Showing posts with label John Mashaka. Show all posts
Showing posts with label John Mashaka. Show all posts

Wednesday, April 06, 2011

Kikombe cha Babu - Mjadala


pichani- Wagonjwa wakisuburi kupata 'Kikombe' huko Loliondo

Wadau, Maggid Mjengwa na John Mashaka wana moani makali kuhusu 'KIKOMBE' cha babu wa Loliodo. Lazima nami niseme nina ndugu yangu ambaye alienda huko Loliondo kupata kikombe ili apone Kisukari. Alipoipata alijisikia freshi kwa siku kadhaa sasa analalamika maumivu. Nadhani hicho kikombe haimtimbu kila mtu, lakini wako waliopona. Je, hao ambao hawakupona baada ya kunywa hawakuwa na imani, au haikuwa na dawa ya kutosha? Na ni kweli kuwa watu nje ya nje wanatucheka kuwa tuna imani kali na uchawi.

Sioni ubaya kuwa na imani ya kikombe. Ila sasa wengine copycats wanaomwiga babu wanajitokeza kila kona na vikombe. Na watu wanakimbilia kunywa! Ni fesheni nini? Pia msishangee siku moja mkisikia kuna mtu kajitokeza na kikombe' watu wakanywa kwa wingi halafu walikufa kwa wingi kwa vile ilikuwa na sumu!

Someni maoni ya Kaka Maggid na Kaka John Mashaka halafu karibuni mjadili.


Loliondo na Umma Ulio Gizani

Maggid Mjengwa Machi 23, 2011

TUNAWAPITISHA watu wetu kwenye njia yenye giza. Kwenye njia yenye matope. Kwanini?
Socrates, mwanafalsafa wa Uyunani alipata kuonekana akimulika kurunzi mchana wa jua kali. Inaandikwa, kuwa Socrates yule alizunguka sokoni na kurunzi yenye kumulika. Watu walimwuliza, kulikoni? Socrates akawajibu; ”Kwenye nuru hii , kuna walio gizani.”

Kwa Socrates lilikuwa ni tendo la kifalsafa lenye kuelezea hali halisi. Hata katika dunia hii ya kisasa, bado tuna miongoni mwetu, walio gizani mchana wa jua kali. Angalia ya kwa ’ Babu’ wa Loliondo. Ndiyo, kuna wanaohitaji kumulikiwa mwanga.
Na kuna tofauti ya ujinga na upumbavu. Marehemu Mzee Jongo alipata kutamka; ” Kusoma si kuufuta ujinga, bali ni kuupunguza”. Kila mwanadamu ana ujinga wa jambo moja au mia moja. Kuwa na ujinga wa jambo si kosa, hata profesa anaweza asijue namna ya kuchochea kuni za kuchomea mhindi mbichi ukachomeka. Kijana wa darasa la saba anaweza kuwa hodari wa jambo hilo kumshinda profesa.

Lakini upumbavu ni ile hali ya mwanadamu kufanya jambo isivyotakiwa huku akiwa na uelewa wa namna ya kufanya inavyotakiwa. Huo ndio upumbavu. Na ndiyo maana binadamu kuitwa mpumbavu ni tusi. Kuitwa mjinga si tusi, kila mmoja ana ujinga wake. Kuwa na ujinga wa jambo fulani ni kutoelewa jambo hilo. Ni nani anayeelewa kila jambo?
Na mwanadamu unafanyaje unapoamka na kukuta dunia unayoishi ardhi yake imeanza kumegeka na kuchotwa na bahari? Kuna niliyemwuliza swali hilo. Naye akanijibu; ” Huo ndio utakuwa mwisho wa dunia!” Aliyenijibu alikuwa amechoka kufikiri. Nilidhani amgetamka, kuwa angeanza kujifunza kuogelea. Maana, kwa kuogelea majini angeweza kukutana na kisiwa, au nchi kavu.

Wanadamu tumejaliwa akili ili tuweze kufikiri. Na kufikiri ndiyo njia mojawapo ya kuiteka kweli. Kufikiri kunahamisha milima na hata kuiweka kando kuruhusu mwanga upite. Inakuwaje basi mwanadamu anapoacha kufikiri? Haya ya kwa ’ Babu’ wa Loliondo ni kielelezo cha Watanzania kuamua kuacha kufikiri. Kuna umma uliojifunika vilemba vya ujinga. Umma uko gizani, unahitaji mwanga.

Yumkini wakatokea Watanzania wenzetu, wakaoteshwa na Mungu juu ya dawa za tiba kwa mwanadamu. Na hapo wakaingiza suala la imani. Lakini, jambo hilo halituzuii wanadamu kuhoji na kudadisi. Ndiyo, kuuliza maswali. Na kwa Serikali, jambo hilo haliizuii kufuata taratibu zake za kawaida ikiwamo kufanyia utafiti jambo hilo na kutoa msimamo wa Kiserikali. Hata kama Watanzania watakuwa na uhuru wa kwenda kwenye tiba za imani, lakini msimamo wa Serikali uwepo. Na kwa wengi utabaki kuwa ndio mwongozo, maana, watakuwa wameufanyia utafiti.

Si tumemsikia yule nabii mwingine wa Tarakea, naye ni kijana wa miaka 28. Ikasemwa, kuwa naye kaoteshwa na Mungu dawa ya kutibu wagonjwa. Mpaka Serikali ilimpomzuia ili ifanye uchunguzi, tayari alikuwa na wagonjwa 100. Ndiyo, Watanzania tu wagonjwa tunaogombewa. Na viongozi wetu pia ni wagonjwa. Si tumewaona wakipanga foleni ya kikombe kwa Babu?

Katika dunia hii Serikali hupendwa na watu, lakini, si vema na busara, kwa serikali za dunia kutaka kujipendekeza kwa watu. Kuna mambo yenye kupendwa na watu, na watu wakawa na haraka ya kutaka kuyafanya. Lakini, kama serikali itahitaji kufuata taratibu ili kinachopendwa na watu kifanyike, basi, serikali haina namna nyingine, bali kufuata taratibu.

Si tuliona yale ya DECI. Waziri Mkuu Mizengo Pinda alisimamia taratibu, akasimamisha wimbi lile la DECI. Kuna wengi walishutumu, lakini , hao hao, leo wanaishukuru Serikali. Maana, DECI nayo ilikuwa ni Abrakadabra.

Na si juzi hapa tumemsikia Paroko wa Kigango cha Mt. Yohane wa Msalaba Parokoia ya Mbezi Luis Padri Vivian. Niweke wazi, Paroko yule amesema kile ambacho kuna wengi hawataki kukisikia. Ameusema ukweli wake. Ameifanya kwa dhati, kazi ya utumishi wa Mungu wake.

Paroko yule wa Mbezi Luis alitamka; "Sina chuki wala tatizo lolote na tiba ya Loliondo, lakini kama unataka kwenda lazima ujiulize maswali manne yafuatayo;
Kwanza, tiba inayotokana na miujiza ya Mungu lazima iwe endelevu isiwepo kwa kipindi kifupi tu.

Pili, watu wajiulize kama miujiza kutoka kwa Mungu huwa na masharti?
Tatu, wajiulize kama tiba hiyo inafanya kazi ndani ya Loliondo, kwanini isifanye kazi Dar es Salaam na kwingineko?

Nne, wajiulize kuhusu tiba hiyo ya magonjwa sugu ukiwemo ukimwi ni je, Mungu aliwaumba wanadamu na kisha kuamua kuwaangamiza? Au wanadamu wanaangamia kutokana na vitendo vyao vya ujanja ujanja?

Mwisho Paroko yule akasema; "Ukiishajiuliza maswali hayo na kujiridhisha kwa majibu utakayopata, basi, unaweza kufanya maamuzi ya kwenda Loliondo.

Ndiyo, tujiulize; katika mataizo yetu haya, tumechoka kufikiri? Tumechoka kuuliza maswali? Hapana. Tusichoke kuutafuta ukweli, hata kama umegubikwa na ukungu. Hivi ni Watanzania wangapi wamesikia au kusoma maelezo ya Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru Dk. Toure?

Nahofia si wengi, maana, maelezo yake yaliyopaswa kuwa habari kubwa ya ukurasa wa mbele yalipewa nafasi ndogo sana kwenye moja ya magazeti ya kila siku. Tena yaliwekwa katika ukurasa wa pili ndani ya habari nyingine. Si tunafahamu, kuwa baadhi ya wanahabari nao wanachagiza ’ Abrakadabra’ za ’ Babu’ wa Loliondo. Zinauza magazeti, na msimu ndio huu!

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Hospitali ya Mount Meru alisema, kuwa tangu tiba ya ’ Babu’ ianze, hajapata hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepata kikombe cha ’ Babu’ na kurudi hospitalini hapo kupimwa tena. Hivyo, mpaka hii leo hatuna ushuhuda wa kimaabara kwa maana ya hospitalini. Ushuhuda tunaousikia ni wa mitaani.

Ndiyo maana tiba ya ’ Babu’ itabaki kuwa ’ Abrakadabra’ mpaka hapo itakapothibitishwa vinginevyo kimaabara hospitalini na si kwenye vijiwe vya barabarani.

Halafu tunaambiwa, kuwa tiba ya ’ Babu’ inatibu kansa pia. Hivi Kliniki ya Kansa ya pale Ocean Road mpaka hii leo imeshindwa kuwapeleka kwa ’ Babu’ wagonjwa watano tu walio kwenye matibabu ya kansa. Waende huko wakapate kikombe halafu wachukuliwe vipimo tena tuone nguvu ya tiba ya ’ Babu’ katika kuwasaidia wagonjwa wa kansa.

Ndugu zangu, Mfalme Suleiman alimwambia Mola wake; ” Watu wangu wanaangamia kwa kukosa hekima”. NdiYo, Mfalme Suleiman alipoambiwa na Mola kitu cha kuchagua, basi, alichagua hekima ili aweze kuwaongoza watu wake.

Angalia leo, walio wagonjwa na kwenye hali ngumu za kiuchumi wanazidi kuwa wagonjwa na hali zao za kiuchumi zinazidi kuwa duni. Ndiyo, kuna wanaofunga safari zenye gharama kubwa kwenda Loliondo. Wanakwangua akiba zao. Kuna hata wanaokopa fedha ili waende Loliondo.

Ndiyo, wanakwenda kupata tiba isiyo na hakika katika wakati huu tunaozungumza. Kuna wagonjwa walioacha kutumia dawa zao. Wamerudi na kuanza upya. Kuna waliopoteza maisha. Inasikitisha sana. Ni nani wa kuwasaidia kuwamulikia mwanga? Naam. Kwenye nuru hii kuna walio gizani. Tuwasaidie.

===========================================================


John Mashaka anaandika....

I read with lot of interest Mr. Maggid Mujengwa’s article entitled “Ya Loliondo Na Umma Ulio gizani”, a philosophical description of a confused society. Mr. Mujengwa depicted Tanzania as a nation that is using a flashlight in a broad day light with a notion that, perhaps, it could aid her see better. Figuratively or philosophically speaking, Socrates the philosopher used this metaphor to describe a hopeless and a confused society. One question Mr. Mujengwa failed to address was the root cause of this confusion. How could Tanzanians be convinced that, flashlight is brighter than the sun? Is it because of ignorance, confusion or desperation?

Plato, one of the greatest philosophers to have ever lived, strongly advocated in favor of an examined life; An examination of one's life addresses fundamental questions such as: who am I, what do I want to do with my life, how will I know whether I have achieved my goals, what matters to me; wisdom; a feeling of accomplishment; wealth, power; social change or pleasure and how will I balance them. If you haven't asked yourself these questions, then life becomes meaningless. You become more like a boat in turbulent high seas without compass direction, going along with the tides and currents of the ocean. A boat that is destined for a clear tragic end of capsizing, Tanzania that is.

Tanzanians are not in control of their lives. Instead, they are controlled by the events of the day, and ignorantly perceiving flashlight to be more powerful than the sun, based on Socrates account on ignorance. As a nation, Tanzania has not asked itself these basic questions, because social-economic, hopelessness and despair amongst her people speak for itself. A sea of humanity flooding Loliondo, is a confirmation of the broken system. Her sick hopping from their hospital beds, carried in stretchers, just to have a sip of the wonder concoction is very troubling. This signifies the dying or non-existing healthcare system in Tanzania. Tanzania does not know where it is headed; it is a lost vessel sailing in the turbulent high seas without a direction, and only waiting to capsize

I must slightly differ with Mr. Mujengwa, based on my strong conviction, that, Babu Mwasapile’s patients are not uninformed, but rather hopeless, desperate, CONFUSED and poverty burdened men and women from all walks of life. Loliondo list of visitors is made up of the mighty and the powerful, the rich, the poor, scientists and herdsmen; famous and the little known peasants. Babu has received people who have made their way by selling their few worldly possessions, as well as the flamboyant tycoons arriving in style; in their private aircrafts, all with one goal; drinking the magical mixture, with hope ridding themselves of their excruciating illnesses. This is a national embarrassment, and depiction of Tanzania as a primitive and backward country in the eyes of the world

We are not talking about dumb, stupid, or simple-minded people; we are talking of brilliant and well educated individuals serving in the government, International, private and public agencies. We are talking of people who have been humbled by illnesses, and like anybody else, must heed the need to find treatment by standing in a long queue in the middle of nowhere; away from their posh homes, and comfort of their beds to find cure from the miraculous drink. We are talking of a hopeless and a desperate society on edge.

Desperation has no class, it has no social status or identity, it has no color or creed. It affects PhD holders and the illiterate alike. We must remember that, desperate and hopeless men do not value life; they have no shame or fear. Tell a man, who has exhausted all options to get rid of cancer, that his urine is the only cure to his excruciating illness. Even a King who desperately wants to live will heed the advice. These are the people flanking Babu of Loliondo’s compound trying to get rid themselves of terminal illnesses, endless pain, and misery.

Babu of Loliondo could not have emerged at a perfect time for the hopeless, when divine intervention is direly needed to save their souls. Babu has exposed our desperation, vulnerability and weakness as a society. He has exposed how useless education can be in the face of human despair. He has exposed how far we are lost in the turbulent high seas, and only going with the tide and flow. We are lost. Just like DECI which was a product of greed, ignorance and despair, Babu Liliondo’s purported magic cup is nothing but a tragic health and social a time bomb yet to explode!

MUNGU IBARIKI TANZANIA

John Mashaka
mashaka.john@yahoo.com

Monday, September 28, 2009

Silent Death of a Nation

pichani: John Mashaka (Kulia) na Nyota wa sinema Tanzania Steven Kanumba (Kushoto) hivi karibuni. Picha kutoka Michuzi Blog

SILENT DEATH OF A NATION,

TANZANIA’S ECONOMIC, SOCIAL AND MORAL DEMISE.......DEBATE

By John Mashaka

While many nations are progressing towards positive economic and social changes, Tanzania is scampering towards self destruction. The stealthy negative drift of our country towards social-economic catastrophe, is rather worrying due to the very fact that, Tanzania’s demise is being orchestrated by Tanzanians themselves who are rapidly replacing the culture of hard work with the get rich quick mythology, accompanied by endless lavish and unsustainable lifestyles, on top of irresponsibility on the part of country’s leadership

Many people within our nation have been caught up in the middle of unorthodox lifestyles, which are impelling millions of us, to focus more on how to strike quick monetary deals, than being creative enough to think of sustainable life, many years after today. It is sad that many of our people have been swamped in this wave of unrealistic lifestyles, which has replaced discipline and hard work, with ”starehe”; and this is worrying.

While transiting from Mara region through Kenya, back to Dar es Salaam, I had a few minutes to process necessary paperwork needed to cross (drive through) the border. In the process, I was compelled to make a few phone calls, and had no sufficient credit, and had to purchase additional credit from a nearby shop cum-bar, and restaurant prior to my departure, and my experience was rather pessimistic, and sad indeed to say the least; all I saw was a silent death of our nation
At nine in the morning, men, women and teenagers, strong enough to work were in, for a full blown party. In a simple language, the bar was full of people, and tables within, were full beer bottles. It was party time; staggering men and women who were evidently unable to hold their balance took to the floor, forcibly trying to keep up with the rhythm of the Congolese music “Bolingo”, which controlled the tempo.

A day after arriving in Dar es Salaam, I had another trip to Morogoro with a group of volunteers. I was supposed to be picked up at a very popular spot, and on that day if I was to be a customer at this city spot, I would have been the first customer. A few minutes before ten in the morning, a small car pulled up with two young men, who were in their either mid twenties or early thirties. Less than ten minutes later, another vehicle pulled up with two more young men along with a lady, and both sat on the same table. They were well kept, and neatly dressed, with some of them holding expensive mobile phones.

No sooner did they take their seats than they were served with beer, and within no time, scary and heated soccer talk- fanaticism- ensued as some obviously were for the Manchester United, while the rest were Liverpool diehard fans. I was surprised when one of them identified me by name, even though we had never met before, and offered me a drink. I, however, Politely declined the offer, not only because I don’t use alcohol, but mainly because of the time –it was too early- These were young people, strong enough to be doing all kind of work to push the economic wheel, yet were emptying beer bottles, and ready to fight for European football teams. I was embarrassed and astonished

I was given an example of a young man in the neighborhood that is living large; driving some of the latest automobiles, yet has never owned a business or received employment check. I was simply told that, “Hayo ndo maisha ya dili mjini”. Coming from an environment in which seventeen hours of work a day is a routine, I could not believe or understand this culture in which young and able persons prefer idleness, and partying than working, and still drive Range Rovers. I decided to carry research to be certain before concluding otherwise. I visited the so called elite hanging spots, and my findings were not different from my previous ones.

High RANKING government officials goes to bars days in a row; I found many STK vehicles, Ministers Land Cruisers with their official’s numbers on them. Three days in a row, and simply said, no wonder we are so poor, A culture of shame. I wonder what in the world they tell their boss, Mr. President when they fail to deliver, more so their electorate when their many promises turns to be hot air? Don’t misquote me, nothing wrong with partying, however, should be done with moderation

Even though I left Tanzania in my late teenage years, my many years in foreign land never exposed me to such a culture, I have never witnessed anything of that nature, and can never jump into making conclusions, I am however, letting you the reader decide how a nation such a Tanzania can prosper, when her people are living to party instead of living to work. When her leaders and high ranking officials’ penchant for their own ambitions and interests supersede the country’s well being?

I was made to understand that the culture of deals is deeply entrenched not only in the streets, but also in major public organs, in which a handful or a few persons are truly committed to their work. Many have nothing more than brainstorming how to push bogus deals -payment claims- or simply get their customary 10% than defend the country. These poseur and obsequious officials are nothing but miniatures of EPA criminals, dragging the country into her death bed.
Tanzanians are pushing their country into total destruction.
Professionals entrusted with the power to protect the public, are the very people dishing licenses to businessmen and women setting up bars and nightclubs in residential areas without observing the guidelines and city buildings codes. A hall in Segerea CCM- Chama- is a typical example of the bars that plays music almost 14 hours a day in the middle of a residential area. Not only are they causing noise pollution, they are making it extremely tough for school children spending many hours scrambling to get home, particularly difficult to study, and the government is simply to powerless to act.

I cannot be persuaded to believe that, city of Dar es Salaam has no ordinances that prohibit times in which alcohol can be sold to the public. Neither can I believe that, there are no regulatory authorities that can enforce the ordinances that prohibit sound disturbance in residential areas. These are problems in poor areas of the city and not the likes of Masaki and Hoyster-bay where the elite bask.

In a country where a minister, can attend a bar, days in a row, go to sleep, get up the next day attend state duties with hangover. Believe me or not, such a man has nothing new for the country. All he has is time to sign anything that comes in front of him without looking in details the contents of that document, and that is why our country is getting poor and poorer, because there is no time to scrutinize shady contracts.
There is never going to be any economic progress as long as our top bottom leadership approach to finding our social, political and economic solutions lies in the hands of the people with more time to party and attend Ms. Tanzania pageantry than following up with the law enforcers on who kill Albinos. A culture of shame!

I wonder how logical and responsible people can describe a situation within a nation, in which young people are driving around without working. Top leaders are partying every day, young kids cannot study because they are exposed to bars with dirty language and uncontrolled music around the clock? And Laws established to protect the people are simply irrelevant to the poor majority, but too strong to protect the mighty and the powerful;

I see a negative progression, stealthy and fast demise of a nation. Our nation’s economic future outlook is grim, social and moral pillars are in shambles. Tanzanians who love their country must be realistic with these shameful social vices.
We must work swiftly, rapidly, and collectively to condemn these acts of social perversion in order to resuscitate life into our nation from her slow and stealthy economic, social and moral death. If we can’t be sacrificial and courageous enough to stand up to these vices tearing our country apart, by condemning them; instead spending our time discussing people’s personalities, and fighting individual’s progress, then we are in for a long night of affliction

Mungu Ibariki Tanzania John Mashaka
Mashaka.john@yahoo.com

Saturday, October 18, 2008

Ushauri kutoka John Mashaka wa Wall Street

GLOBAL ECONOMIC OUTLOOK ADVICE TO TANZANIANS, AND EAST AFRICANS

At this point, many of you are aware of the Economic turmoil that has rocked the global economies. From the NYSE, LSE, to Hong-Kong Stock Exchange the cry is the same, and the pain is being felt in all sectors ; manufacturing, energy, agriculture etc.

Even though the problem may have started as Mortgage crisis in the US, and many thought it would have ended there, the reality is rather different, and the truth is painful and scary to hear. The data that has been available for almost two years now, pointed to the very situation we are in today. Middle analysts detected the problem raised their eye brows, but then their voices were too low to be heard by money hungry, bonus driven Wall-Street executives.

The big shots at the Wall-Street, driven by greed continued to cook their deals; duped European Bankers with bogus deals, who in turn spread the rotten credit deals in all global markets. Anyway, the damage has been done, and now faced with a reality of controlling the pain! And must consider the impact of the problem; how is it going to affect the common man in Tanzania, Kenya and elsewhere in Africa!

Millions of people in the US who invested their lifetime savings in the stock market have watched their funds melt in their own eyes. A man or other a client, who invested his savings in the stock option plan, in one of the now gone companies, lost $4 million in less than a year; People are loosing their jobs, many businesses closing their doors, people can no longer afford paying their once owned expensive assets. Banks and many financial institutions are collapsing at an alarming rate. Millions around the world are rapidly depleting their savings.

Even though the Central Banks around the world have taken aggressive and swift measures to curb the problem by cutting interest rates and pumping almost a Trillion dollar rescue packages into their respective economies, so far the effort have not calmed the anxiety, the problem seems very deep entrenched than many thought.

That means, the meltdown was not limited to the Sub prime, it is in the credit, manufacturing and even retail.

When major banks cannot meet their Liquidity requirements as in the case of several fallen US banks, when Short term lending becomes a problem, when commercial paper is not attainable, the economy goes into its knees. Many companies depend on these short term instruments to finance their day to day operations, short term projects, as well as meeting their payroll needs. And when they can’t secure these instruments, it means they stop their operations.

Likelihood of companies letting their employees go due to payroll problems are very real. LIBOR, a system used in the UK and partly in the US for inter-bank lending, whose rates have gone up, shows that we are in for a long and tough ride, raising the inability of Banks to issue loans to individuals and companies lacking highest ratings in the ratings circles.

The Global Markets are plummeting, due to the fact that, investors are worried, no individuals or companies want to put their investments in the risky market, and many (millions) are pulling out their investments. Consumers are scared to spend, and this is leaving experts without any cure to the disease, that is spreading globally.

Many of you know that Wall-Street or other financial markets are driven by speculation as you witnessed early during the year, when energy prices went off the roof in the Western World; this was fueled by speculation of war outbreak in the Persian Gulf, Economic boom in Asia Pacific, and India. Now that economic boom has taken a downward trend, so has the demand and the prices. Speculation has now turned into fear for the worse,

These are symptoms of an economic recession, and even though further bear the hallmarks of the 1929 great depression, we are optimistic things will turn around before we get into a similar economic tragedy.

To our people, fear is the worst enemy of any human being. Do not fear or panic in these uncertain times. Go about your daily activities, and please.


• Abstain and cut OFF completely, all the unnecessary spending, and purchases
• Do not rush into the bank to remove your deposits, because you will create an environment in which banks liquidity runs to zero, hence a collapse.
• Make sure you ask from your bank how much money they insure with the central bank as those in America and Europe, be assured that, All your deposits are safe. Bank of England and European Union Central Banks are currently in charge of all deposits
• Constantly check with your Bank to see how things are moving in terms of the safety of your deposits
• I know many cannot afford depositing their monies into precious metals, but for those with excess cash, may want to consider this option as an alternative to safeguarding their most liquid assets (cash) and these valuables can be deposited in most of the banks, this will ensure economic continuity in the economy.
• Be careful, and not fall a prey of con artists with cure to any economic problem. Your trusted licensed banker and government monetary officials entrusted with the task should be the only persons to deal with.

Economists, policymakers and monetary experts in our country have perhaps taken measures, or have aggressive plans in place that will safeguard your savings, you must therefore be optimistic, at the same time must be cautious not to be caught off guard. Since many of our third world countries are dependent on the West for Tourism, Export, and Aid to subsidize their Budgets, the impact may be soon be felt. The IMF has pointed for a deep recession. Either way, how prepared are we?

John Mashaka
The Writer Is a US Based, Social Activist & Investment Banker, of Tanzanian Origin.