Showing posts with label Kifo. Show all posts
Showing posts with label Kifo. Show all posts

Monday, May 15, 2023

Tanzia - William Malecela aka. LeMutuz

 

Hayati William Malecela aka Le Mutuz
1961-2023

Yaani, kweli hujui siku utaaga dunia hii. Nimeshutuka sana kusikia habari ya kifo cha kaka yangu wa ubatizo, William Malecela 'aka' LeMutuz.  Baba yake  Mh. John Malecela, na marehemu mke wake walisimamia ubatizo wangu.

Nilikuwa namwona William Dar wakati nasoma Zanaki Girls Secondary School. William kipindi kile alikuwa na afro, kijana fit. Nilisikia alienda kuwa baharia, halafu nilikutana naye tena New York City.  Baada ya muda aliamua kurudi kimoja Tanzania. Tulikuwa tunawasiliana kwa muda lakini...ndo hivyo alivyokuwa King wa Social Media Tanzania, alikata mawasialiano maana skikubaliana naye kuhusu mambo kadhaa.  Nikawa namwona  kwenye mtandao tu...mara kanda za majungu..mara fashion show. 


Mara la mwisho kumwona William ilikuwa hivi na shati hiyo hiyo...tuliongea kidogo..Aliniaga na mikono hivyo hivyo  kama pichanai..kumbe ananiaga. Siku hiyo nilimwona Mlimani City, Dar es Salaam. Sikujua itakuwa mara la mwisho kumwona ana kwa ana.

Kaka William ametangulia.  Mungu ailaze roho yake mahal pema mbinguni. Amen

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Saturday, March 20, 2021

Mh. Samia Suluhu Hassan Aapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania

Kutoka BBC SWAHILI

Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa Tanzania na Jaji Ibrahim Juma katika Ikulu ya Jijini Dar es Salaam.

Mama Samia ameapishwa katika hafla ndogo iliyofanyika katika Ikulu ya Magogoni na kuhudhuriwa na marais wastaafu wa Tanzania na Zanzibar.

Mara baada ya kuapishwa alipigiwa mizinga 21 na kukagua gwaride maalumu kwa mara ya kwanza akiwa kama amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.

Mama Samia mwenye miaka 61, ndio mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini Tanzania na wa pili Afrika Mashariki.




Wednesday, March 17, 2021

Rais John Pombe Magufuli Afariki Dunia!



KUTOKA GAZETI LA MWANANCHI 

 Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amefariki dunia Machi 17, 2021 katika Hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam ambako alikuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Taarifa za kifo cha Rais Magufuli, zilitangazwa jana na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo akisema Magufuli alifariki dunia saa 12 jioni kwa maradhi ya moyo baada ya kulazwa katika hospitali hiyo tangu Machi 6.

Amesema awali, Rais Magufuli alifikishwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Machi 6 akisumbuliwa na tatizo la moyo la mfumo wa umeme ambalo alikuwa nalo kwa zaidi ya miaka 10.

“Machi 14 mwaka huu, alijisikia vibaya akakimbizwa hospitali ya Mzena ambako aliendelea na matibabu chini ya uangalizi wa madaktari na wauguzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete hadi umauti ulipomkuta,” amesema Mama Samia.

Amesema Tanzania itakuwa katika kipindi cha maombolezo ya siku 14 na bendera zitapepea nusu mlingoti. Alisema wananchi watajulishwa juu ya taratibu za mazishi za kiongozi huyo mkuu wa nchi.

Saturday, October 05, 2019

There is no Ebola in Tanzania - Minister of Health Hon. Ummy Mwalimu

MAY GOD CONTINUE TO PROTECT THE PEOPLE OF TANZANIA FROM EBOLA! AMEN!

By TOM ODULA
Associated Press

   NAIROBI, Kenya (AP) - Tanzania on Thursday rejected suspicions that it might have covered up cases of the deadly Ebola virus, calling it a plot to show the country "in a bad light."

   The health minister's comments came after the World Health Organization issued an unusual statement saying Tanzania refused to share information and the United States and Britain issued travel warnings. The current Ebola outbreak based in neighboring eastern Congo is now the second-deadliest in history with more than 2,000 people killed.

   Tanzanian Health Minister Ummy Mwalimu said there were two suspected Ebola cases last month but the East African country determined they did not have the virus.

   "Ebola is not a disease one can hide," the minister said. "Tanzania is well aware of the dangers of hiding such an epidemic."

   Global health officials had repeatedly asked Tanzania to share the results of its investigations, but Mwalimu asserted there is no need to submit a "negative sample" for further testing.

   Countries with little or no experience testing for Ebola, especially ones such as Tanzania which have never had a confirmed Ebola case, are asked to send samples to a WHO-accredited lab to confirm the initial results, no matter whether they are positive or negative.

   Tanzania's health minister said the country will follow international protocols, including reporting to WHO, "if there is an Ebola case."

   WHO has said it was made aware on Sept. 10 of the death in Tanzania's commercial capital, Dar es Salaam, of a patient suspected to have Ebola. A day later, it received unofficial reports that an Ebola test had come back positive. On Thursday, it received unofficial reports that a contact of the patient, who had traveled widely in the country, was sick and hospitalized.

   The lack of information from Tanzania made it difficult to assess potential risks, WHO said.

   A rapid response is crucial in containing Ebola, which can be fatal in up to 90% of cases and is most often spread by close contact with bodily fluids of people exhibiting symptoms or with contaminated objects.

   The initial symptoms for Ebola, including fever and pain, are similar to those of other diseases such as malaria and measles, and mistakes in diagnosis and mismanagement of patients could inadvertently allow an outbreak to spread.

   Critics have shown increasing alarm as Tanzanian President John Magufuli's government has restricted access to key information and cracked down on perceived dissent. Lawmakers recently approved an amendment to a statistics law to make it a crime to distribute information not sanctioned by the government or which contradicts the government.

   ---

   Associated Press writer Maria Cheng in London contributed.


Tuesday, February 26, 2019

Tuesday, February 07, 2017

Rais Mstaafu George H.W. Bush ni Mzima!

Wadau, siku Rais Donald Trump anaapishwa tulidhani kuwa Rais Mstaafu George H. W. Bush, yuko mahututi atakufa dakika yoyote. Mke wa Barbara naye alikuwa hoi hospitalini. Ajabu juzi tuliwaona kwenye mchezo wa Super Bowl, wakitabasamu,kupungia watu na hata kufanya coin toss, kujua nani atarusha mpira kwanza. Wataishi maisha mrefu hao. Sasa watu wanafanya matani !😂😂😂
j

Tuesday, September 13, 2016

Msiba Boston - Mrs. Aisha.Rupia

                                            Aisha Rupia, mume wake Paul Rupia na watoto wao.


Tunasikitika kuwajulisha kuwa Paul Rupia amefiwa na mke wake Aisha Rupia ambaye ametutoka leo alfajiri 9/13/2016.  Mungu amlaze mahali pema peponi, Amin.
Msiba utakuwa nyumbani kwa Paul, 16 Feener Circle, Randolph, MA.
Mipango ya mazishi inaendelea, tutawajulisha zaidi hapo baadaye.
Kwa taarifa zaidi wasiliana na...
Paul Rupia 781-913-9363
John Rupia 857-251-4408
Stella Rupia 617-792-8815
Abela Haley 781-913-2107


It is with great sadness that we announce Aisha Rupia, wife of Paul Rupia has passed away today 9/13/2016. May God Rest her soul in Peace, Amen.  The bereavement will be at their house, 16 Feener Circle, Randolph, MA. Further information will follow after funeral arrangements have been finalized.
For more information, contact...
Paul Rupia 781-913-9363
John Rupia 857-251-4408
Stella Rupia 617-792-8815
Abela Haley 781-913-2107

Sunday, August 14, 2016

Tanzia - Mh. Mzee Aboud Jumbe

Rest in peace Mh. Mzee Aboud Jumbe. (1920 - 2016)

Saturday, June 04, 2016

Muhammad Ali Alipotembelea Tanzania 1980

Wadau, Nina kumbuka vizuri marehemu Bondia Muhammad Ali, alipokuja Tanzania kutembea mwaka 1980. Watu walikuwa na  kiwewe kumwona shujaa wao Vijana walivamia fensi na  kukimbiza ndege yake pale airport  Dar!   Watu walisema bora Ali angemtwanga Mzee Nchimbi (picha ya pili). Sijui kwa nini walikuwa wanamchukia.

Muhammad Ali amefariki dunia leo katika hospitali huko Arizona.  Alikuwa na miaka 74.  Alkuwa na ugonjwa wa pneumonia.  Lakini pia alipambana na ugonjwa wa Parkinson's disease (mwili ktetetmeka) muda mrefu.  

Rest in peace Muhammad Ali (1942-2016). 

Kusoma historia ya Muhammad Ali BOFYA HAPA:



Saturday, May 14, 2016

Mazishi ya Maggid Muhidin Leo

CODES:
Mwili wa marehemu ukiingizwa katika msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es salaam leo tayari kwa kuswaliwa kabla ya mazishi.
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete (kushoto) akimfariji baba wa marehemu Ankal Issa Michuzi.
Mama wa marehemu (aliyevaa nguo nyeupe) akiwa na ndugu wa karibu wakiomboleza.
Baba wa marehemu akiwa na viongozi wa dini wakiombea mwili wa marehemu dua.
Mke wa Rais mama Janeth Magufuli (kulia) akiwa na ndugu wa marehemu.
Baba wa marehemu Ankal Issa Michuzi akipata chakula.
Mke wa Rais mama Janeth Magufuli (kulia) akiwasili msibani Wazo hill akiwa na baba wa marehemu Ankal Issa Michuzi.
Baba wa marehemu akiwa na Balozi Cisco Mtiro na baadhi ya waombolezaji.
Baba wa marehemu (mwenye kofia), Ankal Issa Michuzi akipewa pole na baadhi ya waombolezaji mara baada ya maziko ya mtoto wake Maggid Muhidin Michuzi (18)yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo.
Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba akimpa pole Issa Michuzi.
Rais Mstaa mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete akimfariji Ankal Issa Michuzi.
Issa Michuzi (mwenye kofia) akifuatiwa na Rais mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, kulia kwake ni Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Mhe Ombeni Sefue. Kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi, Katibu Mkuu Ikulu Mhe. Peter Ilomo wakati maziko.
Waumini wakiomba dua.
Baba wa marehemu Issa Michuzi (katikati) akiwa na huzuni akiwa na Rais mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, kulia kwake ni Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde
Baba mkubwa wa marehemu, Ismail Issa Michuzi akitoa shukrani kwa walioshiriki mazishi ya mtoto wao.
Mroki Mroki ambaye aliyekuwa MC akitoa ya muongozo wakati wa mazishi.
Waombolezaji wakiweka udongo kwenye kaburi la marehemu.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Mhandisi John Kijazi akiweka udongo.
Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba akiweka udongo kaburini.
Rais mstaafu Jakaya Kikwete akiweka udongo kaburini.
Baba wa marehemu Ankal Issa Michuzi akiweka udongo kaburini.
Mwili wa marehemu ukiwekwa kaburini.
Mwili ukiwasili makaburini.

Rais mstaafu Jakaya Kikwete akimpa pole baba wa marehemu, Ankal Issa Michuzi. Kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi. Picha zote na Francis Dande


Wednesday, May 11, 2016

Msiba Boston - Mr's Gaudentia Nzigire

The family of Pastor and Mrs. Mlongecha regrets to announce the passing of their beloved Mother Gaudentia Nzigire that happened on May 11, 2016 at 4:00 am. Their mother was a beautiful soul. She was generous and served the Lord with her whole heart. She was loved by so many. They have set up the below account and we kindly request your generous support towards these plans by contributing here. gofund.me/23qqhes Mama Gaudentia's wake (last respect) will be on Friday, May 13th from 5pm to 8pm at Buonfiglio Funeral Home. Address: 128 Revere St, Revere, Ma 02151. Funeral service will be held on Saturday, May 14 from 10 am to noon at Buonfiglio Funeral Home. For those who would wish to extend a hand of condolences please visit the Mlongecha Family at their home located at 57 Eliot Road, Revere, Massachusetts 02151 There will be Prayers on Wednesday and Thursday from 7:00pm to 8:30pm at their above home address. For more information please contact. Mr. Alex Kamau 618 509 1386 Bonome Bahati 857 251 4934 Mama Rony 857 928 1093 Ezekiel Luhigo 781 632 3605 They are grateful for the outpouring of love, Prayers and continuing support from friends and church members while they are dealing with this heavy loss. On behalf the family, Ezekiel L

Monday, May 09, 2016

Tanzia - Maggid Muhidin (Mtoto wa Kaka Michuzi)

Ankal Issa Michuzi anasikitika kutangaza kifo cha mwanae Maggid Muhidin kilichotokea jana Jumapili huko Durban, Afrika Kusini, alikokuwa masomoni.

Mipango ya kuusafirisha mwili wa marehemu inafanywa, msiba utakuwa Tabata Mawenzi jijini Dar es salaam ambako ratiba ya mazishi itatoka mara tu baada ya mwili kuwasili.

Habari ziwafikie ndugu, jamaa, majirani na marafiki popote pale walipo.

Innalillah wa inna ilayhi raajiun

Wednesday, April 20, 2016

Msiba Texas, USA - Andrew Sanga

❗DEATH   ANNOUNCEMENT
   **ANDREW  SANGA***

---With our deep sorrow, we are sad to let you all know that Andrew's heart suddenly stopped.05.45pm Leading to his death.

---We thank you all for all the prayers, and we should please continue praying for his and our peace as family, friend's, employer's, co-workers, Houston community and All his friend's  and family from all over the world are acknowledged as well.

From Andrew's Family

--Daudi  Mayocha
THC President
(Tanzania Houston Community)

*******"***************
Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa!
Hii ni siku nyingine ya pili ya wiki Jumatano, siku tuliyopewa na Bwana wetu ni siku yenye baraka. Hii siku tumeichagua maalum kufunga na kuiombea faraja familia ya Andrew Sanga ambaye ametutoka jioni hii.
Karibu sana kwenye maombi yetu yanayoanza sasa. Tafadhali, jiunge pamoja nasi kwa kupiga simu  namba 218-339-8459 ikifuatiwa na Pass code 256445#.
Kwa wale walio nje ya USA anza na '+1'.
Mbarikiwe sana 🙏🙏

Tuesday, March 08, 2016

Jiunge na Harambee USA

Dear Tanzanians, let's talk about tomorrow, issues that don't often get our attention as we live convinced that .... "that can't happen to me or I can't be next...." Yet day and day we congregate to pray and to celebrate our brothers' and sisters' departure.... Certainly you must be wondering what is Baraka Bitariho talking about. ... let's talk about financing it.... If you still curious and interested to know what I am talking about, Here is a message about (copied and pasted as received...)

 Pamoja We Can, a not for profit organization supporting the lives and congratulations of Tanzanians in America.... Pamoja we can! ! ! Harambee USA 1st meeting. Location: Teleconference Date: February 27, 2016. Friends at Pamoja we can, ifuatayo ni report ya kikao chetu cha kwanza kilicho fanyika February 27, 2016  Kikao kilihudhiriwa na watu 108 kwa njia ya simu.

Ufunguzi ulifanywa na Mr. David Mrema : ☆ Alieleza kwa kifupi kwanini hii group imeanzishwa: ~ Kusaidiana wakati member amefariki. ~Kupunguza gharama na shida ya kukusanya michango member anapo fariki. > Kutambulisha baadhi ya viongozi : Mr. Mrema alitambulisha baadhi ya viongozi wa Pamoja we can !!! >Interim Board of directors: ☆ Zaituni M. Mnubi ( Michigan ) ☆ Bashiri Abdallah (South Carolina ) >Delegates : ☆ Highness Meena ( Massachusetts ) ☆ Veronica Njwaba ( Missouri ) ☆ Caroline E. Kazi ( Rhode Island ) ☆ Hilda B. Curry ( Texas ) Kutakuwa na 5 interim board of directors, na kila state itakuwa na delegates wawili. Kwa sasa hawa viongozi wata teuliwa na National exacutive office ( NEO) fo a term of 2 years. Mapendekezo : ☆ Mr. J.k ( GA): kuwe na njia njia nzuri za mawasiliano. Information zitumwe mapema na kwa njia ambayo Members wata weza kuzipata. ☆ Members wengi hawakuweza kufungua document ya rules and regulations kabla ya kikao. Next time kuwe na option zaidi mfano PDF ili kurahisisha kufungua document. ☆ Kaka. S.M (IN): Tunahitaji kuboresha njia hii ya Conference. Ilishauriwa kubadili njia tunayo tumia na kwenda TeleconferencePro kwani wana option nyingi za ku manage kikao.

 Q. Dada E.K : Muda wa member kuka kaa Tanzanian uongezwe kutoka 90 days.

 A. Kutokana na rules member akiwa Tanzanian zaidi ya 90 days , itabidi membership yake isiyishwe na ita rejeshwa mara tu atapo rudi usa. This program ni kwa ajili ya watanzania na familia zao wanao ishi hapa USA tu. No Exception. Q. Dada E.K (MD) member akirudi Tanzanian aweze kuendelea kuwa member na familia yake ilipwe pale anapo fariki. Hii ni kwajili hasa ya member ambao wanajua kuwa wana muda mfupi wa kuishi na wana rudi nyumbani kuagana na familia zao. A. Wazo limechukuliwa na litafanyiwa kazi na founding members. Jibu lita tolewa kwenye kikao kikuu national general assembly (NGA). Q. Dada H.W (TX) : ☆ Watoto above 16 years wasilipe kama hawana kazi. ☆Swala la kutuma death certificate ni invasion of privacy. ☆Swala la kutuma taarifa kabla huja safari nje ya nchi ni invasion of privacy. A. ☆ swala la kufuatilia ni nani anafanya kazi litakuwa gumu. Watoto chini ya miaka 16 hawatalipa lakini lazima waandikishwe. Watoto 16+ watalipa au kulipiwa na wazazi wao. ☆ Yes una weza kutuma official obituary document from your local government. ☆ Hautumi taarifa za kusafiri kwa member wote.

 Unatumia kwa secretary wa Pamoja we can office located on Richmond TX. Hii Itarahisha verification process pale tatizo likitokea ukiwa safarini. Pls note that isipotoa taarifa kuta kuwa ma extra document zitahitajika. Q. Kaka J.T (IL): Clarification $90 kwa mwezi? Au per incident? Nimeelewa kuhusu $20 administrative fee. A. One time initial deposit $90. Hauta toa tena $ 90 deposit. Hakutakuwa na monthly fee hata siku moja. Member watalipa pa incident , maana yake ni pale member mwenzetu amefariki. Now : Mfano tupo 750 msiba unapotokea, ( 15000÷750 = $20) $ 20 itatumika kutoka kwenye deposit yako. Hapo itabaki wa na only $70 kwenye deposit yako. Utakuwa na siku 30 za kurudisha hiyo balance yako kuwa $90. Utaenda bank na kuweka $20 iliyo tumika. ** Kutakuwa na $20 administrative fee kwa mwaka due January 25 ya kila mwaka. Q. Kaka B.M ( AR). Clarification $90. A. Pls angalia jibu hapo juu. Q. Dada V. (VA) Matumizi ya $20. A. Kuwezesha program kujitegemea. Founding members will work to increase number of members kufikia 5000 members by 2021. Kwa wakati huo members watakuwa wana lipa $3 kwa incident. Yaani $3 ×5000 = $15000

 Now ,utaona kuwa ni kwa jinsi gani founding members na team yao will work tireless kuhakikisha kuwa hili lengo lina kamilika. Hili lengo likitokea kamilika kila member atafaidika kwa kulipa hela kidogo sana pale mwenzetu anapo fariki. Mwisho : ☆Angalia calendar of events iliyo tumwa mwanzoni. Kila kitu kina baki kama lilivyo with exception kuwa no one will pay late fee or mandatory 180 waiting period baada ya siku ya mwisho kujiandikisha. ☆ Mara account ikifunguliwa program itaanza na members wataanza kuweka deposit na administration fee zao. ☆ Hatuta subiri tufike member 500. Incident ikitokea kabla ya kuwa member 500, mahesabu ya fuatayo tatatumika. $30 × Number of members. Hii itasadia kupata chochote kwa members. Thank you for your support. Na penda nikushuru sana kwa ushirikiano wako. This have been a dream for the last 4 and half years na sasa with your support ina kuwa reality.

Pamoja we can! ! ! Harambee USA Thank you David Mrema divineoaks@gmail.com 8325259857 Pamoja we can!!! Harambee USA. Timeline of events: February 27 , 2016 : 1 st teleconference meeting. We will review our rules, regulations and our bylaws. March 1, 2016: Registration with the secretary of state-Texas. Pamoja we can!!! Harambee USA : Website will be up and running. Members can start registering online by completing and submitting all required documentation. April 1, 2016 : Application for organization EIN number. April 8, 2016 : Opening of the organization's bank account. April 15, 2016 : Members will start to make their membership initial deposit and membership annual fees. May 15, 2016: last day for members to submit applications and make the membership initial deposit and annual fees. Pamoja we can!!! Harambee USA program will begin once we have 500 members who have completed the application process and deposited the initial membership deposits and annual fees. We are projecting the process to be completed and our program to begin by June 1, 2016. ** This date can change depending on how fast the above processes will be completed. Thank you David Mrema divineoaks@gmail.com 832 525 9857. Forwarded as received by Baraka Bitariho We are hiring at Banka General Staffing Www.bankaGeneral.com Team@Bankageneral.com E *** Please forward this message to all Tanzanians that you know and other what's up groups***

Saturday, January 03, 2015

Mgaidi Aliyeshirki Kulipua Ubalozi za Marekani Dar na Nairobi Afariki Dunia!

Mmoja wa magaidi walioshirki katika kulipua ubalozi za Marekani Dar es Salaam na Nairobi mwaka 1998 amefariki dunia.  Abu Anas al-Libi, amefariki kutokana na ugonjwa wa ini. Ilikuwa afikishwe mahakamani wiki ijayo!  Katika tukio hiyo zaidi ya watu 224 walifariki, wakiwemo waTanzania, WaKenya na WaMarekani. Al- Libi alikuwa na miaka 50.

 Abu Anas Al-Libi  na Ubalozi wa Marekani jini Dar es Salaam baada ya kulipuliwa mwaka 1998
**************************************

By MAGGIE MICHAEL

   CAIRO (AP) - Fifteen years after allegedly helping al-Qaida plot the 1998 bombings of U.S. embassies in Kenya and Tanzania, Abu Anas al-Libi parked his car on a quiet street in Libya's capital.

   Within moments, soldiers from the U.S. Army's elite Delta Force forced him at gunpoint into a van and sped away. They'd fly him to a naval ship in the Mediterranean Sea before finally bringing him to New York to stand trial on charges of helping kill 224 people, including a dozen Americans, and wound more than 4,500.

   But al-Libi, who pleaded innocent to the charges against him, wouldn't live to see his trial start Jan. 12. He died Friday night at a New York hospital of complications stemming from a recent liver surgery, his wife and authorities said Saturday. He was 50.

   Al-Libi, once wanted by the FBI with a $5 million bounty on his head, was chronically ill with hepatitis C when the soldiers seized him. His wife, who asked to be identified as Um Abdullah, told The Associated Press that his experience only worsened his ailments.

   "I accuse the American government of kidnapping, mistreating, and killing an innocent man. He did nothing," Um Abdullah said.

   In a federal court filing Saturday, U.S. Attorney Preet Bharara said al-Libi died after being taken from New York's Metropolitan Correctional Center to a local hospital.

   "Despite the care provided at the hospital, his condition deteriorated rapidly and (he) passed away," Bharara wrote.

   Al-Libi, which means "of Libya" in Arabic, was his nom de guerre. Also known as Nazih Abdul-Hamed al-Ruqai, U.S. prosecutors in 2000 described al-Libi as sitting on a council that approved terrorist operations for al-Qaida, which would become infamous worldwide a year later after the Sept. 11 terror attacks.

   Before that, al-Qaida's Aug. 7, 1998, truck bombings at the U.S. embassies in Nairobi, Kenya, and Dar es Salaam, Tanzania, were its deadliest assault. The bombs tore through the embassies and nearby buildings, killing 213 people and wounding some 4,500 in Kenya alone. The Tanzania attack, conducted minutes later, killed 11 people and wounded 85.

   Al-Libi, believed to be a computer specialist for al-Qaida, conducted visual and photographic surveillance of the U.S. Embassy in Nairobi in late 1993, the federal court indictment against him and others alleges. In 1994, he and other al-Qaida members researched alternate potential sites in Nairobi including the local office of the U.S. Agency for International Development, as well as "British, French and Israeli targets," according to the indictment.

   His path to Kenya and al-Qaida remains unclear. Al-Libi is believed to have spent time in Sudan, where Osama bin Laden was based in the early 1990s. After bin Laden was forced to leave Sudan, al-Libi turned up in Britain in 1995 where he was granted political asylum under unclear circumstances and lived in Manchester. He was arrested by Scotland Yard in 1999, but released because of lack of evidence and later fled Britain. After his indictment in December 2000 over the embassy bombings, U.S. officials said they believed he was hiding in Afghanistan.

   Al-Libi later said in court filings that he returned to Libya as dissent against dictator Moammar Gadhafi grew into an open revolt that led to the leader's downfall and killing in 2011. He said he "joined with forces of NATO and the United States" to replace Gadhafi, hoping to establish a "stable Islamic secular state."

   In October 2013, the U.S. Army's Delta Force swooped into Tripoli and seized al-Libi after dawn prayers, his brother Nabih al-Ruqai said. Al-Libi said the soldiers took him to the USS San Antonio, where CIA agents interrogating him warned the questioning would be the "easiest step" of three.

   "I took this to mean that the physical and psychological torture would only increase if I failed to cooperate with my questioners," he said in a court affidavit. "These threats continued the entire time I was on board the ship."

   Al-Libi's lawyer, Bernard Kleinman, argued his client didn't plan the bombing.

   "This case involves issues much more tinged with emotion and trauma than other cases," Kleinman said in 2013. "The fact that Mr. al-Libi will be tried in New York, barely a half mile from the World Trade Center site, and that Osama bin Laden and al-Qaida will be referenced numerous times in connection with his co-defendants cannot be ignored."

   Al-Libi isn't the only terror suspect to be snatched by U.S. special forces in Libya. American troops last year grabbed Ahmed Abu Khattala, a suspect in the 2012 attack on the U.S. Consulate in Benghazi that killed four Americans, including U.S. Ambassador Chris Stevens.

   The ability for U.S. troops to move freely in Libya reflects the chaos gripping the country beset by rival militias and political factions in the years since Gadhafi's downfall. Battles openly rage in its east and west as Islamic militant groups have turned coastline cities and border areas into safe havens.

   Libya's rival governments had no immediate reaction to al-Libi's death.

   Al-Libi's wife said Saturday her husband underwent liver surgery three weeks ago, went into a brief coma and was moved prematurely back to prison. She said the last time she spoke to al-Libi, "his voice was weak and he was in a bad condition."

   On Friday, she said a lawyer told her that al-Libi had been taken to a hospital and put on a ventilator.

   She added: "He was dying then."

Thursday, December 25, 2014

Ajali Yaua Watu Wawili Nzega Chanza Mwendo Kasi na Mvua

 
Gari ndogo ya binafsi ikiwa nyang'a nyang'a na kusababisha watu wawili kupoteza maisha.

Tukio hilo limetokea  karibu na Ziba,ambapo tunaelezwa kuwa gari ndogo imechakazwa vibaya na inadaiwa kuwa inaelekea Burundi.
Taarifa za awali zinasema chanzo cha ajali hiyo ni pamoja na speed ya gari dogo lakini mvua ilikuwa kubwa kiasi cha barabara kujaa maji na kusababisha gari ndogo kugongana na lori la miziogo.
 Ajali iliyohusisha magari mawili imesababisha waliokuwa kwenye gari dogo kupoteza maisha maeneo ya Nzega mkoani Tabora
Taswira ya Lori la mizigo lililogongana na gari ndogo ya abiria.
 

Tuesday, August 19, 2014

Rais Kikwete Atoa Rambirambi Kwa Familia ya Jaji Makame



Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwafariji wafiwa walipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki  katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.

 Mama Salma Kikwete akiweha saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki  katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.

PICHA NA IKULU

 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 Rais  wa Jamhuri  ya  Muungano wa Tanzania,  MheshimiwaDkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za  RambirambiMwenyekiti  wa  Tume ya  Taifa  ya  Uchaguzi,  National  Electoral Commission  (NEC)  kufuatia taarifa  za  kifo  cha  aliyekuwaMwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, MheshimiwaLewis  Makame  kilichotokea  katika  Hospitali  ya  AMI  TraumaCentre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.

 “Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifocha  Jaji  Mstaafu  wa  Mahakama  ya  Rufaa  Tanzania  naMwenyekiti  wa  Kwanza  wa  Tume ya  Taifa  ya  Uchaguzi(NEC)  chini  ya  Mfumo  wa  Vyama  Vingi  vya  Siasa,Mheshimiwa  Lewis  Makame  ambaye  amelitumikia  Taifaletu  katika  Utumishi  wa  Umma  kwa  uaminifu,  uadilifu,bidii  na  umahiri  mkubwa”,  amesema  kwa  masikitiko  RaisKikwete katika Salamu zake.

  Katika utumishi wake, Marehemu Jaji Lewis Makame, enzi zauhai wake, alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania kabla yakuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa na baadaye Mwenyekiti wa NECambayo  aliiongoza  kwa  miaka  17  mfululizo  hadi  alipostaafumwaka 2011.  Uongozi wake ulichangia sana kuimarisha amani,utulivu, umoja na mshikamano wa kitaifa katika mazingira mapyaya demokrasia ya vyama vingi vya siasa hapa nchini.“Ni  kwa  kutambua  kipaji  kikubwa  cha  uongozialichokuwa  nacho  Marehemu  Jaji  Lewis  Makame,  Taifa.