Saturday, March 18, 2017

Dk. Ryoba Awaona Waanidshi wa Habari wa Uhuru Leo

DK. AYUB RIOBA AWANOA KWA SEMINA YA WELEDI WAANDISHI WA HABARI WA GAZETI LA UHURU, JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
 Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Ryoba, akiendesha semina ya kunoa weledi wa taaluma ya uandishi wa habari kwa waandishi wa habari na baadhi ya watumishi wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, leo katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Dk. Ryoba ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), ana shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD) katika Sayansi ya Jamii aliyoipata katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
 Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Ryoba, akiendelea kutoa 'nondoz' kwa wafanyakazi hao wa UPL, huku wafanyakazi hao wakimsikiliza kwa makini sana
 Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Ryoba, akifafanua mada zake kwenye semina hiyo ya kunoa weledi wa kitaaluma
 Washiriki wa semina hiyo wakiwa ukumbini
 Dk. Ayub Ryoba, akiendelea kutoa mada kwenye semina hiyo
 Washiriki wakifuatilia kwa makini mafunzo ya Dk. Ryoba
 Yassin Kayombo (aliyesimama) akijitambulisha kwa Ryoba (kulia) na kwa washiriki wengie wa semina hiyo
 Mgaga akijitambulisha
 Jongo akijitambulisha
 Mnkondo akijitambulisha
 Ally akijitambulisha
 Furaha Omari akijitambulisha 
 Gailanga akijitambulisha
 Utambulisho ukiedelea
 Utambulisho ukiendelea
 Washiriki wakiwa ukumbini
 Dk. Ryoba akiendelea na semina hiyo
 Washiriki wakiwa katika kundi la kwanza kujadili mada
 Washiriki katika kundi la pili kujadili mada
 Washiriki katika kundi la tatu kujadili mada
 Washiriki kundi la nne wakijadili mada
 Dk Ryoba akipitiapitia mada zake wakati akisubiri mrejesho wa maswali aliyowapa washiriki 
 Dk. Ryoba akijadiliana jambo na baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakati wa mapumziko. Kulia ni Furaha Omar na Bashir Nkoromo
 Dk. Ryoba akijadiliana jambo na baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakati wa mapumziko. Kulia ni Furaha Omar na Bashir Nkoromo
(PICHA ZOTE NA KAMERA YA BASHIR NKOROMO)

No comments: