Tuesday, October 29, 2013

Rais Kikwete Aelekea London Kwenye Mkutano wa Open Government

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini jioni ya jana, Jumatatu, Oktoba 28, 2013, kwenda London, Uingereza, kwa ziara ya kikazi ya siku nne ambako atahudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Serikali Uwazi (Open Government) uliotishwa na Serikali ya Waziri Mkuu wa Uingereza, Mheshimiwa David Cameroun.


Mkutano huo wa siku mbili utafanyika keshokutwa Jumatano na Alhamisi kwenye Ukumbi wa Queen Elizabeth 2 mjini London.


Miongoni mwa mambo makuu ambayo mkutano huo utazungumzia ni Serikali Uwazi na Ajenda ya Maendeleo Baada ya Mwaka 2015 wakati muongo wa utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo ya Milenia (Millenium Development Goals) unafikia mwisho.


Masuala mengine ambayo yatazungumzwa katika mkutano ambao Rais Kikwete anaambatana na Mawaziri wake watatu ni pamoja na uwazi katika manunuzi ya umma, uwazi katika mikataba, haki ya kupata habari, uwazi katika ukaguzi wa fedha za umma, uwazi wa Serikali na vyombo vya habari, uwazi katika mikataba ya maliasili, uwazi katika maendeleo ya nchi zinazoendelea.


Mawaziri wanaoambatana na Rais Kikwete katika ziara hiyo ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mheshimiwa Bernard Membe, Waziri wa Sheria na Katiba Mheshimiwa Mathias Chikawe na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar Mheshimiwa Mwinyihaji Makame.


Rais Kikwete anatarajia kurejea nyumbani Jumamosi, Novemba 2, 2013.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu.
Dar es Salaam.
29 Oktoba, 2013


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa Swissport katika uwanja wa ndege wa kimataifa ya Julius Nyerere wakati akielekea kwenye ndege jioni ya jana, Jumatatu, Oktoba 28, 2013, kwenda London, Uingereza, kwa ziara ya kikazi ya siku nne ambako atahudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Serikali Uwazi (Open Government) uliotishwa na Serikali ya Waziri Mkuu wa Uingereza, Mheshimiwa David Cameroun. Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe na Meneja wa Shirika la ndege la Emirates uwanjani hapo Bw. Aboubakar Jumaa. (PICHA NA IKULU)

Saturday, October 26, 2013

Rais Kikwete Afafanua Faida Za Utafutaji Mafuta na Gesi Nchini Kwa WaTanzania

KISWAHILI ENGLISH

Msiba wa Marsha Shani - Washington D.C., USA

DAKIKA 90 ZA DUNIA: Msiba wa Martha Shani DC na mapambano dhidi ya uvutaji sigara nchini Marekani
Katika kipindi cha DAKIKA 90 ZA DUNIA wiki hii... Kutoka nchini Marekani, tuanze na habari za msiba ulioikumba jamii ya waTanzania waishio maeneo ya Washington DC.
Marehemu Martha Shani
NA KISHA......
Uvutaji sigara, ni sababu kubwa ya vifo vinavyozuilika nchini Marekani. Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Kituo cha Kudhibiti Maradhi nchini Marekani (CDC) kifo kimoja kati ya vitano nchini Marekani hutokana na athari za uvutaji sigara, na zaidi ya watu milioni 43.8 nchini humo ni wavutaji wa sigara.
Lakini vita dhidi ya uvutaji huo vimekuwa vikipamba moto, na teknolojia imekuwa ikishirikishwa katika vita hivyo. Na ni vita hivyohivyo dhidi ya uvutaji vinavyoanza kutiliwa mashaka nchini humo.

Hii ni sehemu ya ripoti ya Jamii Production kwenye kipindi cha DAKIKA 90 ZA DUNIA kinachorushwa na kituo cha Radio cha Capital FM cha Dar Es Salaam Tanzania kila Jumamosi kuanzia saa moja na nusu asubuhi (7:30 AM).

Hii ilikuwa ripoti ya Oktoba 26, 2013

Friday, October 25, 2013

Senator Ted Cruz Atukana WaNigeria! WaNigeria Waishio USA Wachachamaa!


Makubwa!  Senator Ted Cruza ametukana waNigeria! Alisema kuwa wale matapeli wa Nigeria wamehamia kwenye simu za maofisi ya Obamacare!  Ni kweli kuna waNigeria matapeli na wameharibu sifa la Nigeria, lakini ukweli wengi ni watu wazuri na ni wasomi.   Leo hata Balozi wa Nigeria nchini Marekani amesema lazima Cruz aombe msamaha.  Ajabu Texas anapotoka huyo Sen. Cruz ndo kuna waNigeria wengi kuliko sehemu zingine Marekani.

Huyo Senator Cruz ni moja wa wale wahuni wa Tea Party walifanya serikali ya Marekani ifungwa kwa wiki mbili wakitaka Obamacare ifutwe. Wabaguzi wakubwa!

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

 KUTOKA HUFFINGTON POST:

The Nigerian government is demanding an apology from Senator Ted Cruz (R-Texas) after he joked last week that the new Affordable Care Act exchange website was being run by Nigerian email scammers, Politico reports.
Ambassador Ade Adefuye told Politico that Nigerians are “disappointed and shocked” by the remarks, adding that Cruz "should not denigrate Nigerians in order to appease these domestic constituents.” The ambassador the statement "was a joke that went too far, and we demand an apology.”
The Houston Chronicle reported on Monday that, before a crowd of tea party supporters, Cruz knocked the new health care system: “You may have noticed that all the Nigerian email scammers have become a lot less active lately. They all have been hired to run the Obamacare website.”
A spokeswoman for Cruz told Politico the remarks were made jokingly and were not intended to offend Nigerians.
Cruz has been a leading figure in the Republican effort to block the implementation of the new health care law.



Mfanyakazi Mortuary Nairobi Aibia Maiti wa Westgate

Natoa pole kwa familia ya marehemu walioibiwa huko Nairobi.  Huyo mfanyakazi wa Mortuary ni mwanamke, tena kaibia maiti ya mpwa wa Rais wa Kenya. Atakiona cha mtema kuni! Hata bibi yangu alivyofariki hapa New York, USA,  wafanyakazi hospitalini waliibia maiti yake. Walichukua pete yake ya ndoa ya dhahabu.  
Umaskini mbaya, lakini jamani kuibia maiti? Hawagopi? Huko TZ kuna ndugu yangu alifariki katika ajali ya basi. Vibaka waliiba vitu vyake pamoja na kitambulisho.  Kibaka naye kafa siku hiyo hiyo! Tulijua kwa vile maiti ya kibaka ilikutwa na kitambulisha cha marehemu ndugu yangu/
*******************************************
(AFP)  Nairobi — A worker at a Nairobi mortuary has been charged with stealing belongings from two bodies, including that of a relative of the president, brought in during the siege of the Westgate shopping mall, a report said Friday.

The Daily Nation newspaper said Rose Oyungu, 54, stole a gold watch and mobile telephone from the dead nephew of Kenyan President Uhuru Kenyatta, as well as gold jewellery from the man's fiancée.
Both of the victims died on the first day of last month's attack on the upmarket mall by Al-Qaeda-linked gunmen, which in total left at least 67 people dead.

"It is unfortunate that an African can steal from the dead," prosecutor Wycliffe Sifuna was quoted as telling a bail hearing in court on Thursday.

Defence lawyers managed to secure bail for the accused, a widowed mother-of-six. The case is due to go to trial on November 25.

The accusations against the woman come as Kenyan security forces are also facing allegations that troops looted the mall during and after the four-day siege.

Kenyan media reported widely on the ransacking of the shopping centre, and security camera footage from the mall broadcast at the weekend showed soldiers carrying white plastic bags.

Shop owners -- including a top end jewellery store as well as others selling mobile telephones, watches, cameras, expensive suits and lingerie -- said their stores were completely looted.

On Tuesday the army chief said some goods were taken for safekeeping, and police responded to the media accusations by summoning two journalists for questioning -- although the summons was withdrawn following an outcry.
Copyright © 2013 AFP. All rights reserve

Thursday, October 24, 2013

Simu ya Kiongozi wa Ujerumani Wadakuliwa na Majasusi!

Uwongo mbaya, wadau wakubwa wengi wa makampuni makubwa makubwa Marekani wameambiwa  wasisafiri na aina fulani ya simu na laptop. Wanasema kuwa eti wakifika Uwanja wa Ndege tu, pale majasusi wamekwisha copy kila kitu kilichokuwemo humo tena katika sekunde chache! 

*************************************



Chansela wa Ujerumani Angela Merkel amempigia simu Rais wa Marekani Barak Obama baada ya kupata taarifa kuwa Idara ya Ujasusi ya Marekani imekuwa ikifanya udakuzi wa mawasiliano ya simu zake za mkononi.

Msemaji wa serikali ya Ujerumani, Steffen Seibert amesema serikali ya Ujerumani inahitaji uthibitisho wa taarifa hizo na kusema kwamba kitendo hicho ni uvunjifu wa uaminifu.

Naye msemaji wa ikulu ya White House, Jay Carney amewaambia waandishi wa habari kwamba, Bw. Obama amemhakikishia Bi. Merkel kwamba, Marekani haikuwahi kusikiliza mawasiliano ya simu zake na haitafanya hivyo wala kwa siku za usoni japo haikufafanua kama mawasiliano Bi Merkel yaliyahi kufuatiliwa.

Wakati huo Umoja wa Ulaya unaanza mkutano wake mjini Brussels nchini Ubelgiji huku kukiwa na malalamiko kuhusu majasusi wa Marekani kudaiwa kuingilia mawasiliano ya simu. Chanzo: BBC Swahili

Serikali Yawataka Vijana Kujiajiri Ili Kuondokana Na Umaskini

Kwa Hisani ya Mo Blog: IMG_1784

UN Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou arriving at the Karimjee Grounds.

.UN calls on fastest reduction of poverty to meet the MDGs

By MOblog Team

UNITED Nations (UN) members states has been told to take on board issues of youth in the Millennium Development Goals (MDGs) as part of the global community efforts to fight against organized crimes such as terrorism and drug trafficking. Moblog can report.

Speaking to invited dignitaries during the commemoration of the 68th anniversary of the United Nations in Dar es Salam at Karimjee grounds, the Minister for Natural Resources and Tourism Hon, Ambassador Khamis Kagasheki said although the MDGs is all about development but unfortunately the inclusion of youth is conspicuously absent in the eight goals.

IMG_1772

Brazilian Ambassador to Tanzania, Francisco Luz with Tanzanian Official from Foreign Affairs.

He said that according to the 2012 Population and Housing Census (PHC), the proportion of persons aged 15-35 years has decreased marginally from 35.6 percent in 2002 to 34.7 percent in 2012. The median age of the Tanzania’s population is 18 years.

Ambassador Kagasheki added that Tanzania like many other African countries suffers from youth unemployment rate of 13.4 percent. Youth employees aged between 15 and 24 years comprise only 2.5 percent of total employees in the formal sector showing the low involvement of youths in the formal sector.

“These challenges affect all segments of the population. But young people are the most affected. We are witnessing an increased trend of the youth falling victims of joining terrorists groups, drug cartels and organized crimes which is not healthy to global community welfare,”

IMG_1831

Brass Band arriving at Karimjee Grounds.

“Agricultural sector which is the main stay of most Tanzanians employs 81.4 percent. 24 percent of youths aged 15-24 years are employed in manufacturing industry followed by wholesale and retail trade comprising 17.6 percent of total youths in the formal sector. Another important industry in employing youths in Tanzania is the education sector with 15.2 percent of all youths in this sector,’ he said.

He further said that major challenges facing the youth today are lack of access to capital, negative impact of the electronic media and social networks and competitiveness in education. These are current challenges apart from the traditional ones which are drug abuse, crime, violence, sexuality and poverty.

On his part UN Resident Coordinator Alberic Kacou said that globally, this year's UN Day focuses on the eight UN Millennium Development Goals and the global partnership to achieve those goals.

IMG_1871

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki accompanied by the United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou. Left is Director of the Department of Multilateral Cooperation in the Ministry of Foreign Affairs, Ambassador Celestine Mushy and Right is Chief of Protocol Ambassador Mohammed Maharage Juma.

“In Tanzania we have chosen “The Future We Want” as the week’s theme, focusing more towards the Post 2015 Development Agenda and the role of Youth,”

“As we seek to identify the parameters of the post-2015 development agenda, the magnitude of the task before us will require decisive action and the highest levels of collaboration and we must prove our efforts to be equal to the enormity of the task,” he said

He further said that at the request of the President of the World Bank, members of the UN System Chief Executives Board (CEB) agreed unanimously in November 2012 to use its semi-annual meetings to review and improve their support to MDG progress in countries ahead of the 2015 target date. Tanzania was among the countries selected for the first review.

Kacou underscored that many nations have achieved what could have been considered a dream in 2000 – cutting in half the number of people living in extreme poverty.

Similarly, some progress is made on eliminating gender disparities in school, expanding access to safe drinking water, and improving living conditions for slum dwellers BUT progress on health, sanitation, and primary school completion is still at risk. He lamented.

IMG_1877

Above and Below: Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki introduced to the UN Heads by the United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou

IMG_1876

IMG_1887

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki stand for the National Anthem during the occasion of the 68th Anniversary of the United Nations at Karimjee Grounds.

He noted that UN has been encouraging an unprecedented ‘global conversation’ on the type of world that people want beyond Post 2015, through 11 thematic public consultations and surveys on the themes around— inequalities, health, education, growth and employment, environmental sustainability, governance, conflict and fragility, population dynamics, hunger, food & nutrition security, energy and water.

Kacou said the global conversation initiated by the UN engaged more than 1.3 million people in above 180 UN Member States from August 2012 to March 2013.

The report- ‘A Million Voices: The World We Want’ released by the UN Secretary General in September 2013 captures the voices from all regions and backgrounds – particularly those people that are poor, excluded or marginalized.

IMG_1897

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki inspect a military parade during the 68th Anniversary of the United Nations Karimjee Grounds.

IMG_1904

A prisoner warden raising a Flag of the United Nations to commemorate the 68th Anniversary of the UN at Karimjee Grounds in Dar es Salaam.

IMG_1912

High Table: From Left is United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou, Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki , Dean of the Diplomatic Corps, Amb. Juma Alfani Mpango and Member from TPDF.

IMG_1923

Above and Below are Religious Leaders.

IMG_1934

IMG_2021

The Guest of Honour the Minister for Tourism and Natural Resources, Hon Ambassador Khamis Kagasheki speaks during the climax of the UN 68th Anniversary at Karimjee Grounds in Dar es Salaam.

IMG_1961

Some of the UN Heads listening attentively to the Guest of Honour (not in picture).

IMG_1977

UN Resident Coordinator in Tanzania Dr. Alberic Kacou gives inaugural speech during the official Flag raising ceremony to mark 68th Anniversary of the United Nations at Karimjee Grounds in Dar es Salaam.

IMG_1994

Excellencies Ambassadors, High Commissioners and Heads of International Development Co-operations and Members of the Military Forces.

IMG_2039

IMG_2036

IMG_1959

United Nations Association (UNA) Secretary General Nancy Kaizilege speaks during the official flag raising ceremony on UN day at Karimjee Hall. she said the work of the United Nations Association of Tanzania has also evolved with the times and into its next era, new and creative methods of outreach, innovative tools for engagement and enhanced synergies in processes that further human rights, peace and security specifically in the Great Lakes, health, energy and climate change; and increased civic engagement in the MDGs and the Post 2015 process are at the forefront of their priorities.

IMG_2065

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki in a discussion with the United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou.

IMG_1963

Invited Guests and some of UN Staff.

IMG_2035

UN Staff from different agencies.

IMG_1997

IMG_2075

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki cuts a ribbon to officiate UN Pavilion at Karimjee Grounds. Left is the United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou.

IMG_2076

Pavilion is Official Kicks Off.

IMG_2225

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki visits one of UN Pavilion.

IMG_2267

Advisor for Communication and Information at UNESCO Yusuph Al Amin elaborate a point about Community Radios and How is championing on Democratic process ahead of 2015 general election to the Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki.

IMG_2283

IMG_2310

UNIC Information Officer Usia Nkhoma Ledama explains a point to the Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki on how the UN is empowering Youth in Tanzania.

IMG_2350

UN Communications Analyst Hoyce Temu chat with the Minister.

IMG_2201

UN Operations Adviser , Mr George Otoo shares a light moment with his colleagues.

IMG_2356

Director of the Department of Multilateral Cooperation in the Ministry of Foreign Affairs, Ambassador Celestine Mushy chat with United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou.

Hakuna Vizuizi Katika Maendeleo ya Kilimo Tanzania



MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA-WAWEKEZAJI WAKUMBUSHWA- HAKUNA VIZUIZI  ...

Imeandaliwa kwa ushirikiano wa Urban Pulse na Freddy Macha

Wawekezaji wamehimizwa kutosikiliza propaganda za uongo kuhusu uporaji ardhi Tanzania na kuendeleza miradi  ya kilimo nchini.
Akiongea katika  mkutano wa wafanyabiashara na viongozi wa taasisi, mashirika na makampuni  mbalimbali ya ukulima na mazao Uingereza na Tanzania, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika,  Mhandisi Christopher Chiza alisisitiza serikali iko tayari kumsaidia yeyote anayetaka kuchangia idara hii muhimu ya uchumi.

Waziri wa Kilimo Mh. Christopher Chiza

Waziri Chiza  aliyewasili London Jumatatu,  kwa ziara ya kiserikali ya siku tano akiongoza msafara wa wanataaluma  wa kilimo, alikuwa akijibu swali lililoulizwa mara kadhaa kuhusu ugawaji ardhi Tanzania.
Alifafanua: “ Lipo gazeti moja lilisema serikali imechukua hekta milioni tatu. Si kweli. Ardhi  iliyoshakaguliwa katika miaka miwili iliyopita si zaidi ya hekta 4,000. Habari hizi zimesababisha Tanzania kuondolewa katika kundi la nchi za kuwekeza kilimo.  Hata wafanyakazi wa mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yanatangaza uongo huu ambao ni marudio tu ya mambo yasiyo kweli yaliyoshazushwa zamani. Tafadhali njooni muongee na sisi wizarani na serikalini  au taasisi zinazoaminika kama SAGCOT. Tutawaambia ukweli na kufanya nanyi kazi.”
Mkutano husika ulifanyika ukumbi wa Reform Club mtaa wa Pall Mall, London, na kuhusisha  wafanyabiashara wenye shughuli za kilimo Tanzania, makampuni makubwa yanayojishughulisha  bara Asia, Afrika na Uingereza, mathalan duka maarufu la Sainsburys.
Kati ya wazungumzaji wakuu alikuwa Balozi  wetu, Uingereza, Mhe Peter Kallaghe aliyesisitiza sera ya Tanzania kuendeleza mahusiano ya kibiashara badala ya kutegemea sana misaada ya kigeni; Rachel Turner  mkurugenzi wa tawi la Mashariki na Afrika ya kati, idara ya serikali ya Uingereza ya Maendeleo ya Kimataifa (DFID);   Afisa Mtendaji Mkuu wa kituo cha mpango maalum wa uendelezaji kilimo ukanda wa Kusini Tanzania ( SAGCOT), Geoffrey Kirenga na Profesa Peter Mahamudu Msolla,  Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge  ya Kilimo, Mifugo na Maji.
Katika hotuba yake Waziri Chiza alifafanua malengo matatu muhimu kuhusu ziara hii, yaani kuendeleza fursa ya kibiashara na uwezekaji, kujifunza teknolojia zinazohitajika na kuwaeleza wakulima na wafanyabiashara mambo takikana.
Msisitizo wa uwekezaji kupitia sekta binafsi ulitolewa mfano mzuri na Bwana Carter Coleman, Afisa Mtendaji wa  Agrica linaloongoza mradi wa kuendeleza hifadhi, misitu na kilimo bora Afrika Mashariki.
Coleman ambaye amekuwa na mahusiano ya karibu na Tanzania toka 1987 alieleza baadhi ya shida zinazokabili kilimo kwa kusisitiza kuwa “ kilimo Afrika ni aghali kuliko sehemu nyingine zote duniani.”
Alitaja baadhi ya matatizo makuu kuwa kupatikana kwa umeme, ghala na hifadhi za mazao, matengenezo ya vifaa kama trekta, maradhi ya mimea na kujua mbegu zipi zitumike wapi na vipi.
“Kutokana na hayo kitengo cha uwekezaji na biashara ya binafsi ni muhimu sana kuendeleza kilimo Afrika,” alikumbusha. 
Mheshimiwa Waziri Chiza anatazamiwa kukutana na Watanzania leo Jumatano katika ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania London, uliomtayarishaji mkuu wa safari hii nzima.

Balozi Mh. Kallaghe Akihutubia Mkutano





Saturday, October 19, 2013

Mwanangu Ameingia Siasa za Marekani.


Elechi Kadete




 Wadau, nafurahi kuwatangazia kuwa mwananagu, Elechi Kadete, ameamua kufuata nyayo za Babu yake, Dr. Aleck Che-Mponda, na kuingia katika dunia ya siasa. Anagombea kiti katika Baraza la Maashule (School Committee) katika mji wa Cambridge, Massachusetts. Akifanikiwa baadaye itakuwa rahisi kugombea nafasi katika City Council na kwenye ngazi za State. Kutokana na katiba ya Marekani hataweza kugombea Urais kwa vile hakuzaliwa Marekani. Alizaliwa Tanzania. Lakini ataweza kugombea nafasi zingine kama Congress, Senator na Gavana.

Baba mzazi wa Elechi, ni marehemu Prof. Henry Kadete aliyekuwa kuwa Mkuu wa Idara ya Uhandisi Umeme Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Alifariki mwaka 1995.  Kwao Prof. Kadete ni Tabora.

Kwa kweli naona watu Cambridge wanamchangamkia,  Tunaomba maombi na dua zenu Ashinde!

Kwa habari zaidi za kampeni ya Elechi:

-->
Email:ekfocusedonfuture@gmail.com
Facebook: The committee to Eelect Elechi Kadete
Twitter: Kadete_1
Telephone Number: (617)504-1679
Website: http://vote.cambridgecivic.com/kadete.htm


http://www.cambridgeday.com/2013/10/04/elechi-kadete-announces-candidacy-for-school-committee/

 Wadau, kampeni ni ghali, mabango, literature, simu, huduma kwa ajili ya wasaidizi zina gharama.

Ukitaka kutuma mchango tuma:

The Committee to Elect to Elechi Kadete
10 Laurel St. #4
Cambridge, MA 02139

Uchaguzi ni Jumanne, Novemba 5, 2013.