Saturday, November 04, 2017

Rais Trump Akaribishwa na Mabango 'Welcome to Kenya"!


Rais Donald Trump wa Marekani alikaribishwa Hawaii, USA jan na watu walioshika mabango yaliyoandikwa 'Welcome to Kenya" (Karibu Kenya).  Ni kwa vile Trump alidai kuwa Rais Barack bama alizaliwa Kenya wakati amaezaliwa Hawaii.  Kama Obama angezaliwa Kenya angeshindwa kuwa rais wa Marekani.

No comments: