Showing posts with label Mfungo Mtukufu. Show all posts
Showing posts with label Mfungo Mtukufu. Show all posts
Saturday, May 27, 2017
Tuesday, July 24, 2012
Saturday, August 22, 2009
Rais Obama Atuma Salamu za Ramadhani
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umefika. Rais wa Marekani, Barack Obama amewatumia waislamu wote salamu. Nadhani ni mara ya kwanza kwa rais wa Marekani kutuma salamu za Ramadhani kwa waislamu nchini Marekani na duniani pote. Nampongeza Rais Obama kwa ushujaa wake wa kutoogopa maneno ya wazungu wasioelewa kuwa dunia imebadilika.
Labels:
Mfungo Mtukufu,
President Barack Obama,
Ramadhani
Wednesday, June 18, 2008
Shughuli Washington D.C. Jumamosi 6-21-08
Taarifa ya shughuli Washington DC Jumamosi
Jumuia ya waislam wa Washington D.C inawaalika watu wote kwenye hitma ya pamoja siku ya jumamosi hii Juni 21, 2008 saa tisa jioni. Tunanatarajia kuwa na hitma ya kuwarehemu marehemu na kuongelea mambo na mipango ya kufanya wakati wa mfungo mtukufu wa Ramadhani hapa D.C
Anuani ni:
North four corners local park,
211 south wood avenue,
silver spring, md, 20901.
Wote mnakaribishwa kutakuwa na soda kwa wingi, juisi nyama choma na mapochopocho ya kila aina. Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na:
IDDY SANDALY -3016135165,
MGANGA MUHOMBOLAJE -2023740988,
SALEH LONDA -2402738871,
MAYOR MLIMA-3018068467
ZAINAB (ZAINA) BUZOHERA-2404132359, ASHURA (BONTO)-2404217017,
NURU MWAMENDE-2406039364.
Labels:
Mfungo Mtukufu,
Ramadhani,
Washington D.C.
Subscribe to:
Posts (Atom)