Saturday, March 07, 2015

Waganga wa Kienyeji 32 wakamatwa Tanzania - Mauaji ya Albino

Siku ya Alhamisi ,watu wanne walihukumiwa kifo kwa mauaji ya mwanamke albino mwaka wa 2008 katika jimbo hilo.

Serikali iliwapiga marufuku waganga wa kienyeji mwezi Januari kama mojawapo ya kampeni ya kusitisha mauaji hayo.

Kwa habari Kamili BOFYA HAPA: 

Albino Children in Tanzania

No comments: