Showing posts with label Bongo. Show all posts
Showing posts with label Bongo. Show all posts

Tuesday, July 24, 2007

Niko Dubai Tena




Haya ndugu wasomaji wapendwa, niko njiani kurudi USA. Niko Dubai Airport ni midnight (Saa sita za usiku) nangojea flight ya kwenda New York.

Samahani nilibanwa sana kwenye shghuli za sinema, lakini nadhani mtapenda sinema enyewe. Itatoka hivi karibuni. Hiyo Emirates ni ndege safi sana. Wanachukua soko ya British Airways / KLM etc. naona na Qatar Airways wameingia na bei nafuu za tiketi.

Mengine Kesho kutwa.

Na kwa yule aliyekuwa na wasiwasi....mbona nilikuwa na simu Bongo.