Kutoka One Game Press Release
WASHINDI WA TUZO ZA VINARA WA FILAMU TANZANIA
Mapambo na Maleba
-Misukosuko 2
-Macho Mekundu
-Kolelo (mshindi)
-Utata
-Copy
Mnasa Sauti Bora
-Adam Waziri (Fungu la Kukosa)
-Creophance Ng’atingwa (Kolelo)-mshindi
-David Sagala (Copy)
-Camillius Kamili (Fake Pastors)
-Swaleh Juma (Misukosuko 2)
Adui Bora kwenye filamu
-Mohammed Aziz (The Body Guard)
-Irene Uwoya (Diversion of Love)
-Sebastian Mwanangulo (Misukosuko 2)-mshindi
-Ahmed Ulotu (Silent Killer)
-Elizabeth Chijumba (Copy)
Mpiga Picha Bora wa Filamu
-Mbalikwe Kasekwa (Misukosuko 2)
-Sylon Malalo (Kolelo)
-Rashid Mrutu (Copy)-mshindi
-Nicholas Mtengwa (Kilio Moyoni)
-Sylon Malalo (Simu ya Kifo)
Mtunzi Bora wa Filamu
-Lucy Komba (Utata)
-Nicholaus Mtitu (Diversion of Love)
-Single Mtambalike (The Stranger)
-Ahmad Halfan (Copy)-mshindi
-Hammie Rajab (Kolelo)
Mwandishi Bora wa filamu (skripti)
-Seleman Mkangara (Malipo ya Usaliti)
-Hammie Rajabu (Kolelo)
-Kulwa Kikumba (Diversion of Love)-mshindi
-Lucy Komba (Utata)
-Elizabeth Chijumba (Copy)
Mhariri Bora wa filamu
-Moses Mwanyilo (Misukosuko 2)
-John Kallaghe (Miss Bongo 1)
-Rashid Mrutu (Copy)-mshindi
-Hassan Mbangwe (Malipo ya Usaliti)
-Sylon Malalo (Kolelo)
Muongozaji Sinema Bora
-Gervas Kasiga (Fake Pastors)
-Jimmy Mponda (Misukosuko 2)
-Kulwa Kikumba (Macho Mekundu)
-Hajji Adam (The Stranger)
-Ahmed Halfan (Copy)-mshindi
Muigizaji Msaidizi Bora wa Kiume
-Aliko Tshmwala (Segito)
-Single Mtambalike (The Stranger)
-Adam Kuambiana (Fake Pastors)
-Ahmed Halfan (Copy)
-Emmanuel Muyamba (Fake Pastors)-mshindi
Muigizaji Msaidizi Bora wa Kike
-Irene Uwoya (Diversion of Love)-mshindi
-Godliver Vedastus (Yolanda)
-Irene James (Miss Bongo 2)
-Susan Lewis (Behind the Scene)
-Thecla Mjatta (Macho Mekundu)
Muigizaji Bora Chipukizi wa Kiume
-Emmanuel Muyamba (Fake Pastors)
-Laurent Anthony (Karibu Paradiso)
-Hassan Nguleni (Body Guard)
-Yusuf Mlela (Diversion of Love)-mshindi
-Uswege Mbepo (Malipo ya Usaliti)
Muigizaji Bora Chipukizi wa Kike
-Irene James (Miss Bongo 2)
-Irene Uwoya (Diversion of Love)
-Fatma Makame (Karibu Paradiso)
-Jennifer Mwaipaja (Silent Killer)
-Grace Michael (Malipo ya Usaliti)-mshindi
Muigizaji Bora wa Mwaka wa Kike
-Lucy Komba (Diversion of Love)
-Grace Michael (Malipo ya Usaliti)
-Halima Yahya (The Stranger)
-Elizabeth Chijumba (Copy)-mshindi
-Riyama Ally (Fungu la Kukosa)
Muigizaji Bora wa Mwaka wa Kiume
-Single Mtambalike (Agano la Urithi)
-Nurdin Mohammed (Utata)
-Jacob Steven (Copy)-mshindi
-Hajji Adam (Miss Bongo)
-Yusuf Mlela (Diversion of Love)
Tuzo za Heshima 2007/8
-Steve Kanumba
-Ndumbagwe Misayo (Thea)
Filamu Bora ya Mwaka
Copy (mshindi)
Crying silently
Diversion of Love
Fake Pastors
Kolelo
Showing posts with label Vinara Film Awards. Show all posts
Showing posts with label Vinara Film Awards. Show all posts
Monday, June 02, 2008
Thursday, May 22, 2008
Majina Yatajwa - tuzo za Vinara wa Filamu Tanzania
Press Release Kutoka One Game:
Habari yako ndugu yangu...
Kwa kifupi kinyang'anyiro cha Tuzo za Vinara wa Filamu Tanzania kinakaribia kufika ukingoni, ambapo leo majaji wametangaza rasmi majina ya waigizaji na filamu zilizoingia katika hatua ya mwisho.
Majina yalitolewa katika ukumbi wa mgahawa wa Hadees Fast Food!
Asante sana kwa ushirikiano wako wa awali!
Tupo pamoja!
****************************************************************
TUZO ZA VINARA WA FILAMU TANZANIA (TANZANIA FILM VINARA AWARDS) 2007 – 2008
Muigizaji Chipukizi wa Kike (Up coming actress)
1. Irene James – Miss Bongo II
2. Irene Uwoya – Diversion Of Love
3. Fatuma Makame – Karibu Paradiso
4. Jennifer Mwaipaja – Silent Killer
5. Grace Michael – Malipo ya Usaliti
Muigizaji Mwandamizi wa Kike (Best Actress in a Supporting Role)
1. Irene Uwoya - Diversion Of Love
2. Mama Frank – Yolanda
3. Irene James – Miss Bongo II
4. Susan Lewis – Behind the Scene
5. Tecla Mjata – Macho Mekundu
Muigizaji Bora wa Kike (Best Actress)
1. Lucy Komba - Diversion Of Love
2. Grace Michael – Malipo ya Usaliti
3. Halima Yahya – The Stranger
4. Elizabeth Chijumba – Copy
5. Riyama Ally – Fungu la Kukosa
Muongozaji Bora wa Filamu (Best Film Director)
1. Gervas Kasiga – Fake Pastors
2. Jimmy Mponda – Misukosuko II
3. Kulwa Kikumba – Macho Mekundu
4. Haji Adam – The Stranger
5. Halfan Ahmed – Copy
Mtunza Sauti Bora (Best Soundman of The Year)
1. Adam Wazir – Fungu la Kukosa
2. Cleophance Ng’atingwa – Kolelo
3. David Sagala – Copy
4. Camillius Kanuli – Fake Pastors
5. Swalehe Juma – Fungu la Kukosa
Mpiga picha Bora wa Filamu ( Best Cameraperson of The Year)
1. Mbalikwe Kasekwa – Misukosuko II
2. Sylon Malalo – Kolelo
3. Rashid Mrutu – Copy
4. Nicholaus Mtengwa – Kilio moyoni
5. Sylon Malalo – Simu ya Kifo
Adui Bora wa Filamu (Best Film Villain)
1. Mohamed Aziz – The Body Guard
2. Irene Uwoya - Diversion Of Love
3. Sebastian Mwanangulo – Misukosuko II
4. Ahmed Ulotu – Silent Killer
5. Elizabeth Chijumba – Copy
Mhariri Bora wa Filamu (Best Film Editor)
1. Moses Mwanyilu – Misukosuko II
2. John Kalage – Miss Bongo I
3. Rashid Mrutu – Copy
4. Hassan Mbangwe – Malipo ya Usaliti
5. Sylon Malalo – Kolelo
Mwandishi Bora wa Filamu (Best Script Writer)
1. Seleman Mkangara – Malipo ya Usaliti
2. Hammie Rajab – Kolelo
3. Kulwa Kikumba - Diversion Of Love
4. Lucy Komba – Utata
5. Elizabeth Chijumba – Copy
Muigizaji Bora Mwandamizi wa Kiume (Best Actor in a Supporting Role)
1. Aliko Tshmwala – Segito
2. Single Mtambalike – The Stranger
3. Adam Kuambiana – Fake Pastors
4. Halfan Ahmed – Copy
5. Emmanuel Muyamba – Fake Pastors
Muigizaji Chipukizi Bora wa Kiume (Best New And Upcoming Actor)
1. Emmanuel Muyamba – Fake Pastors
2. Laurent Anthony – Karibu Paradiso
3. Hassan Nguleni – Body Guard
4. Yussuf Mlela - Diversion Of Love
5. Uswege – Malipo ya Usaliti
Muigizaji Bora wa Kiume (Best Actor)
1. Single Mtambalike – Agano la Urithi
2. Nurdin Mohamed – Utata
3. Jacob Steven – Copy
4. Haji Adam – Miss Bongo
5. Yussuf Mlela - Diversion Of Love
Mapambo na Maleba Bora (Best Costume And Makeup of The Year)
1. Misukosuko II
2. Macho Mekundu
3. Kolelo
4. Utata
5. Copy
Mtunzi Bora wa Filamu (Best Creater of The Year)
1. Lucy Komba – Utata
2. Nicholaus Mtitu - Diversion Of Love
3. Single Mtambalike – The Stranger
4. Halfan Ahmed – Copy
5. Hammie Rajab – Kolelo
Filamu Bora ya Mwaka (Best Movie of The Year)
1. Behind the Scene
2. The Stranger
3. Diversion Of Love
4. Macho Mekundu
5. Misukosuko II
6. Simu ya Kifo
7. Copy
8. My Sister
9. Silent Killer
10. Miss Bongo I
11. Agano la Urithi
12. Malipo ya Usaliti
13. Utata
14. Kilio Moyoni (Crying Silently)
15. Fake Pastors
Habari yako ndugu yangu...
Kwa kifupi kinyang'anyiro cha Tuzo za Vinara wa Filamu Tanzania kinakaribia kufika ukingoni, ambapo leo majaji wametangaza rasmi majina ya waigizaji na filamu zilizoingia katika hatua ya mwisho.
Majina yalitolewa katika ukumbi wa mgahawa wa Hadees Fast Food!
Asante sana kwa ushirikiano wako wa awali!
Tupo pamoja!
****************************************************************
TUZO ZA VINARA WA FILAMU TANZANIA (TANZANIA FILM VINARA AWARDS) 2007 – 2008
Muigizaji Chipukizi wa Kike (Up coming actress)
1. Irene James – Miss Bongo II
2. Irene Uwoya – Diversion Of Love
3. Fatuma Makame – Karibu Paradiso
4. Jennifer Mwaipaja – Silent Killer
5. Grace Michael – Malipo ya Usaliti
Muigizaji Mwandamizi wa Kike (Best Actress in a Supporting Role)
1. Irene Uwoya - Diversion Of Love
2. Mama Frank – Yolanda
3. Irene James – Miss Bongo II
4. Susan Lewis – Behind the Scene
5. Tecla Mjata – Macho Mekundu
Muigizaji Bora wa Kike (Best Actress)
1. Lucy Komba - Diversion Of Love
2. Grace Michael – Malipo ya Usaliti
3. Halima Yahya – The Stranger
4. Elizabeth Chijumba – Copy
5. Riyama Ally – Fungu la Kukosa
Muongozaji Bora wa Filamu (Best Film Director)
1. Gervas Kasiga – Fake Pastors
2. Jimmy Mponda – Misukosuko II
3. Kulwa Kikumba – Macho Mekundu
4. Haji Adam – The Stranger
5. Halfan Ahmed – Copy
Mtunza Sauti Bora (Best Soundman of The Year)
1. Adam Wazir – Fungu la Kukosa
2. Cleophance Ng’atingwa – Kolelo
3. David Sagala – Copy
4. Camillius Kanuli – Fake Pastors
5. Swalehe Juma – Fungu la Kukosa
Mpiga picha Bora wa Filamu ( Best Cameraperson of The Year)
1. Mbalikwe Kasekwa – Misukosuko II
2. Sylon Malalo – Kolelo
3. Rashid Mrutu – Copy
4. Nicholaus Mtengwa – Kilio moyoni
5. Sylon Malalo – Simu ya Kifo
Adui Bora wa Filamu (Best Film Villain)
1. Mohamed Aziz – The Body Guard
2. Irene Uwoya - Diversion Of Love
3. Sebastian Mwanangulo – Misukosuko II
4. Ahmed Ulotu – Silent Killer
5. Elizabeth Chijumba – Copy
Mhariri Bora wa Filamu (Best Film Editor)
1. Moses Mwanyilu – Misukosuko II
2. John Kalage – Miss Bongo I
3. Rashid Mrutu – Copy
4. Hassan Mbangwe – Malipo ya Usaliti
5. Sylon Malalo – Kolelo
Mwandishi Bora wa Filamu (Best Script Writer)
1. Seleman Mkangara – Malipo ya Usaliti
2. Hammie Rajab – Kolelo
3. Kulwa Kikumba - Diversion Of Love
4. Lucy Komba – Utata
5. Elizabeth Chijumba – Copy
Muigizaji Bora Mwandamizi wa Kiume (Best Actor in a Supporting Role)
1. Aliko Tshmwala – Segito
2. Single Mtambalike – The Stranger
3. Adam Kuambiana – Fake Pastors
4. Halfan Ahmed – Copy
5. Emmanuel Muyamba – Fake Pastors
Muigizaji Chipukizi Bora wa Kiume (Best New And Upcoming Actor)
1. Emmanuel Muyamba – Fake Pastors
2. Laurent Anthony – Karibu Paradiso
3. Hassan Nguleni – Body Guard
4. Yussuf Mlela - Diversion Of Love
5. Uswege – Malipo ya Usaliti
Muigizaji Bora wa Kiume (Best Actor)
1. Single Mtambalike – Agano la Urithi
2. Nurdin Mohamed – Utata
3. Jacob Steven – Copy
4. Haji Adam – Miss Bongo
5. Yussuf Mlela - Diversion Of Love
Mapambo na Maleba Bora (Best Costume And Makeup of The Year)
1. Misukosuko II
2. Macho Mekundu
3. Kolelo
4. Utata
5. Copy
Mtunzi Bora wa Filamu (Best Creater of The Year)
1. Lucy Komba – Utata
2. Nicholaus Mtitu - Diversion Of Love
3. Single Mtambalike – The Stranger
4. Halfan Ahmed – Copy
5. Hammie Rajab – Kolelo
Filamu Bora ya Mwaka (Best Movie of The Year)
1. Behind the Scene
2. The Stranger
3. Diversion Of Love
4. Macho Mekundu
5. Misukosuko II
6. Simu ya Kifo
7. Copy
8. My Sister
9. Silent Killer
10. Miss Bongo I
11. Agano la Urithi
12. Malipo ya Usaliti
13. Utata
14. Kilio Moyoni (Crying Silently)
15. Fake Pastors
Labels:
Ahmed Olotu,
One Game,
Thecla Mjatta,
Vinara Film Awards
Saturday, May 10, 2008
Mchuano ni mkali Tuzo za Vinara!

ONE GAME PRESS RELEASE:
Na Mwandishi Wetu
Ikiwa ni wiki moja tangu jopo la majaji lianze kazi ya kuzipitia filamu zilizowasilishwa na watayarishaji wa filamu nchini ili kuwania tuzo za filamu za Vinara (Vinara Film Award), imeelezwa kuwa kumekuwa na mchuano mkali miongoni mwa filamu hizo.
Taarifa hiyo iliyotolewa na mratibu wa tuzo hizo zinazotolewa na One Game Promotion, Khadija Khalili (pichani), imetanabaisha kwamba mchuano huo umetokana na sehemu kubwa ya filamu hizo kuwa na kiwango cha juu cha ubora.
"Kazi ya kupitia filamu zilizowasilishwa inaendelea vizuri, hivyo tuna imani kuwa kazi itamalizika kwa wakati uliopangwa... Isitoshe, mchuano umekuwa mkali sana tofauti na tulivyodhani, filamu na wasanii vinakabana koo kwa viwango vya ubora," akasema.
Na Mwandishi Wetu
Ikiwa ni wiki moja tangu jopo la majaji lianze kazi ya kuzipitia filamu zilizowasilishwa na watayarishaji wa filamu nchini ili kuwania tuzo za filamu za Vinara (Vinara Film Award), imeelezwa kuwa kumekuwa na mchuano mkali miongoni mwa filamu hizo.
Taarifa hiyo iliyotolewa na mratibu wa tuzo hizo zinazotolewa na One Game Promotion, Khadija Khalili (pichani), imetanabaisha kwamba mchuano huo umetokana na sehemu kubwa ya filamu hizo kuwa na kiwango cha juu cha ubora.
"Kazi ya kupitia filamu zilizowasilishwa inaendelea vizuri, hivyo tuna imani kuwa kazi itamalizika kwa wakati uliopangwa... Isitoshe, mchuano umekuwa mkali sana tofauti na tulivyodhani, filamu na wasanii vinakabana koo kwa viwango vya ubora," akasema.
Akaeleza, jopo hilo lilimtumia taarifa ya maendeleo ya kazi hiyo iliyoonesha mchuano kuwa mkali miongoni mwa filamu zilizowasilishwa kuwania tuzo hizo zitakazotolewa kwa mara ya kwanza nchini, huku kazi hiyo ikiendelea vizuri.
Aidha, majaji hao wanatarajiwa kumaliza kazi hiyo Mei 17 mwaka huu na kutoa fursa ya kutangazwa majina matano kwa tuzo zipatazo kumi na tisa zitakazowaniwa huku tuzo ya heshima ikipangwa kutolewa kwa msanii aliyetoa mchango mkubwa katika sanaa hiyo. ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Ndovu Special Malt ikishirikiana na Shirika la
Onesho la utolewaji wa tuzo hizo litakalofanyika Mei 30 mwaka huu, limedhaminiwa na KampuniUtangazaji la Taifa (TBC) na Global Publishers.
Wiki chache zilizopita, mratibu huyo alisema kuwa, zaidi ya filamu sabini za Kitanzania zimewasilishwa na watengenezaji wa filamu nchini kuwania tuzo hizo kwa mwaka wa 2007/08.
Tuesday, April 29, 2008
Filamu zinazowania tuzo Tanzania zatajwa!
Filamu zinazowania tuzo ya Vinara wa Filamu Tanzania zatajwa!
Filamu zilizoingizwa na watengenezaji wa filamu nchini kuwania tuzo za Vinara wa Filamu Tanzania 2007/2008 2007/2008 (Vinara Film Awards), zimetajwa.
Katika taarifa kutoka mratibu wa One Game Promotion inayoaandaa tuzo hizo, Khadija Khalili, iliyotumwa kwenye vyombo vya habari zaidi ya filamu sabini zinawania tuzo hizo.
Taarifa hiyo ilizitaja filamu hizo kuwa ni Crying Silently (Kilio Moyoni), Kolelo, Mwanahiti, Zawadi ya Fisadi, Oloboni na Layoni, Mmera (Jando) na Nyamaume.
Nyingine ni Sumu ya Moyo, Segito, A Point of no Return I, A Point of no Return II, Dar to Lagos, Cross my Sin na Penina.
Pia zimo Habari Kubwa, Fake Pastor, Chite Ukae, Surprise, Stranger, Fungu la Kukosa, Sea Man, Mzee wa Chabo, Donda Ndugu, I Love You, Miss Bongo I, Miss Bongo II, Revenge, Behind the Scene, na My Wife.
Taarifa hiyo ilizitaja nyingine kuwa ni My Sisters I, My Sisters II, Machozi ya Nyamoma, Silent Killer, My Wife, Greena, Kiapo cha Damu, Valentine, Mwana Pango, Utata, Yolanda, Picnic, Uwanja wa Dhambi, Misukosuko II, Copy, Lugha Gongana, Mtoto wa Mjini, Nyuma ya Pazia, Macho Mekundu, Tanzia, Welcome Back, Karibu Paradiso, Swahiba, The Game of Love I, The Game of Love II na The Game of Love III.
Nyingine ni Mahabati, Security, Itunyama, The Body Guard, Agano la Urithi, Ndani ya Gereza, Simu ya Kifo, My Heart, Malipo ya Kisasi I, Malipo ya Kisasi II, Mpasuko wa Moyo I, Mpasuko wa Moyo II, Kisasi na Diversion of Love.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa, majaji watakutana wiki ijayo kuanza kuziangalia tuzo hizo.
Taarifa hiyo ilisema kuwa filamu zinazowania tuzo hizo ni zile zilizokamilika kutengenezwa Januari 2007 mpaka Machi 31, 2008.
Vipengele vinavyoangaliwa na majaji katika filamu hizo ni Filamu Bora ya Mwaka, Muigizaji Bora wa Mwaka wa Kiume, Muigizaji Bora wa Mwaka wa Kike, Muigizaji Bora Chipukizi wa Mwaka wa Kiume, Muigizaji Bora Chipukizi wa Mwaka wa Kike, Muongozaji Sinema Bora wa Mwaka, Mchekeshaji Bora wa Mwaka, Mwandishi Bora wa Filamu na Mtunzi Bora wa Filamu.
Vingine ni Filamu Bora ya Kutisha, Muigizaji Mwandamizi Bora wa kike (supporting actor), Muigizaji Bora Mwandamizi wa Kike, Adui Bora kwenye Filamu, Wimbo Bora wa Mwaka (Sound Track), Mhariri Bora wa Filamu ambao wote watapata tuzo na zawadi.
Pia itatolewa tuzo ya heshima kwa wale waliotoa mchango wao kukuza sanaa nchini.
Tuzo hizo zinazotarajiwa kutolewa mwishoni mwa mwezi Mei zimedhaminiwa na bia ya Ndovu Special Malt, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) na Global Publishers.
Filamu zilizoingizwa na watengenezaji wa filamu nchini kuwania tuzo za Vinara wa Filamu Tanzania 2007/2008 2007/2008 (Vinara Film Awards), zimetajwa.
Katika taarifa kutoka mratibu wa One Game Promotion inayoaandaa tuzo hizo, Khadija Khalili, iliyotumwa kwenye vyombo vya habari zaidi ya filamu sabini zinawania tuzo hizo.
Taarifa hiyo ilizitaja filamu hizo kuwa ni Crying Silently (Kilio Moyoni), Kolelo, Mwanahiti, Zawadi ya Fisadi, Oloboni na Layoni, Mmera (Jando) na Nyamaume.
Nyingine ni Sumu ya Moyo, Segito, A Point of no Return I, A Point of no Return II, Dar to Lagos, Cross my Sin na Penina.
Pia zimo Habari Kubwa, Fake Pastor, Chite Ukae, Surprise, Stranger, Fungu la Kukosa, Sea Man, Mzee wa Chabo, Donda Ndugu, I Love You, Miss Bongo I, Miss Bongo II, Revenge, Behind the Scene, na My Wife.
Taarifa hiyo ilizitaja nyingine kuwa ni My Sisters I, My Sisters II, Machozi ya Nyamoma, Silent Killer, My Wife, Greena, Kiapo cha Damu, Valentine, Mwana Pango, Utata, Yolanda, Picnic, Uwanja wa Dhambi, Misukosuko II, Copy, Lugha Gongana, Mtoto wa Mjini, Nyuma ya Pazia, Macho Mekundu, Tanzia, Welcome Back, Karibu Paradiso, Swahiba, The Game of Love I, The Game of Love II na The Game of Love III.
Nyingine ni Mahabati, Security, Itunyama, The Body Guard, Agano la Urithi, Ndani ya Gereza, Simu ya Kifo, My Heart, Malipo ya Kisasi I, Malipo ya Kisasi II, Mpasuko wa Moyo I, Mpasuko wa Moyo II, Kisasi na Diversion of Love.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa, majaji watakutana wiki ijayo kuanza kuziangalia tuzo hizo.
Taarifa hiyo ilisema kuwa filamu zinazowania tuzo hizo ni zile zilizokamilika kutengenezwa Januari 2007 mpaka Machi 31, 2008.
Vipengele vinavyoangaliwa na majaji katika filamu hizo ni Filamu Bora ya Mwaka, Muigizaji Bora wa Mwaka wa Kiume, Muigizaji Bora wa Mwaka wa Kike, Muigizaji Bora Chipukizi wa Mwaka wa Kiume, Muigizaji Bora Chipukizi wa Mwaka wa Kike, Muongozaji Sinema Bora wa Mwaka, Mchekeshaji Bora wa Mwaka, Mwandishi Bora wa Filamu na Mtunzi Bora wa Filamu.
Vingine ni Filamu Bora ya Kutisha, Muigizaji Mwandamizi Bora wa kike (supporting actor), Muigizaji Bora Mwandamizi wa Kike, Adui Bora kwenye Filamu, Wimbo Bora wa Mwaka (Sound Track), Mhariri Bora wa Filamu ambao wote watapata tuzo na zawadi.
Pia itatolewa tuzo ya heshima kwa wale waliotoa mchango wao kukuza sanaa nchini.
Tuzo hizo zinazotarajiwa kutolewa mwishoni mwa mwezi Mei zimedhaminiwa na bia ya Ndovu Special Malt, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) na Global Publishers.
Subscribe to:
Posts (Atom)