Saturday, December 09, 2017

Babu Seya na Familia Yake Wapewa Msamaha na Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli leo Disemba 09,2017 kwenye sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanganyika ametoa msamaha kwa wafungwa 8157.

Bonyeza hapa kusoma zaidi http://www.bmghabari.com/watanzania-waguswa-na-msamaha-wa-rais-magufuli/


No comments: