Showing posts with label Ajali. Show all posts
Showing posts with label Ajali. Show all posts

Saturday, December 04, 2021

Church Choir Members Die in Bus Accident in Kenya



FROM THE AP:

Kenyan police say at least 18 people died after a bus carrying choir members to a wedding plunged into a river in Kenya today Saturday, December 4, 2021.

 Mwingi East Sub-County Police Commander Joseph Yakan said the driver tried to steer the bus past a flooded bridge, but the strong current swept the vehicle into the river. He said 10 people were rescued. The choir members of Mwingi Catholic Church had been traveling for their male colleague's wedding when the accident occurred in Kitui County. Officials said the incident is under investigation.

For more reporting click on the link below:

KENYA BUS ACCIDENT


Saturday, August 10, 2019

Uchu wa Mafuta yaua watu zaidi ya 70 Morogoro - Ajali ya Lori la Mafuta

Jamani wadau, mkiona  mafuta yanavuja kutoka kwenye gari kimbia, siyo mnakimbilia kupata mafuta dezo!  Yanawaka kwa kirahisi mno. Umaskini kitu kibaya sana, maana si ajabu wengine waldihani watuuza hayo mafuta wapate hela ya ugali!   Ona sasa watu zaidi ya  sabini wamepoteza maisha baada yakuungunguzwa! 

Wengine waliokufa ni madereva wa bodaboda na mama nitilie!  Walizoa mafuta hata kwenye ndoo! Na wanasema, mafuta yalilipuka baada ya mtu kuchomoa  betri 
ya lori  na mtu mwingine alikuwa anavuta sigara!   Nasikia huyo mvuta sigara aliambiwa asivute karibu na mafuta.  Alijibu mafuta ya kisasa hayawezi kuwaka moto! Nadhani watakuwemo kwenye watu waliokufa!
Mungu alaze roho za waliokufa mahala pema mbinguni. Amen.


Kutoka Associated Press
DAR ES SALAAM, Tanzania (AP) — A damaged tanker truck exploded in eastern Tanzania as people were trying to siphon fuel out of it Saturday, killing at least 62 in one of the worst incidents of its kind in the East African country.
Tanzanian state broadcaster TBC, citing police figures, said at least 70 more people were injured during the explosion in the town of Morogoro, located about 120 miles (200 kilometers) from the economic hub of Dar es Salaam.
Regional police commissioner Steven Kabwe told the local Azam TV that many suffered serious burns.
Witnesses told The Associated Press that a crowd had gathered around the fuel tanker after it was involved in an accident early Saturday and some people were trying to siphon away fuel when the truck burst into flames.
Video footage posted on social media showed people collecting fuel into jerry cans before the fire incident.
In a statement expressing condolences, Tanzanian President John Magufuli said he was dismayed people attacked vehicles involved in accidents instead of offering help.
Residents are routinely killed by explosions while stealing fuel from incapacitated tankers in East Africa. Those who steal the fuel usually hope to be able to sell it cheaply to motorists.
In 2013, at least 29 people were killed on the outskirts of the Ugandan capital, Kampala, as scores swarmed around the scene of an accident.
There is limited awareness about the danger of explosions of damaged fuel tankers, said Henry Bantu, a road safety expert who runs the Tanzania-based Safe Speed Foundation. Local leaders need to do more to educate people on the risks, he said.



Watazamaji kwenye shemu ya mlipuko Morogoro

Saturday, September 22, 2018

Ferry MV Nyerere Yazama Ziwa Victoria - Watu zaidi ya 400 Wahofia Kufa

Inasdikiwa kuwa watu zaidi ya 400 wamekufa  baada ya Feri ya MV Nyerere kuzama Ziwa Victoria siku ya Alhamisi.  Feri ilizama karibu na kitou  cha Ukara Island. Ilikuwa na uwezo ya kubeba abiria mia lakini watu waansema ilikuwa imebeba zaidi ya watu 400.  Siku ya alhamisi iliku siku ya watu kwenda Sokoni 'Market Day', kwenda kununua na kuuza bidhaa mbalimbali. Raisi Magufuli amesema kuwa nahodha wa Ferry hakuwa na kipaji cha kuendesha feri hiyo.


MV Nyerere ikiwa kazini Ziwa Victoria


MV Nyerere baada ya kuzama Ziwa Victoria




Jitihada za Uokoaji

Saturday, October 21, 2017

Helicopter Crash in Kenya

   NAIROBI, Kenya (AP) - A Kenyan official says a helicopter has plunged into Lake Nakuru in the Rift Valley moments after taking off from a nearby hotel.

   National Disaster Management Unit Deputy Director Pius Mwachi said Saturday it's not clear yet how many people were on board the helicopter and who they were.

   Mwachi says a search-and-rescue mission is underway. Lake Nakuru, located 170 kilometers (105 miles) northwest of the Kenyan capital, Nairobi, is famous for flamingo colonies that turn the shoreline pink at their peak.

   Environment degradation has threatened the lake and the wildlife that depend on it.

Saturday, November 12, 2016

Wananchi Wajeruhiwa Katika Ajali Iliyohusisha Magari Manne Kongowe Temeke jijini Dar es Salaam Leo

div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
 Wananchi wakiangalia ajali iliyohusisha magari manne na pikipiki iliyotokea daraja la Mzinga Kongowe, Temeke jijini Dar es Salaam leo mchana. Katika ajali hiyo watu kadhaa walijeruhiwa.
 Wananchi wakiangali basi dogo aina ya Coster ya abiria namba T 415 DCC ikiwa imeharibika vibaya baada ya kugongwa.
 Wananchi wakiwa eneo la ajali
 Wananchi wakiwa eneo la ajali.
 Ofisa wa Jeshi la Polisi akiwa eneo la ajali akichukua taarifa.
Prado yenye namba  T 177 AHH iliyohusika katika ajali hiyo.

Na  Dotto Mwaibale

WATU kadhaa wamejeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari manne na pikipiki iliyotokea daraja la Mzinga Kongowe Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam.

Ajali hiyo ilitokea saa sita mchana na kuhusisha magari hayo lori la mafuta aina ya Scania lenye namba T 617 AQQ, Coster ya abiria namba T 415 DCC inayofanya safari zake kati ya Kilwa Masoko na Mbagala, Prado yenye namba  T 177 AHH, pikipiki na lori jingine. 

Ofisa wa Polisi aliyekuwepo eneo la ajali ambaye alitambulika kwa jina moja la Emanuel alisema chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika.

"Nimefika sasa hivi bado hatujajua chanzo cha ajali wala watu waliopoteza maisha na kujeruhiwa" alisema ofisa huyo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Gilles Muroto alipopigiwa simu ili kuthibitisha ajali hiyo alikiri kutokea  hata hivyo alisema alikuwa hajapata taarifa kamili kutoka kwa Mkuu wa Kikosi cha Usalama wa Wilaya hiyo ambaye alikuwepo eneo la tukio.

Kwa mujibu wa mashuhuda walioshuhudia ajali hiyo walisema majeruhi walikimbizwa Hospitali ya Manispaa ya Temeke kwa matibabu.

The great escape.

Friday, October 16, 2015

Tanzia - Mh. Deo Filikunjombe na Captain William Silaa


RIP Mbunge wetu wa Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe. Doh! Nimepokea habari za msiba kwa masikitiko makubwa.  Poleni wanakunyumba.

Mwenyezi Mungu alaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. Amen.

Saturday, November 08, 2014

Basi la Happy Nation yapata Ajali Mbeya!


 Natoa pole kwa waliojeruhwa!

****************************************************



Basi lenye namba T281 ARR mali ya Happy Nation likiwa limepinduka eneo la Meta Igurusi kilometa 54 kutoka Mbeya

Picha na Maelezo Kutoka MBEYA YETU BLOG:



Watu 37 wamenusurika kifo baada ya basi la abiria lenye namba za usajili T 281 ARR aina ya Scania linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Dar es Salaam linalomilikiwa na Kampuni  ya Happy Nation kuacha njia na kupinduka eneo la Meta Kata ya Igurusi wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya.



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi amesema ajali hiyo imetokea leo majira ya saa moja asubuhi  basi hilo likitokea Mbeya baada ya kupasuka gurudumu la mbele kulia kisha kupoteza uelekeo  na baadaye kumgonga mpanda baiskeli na kupinduka.



Msangi amesema baada ya ajali hiyo Dereva wa basi hilo aliyefahamika kwa jina moja la Shabani alikimbia ambapo Jeshi la Polisi linafanya juhudi za kumtafuta ili kueleza sababu za ajali hiyo.



Aidha Msangi amesema katika ajali hiyo kulikuwa na majeruhi 37 wanaume 26 wanawake 10 na mtoto mmoja wa kiume.



Baada ya ajali hiyo majeruhi walikimbizwa katika Hospitali ya Misheni ya Chimala ambapo mjeruhi 10 bado wamelazwa na wanne wamekimbizwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya kwa matibabu zaidi.



Kwa mujibu wa Daktari Mkuu Mahenge wa Hospitali ya Chimala amesema kuwa waliolazwa Hospitalini hapo ni wanaume sita na wanawake wanne na walohamishiwa Rufaa ni wanaume wanne.



Daktari Mahenge amesema kuwa hali za majeruhi 10 walipo Chimala hali zao zinaendelea vema ingawa wanakabiliwa na upungufu wa damu na wameomba msaada katika kitengo cha benki ya Damu salama Mbeya.



Hata hivyo baadhi ya abiria wamelalamikia mwendo kasi wa basi hilo kwani baada ya kutoka kituo kikuu cha Mabasi lilianza kwenda kwa mwendo wa kasi na mara kadhaa walikuwa wakimuonya Dereva lakini alikuwa akikaidi.



Pia walikuwa wakifukazana na mabasi mengine yaliyotokea Mbeya kuelekea Jijini Dar es Salaam hali iliyosababisha basi hilo kupasuka gurudumu la kulia likiwa katika mwendo kasi na kona kali kisha kupinduka.



Wakati huo huo Kamanda Ahmed Msangi amesema  watu wawili wamefariki dunia wilayani Mbozi baada ya roli la mizigo kugongana uso kwa uso na gari linalomilikwa na NSSF.


Msangi amesema bado majina ya waliofariki hayajapatikana na kwamba Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi ili kubaini chanzo cha ajali na miili ya marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya Serikali Mbozi.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA:

Friday, July 18, 2014

Ndege Iliyobeba Wanajeshi Kutoka Marekani Yatua Kwa Dharura Uganda!



The Plane  on the Road at Mityana Highway in Uganda - Photo from Facebook
KAMPALA, Uganda (AP) - A Ugandan police spokesman says a small aircraft carrying U.S. military personnel has made an emergency landing on a road after running out of fuel.

   Phillip Mukasa said Friday that the Piper aircraft with eight people on board - including two crew members - was returning to Uganda's Entebbe airport when it had to make an emergency landing in Mityana town, some 67 kilometers (about 41 miles) from the Ugandan capital of Kampala.

   No one was hurt and the aircraft wasn't damaged, he said, although motor traffic flow was seriously disrupted.

   He said the aircraft had been headed to South Sudan but it couldn't land there and had to return to Uganda.

   It was not immediately clear why the pilot could not land in South Sudan.
  

Saturday, June 21, 2014

Ajali Mbaya Imetokea Lugalo Leo - Watu Saba Wamakufa






 Taarifa na picha kitoka kwa Mdau OS:


Ajali mbaya ya gari imetokea mchana huu, katika maeneo ya Lugalo jijini Dar es Salaam. Katika ajali hiyo, inakadiriwa zaidi ya watu saba wamefariki dunia.

Mashuhuda wanasema, ajali hiyo imesababishwa na gari aina ya dalala iliyokuwa ikitokea maeneo ya Tegeta kuja Mwenge. Gari hiyo ililigonga dalala nyingine kabla ya kulivamia roli na baadaye gari nyingine aina ya Toyota Discover.

Sunday, March 16, 2014

Basi la Yanga Yapata Ajali!

 KUTOKA FACEBOOK:



Bus la timu ya Young Africans lililokuwa limebeba wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi limepata ajali eneo na Mikese Mizani baada ya Mabus yaliyokua yakitanua kuelekea mikoa ya bara kuziba njia na kusababisha kutumbukia kwenye mtaro.

Katika ajali hiyo iliyotokea majira ya saa tatu na nusu asubuhi hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa na kwa sasa timu inaondoka na usafiri wa bus jingine kuelekea jijini Dar es salaam.

Saturday, November 30, 2013

Ndege ya Mozambique Airlime Imeanguka Namibia!


Ndege ya Mozambique Airlines imeanguka Naimbia Leo!  Watu 34 wamekufa!


By CHRISTOPHER TORCHIA

   JOHANNESBURG (AP) - A Mozambique Airlines plane carrying 33 people crashed in a remote border area, killing all on board, Namibian media reported Saturday.

   The plane crashed in a Namibian national park near the border with Angola and there were no survivors, said Namibian deputy police commissioner Bollen Sankwasa, according to The Namibia Press Agency. An investigation of the cause was underway.

   The plane was carrying 27 passengers, including 10 Mozambicans, nine Angolans, five Portuguese, and one citizen each from France, Brazil and China, said the airline. Six crew members were on board.

   Flight TM470 from Maputo, the Mozambican capital, did not land as scheduled in Luanda, the Angolan capital, on Friday afternoon, and the airline initially said the plane might have landed in Rundu, in northern Namibia. It said it coordinated with aviation authorities in Namibia, Botswana and Angola to locate the missing plane.

   A Namibian police helicopter joined officers on the ground in the search. The area is vast and there are no roads, making it difficult to locate the plane, said police official Willy Bampton, according to the Namibian Press Agency.

   The search was conducted in the Bwabwata National Park in northeastern Namibia. Several thousand people as well as elephants, buffalo and other wildlife live in the park, which covers 6,100 square kilometers (2,360 square miles).

   Airlines from Mozambique are among carriers banned in the European Union because of safety concerns.

   Tony Tyler, director general and CEO of the International Air Transport Association, said earlier this week that none of the 25 African members of the association, which include Mozambique Airlines, had an accident in 2012.

   "But the overall safety record for Africa remains a problem that we must fix," Tyler said at a meeting of the African Airlines Association in Kenya. He said African aviation comprises about 3 percent of global airline traffic, and last year it accounted for nearly half of the fatalities on Western-built jets.

   Mozambique Airlines uses Boeing, Bombardier and Embraer aircraft.

   CEO Marlene Mendes Manave says in a statement on the airline's website that the airline grew 8 percent in the first half of this year, compared to the same period in 2012.
A Mozambique Airlines Plane

Saturday, November 23, 2013

Two USIU students from Tanzania Dead in One Week in Nairobi


Rest in eternal peace, Brian Frisby (22) and Jerry Isaac Mruma (23).


****************************
ANOTHER TANZANIAN STUDENT DIES IN NAIROBI

A 23-year-old Tanzanian student pursuing an MBA degree at the United States International University in Kenya has died under mysterious circumstances in Nairobi.
The late Jerry Isaac Mruma was found dead after he went missing since last Saturday night at the area.

Click here to Read the whole story from Daily News, Tanzania

Friday, August 23, 2013

Ajali ya Ndege ya Tanzanair Lake Manyara Katika Picha

Photos of the plane crash in Tanzania yesterday! It was the private company Tanzanair chartered by tourists. It crash landed in Lake Manyara.    The photos are from Facebook:  
Kutoka Aviation Safety:
* A chartered Beechcraft B200C Super King Air was forced to carry out a ditching in the waters of Lake Manyara in Tanzania. The airplane had lost engine power while en route between Bukoba and Zanzibar, Tanzania. Final destination of the flight was Dar es Salaam.  All seven occupants were rescued by fishermen.
 





From All Africa.com
Seven people on board a chartered TanzanAir aircraft from Bukoba town to Dar es Salaam, narrowly escaped death when it made an emergency landing in Lake Manyara, Babati, Manyara Region, on Thursday morning.
The Arusha Regional Police Commander (RPC), Mr Liberatus Sabas, told the 'Daily News' in a telephone interview that all the six passengers and the pilot were in good condition.
He named the passengers as Aneth Kashasha (51), Mutabihirwa Regina (58), Aloys Mwanga (60), Navuli Meeda (80), Ashura Ruta (38) and Protase Ishengoma (45) all residents of Dar es Salaam.
The pilot was identified by single name as Capt Kondo of TanzanAir with registration number 5H TZW. According to RPC Sabas, the charter plane was flying from Bukoba to Dar es Salaam via Zanzibar.
He said the plane developed mechanical problems in one of its engines and the pilot decided to make an emergency landing on the waters of Lake Manyara. The passengers were rescued by fishermen who rushed them to Selian Hospital for treatment.
The Manyara Regional Commissioner, Mr Akili Mpwapwa, said the incident occurred in the Babati section of the water body striding Lake Manyara National Park. Mr Sabas said three among the six passengers sustained minor injuries.
"We thank God all the six passengers and the pilot are in good condition," he said. Sources said Ishengoma, Kashasha and Mwanga had been in Bukoba to attend the funeral of Joseph Mushumbusi's mother, the late Ernestina Mujwahuzi, who was buried at Kanazi Village, in Bukoba Rural District on Wednesday.
Soon after news of the crash reached Bukoba town, friends and relatives of the passengers on board the plane made frantic efforts to know the fate of their beloved ones, fearing the worst.
The Tanzania National Parks through its Public Relations Manager, Mr Paschal Shelutete said efforts to remove the wreckage from the site were going on. This is the third plane crash to occur in Arusha this year, the first one claimed the life of Mr Joseph Macha, the Arusha prominent businessman popularly known as Bob Sambeke, who crashed while trying to land at Arusha Airport, last April.
Two weeks ago, the flying doctor's plane which was traveling from Enduleni Ward of Ngorongoro District to Arusha via Longido also crashed at Merugway Village in Longido District with six patients and two pilots on board.
 
Seven people on board a chartered TanzanAir aircraft from Bukoba town to Dar es Salaam, narrowly escaped death when it made an emergency landing in Lake Manyara, Babati, Manyara Region, on Thursday morning.
The Arusha Regional Police Commander (RPC), Mr Liberatus Sabas, told the 'Daily News' in a telephone interview that all the six passengers and the pilot were in good condition.
He named the passengers as Aneth Kashasha (51), Mutabihirwa Regina (58), Aloys Mwanga (60), Navuli Meeda (80), Ashura Ruta (38) and Protase Ishengoma (45) all residents of Dar es Salaam.
The pilot was identified by single name as Capt Kondo of TanzanAir with registration number 5H TZW. According to RPC Sabas, the charter plane was flying from Bukoba to Dar es Salaam via Zanzibar.
He said the plane developed mechanical problems in one of its engines and the pilot decided to make an emergency landing on the waters of Lake Manyara. The passengers were rescued by fishermen who rushed them to Selian Hospital for treatment.
The Manyara Regional Commissioner, Mr Akili Mpwapwa, said the incident occurred in the Babati section of the water body striding Lake Manyara National Park. Mr Sabas said three among the six passengers sustained minor injuries.
"We thank God all the six passengers and the pilot are in good condition," he said. Sources said Ishengoma, Kashasha and Mwanga had been in Bukoba to attend the funeral of Joseph Mushumbusi's mother, the late Ernestina Mujwahuzi, who was buried at Kanazi Village, in Bukoba Rural District on Wednesday.
Soon after news of the crash reached Bukoba town, friends and relatives of the passengers on board the plane made frantic efforts to know the fate of their beloved ones, fearing the worst.
The Tanzania National Parks through its Public Relations Manager, Mr Paschal Shelutete said efforts to remove the wreckage from the site were going on. This is the third plane crash to occur in Arusha this year, the first one claimed the life of Mr Joseph Macha, the Arusha prominent businessman popularly known as Bob Sambeke, who crashed while trying to land at Arusha Airport, last April.
Two weeks ago, the flying doctor's plane which was traveling from Enduleni Ward of Ngorongoro District to Arusha via Longido also crashed at Merugway Village in Longido District with six patients and two pilots on board.

Monday, August 12, 2013

Mwili wa Buyoya Biswalo Umepatikana na Kutambulika Jioni Hii!

Wadau, kwa majonzi nawataarifu kuwa mwili wa Buyoya Paul Biswalo (32)  umepatikana mchana huu na kutambulika jioni hii kuwa kweli ni yeye.  Alipata ajali ya maji kwenye Mto Chattahoochee huko Georgia siku ya jumanne wiki iliyopita.   Ilibidi waokaji watumie helikopta kusearch mto.

Mungu ailaze roho ya Buyoya mahala pema mbinguni. Amen.  


*************************************************
KUTOKA  ROSWELL PATCH

Update: Body Found in Chattahoochee Identified

Rescuers searched for victim for seven days.
patch
The body of Buyoya Paul Biswalo was recovered from the Chattahoochee River on Monday.
The body of Buyoya Paul Biswalo was recovered from the Chattahoochee River on Monday.
Update, Monday, Aug. 12, 5:40 p.m:

From the Roswell Fire Department:
The body of Buyoya Paul Biswalo, 32, who was last seen rafting with friends on the Chattahoochee River, has been recovered. The body was located using a helicopter from the Department of Natural Resources.
The Roswell Fire Department along with members of the Johns Creek Swift Water Rescue, Roswell Police, Department of Natural Resources, Dawson County K-9, National Park Service, Forsyth County Dive Team, City of Atlanta Fire, Sandy Springs Fire and Police and the Clayton County Dive Team, spent the last seven days searching for the victim using sonar, cameras, K-9s, and helicopters.
Water levels were down today aiding in the search efforts. The National Parks Department coordinated the release of water from Morgan Falls and the Army Corps of Engineers restricted the release of water from Buford Dam.

Original story, Monday, Aug. 12, 3:11 p.m.:


Six days after rescuers began a search for a man missing from the Chattahoochee River near Don White Park in Roswell, police say a body was recovered at about 1:54 Monday afternoon.

No word yet on whether the body is that of the unidentified man rescuers were looking for after he was spotting trying to swim from one boat to another on Aug. 6.

The Roswell Police Department is in the process of identifying the body now, according to Lt. James McGee.

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA: 

THE SEARCH FOR THE BODY OF BUYOYA BISWALO

Rescue teams returned to the Chattahoochee River in Roswell Wednesday to search for a man last seen swimming Tuesday afternoon



The Late Buyoya Biswalo 1981 -2013
 

Sunday, August 11, 2013

Tamko Rasmi Kutoka Familia ya Biswalo Kuhusu Kupotea kwa Buyoya Biswalo

* Nimeulizwa Buyoya ni nani na kama ni MTanzania.  Buyoya Biswalo ni mtoto wa Marehemu Prof. Paul Biswalo aliyefundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), miaka mingi. Walikuwa wanakaa Sinza Rd. Namba 13. (Mlimani Campus)

Buyoya Paul Biswalo



The Biswalo family would like to inform extended family, friends, and the general public of the unfortunate incident that happened in the state of Georgia, USA, on Tuesday, August 6,  2013 involving our beloved ,
 Buyoya Paul Biswalo.

During a boating excursion,  Buyoya went missing in the Chattahoochee River in northern Atlanta. Official search crews including friends have been vigilantly searching the area where the incident occurred. The search continues and we remain hopeful of his eminent return.
Thank you in advance for your prayers and well wishes during this difficult time.

                                               ****************************


Familia ya Biswalo inapenda kuwaarifu ndugu, jamaa na marafiki wote kuhusu tukio la kupotea kwa mpendwa wao Buyoya Paul Biswalo lililotokea siku ya Jumanne tarehe 6, Agosti 2013 huko Atlanta, Georgia, Marekani.

Mara ya mwisho, Buyoya alionekana akiwa na wenzake katika mto wa Chattahoochee, Atlanta kaskazini. Jitihada za kumtafuta bado zinaendelea kufanywa na mamlaka husika, ndugu, jamaa na marafiki. Tunatarajia jitihada hizi zitazaa matunda mema.
Ahsanteni, na tunaomba tuendelee kuungana wote katika maombi wakati huu mgumu.