Hapa kwetu Cambridge/Boston kuna bata kibao. Zamani wazungu walikuwa wanawawinda kwa ajili ya chakula. Siku hizi na supermarket hawana haja nao. Kwanza wamesahau utaalamu wa kuwinda, hata kuisafisha baada ya kuchinja hawawezi. Bahati yao hao bata wamekuwa kama pets tu. Wanabakia kuwaangalia tu.
Hii picha nilipiga leo maeneo ya Alewife, Cambridge.