Saturday, March 27, 2021

Concussion Awareness - Habari Zaidi - Ubongo ukiumia




Wangapi mmeanguka na kupoteza fahamu kwa muda?  Au baada ya kuanguka unajiona unazimia zimia

Ni kutokana na kitu kinaitwa Concusssion. Yaani ubongo  unapata shot vile.  Mara nyingi wana michezo waanaathirika, na wanaopata ajali wanaathirika.

Mnaweza kusoma kuhusu Concussion  KWA KUBOFYA HAPA:

Snowboarding Concussion (Everything You Need to Know) (snowboardhow.com)



Kumbuka msanii Steven Kanumba alikufa kwa Concussion baada ya kuanguka na kugonga kichwa nyumbani kwake.  Mnaweza kusoma kuhusu kifo cha Kanumba  KWA KUBOFYA HAPA:

http://swahilitime.blogspot.com/2012/04/kanumba-alikufa-kwa-brain-concussion.html


No comments: