Habari kutoka Uingereza zinasema ndege ya British Airways aina ya 777 imeanguka huko London. Ndege ilikuwa inatua katika uwanja wa ndege ya Heathrow lakini ilikosa nguvu za umeme na ilibidi ifanya- glide. Glide enyewe haikuweza kufikisha ndege njia ya lami ya kutua ndege!
Ndege ilikuwa imetokea Beijing, China. Mungu ni mwema hakuna mtu aliyekufa. Ndege ilikuwa na abiria 136, kati yao 19 waliumia.
I worked for Tanzania's Daily News for 11 years leaving as a Senior Reporter. I love acting, films, short story writing and cooking. I blog in English and Swahili. I am a member of the Screen Actors Guild (SAG) and AFTRA.
You can contact me at chemiche3@yahoo.com.