Showing posts with label Missing Person. Show all posts
Showing posts with label Missing Person. Show all posts

Saturday, December 26, 2015

Mzee Njemba Atoweka Nyumbani kwake Magomeni, Ndugu Zake Wanamtafuta

Ndugu na jamaa wanatarifiwa kwamba Bw. Hemed Mzee Ibrahim "Njemba" (pichani)  ametoweka nyumbani kwake Magomeni Makuti mtaa wa Mchinga namba 22 jijini Dar es salam toka siku ya Alhamisi tarehe 24/12/2015. 
Alionekana mara ya mwisho kwenye msikiti wa Magomeni Makuti muda wa alasiri alipokwenda kuswali, akiwa kavaa balaghashia (kama hiyo pichani), shati la light purple, suruali ya bluu na kandambili za bluu. Baada ya hapo hakurudi nyumbani kwake na hadi sasa hajulikani alipo. Mzee Njemba hupendelea kutembelea Magomeni Makuti.
Wanafamilia wanaomba mwananchi atayebahatika kumuona atoe tarifa kwa mkwewe Yusuf  anayepatikana katika namba 0784 606 262.
Wanatanguliza Shukurani za dhati kwa wote na kumuombea salama mzee wao.


Thursday, November 21, 2013

Help Find Jerry Mruma - Missing in Kenya


Jerry Isaac Mruma (Age 23)

Jerry Isaac Mruma is a Tanzanian USIU-Africa Student (in Kenya) who went missing on Saturday night. (You may click here to watch him in this video)

Jerry had left the Tanzania Night at Pan Afrique Hotel and spoke to his friend Ogwellah at around 11:40PM

Another friend tells that Jerry had called her to inform her that he was on his way home. Unfortunately, he never got there. She has not heard nor seen Jerry since Saturday and calls to his phone aren't going through. She has filed a report with the Police for missing persons.

If you see or hear from Jerry anywhere please let us know.

Kindly call 0710 691 252 or click here to report to USIU Students Affairs Office.


Help us find JERRY ISAAC MRUMA.

Sunday, August 11, 2013

Tamko Rasmi Kutoka Familia ya Biswalo Kuhusu Kupotea kwa Buyoya Biswalo

* Nimeulizwa Buyoya ni nani na kama ni MTanzania.  Buyoya Biswalo ni mtoto wa Marehemu Prof. Paul Biswalo aliyefundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), miaka mingi. Walikuwa wanakaa Sinza Rd. Namba 13. (Mlimani Campus)

Buyoya Paul Biswalo



The Biswalo family would like to inform extended family, friends, and the general public of the unfortunate incident that happened in the state of Georgia, USA, on Tuesday, August 6,  2013 involving our beloved ,
 Buyoya Paul Biswalo.

During a boating excursion,  Buyoya went missing in the Chattahoochee River in northern Atlanta. Official search crews including friends have been vigilantly searching the area where the incident occurred. The search continues and we remain hopeful of his eminent return.
Thank you in advance for your prayers and well wishes during this difficult time.

                                               ****************************


Familia ya Biswalo inapenda kuwaarifu ndugu, jamaa na marafiki wote kuhusu tukio la kupotea kwa mpendwa wao Buyoya Paul Biswalo lililotokea siku ya Jumanne tarehe 6, Agosti 2013 huko Atlanta, Georgia, Marekani.

Mara ya mwisho, Buyoya alionekana akiwa na wenzake katika mto wa Chattahoochee, Atlanta kaskazini. Jitihada za kumtafuta bado zinaendelea kufanywa na mamlaka husika, ndugu, jamaa na marafiki. Tunatarajia jitihada hizi zitazaa matunda mema.
Ahsanteni, na tunaomba tuendelee kuungana wote katika maombi wakati huu mgumu.


Saturday, August 10, 2013

Buyoya Biswalo Apotea Baada ya Ajali ya Maji Georgia

Wadau, natoa pole kwa familia ya Biswalo. Buyoya amepotea na kuhofia kufa maji baada ya ajali ya boti siku ya jumanne  (Agosti 6) wiki hii.  Wazamaji wanatafuta mwili wake mtoni.  Alienda rafting na marafiki zake kwenye Mto Chattahoochee huko Georgia ndipo alipopata ajali. Nimesoma ripoti kuwa alikuwa anajaribu kwena boti nyingine  kwa kuogelea akapata shida majini, wenzake wakamtupia life vest lakini alizama majini. Ilichukua wenzake saa nzima kabla hajaripoti kupotea kwake. Hiyo nashaangaa maana mara nyingi ukiita waokoaji wanaweza kukupata na kukufua kwa CPR na mshine zao. Kuna maswali mengi. Tuombe miujiza apatekane salama.

Buyoya akipiga pozi

Buyoya na mdogo wake Maria pale UDSM Sinza Rd.


Kutoka North Fulton News

Rescue teams search for missing 'Hooch boater

ROSWELL, Ga. – A 32-year-old man is missing on the Chattahoochee River after he fell in Aug. 6 while rafting with friends.

Paul Buyoya Biswaldo, of an unknown address, was reported with a large group of friends rafting down the river from Azalea Park. Lt. James McGee of the Roswell Police Department said alcohol was involved.

"He was in the process of going from one raft to another raft when he lost his footing and fell in," McGee said.

His friends threw a life preserver to him but he never resurfaced. They returned to the boat dock to report him missing, about an hour after his disappeared.

Police, fire and rescue teams arrived to begin the search, about 5:15 p.m. and they searched until nightfall. Wednesday morning they picked up the search, however rain and fog limited their efforts.

McGee said the efforts were still considered "rescue" and not "recovery."


**********************************
 Kutoka the Atlanta Journal- Constitution
'

The Atlanta Journal-Constitution 

Rescue teams returned to the Chattahoochee River in Roswell Wednesday to search for a man last seen swimming Tuesday afternoon.
The man, whose name was released, was last seen around 4:30 p.m. Tuesday, swimming from a boat in the area of Don White Park on Riverside Road, Roswell police said.
Investigators believe the man was attempting to go from one boat to another, but instead ended up in the water. Boaters attempted unsuccessfully to throw a life vest to the man, according to police.
Crews searched until dark Tuesday, and the Forsyth County dive team, along with state Department of Natural Resources, National Park Service and Roswell fire personnel resumed looking for the man Wednesday morning.
“The last known location where he was seen struggling was under the river bridge,” Roswell Deputy Fire Marshal Paul Piccirilli said Wednesday.
“We will begin where he was last seen, then, based on the water current and water levels, they will determine which direction to go from there,” Piccirilli told The Atlanta Journal-Constitution. “We will stay out here until we find him or other information becomes available that we don’t need to do that any longer.”
Staff writer Mike Morris and photographer John Spink contributed to this article.

NATIONAL PARK SERVICE ANNOUNCEMENT
 NPS Digest:  NPS Gateway for Partners, Friends and Alumni



CHATTAHOOCHEE RIVER NATIONAL RECREATION AREA
Search Underway For Missing Boater


On Tuesday, August 6th, rangers and other personnel began a search for a missing boater in the Chattahoochee River.
Late that afternoon, rangers received a call for assistance in finding a man who’d been on the river with a party of 21 other boaters. The man was swimming between two rafts when he went underwater and failed to resurface.
Rangers and personnel from the National Park Service, the Georgia Department of Natural Resources, the cities of Atlanta, Roswell, Sandy Springs and Johns Creek, and Forsyth and Dawson Counties have been searching in less than ideal conditions. Heavy rainfall, thunderstorms and dense fog have plagued the search area for the last two days.
The search continues.


Name: Sean Perchalski

Thursday, June 10, 2010

Msiba Los Angeles - Caroline Mmary

Hivi karibuni niliweka blog kuhusu mwananchi mwenzetu Caroline Mmary aliyepotea huko Los Angeles, California. Habari si nzuri.

Nashukuru polisi na wapelelezi huko Los Angeles wamefanya kazi. Inaelekea mume wake alimwua na kuficha mwili wa marehemu nyuma ya nyumba yao.

Mungu Ailaze roho yake mahala pema mbinguni. AMEN.


Habari za kutafutwa kwa marehemu zilitangazwa kwenye TV huko Los Angeles:

http://cbs2.com/local/Missing.Woman.caroline.2.1720298.html

************************************************************
Kutoka JAMII FORUMS

Takribani mwezi mmoja uliopita kulikuwa na tangazo kwenye blogs na hapa JF kwamba kuna dada yetu mmoja alipotea na akawa anatafutwa na ndugu zake.

Taarifa iliyotolewa kwenye local TV stations za Southern California zinasema kwamba mwili wa huyo dada ulipatikana jana nyuma ya nyumba aliyokuwa akiishi. Ulikuwa umefungwa kwenye mifuko ya plastic na blanket kama takataka.

Mume wa marehemu anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo. Dada huyo alikuja kwa ajili ya kusomea kozi ya Uuguzi na alikuwa anasoma ili awe Registered Nurse. Ameacha watoto 2.

Lilian Mgonjwa alihojiwa na kituo cha TV kutoka makazi yake huko Long Beach. Kama kutakuwa na taarifa za ziada ninatumaini tutaendelea kujulishana.Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.NB: Modes, kwa kuwa tangazo lilitolewa hapa kwenye Jukwaa la Siasa niliona ni vyema nikatoa taarifa hizo hapa na baadaye mnaweza kuihamishia popote mtakapoona inafaa kuwekwa.

Monday, May 31, 2010

Missing Tanzanian Woman - Caroline Mmary

Wadau, Los Angeles, California ni mji mkubwa mno. Nashukuru kuona kuwa polisi wa huko wanafanya bidii wamtafute. Sehemu nyingi hapa USA kama ni mweusi, mwafrika, tuseme mtu minority kwa ujumla hawajali.

*********************************************************************

LAPD Searches for Missing South Los Angeles Woman

Los Angeles: The Los Angeles Police Department and family members are asking for the public’s help in searching for a missing 26-year-old South Los Angles woman.

Detectives say Caroline Mmary was last seen at a home near 88th Place and Broadway on April 2, 2010 and hasn’t been seen since.

Family members told police they have not heard from Mmary and it’s out of character for her to lose contact with them. She has also failed to show up for work in the past couple of months and had not missed any work before her disappearance.

Mmary is originally from Tanzania, Africa, and came to the United States to study nursing at a local college in Long Beach. She has a 3-year-old daughter who lives in Los Angeles and a 6-year-old daughter currently living in Africa.

She is described as an African woman with black hair and brown eyes. She stands 5 feet 7 inches tall and weighs 150 pounds.

Anyone with information regarding the whereabouts of Mmary is asked to call Missing Persons Unit detectives at 213-996-1800 begin_of_the_skype_highlighting 213-996-1800 end_of_the_skype_highlighting.

During non-business hours or weekends, calls may be directed to 1-877-LAPD-24-7 begin_of_the_skype_highlighting 1-877-LAPD-24-7 end_of_the_skype_highlighting.

Anyone wishing to remain anonymous may call Crime Stoppers at 1-800-222-TIPS begin_of_the_skype_highlighting 1-800-222-TIPS end_of_the_skype_highlighting (1-800-222-8477 begin_of_the_skype_highlighting 1-800-222-8477 end_of_the_skype_highlighting).

Tipsters may also contact Crime Stoppers by texting to phone number 274637 (C-R-I-M-E-S on most key pads) using a cell phone.

All text messages should begin with the letters “LAPD.” Tipsters can also go to LAPDOnline.org, click on “web tips” and follow the prompts.