
Wadau, sikumbuki ni mwaka gani lakini nadhani ilikuwa kama 1989. (Michuzi hebu toa ile story kwenye Daily News Archives) Wazungu waItalia walimchukua malaya huko Dar na kumlazimisha afanya mapenzi na mbwa aina ya German Shepherd maeneo ya Kunduchi! Wale wazungu walikamtwa na kufukuzwa nchini (deported).
Kuna wazungu wenye tabia chafu ya kutembea na mbwa. Hapa Boston kuna mama moja alifungwa hospitali ya vichaa baada ya kugundulika alikuwa anafanya mapenzi na mbwa wake. Huyo mbwa alimwita 'bwana yake'! Watu walikuwa wanapita na kuona mbwa kampanda huko anafurahia ndipo wakaita polisi.
Je, hao waliomlazimisha huyo binti huko Mwanza afanye na mbwa watafanyiwa nini? Inaelekea wabongo walishiriki kwenye huo mkasa! Sijui walitaka sinema ya bure. Hizi sinema za magharibi zinaharibu watu!
Asante Kaka Edwin Ndaki kwa kunidokeza kuhusu hii habari ya kusikitisha.
************************************************************************
Kutoka Edo Ndaki Blog:
Wamewachuna ngozi watoto miaka kadhaa iliyopita.Wamekuja na stahili ya kuwaua na kuwakata viuongo wenye ulemavu wa ngozi(albino).Wamewaongezea nauli ya daladala.Wameziba masikio ..hawasikii tena kilio chao
Tukio limetokea wilaya ya sengerema mkoani Mwanza.Mtoto mwenye umri wa miaka 13(jina limeifadhiwa).Ilikuwa jioni akiuza maandazi na kuja kuchukulia na mwanamke Shija Mdata na kumpelekea kwenye kituo cha utafiti wa madini kinachomilikiwa na kampuni ya madini ya Barrick.
Shija akishirikiana na watu watatu walitumia nguvu kumpeleka kwenye banda la mbwa. Walimwinamisha mtoto huyo na kumlengesha maungo yake ya siri usawa wa mbwa, na kisha mbwa kumwingilia.
Mbali ya mtoto huyo kulia kwa uchungu kuomba msaada ,lakini waliendelea kumshikilia huku akingiliwa mpaka pale mbwa alipokidhi haja yake.
Baada ya ukatili huo walimpatia shilingi 1000 ya matababu na pia asitoe siri.
Alipokwenda katika zahanati moja na kupimwa, alikutwa na usaha mwingi katika haja ndogo na hivyo kupewa vidonge vya kumsaidia kutoa uchafu huo, pamoja na dawa za kupunguza maumivu.
Ni habari ya kusikitisha sana.Inaumiza sana.Haiwezi kuvumilia.Ni mara ngapi tunasikia vilio vya wanaofanyiwa ukatili huu.Wengine wanaishia kuteseka na kukaa kimya.
Unasemaje baada ya kusoma hii habari ili tuokoe jamii yetu.Huo ndio utafiti wa madini?
Tutafika tu.
Habari zaidi soma


