Showing posts with label Elections. Show all posts
Showing posts with label Elections. Show all posts

Saturday, September 02, 2017

Former Rwanda Presidential Candidate Diane Rwigara Detained!

Diane Rwigara

By IGNATIUS SSUUNA
Associated Press

   KIGALI, Rwanda (AP) - A women's rights activist and former presidential hopeful is in police custody in Rwanda, her brother said, raising concerns about the whereabouts of a rare challenger to longtime President Paul Kagame.

   Police have said Diane Rwigara is free after her home in the capital, Kigali, was searched on Wednesday.

   But Rwigara's brother Aristide, who lives in the United States, told The Associated Press late Thursday that his sister was arrested Wednesday along with three siblings and their mother.

   Police have said Diane Rwigara is under investigation for tax evasion and forgery. She is accused of forging signatures to support a candidacy for the Aug. 4 vote.

   She was disqualified ahead of the election won easily by longtime President Paul Kagame, whose government has long been accused by human rights groups of silencing opposing voices. Kagame, who called the election a "formality" and won by nearly 99 percent of the vote, has denied the accusations.

   Rwigara could not be reached; her known phone number was switched off Thursday.

   "One of my sisters called my uncle, telling him the police had come to take them on Wednesday morning and we have never heard from them since Wednesday," Aristide Rwigara told the AP.

   The criminal allegations against the family are false, he said, insisting it has been targeted by Rwanda's government.

   "The government has been after my family for a long time because we refused also to do business with the ruling party," he said.

   Diane Rwigara is the daughter of the late Assinapol Rwigara, a businessman who fell out with Kagame before his death in a car accident in 2015.

   In an interview with the AP earlier this year, the 35-year-old acknowledged the risks of running against one of Africa's longest-serving leaders. "People disappear, others get killed in unexplained circumstances and nobody speaks about this because of fear," she said. "We must end this silence."

   Two days after declaring her candidacy for president, nude photographs allegedly of her were leaked on social media. It was not clear who was behind the leak.

   Rwigara later was disqualified as a candidate after allegedly failing to collect enough supporting signatures ahead of the election.

   Rwanda's electoral commission said she turned in signatures of some people who had long been dead and others who belonged to a rival political party. Rwigara denied it.

   Kagame has been de facto leader or president since the end of Rwanda's 1994 genocide.

Saturday, March 05, 2016

Ukweli Kuhusu Donald Trump


Wadau, hatutashangaa kama ni kweli mgombea rais was Marekani upande wa Republicans, Donald Trump ni Mfufuo wa Adolf Hitler!  Siasa zake za kibaguzi, zuia waislam wasiingie Marekani, Fukuza wa Mexico, WaChina... Jenga Ukuta N.K. Wabaguzi (White Supremacists) wamejitokeza kwa wingi kumwunga mkono. Tumwogope sana!

Saturday, October 31, 2015

Sherehe ya Kumkabidhi Mh. John Magufuli Cheti cha Kushinda Urais

 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa  Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa  Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe. Anna Mghwira  na wagombea wengine wakiwa  katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan na Mhe Anna Mghwira na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan na Mhe Anna Mghwira na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi chini ya Jaji Damia Lubuva wakiwa tayari katika sehemu yao
 Meza kuu
 Mke wa Rais Mteule Mama Janet Mgufuli akisalimiana na Waziri wakuu wastaafu Mzee John Malecela na Jaji Joseph Sinde Warioba 
 Mama Janet Magufuli akisalimiana na Mama Salma Kikwete
 Rais Kikwete akisalimiana na Mama Janet Magufuli
 Mkrugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani akisoma muhtasari wa ratiba
 Meza ya viongozi
 Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama 

 Sehemu ya viongozi wa  taasisi mbalimbali na wastaafu
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali na wananchi waliohudhuria
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali za umma na binfasi
 Viongozi wa asasi mbalimbali za umma na binafsi
 Wananchi kutoka sehemu mbalimbali
Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing akiwa ameketi na wananchi
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Wanahabari
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Wananchi toka sehemu mbalimbali
 Wanahabari na wananchi 
 Wananchi wakiwa na furaha
 Wananchi
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Wananchi wakimsikiliza Jaji Damina Lubuva

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Viongozi wa dini  na wananchi wakisikiliza
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Vifijo toka kwa viongozi
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hati kabla ya kuikabidhi wa Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hati kabla ya kuikabidhi wa Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani
 Wanahabari wa ndani na nje ya nchi wakirekodi tukio hilo la kihistoria
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akionesha hai ya Urais akiwa na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan, Jaji Damian Lubuva na Mhe Kailima Ramadhani
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akionesha hai ya Urais akiwa na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan, Jaji Damian Lubuva na Mhe Kailima Ramadhani
 Viongozi wakishuhudia tukio hilo kwa furaha
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Lubuva akisoma hati ya Makamu wa Rais
 Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akipokea hati  yake
  Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akionesha  hati  yake
 Rais Mteule na Makamu wake mteule wakipongezwa baada ya kukabidhiwa hati
 Rais mteule akipongezwa na waliokuwa wagombea wa Urais wa vyama vingine
 Rais Mteule Dkt Magufuli akimuonesha Mhe Anna Mghwira cheti cha Urais
 Rais Kikwete akimpongeza Rais Mteule
 "...Cheti ndiyo hiki...." anasema Rais Mteule kwa Rais Kikwete
 Wakikionesha cheti kwa furaha
 "....Huyu ndiye our new boss..." anasema Rais Kikwete
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais


 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais

 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais na kupeana mikono na Rais wa Zamani wa Nigeria Mhe Goodluck Jonathan

 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais kwa mabalozi
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akipongezwa
 Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe Anna Mghwira akiongea kwa niaba ya wagombea wengine wa vyama mbalimbali  walioshiriki kwenye kugombea Urais
 Wanahabari
 Rais Mteule akimpongeza Mhe Anna Mghwira kwa hotuba nzuri
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na viongozi wa tume na vyama vya siasa
 Wateule na Tume ya Taifa ya Uchaguzi