Showing posts with label Newt Gingrich. Show all posts
Showing posts with label Newt Gingrich. Show all posts

Friday, January 06, 2012

Newt Gingrich Atukana Weusi Tena!


(pichani Newt Gingrich)
 Mgombea Urais wa Marekani upande wa Republican, Newt Gingrich, kazua mzozo leo kwa kusema weusi waache kupenda Food Stamps (hela ya chakula inaotolewa na maskini na serikali). Lakini wingi wa wanoopokea ni wazungu!  Na juzi Republican mwingine, Rick Santorum, kasema weusi ni wavivu na wapenda vya bure!  Hata Bill O'Reilly kamchamba kwa kusema, "Hivi huna habari kuwa wingi wa wanaopokea huo msaada ni wazungu!"  Republicans wanapenda sana kueneza chuki dhidi ya weusi.

*********************************************************************

Gingrich's NAACP, Food Stamp Remarks Stir Controversy


By Elicia Dover

Manchester, N.H.- The blogosphere piled up with headlines Thursday over a part of Newt Gingrich's campaign speech involving food stamps and the NAACP, which left the Gingrich campaign scrambling in defense to put Gingrich's comments in context.

"And so I'm prepared if the NAACP invites me, I'll go to their convention and talk about why the African American community should demand paychecks and not be satisfied with food stamps," Gingrich said earlier today in Plymouth, N.H.

After a few tweets about Gingrich's comments surfaced online, several blogs were written focusing on Gingrich's comments. Some headlines included "Gingrich Singles Out Blacks in Food Stamp Remark," "Newt: Informs African Americans They Should Not Want Food Stamps," and "Gingrich to Blacks: Demand Jobs Not Food Stamps."

The Internet chatter ensued as writers discussed Gingrich's comments on race, saying he "called out the African American community."

Gingrich lead welfare reform as Speaker of the House in the early 90's and routinely speaks on improving poverty in America as a part of his "stump" speech. Though his comments are not always politically-correct or well received by some groups, Gingrich doesn't hold back in talking about his desire to help ethnic communities.

A portion of Gingrich's usual speech given to crowds includes a line in which Gingrich says more people are on food stamps under President Obama than with any other president. ABC News fact checked Gingrich's food stamp claims earlier this month, confirming that Americans on food stamps is at a record high, but mostly attributed to a weak economy.

"The fact is if I become your nominee we will make the key test very simple - food stamps versus paychecks. Obama is the best food stamp president in American history. More people are on food stamps today because of Obama's policies than ever in history," Gingrich said. "I would like to be the best paycheck president in American history."

Gingrich stirred controversy last month over his comments about poor children having no work habits or people around them to teach them how to work. Gingrich offered the solution that some school janitors should be fired and children should work part time within their school for money and to develop "pride in their community."

The Gingrich campaign immediately responded to the press over Gingrich's comments by sending out an email that said Gingrich's NAACP comments were an effort to reach out to the African American community. The Gingrich campaign pointed to Gingrich's book Real Change, in which Gingrich was critical of President Bush's "failure to address the NAACP." Gingrich said it was a "clear signal to the African American community that Republicans did not see them as worthy of engagement in dialogue."

Gingrich also chastised the 2008 Republican presidential candidates, in an appearance on Good Morning America, for skipping out on a forum hosted by Travis Smiley, which focused on the issues of black voters. Mike Huckabee was the only candidate to agree.

Gingrich said earlier this week that he was prepared to go into any ethnic community that would listen to his ideas.

"There's no neighborhood I know of in America where if you went around and asked people, 'Would you rather your children had food stamps or paychecks?" Gingrich said. "You would end up with a majority saying they'd rather have a paycheck."

Tuesday, November 27, 2007

Obama - Nimevuta bangi na kutumia unga!

Mgombea nafasi ya rais wa Marekani kutoka chama cha Democrats, Senator Barack Obama, amekiri kuwa alitumia madawa ya kulevya akiwa kijana.

Akiongea na vijana wa NewHampshire alisema kuwa akiwa anasoma shule ya sekondari alitumia unga aina ya Cocaine na pia alivuta bangi. Alisema kipindi hicho hakufanya vizuri shule na ni sababu ya hayo maovu. Anasema kuwa ana majuto na kipindi kile. Anasema alivyoacha alianza kufanya vizuri shuleni mpaka aliweza kusomea sheria chuo kikuu cha Harvard na kuwa mhariri wa Harvard Law Review.

Si mara ya kwanza kusema kuwa alitumia madawa ya kulevya. Akigombea uSenator alisema, na pia kwenye kitabu chake, ' Dreams from my Father, A story or Race and Inheritance' anasema pia.

Obama si mgombea wa kwanza kukiri kuwa walitumia madawa ya kulevya. Rais Bill Clinton alisema kuwa alijaribu kuvuta bangi, na rais Bush wa sasa anasema alikuwa mlevi wa pombe (bado ni mlevi)! Pia kuna watu ambao wanadai kuwa Bush alitumia unga.

Navyoona Obama aliamua kusema alifanya nini akiwa kijana maana kuna watu wangemwumbua. Aliona ni bora aseme mwenyewe kulikoni aonekane kama alijaribu kuficha. Sasa kuna watu ambao wanadai kuwa Obama si mfano mzuri kwa vijana maana wao wataona kuwa ni sawa kutumia madawa ya kulevya maana baadaye wataweza kugombea urais! Haya!

Hapa Marekani, ukiwa mgombea nafasi ya siasaa hasa hizi kubwa kubwa uwe msafi! Maana yangu si msafi wa nguo au mwili. Uwe msafi kabisa na usiwe na kitu cha kuficha. Viongozi wengi wameabikia baada ya kugundulika walikuwa na vimada pembeni au walitembea na malaya! Usiwe umezaa nje ya ndoa yako! Usiwe unatumia madawa ya kulevya au mlevi.

Watu kama Newt Gingrinch, Henry Hyde, Gary Hart, waliaibika baada ya siri zao na kuwa na vimada kugundulika! Na lazima unakumbuka kuwa Rais Clinton karibu avuliwe urais shauri ya kunyonywa ume wake na Monica Lewinsky ofisini kwake!

Kwa habari zaidi someni:

http://www.cnn.com/2007/POLITICS/11/27/costello.drug.use/index.html

http://www.iht.com/articles/2006/10/24/news/dems.php

http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2007/01/02/AR2007010201359_pf.html