

عند تاريخ الاستحقاق ، أرسلنا روتينية إخطار الشحن التصدي له ولكن من مجيب. بعد شهر ، وسلمنا تذكرة وأخيرا اكتشفنا من شركته التي Phillip.was السيد ليخ AF4590 على متن الطائرة التي تحطمت كانون الأول / ديسمبر (25 عاما) عام 2003. بعد إجراء مزيد من التحقيق ، اكتشف انه مات دون وصية وفشلت كل المحاولات لتتبع أقرب أقربائها نتيجة. على إجراء مزيد من التحقيق ، اكتشف أن الراحل السيد فيليب ليش ، لم تعلن أي الأقرباء أو أقارب له في جميع الوثائق الرسمية ، بما فيها البنك الدولي ورقة عمل وديعة في مصرف هنا. كامل المبلغ ، 15.8M دولار ما زال في بلادي لمصلحة البنك ويجري رحلت مع المبلغ الأصلي في نهاية كل عام. كل الجهود لتعقب وتحديد مواقع أقرب أقربائها بالفشل.

وفقا للبلد دستور والقوانين المصرفية توجيه هذه المؤسسة المصرفية أنه بعد انقضاء 5 سنوات ، إذا لم يكن للهيئة أو الشخص الذي يأتي عن المطالبة باعتبارها أقرب الأقرباء ، وهذه الاموال سوف تعود إلى حكومة بوركينا فاسو الخزانة إذا لا أحد تنطبق أقرب الأقارب للمطالبة للصندوق. ونتيجة لذلك ، ومن على هذا الصدد ، أود أن أطلب منكم أن بوصفها الشريك الأجنبي في الوقوف على النحو التالي للأقرباء الراحل السيد فيليب ليش ، لأن أحدا لن يخرج عن هذه المطالبة.

وعند قبول هذا الاقتراح ، وسوف يرسل لك بالبريد البنك بنك "الأقرباء الدفع تطبيق نموذج نص" ، وكذلك معلومات مفصلة عن كيفية عمل هذه ستنفذ. وسوف تكون في موقف 40 ٪ afterer تتم الصفقة ، واستطيع ان اضمن انه سيتم تنفيذ هذا المشروع في إطار الترتيبات التي حمايتك من أي انتهاك للقانون ، وأنا موقفي وسوف تستخدم في البنك هنا لاتقان هذه الاعمال & تأمين الموافقات المعاملة وضمان التنفيذ الناجح لهذه الصفقة.

يرجى أن تكون على علم بأن ما تتمتعون به أكبر قدر من السرية. إذا كانت هذه المصالح لكم ، وأريد أن أذكركم سرية هذه الصفقة في متناول اليد ما هو قراركم. وأنا في انتظار تدخلكم العاجل وردا على ذلك ، ولسد هذه المسألة أدناه لنتمكن من المضي قدما في هذه الأعمال.

الأسم..........................................

جنسك................................................

عمرك..............................................

البلد الخاص بك في...

تصاريح المرور الخاصة بك أو الصور...........................

مهنتك...............................

رقم الهاتف المتحرك الخاص بك الشخصية.............

بمجرد أن تتسلم ط ط الاستجابة الايجابية سوف ترسل إليكم نص الطلب الذي ستستخدمه لتطبيقها في بلادي بنك الأقرباء.

شكرا.
المخلص
ساليف السيد أحمد

Monday, June 22, 2009

Ajali ya Treni D.C.! Watu Saba Wafa!

Wadau wa D.C., wazima? Poleni na ajali. Na hizi ajali za subway zimezidi siku hizi!

*****************************************************************
June 22, 2009 - 10:45pm

Monday, June 22, 2009. WASHINGTON - A Metro train smashed into the back of another at the height of the Monday evening rush hour, killing at least six people and injuring scores of others as cars from the trailing train jackknifed into the air and fell atop the first.

One of the fatalities was a female train operator, Metro officials say. The woman's name has not been released.

D.C. Fire Chief Dennis Rubin says more than 70 people were transported to hospitals. Of those, two people have life-threatening injuries and 50 are classified as "walking wounded" injuries.

D.C. Police Chief Cathy Lanier says people who believe their loved ones were on the train can dial 311.

"It looks to be the worst Metro accident in D.C. history," D.C. Mayor Adrian Fenty says.

Metro General Manager John Catoe says it appears one of the trains was stopped on the tracks awaiting permission to clear the station when another train came up behind it and slammed into the back of the train.

"I give my deepest condolences to the families of those who lost their lives today," Catoe says. "This is an incredibly tragic event. We will get to the bottom and find out what happened."

Rubin says there are about 200-250 firefighters on the scene. The firefighters are working to clear each train car. Two D.C. firefighters were injured, but their injuries are minor, Rubin says.

Authorities have scheduled a news conference for 8 a.m. Tuesday.

D.C. Police are asking everyone to stay away from the scene. Police have closed New Hampshire Avenue from Eastern Avenue to North Capitol Street as authorities investigate.

Metro is advising that people avoid the Red Line for the rest of the night.

The Red Line will be closed between the Silver Spring and Rhode Island stations through the Tuesday morning rush hour. Riders should expect an hour delay on the Red Line Tuesday. All trains will be running manually on Tuesday according to Catoe.

Shuttle buses will operate between Silver Spring and Rhode Island Avenue stations. Metro buses can hold 50-60 people.

Other Red Line trains will run in manual mode and at reduced speeds.

Washington Hospital Center is treating seven of the injured people, WTOP's Kate Ryan reports.

The National Transportation Safety Board is now leading the investigation.

The six-car train derailed and then collided with another train on an elevated track between the Takoma Park and Fort Totten stations around 5 p.m. Monday, trapping dozens of passengers.

Each train had six cars and was capable of holding as many as 1,200 people.

Emergency crews from Montgomery, Prince George's, Fairfax and Arlington counties are responding, Rubin says. Officials are urging people to stay away from the scene.

The trains are "lodged on top of one another," D.C. Fire and EMS spokesman Alan Etter says. Officials are preparing for a "mass casualty event," Etter says.

Rescue crews were using heavy duty equipment - including the jaws of life - to cut the train apart to rescue at least 100 people who were trapped, officials say. The extrication process appeared to be over just before 7 p.m.

Rescue workers propped steel ladders up to the upper train cars to help survivors escape. Seats from the smashed cars had spilled out onto the track.

WTOP's Hank Silverberg, who was on the scene, reports that four cars from one train are on top of the other train, with the front of the cars completely split open.

"It looks like a deck of cards falling on top of one another," Silverberg says. "It looks almost like the trains hit each other in a head-on collision."

The trains look like "a tangled roller coaster," reports WTOP's Patricia Guadalupe, who is on the scene.

"It looks like an accident at a roller coaster ride," Guadalupe reports.

Metro spokesperson Candace Smith calls the scene "terrible."

"One rail car is about a third of the way on top of another rail car," Smith says.

President Barack Obama sent his condolences to the victims of the crash.

"Michelle and I were saddened by the terrible accident in Northeast Washington D.C. today," Obama said in a statement issued Monday night. "Our thoughts and prayers go out to the families and friends affected by this tragedy."

The president also thanked rescue personnel who helped to save lives.

At Howard University Hospital, Dr. Johnnie Ford, an emergency room doctor, said a 14-year-old girl suffered two broken legs in the accident. A 20-year-old male patient "looked like he had been tumbled around quite a bit, bumps and bruises from head to toe," Ford said.

Homeland Security Department spokeswoman Amy Kudwa said less than two hours after the crash that federal authorities had no indication of any terrorism connection.

"I don't know the reason for this accident," Metro's Catoe said. "I would still say the system is safe, but we've had an incident."

The train was headed toward the Shady Grove station at the time of the accident, which occurred near the Maryland-D.C. border and the New Hampshire Avenue overpass.

Metro trains typically run through the station around 44 miles per hour, Silverberg reports.

Officials would not say how fast the train was traveling at the time of the accident. The crash occurred in an area with a sizable distance between rail stations in which trains are allowed to travel at higher speeds, Metro spokeswoman Candace Smith said.

The trains' devices that record operating speeds and commands are being turned over to the NTSB, Smith said.

MARC's Brunswick Line has been suspended for Tuesday because of the derailment. MARC says it is trying to arrange a bus bridge. The derailment has not affected the Penn or Camden lines.

Monday's incident was the second involving customer fatalities in Metro's 33-year history. In 1982, three people died after a train derailed between the Federal Triangle and Smithsonian stations.

In 2004, two Metro trains collided at the Woodley Park/Zoo-Adams Morgan station, resulting in some minor injuries.

(Copyright 2009 by WTOP and The Associated Press. All rights reserved.)

**************************************************

Kwa habari zaidi soma:

http://www.cnn.com/2009/US/06/23/washington.metro.crash/index.html

Chemi on Twitter

Wadau, na mimi niko Twitter siku nyingi. Nilikuwa situmii, lakini naona nitaitumia sasa.

Muaji Callixte Kalimanzira Afungwa Miaka 30!


Callixte Kalimanzira, mmoja wa viongozi waliopanga mauji ya waTutsi huko Rwanda mwaka 1994, amepewa adhabu ya kifungo cha miaka 30 na mahamakama ya kimataifa huko Arusha! Kwa waliokuwepo wakati ule watakumbuka jinsi watu waliokuwa marafiki na majirani walivyoanza kuuana ovyo bila huruma. Hata kama mtu alikuwa nusu mTutsi, nusu MHutu ilikuwa kwa heri maana walipania kweli kumalia UTutsi juko Rwanda. Nafurahi kusikia jamaa anafungwa lakini wako wengi zaidi walioongoza mauji huko Rwanda. Na mbona kesi zao zinachukua miaka na miaka!!!?
Mnaweza kusoma habari zaidi hapa:
http://appablog.wordpress.com/2009/06/22/30-years-imprisonment-for-callixte-kalimanzira/

************************************************
Kutoka CNN.com

(CNN) -- A former Rwandan official was sentenced to 30 years in jail for his role in the death of "thousands of Tutsi refugees" in country's 1994 genocide, a court announced Monday.

Callixte Kalimanzira, a top Interior Ministry official at the time, "lured" the refugees to Kabuye hill and helped "provide armed reinforcements" to attack and kill them, the International Criminal Tribunal for Rwanda said in a statement.

The court found Kalimanzira "guilty of genocide and direct and public incitement to commit genocide," it announced.
"By encouraging Tutsi refugees to gather at Kabuye hill where he knew they would be killed in the thousands, he abused the public's trust that he, like other officials, would protect them," the court said.

It also found him guilty of encouraging genocide on four other occasions in April and May 1994.
The time he has spent in jail since handing himself over to the court in November 2005 will be deducted from his 30-year sentence.

Following the 1994 assassination of then-Rwandan President Juvenal Habyarimana, extremist militias made up of ethnic Hutus slaughtered ethnic Tutsis across Rwanda, beginning in April. Within 100 days, an estimated 800,000 people were killed.

The genocide ended when Tutsi-led militias backing Rwandan President Paul Kagame ousted the Hutu government supporting the massacre.

Raha Leo Chauffeur


RAHA LEO CHAUFFEUR

IPAMBE SHUHULI YAKO KWA STYLE!


TUNAKODISHA MAGARI YA KIFAHARI KAMA MERCEDES BENZ ML, LIMOSINE, BMW X5, RANGEROVER SPORTS NA MENGINEYO KWA BEI NAFUU

MAHARUSI

MAHITAJI BINAFSI (SELF DRIVE), HOLIDAY ETC

SHUHULI ZA KIKAZI (BUSINESS SHUTTLES AND CHAUFFER DRIVEN)

WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0784211818 AU EMAIL US: rahaleo133@gmail.com

Habari zaidi za Marehemu Maggie Kigoni

Asante Mdau FM kwa maelezo.

Magdalena "Maggie" Kigoni alizaliwa Mwanza March 27 1980, Tanzania. Marehemu baba yake ni Mnyamwezi toka Tabora na mama yake ni Msambaa toka Lushoto Tanga. Maggie alikuja Marekani na wazazi wake akiwa na miaka miwili. Alikulia Jamaica Plain, Massachusetts. Alisoma primary katika shule ya Louis Agassiz na middle school Mary E Curley. Alihitimu high school katika shule ya John D O'Bryant School of Math and Science mwaka 1988. In short ni Mtanzania.

Habari zaidi za Ze Utamu Kukamatwa

Haya, naona karibu tutasikia rasmi jina la aliyekamatwa. Na kweli huwezi kumchokoza mkuu wa nchi.

***************************************************************
Kutoka ippmedia.com

How `Ze Utamu` host was nabbed

Na Staff writer

21st June 2009

He rose suddenly from the IT World, conquering the corridors of celebrities in Tanzania due to his ability to post damning pictures online with some of these pictures showing celebs and politicians naked, before he was nabbed this week in Essex, UK.

The man behind the reckless website that has highly damaged the reputation of over 6,000 Tanzanians including the head of state was arrested in a well planned move coordinated by the Tanzania intelligence community and their counterparts from UK and Israel, The Guardian on Sunday has learnt.

According to the well placed sources within the Interpol, just a few days after the report that damning cropped pictures purportedly showing the head of state were posted online, the intelligence communities tasked its IT experts to track down the culprit behind the defamatory website.

To nab the host of the website, local IT experts from the intelligence communities contracted their counterparts from Israel who helped tracing the real host and author of the popular website known as ‘www.zeutamu.com’.

After conducting a thorough investigation to various local Internet Service Providers, it was concluded that the server that host the website originated in the United Kingdom.

This, according to sources, was reached after analysing over one hundred posts posted in the website whereby their origins finally showed the country’s code used in hosting internet services.

Following that link, local IT experts from Intelligence Communities contacted their counterparts in UK mainly from MI5, in order to establish the person behind the website.

The investigation within UK was conducted by experts whereby finally the real suspect behind the website was located after his Internet Service Provider was identified.

The ISP provider was interrogated thoroughly and finally the experts established the real identity of the man whose website has defamed and offended a total of 6,080 prominent Tanzanians, including politicians, celebrities and others.

The dramatic move by the local intelligence communities is the first to be done in East Africa in cracking down online crimes, sending an alarming message to the growing number of bloggers inside and outside the country.

Perhaps the most disturbing question is that the man behind this damning website is a highly trained IT expert who was educated by taxpayers’ money and has a link to some of the prominent political figures in the country.

The investigators are still conducting thorough investigations to establish other local suspects who have been collaborating with the blogger to post damning and defamatory pictures online during the past few months.

After concluding their findings, the investigators tipped Interpol as required by international law in order to arrest the suspect.

Interpol working on the tips from intelligence officials raided the home of the suspect early this week in Essex, UK, and arrested the suspect who is a Tanzanian national.

The Tanzanian national aged 39 years old is an expert in IT with strong command in both written and oral English, Chinese and Swahili languages.


When you rattle the snake get prepared for its reactions…You can’t mess around with people including the head of state and expect to walk freely, ” a senior official from the Interpol told The Guardian on Sunday under conditions of anonymity.

CHANZO: GUARDIAN ON SUNDAY

*********************************************
Mmiliki wa ze utamu adaiwa kukamatwa

Kutoka ippmedia.com

20th June 2009

Mtandao wa Ze utamu ambao mmiliki wake anasakwa kwaudi na uvumba.
Kuna habari kwamba Jeshi la Polisi nchini kwa kushirikiana na Polisi wa Kimataifa (Interpol) wamefanikiwa kumnasa mtu anayedaiwa kumiliki blog ya Ze Utamu ambayo imekuwa ikionyesha picha za kuwadhalilisha watu.

Miongoni mwa udhalilishaji huo ni kuwaonyesha watu wakiwa katika utupu na wengine wakifanya vitendo vya ngono.

Habari ambazo Nipashe ilizipata jana kutoka vyanzo mbalimbali, zilieleza kuwa aliyekamatwa ni raia mmoja wa Uingereza ambaye ana asili ya Tanzania.

Mmiliki huyo anadaiwa kuwa ni mtoto wa kiongozi mwandamizi mstaafu aliyewahi kuitumikia nchi katika nyadhifa kubwa, lakini ana uraia wa Uingereza. Kutokana na sababu za kimaadili hatuwezi kutaja jina lake kwa sasa, hadi vyombo vya usalama vitakapothibitisha.

Kijana huyo anatuhumiwa kwa kuendesha mtandao wa Ze Utamu, ambao umekuwa ukionyesha picha mbalimbali na hasa za watu maarufu, wakiwemo viongozi waandamizi serikalini wakifanya ngono.

Nyingi ya picha hizo na hasa za viongozi zimekuwa zighushiwa (doctored) ili kuwaonyesha kuwa wanafanya vitendo vya aibu kwa nia ya kuwadhalilisha.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba, alipoulizwa kukamatwa kwa mtu huyo nchini Uingereza, alisema kuwa ofisi yake haina taarifa kuhusu kukamatwa kwake.

"Ndugu mwandishi, suala la kushikiliwa mtu huyo ofisi yangu haina taarifa hizo, na pia habari kuhusu mtandao huo sizijui kabisa," alisema Manumba.

Mwishoni mwa Aprili, mwaka huu, Manumba alitangaza kuwa Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Polisi wa Kimataifa wanaendesha msako mkali dhidi ya wamiliki na watu wanaoendesha mtandao wa Ze Utamu.

Na ilipofika Mei 5, mwaka huu, Manumba alimwambia mwandishi wa Nipashe kuwa uchunguzi wa kuwanasa watu hao umefikia patamu.

Nipashe ilipowasiliana na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema, ili kuthibitisha taarifa za kukamatwa kwa mmiliki huyo, askari mmoja aliyejitambulisha kuwa ni msaidizi wake, Joshua Mwangasa, alipokea simu ya IGP Mwema na kueleza kuwa yupo kwenye kikao, lakini akasema kuwa taarifa kuhusu blog ya Ze Utamu itatolewa wakati wo wote kama zipo.

Alipotakiwa kueleza taarifa hizo zitatolewa lini, Mwangasa alishindwa kuweka bayana suala hilo. Hata hivyo, alipoulizwa kama ni kweli wanamshikilia mmiliki huyo, Mwangasa alisema hana jibu hilo na akamtaka Mwandishi Wetu awasiliane na DCI Manumba.

Mwandishi alipomueleza kuwa tayari alishampiga simu DCI Manumba na majibu aliyotoa, Mwangasa alisema kama taarifa hizo kama zipo zitatolewa.

"Mwandishi kama taarifa hizo zipo, zitatolewa wakati wowote ila siwezi kudhibitisha kama anashikiliwa au zitatolewa lini," alisema.

Habari zilizopatikana kuhusu mmiliki huyo, zinaeleza kwamba ni mtaalamu wa kompyuta na ana uwezo wa kuzungumza na kuandika Kiingereza, Kiswahili na Kichina na ana makazi katika mji wa Essex nchini Uingereza.

Taarifa zilieleza kuwa wataalamu wa Idara ya Upelelezi kutoka Tanzania wakishirikiana na wenzao wa Uingereza, walifanikiwa kuonana na mmiliki wa blog hiyo na kupata ushahidi wa kutosha kwamba ndiye alikuwa mmiliki wake.

Habari hiyo ilidai kuwa Idara ya Upelelezi na Polisi wa Uingereza wameutaarifu Ubalozi wa Tanzania mjini London kuhusu suala hilo, ambapo baadhi ya maofisa wa ubalozi huo, Clement Kiondo na Amos Msanjila wanadaiwa kwenye taarifa zilizozagaa kwamba walifahamishwa kuhusu mmiliki huyo.

Nipashe pia ilifanya jitihada za kuwasiliana na ofisi ya ubalozi Tanzania London, Uingereza, ambako ofisa mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Mariam Kombo akidai ni Katibu wa Balozi wa Tanzania nchini humo, Mwanaidi Sinare Maajar, alisema ubalozi huo hauna taarifa ya kukamatwa kwa mmiliki huyo.

Kondo alisema Balozi Maajar alikuwa akihudhuria mkutano na maafisa wengine, lakini alithibitisha kwamba hakuna taarifa za kukamatwa kwa mmiliki huyo ambaye anadaiwa kwamba tayari amekwisharejeshwa nchini ili kujibu tuhuma za kuendesha mtandao unaowadhalilidha watu.

Imefahamika kwamba kuna malalamiko 6,850 yaliyoandikishwa juu udhalilishwaji wa watu uliokuwa ukifanywa na mtandao huo.

Mtandao huo ulisimamishwa mwanzoni mwa Februari, mwaka huu kwa maombi ya serikali ya Tanzania baada ya kutoa picha ya kumdhalilisha kiongozi mmoja mwandamizi wa serikali.

Ufuatiliaji uliofanywa baada ya picha hiyo ndio unaosemekana kufanikisha kukamatwa kwa mmiliki huyo.

Taarifa zaidi zinasema kwamba Polisi wa upelelezi wamewahojiWatanzania wengine wawili katika miji ya Wichita na San Diego nchini Marekani, ambao pia wanahusishwa na mtandao huo.

Saturday, June 20, 2009

Ukweli Kuhusu Utawala wa Rais Omar Bongo wa Gabon

Yaani, huyo marehemu Rais Omar Bongo Ondimba (aka. Albert- Bernard Bongo)wa Gabon alikuwa dikteta mkubwa. Kanyonya nchi yake kweli kweli! Nini kipya?

**************************************************************************

By RUKMINI CALLIMACHI
Associated Press Writer

LIBREVILLE, Gabon (AP) - When longtime dictator Omar Bongo died last week, he left behind at least 66 bank accounts. The first family owned 45 homes in France, including at least 14 in Paris and 11 on the French Riviera. And they boasted of 19 or more luxury cars, including a Bugatti sports model that cost the Republic of Gabon $1.5 million.

But most of the country Bongo governed for 41 years is still covered in jungle. A third of its people live in poverty so dire that some dig through the trash dump to feed their children.
The contrast makes it all the more striking that hundreds of thousands of those people lined the streets of the capital this week to bid goodbye to the 73-year-old ruler who bled their country dry. Women wept and waved signs that said, "Merci Papa" - thank you, father. Businesses put up billboards with messages of loss, such as: "Gabon weeps."

On a continent that has seen more than its share of presidents-turned-dictators, Gabon is perhaps one of the best examples of what analysts call "the chief complex." So long was Bongo in power that his countrymen came to view him as a hereditary chief, a man whose authority is unquestioned.

The acceptance raises the question of what will happen now in a nation that calls itself a democracy but has in fact never known one. Gabon - where Bongo won election six times in a row - will hold its next elections within 90 days. And already, several of the estimated 30 children he fathered are rumored to be jockeying for power.

"The Gabonese don't know what democracy looks like. Their point of reference is the village - and in the village, no one questions the chief," said Anges Ratanga Atoz, a political science professor at Libreville's Omar Bongo University. "And after all, what did Bongo do that was so bad? Did he kill anyone? No."

In the village, each family is expected to turn over a share of their harvest to the chief, who uses the grain to feed his people in times of drought. But if the chief also builds himself a brick-and-mortar house while everyone else lives in grass huts, no one says anything. And when he dies, the people mourn.

Masses of Gabon's 1.5 million people waited outside the airport last week for the convoy carrying Bongo's body on a special flight back from Spain. Several thousand white and red roses were flown in from France for the funeral, and the coffin was placed inside the presidential palace, surrounded by cascading bouquets.

Thousands of people made pilgrimages to pay their respects. Some even slept on the pavement outside the palace, including 42-year-old Agathe Niengui.

It took Niengui five days to finally make it there with a group of market women. The women had taken a collection among themselves to pull together the funds for a meager offering. They placed a small wreath of plastic flowers - the only kind they could afford - at the foot of the coffin.

By the time they got to the palace, so many wreaths of long-stemmed roses had been placed in and around the coffin that there were dozens of crushed roses underfoot. Each one of the imported flowers costs around $10 - as much as Niengui earns in a week selling bananas from a plate on her head.
It doesn't strike her as unfair.

"I have a place to sleep. And I have just enough to eat," she offered as an explanation. "He was the only president I knew - so he was like our father."

Bongo, the world's longest ruling head of state when he died, was only 30 in 1966 when he was tapped to become vice president. The deal was reportedly brokered by France, the country's former colonial ruler intent on maintaining its influence over Gabon. When President Leon M'Ba died of cancer a year later, Bongo took office.

With each passing decade, he consolidated power. He turned his country into a single-party state. Until 1990, he was the only candidate in elections. When opposition parties formed, he allegedly had supporters bussed from town to town to vote multiple times. In 2003, Bongo changed the constitution to get rid of term limits so he could continue running for life.
Bongo's rise to power coincided with the country's oil boom. In his first decade in office, oil production jumped 10-fold, even as prices rose because of the 1973 Arab oil embargo. In just one year, Gabon's national budget tripled.

But as the money poured in, Bongo ignored basic infrastructure in exchange for grand projects. He spent a reported $800 million to build the sea-facing presidential palace and 52 villas to house his guests during a four-day summit of African heads in 1977, according to John Ghazvinian, an expert on Africa's oil economies. By 1985, Libreville held the world record for per capita champagne consumption.

While much of the country still has no paved roads, Bongo spent 14 years and an estimated $4 billion to build a train. He diverted its route at a cost of hundreds of millions of dollars to reach Franceville, the capital of his native province. Since its opening, the train has required a $60-million-a-year subsidy to stay running.
Ghazvinian compared Gabon's recent history to a person of modest means winning the lottery.
"What happens when you're not educated and you don't have a lot of money and you win the lottery? I think you'll see that most people don't end up investing the money. They spend it on prestige and ostentation - as Gabon did," he said.

In 1999, the U.S. Senate Permanent Subcommittee on Investigations launched a probe into Bongo's U.S. accounts. The inquiry revealed that at least $130 million had moved through the president's Citibank accounts, including $49 million in six months.

Bongo asked the bank to convert $1.6 million into cash for a single family trip in 1995 to New York. On another occasion, a third party withdrew $100,000 from Bongo's account, saying it would be delivered to his son.

When pushed to justify the source of these funds, Citibank told investigators that 8 percent of Gabon's budget - around $110 million - is set aside each year for discretionary use by the president's office. Bongo's personal banker said couriers were sent to bring suitcases of cash back from the oil companies operating in Gabon.
"It annoys me to no end when I see the Gabonese lining up to cry in front of his coffin," said Gregory Ngbwa Mintsa, one of Bongo's few critics, who was jailed after signing a lawsuit by anti-corruption watchdog Transparency International attempting to recover Gabon's stolen riches. "The problem is that everyone aspires to be like him. We are in a system that has lasted 40 years. Even the poorest person now thinks that it's normal for people in power to steal."
As the number of heirs to Bongo's fortune increased, so did palace politics.

Bank documents showed increasingly frenetic activity by his numerous children and grandchildren. In 2006 and 2007, the president's granddaughter Nesta Ping opened six bank accounts in France. Another relative - believed to be Bongo's adopted son - spent $5.7 million to buy himself two homes and two apartments in France in 2005, including one in Paris with 13 garage spaces.

Gabonese now worry the president's family will siphon off the country's remaining wealth, including money from the safe that takes up one wall of Bongo's former office.
"The children have emptied out the president's safe," whispered one member of the late president's protocol, who did not give her name for fear of reprisal. "We are worried there won't be enough money to pay our salaries."

A diplomat at the Gabonese embassy in Madrid said the scene played out at the president's deathbed is a sign of what is to come. In May, Bongo - already seriously ill with what is rumored to have been cancer - was flown to Spain and checked into a clinic in Barcelona, where he died June 8.

His children and his closest advisers traveled to Barcelona, but were only allowed as far as the basement waiting room of the Quiron Clinic, said the diplomat, who asked to remain anonymous because of the sensitivity of the matter. The president's eldest daughter - Pascaline Bongo, who was his chief of staff and is married to the country's foreign minister - did not allow anyone to see her father, said the official.

"Even his other children couldn't get in to see him," he said. "She's the executor of his will, so draw whatever conclusion you wish."

The billboards in the capital repeat their messages of adoration even in the places that are the most egregious examples of Bongo's misrule - like the road leading to the capital's dump.
An estimated 400 families spend their days digging with bare hands through the valley of trash, skirting piles of medical waste from a nearby hospital including coils of tubing and bags of blood. They are looking for empty bottles to sell - and food to eat.

"If we find a piece of meat, we shake it off, take it home and give it to our wives to cook," said 41-year-old Crepin Edou, one of the scavengers who was born the year Bongo took office.
When asked about the president's massive wealth abroad, he shrugged. Overall, Bongo was a good ruler, he said, pointing out that unlike many other African countries, Gabon has never had a civil war.

"We may be poor," he said, "but at least I have the right to dig through the trash in peace without worrying about a bullet hitting me."

Friday, June 19, 2009

Dodoma Tanzania Blog

Habari za kazi:

Naomba utusaidie kuitangaza blog yetu ya http://www.dodoma-tanzania.ning.com/ katika blog yako.

Tunakutakia kazi njema

Arusi Inapovunjika Dakika Za Mwisho




Na Da Flora Wingia


Zipo harusi zingine ukisimuliwa mikasa yake utadhani ni sinema za kuigiza. Pilikapilika nyingi tokea uchumba, maandalizi ya harusi zenyewe lakini katika kuhitimisha ndoa hazifungwi. Kulikoni?

Hivi majuzi nilikuwa sehemu katika kikao fulani cha harusi. Ni eneo linalotizamana na barabara kubwa iendayo Bagamoyo. Kabla ya kikao, ukapita msafara ambao tulidokezwa kuwa ni wa Kitchen Party.

Kitchen Party ni tafrija ndogo inayotangulia send-off kisha baadaye harusi. Tafrija hiyo inalenga kumfunda bibi harusi mtarajiwa kabla ya kuanza maisha ya ndoa na mumewe.

Naam. Mimi nikasema, “hayo ni maandalizi ya harusi bila shaka…siku hizi upo msemo kwamba wanaooa au kuolewa miaka hii wanapeleka matatizo nyumbani”.

Baba mmoja aliyeketi pamoja nami akadakiza; “umesema ukweli, harusi za siku hizi si lolote si chochote, gharama kibao lakini muda si mrefu wanaachana”.

Baba mwingine bila kuchelea akasema, “Ngoja niwasimulie ndoa moja iliyovunjika dakika za mwisho na kuacha wengi midomo wazi. Ilihusu jamaa yangu mmoja.

Katika simulizi yake akasema kuwa yupo kaka mmoja ambaye ni jamaa yake alipania kumuoa mwanamama fulani. Maandalizi yakafanyika kuanzia kitchen Party, na send-off vyote vikafanyika.

“Maandalizi ya harusi yenyewe yaligharimu shilingi milioni 18,” kwa mujibu wa baba huyu. Kila kitu kikawa tayari ikabakia kwenda kanisani ili ndoa ifungwe.

Siku ya harusi, bibi harusi akapelekwa saluni kutengenezwa na kuvalishwa.

Bwana harusi naye akapelekwa kuandaliwa. Wageni waalikwa, ndugu na marafiki wakawahi kanisani.

Alivyoeleza baba yule ni kwamba muda wa kwenda kanisani ulipokaribia, ilitakiwa bwana harusi na mpambe wake waenda kumfuata bibi harusi ili kwa pamoja waweze kwenda kanisani.

Lakini ajabu ni kwamba bwana harusi alijaribu kumsaka aliko mkewe mtarajiwa bila mafanikio. Walipokwenda saluni alikopambiwa aliambiwa kuwa yuko jamaa aliyekuja kumchukua na gari lililokuwa limepambwa vilivyo.

Kule kanisani wageni waalikwa pamoja na mtumishi wa Mungu aliyejiandaa kufungisha ndoa ile wakawa wanasubiri kwa muda mrefu wasijue kilichotokea.

Mwishoni wote wakakata tamaa na kutawanyika kurejea kwenye sherehe za harusi kujua kulikoni.

Kumbe baadaye akabainika kuwa yule jamaa aliyekwenda kumchukua bibie pale saluni alikuwa mpenzi wake wa zamani na hivyo kwa pamoja walitorokea kusikojulikana. Inaonekana bibi alikuwa anampenda aliyemtorosha kuliko yule waliyetaka kufunga ndoa naye.

Swali ni je, kwanini mwanamama huyu hakuwa wazi mapema kwa kueleza bayana kwamba bwana harusi yule mtarajiwa hakumpenda bali alikuwa na mwandani wake mwingine?

Hiyo ingesaidia mambo mengi pamoja na kuzuia gharama za maandalizi, usumbufu wa watu waliochanga fedha zao, wakaenda hata kanisani lakini harusi haikufungwa. Ama kwa hakika Maisha Ndivyo Yalivyo.

Ndoa zingine ni vurugu tupu. Usione watu wamesimama mbele ya mashekhe au pale madhabahuni huku maneno mazuri yaliyojaa upendo na matumaini yakiwatoka vinywani. Wengine ni usanii mtupu kama siyo unafiki.

Katika nafsi zao bado wanawakumbuka wapenzi wao wa zamani. Pale altareni inakuwa ni kuthibitisha tu kwamba eti nao wameoa au wameolewa kwa kufunga ndoa takatifu. Kumbe wakishatoka pale, mawasiliano na wachuchu wa zamani yanaendelea kama kawaida.

Matokeo yake ndiyo hayo tunashuhudia kuchipuka kwa nyumba ndogo au wengine wakikufuru zaidi huachana na wenzi wao au kutafuta visingizio ili ndoa zivunjikie mbali.

Haya siyo maisha bali ni kuongeza majanga ya kifamilia. Nyumba moja inakushinda sembuse nyumba mbili au tatu? Sijui labda niseme ‘mwenye nguvu mpishe’ lakini madhara yake hayako mbali.

Msomaji wangu nikuachie nawe uchangie mawazo tuweze kusonga mbele kwa pamoja. Kama unacho kisa unadhani tunaweza kujadili kwa pamoja usisite kuniandikia kupitia email hii hapa chini.

fwingia@yahoo.com
Wasalaam

Tanzanian Blogger Faces Jail Term

Wadau, nitarudisha ile posti ya Ze Utamu Blogger kudakwa, mara ikithibitishwa kuwa ni kweli. Kama nilivyosema, nilitumiwa hiyo habari kwenye e-mail. Baada ya kuitazama vizuri zikuona 'accredited source'. Kwa sasa hebu ona macho yalivyo kwetu na hiyo suala ya Ze Utamu.

Ila kama ni kweli kuwa jamaa wa Ze Utamu wamekamatwa basi lazima niseme, serikali wamefanya kazi. Ila nachosikitika ni kuwa ilibidi wakubwa wadhalilishwe ndo hatua ichukuliwe. Inanikumbusha kesi ya Mzee Punch, huko UDSM mwaka 1987. Punch alizimwa baada ya kumchora Mzee Ruksa na Mzee Kawawa!

Mnaweza kusoma habari na maoni zaidi Jamii Forums:

http://www.jamiiforums.com/habari-hoja-mchanganyiko/31691-ze-utamu-blogger-under-arrest.html

***************************************************************
Tanzanian blogger faces jail term over manipulated photographic images

posted by J. Nambiza Tungaraza on Jun 04, 2009 categories:

The Nairobi Chronicle reports that a Tanzanian blogger faces jail after publishing manipulated photographic images depicting Tanzania’s President Jakaya Kikwete engaging in lewd sex acts.
According to Habari Leo , a Tanzanian newspaper[sw] the country’s police are seeking help from Interpol in tracing the owners and publishers of the blog.

Ze utamu (www.zeutamu.com), probably Tanzania's most controversial blog, came to the limelight by publishing a mixture of Tanzanian Diaspora gossip, nude and sex photographs of well known people as well as name-and-shaming articles. While it attracted many readers, the blog has also attracted criticism.

Some bloggers are of the opinion that the authorities did not care when posts about ordinary citizens were posted at ze utamu. A comment from a blog post at Watanzania Oslo blog that posted the Habari Leo article about the police hunt for ze utamu blog owners says:

Mtandao huu wa ze utamu umkuwepo kwa muda mrefu sana na watu wengi wasio na hatia (raia wa kawaida) wamedhalilishwa sana kupitia mtandao huo kwa picha zao kuwekwa bila ridhaa yao. nyingi ya hizo picha ni za utupu na hata zile ambazo siyo za utupu ziliwekwa bila ridhaa ya wahusika. hivi kuwekwa picha ya rais Kikwete ndo kile chombo kinachojifanya cha usalama kinakurupuka kuwasaka wenye mtandao? […]unafiki mkubwa na ufisadi aina nyingine huu. kudhalilishwa ni kudhalilishwa, ama iwe ni raia tu, kiongozi wa kawaida na hata rais.

Ze utamu has been around for a long time and many innocent people (average/normal citizens) have been shamed through this site when their photographs were posted without their consent. Most of them are nude photographs and even those that are not were posted without consent. Is it true that only by posting the president’s photos has prompted that institution that claims to be the security and regulatory body to jump and pretend to search for the site owners? […] this is hypocrisy, degrading people means degrading people, be they ordinary citizens, leaders or even the president.

That point was also raised by Happy Katabazi :
… wiki hii katika mtandao wa www.zeutamu.com mtandao ambao umejipambanua kwa ajili ya kupachika picha za utupu za watu wa kada zote na wanaotembelea mtandao huo huchangia mawazo yanayohusu maisha binafsi ya faragha za watu…Na wakati mtandao huo ukiendelea kujipambanua mamlaka husika zimekuwa zikiukenulia meno mtandao huu hadi wiki hii ulipotundika picha ya kumdhalilisha rais wetu, ndipo mtandao huo umedhibitiwa kwani hivi sasa hata ukiufungua haufunguki.

… www.zeutamu.com site, a blog that has become popular by posting nude pictures of people from all walks of life while those who visit the site give opinions about people's private lives…And while the site became more popular, authorities [have been done little] until this week when they posted a degrading photograph of our president, and now the site is under control, even when you click the page won't open.

During the heyday of ze utamu some bloggers started campaigns to stop the blog, like the Anti-utamu [sw].

As the police search continues and despite having many readers before its disappearance, bloggers and readers who have openly come out to support Ze Utamu owners can hardly be found - at least at the time of writing this post.

http://advocacy.globalvoicesonline.org/2009/06/04/tanzanian-blogger-faces-jail-term-over-manipulated-photographic-images/

Thursday, June 18, 2009

Ze Utamu Umetufundisha Nini?

Dr. Masangu Matondo Nzuzullima


ZE UTAMU IMETUFUNDISHA NINI?

Dkt. Masangu Matondo Nzuzullima

Alhamisi tarehe 23/4/2009 rafiki yangu mmoja kutoka Dar es salaam alinitumia barua pepe ya kushangaza. Alikuwa analalamika kuhusu tovuti moja iliyokuwa ikiitwa Ze Utamu. Alisema kwamba tovuti hiyo mashuhuri sana ilikuwa ni tovuti ya hatari na ilikuwa imesababisha madhara makubwa katika jamii. Katika barua pepe hiyo alisema kwamba watu Dar es salaam walikuwa hawalali kwani hawakujua kama kesho yake wangejikuta wametamuishwa (kutundikwa katika Ze utamu) ama la. Kwa ujumla mambo hayakuwa shwari. Aliendelea kushangaa ni kwa nini serikali ilikuwa imeiachia tovuti kama hiyo kuendelea kuchafua amani na utangamano wa wanajamii.

Siku hiyo hiyo, gazeti la Majira lilikuwa na makala yenye kichwa cha habari "Waendesha mtandao Ze Utamu wasakwa, Ni baada ya kuwadhalilisha viongozi". Habari hizi pacha zilinitatanisha na kuniachia maswali mengi. Je, hii Ze Utamu ilikuwa ni tovuti ya aina gani na ilikuwa inaandika habari zipi mpaka kulisukuma jeshi la polisi kuacha shughuli zake muhimu za ulinzi wa raia na kuanza kuwasaka wamiliki wake? Niliikumbuka Jambo Forum ambayo nayo katika kilele chake ilileta kizaazaa mpaka wamiliki wake wakakamatwa na jeshi la polisi. Bila kupoteza muda nilikimbilia kwenye google na baada ya sekunde chache tu niliweza kuipata hiyo Ze Utamu. Nilichokiona kilinishangaza kwani sikujua kama Tanzania tulikuwa tumepiga hatua kubwa namna ile katika uhuru wa vyombo vya habari. Japo mitandao ya udaku imezoeleka sana katika nchi za Magharibi ambako kusema kweli hakuna mtu anayeshangazwa nayo tena, Ze Utamu kidogo ilikuwa tofauti. Hata huku kwa wazungu, sijawahi kuona mtandao ambao lengo lake ni kutukanana na kuchafuliana majina na hadhi. Kinyume na mitandao iliyotangulia kama vile Jambo Forum ambayo ilijikita zaidi kushambulia tabaka fulani la watu katika jamii, Ze Utamu yeye alikuwa hachagui tabaka la mtu wala nafasi na hadhi yake katika jamii – si matajiri, si masikini, si wanawake, si wanaume, si wazee, si vijana, si viongozi, si waongozwaji, si mafisadi, si wasafi – kila mtu alikuwa sawa mbele yake. Kinyume na nchi za Kimagharibi, mitandao na magazeti ya udaku huwa hayatiliwi maanani sana na wasomaji; na mara nyingi hakuna anayejihangaisha na kutaka kuthibitisha habari yanayoziandika. Gazeti la udaku la Globe kwa mfano limekuwa likiandika mara kwa mara habari zinazodai kwamba Obama ni shoga na kwamba aliwahi kuwa na mpenzi mwanamme wakati akiwa bado seneta (tazama www.matondo.blogspot.com). Kila mtu anajua kwamba habari hizi ni za uwongo na hakuna anayezijali wala kuzitilia maanani hapa Marekani. Hii ndiyo tofauti kubwa na nyumbani ambako watu bado wanadhani kwamba kila kitu kinachoandikwa katika magazeti au katika mtandao basi ni cha ukweli. Kama hili lingeeleweka, tovuti kama Ze Utamu isingeweza kuwa mashuhuri na kufikia hatua ya kuwanyima watu usingizi.

Ze Utamu ilikuwa nini?

Kimsingi, inavyoonekana Ze Utamu ilikuwa ni tovuti ambayo (kama walivyodai waendeshaji wake) ilikuwa na lengo la kurekebisha tabia za wanajamii wote bila kujali nafasi zao. Lengo lake kuu lilikuwa ni kupambana na ufisadi - ukiwemo ule wa ngono - na matendo yote machafu yaliyoonekana kukiuka maadili ya jamii yanayotendwa na mtu ye yote katika jamii bila kujali tabaka lake.

Kama tovuti hii ingemakinikia lengo lake hili, kwa hakika ingekuwa chombo makini na cha muhimu sana ambacho kingetoa mchango mkubwa katika kutetea maadili ya jamii ya Kitanzania wakati huu ambapo utandawazi unameza kila kitu kilicho chetu tena kwa kasi ya kutisha. Mitandao na magazeti ya aina hii wakati mwingine yamechangia kuibua kashfa nzito nzito za viongozi katika sehemu mbalimbali duniani. Kwa mfano, John Edwards - mgombea mwenza wa uraisi wa Marekani mwaka 2004 na mgombea uraisi mwaka 2008 kupitia chama cha Democrat alikumbwa na kashfa ya ngono ambayo iliibuliwa kwa mara ya kwanza na mtandao wa gazeti la udaku la National Enquirer. Mwaka juzi waziri mmoja kule Afrika ya Magharibi ilibidi ajiuzulu baada ya picha zake za ngono kuwekwa katika mtandao wa kurekebisha tabia kama Ze Utamu. Mifano hii inaonyesha kwamba mitandao kama hii inaweza kuwa na mchango fulani chanya katika jamii japo kusema kweli faida zake zinakinzwa na uhasi na migongano ambayo mitandao hii inaweza kusababisha katika jamii kama yetu ambako watu bado wanafikiri kwamba kila kitu kinachoandikwa katika mitandao au magazeti ni cha kweli.

Hata hivyo, Ze Utamu ilikuwa imeshalitelekeza jukumu la kurekebisha tabia za wanajamii, na badala yake iligeuka kuwa chuo kikuu cha matusi, majungu, fitina, udaku na husuda. Kama mtu ulimtongoza akakukataa, kama mtu ana maisha mazuri kukuzidi, kama mwenzio alikuzidi kete na kumchukua binti au mvulana uliyekuwa ukimtaka kwa muda mrefu, kama mtu anapendwa na watu kuliko wewe, kama .....basi ulichotakiwa kufanya ni kuitafuta picha yake (hata bila picha ni sawa tu) na kuituma kwa Ze Utamu. Fomyula ilikuwa rahisi sana: sema kwamba ni fisadi (wa ngono), anatembea na watu wengi kwa kujirahisi (unaweza kutaja majina machache), ana UKIMWI na anausambaza tena kwa makusudi, anachukua waume/wake za watu, anapenda vya bure (mteremko), anajiona sana kumbe hana lolote n.k. Halafu waombe "wadau" wamwage data. Na kweli data zingemwagwa na mara nyingi yalikuwa ni matusi ya kutisha ambayo yangeweza kukufanya ufiche uso wako kwa soni. Mara moja moja wadau wangeweza kusimama kidete na kumtetea huyo aliyetamuishwa wakidai kuwa kaonewa, ni mwanajamii makini asiye na ubaya na mtu n.k. Sifa moja ya Ze Utamu hata hivyo ilikuwa ni kwamba mtu ukishatamuishwa basi ulikuwa huachiwi hata utetewe/ujitetee vipi.

Kwa vile hakuna utafiti ambao umekwishafanywa na wanasosholojia au wanasaikolojia kujua hasa madhara ya kutamuishwa katika mitandao ya aina hii si ajabu mtandao huu tayari ulikuwa umeshaleta misukosuko ya kifamilia na kisaikolojia kwa wale ambao walishatamuishwa. Kutokana na matusi mazito yanayoporomoshwa hapo, bila kujali nafasi na tabaka la mtu aliyetamuishwa, watu wengi walianza kuhoji ulikokwenda undugu, umoja, amani, upendo na Utanzania wetu ambao Mwalimu Nyerere alituachia. Wengine walihoji ni kwa nini serikali ilikuwa imeufumbia macho mtandao wa aina hii kwa karibu miaka miwili mizima. Swali la msingi ambalo linaweza kuulizwa hapa ni hili: tumefikaje katika hatua hii ya kutamuishana – sisi Watanzania na Utanzania wetu? Jibu ni rahisi sana - UTANDAWAZI!

Utandawazi na Lengo Lake

Utandawazi ni joka la mdimu lenye vichwa vingi angamizi – vichwa vyenye kazi tofauti tofauti ambavyo lengo lake kuu la jumla hasa ni kuuangamiza utamaduni wetu na hivyo kutufanya tujidharau, tujidogoshe, tusijitambue na hatimaye tuweze kuendelea kutawalika, kunyonyeka na kudhulumika kirahisi zaidi.
Ni lazima ikumbukwe kwamba tapo la utandawazi tunalolishuhudia kwa sasa ni mojawapo tu ya matapo mengi ya utandawazi yaliyotangulia, matapo ambayo yalitukutanisha na wageni kutoka Ulaya na kwingineko. Mahusiano yetu na ulimwengu wa wageni hawa kutoka nje tangu mwanzo yamekuwa ya kihasama, kiunyonyaji na dhuluma – kuanzia enzi za biashara ya utumwa mpaka wakati huu tulio nao. Uzalendo, utu na Uafrika wetu ulikunguwazwa na kufishwa wakati wa biashara ya utumwa “tulipokubali” kugeuzwa bidhaa na kuuzwa kama nyanya au vitunguu sokoni. Ni wakati huu ambapo tulipondwapondwa kisaikolojia na kuaminishwa kwamba tulikuwa binadamu wa tabaka la chini ambao kamwe tusingeweza kuwekwa katika daraja moja na “mabwana” kutoka Ulaya na Uarabuni. Vita hivi vya kisaikolojia vilivyopiganwa kwa ujanja sana kupitia dini, sera za lugha na elimu dhidi yetu vilipiganwa kwa nguvu zaidi na “mabwana” wakati wa ukoloni. Ni wakati huu ambapo bara letu liliitwa bara la giza na tamaduni zetu zilizotukuza, kutulea huku zikishabihiana vyema na mazingira yetu ya asili zilibatizwa kuwa za kishenzi na kinyama. Ukoloni ulitazamwa na hata kutambulishwa kama mkakati wa “kutustaarabisha” na kututoa katika giza nene la kuabudu dini za “kishenzi”, kuongea lugha za kishamba na kukumbatia tamaduni zetu za kiwango cha chini. Lugha zetu ambazo kupitia kwazo fikra zetu na mtazamo wetu pamoja na nafasi yetu katika dunia hii vimefinyangwa ziliitwa duni, zikadumazwa na kunyimwa nafasi za matumizi katika sekta rasmi. Matokeo yake lugha zetu ambazo ndizo zinaamua sisi ni nani, nafasi yetu ni ipi katika ulimwengu huu na tunahusianaje na wengine katika mazingira yetu zilinyimwa “meno” na tangu hapo zimebakia kuwa lugha zisizo na mwelekeo wala matumaini. Kulingana na Ngugi wa Thiong’o, ukoloni na utumwa wetu wa kisaikolojia ulikamilika pale tulipokubali lugha zetu kuvishwa sanda na kutengwa na ulimwengu na mazingira yetu. Kuanzia hapo, tulikoma kuwa sisi na kuanzia wakati ule, sisi si sisi tena, hatujijui na hatujui kwamba hatujijui kuwa sisi ndisi. Tumekuwa watumwa wa fikra!
Japo kupatikana kwa uhuru wa bendera kuliwasha moto wa matumaini katika mioyo ya Waafrika, sasa ni wazi kwamba matumaini hayo yalikuwa yametiwa mubaalagha na ahadi za “kuutafuta kwanza uhuru wa kisiasa na uhuru mwingine ungefuata” tulizopewa na akina Kwame Nkrumah wetu zimeshindwa kutekelezeka. Lakini utumwa mbaya kabisa ni ule utumwa wa kisaikolojia - utumwa wa kimawazo uliomdogosha Mwafrika na kumfanya ajione kuwa yeye ni binadamu wa daraja la pili na utamaduni wake kuwa wa kizamani, usioendana na wakati na wa kishenzi. Mkakati mama ulioanzishwa na watawala wetu wakati wa biashara ya utumwa na kuendelezwa (wakati mwingine kwa nguvu) wakati wa ukoloni bado unaimarika siku hadi siku na bado umejikita barabara katika fikra zetu. Na baada ya miaka sitini ya uhuru bado tunaamini kwamba utamaduni wetu na hata lugha zetu ni za kishamba na hazifai kutumiwa katika sekta rasmi kama elimu na vyombo vya habari. Matokeo yake lugha zetu za jadi zimegeuka kuwa lugha za kuonewa haya na kizazi kipya hakitaki tena kuzizungumza. Ati bila lugha na utamaduni wetu wenyewe, sisi ni/tumekuwa/tutakuwa nani?
Kutokana na kutawaliwa kwetu kitamaduni, leo tunakazana sana kuiga utamaduni wa “mabwana” zetu wazungu. Kinashosikitisha zaidi ni ukweli kwamba mara nyingi uigaji wetu umegeuka kuwa mashindano ya kujidharau na tunaiga mpaka kuwazidi hao tunaojaribu kuwaiga. Mifano ni mingi kuthibitisha dai hili (mfano mashindano ya urembo yaliyozagaa kila mkoa, wilaya, mji, tarafa, kata, vitongoji na muda si mrefu pengine yataingia katika familia). Naona hata katika Ze Utamu tulifuata ruwaza (pattern) ile ile – kuiga mpaka kuwazidi tunaojaribu kuwaiga. Nadhani hata wazungu, pamoja na uhuru wao wa habari usio na kikomo, wanayo heshima kidogo kwa viongozi wao na hawawezi kuwa na tovuti mashuhuri ya kizushi ambayo inaweka picha za uongo (zilizofanyiwa photoshop) za viongozi wao wakiwa uchi na watu kuanza kuporomosha matusi mazito. Pamoja na kuishi Marekani kwa karibu miaka 10 sasa jambo hili lilinishangaza na kunisikitisha. Hata kama tovuti za aina hiyo zingekuwepo (au zipo), wenzetu hawa, kinyume na sisi ambao tunaparamia na kuiga mambo kwa pupa, wanajua kwamba huu ni upuuzi tu na hakuna mtu anauyetilia maanani.
“Kiinimacho” cha usawa, Undugu na Umoja
Swali kubwa nililojiuliza baada ya kuiona Ze Utamu ni hili: Moyo wa upendo, umoja, usawa, undugu na mshikamano ambao muasisi wa taifa letu Mwalimu Nyerere alijitahidi sana kuupandikiza mioyoni mwetu ulikuwa wapi? Chuki, uhasama na hasira ya “wadau” katika Ze Utamu ilikuwa ya kutisha na ilikuwa ni vigumu kuamini kwamba hawa walikuwa ni Watanzania waliobahatika kuwa na kiongozi mwanafalsafa, msomi na mwenye welewa mpana aliyepigana kufa na kupona kuangamiza ukabila, matabaka na kuhakikisha kwamba kila mtoto anapatiwa nafasi sawa ya elimu ambayo ndiyo mkakati mama wa ukombozi katika jamii. Je, upendo, usawa, amani, undugu na mshikamano vilivyokuwa vikihubiriwa sana miaka michache tu iliyopita vilikuwa vya kweli au vilikuwa kiinimacho tu kwa Watanzania? Hasira hii ya “wadau” – ambayo ilionekana waziwazi hasa kama mtu aliyetamuishwa alikuwa ni kiongozi, “fisadi” au mtu mashuhuri katika jamii – imetoka wapi? Inawezekana usawa, undugu na umoja vilivyokuwa vikihubiriwa sana vilikuwa ni viinimacho tu? Ati, hali halisi ikoje katika jamii? Ahadi zile za MwanaTANU na baadaye mwanaCCM bado zina ukweli wo wote? Ni kweli kwamba binadamu wote ni sawa au (kama wanyama wanavyogundua katika riwaya mashuhuri ya George Orwell ya Shamba la Wanyama) binadamu wote ni sawa lakini binadamu wengine ni sawa zaidi ya wengine?

Ze Utamu Imetufundisha nini? Tufanye nini?

Mbali na kuionyesha vyema tabia yetu tatanishi na ya kijinga ya kuiga mambo hadi kuwazidi hao tunaojaribu kuwaiga (na hivyo kuthibitisha zaidi utumwa wetu wa kisaikolojia na kitamaduni), Ze Utamu imetufundisha kwamba mambo si shwari katika jamii yetu na watu wana hasira; na kwamba upendo, amani, umoja na mshikamano uliokuwa ukihubiriwa sana ama vilikuwa ni kiinimacho tu au watu wameshtushwa na mfumuko wa matabaka na sasa wamechoka. Niliangalia maoni yaliyokuwa yakiwekwa na “wadau” baada ya mtu mashuhuri, kiongozi au “fisadi” kutamuishwa na niliweza kuiona hasira ya watu ikiwaka moto. Pengine matabaka ambayo tumeyaachia kufumuka kwa kasi ya risasi - ambapo tumewaruhusu watu wachache wajikusanyie “vijisenti” vyote na kuwaacha walio wengi wakiwa hawana kitu yameshatia sumu katika mioyo ya Watanzania na hasira kali inafukuta mumo kwa mumo kama volkeno iliyolala. Tusije tukaiachia volkeno hii iendelee kufukuta mumo kwa mumo kwani siku itakayoripuka Tanzania yetu itakuwa matatani.
Ze Utamu pia imetuonyesha tabia nyingine ambayo tunayo sisi Watanzania. Tunapenda sana kuongea na kupiga porojo na Mswahili hata kama hana hoja au mchango wa maana katika mjadala ni lazima achangie. Tazama kwa mfano mada mbalimbali makini katika blogu mashuhuri ya michuzi na utaona ninachokisema. Hata kama mada iliyoanzishwa ni nzuri, yenye manufaa na inayotaka mjadala hasa na hoja komavu, badala ya kutoa hoja na kujadili kwa heshima na hatimaye kukubali kutokubaliana kiungwana utakuta mara nyingi watu wataanza kubeza, kudharau na kumponda mtoa mada. Mfano mmoja ni mada ya hivi karibuni ya Profesa Mbele kuhusu safari za nje za Raisi Kikwete. Profesa Mbele kama vile Mtanzania ye yote anayo haki ya kutoa maoni yake na kwa vile hii ni topiki ya muhimu basi mtu ungetegemea hoja madhubuti za kuunga mkono ama kupinga. Badala yake hoja hutaziona na mahali pake ni mashambulizi na mengine ni yale wenyewe wanaita “personal attacks” Tabia hii inayokera na ambayo inaashiria uzembe wa kufikiri, kutafakari mambo kwa kina, kujenga hoja madhubuti na kuzitetea, kwa kiasi fulani inaakisi yale yaliyokuwa yakitokea kwenye Ze Utamu – kushambuliana na kudhalilishana. Kwa sisi Watanzania, tabia hii inatatanisha kwani kutokana na malezi yetu na falsafa yetu ya kitaifa tungetegemewa kuwa watu wenye upendo na masikilizano. Kuna chuki mioyoni mwetu na sijui kiini chake hasa ni nini!

Ninapoandika makala haya Ze Utamu haipo tena. Tusije basi tukakaa kitako, tukabweteka na kukenua meno tukidhani kwamba tumeshinda vita. Vita ndiyo tu kwanza vimeanza kwani inawezekana kabisa Ze Utamu wengine na pengine wabaya zaidi watazaliwa. Kwa vile sisi tunaiga kuzidi hao tuwaigao, tusubiri siku vipindi kama Jerry Springer, Maury na Cheaters vitakapofika kwetu. Sijui vitakuwa na sura gani. Tusije tukasahau kwamba adui yetu hasa ni utandawazi na hao “mabwana” zetu wanaotamani kututawala katika nyanja zote za maisha yetu milele na milele. Tufanyeje basi ili kuuokoa Utanzania, Uafrika na utu wetu? Kusema kweli si jambo rahisi na hakuna njia ya mkato. Kutokomeza utumwa wa kisaikolojia na kasumba ya kujidharau sisi pamoja na utamaduni wetu, kasumba iliyopandikizwa akilini mwetu kijanja kwa karne nyingi, kasumba inayotufanya tujione kuwa binadamu wa daraja la pili si kazi rahisi. Inabidi tuwe na mkakati mama wa kufufua utamaduni wetu na mahali pazuri pa kuanzia ni katika lugha zetu za kienyeji kwani kama asemavyo Ngugi wa Thiong’o katika kitabu chake cha Decolonizing the Mind lugha zetu ndizo nguzo hasa za utamaduni wetu na hatuwezi kuwa huru bila kuziheshimu lugha zetu na hivyo kuulinda utamaduni wetu. Wakati sasa umefika wa kuandaa sera makini inayotekelezeka kuhusu uhimizaji na uboreshaji wa lugha zetu - sera ambayo itazipa nafasi lugha zetu za kienyeji kutumika katika sekta rasmi kila inapowezekana. Mfumo wetu wa elimu urekebishwe na elimu tunayowapa vijana wetu ihusiane na mazingira yao. Ni lazima pia tupunguze tofauti za kitabaka kati ya wenye “vijisenti” na masikini walio wengi wanaoshindia mlo mmoja. Afya na mustakabali wa taifa letu unategemea ni kwa jinsi gani tutakavyofanikiwa katika kupunguza pengo kati ya matabaka haya kinzani. Si budi pia tuangalie upya dhana nzima ya maendeleo. Ati, tunaposema maendeleo tunamaanisha nini hasa? Ni lazima tuvumbue dhana mpya ya maendeleo – dhana yetu wenyewe kulingana na mazingira yetu. Yote kwa yote tukumbuke kwamba hivi ni vita vya kisaikolojia. Tukiweza kuwaaminisha vijana wetu kwamba kuongea Kisukuma, Kihaya au Kichaga kwa ufasaha ni jambo la kujivunia, kwamba siyo lazima kuvaa mitepesho kuashiria usasa, kwamba siyo lazima kujikondesha mpaka mbavu zichomoze kuwa mrembo, kwamba rangi nyeusi haina tofauti na rangi zingine na kamwe Mwafrika siyo kiumbe wa daraja la pili basi tutakuwa tumeanza kupiga hatua (japo za kitoto) katika safari yetu ndefu na ngumu ya kujitafuta na kujifahamu upya sisi ni nani na nafasi yetu katika dunia hii ya sasa ni ipi. Kizazi hiki cha dot com ni lazima kiandaliwe mkakati wa kuanza kukirudisha katika kiini cha Uafrika na Utanzania wake.

Waswahili wana msemo unaosema kwamba zimwi likujualo halikuli likakumaliza. Utandawazi ni zimwi lisilotujua – zimwi lililotuparura vibaya sana wakati wa utumwa, likafinyangafinyanga fikra zetu wakati wa ukoloni na sasa, baada ya miaka zaidi ya sitini ya uhuru, linatishia kuumeza kabisa utamaduni na usisi wetu. Kila siku tunapoamka ni lazima tujisaili: Utandawazi ambalo ni zimwi lisilotujua, linaweza kweli kutula lisitumalize? Je, tufanye nini?