
Kuna watu ambao wanaamini kuwa ukifa ndo basi tena, hakuna cha mbinguni wala motoni unageuka vumbi tu. Na kuna watu ambao wanaamini kuwa ukifa unazaliwa tena upya na kurudi duniani kama mtu mwingine.
Ukweli hakuna mtu aliyekufa halafu akarudi duniani kutuambia kifo kilikuaje.