Wadau, jumamosi iliyopita nilienda dukani hapa Boston kununua vyakula vya wiki. Ajabu, nilikuta bei ya karibu kila kitu kimepanda! Mkate, maziwa, mayai, mafuta ya kupikia, sukari! Je, ulipo bei zimepanda pia? Wiki iliyopita bei ya kikombe cha kahawa kilipanda kwa senti 10 pia.
Naomba mtaje ulipo, na bei ya vyakula gani vimepanda.
Showing posts with label Inflation. Show all posts
Showing posts with label Inflation. Show all posts
Monday, February 14, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)


