Tuesday, May 31, 2011

Wanafunzi wa Tosamaganga Wapigwa Mabomu ya Machozi - Mwandishi wa Habari Atiwa Mbaroni!


(Pichani wanafunzi wa shule ya sekondari chini ya ulinzi wa FFU kabla ya kupigwa mabomu ya machozi. Picha na Franci Godwin)
Wadau, kumradhi kwa kuchelewa kubandika habari hizi. Nilikuwa na matatizo ya kompyuta.

Habari kutoka Iringa zinasema kuwa Mwandishi wa Habari Francis Godwin ametiwa jela baada ya kuripoti kuhusu mgomo wa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Tosamaganga na hatimaye kupigwa mabomu ya machozi ya FFU.

Nabandika habari alizoandika Kaka Francis. Kwa Picha na Habari zaidi BOFYA HAPA:

May 31, 2011

BREAKINGNEWS.....NIPO CHINI YA ULINZI WA POLISI YATOSA YAMENIPONZA

Mwandishi wa mtandao huu Bw Francis Godwin kwa sasa anashikiliwa na jeshi la Polisi baada ya kukamatwa katika shule ya sekondari Tosa maganga akifuatilia sakata la mgomo wa wanafunzi
***************************************************
May 30, 2011

Hali ya usalama si shwari katika shule ya sekondari Tosamaganga wilaya ya Iringa mkoani Iringa hivi sasa wanafunzi zaidi ya 1000 wapo porini wakikimbizwa na polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia ambao wanatumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi hao ambao walikuwa katika maandamano ya amani kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa Iringa kuulalamikia uongozi wa shule hiyo.

Hadi hivi saa mabomu zaidi ya 10 ya machozi yamepigwa kuwatawanya wanafunzi hao ambao baadhi yao wanadaiwa kujeruhiwa kwa kuchomwa na miti wakati wakikimbia porini kukwepa mabomu hayo huku wananchi wa Mseke wakikimbia nyumba zao.

Polisi wamewazuia waandishi wa habari akiwemo mmiliki wa mtandao huu wa www.francisgodwin.blogspot.com ambao waliokuwepo eneo hilo wakifuatilia tukio hilo kuendelea kuchukua habari hiyo .

Undani wa habari hii ya picha zaidi zitakujia hivi punde japo kwa sasa binafsi macho yanauma sana kutokana na moshi ya mabomu hayo kunikuta pamoja na mwanahabari mwenzangu wa Radio Ebony Fm japo

*****************************************************
May 30, 2011

Hari si shwari shule ya sekondari Tosamaganga Iringa wanafunzi wote zaidi ya 1000 wameandamana kwenda kwa mkuu wa mkoa Iringa kupinga madai mbali mbali sasa wanaingi barabara kuu upo uwezekona wa mabasi kuzuiwa FFU Watanda shuleni habari kamili na picha zinakuja!

**********************************************************

Saturday, May 28, 2011

Flaviana Matata - Miss Universe Tanzania 2007



Wadau nampenda mrembo wetu Flaviana Matata aliyeshiriki katika Miss Universe mwaka 2007. Alifanikiwa kuingia katika Top 10! Yeye hakuona haya kuwa na kipara, kuvaa nguo zenye 'African accent' na kuongea kiswahili! Sasa hao wanaokuja nyuma yake wanazidi mno kuiga uzungu. Hakuna ubaya kuomba mtafsiri, mbona wazungu, walatino wanawatumia. Ambao watafika mbali katika mashindano kama Miss Universe/Miss World ni wale ambao wanaonyesha mapenzi kwa nchi yao na siyo kutaka kuwa carbon copy ya mzungu.

Friday, May 27, 2011

Wanafunzi Wamwua Mwalimu Wao Iringa!!

Duh! Yaani nimesoma kwa mshangao mkubwa habari za hao akina dada kumwua mwalimu wao! Kisa alitaka kumbaka moja wao. Ubakaji ni mambo mazito, mimi ningempa adhabu ya kukatwa dhakari, lakini kuua hapana! Inaninikubusha ile sinema ya The Women of Brewster Place, yule dada shoga anabakwa na kundi la wahuni halafu anapata kichaa na kumwua kwa kumpiga kichwana mara kadhaa, baba aliyekuja kumsaidia.

Mungu ailaze roho ya Dr. Mafingo, mahala pema mbinguni. Amen. Hao wasichana watafute wakili mzuri la siyo watasota huko jela miaka mingi.

****************************************************************
Kutoka Gazeti la NIPASHE

Wanafunzi wa Kike Wamuua Mwalimu
By Godfrey Mushi
27th May 2011

Wanafunzi wa Chuo cha Uuguzi cha Bulongwa kilichoko Wilaya ya Makete mkoani Iringa, wamemuua kwa kumshambulia kichwani mkufunzi wa chuo hicho, Dk. Jumbe Mafingo, kwa madai ya kupinga jaribio lake la kutaka kumbaka mwanafunzi mwenzao.

Taarifa za awali za makachero wa polisi zilieleza kuwa mkufunzi huyo aliuawa baada ya kutuhumiwa kwamba alitaka kumdhalilisha kijinsia mwanafunzi wa kike, Jean Laison Mwakabuta kwa kutaka kumbaka.

Tukio hilo la kuuawa kinyama kwa mkufunzi huyo ambaye ni mwalimu wa nidhamu chuoni hapo, lilitokea juzi usiku nyumbani kwake mjini hapa.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Evarist Mangalla, Dk. Mafingo alifikwa na umauti baada ya mwanafunzi huyo kuamua kwenda nyumbani kwake usiku ili kumkabidhi maelezo yake ya kimaandishi kuhusu sababu zilizomfanya alale nje ya chuo.

Ilielezwa kuwa muda mfupi baada ya kuingia kwenye nyumba ya mwalimu huyo, mwanafunzi huyo alianza kupiga kelele kuwa anabakwa.

Alisema kufuatia kelele hizo, wanachuo wengine waliamka katika vyumba vyao na kwenda hadi eneo la tukio na kuanza kumshambulia kichwani mkufunzi huyo hadi kumuua.

Kamanda Mangalla alisema Dk. Mafingo aliuawa kwa kushambuliwa na kitu kizito kichwani.

“Huyu Jean Laison Mwakabuta, aliambiwa na Dk. Mafingo ambaye ni mwalimu wa nidhamu chuoni hapo, aandike maelezo ya maandishi kwa sababu gani alilala nje ya chuo,...baada ya kuandika maelezo hayo, aliamua kuyapeleka nyumbani kwa mkufunzi huyo usiku, sasa baada ya kugonga mlango na hatimaye akaruhusiwa kuingia, alianza kupiga kelele kwamba anabakwa…na ndipo wanafunzi wenzake waliposikia kelele wakaamka na kukimbilia eneo hilo na kumshambulia mkufunzi huyo hadi kufa,” alisema Kamanda Mangalla.

Ilidaiwa kuwa siku moja kabla ya tukio hilo, uongozi wa chuo hicho cha Bulongwa ulitoa ridhaa kwa wanachuo wote kwenda kutembea nje ya chuo kwa lengo la kuwapunguzia msongo wa mawazo ya masomo na Jean Laison Mwakabuta hakurejea chuoni hadi siku iliyofuata.

Kamanda Mangalla, alisema wanachuo wanne akiwamo mwanafunzi Jean, wametiwa mbaroni kuhusiana na mauaji hayo.

SOURCE: NIPASHE

Thursday, May 26, 2011

Habari Njema Kuhusu Matumizi ya Dawa ya UKIMWI

Wadau, leo kuna habari kuwa mtu mwenye virusi vya HIV akianza kutumia dawa mapema, hawezi kumwambukiza mtu mwingine virusi! Inaelekea serikali ya Marekani watafanya kampeni ya kusambaza dawa kwa waathrika hivi karibuni katika nchi zilizoathrika vibaya na UKIMWI.
************************************************************************

U.S. Mulls Implications Of Early Use Of HIV Drugs To Stop AIDS Spreadby Richard Knox

May 26, 2011

The Obama administration is beginning to think through the ramifications of what may be the most far-reaching AIDS study ever done.

Earlier this month federal officials announced the results of a big clinical test that showed if HIV-infected individuals get antiviral drugs early — while they still feel fine and their immune systems are intact — their chances of passing the virus on to someone else go down to almost zero.

The implication: If all the HIV-infected people in the world got the drugs, the 30-year-old pandemic could be brought to an end. Nobody expects that to happen overnight, maybe not ever. But the administration's chief AIDS strategist is leading a what-if discussion within the government.

Mnaweza kusoma habari kamili kwa KUBOFYA HAPA:

Wednesday, May 25, 2011

Habari ya Maiti Kutupwa Tarime Sasa Habari ya Kimataifa!


Hii habari imetoka kwenye gazeti la Toronto Star. Makao Makuu ya Barrick iko Toronto. Barrick wanasema hawana habari na maiti kutupwa!!!! Je, Barrick wanawasaidia wananchi wa Tarime? Wamewajengea barabara, zahanati, shule? Wametoa scholarships ili vijana wasome sekondari, Chuo Kikuu? Au kazi kuiba dhahabu yetu? Watu wamepoteza maisha shauri ya vimawe vyenye chembe chembe za dhahabu! Mzungu kwa dhahabu, almasi, Tanzanite! Yaani! Je, Barrick watawasaidia wafiwa, mfano huyo mjane mwenye mimba?
**************************************************************

Kutoka TORONTO STAR:
TARIME, TANZANIA—It was on the side of a dirt road in northern Tanzania that relatives found a coffin containing the body of Emmanuel Magige on Tuesday morning.

The 27-year-old man was one of seven people killed and more than 12 injured on May 16 when villagers at African Barrick’s mine in northern Tanzania clashed with security forces.

Late Monday night, police stormed a mortuary in the small northern town of Tarime and removed bodies belonging to four of the dead in a bid to prevent a memorial planned at the mine for Tuesday, witnesses said.

After finding the bodies of the victims forcibly returned to their villages, families instead held small burial services at their homes in the afternoon.

“It was inhuman. They did this like animals,” said Magige’s 20-year-old wife, Mary.

African Barrick is a subsidiary of Barrick Gold Corp., which is headquartered in Toronto.

African Barrick said on Tuesday that it had no knowledge of the incident.

Barrick, which employs its own security guards as well as government police in order to guard the gold mine, has said that in the May 16 incident more than 800 “intruders” invaded the mine, where locals often come to scavenge for rocks containing gold.

Relatives of the deceased had wanted to hold a memorial service Tuesday at the mine, but say they were informed by police Monday that they would not be allowed to go ahead with the ceremony.

Families of the deceased and their supporters went to the mortuary in Tarime to guard the bodies of their loved ones because they had received information that police might try to steal the bodies.

Six trucks filled with police arrived at the mortuary at 10 p.m., according to relatives who were on the scene.

“The security officers came and asked us what we were doing there,” said Gasaya Matiku, whose 19-year-old nephew, Chacha Ngoka Chacha, was killed at the mine. “They surrounded people and started beating them. Then they took the bodies and put them on a truck.”

Witnesses said eight people were arrested by police and beaten with sticks and the butts of guns before they were taken away.

The arrested include an opposition member of the Tanzanian Parliament, a lawyer from an environmental non-government organization and a relative of one of the dead.

They were charged with criminal trespassing, unlawful assembly and obstructing a medical practitioner in the execution of duty.

Police said the accused had interfered with families’ plans to bury the victims’ bodies.

“They were just people from the opposition party who had nothing to do, so they decided to play a joke for their own benefit, trying to convince the families not to take the bodies and bury them,” said the regional police commander, Paul Ntobi.

Families of the deceased said they were angry at the treatment of their loved ones’ bodies.

“In our culture, this is a taboo. To do such a thing means that those who did it to you despised you,” said Magige Gati, Emmanuel’s father.

“I’m furious. If I could manage to get a gun, I would fight the government personally. The same police force that killed my son stole his body and dumped it.”

The government’s handling of the episode has been beyond callous, according to the families.

Gati said that when he visited the district commissioner to seek help, the official instead told him: “It was very unfortunate that they managed to kill only a few. The law is different in Tarime than in the rest of Tanzania. ”

Mary, the wife of Emmanuel Magige, said her husband got most of the family‘s income from digging for gold-laced stones at the mine.

Eight months’ pregnant with the couple’s first child, now that her husband has been killed, she doesn‘t know how she will survive.

“I will struggle,” she said.

Mauji Tarime - Maiti Zadhalilishwa!

Yaani sikutegemea kusikia habari za ajabu kama hizi kutoka Tanzania. Kwanza watu wameuawa, pili bado tunaibiwa urithi wetu na mzungu! Sasa maiti wanadhalilishwa! Yaani tunakwenda wapi jamani?

Habari Kutoka WAVUTI.Com

Umekuwepo mkanganyiko mkubwa baina ya wafiwa, Serikali na wanaharakati, kufuatia mauaji ya watu kadhaa waliouawa na Askari Polisi kwa kupigwa risasi wakituhumiwa kutaka kupora Mgodi wa dhahabu wa African Barrick North uliopo katika eneo la Nyamongo, Wilaya ya Tarime, mkoani Mara, Tanzania.

Mkanganyiko huo wa ama maiti wazikwe au la ili kupisha uchunguzi, umesababisha mtafaruku ambao umewaacha maiti hao wakiwa wametelekezwa mitaani, vile vile, baadhi ya wanaharakati na viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, wamekamatwa kuhusiana na tukio hili.

Washitakiwa walikana kosa na kurejeshwa rumande kwa 'sababu za kiusalama' kufuatia ombi la Mwendesha mashtaka alkiiomba mahakama kutokutoa dhamana kwa watuhumiwa kwa madai kuwa dhamana hiyo ingeweza kuhatarisha amani na kuchochea ndugu wa marehemu kutoendelea na taratibu za mazishi.

Polisi pia iliwashikilia kwa muda na kuwahoji Mbunge Ester Matiku (Viti Maalumu-CHADEMA), John Heche na waandishi wa habari wanne Mabere Makubi (Channel TEN), Anthony Mayunga (Mwananchi), Berdina Nyakeke (The Citizen) na Anna Mroso (Nipashe) kuhusiana na tuhuma hizo za uchochezi.

Polisi yatoa sababu ya kuchukua maiti

Imearifiwa kuwa miili ya marehemu iliwekwa katika majeneza bila kuvikwa nguo zozote wala sanda na kupelekwa nyumbani kwa wahusika lakini wanakijiji walikataa kupokea maiti hao wakitaka polisi kuirejesha miili hiyo hospitalini ili ichukuliwe upya na kuzikwa kwa heshima na mila za Wakurya. Ndipo ilipotelekezwa barabarani, “Mimi nimefiwa na mtoto wangu Emmanuel Magige, jana tuliambiwa asubuhi ndio tutachukua miili ya watu wetu tukazike sasa tumeamka tunaambiwa eti polisi walichukua marehemu wamekwenda kuwatupa porini na sisi tuko hapa Tarime...” - mzee Magige Ghati, baba wa mmoja wa marehemu.

Baada ya waandishi wa habari kusikia taarifa hiyo, walikwenda ili kushuhudia na ndipo walipokamatwa.

Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi Tarime/Rorya, Costantine Massawe, alisema kuwa walichukua miili ya maiti baada ya wafiwa kuwaomba msaada wa kuwapelekea miili hiyo katika vijiji vyao.

Alisema, baada ya baadhi ya wafiwa kuchukua miili hiyo juzi na kuisafirisha kwao, wafuasi wa CHADEMA waliwafuata hadi Nyakunguru na walipofika huko, waliishawishi familia ya Magige kuuchukua mwili wa marehemu na kuupeleka Polisi kwa nia ya wanahabari waliofuatana nao kuupiga picha ili kuonesha taswira kuwa Polisi imetelekeza miili hiyo ili kupotosha jamii na kujenga chuki kwa Jeshi hilo na wananchi wa Tarime

source: WAVUTI.COM

Tuesday, May 24, 2011

Mauaji Tarime: Tamko la Barrick Gold Mine

Nadhani kuna watu ambao watakubaliana na mimi! Mwalimu angekuwa hai angeshafukuzulia mbali hao wazungu! (Persona Non-Grata) Wanaiba urithi wetu halafu wanatuua! Wamezidi! Wezi wakubwa halafu wauaji! Hivi waTanzania tunapata nini kutoka kuwepo kwao pale?

Hii TAMKO/STATEMENT inatoka kwenye website yao. Ukitaka kwenda huko BOFYA HAPA:

Recent Police Action at North Mara

May 19, 2011 — The recent violent confrontation and loss of life at African Barrick Gold’s (ABG) North Mara mine is deeply concerning to Barrick and ABG. African Barrick Gold is working with the Tanzanian government and police to address this situation.

While ABG is still determining all the facts associated with this complex situation, the following is based on information released by ABG and the Tanzanian Police to date:

On May 16, a large group of intruders, many of them armed with machetes, stones and mining implements, stormed the ore stockpile at North Mara, with the intent of stealing ore. Initial reports put this number at 800, but following further reviews, the number is likely to have been more than 1,500. Given the extremely large number of aggressive intruders and the escalating threat of violence, ABG contacted the Tanzanian police for protection. Faced with over a thousand armed intruders, the mine’s main duty was to ensure the safety of its employees.

The Tanzanian police report that upon arriving at the scene, they tried to contain the situation. Police fired warning shots into the air and used tear gas to try to stop the attackers from advancing; however, the organized mob of armed intruders refused to turn back. A violent confrontation ensued as the intruders engaged in a sustained attack on police. A number of intruders were injured in the confrontation, seven fatally. The police have also reported that a number of their officers were injured in the confrontation.

Situations like this are deeply troubling to Barrick, ABG and to the people who live and work around the mine. The vast majority of people living near North Mara share the same desire for security and safety as we do. Both police and company investigations are now underway into the fatal shootings, which involved Tanzanian police. ABG security was not involved in these fatal incidents and, generally, does not deal with incursions of this magnitude and level of organization.

The North Mara mine operates under particularly challenging and complex circumstances, primarily associated with the law and order environment. The mine is located in a very remote, underdeveloped part of the country in close proximity to the Kenyan border, with limited law enforcement capacity, resulting in break-downs in law and order. Organized crime is also present in the region. The operation regularly faces illegal intruders, who may be armed and aggressive. These actions put hundreds of lives at risk, including ABG employees.

ABG is actively engaging with the Tanzanian government to address the severe law and order issues and lack of police resources around North Mara and in the wider community. ABG continues to make improvements to physical security at the site and engage with local community leaders. Its objective is to engage proactively with the community in long-term solutions to these challenges, to improve relations and resolve legacy issues, and to increase community investment expenditures aimed at improving quality of life in the area.

Barrick and ABG remain committed to the long-term future of North Mara and to the stability and security of the communities surrounding this operation.

Shairi - Tuacheni Jamani - Mauaji Tarime!

TUACHENI JAMANI!

Tuacheni jamani!
Polisi tuacheni
Serikali tuacheni
Yenu kazi tayari
Iliyobaki ni yetu!

Sisi ndio wafiwa Tarime
Walioporwa uhai wa ndugu
Uhai wa vijana wabichi

Tuacheni sisi
Sisi ndio wafiwa
Kazi yenu tayari
Ile ya kuua
Kazi yetu yaja:
Kulia, kulaani,
kuomboleza na kuzika.

Tuacheni tulie
Hata kulia mwazuia?
Tuacheni tunune
Hata kununa mwazima?
Tuacheni tuzike
Hata kuzika mkwara mwaweka?

Serikali na polisi
Msingeua tusingelia
Msingeua tusingenuna
Msingeua tusingezika
Tuacheni, tuacheni.

Lenu mmemaliza
Kuua mkilinda nyang'au
Mkilinda mporaji
Mnyakuzi wa mali ya Tarime
Mali ya Tanzania
Tuacheni
Kutuchefua acheni.

Mwizi mkubwa mwalinda
Mwenye mali mwaua
Kwa ujira gani mwatenda
Unyama usio mithili
Mijitu yachota utajiri
Kwao yajenga mbingu
Ninyi: Kwenu
Hapa kwenu, miayo yatanda
Zaidiyo mwaua wanenu
Wezi wa nje kulinda. Tuacheni!

Mmemaliza kezi yenu
Kuua, kulinda nyang'au
Sasa amri mwatoa:
Lia hivi, nuna hivi...Ebo!
Na udikiteta una mipaka.

Tuache tunune kwa ngeli yetu
Tuache tujute kwa mazoea yetu
Tuache!

Tuache tulie machozi yetu
Yatiririke mashavuni mwetu
Yaloanishe vifua vyetu
Yaondoe hasira zetu

Tuache tukunje wafu wetu
Tubebe kwa njia zetu
Tusindikize kwa ngeli zetu
Tuzike mashambani kwetu
Tuache!

Acha Tarime wazike
Wazike kwa mila zao
Kwa uzito wa uchungu wao
Kwa kina cha chuki yao
Kwa wingi wa hasira zao.
Tuacheni jamani!

Hata baada ya kuua
Wakilinda wezi
Wanataka tulie roborobo
Tunune nusunusu
Tuchukie roborobo
Tukasirike nusunusu
Tulaani roborobo
Tushutumu nusunusu
Tuzike juujuu
Au nasi tuuawe moja kwa moja.
Tuacheni jamani.

Tarime zikeni.
Tundu Lissu zika
Marando Nyaucho zika
Zikeni vijana wenu
Kwa ngeli yenu
Kwa ngeli ya wakazi
Wanavyotaka
Wanavyojisikia

Tuacheni jamani
Polisi kaa mbali
Serikali jitengeni
Kazi mliyojipa tayari
Ilobaki ni ya walioumia
Waliopoteza
Tuacheni jamani!

Imetungwa na Ndimara Tegambwage

Mama Ajaribu Kuuza Ubikira wa Binti Yake!!!

Jamani, huko Utah kunazidi kutokea habari za ajabu zinazohusiana na ngono. Leo kuna habari kuwa mama fulani kajaribu kuuza ubikira wa binti yake mwenye miaka 13 kwa $10,000. Boyfriend wa huyo mama ndiye kamshitaki polisi! Huyo mama inaelekea alitaka hela ya kununua madawa ya kulevya! Kwa sasa mama kafungwa jela, dhamana yake ni dola $250,000! Akae huku huko jela mpaka aoze! Ila nashangaa kwa nini hatujasikia habari za huyo baba aliyetaka kununua huo ubikira kukamatwa.

******************************************************************
Kutoka YAHOO News:

Woman accused of trying to sell girl's Virginity

SALT LAKE CITY – A Salt Lake City woman has been charged with offering her 13-year-old daughter's virginity to a man for $10,000.

The 32-year-old woman was charged Monday in Utah's 3rd District Court with two first-degree felony counts of aggravated sex abuse of a child and two second-degree felony counts of sexual exploitation of a minor.

If convicted, the woman faces a lifetime prison sentence for each first-degree felony and a zero to 15 year sentence for each second-degree felony.

In court papers, prosecutors allege that the woman had discussed letting her daughter perform oral sex and other sex acts with an adult male. The negotiated offer and an arrangement to exchange the teen's virginity for money were detailed in a string of text messages which were seen by the woman's boyfriend, who called police, court papers say.

In a police affidavit also filed with the court, investigators say the woman acknowledged the agreement and said she and the girl had been modeling lingerie for the man in a local store and at their home near the Utah State Capitol. Investigators say the woman said she had also taken pictures of her daughter wearing only a bra and skimpy, thong underwear and sent them to another adult male.

In the same affidavit, the girl told police she initially agreed to the sex-for-money arrangement, but later told her mother that she did not want to go through with it.

The Associated Press is not naming the woman to avoid identifying the daughter.

No court dates have been set in the case and it wasn't immediately clear if the woman had an attorney.

The mother is being held in the Salt Lake County Jail. Bail is set at $250,000. A corrections officer at the jail said the facility does not take telephone messages for inmates.

A check of Utah State Court records shows the woman has a criminal history that includes misdemeanor convictions for illegal drug possession and driving under the influence. A forgery case filed against her in 2007 was dismissed after she successfully completed a court-ordered drug treatment program.

Sunday, May 22, 2011

Bado Tupo!

Wadau, wikiendi inaisha vizuri tu. Hatujasikia habari za tetemeko la ardhi au maafa!

Huyo mzee aliyetabiri kuwa jumamosi itakuwa mwisho wa dunia kajificha!

Friday, May 20, 2011

Kwaherini Wadau! Kesho Mei 21, 2011 ni Mwisho wa Dunia!





Wadau, inabidi niwaage! Kuna watu wanaodai kuwa kesho siku ya jumamosi, May 21, 2011 ni mwisho wa dunia! Yaani karibu kila kona unaona tangazo inayoonya kuwa kesho ni mwisho wa dunia. Sasa ni habari kuu kwenye taarifa ya habari.


Wanasema kuwa Bwana Yesu Kristo atarudi duniani kesho, na kutakuwa na tetemeko kubwa mno la ardhi itakayo anagamiza dunia nzima. Hivyo inabidi niwaage. Tutaonana huko mbele.

Habari za mwisho wa dunia zilitabiriwa na Mtume/Mchungaji Harold Camping (90) kutoka California. Aliwahi kutabiri kuwa mwaka 1994 itakuwa mwisho wa dunia.


Huo utabiri wake unawafanya wengine wahaha na wengine wanacheka. Yaani hapa kuna wanaocheka kwa kutokuamini na wengine ambao wanaamini. Leo na kesho kutakuwa na party kadhaa za kusherekea mwisho wa dunia, wengine watakuwa kwenye maombi makali usiku mzima. Kuna waliochimba mahandaki na majumba chini ya ardhi na kuzijaza na maji ya kunywa na vyakula vya makopo. Binamu yangu (upande wa mama) mwenye miaka 94, alinipigia simu na kunionya kuwa kesho ni mwisho wa dunia na hatutaonana tena.


Ila kuna jaama alinifurahisha. Kamwambia mchungaji Camping hivi: Kama kweli siku ya jumamosi, May 21, itakuwa mwisho wa dunia nitakumia dola $5,000. Kama haitakuwa mwisho wa dunia basi nitumie dola $100.


Haya wadau, kazi kwenu!

Kwa habari zaidi za mwisho wa dunia 2011 someni:

Mtabiri Maarufu Sheikh Yahya Hussein Afariki Dunia!

(Pichani Hayati Sheikh Yahya Hussein)

Wadau, waTanzania wote tunafahamu umaarufu wa Sheikh Yahya Hussein katika mambo ya kutabiri yatakayotokea. Leo kuna habari kuna amefariki dunia. Lakini kifo chake imezua maneno!

Mungu Ailaze roho yake mahala pema peoponi. Amin.

********************************************************************
Kutoka Gazeti la NIPASHE:

Siku chache baada ya mtabiri mashuhuri wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahaya Hussein wa Dar es Salaam kutangaza katika vyombo vya habari kuwa mwana CCM atakayejitokeza kuchuana na Rais Jakaya Kikwete katika kinyang’anyiro cha kugombea urais mwaka huu, atakufa ghafla, Mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la Glory of Christ Ubungo ametoa masharti matatu kwa mtabiri huyo vinginevyo naye atakufa ghafla.

Katika mahubiri kanisani hapo jana, Mchungaji Kiongozi, Gwajima alisema demokrasia ya Tanzania imo hatarini endapo mtu mmoja ataachiwa kuamua hatma ya taifa kinyume na mapenzi ya Mungu asiyekuwa na upendeleo kwa mtu yeyote.

“Baada ya kuendelea kutenda kazi zake zikiwa ni chukizo machoni mwa Mungu, leo ninatoa hukumu kutoka kwa Bwana, nanyi nyote mtachuja kuwa ni upi utabiri wa kweli kati ya Sheikh Yahaya na Mungu. Ninamwagiza Sheikh Yahaya afanye mambo matatu la sivyo naye atakufa ghafla kama alivyowatishia Watanzania wenzake,” alisema.

Sharti la kwanza alisema ni Sheikh Yahaya kwenda katika kanisa hilo la Glory of Christ na kuonana na mchungaji Gwajima yeye mwenyewe ili amwongoze kwa sala ya toba, kisha ampokee Yesu katika maisha yake.

Sharti la pili, Sheikh Yahaya ameamriwa kuanzia sasa aachane na utabiri wake ambao kwa miaka mingi alisema umewaumiza watu wengine wasiokuwa na hatia na kuwafaidisha wengine wachache kwa njia za giza.

Na sharti la tatu, Sheikh Yahaya ametakiwa, baada ya kuokoka, arudi katika vyombo vya habari kwa nguvu ileile aliyoitumia kutangaza utabiri wake wa mtu kufa ghafla na sasa awatangazie Watanzania mabaya yake yote aliyokwishayafanya kwa watu wa taifa hili hadi siku ya mwisho alipolazimika kuokoka.

Akifafanua juu ya masharti hayo, Mchungaji Gwajima alisema kimsingi yeye anamkubali Rais Jakaya Kikwete kuwa kiongozi wa taifa hili ila kinachomkera ni Sheikh Yahaya kuwatisha watu wengine wasitumie haki yao ya msingi katika kuikuza demokrasia hapa nchini.

Alipohojiwa kwa njia ya simu, Sheikh Yahaya ambaye alisema yuko nje ya jiji la Dar es Salaam kwa siku ya jana, alisema katika kipindi cha miaka 40 ya utabiri wake umekuwa sahihi siku zote na umaarufu wake ni wa kimataifa.

“Kamwe sitakwenda katika kanisa hilo, pia siko tayari kufuata sharti hata moja kutoka kwa mchungaji huyo.
Nimeanza utabiri kabla ya yeye kuwa shemasi wa kanisa hivyo endapo nitakufa najua ni siku zangu zimefikia mwisho wala si vinginevyo,” Sheikh Yahaya alisema.
Akitoa mifano ya utabiri wake ambao aliosisitiza kuwa sahihi mara zote, alitabiri msiba wa Mzee Rashidi Mfaume Kawawa kwa maelezo kwamba taifa litapata msiba mkubwa. Pia alisema aliwahi kutabiri kifo cha kiongozi mashuhuri ambaye kifo chake kingewakutanisha watu wa mataifa mbalimbali, dini, rangi na vyama mbalimbali vya siasa na kwamba kiongozi huyo alikuwa hayati Mwalimu Nyerere.

“Je, sikutabiri kuwa ndani ya CCM utazuka mtafaruku na kusababisha ufa ndani ya chama hicho kitu ambacho ninyi waandishi mmekishuhudia hivi karibuni?

Mimi siwezi kuongea kashfa yoyote dhidi ya mchungaji huyo bali ninachosema akipenda apeleke malalamiko yake Ikulu, kwani nako huko wapo watu wa kumjibu waliozishuhudia kazi zangu kwa miaka yote,” alitamba Sheikh Yahaya.

Alisema alitarajia kiongozi huyo wa kanisa aempe mwaliko rasmi waonane mahali popote siyo hapo kanisani ili waelezane masula ya nyota kwa undani badala ya ‘kumtisha’.
CHANZO: NIPASHE

Thursday, May 19, 2011

African Maid Causes Downfall of IMF Chief!

(Picha iliyotengenezwa na kompyuta kuiga mambo yaliyotokea kwenye Sofitel Hotel mjini New York kati ya mhudumu wa hoteli na Mkuu wa IMF, Dominique Strauss-Kahn inatoka TOGO FORUM)

Wadau, Mkuu wa IMF ambaye anakabiliwa na mashitaka kadhaa ya ubakaji mjini New York, Bwana Domique Strauss-Kahn amejiuzulu wadhifa wake! Bi Nafissatou Diallo (32) raia wa Guinea, Afrika Magharibi anadai kuwa Mzee huyo alimlazimisha kumnyonya ume wake na baadaye alimwomba nyuma. Ndo Bi Diallo alikimbia kwenda kumshitaki. Bwana Strauss-Kahn amefungwa bila dhamana kwenye gereza la Rykers Island.

Yaani mwanamke maskini kutoka Guinea amemfanya Mkuu wa IMF ajiuzulu! Kwa kweli sipendi kusikia habari za ubakaji na kama ni kweli basi huyo Bwana Strauss-Kahn anastahili kukatwa hiyo dhakari yake asiyojua kuitumia vizuri. Ila nina wasiwasi kweli kuwa maisha ya huyo Mama yatakuwa magumu sasa. Watamnyanyasa yeye na familia yake. Kazi hatapata, na wanaweza hata kumwua! Hao matajiri wanapesa za kunyaynyasa watu waliowakosea acheni tu! Tayari wameanza kumchafua Bi Diallo kwa kusema ni mgonjwa wa UKIMWI kwa vile anakaa kwenye fleti maalum za waathirika mjini New York.

Mnaweza kusoma habari zaidi kwa KUBOFYA HAPA:

Wednesday, May 18, 2011

Tanzia - Mzee Habib Nyundo

(Pichani Mzee Habib Nyundo)

Nimepokea kwa masikitiko habari za msiba wa aliyekuwa Mwalimu wangu Tanzania School of Journalism (TSJ) miaka ya 1988-1990, Mzee Habib Nyundo. Poleni sana wanafamilia.

Mola ailaze roho yake mahala pema peponi. Amin.

***********************************************************


Tasnia ya habari imeendelea kukumbwa na misiba. Mzee Habib Nyundo (61) aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO, amefariki dunia.

Taarifa ya Maelezo imemnukuu, ndugu wa marehemu Alhaji Marusu Msii Jijini Dar es Salaam akisema kuwa Mzee Nyundo alifariki jana saa tisa alasiri katika hospitali ya Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma alikolazwa kwa muda mfupi baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa Kisukari.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, Mzee Nyundo alilazwa katika hospitali ya wilaya muda mfupi baada ya sukari kupanda ghafla na kujisikia vibaya wakati alipokuwa safarini kuelekea Dar es Salaam alipokuwa akitokea kijijini kwake Busi.
Marehemu Nyundo alistaafu kwa mujibu wa sheria tarehe 30 Aprili, 2010.

Poleni wana habari wenzangu, hasa watumishi wa Idara ya Habari Maelezo. Poleni sana na tutamkumbuka mzee huyu daima kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya habari nchini. Mungu mwenye rehema awape moyo wa uvumilivu wale wote walioguswa na msiba huu, hususan familia yake katika kijiji cha Busi, Kondoa.

Neville C. Meena,
Secretary General,
Tanzania Editors' Forum (TEF),

Anayedai Kabakwa na Mkuu Wa IMF Hotelini NY Atajwa

(Pichani - Mkuu wa IMF Dominique Strauss-Kahn Akiwa amefungwa pingu na kupelekwa kwenye gereza ya Rikers Island, New York)


Bila shaka mmesikia habari ya kesi ya ubakaji inayomkabili Mkuu wa IMF mjini New York. Magazeti ya nje ya Marekani yametaja jina na kutoa picha ya mhudumu wa hoteli anayedai kuwa Bwana Dominique Strauss-Kahn (62) kamfanya mabaya. Inadaiwa kuwa wikiendi iliyopita katika hoteli ya Sofitel mjini New York, Strauss-Kahn alijaribu kumbaka Bi Nafissatou Diallo (32) ambaye anatoka nchi ya Guinea, Afrika Magharibi. Chumba alichofikia ni $3,000 kwa siku!

Habari zinasema kuwa Bi Diallo alienda kusafisha chumba alichofikia Strauss-Kahn. Alidhani hakuna mtu mle. Alipofungua mlango Strauss-Kahn alitoka bafuni na alimkimbiza akiwa uchi na kumfungia chumbani. Hapo Strauss- Kahn alimlazimisha kunyonya ume wake, na baadaye alimwomba Diallo amfanye huko nyuma (kufira). Yule mama alifanikiwa kukimbia na kawaambia wafanyakazi wenzake hotelini ndo wakaita polisi. Inadaiwa kuwa Strauss-Kahn alikimbia baada ya tukio na kuacha simu yake, lakin wakli wa Strauss-Kahn anasema kuwa alienda kula chakula cha mchana na binti yuake halafu baadaye alienda uwanja wa ndege.

Strauss-Kahn alikamatwa kwenye ndege huko JFK Airport ikiwa karibu inaruka kwenda Ufaransa.

Kwa sasa Strauss-Kahn amefungwa bila dhamana katika gereza la Rikers Island huko New York. Duh! Kutoka hoteli ya fahari kwenda Rikers Island ni makubwa. Sidhani kama alitegemea kuona ndani ya jela katika maisha yake. Bi Diallo amefichwa. Tutasikia zaidi mahakamani. Siwezi kujua nani anasema ukweli kwa vile sikuwepo, ila naweza kusema kuwa maisha ya huyo mama yatabadilika. Yeye maskini halafu anachafua jina la tajiri. Nina wasiwasi hata familia yake huko Guinea wako hatarini kuchafuliwa jina.

Lakini jamani, dume zima tena tajiri ilishinda kununua malaya! Wanaomfahamu Bi Diallo wanasema kuwa ni mrefu ana urefu wa futi 6. Hivi Strauss-Kahan alidhani kwa vile mzungu yule mama atakubali kumpa nini?

Mnaweza kuona picha ya Bi Diallo kwa kuBOFYA HAPA:


Kwa habari zaidi someni:


http://www.nydailynews.com/news/world/2011/05/18/2011-05-18_we_want_you_out.html

http://abcnews.go.com/US/dominique-strauss-kahn-sex-case-alleged-victims-lawyer/story?id=13627104

http://www.telegraph.co.uk/finance/dominique-strauss-kahn/8521881/Dominique-Strauss-Kahn-maid-lives-in-apartment-block-for-HIV-sufferers.html

Tuesday, May 17, 2011

Maoni - Mabanda ya Wabara Yaliochomwa Moto Zanzibar

Kama mmesikia kwenye taarifa ya habari kuna mabanda, ya wabara yaliyochomwa moto huko Zanzibar eneo la Pwani Mchagani. Prof. Abdul Sheriff ameandika maoni yake kuhusu tukio.
************************************************************
Burning of the Mabanda

The burning of the mabanda belonging to ‘Wabara’ at Pwani Mchangani in Zanzibar has become a big story, treated as a criminal or a political act by Zanzibaris against mainlanders. It may be both, but nobody has asked where the root of the problem may lie in the economic and social sphere.

The first question that may be asked is whether all these 80 or so shops indeed belonged only to mainlanders, and there were not any belonging to local people. From the picture that I have seen, the whole area was swept clean. If this was the case, then the second question is how such an odd situation could have arisen in a fishing village in Zanzibar, that suddenly there should be such an flood of the ‘wabara’, without providing any opportunity to the local people to benefit from any development there.

The answer may lie in the way tourism has invaded Zanzibari villages, and how it has undermined local economy and society. I remember going to nearby Nungwi village in 1979 before the tourism invasion. It was not a rich village, but it was to a considerable extent a neat village and a comfortable self-reliant community subsisting on local agriculture and fishing, selling the surplus to the town. When I visited the same village last year, it had been turned upside down, and I could not recognise it at all. It has been flooded with shops blaring loud music, with bars and mabanda selling all sorts of things to tourists and others. It resembles Kariakoo.

A couple of years ago there was a conflict there where women of the village came out demonstrating against the huge inflow of prostitutes who they said were breaking up their families there. Some years previously, a politician extended his bar into one of the streets of Zanzibar Stone Town against the existing law, with drunkards and prostitutes blocking the street that even a self-respecting man would not dare to pass, let alone women. He was approached by one of the European neighbours, but he was rudely told to shove off. Other neighbours approached the police, but they did nothing to enforce the law. Where everything failed, some disgruntled person resorted to the bomb. Overnight, the bar went indoors where it was supposed to be according to the law in Zanzibar.

More recently several bars that had sprung up in the middle peaceful residential communities in Zanzibar were burnt. In the recent case also there have been complaints that the mabanda were haunts of bars and prostitutes.

Did the government or the police take any action to deal with the grievances of the local villagers to prevent the destruction of these communities for the sake of the tourist dollar and those pursuing them? Therefore, should we be surprised that some local villagers would resort to be taking law into their own hands when those responsible fail to fulfil their duties?

We should not be surprised, without necessarily condoning such acts. This has been taken by the authorities as a criminal act, and they have promised the ‘full force of the law’ to suppress it. It has been interpreted by those affected as hatred by Zanzibaris against wabara. If there is such ‘hatred’, there must be a reason.

In the persisting widespread discontent in Zanzibar against the Union, which many see as not having benefited the smaller partner, but on the contrary, is destroying local communities, why should we be surprised that it may become a demonstration of the underlying political problem?

Some people on the mainland have raised the spectre of a similar treatment against Zanzibaris on the mainland. If Zanzibaris become responsible for a similar disruption of the local economy and society in their new homes on the mainland, they may suffer a similar backlash.

However, this should not stop us from asking some fundamental questions about our economic policies, especially about tourism, to the neglect of everything else, without considering the social, cultural, and even political consequences to our country and its people.

Abdul Sheriff, Prof.
Executive Director
ZIORI

Monday, May 16, 2011

Mwanariadha MKenya Ajiua Baada ya Kukutwa Ugooni!

(Sammy Wanjiru akikimbia katika New York Marathon mwaka 2009)


Jamani, kuna habari za kusikitisha kutoka Nairobi.. Mwanariadha Sammy Wanjiru (24) maarufu kwa kushinda marathon kadhaa kajiua leo. Eti alijitupa kutoka ghorofani baada ya mke wake kumkuta kitandani na mwanamke mwingine. Duh!


Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.


***********************************************


Sammy Wanjiru, a record-shattering Kenyan marathon runner and reigning Olympic champion, died May 15 in Nyahururu, a town about 115 miles north of Nairobi. He was 24.
The circumstances of his death remain murky, complicated by reports that he had multiple wives.


According to police, Mr. Wanjiru died after he fell from a balcony at his home. Some Kenyan officials said the runner committed suicide, but the Associated Press reported that a local policeman gave a different account.



Mr. Wanjiru’s wife Tereza Njeri reportedly found him in bed with another woman. Following an argument, Tereza locked her husband in the bedroom and ran away.



“He then jumped from the bedroom balcony,” police chief Jasper Ombati told the Associated Press. “In our estimation, we think he wanted to stop his wife from leaving the compound.”
By many accounts, the prodigious runner’s dramatic death prematurely ended what was blossoming into a historic career.


Kenyan Prime Minister Raila Odinga said recently that Mr. Wanjiru was “steadily developing into our country’s running phenomenon.”


Mnaweza kusoma habri kamili HAPA:


Kwa habari zaidi soma:


Wednesday, May 11, 2011

Sinema Maangamizi the Ancient One Iko You Tube!



Kwa wasiofahamu, sinema ya Maangamizi the Ancient One ilipigwa nchini Tanzania mwaka 1994 na 1997. Mwaka 2001 ilikuwa sinema ya kwanza kutoka Tanzania kwenye Academy Awards (Oscars). Ilikuwa katika Forign Language category yaani sinema za lugha ya kigeni.

Blog Mpya - Deejay Simba

NAITWA SIMBA JULIUS BUKOMBE (Deejay Simba) WA KISS FM RADIO MWANZA TANZANIA NINAYEONGOZA KIPINDI CHA "KISS COLLABO MIX" WEEKDAYS @9:00AM-12:00AM.

NAPENDA KUWAJULISHA WADAU KWAMBA BLOG YANGU YA http://deejaysimba.blogspot.com SASA IPO HEWANI.


KARIBUNI

Mjue Rubani Susan Mashibe


*NI MHITIMU MWENYE SHAHADA TATU IKIWEMO YA URUBANI

*ANAMILIKI KAMPUNI YA TANJET INAYOSHUGHULIKA NA NDEGE BINAFSI

MO BLOG : Kama MO BLOG na wadau wetu tungependa kufahamu Susan Mashibe ni nani hasa….?

MASHIBE : Mimi ni mtu complex sana. Lakini labda nianze kwa kuelezea my educational background. Mimi nimesomea uhandisi wa ndege, urubani wa ndege na vile vile management ya ndege. Kwa sasa hivi mimi ni mjasiriamali katika hii sekta ya usafiri wa anga.

Kupata undani wa mahojiano haya bonyeza hapa http://mohammeddewji.com/blog/?p=4403

Tuesday, May 10, 2011

Wazaliwa Vichwa Viwili Mwili Moja

Duh! Leo huko China maajabu. Mapacha wamezaliwa viajabu. Ingawa kuna vichwa viwili wana mwili mmoja! Sijui itakuaje wakiwa wakubwa! Mapacha hao ni wa kike. Madakatari wanasema kuwa hawataweza kuwatengenisha. Wangezaliwa Afrika watu wangesema uchawi. Mungu awabariki.

Kwa habari BOFYA HAPA:

Sunday, May 08, 2011

Happy Mother's Day!!





Leo ni siku ya waMama Duniani! Happy Mother's Day!

Friday, May 06, 2011

Bwana Arusi ana Miaka 100, Bibi Arusi Miaka 90!

Africa ukifika miaka 40, basi wewe mzee! Ukifikisha 70 basi unstahili kutotelewa nje na kuanikwa juani. Huna thamani tena. Mapenzi, ndo usahau kabisa, unabakia kukumbuka katika ndoto zako ujana wako!

Hapa Marekani, wazee Forrest Lunsway (100) na Bi Rose Pollard (90), wamefunga ndoa. Hebu cheki nyuso zao za furaha, mapenzi motomoto! Inasemekana wamevunja rekodi ya umri wa wafunga ndoa. Doh! Wamejuana karibu miaka 28. wote wanakaa kwenye nyumba ya wazee. Nawatakia maisha mema ya ndoa. Kumbe hata ukiwa na miaka bado wamo! Ila Zaeni matunda mema haifia kusemwa hapa.
***************************************************************************



(pichani wanaarusi Forrest (100) na Rose (93))


Kutoka YAHOO.COM

For some people, it's never too late for love.

That's certainly the case for Forrest Lunsway and Rose Pollard, an Orange County, Calif. couple who were married this March 19, Forrest's 100th birthday. With a combined age of 193--Rose is a spring chicken--they're believed to be the world's oldest newlyweds.

A spokesman for the Guinness Book of World Records said they had been informed of the wedding and are set to verify it as a record. For 27 years, Forrest smoked a pack of cigarettes a day, and he still drinks the odd glass of wine or whiskey and 7-Up, he said in a recent interview with the The Daily. He attributes his longevity to never having had a desk job: He spent his youth trapping animals and selling their fur in Kansas before moving to California, where he worked as a pipe welder.

You can watch a video of them here.

Both Forrest and Rose had been married before, but were single when they met back in 1983 at a senior's dance. Though they soon started dating, wedding bells seemed unlikely.

'I told him up front I had no intention of getting married," Rose said. "But then one day he asked me 'how come we never got married? and I said 'because you never asked me.'"

''So he got down on one knee and said, 'Well I'm asking you now, just set the date.' I told him, 'I'll marry you on your 100th birthday.' And I did."

And being on the older side, the couple also has some wisdom to share on how to make a marriage work. Rose, 93, told The Daily: 'Take your time and get to know one another. Get to know if you like all the things that person stands for. ... Be forgiving and patient and say I love you once in a while."

Rose also told The Daily that their advanced age means that she and Forrest don't have many of the anxieties that can be a challenge for other newlyweds. "That's one of the things we can forget about--time. Because time doesn't mean that much."

And it's time well spent together: They both love ballroom dancing, and they want to kayak in Alaska and walk the coast of California.

"We've got many happy years left as I intend to stick around until I'm at least 110," Forrest said. "You've got to use it or lose it."
(The Daily)

Wataalam Wasema Dawa ya Babu Inafanya Kazi Kiasi

Scientists at work on 'Babu' cure

Kutoka: The Guardian Tanzania



A technical report on retired pastor Ambilikile Masapila’s “miracle cure” has indicated that scientific data supports his claims to its positive effects on a number of ailments.

A report by experts from the National Institute for Medical Research (NIMR) Department of Traditional Medicine Research and Institute of Traditional Medicine, Muhimbili University of Health and Allied Sciences seen by The Guardian, says study findings have revealed that ‘Babu’s miracle cure’ prepared by boiling the roots of Carissa edulis plant is safe and has positive effects on cancer, epilepsy, herpes simplex virus, liver ailments, diabetes, blood pressure and anti-viral activity.

However, the scientists said since the remedy is being widely used by an exceedingly large number of patients, the government should advance the work of focused pre-clinical studies to establish pre-clinical efficacy and safety of the remedy.

“The dose provided by Pastor Masapila which is one cup (about 200 mls) prepared through boiling an estimated 3.0 kg of whole root material in 60 litres of water “falls within safety window and no any overdose or acute poisoning event is expected.”

The results suggested that the plant has anticonvulsant activity which supports the claim of the use of the plant in the management of epilepsy as claimed by Pastor Ambilikile Masapila.

It further indicated that the herb has antidiabetic activity which supports the claim of the use of the plant in the management of diabetes.

The herbal has blood pressure lowering activity which supports the ethnomedicinal claim of the use of the plant in the management of high blood pressure.

Research results show that the pastor’s concoction has hepatoprotective and antioxidant activity which are beneficial in the prevention of liver disorders and cancer.

“This result also reveals that Carissa edulis has potent anti-viral activity against herpes simplex viruses. Taking into consideration that, herpes simplex virus (HSV) infection is a major opportunistic infection in immunosuppressed persons, these findings supports the ethnomedicinal claim of the use of the plant in the management of HIV/Aids as claimed by Pastor Masapila,” said the report.

Drawing general conclusion, scientists said that the plant is safe and the dosage prescribed by Rev. Mwasapila is below the toxic level.

They, however, recommended that since the remedy is being widely used by an exceedingly large number of patients, focused pre-clinical studies need to be conducted to establish pre-clinical efficacy and safety of the remedy.

Scientists also recommended standardisation and formulation of “Babu’s cupful” for human use.

“MoHSW should conduct clinical trial on the prescribed remedy to establish in vivo efficacy and safety in humans and answer questions on optimum dosage, dosing schedule and duration of treatment per ailment,” stated part of the report.

It added “MoHSW should conduct clinical follow up on all patients recorded to have used the remedy for their prognosis.”

Recently, many people have been flocking Samunge village in Loliondo, Arusha, seeking the cure for chronic diseases such as diabetes, asthma, epilepsy, cancer and HIV/Aids.

According to Rev. Masapila, God instructed him through dreams since 1991 about the medication and that, it will heal people with chronic illnesses namely: diabetes, asthma, epilepsy, cancer and HIV/AIDS. The dream kept recurring to him several times since then and on August 26, 2010 he decided to obey on the instructions and started the healing work.

Earlier this month, HIV/Aids stakeholders blamed the government over its silence on HIV/Aids patients who abandon antiretroviral drugs after taking the herbal concoction being dispensed by Pastor Masapila in Loliondo.

HIV/Aids stakeholders said there was need to give correct messages to the people to avoid negative impacts in future.

SOURCE: THE GUARDIAN

Thursday, May 05, 2011

Wagonjwa wa UKIMWI Wafa Baada ya Kunywa 'Kikombe'



Habari za kusikitisha kutoka mkoa wa Manyara zinasema kuwa wagonjwa wa UKIMWI watano kutoka kijiji cha Sunya wilaya ya Kiteto, mkoa wa Manyara wamefariki dunia baada ya kunywa kikombe cha Babu wa Loliondo. Habari zinasema kuwa wagonjwa hao walienda Loliondo, walikunywa 'kikombe' na walisema kuwa wanajisikia. Wagonjwa hao watano waliacha kabisa kunywa dawa zao za ARV walizoandikiwa na madakatari. Mungu alaze roho zao mahala pema mbinguni. Amen.

*****************************************************************

Kutoka The Citizen:

5 Kiteto villagers die of Aids after abandoning ARVs

Monday, 02 May 2011 22:17

By Joseph Lyimo

Kibaya. Five residents of Sunya village in Kiteto District, Manyara Region who had tested HIV positive are reported to have died after abandoning anti retroviral drugs (ARVs) in favour of a herbal concoction from a 'miracle healer' in Loliondo.

Their deaths occurred shortly after arriving back from Samunge village where the retired pastor Ambilikile Mwasapila has been dispensing liquid drink from a local herb he claims cures a range of chronic diseases, including Aids. A councillor for Sunya Ward, Mr Mussa Brighton, confirmed the deaths of the villagers, saying they had just returned back home from Loliondo where they went to seek treatment from Rev. Mwasapila.

Mr Brighton, who is the vice chairman of the Kiteto District Council, said the five had reportedly abandoned using the life-prolonging ARVs as recommended by medical doctors as one of the arsenals against killer Aids.Unconfirmed reports said the deceased had been telling people after returning from Loliondo that they had stopped using ARVs because they were feeling better after taking a cupful herbal drink from "Babu.”

The councillor warned that the trend was not good because, people who had tested positive should not abandon the ARVs dose from medical facilities. He could not disclose the names of the deceased.He argued that the sudden rush to Loliondo for herbal cure offered by the spiritual healer should not make people discard the recommended medicines.

Wednesday, May 04, 2011

Picha Nyingine Eti Maiti ya bin Laden

Haya, picha nyingine imezuka eti maiti ya bin Laden kabla hajaikzwa baharini. Kwa kweli tumezoea kumwona na kilemba chake.

Kusoma habari zaidi za hiyo picha BOFYA HAPA:


Tuesday, May 03, 2011

Warning/Onyo!!! Picha ya Maiti ya Osama bin Laden (NI FEKI)

UPDATE 4:00PM
KUMRADHI WADAU! KUMBE ILE PICHA YA ETI MAITI YA BIN LADEN NI ASANTE PHOTOSHOP!!!! Habari kutoka serikali ya Marekani zinasema kuwa baada ya kichwa cha Bin Laden kutunguliwa na risasi kipande cha fuvu kilitoka na ubongo kuwagika. Walimtungua juu ya jicho ya kushoto. Of course tunajua kuwa Mortician angeweza kumtengeza uzuri aonekana kama alivyokuwa katika uhai wake.

Habari za hiyo picha feki mnaweza kupata HAPA!

*******************************************************************************



Maiti/corpse ya Osama bin Laden Picha Kutoka: WAREYE


Osama bin Laden akiwa Hai



Serikali ya Marekani wanasema kuwa watatoa picha hivi karibuni ya maiti ya Osama bin Laden ili kuthibitisha kwa wasioamini kuw a kafa kweli. Jeshi wa Marekani walisema kuwa walimtungua Osama juu ya jicho la Kushoto. Picha juu inatoka kwenye blog nyingine.


Duh! Katika dunia hii huyo Osama ni moja wa waliofurahia kuua watu kwa wingi. Sijui roho yake ilipo sasa hivi lakini bila shaka kuna joto sana huko! Na tusisahau kamwaga damu kwetu Tanzania! Tulimkosea nini jamani?

Monday, May 02, 2011

Osama bin Laden Ameuawa!



Jana usiku nilikuwa nashangaa kwa nini majirani zangu wanapiga makelele za kushangilia sijui nini usiku wa manani. Leo asubuhi kuamka ndo nasikia kwenye taarifa ya habari kuwa wanajeshi wa Marekani wamefanikiwa kumwua Osama bin Laden huko Pakistan. Serikali ya Marekani ilijitolea kusafirisha maiti ya bin Laden kwao Saudi Arabia kuzikwa, lakini serikali ya Saudia walisema hawataipokea. Hivyo, maiti yake ilizikwa baharini kusudi watu wasipate nafasi ya kumwabudu.

Osama bin Laden alisababisha vifo vya maelfu ya watu. Atakumbukwa zaidi kwa maafa ya 9/11 mjini New York, lakini tusisahau kuwa kaua waTanzania na waKenya mwaka 1998. Tanzania na Kenya tulimkosea nini bin Laden?

Habari za kifo cha bin Laden ni habari njema. Ila tusisahau kuwa kuna wengi ambao watataka kumwiga na kuendelea kumwaga damu ya watu wasio na hatia.