Showing posts with label Los Angeles. Show all posts
Showing posts with label Los Angeles. Show all posts

Thursday, June 10, 2010

Msiba Los Angeles - Caroline Mmary

Hivi karibuni niliweka blog kuhusu mwananchi mwenzetu Caroline Mmary aliyepotea huko Los Angeles, California. Habari si nzuri.

Nashukuru polisi na wapelelezi huko Los Angeles wamefanya kazi. Inaelekea mume wake alimwua na kuficha mwili wa marehemu nyuma ya nyumba yao.

Mungu Ailaze roho yake mahala pema mbinguni. AMEN.


Habari za kutafutwa kwa marehemu zilitangazwa kwenye TV huko Los Angeles:

http://cbs2.com/local/Missing.Woman.caroline.2.1720298.html

************************************************************
Kutoka JAMII FORUMS

Takribani mwezi mmoja uliopita kulikuwa na tangazo kwenye blogs na hapa JF kwamba kuna dada yetu mmoja alipotea na akawa anatafutwa na ndugu zake.

Taarifa iliyotolewa kwenye local TV stations za Southern California zinasema kwamba mwili wa huyo dada ulipatikana jana nyuma ya nyumba aliyokuwa akiishi. Ulikuwa umefungwa kwenye mifuko ya plastic na blanket kama takataka.

Mume wa marehemu anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo. Dada huyo alikuja kwa ajili ya kusomea kozi ya Uuguzi na alikuwa anasoma ili awe Registered Nurse. Ameacha watoto 2.

Lilian Mgonjwa alihojiwa na kituo cha TV kutoka makazi yake huko Long Beach. Kama kutakuwa na taarifa za ziada ninatumaini tutaendelea kujulishana.Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.NB: Modes, kwa kuwa tangazo lilitolewa hapa kwenye Jukwaa la Siasa niliona ni vyema nikatoa taarifa hizo hapa na baadaye mnaweza kuihamishia popote mtakapoona inafaa kuwekwa.

Monday, May 31, 2010

Missing Tanzanian Woman - Caroline Mmary

Wadau, Los Angeles, California ni mji mkubwa mno. Nashukuru kuona kuwa polisi wa huko wanafanya bidii wamtafute. Sehemu nyingi hapa USA kama ni mweusi, mwafrika, tuseme mtu minority kwa ujumla hawajali.

*********************************************************************

LAPD Searches for Missing South Los Angeles Woman

Los Angeles: The Los Angeles Police Department and family members are asking for the public’s help in searching for a missing 26-year-old South Los Angles woman.

Detectives say Caroline Mmary was last seen at a home near 88th Place and Broadway on April 2, 2010 and hasn’t been seen since.

Family members told police they have not heard from Mmary and it’s out of character for her to lose contact with them. She has also failed to show up for work in the past couple of months and had not missed any work before her disappearance.

Mmary is originally from Tanzania, Africa, and came to the United States to study nursing at a local college in Long Beach. She has a 3-year-old daughter who lives in Los Angeles and a 6-year-old daughter currently living in Africa.

She is described as an African woman with black hair and brown eyes. She stands 5 feet 7 inches tall and weighs 150 pounds.

Anyone with information regarding the whereabouts of Mmary is asked to call Missing Persons Unit detectives at 213-996-1800 begin_of_the_skype_highlighting 213-996-1800 end_of_the_skype_highlighting.

During non-business hours or weekends, calls may be directed to 1-877-LAPD-24-7 begin_of_the_skype_highlighting 1-877-LAPD-24-7 end_of_the_skype_highlighting.

Anyone wishing to remain anonymous may call Crime Stoppers at 1-800-222-TIPS begin_of_the_skype_highlighting 1-800-222-TIPS end_of_the_skype_highlighting (1-800-222-8477 begin_of_the_skype_highlighting 1-800-222-8477 end_of_the_skype_highlighting).

Tipsters may also contact Crime Stoppers by texting to phone number 274637 (C-R-I-M-E-S on most key pads) using a cell phone.

All text messages should begin with the letters “LAPD.” Tipsters can also go to LAPDOnline.org, click on “web tips” and follow the prompts.