![]() |
| Mama Wangari Maathai (1940-2011) |
Mama Maathai alipigania haki za akina mama na maskini nchini Kenya. Alitunga vitabu kadhaa. Alikuwa mwanamke wa kwanza Afrika Mashariki kupata Ph.D katika sayansi za biolojia. Alipoona jangwa inazidi kukuwa nchini Kenya alianzisha mradi wa kupanda miti ili kuepuka janga hilo na hasa kuanzishwa kwa Green Belt Movement. Aliwahi kuwa Mbunge Kenya na pia alifungwa mara kadhaa kutokana na msimamo wake mkaliw wa kutunza ardhi ambayo mara nyingi ilipingana na serikali ya Kenya.
Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:



