Saturday, June 16, 2012

Majeruhi Wa Mapenzi - Kitabu

 
 Kitabu kipya (novel) ambaho kimetungwa na Mzee Mwanakiji kitatoka hivi karibuni! Wahi nakala yako!


Kitabu cha "Majeruhi wa Mapenzi" kitauzwa Tanzania kati ya 14,000-18,000 (reja reja).. Kwa watakaoweka order mapema watakipata kwa bei ya chini inayowezekana (tunafikiria itakuwa punguzo la 25% kutoka 18,000 ambayo ndiyo listed price)... Weka oda ya nakala yako kwa kutuma email: klhnews@gmail.com na kusema idadi ya copy. Yaweza kuwa zaidi nzuri kwa rafiki, mpenzi, au jamaa yako... Bila ya shaka kwa wale walioko sehemu nyingine duniani kitabu kinapatikana pia kwenye Amazon.com na kupitia Kindle Book Reader.
 

No comments: