Wadau, sijui tusherekee au tuwe na majonzi. Mbaguzi Eugene Terreblanche ameuwawa huko Afrika Kusini na wafanyakazi wake wawili. Waliomwua ni vijana wenye miaka 21 na 16. Wamejisalimisha kwa polisi.
Huyo Terreblanche alikuwa ni mshenzi kupindukia, alikuwa hapendi uhuru kwa weusi, na alikuwa anaongoza kikundi cha wazungu wenye sias kali huko. Mikutano waliyokuwa anongoza ilikuwa inajaa wazungu wenye chuki dhidi ya weusi. Alikuwa na mtindo wa kutuma mbwa wake ku'gata watu weusi, na pia alijaribu kumwua mlinzi wake mweusi. Alitega mabomu zaidi ya 20 kabla ya uchaguzi wa kihistoria wa mwaka 1994 huko Afrika Kusini.
Kuna watakaosherekea kifo chake na watakaolia.
Mnaweza kusoma habari zaidi:
http://www.cnn.com/2010/WORLD/africa/04/04/south.africa.terreblanche/index.html?hpt=Sbin
Showing posts with label Eugene Terreblanche. Show all posts
Showing posts with label Eugene Terreblanche. Show all posts
Tuesday, April 06, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)