Thursday, January 17, 2008

Ndege ya British Airways imeanguka Heathrow Airport!




http://www.euronews.net/index.php?page=info&article=465216&lng=1

http://www.bloomberg.com/apps/news?pid=20601087&sid=aR3IWzgY1eec&refer=home

5 comments:

Anonymous said...

Mswalie mtume Dada Chemi haikuanguka hiyo ndege ilitua vibaya tu. Hivi ndege ingeanguka hapo airport angepona mtu kweli?

Anonymous said...

Hiyo ni Crash maana hata ile chuma ya matairi ya ndege ilinyofoka!

Anonymous said...

sikatai matairi yameng'oka lakini nino "Kuanguka" likikaa katika sentensi moja na neno "Ndege" is something very serious. Sio kama inavyoonekana hapo kwenye picha.

Chemi Che-Mponda said...

Anonymous wa 8:00am, asante sana kwa maelezo yako. Ndege ime crash land, nadhani ni zaidi ya kusema ilitua vibaya.

Wadau wengine mnakarishwa kutoa maoni hapa. Ndege imeanguka au ilitua vibaya?

Anonymous said...

Ndege ime -crash land sio kuanguka, maana ingeanguka kama walivyosema wengine ingekuwa kizaa zaa. Unajua hizi lugha za wenzetu saa nyingine huwezi kupata neno la kutafsiri kwa kiswahili likaleta maana ile iliyokusudiwa hivyo ni vyema kutumia hilo neno la kiswanglish au english moja kwa moja. Maana ukisema ilianguka watu wanaweza elewa vingine. Ndege inapo crash land, rubani angalau bado anakuwa na uwezo wa kuiongoza hiyo ndege somehow ingawa inakuwa na technical problem/problems, lakini kuanguka anakuwa hana uwezo kabisa si unajua, kama embe dodo linavyodondoka mtini!

Ni bora ndege ik crash land kunakuwa na survivals kuliko ianguke!