Sunday, July 26, 2015

Mtoto wa Whitney Houston Afariiki Dunia! Alikuwa na mialka 22 tu!

 Wadau, kuna habari ya kusiktisha leo.  Bobbi Kristina Brown (22) amefariki dunia leo.  Alikuwa mahututi tangu mwezi wa kwanza (Januari) alipokutwa amezama kwenye maji bafuni kwake.  Ajabu Bobbi Kristina ndiye aligundua maiti ya mama yake ikiwa imezama kwenye maji bafuni miaka mitanao iliyopita.  Kuna wanaodai mpenzi wake, Nick Gordon, kafanya njama amwue ili apate pesa zake.  Polisi bado wanafanyafanya uchunguzi.  

Mwenyezi mungu ailaze roho ya Bobbi Kristina ahala pema mbinguni. Amen. Pole sana Bobby Brown.

http://uptownmagazine.com/files/2012/11/Bobbi-Kristina.jpg
The Late Bobbi Kristina Brown (1993-2015)

_________________________________________

Kutoka: ET Online


Bobbi Kristina Brown, the daughter of late music legend Whitney Houston and R&B singer Bobby Brown, died on July 26, surrounded by her family, at Peachtree Christian Hospice in Duluth, Georgia. She was 22.
"She is finally at peace in the arms of God," the Houston family said in statement to ET. "We want to again thank everyone for their tremendous amount of love and support during these last few months."
On Jan. 31, Bobbi Kristina was found unresponsive in her bathtub and was then taken to North Fulton Hospital in Roswell, Georgia, where she was put on a ventilator to assist her breathing. She was later placed in a medically induced coma at Atlanta's Emory University Hospital.

VIDEO: Whitney Houston & Bobbi Kristina Brown: A Circle of Tragedy
Nearly two months later. she was moved to a rehabilitation center, where she remained until June 24, when she was moved to the hospice center.

Kwa habari kamili BOFYA HAPA:

No comments: