

Hapo juu ni picha niliyopiga 1993 huko Kileleni Rd. University of Dar es Salaam. Kutoka kushoto, ni mwanangu Elechi, Pandi (David) Qorro, Selemeni (?) alikuwa anakaa namba 23, Bino, na huyo binti nadhani alikuwa mdogo wake Pandi.
Elechi amemaliza High School hapa Cambridge mwezi wa sita. Anajiandaa kwenda College.


