Jumatatu kutakuwa na mashindano ya Boston Marathon. Karibu kila mwaka ni MKenya anayeshinda! Kenya ni nchi jirani na sisi, kwa nini Tanzania hatuwezi kushinda? Au tabia ya Party kila wiki na mkao wa kula/bahasha umefanya watu wasijali.
Kwa habari zaidi za KUZOROTA KWA MICHEZO TANZANIA, BOFYA HAPA:
************
Suleiman Nyambui - Alishinda Tuzo ya Fedha (Silver) katika Commonwealth Games huko akiwa amefunga kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan! BOFYA HAPA kwa habari zaidi
![]() |
| Suleiman Nyambui akifanya mazoezi Texas, USA |
Nzael Kyomo alishiriki Olympics mwaka 1980 halafu alienda kusoma Marekani. BOFYA HAPA:
********************
Juma Ikangaa alishinda Marathon nyingi ikiwemo New York Marathon. Alipata zawadi ya Benzi ambayo serikali ya Tanzania walizuia bandarini kwa zaidi ya mwaka kwa vile Ikangaa hakuweza kuilipia ushuru! Aibu kwa serikali kumnyanyasa shujaa! BOFYA HAPA:
![]() |
| Juma Ikangaa katika Boston Marathon 1990 |
****************************
Filbert Bayi alishinda mashindano ya Olympics na Commonwealth Games. Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:
![]() |
| Filbert Bayi katika mashindano ya Commonwealth 1974 |









SOUTH AFRICA



