Showing posts with label Haile Selassie. Show all posts
Showing posts with label Haile Selassie. Show all posts

Thursday, May 27, 2010

Viongozi wa Afrika

Mwaka 1960 Rais Sekou Toure wa Guinea na mke wake walitembelea mikoa ya Kusini mwa Marekani. Wakati huo Ubaguzi huko ulikuwa mbaya mno!
L-R - Emperor Haile Selassie (Eithiopia), President Jomo Kenyatta (Kenya), President Gamal Abder Nasser (Egypt), and President for Life Hastings Kamuzu Banda (Malawi)

Hii picha naona ilipigwa kwenye miaka ya 1964. Rais Nasser alifariki 1970, na Mzee Banda anaonekana bado kijana.