Saturday, July 25, 2015

Sherehe za Arobaini ya marehemu Baba Yangu Dr. Aleck Che-Mponda Yafanyika Dar Leo!

Wadau, leo sherehe za Arobaini ya marehemu baba yangu mzazi, Dr. Aleck. H. Che-Mponda, zilifanyika mjini Dar es Salaam, pale nyumbani Tenki Bovu, Mbezi Beach Juu. Nafurahi mwanangu, Camara aliweza kuhdhuria pamoja na mdogo wangu Jessica.

REST IN ETERNAL PEACE DR. ALECK H. CHE-MPONDA (1935-2015)

Mapadre wa Anglikana waliosimamia Misa
Wapwa wa Marehemu
Father Haule wa Kanisa Anglikana Kawe akiongea

Ndugu wa Marehemu



Ndugu wa Marehemi


2 comments:

Mbele said...

Mama Camara

Shukrani kwa taarifa na picha. Ni kumbukumbu nzuri. Ningekuwa Dar ningehudhuria. Apumzike kwa amani Mzee wetu.

Anonymous said...

Apumzike kwa Amani! Nilikutana naye Ocean Road hospitali alipokuwa katika matibabu!