Showing posts with label Mbwa. Show all posts
Showing posts with label Mbwa. Show all posts

Wednesday, March 05, 2014

Mzungu Akamatwa Akifanya Ngono Na Mbwa Florida!

Wadau, huyo mzungu alikuwa anafuga mbwa kwa ajili ya kufanya ngono nao!  Sasa amekamtwa laivu akiwa amemwingilia mbwa. Anashitikawa kwa kos ya kumtesa mnyama, na kumjeruhi mnyama!  Sheria za Marekani ni kali sana kwa wanaotesa wanyama!  Naona kafanya ngono na mbwa muda mrefu kiasi kwamba uso wake unafanana na mbwa!

BOFYA LINKI HAPO CHINI KWA HABARI ZAIDI!

**************************



Tampa man accused of sex with pit bull. Eight dogs were removed from his home after shocked neighbors complained.

STORY: http://www.myfoxtampabay.com/story/24892576/2014/03/05/man-accused-of-sex-with-pit-bull
— with William Fueshko, Paul Fraser, Daniel McGuinness, Kristin Lambert and Kimberly Heselton Nicholson.

Wednesday, February 06, 2013

Mbwa Mtu!

Bila shaka kuna mtu kalogwa kuwa akifa atarudi duniani kama mbwa! Basi ndo huyo hapa! HII PICHA SIYO PHOTOSHOP!


Wednesday, May 13, 2009

Nyumba za Fahari za Mbwa Marekani



Ama kweli wazungu wanapenda mbwa wao. Hebu cheki hizi nyumba ambazo mbwa wamejengewa.
Mnaweza kuona picha zaidi hapa:

Tuesday, August 26, 2008

Mtoto alazimishwa kufanya mapenzi na Mbwa Mwanza!


Wadau, sikumbuki ni mwaka gani lakini nadhani ilikuwa kama 1989. (Michuzi hebu toa ile story kwenye Daily News Archives) Wazungu waItalia walimchukua malaya huko Dar na kumlazimisha afanya mapenzi na mbwa aina ya German Shepherd maeneo ya Kunduchi! Wale wazungu walikamtwa na kufukuzwa nchini (deported).

Kuna wazungu wenye tabia chafu ya kutembea na mbwa. Hapa Boston kuna mama moja alifungwa hospitali ya vichaa baada ya kugundulika alikuwa anafanya mapenzi na mbwa wake. Huyo mbwa alimwita 'bwana yake'! Watu walikuwa wanapita na kuona mbwa kampanda huko anafurahia ndipo wakaita polisi.

Je, hao waliomlazimisha huyo binti huko Mwanza afanye na mbwa watafanyiwa nini? Inaelekea wabongo walishiriki kwenye huo mkasa! Sijui walitaka sinema ya bure. Hizi sinema za magharibi zinaharibu watu!

Asante Kaka Edwin Ndaki kwa kunidokeza kuhusu hii habari ya kusikitisha.


************************************************************************

Kutoka Edo Ndaki Blog:

Wamewachuna ngozi watoto miaka kadhaa iliyopita.Wamekuja na stahili ya kuwaua na kuwakata viuongo wenye ulemavu wa ngozi(albino).Wamewaongezea nauli ya daladala.Wameziba masikio ..hawasikii tena kilio chao

Tukio limetokea wilaya ya sengerema mkoani Mwanza.Mtoto mwenye umri wa miaka 13(jina limeifadhiwa).Ilikuwa jioni akiuza maandazi na kuja kuchukulia na mwanamke Shija Mdata na kumpelekea kwenye kituo cha utafiti wa madini kinachomilikiwa na kampuni ya madini ya Barrick.

Shija akishirikiana na watu watatu walitumia nguvu kumpeleka kwenye banda la mbwa. Walimwinamisha mtoto huyo na kumlengesha maungo yake ya siri usawa wa mbwa, na kisha mbwa kumwingilia.

Mbali ya mtoto huyo kulia kwa uchungu kuomba msaada ,lakini waliendelea kumshikilia huku akingiliwa mpaka pale mbwa alipokidhi haja yake.

Baada ya ukatili huo walimpatia shilingi 1000 ya matababu na pia asitoe siri.

Alipokwenda katika zahanati moja na kupimwa, alikutwa na usaha mwingi katika haja ndogo na hivyo kupewa vidonge vya kumsaidia kutoa uchafu huo, pamoja na dawa za kupunguza maumivu.

Ni habari ya kusikitisha sana.Inaumiza sana.Haiwezi kuvumilia.Ni mara ngapi tunasikia vilio vya wanaofanyiwa ukatili huu.Wengine wanaishia kuteseka na kukaa kimya.

Unasemaje baada ya kusoma hii habari ili tuokoe jamii yetu.Huo ndio utafiti wa madini?

Tutafika tu.

Habari zaidi soma

Sunday, August 03, 2008

Mbwa Kazini



Wadau, kuna mzungu kaleta haka kajibwa aina ya Daschund kazini. Hivyo vijibwa ni wadogo na warefu kama sauseji. Basi ni lazima umshabikie mbwa wa watu kama vile mtoto wake. Unasema "oooh, ahhh, nice dog!" kusudi usionekane mbaya. Hata inabidi kucheza naye kidogo. Kajibwa kalikuwa kana bweka na kana cheza na mpira kake. Alivyochoka na mpira alianza kuila na vipande vili zagaa kwenye kapeti. Hakuna alityelalamika. Wanasema, "Your dog is so cute!" DOH! Lakini umelete mtoto na aanze kulia mle au kukimbia inakuwa balaa wanakuona mbaya!

Tuesday, June 10, 2008

The Omen yatokea Kweli!


Picha kutoka Michuzi Blog

Wadau, mmewahi kuona ile sinema ya The Omen? Mbwa anazaa kitoto chenye umbo la bindamu. Kale kanachuliwa na mapadri na wanawapa mama fulani wa kitajiri ambaye ni mgumba. Kale katoto kanakuwa kazuri na kanalelewa katika maisha ya kifahari, kumbe ni mtoto wa shetani!
Nimeona hii picha kwa Michuzi na ilinikumbusha hiyo sinema. Anasema mdau kamletea picha kutoka Angola. Kwa maoni yangu hako kitoto katakufa siku za karibuni maana ni genetic deformation. Nimefuga mbwa wengi sana na nimeona vitoto vinazaliwa vingi wengine wazima wengine na deformations. Hao wenye deformations hawaishi muda mrefu.

DUH! Kweli kafanana na binadamu hata nywele za mbwa hana.

Thursday, December 27, 2007

Mbwa waua Dar

Nimeandika kuhusu Tiger kuua huko California. Naingia ippmedia.com na kusoma habari ya mbwa kuua mlinzi huko Mbweni, Dar. Mauji yalitokea kwenye mradi ya kufuga kuku wa Idel Chicks.

Kwanza kwa nini wanafuga mbwa wengi hivyo? Je, huyo mbwa wanalishwa vizuri?
Je, ni mbwa wa aina gani? Maana kuna aina ya mbwa kama Rottweiler, German Shepard, Doberman, Pit Bull, ambao ni hatari kwa binadamu kama hawatunzwi vizuri.

Huko Bongo nimesikia watu wakisema kuwa ni vizuri kuwa na mbwa kama mlinzi kuliko binadamu na hata hapa Marekani wanasema hivyo hivyo. Lakini mbwa lazima atunzwe kusudi aweze kukaa na binadamu.

Je, hiyo kampuni iliona ni bora kuwa na mbwa kuliko walinzi binadamu kwa vile ni bei rahisi kuliko kulipa mishahara ya walinzi? Na hao mbwa wengi hivyo wangeshikwa na njaa wangeweza kuvunja mabanda na kula hao kuku!

Hata hivyo ukifuga mbwa wengi wanakuwa na 'pack mentality'. Hiyo ni tabia yao ya asili ya kuwinda pamoja. Ni kama binadamu wakiwa wengi wanapata 'mob mentality' na kufanya maajabu bila kujali matokeo yake, japo kwe muda mfupi.

Mungu ailaze roho ya huyo mlinzi, Muhidin Said, mahali pema peponi. Amin.

****************************************************************

Kutoka ippmedia.com

Mbwa waua mtu Dar

2007-12-27

Na Mwanaidi Swedi, Jijini

Mlinzi aliyefahamika kwa jina la Muhidin Said, anayefanya kazi kwenye shamba kubwa la mradi wa kuku la Idel Chicks, amefariki dunia baada ya kujeruhiwa vibaya na mbwa wanaomsaidia katika kazi yake ya ulinzi.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi, Jamal Rwambow, amesema kuwa tukio hilo limetokea jana majira ya saa 4:30 usiku huko Mbweni, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye shamba la mradi huo linalomilikiwa na Bw. Mohamed Hamduni.

Amesema kuwa mlinzi huyo alikumbwa na mkasa huo wakati anawafungulia mbwa hao wapatao 30. Amesema kuwa wakati anawafungulia, mbwa 15 kati ya hao walimvamia na kuanza kumjeruhi vibaya kabla ya kumuua.

Aidha, amesema kuwa mlinzi huyo ni wa kila siku na aliajiriwa kwa kazi hiyo. Akasema, cha kushangaza, siku hiyo mbwa wale walimbadilikia na kumletea maafa hayo. Amesema mwili wa marehemu huyo umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Mwananyamala.