Wednesday, November 21, 2007

Big Brother Africa II Clip - Onyo

Onyo hii ni clip ni Rated X (maana unaona nyeti ya mtu)! Ni kipande tu cha tukio enyewe. Mnet wanao footage yote.

http://www.youtube.com/watch?v=J2qEk-lZH1U

- Wote walikuwa hoi kwa ulevi

- Richard anaingiza vidole kwenye uke wa Offuneka

- Richard anafukuzwa kitandani

- EMT's wanaingia

Wazungu wanawaita horny Africans.

13 comments:

Anonymous said...

Why did Big Brother allow this freakiness? Who gave them the liquor? After seeing that clip I cannot blame Ricki for abandoning her husband.

Anonymous said...

Damn! Walikuwa wamelewa kweli kweli. Huyo Richard anauliza kama awafanye wote wanne.

Ofunneka alikuwa chakari. Lazima alidhani yuko Nigeria na bwanake! Anasema siyo rape kwa vile anaona aibu kwa vile dunia nzima wameona ushaved nanihii yake. Hiyo ni evidence nzito dhidi ya Richard akiamua kufungua kesi.

Anonymous said...

Hamna kesi hapo. Ofunneka mwenyewe alikuwa anafurahia hiyo kitu, ona alivyokuwa anakata kiuno. Halafu hata Richard alipotakiwa kuondoka Ofunneka ndiye aliyekuwa anangangania, ikabidi Richard alalamike kwamba anapaswa kwenda. Wote walikuwa wanafaidi hiyo kitu, tena Ofunneka zaidi. Na kamwe Ofunneka hathubutu kulalamika kwa sababu kama ushahidi ndio huu, basi anaonekana wazi yeye ndiye aliyekuwa anaitaka hiyo kitu. Wa kulaumiwa ni huyo aliyewapa kilevi katika mazingira kama hayo, anybody could have behaved in the same way.

Anonymous said...

Mbona Offuneka mwenyewe inaelekea kama alikuwa anasikia utamu manake anavyopanua hiyo miguu!! Pombe si maji jamani.

Anonymous said...

Huyu ofunema alikuwa na nyegee mnoo hivi mmliona alivyomwaga mara nyingi? halfu alikuwa nakifutilia kidole kwa juu yani palee ofunema kasikia utamu mnoo kasaidiwa you guys cant you see mtu chakula kipo analala vizurii pombe ipo asiwe nanyege kwa nini richard natakiwa apogezwe kwa kitendo chake cha kumsaidia unemaa kutoa nyege zake buree eboo!

Anonymous said...

Hakuna rape hapo bwana!! wote wanaonekana ku-enjoy, huyo dada imebidi waondoe mguu wake kwa nguvu. Hao producer ndio walaumiwe bwana, kwa kuruhusu wahusika kunywa pombe mpaka kulewa chakari.

Kama ukiwa baa au night club za North America, wakiona una dalili za kulewa huwa unaondolewa mara moja-au hutauziwa pombe tena, je kwenye show kama hii kwa nini hatua hizo hazikuchukuliwa??

Mie sijawahi kuona big brother, je scene za namna hii ni kawaida??

Anonymous said...

Sijui sheria lakini ofunneka mbona alikuwa anaenjoy atamshtakije? aseme yeye alikuwa amelewa haelewi na richard pia alikuwa amelewa alinogewa mpaka akawa namuwekea miguu na kumkatikia pleaase hata kama ni evidence angekuwa ana resist ningeelewa but anakatikia kidole labda big brother ndio wa kushtakiwa kuonyesha watu hio clip

Anonymous said...

Checki Richard anayo nusanusa vidole vyake baada ya kumitia vidole Offuneka. Offu mwenyewe analia utamu anataka zaidi. Kumbe fundi wa kukata kiuno. Ila ni aibu kwa Richard aliyeoa.

Anonymous said...

Ni aibu kwa richard? au kwa sababu kaonekana hadharani? hakuna watu washenzi kama wanume waliooa laiti kuta na magari vingekuwa vinarekodi veo na kusema sidhani kama kuna ndoa ya mtu ingebaki salama wanume mnajijui mlivyo msimnyoshee kidole mwenzenu, hebu pelekewa na wewe uone kama utaweka mikono mfukoni au utakimbia eti kwasababu umeoa my foot!

Anonymous said...

Chemi, kweli pale yule mdada anavyoona raha ya kutiwa dole na anakikatia kiuno kabisa halafu mnataka eti amshtaki Richard, Hivi kweli nyie hamna kazi za kufanya, au ndio mnatafuta umaarufu kwa kutetea uchafu? kama huna kazi chemi bora angalia hiyo bongoland uburudike ni ushauri wa bure tu.

Chemi Che-Mponda said...

Asanteni wote waliotoa maoni. Bado sikubaliani na watu wanaosupport kitendo cha Richard ku-abuse Offuneka. Wote walikuwa wamelewa. Hatumsikii Offuneka akimwomba Richard amfanyie hicho kitendo cha aibu.

Mnasema Offuneka anafurahia. Hiyo ni natural response na kwa vile alikuwa hajijui huenda alidhani yuko na Boyfriend wake. Pia Big Brother anaficha nini maana dakika thelathini nzima zilikatwa!

Mimi ningekuwepo pale na kushuhudia tendo la aibu ningetafuta mbao nimpige kichwani huyo Richard apate akili zake. Sijui kwa nini Maureen hakufanya hivyo! Angemtwanga! Siwezi kuvumumilia vitendo kama hivyo! Maureen ni 'Shujaa' kwangu maana alienda kuwatafutia Offuneka na Tatiana msaada!

Anonymous said...

Da chemi jisikilize mwenyewe eti ofunneka alidhania richard ni boyfriend wake na yeye richard kama alidhania yule ni tatiana kwa sababu offuneka alikuja kwenye kitanda chao under influence vile vile.

Anonymous said...

Richard should have been kicked out of the house, not win the prize. My only wish is that Ofunneka lays a charge against him but probably she has been paid off not to say or do anything!!!!