Showing posts with label Ugana Wildlife Authority. Show all posts
Showing posts with label Ugana Wildlife Authority. Show all posts

Thursday, December 15, 2011

Kusitisha Biashara ya Wanyamapori Hai

Duh! Great White Hunter alie tu!

********************************
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII



TAARIFA KWA UMMA

KUSITISHA BIASHARA YA WANYAMAPORI HAI

Wizara ya Maliasili na Utalii inatoa taarifa kuwa kutokana na Tangazo la Serikali (Government Notice) Na. 435 la tarehe 09 Desemba 2011 wafanyabiashara wenye vibali halali vya kumiliki na kusafirisha wanyamapori ambavyo hadi tarehe 18 Agosti, 2011 vilikuwa havijamaliza muda wake kisheria wanatakiwa kusafirisha wanyama hao ndani ya kipindi cha miezi mitatu (siku 90) tangu tarehe 9 Desemba 2011.

Tangazo hili la Serikali limetolewa kwa kutambua kuwa wakati amri ya kusitisha biashara ya wanyamapori hai ilipotolewa tarehe 18 Julai 2011, kuna baadhi ya kampuni ambazo tayari zilikuwa na wanyamapori katika mazizi yao waliokuwa wamekamatwa kwa mujibu wa sheria.

Muda uliotolewa kwa wafanyabiashara ni kwa mujibu wa Kanuni za Ukamataji wa Wanyamapori za mwaka 2010 zilizotangazwa kwa Tangazo la Serikali Na. 244 la tarehe 02 Julai, 2010. Kanuni ya 12(4) na (5) ya Kanuni hizo inaelekeza kuwa wanyamapori waliokamatwa kwa ajili ya usafirishaji nje ya nchi kibiashara wanatakiwa wawe wamesafirishwa kwa kipindi kisichozidi miezi mitatu tangu kukamatwa.

Vilevile, kutokana na Tangazo hilo (Na. 435 la tarehe 09 Desemba 2011) Wizara imezuia Ukamataji, Uingizaji na Usafirishaji wa Wanyamapori hai isipokuwa wadudu tu (Class 21). Hii inatokana pia na Amri ya kuzuia ukamataji ijulikanayo kama The Wildlife Conservation (Capture of Animals) (Prohibition) Order, 2011.

Mwisho, Wizara inapenda kuufahamisha Umma kuwa matumizi mengine ya wanyamapori hai pamoja na mazao yake kwa shughuli zisizo za kibiashara na zenye manufaa kwa Taifa, kama vile utafiti, yanaruhusiwa.


George Matiko

MSEMAJI WA WIZARA

14 Desemba 2011

Saturday, September 26, 2009

Uwe Rafiki wa Sokwe!

Nimetafuta linki yao Facebook lakini sikuiona. Lakini naona ni wazo zuri. Na Tanzania National Parks (TANAPA) waige. Waruhusu watu wasioweza kusafiri kwenda kutalii kwenye mbuga za wanyama wawe marafiki wa Simba, Twiga, Nyoka, Mamba, Nyati, Ngedere wetu.

********************************************************
By GODFREY OLUKYA

KAMPALA, Uganda (AP) - He's hairy, his table manners are atrocious, and he wants to be your friend on Facebook.

No, it's not the ex-boyfriend. It's Muhozi, an endangered Ugandan mountain gorilla, who's appearing online as part of a fundraising program the Ugandan Wildlife Authority is launching Saturday to help save the species.

Around 340 mountain gorillas - nearly half of the 740 remaining worldwide - live in Uganda's lush Bwindi Impenetrable Forest National Park. The rest live in the Virunga mountain range, which stretches from Uganda into Rwanda and the war-ravaged Democratic Republic of Congo.
Despite their size - a male silverback can reach over 7 feet (2.1 meters) and weigh 400 pounds (180 kilogram) - the gorillas are threatened by poachers who kill them for meat, farmers and charcoal-burners who encroach on their habitat, and the indiscriminate bullets of rebels on the run. They must be protected by rangers with automatic rifles.

The Wildlife Authority is hoping that fans will befriend a gorilla on Facebook or MySpace or follow it on Twitter in return for a minimum donation of a dollar. The money will be used to hire extra rangers to protect the gorillas and safeguard their habitat.

In return, gorilla friends will receive regular updates about their chosen gorilla, be able to track their progress through global positioning systems, have their gorilla's picture on their home page and receive gorilla trivia - like the fact that the name is derived from a Greek word, gorillai, meaning 'hairy women.'

Wildlife Authority spokeswoman Lilian Nsubuga said she hoped the program would give people who could not afford to travel to Uganda themselves the chance to feel closer to the animals. About 10,500 tourists visit Uganda each year to see the gorillas. An entry permit for the park is $500 per person. Last year Uganda earned $600 million through tourism and over 90 percent of the money was from gorilla tourism.

"The (gorillas) are also very similar to human beings. That's what makes many people want to look at them," Nsubuga said.

Thomas Slater, the director of the gorilla website, said internet users would be able to befriend any individual from one of seven groups habituated to human contacts.

"You will be able to learn more concerning the particular gorilla, its character, family and relationships," he said.
---